SIJAMPENDA KAJA NAFUNGUO KUMBE NI TRECTA | NILIJUA ANA GARI HAFANANII NA UKULIMA
HTML-код
- Опубликовано: 5 янв 2024
- ►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder Развлечения
mimi siwaelewi hawa watu mimi ni mpemba na mume wangu ni msingida na analima sisi tupo zanzibar na analima singida na maokoto alhamdulilah naishi ninavotaka mimi kwa mume wangu hawa watu hawana akili wapo kwenye pesa tu wengine wanawaangalia tu imani zenu wanapesa zao tu
Nikweli hata mim nimeolew zanziba lakin mie ni mtuy wa kondoa natunalima naishi kam mfalume wajinga san hawa ni malaya tuy
@@omanoman2044 wanakuja kujiuza wanajua atakuja mtoto wa baharesa na kwa hapo wajuwe tu watakuja hao hao wezangu na miye
Kwanza wanajua bei ya trekta
@@maryamj171 wajulie wap sis tunao lima ndo tunajuw milin 45 mpaka 50
@@maryamj171 wajinga wamekosa raha kumiliki hilo tu basi heshima
Mimi naomba kuchangia lkn uchangiaji wangu uko tofauti kidogo,hii program ni nzuri lkn nilikuwa naomba hao warembo na Mr right ningependa wakichanguana wasinyweshane vinywaji hapo ili hali hawajui hali zao za kiafya ,na wakiwa hapo kwenye hicho chumba uwepo utaratibu awepo anagala Nurse counselor na vipimo kabisa kama vya sd Bioline ya HIV, na kaswende kwani wakitoka hapo wasije wakakurupuka tuu naomba MC Garab ukipata chance nipigie nishauri zaidi kipindi ni kizuri nakipenda lkn kiboreshwe kidogo😊
Hii point,waliangalie hilo na waliweke kipaumbele Afya ni msingi sana..!
FACT
Ao la dada wawili Doct namwezake Nani Mike wak Garab mbona iyo baba Grb nimzuli kupitiliza napenda muno❤
🎉🎉
Baadhi wanawake wamekuja kupata wanaume lakini wengi ni kuja kupata advantages kupitia kusikia mapato ya mwanaume.je kwanini amjawataja wanawake watowe cv ya maisha yao?
😂😂😂😂hapo Kuna watu hata kazi ya kuingiza elfu3 kwa siku hawana
Hawa wana wake hawajuwi chenye walikuya tafuta utakuta huyo kaka nitajiri . Wakulima wanapesa nyiye
BRAVO MAN NICE ONE TREKTA LITAZAA RANG BENZ V8 UNAMSINGI WAMAISHA MKUBWA NDUGU MADADA WA KIBONGO WAMEKUA KAMA WA KIKENYA WANAPENDA DOOO YANI PESA TU 😂😂😂
huyu c mzee malangalila wa kwenye muvi ya FAMILIA YA KICHECHE😊
Mwenyewe nahisi
Huyo Eliza anaudhi Sana, future matters tunza Cha Leo kwa manufaa ya kesho
Uyo ndo mwanaume sasa kajitahidi kuwa tofauti
Daa lulu d napendi sana❤
Yaani fikilieni trecta inanunuliwa beigani
Upumbavu ni mwingi mno sasa mko hapo kujiuza au kupata mwanaume wa maisha
Ivi Hawa wanawake wanajua thaman ya trekta au...
hawajui hat kidogo na wanachukulia kitu cha kawaida wakt kuna watu wanakodisha kwa ajili ya kulimiwa,sembuse yeye ana miliki
Na ilivyo na bei sasa
Huyu jamaa mwamba sana ....watu hawaelewi bei za trekta
Hawajielew saana hawa wadada 🚜 75 mln zile zakulialia ndio 45 au 35
Kwahiyo angekuja na range ya 48 million siwangewasha taa zote sema hawajuw utajiri hujaje na upoje
😂😂😂 wanawak wanadhan kuwa na crown au harrier utajil
Wakulima ndio wenye ela haswa swala, shida awa wanawake wa mjini tamaa sana. Imagine wanataka mwanaume mwenye ela ila wao wenyewe wabaya na wengine ata kuoga apo awajaoga vizuri. Mwanamke mwenye akili zake ni mpole, mstaarabu, busara, hekima na mwenye maono. Hao hapo ni sufuri na awana maisha.
Umeongea fact sana yaan hawajui shamba kuna ela balaa me ni mwanamke ila huyu kaka ni bonge la bilionea sema wadada hao wanapenda walamba lips mfyuu hao wadada watachukuliwa hapo na watachezewa hakuna ndoa tamaa zimewajaa
kabisaaaa nduguu yaaani awo wanatka mwanaum wenye ela lkn maish hayp iv bor muanzee wote chin lkn mmj
Ww mwanaume njoo kwangu nimekupenda bure
mbna amefanana na beb wang😂
Ahahahaha
😂😂😂😂😂😂😂
muangalie vizuri asiwe ni yeye wakamkwapua😂😂😂😂😂
Kwanza mtu sahihi hu🎉wa hapatikani kwa kutazamwa kama unachagu nyanya sokoni
Pole sana
Ila content zinanifurahishaa kinomaa
Kweli watu hawajielewi, ivi unajua gharama la trector wewe, afu wanawake acheni fikra finyu inabidi na wewe ukajiongeze ukaongeze kitu siyo kwenda kuwa goli kipa tuu
Kumbe akili hawana wangekua wanasoma hata comment wakapata hata viakili loh😢
Kweli dear umeongea nawaona
Yani wadada wahapo wengi wao hawana akili😂
Jamani Vicky Kulekana yupo? Nampenda sana, niunganisheni nae
Huyu mbn n chief kwenye movie ya familia ya mzee kcheche
Ila nyieeee mbavu sna uyo kaka ety natembelea trecta 😂😂😂
Dah nimecheka sana aisee
😂😂😂Hawa wadada hawajui bei ya trekta
Hawa wanawake wanaangalia pesa na wengine hata kazi hana na hata akiambiwa awekelee ama ataje pesa zenye ako nazo hawana kitu ni mdomo tu hapo
ungepewa nafasi ya kuwashauri ungewashauli nini hasa?
Kaka unachanguwa vibaya mpaka unatikisa kichwa Yani huyu hapana😂😂😂
Atakuwa amedanganya😁😁😁 aone mke bora
Hello Mr Right kipindi ni kizuri ila mapungufu ni mengi mno mno,watu hawako serious utoto mwingi
Pia wanaokuja hpo umri bado mdg ivyo utoto bado mwingi ivyo hiyo Mr Right iwe kuanzia miaka 30 na kuendelea sabbu age ni muhimu
Sabbu hpa watu wanatafuta wenza wa maisha
Nataman niwashauri zaidi ili kusaidia watu
Uyo zarich ata subiri sana ana tamaa Sana
Naomba nionganishwe na huyu mkulima ninashida
😂😂😂
Kuna watu watazeekea hapo kwenye podium 😂😂😂, hv mtu mwenye tractor na gari wapi na wapi mbona yupo mbali sana, sema nini huyo jamaa anapima watu akili atakua ni mfanyabiashara pia analima kwahio hataki kuji expose hapo, huyo hata gest anaandika kwenye kazi mkulima lkn uhalisia sio. Mabinti wamekamatwa leo hawajui waanzie wapi.. ningependa na mabinti tujue wana miliki nini maana tuzingatie essence ya haki sawa😂😂
Sure watu kama huyo jamaa wengi wao mamastermind aaf wanae kibunda hapo watoto washapotea
Wanajua kweli bei ya trekta maana trekta ya bei rahisi mpya 62m
Hv hiii show team viewers huwa wanashiriki vp 😂😂😂
Ni ngumu sana kueleweka mkulima mbele ya wadada wanaotaka kutembea kwenye barabara nyeusi nakushi mjin wakizan maisha ndo yapo huko,kunahaja ya kubadilika sana lait watu wangejuwa kilimo au ufugaji ndo habari ya mjini
Hawa wanawake wanapenda mtu mwenye pesa so niumalaya tu hapo
Million 12 had 15 trekta siyo rahis
This girls are gold diggers ni bora wakae tu kwa wahaya tujue wanadanga hawatafuti right man ni greedy tu
Wanaume wenye vipara hawana nywele baaasi😂lakini hatuna tofauti
Huyu mdada atazeekea hapohapo na rangi yake ya makopo
Kawanyoosha wadangaji 😂😂😂
Kwa wanawake wa mjn lazma wamtupe ao awapend matreka uyo katupwa
Nawakubali sana
Huyo kaka anatafuta mke mwema anawapima kiwango Cha Iman usikute n tajir mzur tu na anagar mzur tu SEMA atapataje mke mwema bila kumdanganya?
Nyie wote n Malaya tu Kama Malaya wengine
Huyo bro ni tajiri sana ana magari mazuri tu mengine, nikiwa natoka dar kwenda iringa nilipanda gari yake aina ya BMW mpya kabisa. Alitaka kupata mke sahihi na sio mke tu. Kwani mraani hakutani nao, wanawake wanapimwa utashi wa akili
Wa kwanza jamn nipen Zang like
Kwanza mimi hata niwe millionaire gari sinunui, gari nitazionea kwa wanangu, vile napenda bus au bajaji
Hahaha
dah hatareeeeeeee sana
Uyu zalish siijui zalisha mbona hana hekima kabisa mdomon mwake
Maninaaaa😂
yaaani awo madadaaa wapo kibiasharaaa kabisaaa bwanaa aaah wanabowaa mno.bwanaaaa kaa nimechukia
Eti utaita maji mma😂😂
Hawa wadada hawako serious kabisa!
Chifu malangalila nakuona
Utaija maji.... Mma.. Mmma😂😅😂
Gara B na Aliya kuna kitu ndani yenuu maana skuizi mavazi yanaendanaa😂😂
Nawew umeiona eee
Mmh! Wee hutaki kuolewa katfte wa kwako sas
chv inakuaga kweli au ni kipndtu syelew yn 😮
Trekta lina thamani kuliko hata gari
Masikini🙄Hawajuwi nini wanataka😂
hao wanawake wote waliopo apo wote wanatafuta wanaume mwenye pesa na sio mapenzi
Kwani hum wadad mbon kipaumbele chao ni pesa tuseme wenyew wanapesa?
31?
Ila eliza wat wanampend kw iyo rangi km y kiarabu lkn hana uzur wwt
Kuna vile wanaibisha wallah hizo sifa mnazo zitaka nyie mnazo
Eliza Eliza Eliza
𝗪𝗮𝗻𝗮𝗿𝗶𝗻𝗴𝗮 𝘀𝗮𝗻𝗮 𝘄𝗮𝗱𝗮𝗱𝗮😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hiv mnajua bei ya trecta
Bei ya trector cio poa unaweza kufa sio bei ya halion
jaji vvi punguza zarau
Yani nyie mnajiita warembo na huku mnachagua lazi singekaa huko mitaanitafutwe mbona mmekuja kujinadi kama kuku za ilala au ng'ombe mnadani pelekeni sura mgum huko
wanawake wengi hivi karibuni na kuendeleaaa mbeleni huko tutakuwa tuna wakula afu tunawaachaaaaa,, akili zao zipo kwenye magari tuuuu. shenzi kabisaaaaa
😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅daaah
Siyo wote baadhi yao waso jitambuw hawajui matrekta ndo yana utajir wajinga san haw
😂😂😂😂😂 daaah
garab anaona kabisa hapa hamna mke
kuna watu wana magari na ni kukodisha washamba wanapagawa na magari
Kwani Trecta sio Gari? Akina dada Acheni ushamba, badala ya kuwaza maendeleo! Nyie mnawaza ujinga
Lulu jamani
Hao wanawake muwe mnawapa elim mbona wanatupa wakati mgum kuwaona hapo tunawahisi kama ma slay queen flan……ebu wapeni elim mwishoe tunawaona kama awapo serious or kama wapo na interest na mambo mengine am sorry to say this……kuna vichembe vya ukahaba na sio mume wa kufanya maisha…….Mc kaka mkubwa na dada’s toeni elim kwa hao wanawake hapo
Apo wanataka wanaume au wanakuja kujichoresha hapo
Wewe mwanamke unajua vizur bei ya trakta??
Nataka kuhudhulia one day
Wadada tunaangaliaa vitu na sio utu
Ao wanawake hawajielewi
Wakulima wana pesa
😅😅😂😂😂😂
Ivi hiki kipind faida yake nn
Watoto wa mjini hawo. Hawatafutwi na tractor
Huyu anachagua saaaana
Kuchagua saana ndio nini yaani katika wtu 12 anachagua sana? Angekuwa anachgua San asingemwona katika watu 12 hachagui sna bali anachgua kwaumakini
Ivi vidada avijielewi tu
Yaani wasichana hao ni majinga yote
Uyo nimwanaume wa maana hawa wanawake hawajielewi