SIJAMPENDA KAJA NAFUNGUO KUMBE NI TRECTA | NILIJUA ANA GARI HAFANANII NA UKULIMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 янв 2024
  • ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 137

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 6 месяцев назад +45

    mimi siwaelewi hawa watu mimi ni mpemba na mume wangu ni msingida na analima sisi tupo zanzibar na analima singida na maokoto alhamdulilah naishi ninavotaka mimi kwa mume wangu hawa watu hawana akili wapo kwenye pesa tu wengine wanawaangalia tu imani zenu wanapesa zao tu

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 6 месяцев назад +3

      Nikweli hata mim nimeolew zanziba lakin mie ni mtuy wa kondoa natunalima naishi kam mfalume wajinga san hawa ni malaya tuy

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 6 месяцев назад

      @@omanoman2044 wanakuja kujiuza wanajua atakuja mtoto wa baharesa na kwa hapo wajuwe tu watakuja hao hao wezangu na miye

    • @maryamj171
      @maryamj171 6 месяцев назад

      Kwanza wanajua bei ya trekta

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 6 месяцев назад +2

      @@maryamj171 wajulie wap sis tunao lima ndo tunajuw milin 45 mpaka 50

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 6 месяцев назад

      @@maryamj171 wajinga wamekosa raha kumiliki hilo tu basi heshima

  • @felisterjohn493
    @felisterjohn493 5 месяцев назад +28

    Mimi naomba kuchangia lkn uchangiaji wangu uko tofauti kidogo,hii program ni nzuri lkn nilikuwa naomba hao warembo na Mr right ningependa wakichanguana wasinyweshane vinywaji hapo ili hali hawajui hali zao za kiafya ,na wakiwa hapo kwenye hicho chumba uwepo utaratibu awepo anagala Nurse counselor na vipimo kabisa kama vya sd Bioline ya HIV, na kaswende kwani wakitoka hapo wasije wakakurupuka tuu naomba MC Garab ukipata chance nipigie nishauri zaidi kipindi ni kizuri nakipenda lkn kiboreshwe kidogo😊

    • @ellianoah1416
      @ellianoah1416 5 месяцев назад +2

      Hii point,waliangalie hilo na waliweke kipaumbele Afya ni msingi sana..!

    • @user-oo5ev5di5x
      @user-oo5ev5di5x 5 месяцев назад +1

      FACT

    • @cimpayeriziki6680
      @cimpayeriziki6680 4 месяца назад

      Ao la dada wawili Doct namwezake Nani Mike wak Garab mbona iyo baba Grb nimzuli kupitiliza napenda muno❤

    • @user-kr2yk6gn4q
      @user-kr2yk6gn4q 3 месяца назад

      🎉🎉

  • @gastondofra9151
    @gastondofra9151 6 месяцев назад +14

    Baadhi wanawake wamekuja kupata wanaume lakini wengi ni kuja kupata advantages kupitia kusikia mapato ya mwanaume.je kwanini amjawataja wanawake watowe cv ya maisha yao?

    • @deogratiusyudatadei5658
      @deogratiusyudatadei5658 6 месяцев назад +1

      😂😂😂😂hapo Kuna watu hata kazi ya kuingiza elfu3 kwa siku hawana

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel 6 месяцев назад +8

    Hawa wana wake hawajuwi chenye walikuya tafuta utakuta huyo kaka nitajiri . Wakulima wanapesa nyiye

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 6 месяцев назад +3

    BRAVO MAN NICE ONE TREKTA LITAZAA RANG BENZ V8 UNAMSINGI WAMAISHA MKUBWA NDUGU MADADA WA KIBONGO WAMEKUA KAMA WA KIKENYA WANAPENDA DOOO YANI PESA TU 😂😂😂

  • @julianmsele3880
    @julianmsele3880 4 месяца назад +2

    huyu c mzee malangalila wa kwenye muvi ya FAMILIA YA KICHECHE😊

  • @kasanaipash9445
    @kasanaipash9445 3 месяца назад +1

    Huyo Eliza anaudhi Sana, future matters tunza Cha Leo kwa manufaa ya kesho

  • @Geraldmbesere-fn2de
    @Geraldmbesere-fn2de 6 месяцев назад +5

    Uyo ndo mwanaume sasa kajitahidi kuwa tofauti

  • @susankahindi244
    @susankahindi244 5 месяцев назад +2

    Daa lulu d napendi sana❤

  • @bahatiiddibahatiiddi-be5nj
    @bahatiiddibahatiiddi-be5nj 6 месяцев назад +3

    Yaani fikilieni trecta inanunuliwa beigani

  • @christineneema3008
    @christineneema3008 6 месяцев назад +3

    Upumbavu ni mwingi mno sasa mko hapo kujiuza au kupata mwanaume wa maisha

  • @renevictor3879
    @renevictor3879 6 месяцев назад +9

    Ivi Hawa wanawake wanajua thaman ya trekta au...

    • @user-in4hr1ev3u
      @user-in4hr1ev3u 3 месяца назад +1

      hawajui hat kidogo na wanachukulia kitu cha kawaida wakt kuna watu wanakodisha kwa ajili ya kulimiwa,sembuse yeye ana miliki

    • @norahmosha854
      @norahmosha854 2 месяца назад

      Na ilivyo na bei sasa

  • @mikalwila9342
    @mikalwila9342 5 месяцев назад +1

    Huyu jamaa mwamba sana ....watu hawaelewi bei za trekta

  • @onlinemateustv1925
    @onlinemateustv1925 6 месяцев назад +3

    Hawajielew saana hawa wadada 🚜 75 mln zile zakulialia ndio 45 au 35
    Kwahiyo angekuja na range ya 48 million siwangewasha taa zote sema hawajuw utajiri hujaje na upoje

    • @faidhamyovela179
      @faidhamyovela179 5 месяцев назад

      😂😂😂 wanawak wanadhan kuwa na crown au harrier utajil

  • @mkulimatanzania
    @mkulimatanzania 6 месяцев назад +4

    Wakulima ndio wenye ela haswa swala, shida awa wanawake wa mjini tamaa sana. Imagine wanataka mwanaume mwenye ela ila wao wenyewe wabaya na wengine ata kuoga apo awajaoga vizuri. Mwanamke mwenye akili zake ni mpole, mstaarabu, busara, hekima na mwenye maono. Hao hapo ni sufuri na awana maisha.

    • @hadiadaoman1981
      @hadiadaoman1981 5 месяцев назад +2

      Umeongea fact sana yaan hawajui shamba kuna ela balaa me ni mwanamke ila huyu kaka ni bonge la bilionea sema wadada hao wanapenda walamba lips mfyuu hao wadada watachukuliwa hapo na watachezewa hakuna ndoa tamaa zimewajaa

    • @CelinCelineort
      @CelinCelineort 5 месяцев назад +1

      kabisaaaa nduguu yaaani awo wanatka mwanaum wenye ela lkn maish hayp iv bor muanzee wote chin lkn mmj

  • @user-ty6tp6tz1s
    @user-ty6tp6tz1s 5 месяцев назад +2

    Ww mwanaume njoo kwangu nimekupenda bure

  • @miriammkambe4267
    @miriammkambe4267 6 месяцев назад +5

    mbna amefanana na beb wang😂

    • @roseafrael75
      @roseafrael75 6 месяцев назад +1

      Ahahahaha

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 5 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @beatricemtui8271
      @beatricemtui8271 4 месяца назад

      muangalie vizuri asiwe ni yeye wakamkwapua😂😂😂😂😂

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 6 месяцев назад +3

    Kwanza mtu sahihi hu🎉wa hapatikani kwa kutazamwa kama unachagu nyanya sokoni

  • @user-zt7ge6fq9y
    @user-zt7ge6fq9y 6 месяцев назад +1

    Pole sana

  • @youngdyk6973
    @youngdyk6973 6 месяцев назад +3

    Ila content zinanifurahishaa kinomaa

  • @eufrasiamtundu1806
    @eufrasiamtundu1806 6 месяцев назад +3

    Kweli watu hawajielewi, ivi unajua gharama la trector wewe, afu wanawake acheni fikra finyu inabidi na wewe ukajiongeze ukaongeze kitu siyo kwenda kuwa goli kipa tuu

  • @HappyNjewa
    @HappyNjewa 6 месяцев назад +4

    Kumbe akili hawana wangekua wanasoma hata comment wakapata hata viakili loh😢

  • @user-rw1cq5ky2y
    @user-rw1cq5ky2y 3 месяца назад +1

    Yani wadada wahapo wengi wao hawana akili😂

  • @Dick-M_Kisy
    @Dick-M_Kisy 6 месяцев назад +1

    Jamani Vicky Kulekana yupo? Nampenda sana, niunganisheni nae

  • @daudimdete8671
    @daudimdete8671 10 дней назад

    Huyu mbn n chief kwenye movie ya familia ya mzee kcheche

  • @catherinecharlz2814
    @catherinecharlz2814 5 месяцев назад +1

    Ila nyieeee mbavu sna uyo kaka ety natembelea trecta 😂😂😂

  • @hassanabdul7141
    @hassanabdul7141 6 месяцев назад +1

    Dah nimecheka sana aisee

  • @ahmedhamis
    @ahmedhamis 3 месяца назад

    😂😂😂Hawa wadada hawajui bei ya trekta

  • @roxana309
    @roxana309 6 месяцев назад +3

    Hawa wanawake wanaangalia pesa na wengine hata kazi hana na hata akiambiwa awekelee ama ataje pesa zenye ako nazo hawana kitu ni mdomo tu hapo

    • @juniarjr-ed9ke
      @juniarjr-ed9ke 6 месяцев назад +1

      ungepewa nafasi ya kuwashauri ungewashauli nini hasa?

  • @user-db1uy6hv9q
    @user-db1uy6hv9q 6 месяцев назад

    Kaka unachanguwa vibaya mpaka unatikisa kichwa Yani huyu hapana😂😂😂

  • @magreciousthomas3527
    @magreciousthomas3527 5 месяцев назад +1

    Atakuwa amedanganya😁😁😁 aone mke bora

  • @user-dz1xm4iv6y
    @user-dz1xm4iv6y 2 месяца назад

    Hello Mr Right kipindi ni kizuri ila mapungufu ni mengi mno mno,watu hawako serious utoto mwingi
    Pia wanaokuja hpo umri bado mdg ivyo utoto bado mwingi ivyo hiyo Mr Right iwe kuanzia miaka 30 na kuendelea sabbu age ni muhimu
    Sabbu hpa watu wanatafuta wenza wa maisha
    Nataman niwashauri zaidi ili kusaidia watu

  • @katolekiki368
    @katolekiki368 6 месяцев назад +1

    Uyo zarich ata subiri sana ana tamaa Sana

  • @evaakyoo3009
    @evaakyoo3009 5 месяцев назад +1

    Naomba nionganishwe na huyu mkulima ninashida

  • @KiongoziMwandamizi
    @KiongoziMwandamizi 6 месяцев назад +1

    Kuna watu watazeekea hapo kwenye podium 😂😂😂, hv mtu mwenye tractor na gari wapi na wapi mbona yupo mbali sana, sema nini huyo jamaa anapima watu akili atakua ni mfanyabiashara pia analima kwahio hataki kuji expose hapo, huyo hata gest anaandika kwenye kazi mkulima lkn uhalisia sio. Mabinti wamekamatwa leo hawajui waanzie wapi.. ningependa na mabinti tujue wana miliki nini maana tuzingatie essence ya haki sawa😂😂

    • @TengaJ
      @TengaJ 5 месяцев назад

      Sure watu kama huyo jamaa wengi wao mamastermind aaf wanae kibunda hapo watoto washapotea

  • @deogratiusyudatadei5658
    @deogratiusyudatadei5658 6 месяцев назад +1

    Wanajua kweli bei ya trekta maana trekta ya bei rahisi mpya 62m

  • @khido_tz
    @khido_tz 6 месяцев назад +1

    Hv hiii show team viewers huwa wanashiriki vp 😂😂😂

  • @selestinmndeme2982
    @selestinmndeme2982 6 месяцев назад

    Ni ngumu sana kueleweka mkulima mbele ya wadada wanaotaka kutembea kwenye barabara nyeusi nakushi mjin wakizan maisha ndo yapo huko,kunahaja ya kubadilika sana lait watu wangejuwa kilimo au ufugaji ndo habari ya mjini

  • @SefuHabibu-sn8cx
    @SefuHabibu-sn8cx 5 месяцев назад +1

    Hawa wanawake wanapenda mtu mwenye pesa so niumalaya tu hapo

  • @user-yd5ux6is7y
    @user-yd5ux6is7y 6 месяцев назад +1

    Million 12 had 15 trekta siyo rahis

  • @chamypash5731
    @chamypash5731 5 месяцев назад +1

    This girls are gold diggers ni bora wakae tu kwa wahaya tujue wanadanga hawatafuti right man ni greedy tu

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr 5 месяцев назад

    Wanaume wenye vipara hawana nywele baaasi😂lakini hatuna tofauti

  • @DaddySBuda-dp6nq
    @DaddySBuda-dp6nq 2 месяца назад

    Huyu mdada atazeekea hapohapo na rangi yake ya makopo

  • @gracepaulo704
    @gracepaulo704 4 месяца назад

    Kawanyoosha wadangaji 😂😂😂

  • @user-go4ec5ex4m
    @user-go4ec5ex4m 3 месяца назад

    Kwa wanawake wa mjn lazma wamtupe ao awapend matreka uyo katupwa

  • @user-pc4ri3vi6b
    @user-pc4ri3vi6b 6 месяцев назад

    Nawakubali sana

    • @PaulinaSemindu-ob3de
      @PaulinaSemindu-ob3de 5 месяцев назад

      Huyo kaka anatafuta mke mwema anawapima kiwango Cha Iman usikute n tajir mzur tu na anagar mzur tu SEMA atapataje mke mwema bila kumdanganya?

  • @festopetro2702
    @festopetro2702 6 месяцев назад +1

    Nyie wote n Malaya tu Kama Malaya wengine

  • @timothmwakakusyu4563
    @timothmwakakusyu4563 5 месяцев назад

    Huyo bro ni tajiri sana ana magari mazuri tu mengine, nikiwa natoka dar kwenda iringa nilipanda gari yake aina ya BMW mpya kabisa. Alitaka kupata mke sahihi na sio mke tu. Kwani mraani hakutani nao, wanawake wanapimwa utashi wa akili

  • @JamesEmanuely
    @JamesEmanuely 6 месяцев назад +2

    Wa kwanza jamn nipen Zang like

  • @Ann-Strong
    @Ann-Strong 6 месяцев назад +3

    Kwanza mimi hata niwe millionaire gari sinunui, gari nitazionea kwa wanangu, vile napenda bus au bajaji

  • @juniarjr-ed9ke
    @juniarjr-ed9ke 6 месяцев назад

    dah hatareeeeeeee sana

  • @salummakenzi4846
    @salummakenzi4846 6 месяцев назад

    Uyu zalish siijui zalisha mbona hana hekima kabisa mdomon mwake

  • @gaalunangay9500
    @gaalunangay9500 6 месяцев назад

    Maninaaaa😂

  • @CelinCelineort
    @CelinCelineort 5 месяцев назад

    yaaani awo madadaaa wapo kibiasharaaa kabisaaa bwanaa aaah wanabowaa mno.bwanaaaa kaa nimechukia

  • @francismngumi5125
    @francismngumi5125 6 месяцев назад

    Eti utaita maji mma😂😂

  • @chakoboy5430
    @chakoboy5430 5 месяцев назад

    Hawa wadada hawako serious kabisa!

  • @FarajaWihagile
    @FarajaWihagile Месяц назад

    Chifu malangalila nakuona

  • @benkare7194
    @benkare7194 5 месяцев назад

    Utaija maji.... Mma.. Mmma😂😅😂

  • @OmanOman-bm1lr
    @OmanOman-bm1lr 6 месяцев назад

    Gara B na Aliya kuna kitu ndani yenuu maana skuizi mavazi yanaendanaa😂😂

  • @JamesEmanuely
    @JamesEmanuely 6 месяцев назад

    Mmh! Wee hutaki kuolewa katfte wa kwako sas

  • @user-co7vk9cl8z
    @user-co7vk9cl8z 4 месяца назад

    chv inakuaga kweli au ni kipndtu syelew yn 😮

  • @NetNuggets60
    @NetNuggets60 11 дней назад

    Trekta lina thamani kuliko hata gari

  • @edinalihedule7609
    @edinalihedule7609 5 месяцев назад

    Masikini🙄Hawajuwi nini wanataka😂

  • @tomsijohni
    @tomsijohni 6 месяцев назад

    hao wanawake wote waliopo apo wote wanatafuta wanaume mwenye pesa na sio mapenzi

  • @joycesamwely7896
    @joycesamwely7896 3 месяца назад

    Kwani hum wadad mbon kipaumbele chao ni pesa tuseme wenyew wanapesa?

  • @bongoupdatestv9322
    @bongoupdatestv9322 6 месяцев назад

    31?

  • @khamoshmikidadi618
    @khamoshmikidadi618 6 месяцев назад

    Ila eliza wat wanampend kw iyo rangi km y kiarabu lkn hana uzur wwt

  • @Kondoa805
    @Kondoa805 3 месяца назад

    Kuna vile wanaibisha wallah hizo sifa mnazo zitaka nyie mnazo

  • @RoseNyasa-zi3fr
    @RoseNyasa-zi3fr 17 дней назад

    Eliza Eliza Eliza

  • @Zuuh4286
    @Zuuh4286 6 месяцев назад

    𝗪𝗮𝗻𝗮𝗿𝗶𝗻𝗴𝗮 𝘀𝗮𝗻𝗮 𝘄𝗮𝗱𝗮𝗱𝗮😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Entertainmen_tv2024
    @Entertainmen_tv2024 6 месяцев назад

    Hiv mnajua bei ya trecta

  • @izzahboe1442
    @izzahboe1442 5 месяцев назад

    Bei ya trector cio poa unaweza kufa sio bei ya halion

  • @CollethaSalma
    @CollethaSalma 3 месяца назад

    jaji vvi punguza zarau

  • @user-xz9zg2yk6m
    @user-xz9zg2yk6m 5 месяцев назад

    Yani nyie mnajiita warembo na huku mnachagua lazi singekaa huko mitaanitafutwe mbona mmekuja kujinadi kama kuku za ilala au ng'ombe mnadani pelekeni sura mgum huko

  • @musicheals1545
    @musicheals1545 6 месяцев назад +5

    wanawake wengi hivi karibuni na kuendeleaaa mbeleni huko tutakuwa tuna wakula afu tunawaachaaaaa,, akili zao zipo kwenye magari tuuuu. shenzi kabisaaaaa

    • @ashazuber6548
      @ashazuber6548 6 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅daaah

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 6 месяцев назад

      Siyo wote baadhi yao waso jitambuw hawajui matrekta ndo yana utajir wajinga san haw

    • @charlesnyagabona1729
      @charlesnyagabona1729 5 месяцев назад

      😂😂😂😂😂 daaah

  • @tausimohammedy
    @tausimohammedy 6 месяцев назад

    garab anaona kabisa hapa hamna mke

  • @DaddySBuda-dp6nq
    @DaddySBuda-dp6nq 2 месяца назад

    kuna watu wana magari na ni kukodisha washamba wanapagawa na magari

  • @Dick-M_Kisy
    @Dick-M_Kisy 6 месяцев назад

    Kwani Trecta sio Gari? Akina dada Acheni ushamba, badala ya kuwaza maendeleo! Nyie mnawaza ujinga

  • @Ramadanpogba-gd5si
    @Ramadanpogba-gd5si 4 месяца назад

    Lulu jamani

  • @alecheconradninje6183
    @alecheconradninje6183 6 месяцев назад

    Hao wanawake muwe mnawapa elim mbona wanatupa wakati mgum kuwaona hapo tunawahisi kama ma slay queen flan……ebu wapeni elim mwishoe tunawaona kama awapo serious or kama wapo na interest na mambo mengine am sorry to say this……kuna vichembe vya ukahaba na sio mume wa kufanya maisha…….Mc kaka mkubwa na dada’s toeni elim kwa hao wanawake hapo

  • @bebebebe5677
    @bebebebe5677 6 месяцев назад

    Apo wanataka wanaume au wanakuja kujichoresha hapo

  • @user-qz5yh1dl1n
    @user-qz5yh1dl1n 6 месяцев назад

    Wewe mwanamke unajua vizur bei ya trakta??

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 6 месяцев назад

    Nataka kuhudhulia one day

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 5 месяцев назад

    Wadada tunaangaliaa vitu na sio utu

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 6 месяцев назад

    Ao wanawake hawajielewi

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr 5 месяцев назад

    Wakulima wana pesa

  • @everyenefrancis3327
    @everyenefrancis3327 8 дней назад

    😅😅😂😂😂😂

  • @FastpayMauzo
    @FastpayMauzo 5 месяцев назад

    Ivi hiki kipind faida yake nn

  • @offset-yu2pg
    @offset-yu2pg 6 месяцев назад

    Watoto wa mjini hawo. Hawatafutwi na tractor

  • @saumuminja6929
    @saumuminja6929 6 месяцев назад

    Huyu anachagua saaaana

    • @onlinemateustv1925
      @onlinemateustv1925 6 месяцев назад

      Kuchagua saana ndio nini yaani katika wtu 12 anachagua sana? Angekuwa anachgua San asingemwona katika watu 12 hachagui sna bali anachgua kwaumakini

  • @sistertrashid2488
    @sistertrashid2488 5 месяцев назад

    Ivi vidada avijielewi tu

  • @ashurakodd1589
    @ashurakodd1589 6 месяцев назад

    Yaani wasichana hao ni majinga yote

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 6 месяцев назад

    Uyo nimwanaume wa maana hawa wanawake hawajielewi