SIMTAKI HUYU | MDOGO SANA | KWANZA HAJIAMINI KABISA | ILA MZURI | HELLO MR RIGHT

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 55

  • @daydaypapaa7709
    @daydaypapaa7709 6 месяцев назад +1

    Jamani mwambieni huyu dogo nimempenda mimi na huyo mdada aliye mchagua tupo sawa tu sema rangi nimemzidi kidogo I wish nimpate

  • @niyonzimaraissa9497
    @niyonzimaraissa9497 6 месяцев назад +8

    Haeleweki uyo demu likes zangu guys

  • @sneckyBoe
    @sneckyBoe 6 месяцев назад +4

    Oyaa mzee umekosa wachumb mtaan chalii mdogo vip unatutia aibu😂

  • @OmanOman-bm1lr
    @OmanOman-bm1lr 6 месяцев назад +9

    Nanyie wanafkii wakiondoka hao wanaume mnawasema 😢

  • @YumnaJulia
    @YumnaJulia 6 месяцев назад

    Minhas fofoqueiras amo vocês ❤❤❤

  • @ZaifathMustafa
    @ZaifathMustafa 6 месяцев назад

    Vivian Ata uku mbeya jmn ahaa nakupenda buree diva wang😅

  • @godwingama6698
    @godwingama6698 6 месяцев назад

    Mmmmmhh mnazingua Sana story nyng mno afu Tena wanaume wakitoka mnawasema acha useng huo

  • @RACHELFESTO-pt6fv
    @RACHELFESTO-pt6fv 6 месяцев назад

    Broken wapi wew diva hujui kizungu au, tatzo unafiki

  • @EssyMellina
    @EssyMellina 4 месяца назад

    Kwanza hata huyo aliya ajui kizungu

  • @jeanbaraka1008
    @jeanbaraka1008 6 месяцев назад +3

    Tanzania sii nchi sahihi kuoea, binti ni judgemental sana na kiburi sana....

  • @Kondoa805
    @Kondoa805 6 месяцев назад

    Hao mademu sahviwanakariri maisa tu wahovyo sana😅😅

  • @jalxs6745
    @jalxs6745 3 месяца назад

    Apo kwa kuwasengenya ndyo mwaaribu coz naangalia nawao

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt 6 месяцев назад

    Jamani

  • @fahadmauld
    @fahadmauld 6 месяцев назад

    Tatizo la ao wadada wanatamaaaa sana hatafti m2 wakuendana nae kimaisha bal wanataka pesa tyuuu

  • @deboramuhoja1777
    @deboramuhoja1777 6 месяцев назад

    Huyu Eliza Kuna shida hiyo sio kawaida!!! Akaombewe! Anahitaji maombezi🥰 wakija watu wa maana anawaponda Tena nyundo za kichwa😅😅😅 Acha na yy sindano zimwingie😂😂😂

  • @MunezeroShadia
    @MunezeroShadia 6 месяцев назад

    Ivi yapata myezi miwili hawachagui mr right kwanini shida iko wapi

  • @Emmanuel-x9v
    @Emmanuel-x9v 6 месяцев назад

    Hiii ya mr right inabid wawepo wazee tu vijana tutafute chura mtaan tu na nyie wanafik sana mtu akiondoka mnamsema tena

  • @metrineomega1635
    @metrineomega1635 6 месяцев назад

    When you select men's select also his manhood .... Because nyie wa dada mwapenda kuwa bully kimpangoo... Jee ukamoata yule ana Kila kitu mwatakaaaa na mfike kule mtakapoishi sasa maisha yaanze Kisha mda wa mechi upate yaani ndio yupo zeroooo Hana mzigoooo au pengine hau amkiii utafanya nini wewe m dadaaa ... Daaaaa😂😂😂😂😂😂 anyway napita tuu

  • @AdamNasrahk
    @AdamNasrahk 6 месяцев назад

    Huyu alikua anatafuta mtu wa kujirekodi nae tiktok bana😂😂😂😂

  • @roseafrael75
    @roseafrael75 6 месяцев назад

    Sasa huyu mtoto amefata nn huku jamani,,, Alafu ww Alya na mwenzako acheni umbeyaaa 😅😅😅😅😅

  • @MtasingwaAlistachius
    @MtasingwaAlistachius 6 месяцев назад

    Unyamwezi kwel umezid nami nimeona jaman

  • @LloydsTech
    @LloydsTech 6 месяцев назад

    HE`s much of a kid than anything 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @habi78121
    @habi78121 6 месяцев назад

    uyo jamaa itakuwa kaleft group

  • @AnneFrank-x7v
    @AnneFrank-x7v 6 месяцев назад

    Etii Eliza han hisia hap anafnyj sas 😅😅

  • @winfridakwai
    @winfridakwai 6 месяцев назад

    Eliza anatakiwa arudishwe kisakoloj

  • @Mr.EdwinKatto1994
    @Mr.EdwinKatto1994 6 месяцев назад +1

    HAWA WADADA WAWE NA MDA WA KUKAA HAPO SIO MTU AKAE MWAKA MZIMA KAZI KUZODOA WANAUME

  • @norahmosamba9326
    @norahmosamba9326 6 месяцев назад

    Alia kaongea point sanaa

  • @niymaedwin4297
    @niymaedwin4297 6 месяцев назад

    Yaani memtoa haraka mr. Right wa watu ili muanze kumsengenya khaaa punguzeni umbea

  • @jackjoseph759
    @jackjoseph759 6 месяцев назад

    Mna boa san san hiyo kusema mr right akiwa anaondok mnapoteza mvuto

  • @giddie_barnabas
    @giddie_barnabas 6 месяцев назад

    Uo ndo ukweli mwanamke anaambiwa atafute mwanaume anaempenda af yeye atapenda mbele kwa mbele

  • @mokeya
    @mokeya 6 месяцев назад

    Hao ma judge wenyewe pumba tu kwann mnawasema ma mr right wakishaondoka huo ni ujinga kabisa sahv bora kuangalia ya kenya tu

  • @nangasixmshamba
    @nangasixmshamba 6 месяцев назад

    We Ariya mpumbavu saana. Kwahiyo hapo munasengenha

  • @MajidKarama-f7c
    @MajidKarama-f7c 6 месяцев назад

    Hiki kipindi ni cha kuozesha au ni kuwaunganisha ki ugawadi?

  • @josephkigembe-ec4pq
    @josephkigembe-ec4pq 6 месяцев назад

    Eliza ni bogas 😂😂

  • @dijohbanks4312
    @dijohbanks4312 6 месяцев назад

    huyo dem mbona ana meno kama gaucho

  • @ellycon7096
    @ellycon7096 6 месяцев назад

    Aliya anapoint asikilizwe

  • @herryignasy8711
    @herryignasy8711 6 месяцев назад

    Huyu Dem atakua mchawi

  • @jennet6484
    @jennet6484 6 месяцев назад

    Eliza hayupo sawa nw nimemuelewa it's sycology problem..atapata mtu haswa ataemuelewa na kwenda nae polepole

  • @neemalema8992
    @neemalema8992 6 месяцев назад

    Eliza atoke

  • @rosemerryfaustin1900
    @rosemerryfaustin1900 6 месяцев назад

    Tokea ramadhan ianze sikielewi hichi kipindi

  • @elinapetro7136
    @elinapetro7136 6 месяцев назад

    Wanawake tumezidi kwa umbea mafriji hayagandishi

  • @solomondanny-1507
    @solomondanny-1507 6 месяцев назад

    Gara B mtoeni Eliza anatukera.

  • @JustinBayisabe
    @JustinBayisabe 6 месяцев назад

    😂😂😂 nyie wanafkii hamna lolote mm sijaona alipokosea dogo.ss mwauonea wivu tu

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 6 месяцев назад

    hawa watoto wadogo wengine hata kwao hawajahama wanakuja tu vihuni

  • @HusseinMdeke-fw9uy
    @HusseinMdeke-fw9uy 6 месяцев назад +1

    Ingekuwa ni uwezo wangu Eliza ningemondoa hapo anazingua

    • @queensalema5262
      @queensalema5262 6 месяцев назад

      Huyo aunt n mchangamsha group bwana 😂😂

    • @joyce55727
      @joyce55727 6 месяцев назад

      Mpelelezi huyo kuna kitu anaangalia apo na sio kutafu mwenza 😁😁

    • @HusseinMdeke-fw9uy
      @HusseinMdeke-fw9uy 6 месяцев назад

      Anaingia lakini

  • @MussaSongo
    @MussaSongo 6 месяцев назад +1

    Tabia yenu mbaya.wakiondoka mnawasema wasenge nyiee

  • @MusondoliRobert-ve4wz
    @MusondoliRobert-ve4wz 6 месяцев назад

    Aaliya wewe ni kiboko yao

  • @metrineomega1635
    @metrineomega1635 6 месяцев назад

    English has Englished here