Mboto awatoa machozi waalikwa
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- “Nimerogwaa...”- Haji Salum almaarufu “Mboto’ alivyowachana mbavu na kuwatoa machozi waalikwa wakati wa uzinduzi wa msimu wa pili wa tamthilia za Kiswahili za Tanzania ndani ya chaneli ya #SinemaZetu.
#Tunu #Mihemko #Haikufuma #SaluniYaMamaKimbo #Mimi #MinneTena #Mi4Tena #SinemaZetu #HakikaNiZaKwetu
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
Nampenda bure mboto from 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mbotoncho kichwa kibovu nakukubari sana hujawahi kuangusha.....
Safi sana
Ila jamn lulu nimzur💕💕💕
Hiyo makeup ivi umemuona live? mm nimemuona pale millenium tower na dela lake kidogo nikimbie
@@mussambogoni849 🤣🤣🤣🤣🤣ila we akiri zako
@@mussambogoni849 lulu mzuri ww
@@mussambogoni849 😅😄😄😂😂🤣🤣
Sichokag kuangalia hii interview wallah😂😂😂😂😂
Mboto Leo umeniumiza mbavu zangu 😀😀😀😀
Upo juu mboto nakukubali sana
Nakbl kk
😂😂😂😂😂,mchekeshaji original,sawa Mboto
Mboto your genius
😂😂😂😂 jaman mi naludisha mbaka bando linaisha Yan mboto nyie Mbavu zangu mie uku
Hongeren vioooo vyetu
Nampenda mboto🤩🤩🤩😍🙏
Gonna like za fall pupa
raha sanaaaaa.......
😀😀 suti za mitumba is washing 😀😂😂😂
Ndio anaitwa mande na tumesoma shule moja darasa moja ashukuliwe mungu kwa kumuinua mande wetu kaka mkuu Wa shule
Kimomboooo htr
Duuuh mbotonyo ni nomaaa
Ngwwwwa
mboto salute 🙌...namtafuta nani aliye nisukuma kwenye maji usiniulize nimevukaje vukaje hapa 😂😂😂😂
6:54 mzee akashndwa kuvumilia 😅
Sijawahi kuchekeshwa kaa hii na mboto. Nimecheka sana
hahahaaa hata mim cjawah kuchoka kuangalia hii crip..napenya penyaje ili nisiangalie😂😂😂
Mboto sijawahi comment umenichekesha sana
Duh hatar sana hamia kwenye kitimtim na akina Pili yaani huyu akiigiza lazima ucheke tu
Mboto ana vituko jmn kaaa😀😀😀
😂😂😂😂😂😂😂ila mboto chizi Sana ww
Aah... Shishi beb uko wapi maa... Pacha wako ni mboto😂😂english samaleku😅
🤣🤣🤣🤣
😄😄😄
Jmni mboto namkubali saana
Kiukweli mboto msanii mzuri yani ukimuangaliatu unachekatu
Jamani eeh tuongeeni hichi hichi cha kawaida😂😂😂😂
😂😂😂😂Vipaji jmna❤️💃
Mbotonyo umenifurahisha😂😂
duh piece kama zote...
Nice
😂😂😂😂😁ASA mwaisa.kaingiaje hapo jamn
Mboto anajua aiseeeee😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Blessed man
Mnajua hili Toto jinga sana mjue...hahaaa
Muhogo mchungu huxzeeeki.duh
Huuuuuu kweli
Had I raha mashallh amechangamsha ukumbi mbotonyo
Hahahahaha nami nimecheka mpk mchozi
Mbotoooooo ww ni falaa kweli yan mbavu zangu maana sio kwa kucheka huku
Asante mboto
Mbotoo shikamoo
Mkojan yk wp
Talented
😀🤣🤣mbavu zangu mimi🤣🤣Mbotonyooo!!
Kinge kimekushinda unalia? Pole baba ongea kikwetu tu tutakuelewa😂
Nice voice mboto😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ivi wewe mboto wajionaga nani wewe mbona umeumiza mbavu zangu mimi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wa msanga huyoo mbotonyo we mkalinyo
Naijua Story hii alotowa Mbotto 😂😂😂😂😂😂
Mbotto👏👏
Mbotto ni mwehu😮😮
😂😂😂
Pumbavu. Is very washing 😂
Uyo bwana anayetikisa kchwa apo mgongoni ananipa raha
Mbotonyo 😂😂😂🤣🤣suti za mtumba is wanshing
Mbotonyoh 😆😆😆😆🤣
Acha uhuni mboto vichekesho vingi
Mbavu zangu mieee
Haji ww kha nimecheka sana😃😃😃
wapi mkojni
Nakuchukiaga na uyanga wako lakin kwa hili umetisha
Mboto wewe mbavu zangu 🤣🤣🤣🤣
We mboto utaua mbavu zangu .kumbuka kuna korona bn 😆
Dah 🤣🤣🤣🤣🤣
Ety msiniulize nmepenyaje namtaka aliye nisukuma 😂😂😂😂😂
Mboto ni hatari na nusu nimecheka sana
Courageous
Kweli mboto hatali
❤❤❤❤❤
Mboto wwee😅😅😅
Mboto now it's ur time to show us how gineus you a . Kweny intro umeua kinyama
Waaah 🤣🤣🤣🤣from 254
😂😂😂🤣🤣🤣mbavu zanguuuu mieeeee
Umenikumbusha ilikuwa Bana Kongo nadhani!!!! hhhhh Magonani!
Kweli
Ujawai kosea😹😹😹😹😹😹😹😹
Mbotto unanin lakn jamani😁😁😁
😂😂😂😂😂😂😂uwiiii
Hivi jamani muhogo mchungu tangu mi mdogo kabisa kupata akili naanza shule namaliza naanza kutafuta maisha leo naishi muhogo yuko hivihivi kwani muhogo baba etu babu yetu au we muhogo umekula nni ndugu yangu
Amekula chumvi huyooo
Kuna.mihogo umekutana.nayo mingi tu ila huu ni muhogo mchungu
Kala muhogo wa jang'ombe
Ila kwel Ata me nashanga
Yn yuko hvhv
Fally pupa anapiga makofi tu aaahahha Mzee zingo anazingua
Fally umemuona wap?
ruclips.net/video/MPZHB86EEBI/видео.html
Huyu jamaa anazinguwa kishenzi...😃🙂😃😍😂😂
Mboto utauaaaah
Nataka alienisukuma
🤠😁
Move yaakina mboto inaitwaje naitamani kuiyona
Mbosso hanaga mitchezo
4:01 kuanzia hapo 😂😂😂😂😂😂
Shilole leo asaidiwaaa haha
Kwely
Daah😄😄😄😄
Pisi Kali wanavyo cheka
We kweli juma love umeona pisi Kali tu
Dah woya amezeeka kinoma
Kwan yy Vompire jamani binadam hamna dogo loohh 🙄🙄
Umeona ehn
Kwisha kupo
We kiboko yaoo
Boko lao😀😀itsi very very washingi
😄😄😄😄het nimelogwa
Is very very washing😝😝😝😝
😂😂😂🎉🎉
Huu jamaa Mboto si utopolo huyu amejaa majungu tuu
Mnaleta utim kwenye kaz za watu. ...
Ya pilau,ugali,viazi mlenda
😂😂😂😂mboto bwana
Daaaah😂😂😂
D