MUONGO | HAINGIZI MILIONI 7 | KWANZA MFUPI SANA | KAZEEKA ANACHEKESHA | HELLO MR RIGHT
HTML-код
- Опубликовано: 18 фев 2024
- ►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder Развлечения
Kipindi kizuri sana kwa kweli ila tatizo linakuja kwenye hawa wa dada waliokuwepo hapo kwenye mr right wasipende sana kutoa kauli za kejeli ama dharau kwa sababu mtu mpaka anakuja apo anahitaji mtu wa kuanza nae maisha na wengi wanao kuja wanaeleza uhalisia wa maisha yao sasa kama hawajaridhika na mr right basi wasiwe na maneno ya kashfa ama ya kumumizaa yule mr right wakiona hawajaridhika na mr right ni bora watulie tu ama mtu akimuhitaji mr right basi amuulize maswali ya msingi na yenye tija
Afu watu wenyewe wanaotoa kauli mbovu Ni wabaya Sana sura zimewakomaa utafikili kumbikumbi😂😂😂
Hiyo miziwaaaaa
Hi team.. !? Jamani nawapeni hongera kwakuanzisha hicho kipindi kinawasaidia watu kupata wenza. Ila mimi ningependa kuwashari kuhusu hao warembo, au wake watarajiwa. Wangi wao wanakauri ngumu, jaribuni kuwafundisha lugha nzuri zakutumia. Kunakauri zingine nikama kumcheka kilema.. hiyo haiko sawa, kama hajampenda mtu, hawana sababu zakumsema mtu vibaya, hujampenda mtu kaa kimya.. very simple! Na itaendelea kutuza heshima ya show pia.. Asante!
Ndo maana mwanaume mwenye akili hawezi kushoboka nao
Sio heshma ya shoo tu hata yemwenyewe anajishushiya heshma maana atakae Kuja anae mtaka atafkriya piya kumchanguwa ataona bora aondoke km alivo Kuja kuliko kuondoka na mwanamke wa hovyo maana kuogeya sn sio sifa ya mwanamke anae jitambuwa
Ni kwel kabisa..hao majaji wanapswa wasikae upande wa warembo ,,wanatakiwa kusimamia misingi ya uchumba sio kumdadafua mtu..pia warembo wao wanataka watu wenye pesa tu duh yaan hapo hakuna cha wachumba wala ndoa
Hii show itakosa wateja kwajiri ya kauli mbaya ya hawa ma Dem,Wana midomo michafu sana,mtu kama hujampenda 🙏,kaa kimya please,asanteni
Hapo hamna kitu chochote kiujumla hio ni sehemu ya kujiuzia wanawake hamna mwanamke wa kuoa hapo Yani hapo ni mapenzi ya siku mbili pita hivi
Kwanza rita matikiti yashadondekeana😂😂
Nimechekaa hoi😂😂😂😂😂😂
Na nyie wanaume mnaoenda huko bila kufikiria mkome hasa ww ona hivyo vibinti vinavyokuzodoa ukome tuu😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂aibu naona mimi weeeh kuweza😂😂
😂😂😂😂Wakome
@@swalharajab8365 Ameenda kujitia aibu tu hata mm simtaki🤣
😁😁
Tuwekeeni no zao hao Mr right waliokosa taa 😊
,😂😂😂😂😂😂😂😂Wanaume mnaokwenda Mr Right kuvimba na vitu vya uongo mkomeeeeeeeee!!!! 😂😂😂😂🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️
😂😂😂😂nyonyo iyo ata mm imenichekesha
Mkidanganywa 😅😅 hamuamin, hamtaki. Wakija wakweli hamtaki!! Mtadanganywa sana ndo mnavyopenda
Mmmmmmmh izo pisi mbona zote mtindi umelala sana😂😂😂😂😂 duh cio poa amna mtoto apo wote apo wamezaaa watoto full full
Muhimu mapenz tu jaman ukichagua sana utakosa mke😂
Nampend luludiva umependeza ❤❤dear❤
Ndo VITU vietu ivi from 🇨🇩 salamu zangu zifikiye msani wg lulu diva na kukubali sn
Hawa mabinti kupata mtu sahihi ni issue sana maana wanapenda wakute mwanaume anazo badala ya kutafuta wote
Hawa sio mabinti Hawa ni wamama Tena makulubembe walioshindikanika
Yaani hao wanawake ni wabaya lkn wanaringa vbya cjui wanachoringia ni kipi , kiufup inachekesha hasaaa
Yaan Hawa wadada ni washenzi tu kama wanajiona wabichi si warud kitaa wakaone kama watafuatwa mbwa hawa
Hakunaga mwanamke mzuri anayeringa sikuzote. Kutana sasa na hao wenzangu na mm yeeewooomii utajuta
@@ananiamwatebela3159 Unajua ubaya wao mpk naona aibu mie , majumbani kuna piece zimetuliaaa , hapo hawezi kujitokeza mtu bila make up , na ajitokeze mmoja km kipindi hakitakufa hicho kwa kicheko
@@israeluronu9958 Sikumbingi hta kdg ,
😂😂yan kbc angalia apo misura michachu ila yanalinga@@israeluronu9958
Wanachagua sana
I'm a first today like to me
Wanawake wengi hao nizoga tu kwasababu mwanaume anapijitokeza yeye kusimama tu kila mmoja alishamsoma kuanza chini hadi juu,ni wanawake walionja kuolewa baada ya maisha yao kuwa duni ndiomana wamekuja hapo kwa ajili ya kupata riski kwa wanaume watakaokuwa nao.
Vibaya ambaya ambayo hawaoji ma binti mbele ya kuchagua maana ahiwezekani wamwulize mwaume peke yao bila kuuliza mwanamke kipato chake kwasababu mwanamke akitumaini sana mwanaume wengine wakibanwa matumizi ndioama wanaenda wana cheat sasa chunguzeni sio kwa mwanaume tu kwasababu nyumba ujengwa kwa watu wawili.
Jamani fanyeni ivi hao wanaume wanao kataliwa hapo mutuwekee namba zao kwenye scrin maana huyo kaka ananifaa kabisa mim na miaka 31 na mtoto wangu moja
Tena Jamaa mzur
Nikweli Kwasababu Wengine Maziwa Yamelalah Utafikiria Soxs..Yalivyo Lalah 😂😂😂
😂😂😂😂
Ahahhaahahah hatr
😂😂😂
muwe mnapiga jeki maziwa yenu kwanza ndo mpande kwenye stage kutafuta wanaume
Njoo unichukue mm miaka Yako sio tatizo umenipita mitano Niko hapa
GB tunawashauri warembo waspomuelewa mr light itoshe na siyo kumuaibisha mara kumshushua haipendezi kabisa binti aseme neno moja tu kwamba sijamuelewa
Yani hapo kama unataka mke siliaz kabisa hapastahiki imagine wote hakuna hata mmoja alojistiri yani ni kama madanga madanga hivi ya mjini ,anaesema mr right kazeeka mwenyewe ukimuangalia kifuani ni ndala tupu ,yani kijana amevaa hekima anajibiwa hovyo hovyo tu na dangaj
Ww mwenyewe maziwa yamelala
Tupo pamoja
Mnavituko mwanaume azeeke myaka 35 jaman co kweli ni uvivu wake wa kufikili tu
Full kujianika....ni upuuzi tu na kunidhalilisha mwanaume makini siwezi kwenda hapo 😂😂😂
Na hao wanaume wanaokuja kutafuta wake hapo pia awajielewi, mana mwanaume anaejielewe awezi kuja hapo
Mimi nadhani wanawachukua kwa ajiri ya ngono tu na badae kuachana maana wengi hawajielewi kabisa
@@dizzboss7526 Hapo umenena ndugu kwa kuangalia tu hapo akun mke wengi wadangaji tu ndo mana wanapenda pesa sana
Hao sio mabinti ni wa mama plus mashangazi ona maziwa yalivyo lala kama kimbinyiko
Mm natafuta mume ila kwenda huko siwezi jamani mm natafuta mume
Kesho nakutumia naul uje huku Mr right
Hawa mademu si wazuri kama wanavyojiona, wanajiona ni prize na wanastahili makubwa na si kweli. Waache Lugha chafu sbb hawana haki hiyo na wote wana mapungufu ya wazi na watu wanaona ila wanakaa kimya. Watayarishaji muwajibike tafadhali.
Walisha choka kabisa ebu hangalia matiti kama soxs jamani
Yameshikwa vya kutosha
Wajinga to awo wanajiona wazur wamezeeka pia
Mimi naona si jambo la msingi sana kuhoji mahusiano ya mtu. Maana hata hao mabinti walioko kwenye hiyo stage walikuwa na mahusiano yao na wengine walikuwa wameshindwa huko walipokuwa. Wamekuja hapo kutafuta mtu watakaendana. Je ingekuwa ni jambo zuri, mwanamke akimkubali mwanaume na yeye ahojiwe mahusiano yake ya nyuma yalikuwaje mpaka kufikia hapo? Jambo lingine ingekuwa vyema kuwauliza hao wanawake walioko hapo kwenye stage wao wanajishughulisha na nini? Mi naona kama mizani inalemea upande mmoja tu. Unajua wanawake wengine wanawaangalia nyie mnaosimamia hiki kipindi. Mfano mwanamke anasema nataka nipate mwanaume kama Gara B, kwa nje haoneshi lakini ndani ya moyo wake kunazungumza hivyo. Fikra zake zinamtuma gara b alifanikiwa kimaisha kama bahati. Asijue kwamba gara b alitengeneza msingi na mwenzake walieanza nae maisha mpaka hapo alipofikia. Wanawake wengi wa siku hizi wanaishi maisha ya tamthilia zaidi kuliko maisha halisi. Nionavyo mimi, kuna watu wanakuja hapo kweli wanatafuta wenzi wao, shida hao mabinti hawana jicho la kuona mtu sahihi. Mapenzi yao yako kwenye pesa na vitu, ambavyo wakati wowote vyaweza kupotea. Mimi nawasa tu hebu waishi maisha halisi watapata wenzi wao kwa urahisi. 😢😢😢
😂😂😂😂😂😂dada ziwa linakusuta jaman kheeeee ziwa limechoka lahaullah
Sauti ya muziki ni kubwa sana tunashindwa kusikia maongezi
Mrembo anapoanza kumponda mr light hata yule mbae angemuashia taa anaanza kuwa na aibu anahis akimuwashia taa atachekwa na hao waliomponda so haipendez
Yan madem wenyewe wote hawajielewi halafu wanajifanya wanahoji watu!
Dada funika hiyo miziwa
Wanaume wanaoenda hapo wote mimi naona ni wale wanaochukuaga machangudoa kwa sababu mimi sijaona mwanamke wa kuoa yani wanaonekana ni wanawake ambao hawana hekima pia mwanaume ambae anajitambua na kumcha bwana hawezi kwenda kufanya upumbavu ka huu yani kiufupi hawa mabinti na wanaume hakili zote zinalingana hamna utofauti na hawa eti ndio wanaosambaza sifa mbaya kwa wanaume na wanawake 🇹🇿🇹🇿
Mbona hizo nkurumbembe haziulizwi mpk zipo hapo zilimkosea nn mungu mpk kufika hapo kutafuta kuolewa si fedheha hizi jaman
KWA ya pili nimeona ziwa victoria
Jaman mi natamani kujua hivi mtu akipata mwenza hapo hawez achila ama😅
Mmh 🎉nagaria to
Babu Umechemsha Umeongopa uongo usiofanana na kweli unaingiza milioni 7 kwa mwezi Rais samia Apokei pesa hiyo 🤣mimi niazime peni hiyo mfuko wa suti 😂😂😂
Defamation at work
DADA ana nono lakini maneno kama babalevo
😮nawashaur ukimpat wako ukapime
Ee mana inaonekana pia kuna ni wazoefu sana wa mambo ayoo
Watauza sura Sana hao mdd
Nyie msichokijua nikwamba watu wazma malanyingi awasumbui lakin mkitka awa watoto wa 90 mpk20 mbona mtaangaika sanaa😂
❤❤❤
Huyo aariayah hvyo vinguo vya ajabu ajabu anavyo vaa anashndwa hata kusimama kwenye jukwaa muda wote kakaa kama mgeni mualikwa anaboa sana
Kuacha wadada waongee wanavyopenda inashusha hadhi ya kipindi, pia inaondoa heshima ya kipindi, watu watahofia kufik hapo na mwishoe kipindi kufa.
Wasichana hawa matapeli kweli Yan angekua namaokoto wanayoyataka wasingeona ufupi wala uzee
Hicho kinacho sema uyo ni mbabu chenyewe kimejitazama marambili mxuuu Yan vinakaul mbaya kama ugomvi limenikela ilo lidada
Aseee ivyo vidada vinajikutaaa aseee amna kitu hapo meka p tuu izoo
Maziwa ndala hatar
ivi najiulizaga sana wanaume wanaoendaaga hapo ni kwamba ni madomo zege au ktk pitapita zao hawakutani na wadada unajua hapo naona kama kujidhalilisha tu
Miaka 35 ni midogo sana Kwa mwanaume
Mazoea duh
Myaka 35 mbona iko sawa nyinyi mnanzinguwa sana kipindi kilipita kuna kijana mmemukata eti myaka 28 oooo nimyaka kidogo sasa nyinyi hamueleweki mko mbele mko nyuma duuu huruma. Wamoja wenu mtazehekeya apo halafu Wamoja wenu mnachaguwa sana nikiwatizama mm hakuna hata msichana naeza ambia mtu eti wende uchaguwe mke hakuna . Mmesha choka kabla ya myaka 😁😁
Sisi wanawake bana hatueleweki inamana mfupi simwanadamu
Yani hawa wanakera na akifika mrefu wanamkataa 😏😏
Bado mdogo huyo ndiyo maana hamuolewi zalau tu miaka 35 Bado mdogo sana
Apo sas mie ninamiaka 24 na mbaba wangu miaka36 na wengi wao waga awazingui Maan mambo yaujana ujana unakuta tiali yamefifia😂😂😂
Hawana akili hawa we unaona hawa wanaakil timamu
@@user-pg6db8jl2yawajielew 35 kwa mwanaume bado sana
Miez miwil michache sana kimjua
Wakati mm nimetulia hapa natafuta mume siaje anichukue mm ninamiaka 30 jamani
Nafikaje kweny iki kipind😅😅
Mbon mnaleta wadada wengi maziwa yamelalaa alafu akili hawan muwe mnamwambia lulu diva akae na kipimo cha akili au udocter wake anatibu nn
Anyone Anaonekana muongooo😅😅😅😅😅
Masuala ya umri yanahusiana nini tena we hapo kifuani panaonyesha kuwa sio mtoto ziwa la kuliokota kabisa hili mhhhh ila nyie mtakaa sana hapo
Mwanaume awe fupi awemrefu haijalishi kikubwa atambue majukumu yake, mnawadhalilisha sana hao wanaume ndomaana wanakuja kuwadanganya.
Ona likaka lilivoumbuka mpk aibu jaman hiyo ni michano live
Anaugonjwa wa kuzimia hivi unatoa wapi hayo maneno
Kwa hiyo sie wenye miaka 40 ni dada yake na babu.watoto wa siku hizi bwana!!!
Kiukweli inauzunisha
ndo mkomage yaani hadi aibu naona mimi
Ni kipindi kizuri but wadada wawe wastaarabu kuongea ,voz pia inaeza kuwashushia heshma kuonekana kama ,Malaya flani hivi
MWAMBA kala suti na kalamu pembeni kama muhaya
😢😢😢
Ivi awa majombaa wanaenda tafuta wanawake kweli au michezo maana uku mitaani jaman kunawarembo atar kuliko ayo majusi panya yamedha choka hapo meka p inawabeba
Bora mijanaume yote inayoenda hapo aijielewi wacha kimrambe
Hawa wanatak ma hb hao wauza sura
Dada maziwa yashall 😂unajifany bd binti 😅😅
Murabesha ngusa
😂😂😂😂😂😂
Mvae borezia matiti ya melala san
Miaka 35 mbona mdogo sana jamni nina miaka 38 ndoo kwanza nawaza dirahm za waaarabu niwe na kwangu 😂😂😂 ntaolewa tu hata nikiwa bibi
We 35 tu/ mie 40 na bado nasaka RIAL 😂
miaka 35 wanasema nimzee na akifika wa miaka 27 eti ni mdogo sana yani hawa 😏😏😏
@@marthesifa-5803 hawa si waolewaj
Yaan Hao wanataka kuteseka na vitoto vya 2000😂😂😂
@@user-pg6db8jl2y hata wakija hao pia hawawatak, madanga hao wanaanhalia sura na pesa
Miyaka 35 ni mbabu miyaka 40 au 45 ni mnani
Ni babuyee!
Apo chacha vivivu vya kufikili iv mwanaume 35 bado sana
Hakuna mwanamke ama mwamume Mzee wa miaka 40/45
🤣🤣😂
Kwann hawavai sindiria😢
Huyo anae sem et umrii umeenda yy hilo nyonyo liko wap limekaa kam ndara
Kwani mnapendea wanaume pesa nyinyi warembo mnatwabia mbaya
mbona wanawake wa hapo hamna kauli nzuri yaan mnakatisha tamaa