SIKUTAKI | KABILA TATIZO | WANYANYASAJI | KWANZA HUWEZI KUNIHUDUMIA | HELLO MR RIGHT

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 янв 2024
  • ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 147

  • @andrewkamese8492
    @andrewkamese8492 5 месяцев назад +8

    Hapo hakuna mke,nashauri vijanawaende makanisan au miskini Bora.

  • @user-nc3ly6hy2y
    @user-nc3ly6hy2y 3 месяца назад +4

    Elizaaaa huyooo ataangukiaaa pabayaaa 😢

  • @Mwalimu-jm-mwathi
    @Mwalimu-jm-mwathi 5 месяцев назад +6

    Punguzeni mziki Aisee...inauudhii !

  • @omaryhaji4784
    @omaryhaji4784 5 месяцев назад +6

    Gara B umemuita jamaa kikatili sana "we mjita"

  • @isakakerambo1204
    @isakakerambo1204 5 месяцев назад +3

    Naomba mpunguze sauti mziki kidogo Ili maneno ya Mr right yasikike vizuri tafadhali

  • @YovinusNchimbi
    @YovinusNchimbi 3 месяца назад +2

    Hiv hawa walembo wanatafuta mume au pesa eliza tumemchoka

  • @user-fr7jj1bo7y
    @user-fr7jj1bo7y 5 месяцев назад +11

    huyu Eliza uzuri wa nje sio wife material atakayemchukua namuonea huruma sana kama anatafuta mwanamme wa kumuhudumia tu atamaliza wanaume wote hakuna mwanaume atakayeweza ishi nae mwanamke mwenye tabia kama hizo

    • @lilianeerica3318
      @lilianeerica3318 4 месяца назад +1

      Na kamezeekea hapo yani kanajiona kazurii na uzee unakanyemelea😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 3 месяца назад

    Background ringtone sauti iko juu sana

  • @moudys
    @moudys 5 месяцев назад +3

    Wanawake wahovyo sana

  • @ZamdaJuma-oy9wg
    @ZamdaJuma-oy9wg 5 месяцев назад +7

    Kaka dulla nakuunga mkono hapo hakuna wife material wote ni wadangaji tu😅😅😅😅

  • @bantu573
    @bantu573 4 месяца назад +2

    Is the background noice necessary??

  • @lilyngonyani2312
    @lilyngonyani2312 5 месяцев назад +1

    😮😂😂😂 hadi machozi😅😅😅......

  • @dw.biwacuhezahouse1738
    @dw.biwacuhezahouse1738 5 месяцев назад

    Noma

  • @DamasiAdam
    @DamasiAdam 17 дней назад

    Huyo Eliza ni Bi shangazii 👈

  • @fafunamohamud5089
    @fafunamohamud5089 5 месяцев назад +5

    Mr right muko. Va zuri lakini tatizo lenu. Punguzeni hiyo sound loud sana watu hawazisii vizuri sauti zenu

  • @user-ul5ev1vo4m
    @user-ul5ev1vo4m 5 месяцев назад

    😂😂😂😂😂Rose golden girl mara zote

  • @user-fv1ig6to8p
    @user-fv1ig6to8p 5 месяцев назад +1

    Yan mm ayo mambwa yananikera sana unataka mwanaume mwenye pesa wewe unazo ilo jingine mpka linazekea tu hapo

    • @nuruabraham3769
      @nuruabraham3769 5 месяцев назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 uwiiiiiiiiii

  • @metrineomega1635
    @metrineomega1635 5 месяцев назад

    😂😂😂😂😂let laugh oooh

  • @user-wq5vf3rq7o
    @user-wq5vf3rq7o 5 месяцев назад +14

    Kwa Dulla Makabila 😂😂😂😂 mbona tutapenda na kwakuwa katoka kweny talaka mda sio mrefu wajipange broo Dulla Makabila binafusi napenda unachofanya👊👊

  • @fidonsostenes
    @fidonsostenes 5 месяцев назад +1

    Wasenge kweli

  • @user-bb9qf1ct6s
    @user-bb9qf1ct6s 5 месяцев назад +1

    Sura zao zenywe mbovu hlfu vinajikuta vy maaana matako yao

  • @user-lp2oz5ug9j
    @user-lp2oz5ug9j 4 месяца назад

    Watachelew sana kuolewa

  • @user-vk3pl1st4h
    @user-vk3pl1st4h 5 месяцев назад

    Aisee rose

  • @hassansebe1798
    @hassansebe1798 5 месяцев назад +3

    Nime jifunza kitu kupitia Mr Right huyo but lakini Mr Right ameongeza maumivu badala ya kuamini kuwa atapunguza maumivu

  • @rahymaaa4357
    @rahymaaa4357 4 месяца назад

    Sister Kalia kitu cha kipuuzi kweli😂😂😂😂

  • @shangweyussuf640
    @shangweyussuf640 5 месяцев назад +1

    Hawa qanauza sura tu

  • @braggadachu1723
    @braggadachu1723 5 месяцев назад

    Nimetokea kulichukia jina la Eliza maisha yangu umbwa kabsa hyo kubwa jinga hyu eliza

  • @FrankMushi-cs5js
    @FrankMushi-cs5js 4 месяца назад

    Oyo Ross mpayaaaa Oyo demu gani mweuc Kam mkaaa suraaa mbayaa 😅😅 amajikuta mzuri

  • @user-mm8zs1qm1f
    @user-mm8zs1qm1f 5 месяцев назад

    Eliza una sura mbaya mshukuru mungu alikupa rangi

    • @lilianeerica3318
      @lilianeerica3318 4 месяца назад +1

      Yani hata sijuwi anajiona vip maana anaongea jmn kama anataka kupandishwa ndege aje uarabuni atapanda ndege na gari atapata akifanya kazi😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 4 месяца назад

    Jamani ROSE UMELIA DEAR POLE

  • @Mery-st4nu
    @Mery-st4nu 5 месяцев назад +1

    Eliza anasauti mbaya nilijuwa mwanaume😂😂😂 khaa ukipata mwanaume huko ndani vep😂😂😂

  • @poulmbogo1770
    @poulmbogo1770 5 месяцев назад +1

    Vijana tutafute pesa haya mengine yanadhililisha sana 😢😢😢😂

    • @chulelubella2819
      @chulelubella2819 4 месяца назад

      Kwani ukipata pesa ndio utakubaliwa na mwanamke yoyote kaka tambua tu ni mabinti makahaba hakuna bikra hapo wamejiuza vya kutosha Sasa wamekimbilia huku

  • @stewartsmazozo8254
    @stewartsmazozo8254 4 месяца назад +1

    Rose......😢😢😢

  • @shabanJuma-fe6wf
    @shabanJuma-fe6wf 5 месяцев назад

    Mwanaume unaejielewa unaenda Sehemu kama ivi kwenda kutafuta mpenzi ,apo unaenda kutafuta mpenzi au unaenda tafuta mdangaji ,Kwa mimi sioni mwanamke matirio hata mmoja bali nimeona wadangaji ,

  • @DamasiAdam
    @DamasiAdam 17 дней назад

    Huyo Eliza atazeekea hapo hapo

  • @user-qk1lh4sf3b
    @user-qk1lh4sf3b 5 месяцев назад

    Wanasikitisha kweli

  • @King66204
    @King66204 5 месяцев назад +1

    Kubadilisha kabila si ipo 😅😅 mwana kuwa mzigua mwambie nimebadili kabila kwa sababu yako 😊😊😊😊

  • @sharifu-story4644
    @sharifu-story4644 2 месяца назад

    Unajua Elza mama wewe auna uzur wowote dada punguza manjonjo umezeeka

  • @roseafrael75
    @roseafrael75 5 месяцев назад

    Eliza tulia maana huo weupe ndo unakubeba kutembea ujui umri ushaenda kuvaa pia ujui yani ww tulia tu na huo weupe wako uliochanganyikana na mkorogo. Kingine wanaume wa siku hizi siyo wa kutegemea kama umekubali kuwa nae unatakiwa pia ukubali kusaidiana nae majukumu ya kuendesha maisha yenu pamoja na familia .

  • @fatmahaji7661
    @fatmahaji7661 5 месяцев назад

    Flora muongo dahhh😂😂😂😂

  • @user-mm8zs1qm1f
    @user-mm8zs1qm1f 5 месяцев назад

    Eliza bibi kizee mwangalien vizuri amezeeka

    • @lilianeerica3318
      @lilianeerica3318 4 месяца назад +1

      Nikama uzee unafichwa na makeup 😂😂😂😂😂

  • @rosemerryfaustin1900
    @rosemerryfaustin1900 5 месяцев назад

    Zarish leo ungekaa natural kichwani kuliko icho kituko kichwani

    • @najmasalim-rg6ow
      @najmasalim-rg6ow 5 месяцев назад

      Kuanzia nguo mpak kichwan Leo yupo raf Sana kifupi Leo hajapendeza

  • @YINDIMAKUCHICHANEL-DOM
    @YINDIMAKUCHICHANEL-DOM 4 месяца назад

    Huyo mama nae anataka aolewe na kijana

  • @kihekaRobert
    @kihekaRobert 5 месяцев назад +1

    watu wa singeli na minanda wafukuzeni ni wabwatukaji

  • @stewartsmazozo8254
    @stewartsmazozo8254 4 месяца назад

    Hv mbona cjawah ckia mr.right yyte akihoji cv ya mrs.right yyte?? coz cdhan kama wengne hawan familia

  • @user-vw5tb8ns7e
    @user-vw5tb8ns7e 5 месяцев назад

    Duuub

  • @sidikassim6759
    @sidikassim6759 5 месяцев назад

    Nyie mr Right wote mnaokuja mnaongpea snaaaaa yni nyinyi bika kuongpea hmuez mnshis hsmuez kupta mwanmke yni kla jmaa anaekuja eti mpnz wk alikuw mkorof achen zni hta wanawke wanauzaif lkni mr right kwanza hkuna maowaji hpo waende kuchzeana tu

  • @bahamemagembe7485
    @bahamemagembe7485 5 месяцев назад +4

    Mbona kama makahaba wote, afu kama zero brain hawa mapoko

  • @magreciousthomas3527
    @magreciousthomas3527 5 месяцев назад +2

    😂😂😂uyo eliza mbon siku hizi namuon mbay😂

  • @eliezerwamungu4614
    @eliezerwamungu4614 5 месяцев назад

    Yaaani haw wanawake hawatafut wachumba wezi haoo

  • @user-re6gi5sr2p
    @user-re6gi5sr2p 4 месяца назад

    😢hivi hiki kipindi kinapatikana wapi nataka nije na mm kutafuta mchumbaa

  • @everlyneiminza5722
    @everlyneiminza5722 5 месяцев назад +2

    Hapa hamna mwanamke, dulla makabila kasema hawa ni maslayqeen hapa hawana mapenzi ni pesa wanaitaji😂😂😂😂😂😂

  • @geofreysadok4823
    @geofreysadok4823 5 месяцев назад

    Jamaa hana swaga za kushawishi anatia huruma😂haya mambo haya hivi huwa mnafikiria nini 😂

    • @SashaOscar
      @SashaOscar 5 месяцев назад

      Cjui hawaoni wasichan huko mtaani mpk kwenda kujidhalilisha Ivo kwa hao madanga 😢😢😢😢

  • @user-li1fl4jp3r
    @user-li1fl4jp3r 5 месяцев назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Kunavitu kumbe kaaa wjini wakike wwweweuxi kama lami

  • @user-sj6qh3yr5t
    @user-sj6qh3yr5t 3 месяца назад

    Duuh!! Huyo Rose mbona kama qnasulubiwa? Kinachomliza nini mwache aendelee kuuza sura.muongo huyo

  • @user-cf2tq1mt2k
    @user-cf2tq1mt2k 5 месяцев назад

    Simzime hyo melody sas ad inaboa maana hatuwezi msikia mtu vizur

  • @MallysAlly
    @MallysAlly 4 месяца назад

    Pia dada frola wapaswa kuwa na msimamo so vzr sasa ulikuwa unabishana ili iweje

  • @user-rl4eo7to2f
    @user-rl4eo7to2f 4 месяца назад

    Urembo wasura akili maviii

  • @user-tr5ld8sv8i
    @user-tr5ld8sv8i 3 месяца назад

    Ee kwan vp anataka chapat au 😅

  • @isabellamichael1025
    @isabellamichael1025 5 месяцев назад

    Nyie hapa Kuna vituko khaa😂😂😂😂😂

  • @materulivin5921
    @materulivin5921 3 месяца назад

    Nilicho gundua apo wanawake wote hawa itaj mwanaume bali pesaaa kama huna pesa hapo hutoboi ila kwanini wanaume wote wana jieleza ila wanawake hawajielez au ndo kuuziwa mbuzi kwenye gunia

  • @isakakerambo1204
    @isakakerambo1204 5 месяцев назад

    Eliza ye ana uwezo wa kuingiza sh ngapi Kwa mwezi

  • @sidikassim6759
    @sidikassim6759 5 месяцев назад

    yani masharo baro bwana yni kushawish nusu saa nzma toa kauli mja tu nakpnda naitaji nikuoe uwe mke wngu mtrjiw bas imeisha sio klele nyingi

  • @athumanii
    @athumanii 5 месяцев назад +1

    Anaeandika caption anaspoil kila kitu😢

  • @user-db1uy6hv9q
    @user-db1uy6hv9q 5 месяцев назад +1

    Wasenge hao wadada

  • @mohamedkwiga6870
    @mohamedkwiga6870 5 месяцев назад

    Udangaji umetawala hakuna mapenzi ya kweli hapo 😅

  • @ramadhaniharuna5441
    @ramadhaniharuna5441 5 месяцев назад

    hao wanaoangalia pesa wote ni malaya tu, wameacha kusimama barabarani, na kujiuza katika mabar wamekuja humo, hiki kipindi wata kiharibu hawa.

  • @MadenaIphone
    @MadenaIphone 5 месяцев назад

    Mjitahidi kupunguza sauti yamziki hamsikiki maneno

  • @christineneema3008
    @christineneema3008 5 месяцев назад

    Nimegundua Hwa wanawake niwale waliochosha kwa wanaume

  • @sumatumbo-mg4ik
    @sumatumbo-mg4ik 5 месяцев назад

    Hao madem wanazingua san na hao ndio wanawake pole brow

  • @yusuphjuma742
    @yusuphjuma742 5 месяцев назад

    Asipo kuwepo doctor hapo mambo yanaharibika

  • @evansthobias6460
    @evansthobias6460 4 месяца назад

    ujinga tu kujeni vinijijjini wanawake ni wengi

  • @MallysAlly
    @MallysAlly 4 месяца назад

    Ila dada Eliza chunga kauli zako hivi ww umeenda kutafuta pesa au mume

  • @stellahwilfred5762
    @stellahwilfred5762 5 месяцев назад

    Tuliolewa na watu hawana kaz

  • @hyacinthe313
    @hyacinthe313 5 месяцев назад

    Kwa haraka haraka dula namuona ni mtu fulani mwenye mahaba kitandani 😂😂😂😂inaonekana mpaka analiaga🤦🤦🤦

  • @philemonmagesa5548
    @philemonmagesa5548 5 месяцев назад

    Huyo eliza ni msenge wa kawaida ndo maana umri umeenda

  • @user-ms4fx5fb9l
    @user-ms4fx5fb9l 5 месяцев назад +1

    😂

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 5 месяцев назад +1

    Watu Watanga Wanayo Tabia Hizo Huwahapendi Kuomba Radhi Wakikosea

    • @nuruahmed4842
      @nuruahmed4842 5 месяцев назад

      😂😂😂ujakosea kabisa

    • @ummullaqsa974
      @ummullaqsa974 5 месяцев назад

      NAKUUNGA MKONO KWA ILO🤝cjui wanajkut nan aiseee

  • @FastpayMauzo
    @FastpayMauzo 5 месяцев назад +3

    Boy acha uongo iyo story ya kutunga

  • @Zenny89
    @Zenny89 4 месяца назад

    hawa wanawake hakuna kitu hapo...wanatafuta madanga tuu...hata watoe vilio

  • @user-cf2tq1mt2k
    @user-cf2tq1mt2k 5 месяцев назад

    Mhh kwel wanawake ni ectar me nkajuw analia amemkubal duuh

    • @lilianeerica3318
      @lilianeerica3318 4 месяца назад +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂Yani nimeshangaa

  • @user-mu6qj9jp3j
    @user-mu6qj9jp3j 5 месяцев назад

    Mademu wenyewe makahaba haoo wapenda pesa muwe munaweka wazi kwanini wamekuja hapo hao mademu wanamazito kilometers zimesoma zakutosha dar to kagera

  • @user-ox7qy7wy7j
    @user-ox7qy7wy7j 5 месяцев назад

    Elizabeth kubwa jinga

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 5 месяцев назад

    Mkileta watu wa hovyo kwenye show mtavuluga kipindi chenu Ao kina makabila wanini kipindini Au mwalimu mkuu Apo???

  • @user-rk7iw5mw8z
    @user-rk7iw5mw8z Месяц назад

    Kabila cio mapenz uyo uliyekutana nae cio uyo hawawez kuringana tabia jmn

  • @user-nn3ll5fr7s
    @user-nn3ll5fr7s 5 месяцев назад +1

    Yooooo😢😢😢

  • @geofreysadok4823
    @geofreysadok4823 5 месяцев назад +1

    Daaah hawa machangu wanajikuta wana maisha kumbe hamna lolote

    • @SashaOscar
      @SashaOscar 5 месяцев назад

      Yaani sio pw, hao hawajaenda kutafuta wachumba bali wanatafuta wakuwadangia ni madanga tu km madanga mengine

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 5 месяцев назад

      😂😂😂😂

  • @user-bi9lh1kk1i
    @user-bi9lh1kk1i 5 месяцев назад

    😂😂😂

  • @user-dk9tk3em5y
    @user-dk9tk3em5y 4 месяца назад

    Wote hao ni makahaba hakuna mwenye unafuu hapo

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 5 месяцев назад

    Sasa hilo limziki LA nini lakini hatusikii tunasikia hio mziki tu. Toeni hilo

  • @user-xe5md4vd8w
    @user-xe5md4vd8w 5 месяцев назад

    Anaitwa rose lakin tabia zake ni mchicha

  • @user-mb2ln1et5w
    @user-mb2ln1et5w 5 месяцев назад

    Et dk moja umshawishi mke na uondokenae huyo mkee au poneo ebu iwekeni vzuriiyo alafu kwanini mnauliza swali hili kwamwaume Tu? Et kwamara yamwisho kufanya nilini sasa ndoninj ili iweje ulizenj nawakike ili kuweka usawa

  • @user-lo9qm3co4i
    @user-lo9qm3co4i Месяц назад

    Uliza ni malay tu akuna mke apo

  • @richzebest2029
    @richzebest2029 4 месяца назад

    Kuna ubaya gani mkianza kutafuta wote?hakuna mwanamke hapo

  • @user-lt4xk3bj6q
    @user-lt4xk3bj6q 5 месяцев назад

    Mm nataka kutazama live nifanye nn

  • @Huncho_taitan_breezy
    @Huncho_taitan_breezy 5 месяцев назад +1

    Nilidhani Kenya ndio tuna ukabila kwenye mahusiano kumbe TZ ndio hatari,,binadamu tumeumbwa na tabia tofauti usiache ukabila ukaku katisha tamaa au ukakukosesha nafasi ya kumpata soulmate wako.

    • @faithfaith-zr6gz
      @faithfaith-zr6gz 5 месяцев назад

      Sisi hatuna ukabila, Huyo ni Malaya tu kashamaliza vigezo...

    • @Huncho_taitan_breezy
      @Huncho_taitan_breezy 5 месяцев назад

      @@faithfaith-zr6gz nimefatilia hiki kipindi sana wengi lazima waulize kuhusu kabila

    • @lakasid3860
      @lakasid3860 5 месяцев назад

      ​@@Huncho_taitan_breezysio hatari kuliko kenya acha uongo

  • @malimajuma9225
    @malimajuma9225 5 месяцев назад

    Hv natak kujua hao madem wako camp au wakitok hpo kila mtu kivyake ...

  • @emmanuelchacha6718
    @emmanuelchacha6718 5 месяцев назад

    Wizkid katoswa na Pisi Zote😂

  • @katolekiki368
    @katolekiki368 5 месяцев назад

    Eliza fala tu amna mwanamke apo Ata kaa Sana tu

    • @EvaNicholaus-og4im
      @EvaNicholaus-og4im 5 месяцев назад

      😂😂😂😂😂Eliza mbaya atar na hyo zarish nyau kbsa

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 5 месяцев назад

    Huyo eliza atakaebeba kabeba fuko la Mavi