STAGE YA WAKA MOTO | ELIZA UMEZEEKA | USHAKUWA SHANGAZI | HELLO MR RIGHT

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 апр 2024
  • ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 133

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 3 месяца назад +12

    Huyu dada mnaishi na tahira kama hamjuwi mbona hajielewi jamani😅😅

  • @emmylizzo8220
    @emmylizzo8220 3 месяца назад +12

    Lulu umependeza sana ulivyovaa ,vaa ivi acha kuvaa uchi ukijistir iv unakua mwah

  • @berndschneider372
    @berndschneider372 3 месяца назад +3

    Dadaangu Lulu MashaAllah wajua kupendeza, ila wakat mwengine mapaja wayaacha hoi😂

  • @shaydebby5678
    @shaydebby5678 3 месяца назад +2

    Eliza unaishije kwanza na majirani zako tuanzie hapo😂😂😂😂😂

    • @BillMos-mt3ts
      @BillMos-mt3ts 3 месяца назад

      Ase kama ni wanawake Eliza shkamoo

  • @SerenakaremboDzombo
    @SerenakaremboDzombo 3 месяца назад +4

    Kama ulikuwa wajitunza mbona hujapata mumeeeee😂😂😂eliza mwaya usiondoke unachangamsha shangazi😅😅

  • @neemam5042
    @neemam5042 3 месяца назад

    Asanteni sana kwa ushauri mzuri Hosts. Kwa hao wadada wanataka wazee wakeeteeni wazee alafu tuone

  • @aunesskinissa7548
    @aunesskinissa7548 2 месяца назад +1

    Jamani naomben kujuwa mwisho wa Eliza kaondoka na nani na ubishi wakeeee

  • @GiftAbduly
    @GiftAbduly 3 месяца назад +8

    Eliza bna adi wanaume wanakuzomea😂😂 utukome

    • @rashidmbaraka6867
      @rashidmbaraka6867 Месяц назад

      Eliza ni kivuluge jamani anaweza kuzekea hapo wewe toka hapo

  • @user-wm6vc2hp5b
    @user-wm6vc2hp5b 3 месяца назад +4

    😂😂😂😂😂Shangazi Eliza

  • @user-on1hk3vi1h
    @user-on1hk3vi1h 3 месяца назад +3

    😂😂😂Eliza katafute hela tu maana ndoa imekukataa😢

  • @hawababy120
    @hawababy120 2 месяца назад +1

    Eliza amezeeka aondoke tu😂😂😂😂😂

  • @user-yv5wh1yk9t
    @user-yv5wh1yk9t 3 месяца назад +2

    Lulu umenifurahisha 😂😂😂😂😂😂

  • @user-gp9rs3nb4x
    @user-gp9rs3nb4x 3 месяца назад +2

    Kwl kabisa lulu

  • @movies2745
    @movies2745 3 месяца назад +2

    Ila elza bn 😂😂😂 fanyen mpango apate mtu mana naona akil yake isha corrupt

  • @elizabethcharles6527
    @elizabethcharles6527 3 месяца назад

    😅😅😅😅😅😅😅Eliza hahaha unavituko sana ww niwajina wangu usikasirike

  • @dorahkaruma9299
    @dorahkaruma9299 3 месяца назад +1

    Maskini Eliza😢😢
    Ameshaanza kuwa na hasira na kila mtu loh🙆🙆

  • @shumbagirajames6508
    @shumbagirajames6508 Месяц назад

    Yani kuna vituko hapa wanawake hawa hawajielewi yani

  • @GregoryJacksonJacobJacob
    @GregoryJacksonJacobJacob 3 месяца назад

    Kuna mdd amenikosha jamniii😅😅😊

  • @user-jo6qn9sb6z
    @user-jo6qn9sb6z 2 месяца назад

    Shangazi Eliza ondoka umeezeeka mama😅😅

  • @bintqassimidarous1636
    @bintqassimidarous1636 2 месяца назад

    Nyie hawa st-bongo wanatunyanyasa hee wanatuekea vipande vifupi nabado tena wanatuekea sauti ya mzikii juu zaidi ya sauti za wenye show

  • @user-rl2bp8re9c
    @user-rl2bp8re9c 3 месяца назад

    😂😂😂😂mashangazi bana wana hasira

  • @habibamura5255
    @habibamura5255 3 месяца назад

    Eliza atapata baby kweli mana mukali balaa😂😂😂😂😂

  • @Yasintaloishiye
    @Yasintaloishiye 3 месяца назад +1

    😅😅😅😅😅dah eliza kudadeq

  • @user-yj2qc6cw3q
    @user-yj2qc6cw3q 3 месяца назад

    Uyo Eliza ako na matatizo 😂😂😂😂

  • @divanamines5516
    @divanamines5516 3 месяца назад

    Elizaa ana matatizo😂😂, anahisi kila kitu Kina revolve around her… foundation na powder ni make up..😂😂😂 halafuu Mr right wala hakukutarget ww… Heal utoke kwenye podium… 😊😊

  • @beatricewilliam2779
    @beatricewilliam2779 3 месяца назад

    Mashangazi wote mtaolewa🤣🤣🤣

  • @shakiralasway8821
    @shakiralasway8821 2 месяца назад

    Eliza ananongwa huyu demu,utaozea kizimbani mdada piga deki mdomo wako🤔

  • @user-hp6bf5lh2d
    @user-hp6bf5lh2d 3 месяца назад

    Naona wengi wanamchukia Eliza nami nlikuw simpendi Ila now nampenda
    Coz anachangamsha kipindi
    Then Yani huwa hajali ye anakupasulia tu yai viza😂😂😂
    Kongore Eliza usipate Mr.right mapema patapoa hapo😂😂😂

  • @SalmaKenyatta
    @SalmaKenyatta 3 месяца назад +1

    Jaman huyu eliza arudi akalime atasugua gaga

  • @JacksonMkamba
    @JacksonMkamba 3 месяца назад +25

    Jaman Mimi nampenda eliza nikiingia kutazama napenda kumuona Tu Eliza napenda anavyo kuwa mbishi mbishi yaan naenjoy kiufupi ningekuwa sipo kwenye mahusiano ningekuja kumchukua jaman

    • @godypeter7299
      @godypeter7299 3 месяца назад +6

      Huenda akakukataa na ww we mwone tu jinsi alivyo

    • @MwaniPh
      @MwaniPh 3 месяца назад

      😅😅😅😅

    • @joycehaule9717
      @joycehaule9717 3 месяца назад +1

      Mi mwenyewe Eliza nampenda kweli ...

    • @subrynerysegerow1323
      @subrynerysegerow1323 3 месяца назад +2

      Mfanye mchepuko akusumbue sumbue😂

    • @JacksonMkamba
      @JacksonMkamba 3 месяца назад +1

      Eliza asome Tu hizi comments jaman me kila nikiingia nataman nione Tu anavyo vurugua naenjoy sana jaman. Eliza endelea kuwavuruga. Jaman hakuna kitu kizuri kama eliza analichangamsha game sana

  • @Bizmind472
    @Bizmind472 3 месяца назад +1

    Eliza hayuko sawa kiakili😮😅

  • @simbahussein4416
    @simbahussein4416 Месяц назад

    huyo eliza karogwa . urembo siyo kitu huyo shangazi eliza

  • @user-rg8fq8fc3k
    @user-rg8fq8fc3k 3 месяца назад +2

    Kwani huyu eliza huwa anakuja kuigiza au vip

  • @ChimumyClassic-xq7dk
    @ChimumyClassic-xq7dk 3 месяца назад

    Kwani jamani ukitaka kwenda inakuaje😮😮😅😅

  • @joycehaule9717
    @joycehaule9717 3 месяца назад

    Hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahha Eliza shangazi angu unanichekesha sanaaa nimecheka hadi machozi aisee

  • @stellabugingo4071
    @stellabugingo4071 3 месяца назад

    Eliza got anger issues 😂😂

  • @Bovyoot
    @Bovyoot 2 месяца назад

    Eliza uyu cyo mzima ni chizi kila kitu yuwajishuki awa ndio wale watu wazima awana akili

  • @josiahotiso1328
    @josiahotiso1328 2 месяца назад

    Am watching from Kenya and I have a question to ask.hii show ni ya watanzania tu peke yao ama hata sisi wakenya tunaeza join ili nasi tupate warembo wa TZ???pia punguza music warembo wanapo ongea ili tuwazikilisha please

  • @sampachino5184
    @sampachino5184 3 месяца назад

    ELIZAAAAa❤❤❤❤❤❤❤

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 3 месяца назад +2

    Eliza ana matatizo

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 3 месяца назад

    😂😂😂eliza we umeshakuwa mtu mzima ndio sasa hupendi nn

  • @mathiasderick7995
    @mathiasderick7995 2 месяца назад

    Eliza ajielewi

  • @LenashaNgulo
    @LenashaNgulo 3 месяца назад

    Jaman shangazi eliza😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-dr1su7pf7w
    @user-dr1su7pf7w 2 месяца назад

    eliza tulia utaolewa na unasura nzuri sana

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 3 месяца назад

    Eliza yuko sawa na zile number plate za 3G.Eliza usoni amesinyaa bogazi kabisa shida ya kujihisi.kuna mmoja nimemuona kama pacalome .

  • @Victadavido
    @Victadavido 2 месяца назад

    Bila eliza kugomban hamna ladha yani

  • @henrychitepeterichard
    @henrychitepeterichard 3 месяца назад

    Mashangazi 😂😂

  • @norahmosha854
    @norahmosha854 3 месяца назад

    😂Eliza kivuruge jmn

  • @user-qm7td2fx3k
    @user-qm7td2fx3k 3 месяца назад

    Maskini weee eliza daah

  • @user-rg8fq8fc3k
    @user-rg8fq8fc3k 3 месяца назад

    Ya leo nimeipenda huyu eliza anahitaji kufsnyiwa cancelled 😅😅😅😅maana mapenz yalimtesa anaonekana😅😅

  • @mariambenimkus4490
    @mariambenimkus4490 3 месяца назад

    Jamani kwani uyueliza apoana fanyann 😂😂😂😂mbona kamaka pa gawauyu Dada au vip

  • @jakii7878
    @jakii7878 3 месяца назад

    😂😂😂 kweli Eliza bogus, kama sio bogus unamind nini sasa?😅😂😂 Shangazi bhuana

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel 3 месяца назад

    Shangazi Eliza unaujuwaji mwengine ndomana kupata mwana umme itakuwa ngumu wanakutizama ivi wana umme wamesha juwa tabiya yako . Mwana mke nitabiya sio urembo

  • @OliverMassawe
    @OliverMassawe 2 месяца назад

    Nawezaje kufika apo jamanii natamani sana

  • @mayasahassan5698
    @mayasahassan5698 3 месяца назад

    Izo kichwan ni shanga ama😂😂

  • @ChristinaPeter-rl9wq
    @ChristinaPeter-rl9wq 3 месяца назад

    😂😂😂😂Eliza kiboko

  • @danielndei5420
    @danielndei5420 3 месяца назад

    ila sas ni mziki tunaskiza au ni show tunatizama, mbona BACKGROUND MUSIC IS TOO LOUD ALWAYS

  • @user-ms2li9nx4z
    @user-ms2li9nx4z 3 месяца назад

    🤣🤣🤣shangaz umeezeeka kwel na akil huna fanya mambo mengn baada ya kitambaa cheupe kuuungaa ndo akaja hapo aende the great mbona inapokea wahudum

  • @isaacjosephjoseph2733
    @isaacjosephjoseph2733 3 месяца назад

    Ama kweli Eliza unafeli aisee hebu jilekebishe basi mbona wewe kila wakati ni kupaniki tuuu aisee!!! Sasa humo ndani kwa atakae kuoa mbona utakuwa moto!!

  • @kellyjohn100
    @kellyjohn100 3 месяца назад +2

    Huyo hataolewa hajielewi huyo bogazi mshangazi umejaa matombe kichwani

  • @aika3024
    @aika3024 3 месяца назад

    Sijawai kuona Raya mwenye utimamu wa Akili😅, Asa na uyu Eliza akonafanya nini apo🤔

  • @cimpayeriziki6680
    @cimpayeriziki6680 3 месяца назад

    Da Eliza Uwe unapunguza hasra j. Jazba

  • @beatricewilliam2779
    @beatricewilliam2779 3 месяца назад

    Shangazi oyeeeeeee

  • @greatwolfrare2128
    @greatwolfrare2128 3 месяца назад

    uyo eliza siku akitoka apo niko pale mniletee kiti nipumzike kwanza

  • @user-en7zq9yq9v
    @user-en7zq9yq9v 3 месяца назад

    Shangazi anachangamsha sana

  • @bennylove6021
    @bennylove6021 3 месяца назад +1

    Eliza mpeleken kwa wataalam ww saikolojia

  • @BillMos-mt3ts
    @BillMos-mt3ts 3 месяца назад

    Aki mko na chizii apoo

  • @ZaifathMustafa
    @ZaifathMustafa 3 месяца назад

    Lulu diva uko sahihi wapo watu wazima hawana point

  • @user-mn4yr5xh9l
    @user-mn4yr5xh9l 3 месяца назад

    Mungu hampagi mtu kilakitu kwahiyo Eliza anako kitu kimoja akili nahisiya

  • @juliusjkalela9164
    @juliusjkalela9164 3 месяца назад

    Kiukwel msimtoe Eliza nampenda xana

  • @nathalieswedy3653
    @nathalieswedy3653 3 месяца назад

    Shangazi Eliza anashida

  • @jacklinaman4219
    @jacklinaman4219 3 месяца назад

    Eliza kaka hapo mpka anawajua watu wote hapo majina yao

  • @stellawandiba7560
    @stellawandiba7560 3 месяца назад

    Vichekesho hivi huyu dada loo

  • @edinamathews7717
    @edinamathews7717 3 месяца назад

    Mbona wa miaka 26 kazeeka kuzid mi wamiaka 32

  • @user-rb9zo7ud7d
    @user-rb9zo7ud7d 3 месяца назад

    LULU Diva umenivunja mbavu nikweli mwanaume hawimdogo

  • @jacklinaman4219
    @jacklinaman4219 3 месяца назад

    Sijui na mm niende nikajalibu bahat yangu pale

  • @danielndei5420
    @danielndei5420 3 месяца назад

    huyu Eliza munamueka kwa show wa kazi gani, ana roho mbaya sana, hakuna jamaa atampenda huyu,..she is just a joke

  • @Lulucut
    @Lulucut 3 месяца назад

    Kwani ZALISH alipata mpenzi jamn🤔

  • @erizabethchanga636
    @erizabethchanga636 3 месяца назад

    Eliza acha kututukana jamani

  • @JudyLee-hf9cy
    @JudyLee-hf9cy 3 месяца назад +1

    C yupo kwenye kitimtim huyo eliza

    • @catherinedavidy1128
      @catherinedavidy1128 3 месяца назад +1

      Hata mm nilimuona shogaangu aigize tu kwa kweli

    • @JudyLee-hf9cy
      @JudyLee-hf9cy 3 месяца назад +1

      @@catherinedavidy1128 kabisa ata uku ni drama tu

  • @elinapetro7136
    @elinapetro7136 3 месяца назад

    Eliza mpaka anakonda uso Kisa hasira

  • @hamisaabdulhamid529
    @hamisaabdulhamid529 3 месяца назад

    Huyu anamdomo kha

  • @user-yd8vv2sz4f
    @user-yd8vv2sz4f 3 месяца назад

    Eliza anamatatizo ndomana hawezi kupata mwanaume

  • @rukiasalum2248
    @rukiasalum2248 3 месяца назад

    Kinaja huyu nipeni Mimi nimpe binti yangu

  • @ZubedaRashidi-fv5nk
    @ZubedaRashidi-fv5nk 3 месяца назад

    Eliz acha kujicholesha

  • @davidoj6689
    @davidoj6689 3 месяца назад

    Lulu umependeza

  • @user-wm6vc2hp5b
    @user-wm6vc2hp5b 3 месяца назад

    Elza utasungua sana gaga hapo huwez Pata mchumba wewe unamdomo sana shangazi

  • @boashamah3642
    @boashamah3642 3 месяца назад

    Eliza hajielewi haki

  • @AnitherSalum-ly6fd
    @AnitherSalum-ly6fd 3 месяца назад +2

    Jamn zarish alichukuliw na nan mbna hayupo

  • @barakamazigo4840
    @barakamazigo4840 3 месяца назад

    Shanga eliza mda wako umeixha

  • @ceciliapaul4161
    @ceciliapaul4161 3 месяца назад

    😂😂😂😂

  • @MsJahara-xs5xf
    @MsJahara-xs5xf 3 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂

  • @ceciliapaul4161
    @ceciliapaul4161 3 месяца назад

    Wamtoe bhn

  • @Justinaombay
    @Justinaombay 3 месяца назад

    Eliza hunaga jipya

  • @SurprisedAtom-vp5qe
    @SurprisedAtom-vp5qe 3 месяца назад +1

    Eliza usiondoke hapo unatuchekesha sana

  • @reginamlay5263
    @reginamlay5263 3 месяца назад

    Eliza anachonjomoa kipindi kinachqngamka

  • @israeluronu9958
    @israeluronu9958 3 месяца назад

    Shangazi Eliza shkamoo 😂😂😂😂

  • @davidami7980
    @davidami7980 3 месяца назад

    Hii show Iko scripted

  • @JimmyJohn-qr8cu
    @JimmyJohn-qr8cu 2 месяца назад

    Elisa nimsumbufu san

  • @user-hx4eh3cq1n
    @user-hx4eh3cq1n 3 месяца назад

    Mshangazi wewe