SAUTI KAMA YA JAIVAH, NAJUA KUIGIZA, NAUZA VIFAA VYA UMEME - HELLO MR. RIGHT
HTML-код
- Опубликовано: 30 сен 2024
- ►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
Nikekuwa mm hello mr tight niketoa eliza kwa stages maana hana qualities anataka kwa mwanaume ni kasolo tu anatafuta na kuanika kwamba ni mchafu na story zingine
Wamfukuze hafaiiii kabisaa apooo
Tumuombee Eliza adumu kwenye podium 😅😅 anachangamsha kijiwe ad raha 😅😅
😂😂😂😂
Anamaliza soda
Mimi nawafatilia ninyi Mr Right sasa naona mala nyingi ninyi wa simamizi hua mnachangia kikubwa mtu kukosa mwenza Kwa sababu mnauliza maswali ata mengine hayana mSingi unamuliza mtu et wewe ni muongo Wana wake ata akijibu cy muongo hawawezi kuamini
Yani wanaume wengi humu mr right wanatokea sinza au Kinondoni mh htr 😂😂 hamna mbagala,mabibo,manzese,masaki,ububungo 😂😂😂
Bado mm tu watabata niingie hapo thn niweke prf kuw nimetok sinza
Kujiuza mchana kweupe kwa lugha ya kuhalalisha dhambi
Mr right kachangamka sanaa😂😂
Hiv mwez wa Ramadhan ndo mnavaa nguo za eshima ukiisha mnalud kweny mavaz yen ya nus uchi
Ila mumependeza ssna mumejistiri vizuri ama ni hii Ramadhani 2 ndio hamtaki kumkosea mungu
Eliza hawez kutoka hapo kwasabu akitoka eliza patapooza sana
Arya eti wangindo watu wa Tanga 😂😂😂
Eeeeeh sisi wangindo Ni watu wa LINDI
Majaji ckuiz mmekua na maneno mengi kama waswahili em kueni serious
Kwan kuna majaji humu😂😂😂😂
Wanaitwaje
Mr right kaa anaigiza kwenye gang la chumvi nyingi
Mm Niko na swali huyu garabi acheka ivyo amaniku waijoi akina msta raigh.ana Cheka kama muugurumo wa gr😂
Garab anacheka kinafkii !!!!
Me naboreka kuona azifik mwisho au ili uone ad mwisho tufanyeje tuwaongeze bando au
Huyu c Madundoooo, mabuutiii WA Chumvinying
Eric mwenye tranic zake 😂😂😂ila garab nyie 😂😂
Lulu wewe 😅😅 eti nimekuchoka baba mwenye nyumba 😂😂😂😂😂 ila mkaka yupo poa sana nimempenda bure
Ila Eliza😂😂😂
Acheni kuwaongopea watu wangindo siyo wa2 watanga wangindo niwatu wakusini wanapatikana lindi na mtwara
Nakubar san mwanang mabut ataaar saan mkiwa na chumvi nying GAn
Yan uy Eliza atazehekey kweny podium kbx
Ķumbe bado yupo😅😅😅😅😅😅😅
Lulu Leo wapendeza na dada yako Leo....Uislamu ni tamu
ELiza had lini jmn
Tunashindwa kuenjoi kwa maana mna maongezi mengi kuliko Maelezo
Doctor ukolofi kingeleza kigumu
hiki kipindi nakipenda sana lakini mnaweka fupi
Elisa Pol Basi umechoka kiufupi
Mr right chumvinyingi njooo umuone mwanao mabuti😂😂😂
mfungo ukiisha tunarudi kuvaa mavazi yetu ya uchi uchi sa sijui Mungu amekuwa best yetu. 😂😂
😂😂😂😂😂😂
Mbn kama msanii wa chumvi nyingi gang uyu
Kwa Sasa hivi Wana mungu mufungo ukiisha hawako nae
Eliza huyu demu atazidi kuzeeka kwa kuchagua
Eliza anabowaaaa😊
Elizabeth bado yuko
Wajina Grace kampenda mabuti
😂kazi kweli jamani
Chumvi njoo umuone mabuti😢😢
Si mwigizaji wa chumvi nyingi
Eliza alikosa nongo 😮😮😮
Lulu umenifurahisha san😂
Gara B eti I am sorry 😂😂😂😂
eliza simzee
Wote na Mr light😂
Sag sana
Lulu alia ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Dada lulu big up
😂😂😂
Weeeeee mabuti wetuuuu
Mumpeeeee sen ya. Ugai gai😂😂😂😂❤❤
Eliza kapotelea wapi?
Yumwo hujamuona?
Eliza si alisemaga ni mu islam...
Kwani hafungi
@@AbdullahOmar-be4wy kwa uvaaji huo
@@lareineminah1353 ok sawa lkn naona anagawa soda labda yupo periodi
Apo akuna mwanaume kama kweli mtu unaitaji wamaisha uyu kazidi machejo mengi akuna mume kabsaaaaaa😂😂😂😂
Hayo maswala y vipato mm siyapendi..Haina haja kuwauliza ma Mr right
Hu yo mama no??wewe tena
LuLu ni Mimi Michael kutoka America Arizona