UNAYAJUA MAHABAT WEWE! ONA HAPA SASA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 дек 2021
  • Tazama episode kamili ya Hello Mr. Right kupitia @tv3Tanzania CH. 197 (Dish) CH.131. Kila jumamosi saa 4 usiku na kupitia StartimesOn.

Комментарии • 420

  • @amanpetro6820
    @amanpetro6820 Год назад +11

    Nyieeee mnanimalizia hadi bando langu la mchongo show nzuri na zinafaana sana yaani hongereni sana ila nawaombeni fuatilieni mienendo yao au wawe wanarudi kutoa muelekeo wa mahusiano yao❤

  • @sheillahassan
    @sheillahassan 7 месяцев назад +8

    Uyu kaka yuko romantic yaan apo ndani ata ukinuna lazma ubembelezwe😅❤❤❤🎉

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything7848 Год назад +13

    yani mpaka raha sema wakaka wa mambo mengi hivi kama maigizo wanakuwaga waongo waongo yote kwa yote allha akawafanyie wepesi lnshallha

  • @jmwaihuti9724
    @jmwaihuti9724 2 года назад +27

    Dah wanaoangalia hii show wanaenjoy sana,,, mm Leo nmeangalia karbia clip zotee nmefurah sanaaa,,, pa1 na MC wangu pendwa GaraB

  • @mariamyoyote8172
    @mariamyoyote8172 2 года назад +9

    MASHA ALLAH mwenyez mungu azid kuwaongoza kwenye kher siku zote na awaepushe na kila lenye shali Amin yaraby thumma Amin 🙏🙏🙏💖💖♥️♥️♥️

  • @AsmaFaki-gu9sy
    @AsmaFaki-gu9sy Год назад +6

    Ustadh nae ana adhirika tu😂nae

  • @brightonngussa7830
    @brightonngussa7830 2 года назад +7

    huyu jamaa noma sana duh hata mm nimefulahi kweli

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 года назад +4

    Mashallah, hongera sana kwenu. 😘

  • @quentinvalens9498
    @quentinvalens9498 2 года назад +5

    Nimeipenda caper hii Mr right mko sahihi

  • @Salama-uu8ju
    @Salama-uu8ju 9 месяцев назад +1

    Aaaiiih zote nimeona lakini hiii aaaah nimeipenda sana akii ❤❤

  • @mashiassenga8849
    @mashiassenga8849 2 года назад

    Wow nice One my brother 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @allykidamui8778
    @allykidamui8778 Год назад +3

    broooo you are talented in mahabat wow like dat buddy

  • @josephinemuhonda1246
    @josephinemuhonda1246 2 года назад +8

    Mashallah jmn hii nyimbo tunaipataje maan tamu ht kweny hrus nzr

  • @cutenicely4766
    @cutenicely4766 5 месяцев назад

    Mr right ako na vako kaa za mbosso much love ❤❤❤❤❤from kenya

  • @ndohoriomsacky445
    @ndohoriomsacky445 2 года назад +3

    Mwanaume anaeongea Sana ni mzuri Sana nimtu ambaye anayejali

  • @merypetro5585
    @merypetro5585 2 года назад +1

    Hongeren sn mungu awabarki katika jina la yes

  • @severakimario6767
    @severakimario6767 Месяц назад

    Hii nzuri sana nimeipendaa

  • @user-yu4io9pu2i
    @user-yu4io9pu2i 9 месяцев назад

    Yaani nmependa kbs vazialovaa dhen anaujumbe unasisimua nifuraha kwakwel 🎉😅😊❤ MASHA ALLAH

  • @winniealosa6165
    @winniealosa6165 2 года назад +20

    Mashallah Mungu awape maisha marefu na ayazidishe mapenz yenu nami anibariki na umbavu wangu watching from Kenya

    • @5starsmoviecenter714
      @5starsmoviecenter714 2 года назад +1

      Inshallah iwe kheri kwako pia mimi natafuta umbavu wangu ila mimi mkristo

    • @winniealosa6165
      @winniealosa6165 2 года назад +3

      Star movie center mapenzi hayana dini wala ukabila cha muhim n maelewano

    • @5starsmoviecenter714
      @5starsmoviecenter714 2 года назад

      Kuna familia ukiwa mkristo huwa wanataka uolewe na mkristo, ukiwa muslim pia hivyo hivyo ila kwangu huwa niko sawa kwa wote bora unamwabudu Mola

    • @ceo_dady9724
      @ceo_dady9724 Год назад

      @winnie alosa

    • @jamesonserio8546
      @jamesonserio8546 Год назад

      Hello

  • @amirlehao8945
    @amirlehao8945 2 года назад +5

    Ila kuna watu wanatamani wamkwapue huyo jamaa😀😀😀😀 jamaa kajiamini MashaAllah it was the best

  • @user-ny3sx6ru3t
    @user-ny3sx6ru3t 5 месяцев назад +1

    Wow jamn mashekh Wana juwa bembe leza jmn dada kapata nataka shekh na mm 😂😂😂

  • @ashnaom2270
    @ashnaom2270 7 месяцев назад

    Wow kaka unaimba vizur saut nzur mashallah kapo yenu

  • @queenrukia1918
    @queenrukia1918 Год назад +34

    Yatima wa mapenzi tujuane 😂😂😂😂😂

  • @JoharyShaban-zt4ki
    @JoharyShaban-zt4ki 11 месяцев назад

    Mashaalh Martha mlete hp huyo xheh w mchongo na zuwen anatft mme hki nimechk 🤣🤣🤣🤣🙌🙌nipen utrtib w mr right

  • @user-le9lb8oc8d
    @user-le9lb8oc8d 2 года назад +2

    Waooow Masha Allah👏💖💖💖

  • @mosesmalumbe6946
    @mosesmalumbe6946 2 года назад +1

    Mashallah bro kapata jiko

  • @rahmaaugustine3559
    @rahmaaugustine3559 2 года назад +5

    Nimejikuta na smile kila mda ila kwer mi naweza kuogpa maaana apo kamloga tayar binti akili itard baadae

  • @user-uk8gy3ud2f
    @user-uk8gy3ud2f Год назад

    Wow nice me from Kenya ❤❤❤

  • @jenipherlubamba1897
    @jenipherlubamba1897 2 года назад +3

    Jamani mimi siwezi kuangalia hiki kipindi maana I'M BLUSHING BALAAA

  • @zainabramadhani9838
    @zainabramadhani9838 2 года назад +1

    Mashaallah kupendwa raha

  • @user-mv3gd5ox9b
    @user-mv3gd5ox9b 11 месяцев назад

    Wow amaizing wuuuuuuuh🎉🎉🎉🎉

  • @abisaimuhanji3687
    @abisaimuhanji3687 2 года назад +4

    Jamaa ana mambo ya mwambao mwambao tu😂😂😂

  • @user-uy4yl6qr6q
    @user-uy4yl6qr6q Год назад +1

    Nimependa aiseee❤❤

  • @sharmilarashid6270
    @sharmilarashid6270 Год назад

    MashaAllah nimeipenda. Hiii

  • @yekonianzowa4726
    @yekonianzowa4726 11 месяцев назад

    Jaman walembo ni wazr sna lakn mm ambaye nimeoa nawapenda sana

  • @rahimmwalaza1498
    @rahimmwalaza1498 2 года назад +1

    Mashaallah nimeipenda iyo

  • @unitamumbe9267
    @unitamumbe9267 11 месяцев назад +1

    Si hii ifanyike kenya tu 😂..
    So romantic ❤
    @startime Kenya

    • @SerenakaremboDzombo
      @SerenakaremboDzombo 3 месяца назад

      Iko but watu wa kanairo manzee ni ile love ya indaaaa ya watu wa githurai 47 streets 😂😂😂😂

  • @florencenduku96
    @florencenduku96 10 месяцев назад

    watizeti mna mahaba kweli jameni❤❤❤❤nimependa hii show

  • @princesschamgenzi6328
    @princesschamgenzi6328 2 года назад +4

    Kaka anambwembwe huyu😃😃😋

  • @ghhhhy1812
    @ghhhhy1812 Год назад +1

    Mashaallah 😘zuri iy

  • @hawachama9343
    @hawachama9343 Год назад +1

    mashaallah kaka ang Agent

  • @EsauNaboth-yn2fl
    @EsauNaboth-yn2fl 9 месяцев назад

    Mr right ya Tz nzuri sana, ukiangalia Mr right ya Kenya vurugu kama kijiwen

  • @jacksonmuyembo4211
    @jacksonmuyembo4211 2 года назад +4

    Eeeeeh Mashaa llaah Mashaa llaah jameni kupendwa Raha mwenzenu but I need hiyo songs 🎵🎶🎵

  • @uwingabireclementine7799
    @uwingabireclementine7799 Год назад +3

    Nimependa sana Yani sana kipindi hiki Tena napenda sana huo mu tetezi mucheza muvi Nakupenda sanaaa♥️♥️♥️♥️🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼 Kigali 🇷🇼 Rwanda 🇷🇼🇷🇼🇷🇼♥️ ♥️♥️😍🌹🙏💖💖💖💖💖💞

  • @fatumaibrahim8973
    @fatumaibrahim8973 2 года назад +2

    Mashallah mungu awape maisha marefu 💕❤️😘

  • @martinikayanda8070
    @martinikayanda8070 9 месяцев назад +1

    This girl amenivutia sn....she is knowledgeable

  • @kakacharlesofficial1241
    @kakacharlesofficial1241 2 года назад +2

    Nice idea mc gara b big up my brother

  • @setlightboyz7190
    @setlightboyz7190 Год назад +1

    Kiukweli show imeweza,Mungu hakupi utakacho ili unaloridhia,

  • @user-hu3gg1gz6w
    @user-hu3gg1gz6w 5 месяцев назад

    Wowooo pambeeee jaman apo Kuna wadada wanataman wawashe taaa ahaaaaaa jaman Kaka romantic adi rha

  • @Winniequinepretty-wm7rr
    @Winniequinepretty-wm7rr Год назад +1

    Shukran I love it

  • @maryngati6997
    @maryngati6997 Год назад +1

    Mm ni hadijah kutoka Mombasa Kenya ila Kwa sasa nipo Saudi Arabia nawapongeza tu sana na nafurahisha na show yenu tu sana ila naomba Kwa heshima na taadhima je mm nipo mbali ila sina mpenzi je Ina wezekana mm kupata mwanaume

  • @slysengeny9944
    @slysengeny9944 Год назад +1

    Mashalla nawatakia kila laheri

  • @juliananaliaka1980
    @juliananaliaka1980 2 года назад +2

    Nimepanda sana iyo couple yaani naona kama hivi ingekuwa ni Mimi ,ila nawapmbea maisha marefu yenye furaha katika ndoa yao

  • @paschaeltilas9369
    @paschaeltilas9369 Год назад +1

    Dah mashaalah

  • @ciarmnyone738
    @ciarmnyone738 2 года назад +12

    Mwaka huuu muweke wakaka kuzima taa na kuwasha sisi wadada ndo tuchagueeee

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 2 года назад +2

    Jaman rahaaaaa❤️❤️❤️❤️
    Watu wameumbiwa mahabaaaaa💖💖💞💝💝💘🎄💯💋

  • @pauline0kwisa515
    @pauline0kwisa515 2 года назад +1

    God bless you guys

  • @user-cm9bc3su2x
    @user-cm9bc3su2x 7 месяцев назад

    Mashaallah mnapendezan zan

  • @zenabibie5033
    @zenabibie5033 2 года назад +1

    waaa 🙂very romantic

  • @walizanasiri4963
    @walizanasiri4963 Год назад +1

    😂😂😂😂Eti mpaka natetemeka laazizi

  • @shelomaday4633
    @shelomaday4633 2 года назад +1

    Hongeren Sana sana

  • @RamaNgadu
    @RamaNgadu Месяц назад

    Waoo kuna wanawake ni waelewa sana sio kwa kuwatizama huyo atakuwa mke bora kuliko unavyozania

  • @asiaasia1069
    @asiaasia1069 Год назад +4

    Zoezi liendelee mpaka sote tulikuwa hatuna wenza tupate 😂😂😂😂😂😂😂

    • @lemicmwangome-lh1jg
      @lemicmwangome-lh1jg Год назад +1

      Hahaha😂 naomba nikupate Mimi

    • @asiaasia1069
      @asiaasia1069 Год назад

      @@lemicmwangome-lh1jg🥱 lakini sawa 🥰🤣wasifu wako 😂

  • @cimpayeriziki6680
    @cimpayeriziki6680 3 месяца назад

    Basi Galabi wewe ndo mwisho wasinywe wenyewe nawe pia❤

  • @husseinali5535
    @husseinali5535 Год назад +2

    😂😂😂😂😂😂😂😂 so nice from UK

  • @mosesmalumbe6946
    @mosesmalumbe6946 2 года назад

    Mashallah bro

  • @darlingstonelopezy7194
    @darlingstonelopezy7194 11 месяцев назад

    Mm huku kwa mr right sijui nifike uko daaaaah

  • @honorascusmatembe2987
    @honorascusmatembe2987 Год назад +1

    Nawapongeza sana Hello Mr right kwa kipindi hiki munasaidia sana vijana

  • @ziyadabasca4840
    @ziyadabasca4840 2 года назад

    Kabisa wapo vizur

  • @tatungeni7588
    @tatungeni7588 Год назад

    Hongera ♥️💟

  • @KhamisKarisa-fw5bq
    @KhamisKarisa-fw5bq Год назад

    Nawapenda sana #🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @ndohoriomsacky445
    @ndohoriomsacky445 2 года назад +2

    Mda Kama hivi nimzuri Sana uwepo wakutosha huenda mwanaume akaja na zawadi nimependa mufanye namna hi kwa mda hata tano nakuendelea toeni mda tafadhali

  • @ahmaduun6523
    @ahmaduun6523 2 года назад +6

    i feel so happy to see how shafi & his cute baby martha enjoying their first romantic love with alot of joys & smiles i wish ningekuwa mimi shafi jamani

  • @ndohoriomsacky445
    @ndohoriomsacky445 2 года назад +1

    Kama hivi Sasa nimda mzuri tunapenda mda mrefu wakujielezea au na mengineyo

  • @johnphilipoaugustino6100
    @johnphilipoaugustino6100 Год назад +2

    Jamaa amtunze uyo dada inaonyesha yupo really

  • @jescaemmanuel100
    @jescaemmanuel100 2 года назад +4

    Perfect couple

  • @zawadkeneth1858
    @zawadkeneth1858 2 года назад +2

    Mwanaume mwongo Huyo nimetokea kumchukia yaan sijampenda kabisa

  • @mariammwinyikombo8557
    @mariammwinyikombo8557 2 года назад +5

    Love you Wallah

  • @AsumpterNjojo-rj3kg
    @AsumpterNjojo-rj3kg 5 месяцев назад

    Hata mwanamke kvaa vizuri...

  • @MrNaers
    @MrNaers 2 года назад +2

    Adi Diva amelia.. uwiii

  • @sunnahmickdady4305
    @sunnahmickdady4305 2 года назад +2

    Nyie misitakii kujiliza huku nampenda yule mbuzi wang yaan nampenda

  • @amahorofaridah519
    @amahorofaridah519 Год назад +1

    Sijuw nimuite nani huyu alovahivi 😂😂😂😂😂😂kajipanga jamn

  • @elysoncharo6156
    @elysoncharo6156 4 месяца назад

    The guy knew what he was doing men..like it so much

  • @zanaworld111
    @zanaworld111 Год назад +8

    Y’all tz make me happy this night 😅😅😅

    • @mwapwanimrisho1964
      @mwapwanimrisho1964 Год назад

      I love

    • @ginalizamalamso4451
      @ginalizamalamso4451 Год назад

      Mbona patamu hapo napendaga huyo mom kibonge anavyochekelea an😂😂😂

    • @user-gv3si2mv3l
      @user-gv3si2mv3l 11 месяцев назад

      Tz inashinda ya kenya

    • @boashamah3642
      @boashamah3642 11 месяцев назад

      Hapa na mimi nilipo Australia nataka shuka huko kutafuta Mrs Right ❤❤❤

  • @user-jb7cf4if1p
    @user-jb7cf4if1p 6 месяцев назад

    woooah jmn its soo cool💋💋

  • @annmauti7351
    @annmauti7351 Год назад +2

    Nahamia Tanzania sasa

  • @mariajoseph6240
    @mariajoseph6240 2 года назад

    Wow i wish to get a man ...Tomantic man

  • @sherryrocky3067
    @sherryrocky3067 Год назад +2

    Mbona pambee😂😂😂😂😂

  • @rukiyyarukiyya6317
    @rukiyyarukiyya6317 2 года назад +4

    Mashaa llaah kupendwaraha

  • @rebeccaamos9793
    @rebeccaamos9793 2 года назад +6

    Jamn na mm nataka kuja happy hebu mnpe process nmpateMR.right wng

  • @esthercharles5945
    @esthercharles5945 7 месяцев назад

    Nimependaaaaa

  • @charleshabibutz2358
    @charleshabibutz2358 2 года назад +1

    Kila LULU Diva unanitoa mate sana kiukweli Love YOU

    • @swaumdodoma7591
      @swaumdodoma7591 2 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Akutoe mate amekua 🍔

  • @aishashomali2716
    @aishashomali2716 Год назад +3

    Mathar kuwa makini bwana chachali 🤣🤣🤣🤣

  • @ibraahmfw1147
    @ibraahmfw1147 Год назад

    the girl is so cute...

  • @hassnakhamis3489
    @hassnakhamis3489 Год назад

    Si aji tokeze tu afande mmoja maan m ugonjwa wangu mapolisi ni saidieni bas niko siriez et 😢

  • @user-it3dc1mg5o
    @user-it3dc1mg5o 23 дня назад

    Nakupenda wewe kakaa jamaniii duuuu😭😭😭😭😭

  • @justinelaizer4252
    @justinelaizer4252 11 месяцев назад

    mimi nataka hiuo nyimbo tu😂

  • @KevinCheruiyot-bu8kp
    @KevinCheruiyot-bu8kp Год назад

    Masha Allah🎉

  • @ndayikezececile2762
    @ndayikezececile2762 2 года назад +4

    Weeeeew jaman kunawatu wanajua kupenda Ila me naona Aibu

    • @zuhuratychumu2420
      @zuhuratychumu2420 2 года назад

      Yaan we kama Mimi natamn kwenda Ila naona aibuu🤣

  • @khibowarsame897
    @khibowarsame897 Год назад

    Sheikh Ana mbwembwe