STAGE YA WAKA MOTO | ELIZA UMEZEEKA | USHAKUWA SHANGAZI | HELLO MR RIGHT
HTML-код
- Опубликовано: 2 апр 2024
- ►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder Развлечения
Huyu dada mnaishi na tahira kama hamjuwi mbona hajielewi jamani😅😅
Lulu umependeza sana ulivyovaa ,vaa ivi acha kuvaa uchi ukijistir iv unakua mwah
Dadaangu Lulu MashaAllah wajua kupendeza, ila wakat mwengine mapaja wayaacha hoi😂
Eliza unaishije kwanza na majirani zako tuanzie hapo😂😂😂😂😂
Ase kama ni wanawake Eliza shkamoo
Kama ulikuwa wajitunza mbona hujapata mumeeeee😂😂😂eliza mwaya usiondoke unachangamsha shangazi😅😅
Asanteni sana kwa ushauri mzuri Hosts. Kwa hao wadada wanataka wazee wakeeteeni wazee alafu tuone
Jamani naomben kujuwa mwisho wa Eliza kaondoka na nani na ubishi wakeeee
Eliza bna adi wanaume wanakuzomea😂😂 utukome
Eliza ni kivuluge jamani anaweza kuzekea hapo wewe toka hapo
😂😂😂😂😂Shangazi Eliza
😂😂😂Eliza katafute hela tu maana ndoa imekukataa😢
Eliza amezeeka aondoke tu😂😂😂😂😂
Lulu umenifurahisha 😂😂😂😂😂😂
Kwl kabisa lulu
Ila elza bn 😂😂😂 fanyen mpango apate mtu mana naona akil yake isha corrupt
😅😅😅😅😅😅😅Eliza hahaha unavituko sana ww niwajina wangu usikasirike
Maskini Eliza😢😢
Ameshaanza kuwa na hasira na kila mtu loh🙆🙆
Yani kuna vituko hapa wanawake hawa hawajielewi yani
Kuna mdd amenikosha jamniii😅😅😊
Shangazi Eliza ondoka umeezeeka mama😅😅
Nyie hawa st-bongo wanatunyanyasa hee wanatuekea vipande vifupi nabado tena wanatuekea sauti ya mzikii juu zaidi ya sauti za wenye show
😂😂😂😂mashangazi bana wana hasira
Eliza atapata baby kweli mana mukali balaa😂😂😂😂😂
😅😅😅😅😅dah eliza kudadeq
Uyo Eliza ako na matatizo 😂😂😂😂
Elizaa ana matatizo😂😂, anahisi kila kitu Kina revolve around her… foundation na powder ni make up..😂😂😂 halafuu Mr right wala hakukutarget ww… Heal utoke kwenye podium… 😊😊
Mashangazi wote mtaolewa🤣🤣🤣
Eliza ananongwa huyu demu,utaozea kizimbani mdada piga deki mdomo wako🤔
Naona wengi wanamchukia Eliza nami nlikuw simpendi Ila now nampenda
Coz anachangamsha kipindi
Then Yani huwa hajali ye anakupasulia tu yai viza😂😂😂
Kongore Eliza usipate Mr.right mapema patapoa hapo😂😂😂
Jaman huyu eliza arudi akalime atasugua gaga
Jaman Mimi nampenda eliza nikiingia kutazama napenda kumuona Tu Eliza napenda anavyo kuwa mbishi mbishi yaan naenjoy kiufupi ningekuwa sipo kwenye mahusiano ningekuja kumchukua jaman
Huenda akakukataa na ww we mwone tu jinsi alivyo
😅😅😅😅
Mi mwenyewe Eliza nampenda kweli ...
Mfanye mchepuko akusumbue sumbue😂
Eliza asome Tu hizi comments jaman me kila nikiingia nataman nione Tu anavyo vurugua naenjoy sana jaman. Eliza endelea kuwavuruga. Jaman hakuna kitu kizuri kama eliza analichangamsha game sana
Eliza hayuko sawa kiakili😮😅
huyo eliza karogwa . urembo siyo kitu huyo shangazi eliza
Kwani huyu eliza huwa anakuja kuigiza au vip
Kwani jamani ukitaka kwenda inakuaje😮😮😅😅
Hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahha Eliza shangazi angu unanichekesha sanaaa nimecheka hadi machozi aisee
Eliza got anger issues 😂😂
Eliza uyu cyo mzima ni chizi kila kitu yuwajishuki awa ndio wale watu wazima awana akili
Am watching from Kenya and I have a question to ask.hii show ni ya watanzania tu peke yao ama hata sisi wakenya tunaeza join ili nasi tupate warembo wa TZ???pia punguza music warembo wanapo ongea ili tuwazikilisha please
ELIZAAAAa❤❤❤❤❤❤❤
Eliza ana matatizo
😂😂😂eliza we umeshakuwa mtu mzima ndio sasa hupendi nn
Eliza ajielewi
Jaman shangazi eliza😂😂😂😂😂😂😂😂
eliza tulia utaolewa na unasura nzuri sana
Eliza yuko sawa na zile number plate za 3G.Eliza usoni amesinyaa bogazi kabisa shida ya kujihisi.kuna mmoja nimemuona kama pacalome .
Bila eliza kugomban hamna ladha yani
Mashangazi 😂😂
😂Eliza kivuruge jmn
Maskini weee eliza daah
Ya leo nimeipenda huyu eliza anahitaji kufsnyiwa cancelled 😅😅😅😅maana mapenz yalimtesa anaonekana😅😅
Jamani kwani uyueliza apoana fanyann 😂😂😂😂mbona kamaka pa gawauyu Dada au vip
😂😂😂 kweli Eliza bogus, kama sio bogus unamind nini sasa?😅😂😂 Shangazi bhuana
Shangazi Eliza unaujuwaji mwengine ndomana kupata mwana umme itakuwa ngumu wanakutizama ivi wana umme wamesha juwa tabiya yako . Mwana mke nitabiya sio urembo
Nawezaje kufika apo jamanii natamani sana
Izo kichwan ni shanga ama😂😂
😂😂😂😂Eliza kiboko
ila sas ni mziki tunaskiza au ni show tunatizama, mbona BACKGROUND MUSIC IS TOO LOUD ALWAYS
🤣🤣🤣shangaz umeezeeka kwel na akil huna fanya mambo mengn baada ya kitambaa cheupe kuuungaa ndo akaja hapo aende the great mbona inapokea wahudum
Ama kweli Eliza unafeli aisee hebu jilekebishe basi mbona wewe kila wakati ni kupaniki tuuu aisee!!! Sasa humo ndani kwa atakae kuoa mbona utakuwa moto!!
Huyo hataolewa hajielewi huyo bogazi mshangazi umejaa matombe kichwani
Sijawai kuona Raya mwenye utimamu wa Akili😅, Asa na uyu Eliza akonafanya nini apo🤔
Da Eliza Uwe unapunguza hasra j. Jazba
Shangazi oyeeeeeee
uyo eliza siku akitoka apo niko pale mniletee kiti nipumzike kwanza
Shangazi anachangamsha sana
Eliza mpeleken kwa wataalam ww saikolojia
Aki mko na chizii apoo
Lulu diva uko sahihi wapo watu wazima hawana point
Mungu hampagi mtu kilakitu kwahiyo Eliza anako kitu kimoja akili nahisiya
Kiukwel msimtoe Eliza nampenda xana
Shangazi Eliza anashida
Eliza kaka hapo mpka anawajua watu wote hapo majina yao
Vichekesho hivi huyu dada loo
Mbona wa miaka 26 kazeeka kuzid mi wamiaka 32
LULU Diva umenivunja mbavu nikweli mwanaume hawimdogo
Sijui na mm niende nikajalibu bahat yangu pale
Njoo kwangu
huyu Eliza munamueka kwa show wa kazi gani, ana roho mbaya sana, hakuna jamaa atampenda huyu,..she is just a joke
Kwani ZALISH alipata mpenzi jamn🤔
Eliza acha kututukana jamani
C yupo kwenye kitimtim huyo eliza
Hata mm nilimuona shogaangu aigize tu kwa kweli
@@catherinedavidy1128 kabisa ata uku ni drama tu
Eliza mpaka anakonda uso Kisa hasira
Huyu anamdomo kha
Eliza anamatatizo ndomana hawezi kupata mwanaume
Kinaja huyu nipeni Mimi nimpe binti yangu
Eliz acha kujicholesha
Lulu umependeza
Elza utasungua sana gaga hapo huwez Pata mchumba wewe unamdomo sana shangazi
Eliza hajielewi haki
Jamn zarish alichukuliw na nan mbna hayupo
Had mim simuoni
Nashangaa hawajatuonyesha kisiki kilivyong'oka
Ametolewa kwenye stage
@aminanmmh so hqkupata mtu Bali alitolewa😂😂😂imbona1861
@@SerenakaremboDzombo mbona haeajatupa huo mchap lakin jamn
Shanga eliza mda wako umeixha
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Wamtoe bhn
Eliza hunaga jipya
Eliza usiondoke hapo unatuchekesha sana
Eliza anachonjomoa kipindi kinachqngamka
Shangazi Eliza shkamoo 😂😂😂😂
Hii show Iko scripted
Elisa nimsumbufu san
Mshangazi wewe