ELIZA AMWAGA MACHOZI | NIMEKAA SANA HAPA | SIPATI MPENZI | HUYU SIMTAKI | HELLO MR RIGHT
HTML-код
- Опубликовано: 29 мар 2024
- ►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder Развлечения
Anaye muchoka Eliza kama mimi apa like apa twende kazi
Mm apa
Uyo dada anatafuta umaharufu tu hapo
@@RayyanRayyan-rt9cg tumemuchoka kwakweli 😪
Simpendi
Huyu Eliza mtoeni hayuko serious anabagua sana sasa hana hisia amekuja fanya nini hapo 🤣😂🤣🤣🤣siaende ajitibu mwanzo nafatilia nkiwa Dubai
Eliza sio mke bora, alafu mnafiki saaaana kisha mbinafsi, huyo mwanamke ni Mtihani kwa kweli.
Ni mtu wa wapiii huyuu
Eliza she's so Dramatic 🫴🏾😐
It’s Aaliyah’s facial expressions after Eliza started crying💔😂
Anajiona keki Sena kwenye maisha ACHA kujivun San utapa mume ukiwa mwenye hekim naheshim na umstarabu kuwa mpole ACHA ujuwaj Kila mwanaume anamapunguf yake chamuhimu kubalian na namapungufu yake utadumu kwenye. Ndoa kuwa mvumilivu.hakuna mwanadamu anaye kosa mapungufu kwenye hii Dunia My daer usisahau ku Muoomb Mungu kwayote Kila jambo Lina mwisho wake 😢😢 like you Elizabeth ❤
Wewe mimi niko moçambique huku naona huna akili wewe ebu tujuane zaidi
Yani Eliza atasugua sana hapo kwa tabia tabia zake hakuna mwanaume atakae mchukua Mimi mwenyewe natamani atoke hapo
Umejua kabisa.
😂
We Dada Akili sana I salute you 🫡
Diva umependeza dada hlo
Vazi usiliache inshaallah mungu akupe subira hyoyo
Huyo eliza kwan hawez toka hapooo wakuuu...
Eliza muongooo kajiwashia taa tu😂😂😂😂...huyu kaka c vitu vyake😅
Idis like eliza unakera kwa kweli kuna wanaume nje ya mr right show waache wenye nia wakae hapo wewe toka
This Aliza my God,all day wahaya hachana na sisi kaa.Jealousy ya maisha,wahaya for life we do better .watching from 🇺🇸
😂😂😂kwani usingetuambia from us ungechubuka we muhaya
@@dianerditto ,Ndo zakwetu wahaya ndo maana
Eliza anatumind,but who cares.
Kwakweli eliza anaboa anaaribu vipindi na kuhusu tatizo lake alishawishi jamani eliza muongooooooooo tena sana
Namba za Mr right platform plz naja kumchukua Eliza
Yaani mavazi yenu kipindi hichi mmependeza saana..mngekuwaga mnavaa hivi cku zote wapendwa wng❤❤❤❤❤.
Kwa huo mdom utampat nan
Eriza afukuzwe stage
Naam 😂
Wallah anachosha
😂😂❤❤ huna hisia kwanini utafute ila Eliza hatariiiii
Eliza atoke tumemchoka eti aunt 😂😂😂😂
😂😂😂😂Ila Eliza jmn we nenda tuu kalime kàroti
may God bless her anaonkana hayuko sawa sema nkama alitaka kua open kuna vtu vna mtatza ila nkama wote washmktaa, somtines wanawke nkama watoto wakipata mambo yakuwaumza sana wankua watu kma eliza huyu dada anaitaji ushauri sana
Umewaza kama mm😢 pengine anahitaji kusikillizwa Zaid jaman
Sahh kabsa
Eliza kwa kweli ni shangazi naombeni gara B mumuombe stuka aje kumbeba huu sijui bb aijui shangazi # aliyah good amenichoka pia
Huyu dada mpuuzi kweli yani 😂😂😂
Ila jamn eliza ana vituko😂😂😂😂
😂😂😂😂huyu dada Eliza duh….anatamani kupendwa na hana hisia… apambane na roboti basi love is a two way road… she needs therapy before getting in a relationship with anyone.
Ilo li Eliza mlifukuze hapo linaleta utani sana😂
Kbs analeta utani mnoo
Hahahaha anaigiza movie
😂😂😂Eliza eti mtoto ni shangazi au bibieee😂😂😂😅
For real reason zake hazimaki sense.....she doesn't know what she wants.... damnit......am watching from Qatar 😢
😂😂😂😂😂 ila Eliza bhana sa mbona anatuchekesha... HANA HISIA ....!!!!! Dahh Pole Eliza wangu I mean Eliza wetu maana tupo pamoja Hadi mwisho wa sizoni
8:14 😂😂😂 Mimi sina hisia 😢 ila natamani kupendwa 😅😂😂 Jemani nisaidieni nipate uyu mshangazi😂❤😂
Has kenyan we cry inside not outside I mean heart
🤣🤣🤣 haki Eliza anaitaji kaselingi anamatatizo uyo kabisa
Mhaya mpumbavu Eliza grab mtoe bhana mbinafisi Sana 😂😂
😂😂😂😂😂Eliza wangu jamani
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Eliza Simuelew JmN...njo nikupe izo isia😂😂😂💔
Eliza ana mambo
Eriza Cyo Mwanamke Bora halafu Piah Anaonekana Pia hanamazalahu Sana hata Kwa Mwanaume hatakaye Mpk🤣🤣🤣
😢inaonekana Eliza anadharau kweli na sijui nani atamkubali kwa muonekano tu ukimiangalia
Alia nimekwelea zaidi unavyo ongea vyote vina point 👌👌👌
Naona Eliza special group ya counseling
Sasa aunt na shangazi ina tofauti gani 😂😂😂jamani ama kuelewa lugha ndio matatizo😅
Ni mtu mmoja
Uyo dada anahitaji msaikolojia kwanza kabla ya kusimama hapo mbele!
MSHANGAZI HUYO ELIZA YAN HATOBOI
Eliza rudi nyuma jitafakari..kama ni kweli unahitaji mume..hapo sio sehemu sahihi kwa sasa..maana tabia ulizozionesha zimekwishakuharibia sana..na hata mwanaume akisema amekuchagua mi nahisi atakua anakutania tu...ushauri wangu ebu tulia pata ushauri wa kisaikolojia lkn kubwa zaidi wanawake tabia, wanawake kauli, wanawake utii hakuna mwanamke anapenda mwanamke anadharau wa kushindana..so badili hivyo vitu utapata mwenza wako..lkn pia mshirikishe Mungu kama kweli unataka mwenza wa kweli
😢 Eliza mmm hatari ila mimi ananichefua San mbona kama anaigiz
Eliza😂😂 acha maigizo bwana nenda basi kwa lamata anaitaji comedian wakike wewe unaweza😂😂
Ni comedian yupo kitimtim
Asalam alaikum kikubwa mm nasema Eliza atakupata tabu sn akipata mwanaume sababu anachaguwa mwanaume mwenye pesa nyingi wakati yeye hana pesa ata elfu kumi 10 hana
Sijawahi comment like hata mm Leo Eliza amechokesha
I'm watching from Nigeria
So wha?😊
@@upendoeliya9329muache mgeni bwana kaa😂
😂😂😂😂 huyo. Eliza anashida
Eliza alimkataa yule kaka wa Matrekta mwenye hela na umri zaidi yake. Sasa asiwachanganye hapo😂😂😂 maana tunamwona anavyowakandia wanaume wengi wanaokuja hapo stageni. Ikiwezekana mtoeni akatafute mtaani
Jamani Eliza pole kuwa na moyo wa subira Allah atakujalia mume mwema.
Makubwa hayaa😂😂😂
Eliza soda zinamchanganya ndio maan 😂😂😂
Eliza ana tatizo la kisaikolojia, atafutiwe mtaalamu kumuondosha stress
Huy eliza ndy cindy beib wa tanzania😂😂😂
😂😂😂Kabisa
Huyu Eliza ni mtoto wa mwenye kipindi au mbona mna mlea sana ,hata kama mmemuweka kwaajili ya kuchangamsha hii cinema but hawezi tafuteni mtu mwingine anaboa sana kwa age yake anajiabisha tu 😅😅😅😅😅
Diva hawajui watoto wasiku hizi wahovyo sana 😊
Eliz anatuchosha mashauz meng sana alaf mnafki sana
Eliza jamani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kujidhalilisha tu had kujiliza hapo aibu naona mm" kwan wanaume hawaonekan huku mtaani
Mw3nyew alianza madharau😂😂😂😂😂
Eliza mimi nampenda mno, shida anachachamba mno ma Mr. Right jamani au nije nikuchukue mamaa❤❤
Eliza gume gume huyo atakuja mjaruo ampe hisia 😏
Mimi ningekuwa mr right nawambiwa zile ghorofa za k koo ni zangu za urithi namiliki gari 2 halafu kwa mwezi naingiza milion 10 kazi kwao watawasha taa wote hao pumbavu😂😂😂😂😂 halafu ukimchukua unampeleka home anakuta geto ya room moja kodi elf 25 kwa mwezi kazi gereji😂😂😂
Sasha alie mzalisha yupo wapi.amleemtoto wake iliaweze kumweshimu asisumbue watu
Eliza n mchangamsha group bwana mwachen😂
Umeona eeh😂😂😂😂
😂😂😂sina hisia
huna hisia umefata nini Mr Right 😏
Unajua huyu Eliza anawaiga wale warembo wa kenya juz Kuna mdada alilia pale kwenye Mr Right wa kenya akisema mbona hapat mchumba hawalet type yake Tena anaitwa benta
Sasa Hilo lieliza linaiga hapo
🤣🤣🤣🤣🤣
😁😁
Eliza mtoen t jamn sio kwa ubaya lakn mtoen t maana anakera tu
Huyo Eliza aondoke hapo anawazalilisha vijana wawatu
Umezid mashauziiii
Alliya nampenda ,anakosoa vizuri❤
Mc.galabii,Nilikuwa na Maoni au mawazo au ombi kwanini msiwe mnaweka wadada wanao fata picha zao na namba zao zasimu .maana yangu niipi kuna watu wako mbali hivyo anaweza kumuona mwana mke na akampenda waka wasiliana .naona hiyo nayo ni nzury zaidi.
Mi muelewa jaman 😢 mi mwenywe nipo na hyo hali yan kuna mda kila mwanaume nkimuona nahis hasir tu
Njoo kwangu uone kama utapata hasira tena ❤️❤️
😂😂😂😂 uwiiiii nshapata hasira tena 😂
@@EvanaFelix-cr3hj hahahaha😅😅😅
Isiya is typing......
Dada kichefu chefu sana mm namuelewa ally sana huyo dad afai mdomo ndo unamwalibia
😂😂 eliza enda upumzike uje next yr ukatafute hisia vizuri hko toka hapa😂😂😂
Yan nimecheka uwiiiiiiiii yn mkimtoa Eliza siangalii Mr right hahahaha
Atoke tu akasagane😂😂😂. Htk ndoa
Hana Hisia 😂😂😂😂😂😂 kaja kutafta kiki Au😂💔💔
Unajeuri sanaaaa unamdomo sanaaa hata ukipata huwezi kukaaa ww ni jeuriiiiii😂😂
Jamani huyu dada ana keraa 😂😂😂
Kila siku mngekuwa mnavaa ivo yan mnapendeza sana
eliza halafu unaekti muongo wewe hahahah hueweki unafaa kua muigizaji umekimbilia kua huna hisia
Eliza ana kipaji cha uigizaji kikubwa sana,,,,apewe nafasi mtaniamini.
😮😂
She is so dramatic😂😂
Msaidieni kwenda kwa Nabii mkuu au yule aliepigiwa na mama kizimkazi akapewe hisia za kiroho 😂😂
Huyo Eliza yuataka akaangaliwe Kwanza mbona Hana hisia....msaidieni please
Ssa aunt na shangazi tofauti ni ipi😂😂😂😂😂😂
😂😂sas kama huna hisia umefwata nin hapo eliza umenyodoa saan wanaume wa wenyewe tulia dawa ukuingie😂😂
Huyo Malaya tu, hamna mke hapo .. hajui anatafuta nini😅😂
Polly Sanam idea Lisa
Jamn mbona mnavekaga short clips? Tunaomba wekeni full, kuna tunaofuatilia marudio tuko nje ya nchi 😢
Eliza is back 😂😂
Kaka mm nawakubali sana apo, ila kuna mtu nimemuelewa namuitaji kama ata nilizia ila mm siko tz kwa sasa.
Njoo tuchukuane uku achana na hao
Wenye tatizo kama Hilo mpo wengi unajikuta una asila na mwenzako hasa anapoitaji tendo la ndoa..na ukilala unaota unazini na mtu Hilo ni mahaba Mimi nitamsaidia Eliza mwenye kuweza kumpa no yangu ampe au nitumie no yake akifunguliwa atakuwa na hisia na ataolewa vizuri asante
Yes
yani sijuw nimuombe mume wangu amuowe Eliza afu anaachija wiki 😂😂😂
Mbwa kabisa huyu mnafki Sana
Kwani huyo Eliza anamaisha gani mazuri mpaka achague mwanaume miaka yote yupo hapo podium.na atazeekea hapo