MR RIGHT MCHAFU | VIATU VIMEISHA | SIOWEZI KUWA NAE | BORA NIZEEKE HIVIHIVI | HELLO MR RIGHT

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 мар 2024
  • ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 152

  • @Tyughcdrbdt
    @Tyughcdrbdt 3 месяца назад +7

    Hao wadada wanataka mwanaume mzuri nq mwenye helaa,,,,wenye hela wako kawaidaa sanaaa like my man,,,tuache kudharau wanaumeee,,

  • @hatmampya4642
    @hatmampya4642 3 месяца назад +5

    Hawa ndugu zetu sasa sijui wanataka nin, kwan mavazi si unambadilisha mkiwa kwenu huko 😢😢

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel 3 месяца назад +18

    Eliza Eliza Eliza hadi unaleta kichefu chefu unazarawu watu sana njomana hawutapataga bwana utazehekeya apo apo mwana mke nitabia wako wanakuona kwenye mitandao kwamba tabiya yako sio nzuri kabisa . Ulipataga vija wanao jiweza wakakupenda lakini si uliwakataaga ww

    • @DorcasAmos-mv8cy
      @DorcasAmos-mv8cy 3 месяца назад +1

      Atazeeka mara ngap?

    • @EmJesho
      @EmJesho 3 месяца назад +2

      Eliza hana adabu

    • @RandB_Channel
      @RandB_Channel 3 месяца назад +1

      @@DorcasAmos-mv8cyyani kijana atakaye angukiya kwake atapata tabu sana

    • @Mery-st4nu
      @Mery-st4nu 3 месяца назад +1

      Yani mimwanamke nimemchoka sijui Hao wanaume wanamuonaje

    • @issahpaul4510
      @issahpaul4510 3 месяца назад

      Huyo Eliza hajaja kutafuta mwanaume hapo kaja kuuza sura tu....anapenda tu umaarufu

  • @StellaSanga-wq4po
    @StellaSanga-wq4po Месяц назад

    Kaka mzuri hivi wanamkataa

  • @user-su1nc3uy8j
    @user-su1nc3uy8j 3 месяца назад +2

    Mbna huyo Eliza nmeanza kumuona Zaman na hapati mtu afu ana dharau nngekuwa mm hapo nngeshamnasa vibao kitambo

    • @JudyLee-hf9cy
      @JudyLee-hf9cy 3 месяца назад +1

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @BenArchard-yy6qf
    @BenArchard-yy6qf 3 месяца назад +3

    Eliza ni kenge mjane tu😂💔 uyo kaja kua ribu kipindi swez mvumilia huyu bibi

  • @gresramadhan
    @gresramadhan 3 месяца назад

    Good idea, mmedamshi

  • @tawhidaabbasi8584
    @tawhidaabbasi8584 3 месяца назад +1

    yani eliza unaboa unachefua kabisa ntamn uwe hup ww kma mzr up perfect mbn adi leo hujtok au upo ap unsbr kuchguliwa chefu kabisa

  • @happyyonahoutlook3081
    @happyyonahoutlook3081 3 месяца назад +1

    Aaliya umependeza love

  • @kitemerosanga109
    @kitemerosanga109 28 дней назад

    Hapo doctor unakazi kubwa sana na wakina eliza

  • @danielmakelemo2395
    @danielmakelemo2395 3 месяца назад +1

    Watu wenye kipato kikubwa wanaume hawawezi kuja hapo,wanakutana na wenza juu Kwa juu pia hawa wadada wanakutana na changamoto sana ya kujua mume sahihi ni yupi saa nyingine Ninavyoona kama huyo mangi yupo sawa ila muonekano na ukweli wake umemponza na wakati muonekano mtu anaweza kubadilika kutokana na mwanamke

  • @user-gc8qo3qc1q
    @user-gc8qo3qc1q 2 дня назад

    Jaman mwanaume anaweza kuwa na mapungufu yake Ila huyo mwanamke pia haha tulia

  • @janetdundul3858
    @janetdundul3858 3 месяца назад +1

    Yani kwaza mwanaume anatakiwa asiwe msafi sana jamani wewe ndio unamfundisha mwezio yani sisi wanawake bwana tunakosaga mengi😢😢😢

  • @EmmanuelLevi-cd3pq
    @EmmanuelLevi-cd3pq 2 месяца назад

    Eliza kazingua sana age go akatafute babu kizee anaweza kumuendesha kwa maneno yake ya karaha nimemshusha vyeo ana point hata kidogo jitu nzima hovyo😂😂😂😂😂

  • @joycesamwely7896
    @joycesamwely7896 3 месяца назад +1

    Hawa mabinti wanapenda kudanganywa sana kwa sababu mavaz ni kitu gani wanaume weng wataftaji hawapendi kuvaa San ila wanajua San kuvalisha wake zake

  • @kutailass6671
    @kutailass6671 3 месяца назад +2

    Elizabeth hayuko kutafuta mume hapo😢 sema yupo tuu kujidhalilisha tu

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 3 месяца назад +1

    Kwanza anakashifa san huyo dada weipe niwake am wadukan aengekuw na rangi kam warangi angeringa

  • @ammydaniel8947
    @ammydaniel8947 3 месяца назад

    Jaman mmeona mavaz 😃wamepewa somo nn!!😊

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 3 месяца назад +1

    😂leo kitenge day mmependeza

  • @GiftAbduly
    @GiftAbduly 3 месяца назад +1

    Huyu eliza wanampanga😅 maan ana ufala hasa

  • @yustinahchitema4724
    @yustinahchitema4724 3 месяца назад +2

    Hivi Eliza hajui km amechokwa au ndo kujitoa fahamu

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 3 месяца назад

    DOCTOR KINGONGO KIMEKUCHOMOKA HIKO KITAMU ❤

  • @mapenzi4813
    @mapenzi4813 3 месяца назад +1

    Kwan mtakula viatubwatu wengine bwana si utamuoshea akikuoa na utamvalisha akae vizuri kama utakavyo

  • @sinomiles
    @sinomiles 3 месяца назад

    Hao walembo wanakuja hapo kuuza sula ili waonekane tu kwahio show, easpecialy Eliza Amekataa Wanaume wengi hapo ana excuses nyingi, natamani mtuoneshe mwanaume wa Eliza alie mkubari. I always watching this show , some othe those Ladys came up there kuuza sula ili wajulikane., Wanaume sahihi wanawapita machoni mwao. It was Sino Miles all the way from Australia. Garab na team yeke mnatupa show nuzuri 👌👌👌👌👌

  • @MuslihYahya
    @MuslihYahya 3 месяца назад

    Kenge mjane eliza kiburi kitakuponza hata ukitoka kwenye hio stage hapo bas pia ss tunaojielewa huwez tupata kenge wa rangi ya kijani ww

  • @SabrSeleman
    @SabrSeleman 3 месяца назад

    Mh Eliza huji kupata mume utachelewa sana mana we nimwehu hujielewi Tena hapo hujaenda kutafta mume umeenda kuuza sura tuu

  • @kitemerosanga109
    @kitemerosanga109 28 дней назад

    Hao wanawake wanapenda wanaume wenye hela

  • @kitemerosanga109
    @kitemerosanga109 28 дней назад

    Huyo Eliza bado yupo huyo atazekea kwenye hizo podiam

  • @user-db1uy6hv9q
    @user-db1uy6hv9q 3 месяца назад

    Ellza anazingua sana

  • @MiliamNeneka-us5ks
    @MiliamNeneka-us5ks 3 месяца назад

    Eliz aondoke anaharibu kipind inaonekan... Km mnachez amuko series majaji mnamfunga

  • @Kakozi-pj6ib
    @Kakozi-pj6ib 3 месяца назад

    Eliza anatafuta umaharufu kw show ya mr. Right " jama yuko simpo sana na kipato chake cha k7 kw mwez wee Eliza una dis viatu na kofia kwn ivo ndo enda kula ukiwa nae ???. Funga ilo domo lako dada angu ,,, wala ckuombeeeiii duah chafu but God is watching u 4 really "

  • @EmmaMwanyika
    @EmmaMwanyika 3 месяца назад

    Mi nafikir waliopo kwenye pod hz .. wale nao wanaukomo wa mda ...

  • @RoseNyasa-zi3fr
    @RoseNyasa-zi3fr 12 дней назад

    Eliza yaani

  • @metrineomega1635
    @metrineomega1635 3 месяца назад +3

    Eliza na zarish 😂😂😂 Yani ndio uzee ushawaingia chubwiii

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 3 месяца назад +1

    Huyu dada mbona hamumtowi anajikuta qeen au mbona anamadhalau sana

  • @burtonmwanjela
    @burtonmwanjela 3 месяца назад

    Elizaaa we elizaaa 😂😂😂😂

  • @user-ix9kq6ke2m
    @user-ix9kq6ke2m 3 месяца назад

    Eliza ana kere sana

  • @neemaneychricious6493
    @neemaneychricious6493 3 месяца назад

    Hahahaha mi nishasema jamn elizaa anakera na ana kichefu chefu flani unadharau wakak wawatu asa hapo umeenda kutaft nin we kama una hela c ujikalie hela zako acha upumbv wew utajiona mzurii wee utabak na uzuri wako kila mwanaume akija hapo hawez kuw na wew mana ashakuon mtandaoni wew tabia yako ucmdhalilishe mtu umtaki mwache atapata wakwake unaker sana we dem kenyew kabaya kama kabeji mbovu

  • @belnatha0685
    @belnatha0685 3 месяца назад

    huyo eliza hajioni hayo mabaka yalomjaa mwilini miguu myembamba alafu anadharau mhh!!

  • @Mamie286
    @Mamie286 3 месяца назад +1

    Tunako elekea Eliza atatoka hapo na kibogoyo

  • @user-qo1xg1xg4g
    @user-qo1xg1xg4g 3 месяца назад

    Mmmh huyu eliza ana mashauzi hatari... 😂😂

  • @elvilamwambambale950
    @elvilamwambambale950 3 месяца назад +1

    Eliza mumfukuzen mwigizaj tu huyo wa kitimutimu

  • @glorymanga3650
    @glorymanga3650 3 месяца назад

    Heeeee elizaaaa kumbeee bado upoooo

  • @giddie_barnabas
    @giddie_barnabas 3 месяца назад

    Eliza kahaba 😂😂

  • @jacobmelody
    @jacobmelody 3 месяца назад

    Eliza mpaka leo yupo tu na sura yake ya kifashisti😂

  • @BrightLewis
    @BrightLewis 3 месяца назад

    Ila eliza 😂😂😂😂

  • @peaceaggysimle7939
    @peaceaggysimle7939 3 месяца назад

    Eliza anazinguaaa

  • @christainc.5217
    @christainc.5217 3 месяца назад

    Kunawatu wanaweza kuja hapo naniwatajiri ira wanajifaa wamasikini sasa hakiri mbovu zawanawake wanashitukiya mwenye amevaa vizuri hizo sihakiri uyo eriza hanadabuu atagandiya hapo simumufukuze

  • @ZolufaMas-ie4un
    @ZolufaMas-ie4un 3 месяца назад

    Watu wanajiskia sana hapo kwa show

  • @user-oo8kg9qi3i
    @user-oo8kg9qi3i 3 месяца назад

    Nmesoma naeee uyuuuu

  • @user-du5hc8we6p
    @user-du5hc8we6p 3 месяца назад

    Toa eliza

  • @fatumamfumia4507
    @fatumamfumia4507 3 месяца назад

    Mimi nadhani ELIZA ana shida sana kila mwanaume kwake ana shida labda akatengeneze wa kwake

  • @abdulkhalim9475
    @abdulkhalim9475 3 месяца назад

    Eliza anajishauwa kwa uzur hajui km uzuri unaisha

  • @pendogasper7846
    @pendogasper7846 3 месяца назад

    Yan uyo elza atamalza huu mwaka apo apo

  • @emmamilanzi7821
    @emmamilanzi7821 2 месяца назад

    wewe dada mwanaume anaongeshwa anapendeza anafuliwa anakuwa msafi

  • @user-hx4eh3cq1n
    @user-hx4eh3cq1n 3 месяца назад

    Yaani hawa mabinti wanadharirisha wakati mwingine bora usiende huko yaaani

  • @SmilingFreshwaterLake-tg5qp
    @SmilingFreshwaterLake-tg5qp 3 месяца назад

    Viatu binafanya nini wewe Eliza acha kumudharau sisi tunaishi nje ya inchi nguo siyo kitu

  • @asukulubashilwango1907
    @asukulubashilwango1907 3 месяца назад

    Ila eliza wakati mwengine yuko sawa maana kuna wanaume wengine wanadanganya

  • @LovelyCoastline-il1lr
    @LovelyCoastline-il1lr 3 месяца назад

    Mapenzi sio pesa bwana japo pesa inanafasi kubwa kwenye mapenzi, sasa navishangaa hivi vidada jaman

  • @SleepyBoat-jk6gi
    @SleepyBoat-jk6gi 3 месяца назад

    Eliza unapenda ukweli sana

  • @user-du5hc8we6p
    @user-du5hc8we6p 3 месяца назад

    Eliza mjinga sana

  • @najmasalim-rg6ow
    @najmasalim-rg6ow 3 месяца назад

    Eliza bibi hyu😮

  • @happynkya9770
    @happynkya9770 3 месяца назад

    msipomtoa eliza hapo anaharibu kipind mno yaan anaboa

  • @user-ts5bu7os5d
    @user-ts5bu7os5d 3 месяца назад

    Kwan huyo Eliza jamani tulishakaa kamati kuwa aondoke Sasa anasubiri Nini hapo,Hadi mnakera jamani anakashifu watu mbwa huyo yeye mwenyewe anajiona mtu katika watu takataka hilo

  • @neemalema8992
    @neemalema8992 3 месяца назад

    Eliza bhana unaboa sana sana hata sipendagi upewe nafasi ya kuongea pia wadada kumpata mwanaume unayemtaka ni wewe kumtengeneza sio aje meahatengenezwa huyo atakuwa sio wako ni wa mtu pia kipindi hakinogi tusipopata couples bhana

  • @happyBrayt
    @happyBrayt 3 месяца назад

    Eliza angeweza kuwa na kauli nzuri angekuwa ashaondoka mpeni ushauli jaman

  • @JumaDezombie-cn3yu
    @JumaDezombie-cn3yu 3 месяца назад +1

    Eliza ataondka Lin hyooo vngnevooo atafukuzwaaaaa

    • @sinomiles
      @sinomiles 3 месяца назад +1

      Juma yes, swali Zuri sana👌

  • @stellakatana3643
    @stellakatana3643 3 месяца назад

    Huyu Eliza anatakaje kwa mfano sasa unataka mume wakuishi nae au unataka wakwenda nae fesheni? Ukiingia nae kwa ndoa kama mwanamke utamueka vzuli ww mwenyewe Eliza kama huko tayari kuolewa toka hapo umenichosha kujitia mjuaji na uko single ovyoo

  • @yusuphshitabo9813
    @yusuphshitabo9813 3 месяца назад +1

    Siwez kulia kisa demu ase huyo chalii niaje

  • @Tyughcdrbdt
    @Tyughcdrbdt 3 месяца назад

    Elizaaa utachundaaa mpk mr right inaishaaaaa😏😏😏

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 3 месяца назад

    Huyo dada mjinga san hawajui wachaga hawajui

  • @HedielJohn-xo9ec
    @HedielJohn-xo9ec 3 месяца назад

    Mubabaa

  • @user-rj4cd7oc4x
    @user-rj4cd7oc4x 3 месяца назад

    Kidogo leo wamevaa nguo

  • @Justinaombay
    @Justinaombay 3 месяца назад

    Jamani Eliza atoke hapo. Atakuwa anadate na mtu hapo na amenogewa hataki kumuacha amkubali wake

  • @jamilaseif3465
    @jamilaseif3465 3 месяца назад

    Eliza akili hana hivi unajua kuna mtu anaweza kuvaa vizuri kumbe sio maisha yake niamevaa tu kuja kutafutia mwnamke wewe Eliza ni mshamba sana

  • @jacintamuhavi
    @jacintamuhavi 3 месяца назад

    Pia mimi hapa nipo single

  • @ericaheddy9796
    @ericaheddy9796 3 месяца назад

    Eliza 😂😂😂 cyo poa atabaki kuzeeka bila mchumba ana changua sana kah

  • @berndschneider372
    @berndschneider372 3 месяца назад

    Eliza anakipato gani kwa mwezi ? ,maana Kila mahala yeye anaulizia kipato cha mwanaume

  • @user-tr5ld8sv8i
    @user-tr5ld8sv8i 3 месяца назад

    yaan uyo eliza sura kama kisigino libayaa kama ninini

  • @ndolepeter2770
    @ndolepeter2770 3 месяца назад

    Hiv Eliza ungekua unalipa ungejianika kwenye runinga

  • @personalitiesan9806
    @personalitiesan9806 3 месяца назад

    Never listen anything from a modern woman........ focus on with your life and good woman will find u there along

  • @faithfaith-zr6gz
    @faithfaith-zr6gz 3 месяца назад

    Zalishy ungejijua umeshakuwa mzee Wala usingekuwa una nyodoa hapo... Yaani aibu yako na limwili lako la ovyooo

  • @leshyhaule
    @leshyhaule 3 месяца назад

    Elizaa n kahabaa to huyuu hnaa lolote kahaba hyoo

  • @GodfreyAbdallah
    @GodfreyAbdallah 3 месяца назад

    Hv kwanini huyuu Eliza msimuondoe jamaniiii tushamchokaaa

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de 3 месяца назад

    Eliza ovyooo kuropoka utaishia kukaa hapo hapo bibi kizee ndo mana majaji wamekwambia ndo mana kuna muda hawakupi nafac y kuongea washakudhsrau

  • @noellahgervas90
    @noellahgervas90 3 месяца назад

    Eliza anavyoanzaga kama vile ana akili timamu

  • @lawrenciamkolwe796
    @lawrenciamkolwe796 2 месяца назад

    Huyu kaka anamtafuta mke mwema

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 3 месяца назад

    Wanawake wa sasa hivi ni mtihani

  • @user-wm6vc2hp5b
    @user-wm6vc2hp5b 3 месяца назад

    Elizabeth bado upo 2 ujapata bwana😂😂😂

  • @rechalmshana1293
    @rechalmshana1293 3 месяца назад

    Eliza😂😂😂😂

  • @israeluronu9958
    @israeluronu9958 3 месяца назад

    Eliza usisahau huyo ni mangi, yukotayari avae matambara alemlo mmoja lkn pesa anayoingiza nyoko ww huwezi amini,,, mjini watu wanaishi kwa hakili unaeza kupata wamuonekano na akawa mzigo kwako. Hujishangai umri huo hata hujaolewa buranda ww.

  • @user-we4ef8mc5x
    @user-we4ef8mc5x 3 месяца назад

    ila uyu eliza khaaa

  • @user-pi1ff6lc3g
    @user-pi1ff6lc3g 3 месяца назад

    Af mbona Eliza mbaya to

  • @sinomiles
    @sinomiles 3 месяца назад

    Sio Eliza tu , kuna nawengine wasichana hapo wawili, yani kira show razıma tuwaone hawataki kutoka hapo .nawashauli watafute mwanaume sahihi, najua pesa zina umhimu ila Pesa zinatafutwa, Nimemaliza.

  • @danielstephano9723
    @danielstephano9723 3 месяца назад

    Eeliza Unataka mme au unataka nguo nzur? Mbona kama bado una utoto mwingii unazingua vibaya mno

  • @danielnkholoma3416
    @danielnkholoma3416 3 месяца назад

    Uyu Eliza mimi simpendi ananikera yaani sijuwi

  • @titosimon4360
    @titosimon4360 3 месяца назад

    Naomba namba ya Victoria Mimi ni mbaba sijaoa

  • @anithiajohn9209
    @anithiajohn9209 3 месяца назад

    Jmni niliis eliza ametok😅😅😮

  • @aika3024
    @aika3024 3 месяца назад

    😹😹😹😹🤣

  • @GoodluckKarey-mf4xs
    @GoodluckKarey-mf4xs 3 месяца назад

    Elizabeth anajipya aongezewe Pepsi