SAUTI KAMA YA JAIVAH, NAJUA KUIGIZA, NAUZA VIFAA VYA UMEME - HELLO MR. RIGHT

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder

Комментарии • 69

  • @NamaromeSharon
    @NamaromeSharon 6 месяцев назад +11

    Nikekuwa mm hello mr tight niketoa eliza kwa stages maana hana qualities anataka kwa mwanaume ni kasolo tu anatafuta na kuanika kwamba ni mchafu na story zingine

  • @erickngullo5473
    @erickngullo5473 6 месяцев назад +2

    Tumuombee Eliza adumu kwenye podium 😅😅 anachangamsha kijiwe ad raha 😅😅

  • @FélixRaphael-r5k
    @FélixRaphael-r5k 6 месяцев назад +2

    Mimi nawafatilia ninyi Mr Right sasa naona mala nyingi ninyi wa simamizi hua mnachangia kikubwa mtu kukosa mwenza Kwa sababu mnauliza maswali ata mengine hayana mSingi unamuliza mtu et wewe ni muongo Wana wake ata akijibu cy muongo hawawezi kuamini

  • @Chakol123-k7s
    @Chakol123-k7s 6 месяцев назад +6

    Yani wanaume wengi humu mr right wanatokea sinza au Kinondoni mh htr 😂😂 hamna mbagala,mabibo,manzese,masaki,ububungo 😂😂😂

    • @jamesmasunyiro8733
      @jamesmasunyiro8733 6 месяцев назад

      Bado mm tu watabata niingie hapo thn niweke prf kuw nimetok sinza

  • @rachelmuhehe7789
    @rachelmuhehe7789 6 месяцев назад +1

    Kujiuza mchana kweupe kwa lugha ya kuhalalisha dhambi

  • @Muhamed_mazba
    @Muhamed_mazba 6 месяцев назад +6

    Mr right kachangamka sanaa😂😂

  • @engineerismael2186
    @engineerismael2186 6 месяцев назад +2

    Hiv mwez wa Ramadhan ndo mnavaa nguo za eshima ukiisha mnalud kweny mavaz yen ya nus uchi

  • @Amina-i4r
    @Amina-i4r 6 месяцев назад +2

    Ila mumependeza ssna mumejistiri vizuri ama ni hii Ramadhani 2 ndio hamtaki kumkosea mungu

  • @Aishaawadhimsloki
    @Aishaawadhimsloki 6 месяцев назад +2

    Eliza hawez kutoka hapo kwasabu akitoka eliza patapooza sana

  • @MariamMpanga
    @MariamMpanga 6 месяцев назад +1

    Arya eti wangindo watu wa Tanga 😂😂😂
    Eeeeeh sisi wangindo Ni watu wa LINDI

  • @JacqDaniels-hu5xj
    @JacqDaniels-hu5xj 6 месяцев назад +3

    Majaji ckuiz mmekua na maneno mengi kama waswahili em kueni serious

  • @LeylaHamisi-qh3kb
    @LeylaHamisi-qh3kb 4 месяца назад

    Mr right kaa anaigiza kwenye gang la chumvi nyingi

  • @ZUHURASEIF-v1j
    @ZUHURASEIF-v1j 6 месяцев назад +2

    Mm Niko na swali huyu garabi acheka ivyo amaniku waijoi akina msta raigh.ana Cheka kama muugurumo wa gr😂

  • @salmaabdallah9598
    @salmaabdallah9598 3 месяца назад

    Me naboreka kuona azifik mwisho au ili uone ad mwisho tufanyeje tuwaongeze bando au

  • @chidyobey10
    @chidyobey10 6 месяцев назад +1

    Huyu c Madundoooo, mabuutiii WA Chumvinying

  • @sockyaisha
    @sockyaisha 5 месяцев назад

    Eric mwenye tranic zake 😂😂😂ila garab nyie 😂😂

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy 6 месяцев назад

    Lulu wewe 😅😅 eti nimekuchoka baba mwenye nyumba 😂😂😂😂😂 ila mkaka yupo poa sana nimempenda bure

  • @ZainabKhalfan-qo2bs
    @ZainabKhalfan-qo2bs 4 месяца назад

    Ila Eliza😂😂😂

  • @onesmomwakasege5215
    @onesmomwakasege5215 6 месяцев назад

    Acheni kuwaongopea watu wangindo siyo wa2 watanga wangindo niwatu wakusini wanapatikana lindi na mtwara

  • @AmanJosephat
    @AmanJosephat 6 месяцев назад +1

    Nakubar san mwanang mabut ataaar saan mkiwa na chumvi nying GAn

  • @SamiaButoyi
    @SamiaButoyi 6 месяцев назад +1

    Yan uy Eliza atazehekey kweny podium kbx

    • @lilianeerica3318
      @lilianeerica3318 6 месяцев назад +1

      Ķumbe bado yupo😅😅😅😅😅😅😅

  • @leemakonnengava9866
    @leemakonnengava9866 6 месяцев назад

    Lulu Leo wapendeza na dada yako Leo....Uislamu ni tamu

  • @AidahMarashi
    @AidahMarashi 6 месяцев назад +1

    ELiza had lini jmn

  • @FEBRONIABUKHAY
    @FEBRONIABUKHAY 6 месяцев назад

    Tunashindwa kuenjoi kwa maana mna maongezi mengi kuliko Maelezo

  • @preceenosent6324
    @preceenosent6324 5 месяцев назад

    Doctor ukolofi kingeleza kigumu

  • @theodorachaki5174
    @theodorachaki5174 6 месяцев назад

    hiki kipindi nakipenda sana lakini mnaweka fupi

  • @FrncMukwinka
    @FrncMukwinka 6 месяцев назад

    Elisa Pol Basi umechoka kiufupi

  • @shushungenishushu3259
    @shushungenishushu3259 6 месяцев назад

    Mr right chumvinyingi njooo umuone mwanao mabuti😂😂😂

  • @musicheals1545
    @musicheals1545 6 месяцев назад

    mfungo ukiisha tunarudi kuvaa mavazi yetu ya uchi uchi sa sijui Mungu amekuwa best yetu. 😂😂

    • @HawaSadock
      @HawaSadock 6 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂

  • @ramadhaniharidi1682
    @ramadhaniharidi1682 6 месяцев назад

    Mbn kama msanii wa chumvi nyingi gang uyu

  • @janemartine5967
    @janemartine5967 6 месяцев назад

    Kwa Sasa hivi Wana mungu mufungo ukiisha hawako nae

  • @charlesnyagabona1729
    @charlesnyagabona1729 6 месяцев назад

    Eliza huyu demu atazidi kuzeeka kwa kuchagua

  • @NelinaRichar
    @NelinaRichar 6 месяцев назад +1

    Eliza anabowaaaa😊

  • @MonicaJoseph-eu2ke
    @MonicaJoseph-eu2ke 6 месяцев назад

    Elizabeth bado yuko

  • @gracekayumba-z9l
    @gracekayumba-z9l 6 месяцев назад

    Wajina Grace kampenda mabuti

  • @JanethMwakanyamale
    @JanethMwakanyamale 6 месяцев назад

    😂kazi kweli jamani

  • @StevenSimba-l8b
    @StevenSimba-l8b 6 месяцев назад

    Chumvi njoo umuone mabuti😢😢

  • @gracekayumba-z9l
    @gracekayumba-z9l 6 месяцев назад

    Si mwigizaji wa chumvi nyingi

  • @نجمةكينيا
    @نجمةكينيا 6 месяцев назад

    Eliza alikosa nongo 😮😮😮

  • @festopetro2702
    @festopetro2702 6 месяцев назад

    Lulu umenifurahisha san😂

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy 6 месяцев назад

    Gara B eti I am sorry 😂😂😂😂

  • @prosianswai9435
    @prosianswai9435 6 месяцев назад

    eliza simzee

  • @festopetro2702
    @festopetro2702 6 месяцев назад

    Wote na Mr light😂

  • @mcraphelkyumba
    @mcraphelkyumba 6 месяцев назад

    Sag sana

  • @cimpayeriziki6680
    @cimpayeriziki6680 6 месяцев назад

    Lulu alia ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @EsterNdalu
    @EsterNdalu 6 месяцев назад

    Dada lulu big up

  • @christainc.5217
    @christainc.5217 6 месяцев назад

    😂😂😂

  • @shushungenishushu3259
    @shushungenishushu3259 6 месяцев назад

    Weeeeee mabuti wetuuuu

  • @shushungenishushu3259
    @shushungenishushu3259 6 месяцев назад

    Mumpeeeee sen ya. Ugai gai😂😂😂😂❤❤

  • @Lushinge27
    @Lushinge27 6 месяцев назад

    Eliza kapotelea wapi?

  • @lareineminah1353
    @lareineminah1353 6 месяцев назад

    Eliza si alisemaga ni mu islam...

  • @EddaPeter-yn3nk
    @EddaPeter-yn3nk 6 месяцев назад

    Apo akuna mwanaume kama kweli mtu unaitaji wamaisha uyu kazidi machejo mengi akuna mume kabsaaaaaa😂😂😂😂

  • @salamarashid3687
    @salamarashid3687 6 месяцев назад

    Hayo maswala y vipato mm siyapendi..Haina haja kuwauliza ma Mr right

  • @theresareed8537
    @theresareed8537 6 месяцев назад

    Hu yo mama no??wewe tena

    • @theresareed8537
      @theresareed8537 6 месяцев назад

      LuLu ni Mimi Michael kutoka America Arizona