Nyieeee mnanimalizia hadi bando langu la mchongo show nzuri na zinafaana sana yaani hongereni sana ila nawaombeni fuatilieni mienendo yao au wawe wanarudi kutoa muelekeo wa mahusiano yao❤
Nimependa sana Yani sana kipindi hiki Tena napenda sana huo mu tetezi mucheza muvi Nakupenda sanaaa♥️♥️♥️♥️🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼 Kigali 🇷🇼 Rwanda 🇷🇼🇷🇼🇷🇼♥️ ♥️♥️😍🌹🙏💖💖💖💖💖💞
Mm ni hadijah kutoka Mombasa Kenya ila Kwa sasa nipo Saudi Arabia nawapongeza tu sana na nafurahisha na show yenu tu sana ila naomba Kwa heshima na taadhima je mm nipo mbali ila sina mpenzi je Ina wezekana mm kupata mwanaume
Mda Kama hivi nimzuri Sana uwepo wakutosha huenda mwanaume akaja na zawadi nimependa mufanye namna hi kwa mda hata tano nakuendelea toeni mda tafadhali
i feel so happy to see how shafi & his cute baby martha enjoying their first romantic love with alot of joys & smiles i wish ningekuwa mimi shafi jamani
Nyieeee mnanimalizia hadi bando langu la mchongo show nzuri na zinafaana sana yaani hongereni sana ila nawaombeni fuatilieni mienendo yao au wawe wanarudi kutoa muelekeo wa mahusiano yao❤
Uyu kaka yuko romantic yaan apo ndani ata ukinuna lazma ubembelezwe😅❤❤❤🎉
yani mpaka raha sema wakaka wa mambo mengi hivi kama maigizo wanakuwaga waongo waongo yote kwa yote allha akawafanyie wepesi lnshallha
Dah wanaoangalia hii show wanaenjoy sana,,, mm Leo nmeangalia karbia clip zotee nmefurah sanaaa,,, pa1 na MC wangu pendwa GaraB
Mama
Tatizo Ni short clips
Upo kama mm
MASHA ALLAH mwenyez mungu azid kuwaongoza kwenye kher siku zote na awaepushe na kila lenye shali Amin yaraby thumma Amin 🙏🙏🙏💖💖♥️♥️♥️
Ustadh nae ana adhirika tu😂nae
huyu jamaa noma sana duh hata mm nimefulahi kweli
Mashallah, hongera sana kwenu. 😘
Nimeipenda caper hii Mr right mko sahihi
Aaaiiih zote nimeona lakini hiii aaaah nimeipenda sana akii ❤❤
Wow nice One my brother 🔥🔥🔥🔥🔥
broooo you are talented in mahabat wow like dat buddy
Mashallah jmn hii nyimbo tunaipataje maan tamu ht kweny hrus nzr
Huyu atakuw kaimba barnaba❤
Mr right ako na vako kaa za mbosso much love ❤❤❤❤❤from kenya
Mwanaume anaeongea Sana ni mzuri Sana nimtu ambaye anayejali
Hongeren sn mungu awabarki katika jina la yes
Hii nzuri sana nimeipendaa
Yaani nmependa kbs vazialovaa dhen anaujumbe unasisimua nifuraha kwakwel 🎉😅😊❤ MASHA ALLAH
Mashallah Mungu awape maisha marefu na ayazidishe mapenz yenu nami anibariki na umbavu wangu watching from Kenya
Inshallah iwe kheri kwako pia mimi natafuta umbavu wangu ila mimi mkristo
Star movie center mapenzi hayana dini wala ukabila cha muhim n maelewano
Kuna familia ukiwa mkristo huwa wanataka uolewe na mkristo, ukiwa muslim pia hivyo hivyo ila kwangu huwa niko sawa kwa wote bora unamwabudu Mola
@winnie alosa
Hello
Ila kuna watu wanatamani wamkwapue huyo jamaa😀😀😀😀 jamaa kajiamini MashaAllah it was the best
Wow jamn mashekh Wana juwa bembe leza jmn dada kapata nataka shekh na mm 😂😂😂
Wow kaka unaimba vizur saut nzur mashallah kapo yenu
Yatima wa mapenzi tujuane 😂😂😂😂😂
Nipo
Duh vmacho hyooooo
Niko hapa
Tupo wengi my
Nipo
Mashaalh Martha mlete hp huyo xheh w mchongo na zuwen anatft mme hki nimechk 🤣🤣🤣🤣🙌🙌nipen utrtib w mr right
Waooow Masha Allah👏💖💖💖
Mashallah bro kapata jiko
Nimejikuta na smile kila mda ila kwer mi naweza kuogpa maaana apo kamloga tayar binti akili itard baadae
Wow nice me from Kenya ❤❤❤
Jamani mimi siwezi kuangalia hiki kipindi maana I'M BLUSHING BALAAA
Mashaallah kupendwa raha
Wow amaizing wuuuuuuuh🎉🎉🎉🎉
Jamaa ana mambo ya mwambao mwambao tu😂😂😂
Nimependa aiseee❤❤
MashaAllah nimeipenda. Hiii
Jaman walembo ni wazr sna lakn mm ambaye nimeoa nawapenda sana
Mashaallah nimeipenda iyo
Si hii ifanyike kenya tu 😂..
So romantic ❤
@startime Kenya
Iko but watu wa kanairo manzee ni ile love ya indaaaa ya watu wa githurai 47 streets 😂😂😂😂
watizeti mna mahaba kweli jameni❤❤❤❤nimependa hii show
Kaka anambwembwe huyu😃😃😋
Mashaallah 😘zuri iy
mashaallah kaka ang Agent
Mr right ya Tz nzuri sana, ukiangalia Mr right ya Kenya vurugu kama kijiwen
😂😂
Eeeeeh Mashaa llaah Mashaa llaah jameni kupendwa Raha mwenzenu but I need hiyo songs 🎵🎶🎵
Nimependa sana Yani sana kipindi hiki Tena napenda sana huo mu tetezi mucheza muvi Nakupenda sanaaa♥️♥️♥️♥️🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼 Kigali 🇷🇼 Rwanda 🇷🇼🇷🇼🇷🇼♥️ ♥️♥️😍🌹🙏💖💖💖💖💖💞
Mashallah mungu awape maisha marefu 💕❤️😘
This girl amenivutia sn....she is knowledgeable
Nice idea mc gara b big up my brother
Kiukweli show imeweza,Mungu hakupi utakacho ili unaloridhia,
Wowooo pambeeee jaman apo Kuna wadada wanataman wawashe taaa ahaaaaaa jaman Kaka romantic adi rha
Shukran I love it
Mm ni hadijah kutoka Mombasa Kenya ila Kwa sasa nipo Saudi Arabia nawapongeza tu sana na nafurahisha na show yenu tu sana ila naomba Kwa heshima na taadhima je mm nipo mbali ila sina mpenzi je Ina wezekana mm kupata mwanaume
Mimi apa, karibu
Mashalla nawatakia kila laheri
Nimepanda sana iyo couple yaani naona kama hivi ingekuwa ni Mimi ,ila nawapmbea maisha marefu yenye furaha katika ndoa yao
Dah mashaalah
Mwaka huuu muweke wakaka kuzima taa na kuwasha sisi wadada ndo tuchagueeee
Weeeee ahhahaahhaha
we ulisikia wap
Jaman rahaaaaa❤️❤️❤️❤️
Watu wameumbiwa mahabaaaaa💖💖💞💝💝💘🎄💯💋
God bless you guys
Mashaallah mnapendezan zan
waaa 🙂very romantic
😂😂😂😂Eti mpaka natetemeka laazizi
Hongeren Sana sana
Waoo kuna wanawake ni waelewa sana sio kwa kuwatizama huyo atakuwa mke bora kuliko unavyozania
Zoezi liendelee mpaka sote tulikuwa hatuna wenza tupate 😂😂😂😂😂😂😂
Hahaha😂 naomba nikupate Mimi
@@lemicmwangome-lh1jg🥱 lakini sawa 🥰🤣wasifu wako 😂
Basi Galabi wewe ndo mwisho wasinywe wenyewe nawe pia❤
😂😂😂😂😂😂😂😂 so nice from UK
Really
Mashallah bro
Mm huku kwa mr right sijui nifike uko daaaaah
Nawapongeza sana Hello Mr right kwa kipindi hiki munasaidia sana vijana
Kabisa wapo vizur
Hongera ♥️💟
Nawapenda sana #🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mda Kama hivi nimzuri Sana uwepo wakutosha huenda mwanaume akaja na zawadi nimependa mufanye namna hi kwa mda hata tano nakuendelea toeni mda tafadhali
i feel so happy to see how shafi & his cute baby martha enjoying their first romantic love with alot of joys & smiles i wish ningekuwa mimi shafi jamani
Hi everyone all posts theand and and
Jamani kweli
Kama hivi Sasa nimda mzuri tunapenda mda mrefu wakujielezea au na mengineyo
Jamaa amtunze uyo dada inaonyesha yupo really
Perfect couple
Mwanaume mwongo Huyo nimetokea kumchukia yaan sijampenda kabisa
Ana maneno mingi
Love you Wallah
Hata mwanamke kvaa vizuri...
Adi Diva amelia.. uwiii
Nyie misitakii kujiliza huku nampenda yule mbuzi wang yaan nampenda
Wanawake mnakazi sana
Nmecheka mno
Sijuw nimuite nani huyu alovahivi 😂😂😂😂😂😂kajipanga jamn
The guy knew what he was doing men..like it so much
Y’all tz make me happy this night 😅😅😅
I love
Mbona patamu hapo napendaga huyo mom kibonge anavyochekelea an😂😂😂
Tz inashinda ya kenya
Hapa na mimi nilipo Australia nataka shuka huko kutafuta Mrs Right ❤❤❤
woooah jmn its soo cool💋💋
Nahamia Tanzania sasa
Wow i wish to get a man ...Tomantic man
Mbona pambee😂😂😂😂😂
Mashaa llaah kupendwaraha
Jamn na mm nataka kuja happy hebu mnpe process nmpateMR.right wng
🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂
Nimependaaaaa
Kila LULU Diva unanitoa mate sana kiukweli Love YOU
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Akutoe mate amekua 🍔
Mathar kuwa makini bwana chachali 🤣🤣🤣🤣
the girl is so cute...
Si aji tokeze tu afande mmoja maan m ugonjwa wangu mapolisi ni saidieni bas niko siriez et 😢
Nakupenda wewe kakaa jamaniii duuuu😭😭😭😭😭
mimi nataka hiuo nyimbo tu😂
Masha Allah🎉
Weeeeew jaman kunawatu wanajua kupenda Ila me naona Aibu
Yaan we kama Mimi natamn kwenda Ila naona aibuu🤣
Sheikh Ana mbwembwe