ELIZA AMWAGA MACHOZI | NIMEKAA SANA HAPA | SIPATI MPENZI | HUYU SIMTAKI | HELLO MR RIGHT

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 мар 2024
  • ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 580

  • @samehewaliokukoseya2605
    @samehewaliokukoseya2605 3 месяца назад +254

    Anaye muchoka Eliza kama mimi apa like apa twende kazi

    • @user-wv9jm9fb8y
      @user-wv9jm9fb8y 3 месяца назад +5

      Mm apa

    • @RayyanRayyan-rt9cg
      @RayyanRayyan-rt9cg 3 месяца назад +5

      Uyo dada anatafuta umaharufu tu hapo

    • @samehewaliokukoseya2605
      @samehewaliokukoseya2605 3 месяца назад +4

      @@RayyanRayyan-rt9cg tumemuchoka kwakweli 😪

    • @Khadijasalumu06
      @Khadijasalumu06 3 месяца назад +3

      Simpendi

    • @user-rf8oq1jd6u
      @user-rf8oq1jd6u 3 месяца назад +3

      Huyu Eliza mtoeni hayuko serious anabagua sana sasa hana hisia amekuja fanya nini hapo 🤣😂🤣🤣🤣siaende ajitibu mwanzo nafatilia nkiwa Dubai

  • @faizhassan8423
    @faizhassan8423 3 месяца назад +60

    Eliza sio mke bora, alafu mnafiki saaaana kisha mbinafsi, huyo mwanamke ni Mtihani kwa kweli.

  • @jacobmelody
    @jacobmelody 3 месяца назад +18

    Eliza she's so Dramatic 🫴🏾😐

  • @popoyo2474
    @popoyo2474 3 месяца назад +10

    It’s Aaliyah’s facial expressions after Eliza started crying💔😂

  • @aminanuranassor660
    @aminanuranassor660 3 месяца назад +33

    Anajiona keki Sena kwenye maisha ACHA kujivun San utapa mume ukiwa mwenye hekim naheshim na umstarabu kuwa mpole ACHA ujuwaj Kila mwanaume anamapunguf yake chamuhimu kubalian na namapungufu yake utadumu kwenye. Ndoa kuwa mvumilivu.hakuna mwanadamu anaye kosa mapungufu kwenye hii Dunia My daer usisahau ku Muoomb Mungu kwayote Kila jambo Lina mwisho wake 😢😢 like you Elizabeth ❤

    • @ZitoJose-cl3pt
      @ZitoJose-cl3pt 3 месяца назад +1

      Wewe mimi niko moçambique huku naona huna akili wewe ebu tujuane zaidi

    • @kitemerosanga109
      @kitemerosanga109 3 месяца назад

      Yani Eliza atasugua sana hapo kwa tabia tabia zake hakuna mwanaume atakae mchukua Mimi mwenyewe natamani atoke hapo

    • @gilibertmligo9175
      @gilibertmligo9175 3 месяца назад

      Umejua kabisa.

    • @habi78121
      @habi78121 3 месяца назад

      😂

    • @abiaslimadyanse1842
      @abiaslimadyanse1842 3 месяца назад

      We Dada Akili sana I salute you 🫡

  • @SalmaKenyatta
    @SalmaKenyatta 3 месяца назад +13

    Diva umependeza dada hlo
    Vazi usiliache inshaallah mungu akupe subira hyoyo

  • @bossykalewa
    @bossykalewa 3 месяца назад +38

    Huyo eliza kwan hawez toka hapooo wakuuu...

  • @fatmahaji7661
    @fatmahaji7661 3 месяца назад +13

    Eliza muongooo kajiwashia taa tu😂😂😂😂...huyu kaka c vitu vyake😅

  • @RobertChacha-hb9re
    @RobertChacha-hb9re 3 месяца назад +9

    Idis like eliza unakera kwa kweli kuna wanaume nje ya mr right show waache wenye nia wakae hapo wewe toka

  • @jovinathasavoie8018
    @jovinathasavoie8018 3 месяца назад +10

    This Aliza my God,all day wahaya hachana na sisi kaa.Jealousy ya maisha,wahaya for life we do better .watching from 🇺🇸

    • @dianerditto
      @dianerditto 3 месяца назад +1

      😂😂😂kwani usingetuambia from us ungechubuka we muhaya

    • @jovinathasavoie8018
      @jovinathasavoie8018 3 месяца назад +1

      @@dianerditto ,Ndo zakwetu wahaya ndo maana
      Eliza anatumind,but who cares.

  • @gamaybady919
    @gamaybady919 3 месяца назад +4

    Kwakweli eliza anaboa anaaribu vipindi na kuhusu tatizo lake alishawishi jamani eliza muongooooooooo tena sana

  • @LeonardGeorge-jj4bu
    @LeonardGeorge-jj4bu 3 месяца назад +3

    Namba za Mr right platform plz naja kumchukua Eliza

  • @onesmotendega5304
    @onesmotendega5304 3 месяца назад +1

    Yaani mavazi yenu kipindi hichi mmependeza saana..mngekuwaga mnavaa hivi cku zote wapendwa wng❤❤❤❤❤.

  • @happymrema7487
    @happymrema7487 3 месяца назад +15

    Kwa huo mdom utampat nan

  • @user-fr1ck1ii7p
    @user-fr1ck1ii7p 3 месяца назад +23

    Eriza afukuzwe stage

  • @NuruNgole
    @NuruNgole 3 месяца назад +2

    😂😂❤❤ huna hisia kwanini utafute ila Eliza hatariiiii

  • @user-pf3zc6kv5q
    @user-pf3zc6kv5q 3 месяца назад +3

    Eliza atoke tumemchoka eti aunt 😂😂😂😂

  • @JescaMeleji
    @JescaMeleji 3 месяца назад +2

    😂😂😂😂Ila Eliza jmn we nenda tuu kalime kàroti

  • @bcbestcartoon576
    @bcbestcartoon576 3 месяца назад +4

    may God bless her anaonkana hayuko sawa sema nkama alitaka kua open kuna vtu vna mtatza ila nkama wote washmktaa, somtines wanawke nkama watoto wakipata mambo yakuwaumza sana wankua watu kma eliza huyu dada anaitaji ushauri sana

    • @nasfaiyogo3228
      @nasfaiyogo3228 3 месяца назад

      Umewaza kama mm😢 pengine anahitaji kusikillizwa Zaid jaman

    • @MwaniPh
      @MwaniPh 3 месяца назад

      Sahh kabsa

  • @AntonyMM-tx3yj
    @AntonyMM-tx3yj 2 месяца назад +1

    Eliza kwa kweli ni shangazi naombeni gara B mumuombe stuka aje kumbeba huu sijui bb aijui shangazi # aliyah good amenichoka pia

  • @SharonVenisi
    @SharonVenisi 3 месяца назад +2

    Huyu dada mpuuzi kweli yani 😂😂😂

  • @esternashon4706
    @esternashon4706 3 месяца назад +3

    Ila jamn eliza ana vituko😂😂😂😂

  • @williammutabazi8971
    @williammutabazi8971 3 месяца назад +2

    😂😂😂😂huyu dada Eliza duh….anatamani kupendwa na hana hisia… apambane na roboti basi love is a two way road… she needs therapy before getting in a relationship with anyone.

  • @AymanNajim-tg4ql
    @AymanNajim-tg4ql 3 месяца назад +10

    Ilo li Eliza mlifukuze hapo linaleta utani sana😂

  • @RahyanaGenard
    @RahyanaGenard 3 месяца назад +3

    😂😂😂Eliza eti mtoto ni shangazi au bibieee😂😂😂😅

  • @barakathuva13
    @barakathuva13 3 месяца назад +1

    For real reason zake hazimaki sense.....she doesn't know what she wants.... damnit......am watching from Qatar 😢

  • @GREATESTHITSREPLAY
    @GREATESTHITSREPLAY 3 месяца назад +1

    😂😂😂😂😂 ila Eliza bhana sa mbona anatuchekesha... HANA HISIA ....!!!!! Dahh Pole Eliza wangu I mean Eliza wetu maana tupo pamoja Hadi mwisho wa sizoni

  • @AHLSUNNA-yw8gg
    @AHLSUNNA-yw8gg 4 дня назад

    8:14 😂😂😂 Mimi sina hisia 😢 ila natamani kupendwa 😅😂😂 Jemani nisaidieni nipate uyu mshangazi😂❤😂

  • @felionderi
    @felionderi 3 месяца назад +4

    Has kenyan we cry inside not outside I mean heart

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel 3 месяца назад +2

    🤣🤣🤣 haki Eliza anaitaji kaselingi anamatatizo uyo kabisa

  • @preceenosent6324
    @preceenosent6324 3 месяца назад +1

    Mhaya mpumbavu Eliza grab mtoe bhana mbinafisi Sana 😂😂

  • @pridencians1227
    @pridencians1227 3 месяца назад +2

    😂😂😂😂😂Eliza wangu jamani

  • @salomemanfred1809
    @salomemanfred1809 3 месяца назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Eliza Simuelew JmN...njo nikupe izo isia😂😂😂💔

  • @MusondoliRobert-ve4wz
    @MusondoliRobert-ve4wz 3 месяца назад +6

    Eliza ana mambo

  • @user-bj6bs9do2f
    @user-bj6bs9do2f 3 месяца назад +1

    Eriza Cyo Mwanamke Bora halafu Piah Anaonekana Pia hanamazalahu Sana hata Kwa Mwanaume hatakaye Mpk🤣🤣🤣

  • @willelia2554
    @willelia2554 3 месяца назад +1

    😢inaonekana Eliza anadharau kweli na sijui nani atamkubali kwa muonekano tu ukimiangalia

  • @afro_abbuh9147
    @afro_abbuh9147 3 месяца назад +5

    Alia nimekwelea zaidi unavyo ongea vyote vina point 👌👌👌

  • @neemam5042
    @neemam5042 3 месяца назад +1

    Naona Eliza special group ya counseling

  • @Pretty.s.m.k
    @Pretty.s.m.k 3 месяца назад +3

    Sasa aunt na shangazi ina tofauti gani 😂😂😂jamani ama kuelewa lugha ndio matatizo😅

  • @bennylove6021
    @bennylove6021 3 месяца назад +1

    Uyo dada anahitaji msaikolojia kwanza kabla ya kusimama hapo mbele!

  • @jissantz
    @jissantz 3 месяца назад +2

    MSHANGAZI HUYO ELIZA YAN HATOBOI

  • @RehemaNyongole
    @RehemaNyongole 3 месяца назад +1

    Eliza rudi nyuma jitafakari..kama ni kweli unahitaji mume..hapo sio sehemu sahihi kwa sasa..maana tabia ulizozionesha zimekwishakuharibia sana..na hata mwanaume akisema amekuchagua mi nahisi atakua anakutania tu...ushauri wangu ebu tulia pata ushauri wa kisaikolojia lkn kubwa zaidi wanawake tabia, wanawake kauli, wanawake utii hakuna mwanamke anapenda mwanamke anadharau wa kushindana..so badili hivyo vitu utapata mwenza wako..lkn pia mshirikishe Mungu kama kweli unataka mwenza wa kweli

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy 3 месяца назад +2

    😢 Eliza mmm hatari ila mimi ananichefua San mbona kama anaigiz

  • @Mellissabahati137
    @Mellissabahati137 3 месяца назад +3

    Eliza😂😂 acha maigizo bwana nenda basi kwa lamata anaitaji comedian wakike wewe unaweza😂😂

  • @AbdulAmour-fv5eb
    @AbdulAmour-fv5eb 3 месяца назад

    Asalam alaikum kikubwa mm nasema Eliza atakupata tabu sn akipata mwanaume sababu anachaguwa mwanaume mwenye pesa nyingi wakati yeye hana pesa ata elfu kumi 10 hana

  • @cynthiachesang6972
    @cynthiachesang6972 3 месяца назад +1

    Sijawahi comment like hata mm Leo Eliza amechokesha

  • @okechukwuchukwuma8074
    @okechukwuchukwuma8074 3 месяца назад +2

    I'm watching from Nigeria

  • @nurusadick9430
    @nurusadick9430 3 месяца назад +1

    😂😂😂😂 huyo. Eliza anashida

  • @upendoeliya9329
    @upendoeliya9329 3 месяца назад +1

    Eliza alimkataa yule kaka wa Matrekta mwenye hela na umri zaidi yake. Sasa asiwachanganye hapo😂😂😂 maana tunamwona anavyowakandia wanaume wengi wanaokuja hapo stageni. Ikiwezekana mtoeni akatafute mtaani

  • @ChausikuIddy
    @ChausikuIddy Месяц назад

    Jamani Eliza pole kuwa na moyo wa subira Allah atakujalia mume mwema.

  • @MaryamSuleiman-xs5ph
    @MaryamSuleiman-xs5ph 3 месяца назад +2

    Makubwa hayaa😂😂😂

  • @diva_20162
    @diva_20162 3 месяца назад +1

    Eliza soda zinamchanganya ndio maan 😂😂😂

  • @shaibuomary8809
    @shaibuomary8809 3 месяца назад +1

    Eliza ana tatizo la kisaikolojia, atafutiwe mtaalamu kumuondosha stress

  • @candiesalm8995
    @candiesalm8995 3 месяца назад +4

    Huy eliza ndy cindy beib wa tanzania😂😂😂

  • @user-uv4ov7sb4z
    @user-uv4ov7sb4z 3 месяца назад +1

    Huyu Eliza ni mtoto wa mwenye kipindi au mbona mna mlea sana ,hata kama mmemuweka kwaajili ya kuchangamsha hii cinema but hawezi tafuteni mtu mwingine anaboa sana kwa age yake anajiabisha tu 😅😅😅😅😅

  • @AhmadAhmad-vb2tz
    @AhmadAhmad-vb2tz 3 месяца назад +1

    Diva hawajui watoto wasiku hizi wahovyo sana 😊

  • @user-be9zz3yg1f
    @user-be9zz3yg1f 3 месяца назад +6

    Eliz anatuchosha mashauz meng sana alaf mnafki sana

  • @marthesifa-5803
    @marthesifa-5803 3 месяца назад +2

    Eliza jamani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de 3 месяца назад +2

    Kujidhalilisha tu had kujiliza hapo aibu naona mm" kwan wanaume hawaonekan huku mtaani

  • @CindyKatila-fc5zw
    @CindyKatila-fc5zw 3 месяца назад +1

    Mw3nyew alianza madharau😂😂😂😂😂

  • @isaacjosephjoseph2733
    @isaacjosephjoseph2733 3 месяца назад

    Eliza mimi nampenda mno, shida anachachamba mno ma Mr. Right jamani au nije nikuchukue mamaa❤❤

  • @TrinaRoman345
    @TrinaRoman345 3 месяца назад +1

    Eliza gume gume huyo atakuja mjaruo ampe hisia 😏

  • @salhaayub1338
    @salhaayub1338 Месяц назад

    Mimi ningekuwa mr right nawambiwa zile ghorofa za k koo ni zangu za urithi namiliki gari 2 halafu kwa mwezi naingiza milion 10 kazi kwao watawasha taa wote hao pumbavu😂😂😂😂😂 halafu ukimchukua unampeleka home anakuta geto ya room moja kodi elf 25 kwa mwezi kazi gereji😂😂😂

  • @raulentlishoni898
    @raulentlishoni898 3 месяца назад +2

    Sasha alie mzalisha yupo wapi.amleemtoto wake iliaweze kumweshimu asisumbue watu

  • @queensalema5262
    @queensalema5262 3 месяца назад +2

    Eliza n mchangamsha group bwana mwachen😂

  • @jimmykiwale3026
    @jimmykiwale3026 3 месяца назад +1

    😂😂😂sina hisia

  • @nuruabraham3769
    @nuruabraham3769 3 месяца назад +1

    huna hisia umefata nini Mr Right 😏

  • @user-fo8yc8xo8s
    @user-fo8yc8xo8s 3 месяца назад +3

    Unajua huyu Eliza anawaiga wale warembo wa kenya juz Kuna mdada alilia pale kwenye Mr Right wa kenya akisema mbona hapat mchumba hawalet type yake Tena anaitwa benta
    Sasa Hilo lieliza linaiga hapo

  • @user-dz2xr9bc6g
    @user-dz2xr9bc6g 3 месяца назад +2

    Eliza mtoen t jamn sio kwa ubaya lakn mtoen t maana anakera tu

  • @jeniphajohn2921
    @jeniphajohn2921 3 месяца назад +1

    Huyo Eliza aondoke hapo anawazalilisha vijana wawatu

  • @user-by6bg2fq6b
    @user-by6bg2fq6b 3 месяца назад +1

    Umezid mashauziiii

  • @martha5208
    @martha5208 3 месяца назад

    Alliya nampenda ,anakosoa vizuri❤

  • @raulentlishoni898
    @raulentlishoni898 3 месяца назад +1

    Mc.galabii,Nilikuwa na Maoni au mawazo au ombi kwanini msiwe mnaweka wadada wanao fata picha zao na namba zao zasimu .maana yangu niipi kuna watu wako mbali hivyo anaweza kumuona mwana mke na akampenda waka wasiliana .naona hiyo nayo ni nzury zaidi.

  • @EvanaFelix-cr3hj
    @EvanaFelix-cr3hj 3 месяца назад +2

    Mi muelewa jaman 😢 mi mwenywe nipo na hyo hali yan kuna mda kila mwanaume nkimuona nahis hasir tu

  • @j...876
    @j...876 3 месяца назад +1

    Isiya is typing......

  • @user-rl2bp8re9c
    @user-rl2bp8re9c 3 месяца назад

    Dada kichefu chefu sana mm namuelewa ally sana huyo dad afai mdomo ndo unamwalibia

  • @user-lk7fk5gd4n
    @user-lk7fk5gd4n 2 месяца назад

    😂😂 eliza enda upumzike uje next yr ukatafute hisia vizuri hko toka hapa😂😂😂

  • @joycehaule9717
    @joycehaule9717 3 месяца назад

    Yan nimecheka uwiiiiiiiii yn mkimtoa Eliza siangalii Mr right hahahaha

  • @halidhemed7524
    @halidhemed7524 2 месяца назад

    Atoke tu akasagane😂😂😂. Htk ndoa

  • @salomemanfred1809
    @salomemanfred1809 3 месяца назад

    Hana Hisia 😂😂😂😂😂😂 kaja kutafta kiki Au😂💔💔

  • @user-uy5py6lk5f
    @user-uy5py6lk5f 3 месяца назад

    Unajeuri sanaaaa unamdomo sanaaa hata ukipata huwezi kukaaa ww ni jeuriiiiii😂😂

  • @ptr255
    @ptr255 3 месяца назад

    Jamani huyu dada ana keraa 😂😂😂

  • @user-gb3sf9fy2u
    @user-gb3sf9fy2u 3 месяца назад +6

    Kila siku mngekuwa mnavaa ivo yan mnapendeza sana

  • @tawhidaabbasi8584
    @tawhidaabbasi8584 3 месяца назад +1

    eliza halafu unaekti muongo wewe hahahah hueweki unafaa kua muigizaji umekimbilia kua huna hisia

  • @mkalimala3564
    @mkalimala3564 3 месяца назад +1

    Eliza ana kipaji cha uigizaji kikubwa sana,,,,apewe nafasi mtaniamini.

  • @lindatumaininandrie8846
    @lindatumaininandrie8846 3 месяца назад

    She is so dramatic😂😂

  • @alecheconradninje6183
    @alecheconradninje6183 3 месяца назад

    Msaidieni kwenda kwa Nabii mkuu au yule aliepigiwa na mama kizimkazi akapewe hisia za kiroho 😂😂

  • @marthaayuma7065
    @marthaayuma7065 2 месяца назад

    Huyo Eliza yuataka akaangaliwe Kwanza mbona Hana hisia....msaidieni please

  • @Rosependo3304
    @Rosependo3304 3 месяца назад

    Ssa aunt na shangazi tofauti ni ipi😂😂😂😂😂😂

  • @swalharajab8365
    @swalharajab8365 3 месяца назад

    😂😂sas kama huna hisia umefwata nin hapo eliza umenyodoa saan wanaume wa wenyewe tulia dawa ukuingie😂😂

  • @saidylabarani8140
    @saidylabarani8140 3 месяца назад

    Huyo Malaya tu, hamna mke hapo .. hajui anatafuta nini😅😂

  • @ParsiokoLemalon
    @ParsiokoLemalon 3 месяца назад

    Polly Sanam idea Lisa

  • @lasudnuru4982
    @lasudnuru4982 2 месяца назад

    Jamn mbona mnavekaga short clips? Tunaomba wekeni full, kuna tunaofuatilia marudio tuko nje ya nchi 😢

  • @daydaypapaa7709
    @daydaypapaa7709 3 месяца назад

    Eliza is back 😂😂

  • @user-lt7kc3bd9c
    @user-lt7kc3bd9c 3 месяца назад +1

    Kaka mm nawakubali sana apo, ila kuna mtu nimemuelewa namuitaji kama ata nilizia ila mm siko tz kwa sasa.

  • @EthanimuMatengenezo
    @EthanimuMatengenezo 3 месяца назад

    Wenye tatizo kama Hilo mpo wengi unajikuta una asila na mwenzako hasa anapoitaji tendo la ndoa..na ukilala unaota unazini na mtu Hilo ni mahaba Mimi nitamsaidia Eliza mwenye kuweza kumpa no yangu ampe au nitumie no yake akifunguliwa atakuwa na hisia na ataolewa vizuri asante

  • @EliyaKalimanjira
    @EliyaKalimanjira 3 месяца назад +1

    Yes

  • @DoreeniFlaye-jp4ki
    @DoreeniFlaye-jp4ki 3 месяца назад

    yani sijuw nimuombe mume wangu amuowe Eliza afu anaachija wiki 😂😂😂

  • @tumainimano9953
    @tumainimano9953 3 месяца назад +1

    Mbwa kabisa huyu mnafki Sana

  • @ElizabethPeter-si9rs
    @ElizabethPeter-si9rs 2 месяца назад

    Kwani huyo Eliza anamaisha gani mazuri mpaka achague mwanaume miaka yote yupo hapo podium.na atazeekea hapo