MR RIGHT MCHAFU | VIATU VIMEISHA | SIOWEZI KUWA NAE | BORA NIZEEKE HIVIHIVI | HELLO MR RIGHT
HTML-код
- Опубликовано: 11 мар 2024
- ►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder - Развлечения
Hao wadada wanataka mwanaume mzuri nq mwenye helaa,,,,wenye hela wako kawaidaa sanaaa like my man,,,tuache kudharau wanaumeee,,
Hawa ndugu zetu sasa sijui wanataka nin, kwan mavazi si unambadilisha mkiwa kwenu huko 😢😢
Eliza Eliza Eliza hadi unaleta kichefu chefu unazarawu watu sana njomana hawutapataga bwana utazehekeya apo apo mwana mke nitabia wako wanakuona kwenye mitandao kwamba tabiya yako sio nzuri kabisa . Ulipataga vija wanao jiweza wakakupenda lakini si uliwakataaga ww
Atazeeka mara ngap?
Eliza hana adabu
@@DorcasAmos-mv8cyyani kijana atakaye angukiya kwake atapata tabu sana
Yani mimwanamke nimemchoka sijui Hao wanaume wanamuonaje
Huyo Eliza hajaja kutafuta mwanaume hapo kaja kuuza sura tu....anapenda tu umaarufu
Kaka mzuri hivi wanamkataa
Mbna huyo Eliza nmeanza kumuona Zaman na hapati mtu afu ana dharau nngekuwa mm hapo nngeshamnasa vibao kitambo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Eliza ni kenge mjane tu😂💔 uyo kaja kua ribu kipindi swez mvumilia huyu bibi
😂😂😂
anaongea utumbo sana 😅
Good idea, mmedamshi
yani eliza unaboa unachefua kabisa ntamn uwe hup ww kma mzr up perfect mbn adi leo hujtok au upo ap unsbr kuchguliwa chefu kabisa
Aaliya umependeza love
Hapo doctor unakazi kubwa sana na wakina eliza
Watu wenye kipato kikubwa wanaume hawawezi kuja hapo,wanakutana na wenza juu Kwa juu pia hawa wadada wanakutana na changamoto sana ya kujua mume sahihi ni yupi saa nyingine Ninavyoona kama huyo mangi yupo sawa ila muonekano na ukweli wake umemponza na wakati muonekano mtu anaweza kubadilika kutokana na mwanamke
Jaman mwanaume anaweza kuwa na mapungufu yake Ila huyo mwanamke pia haha tulia
Yani kwaza mwanaume anatakiwa asiwe msafi sana jamani wewe ndio unamfundisha mwezio yani sisi wanawake bwana tunakosaga mengi😢😢😢
Eliza kazingua sana age go akatafute babu kizee anaweza kumuendesha kwa maneno yake ya karaha nimemshusha vyeo ana point hata kidogo jitu nzima hovyo😂😂😂😂😂
Hawa mabinti wanapenda kudanganywa sana kwa sababu mavaz ni kitu gani wanaume weng wataftaji hawapendi kuvaa San ila wanajua San kuvalisha wake zake
Elizabeth hayuko kutafuta mume hapo😢 sema yupo tuu kujidhalilisha tu
Kwanza anakashifa san huyo dada weipe niwake am wadukan aengekuw na rangi kam warangi angeringa
Jaman mmeona mavaz 😃wamepewa somo nn!!😊
😂leo kitenge day mmependeza
Huyu eliza wanampanga😅 maan ana ufala hasa
Hivi Eliza hajui km amechokwa au ndo kujitoa fahamu
DOCTOR KINGONGO KIMEKUCHOMOKA HIKO KITAMU ❤
Kwan mtakula viatubwatu wengine bwana si utamuoshea akikuoa na utamvalisha akae vizuri kama utakavyo
Hao walembo wanakuja hapo kuuza sula ili waonekane tu kwahio show, easpecialy Eliza Amekataa Wanaume wengi hapo ana excuses nyingi, natamani mtuoneshe mwanaume wa Eliza alie mkubari. I always watching this show , some othe those Ladys came up there kuuza sula ili wajulikane., Wanaume sahihi wanawapita machoni mwao. It was Sino Miles all the way from Australia. Garab na team yeke mnatupa show nuzuri 👌👌👌👌👌
Kweli
Kenge mjane eliza kiburi kitakuponza hata ukitoka kwenye hio stage hapo bas pia ss tunaojielewa huwez tupata kenge wa rangi ya kijani ww
Mh Eliza huji kupata mume utachelewa sana mana we nimwehu hujielewi Tena hapo hujaenda kutafta mume umeenda kuuza sura tuu
Hao wanawake wanapenda wanaume wenye hela
Huyo Eliza bado yupo huyo atazekea kwenye hizo podiam
Ellza anazingua sana
Eliz aondoke anaharibu kipind inaonekan... Km mnachez amuko series majaji mnamfunga
Eliza anatafuta umaharufu kw show ya mr. Right " jama yuko simpo sana na kipato chake cha k7 kw mwez wee Eliza una dis viatu na kofia kwn ivo ndo enda kula ukiwa nae ???. Funga ilo domo lako dada angu ,,, wala ckuombeeeiii duah chafu but God is watching u 4 really "
Mi nafikir waliopo kwenye pod hz .. wale nao wanaukomo wa mda ...
Eliza yaani
Eliza na zarish 😂😂😂 Yani ndio uzee ushawaingia chubwiii
Huyu dada mbona hamumtowi anajikuta qeen au mbona anamadhalau sana
Elizaaa we elizaaa 😂😂😂😂
Eliza ana kere sana
Hahahaha mi nishasema jamn elizaa anakera na ana kichefu chefu flani unadharau wakak wawatu asa hapo umeenda kutaft nin we kama una hela c ujikalie hela zako acha upumbv wew utajiona mzurii wee utabak na uzuri wako kila mwanaume akija hapo hawez kuw na wew mana ashakuon mtandaoni wew tabia yako ucmdhalilishe mtu umtaki mwache atapata wakwake unaker sana we dem kenyew kabaya kama kabeji mbovu
huyo eliza hajioni hayo mabaka yalomjaa mwilini miguu myembamba alafu anadharau mhh!!
Tunako elekea Eliza atatoka hapo na kibogoyo
Mmmh huyu eliza ana mashauzi hatari... 😂😂
Eliza mumfukuzen mwigizaj tu huyo wa kitimutimu
Heeeee elizaaaa kumbeee bado upoooo
Eliza kahaba 😂😂
Eliza mpaka leo yupo tu na sura yake ya kifashisti😂
Ila eliza 😂😂😂😂
Eliza anazinguaaa
Kunawatu wanaweza kuja hapo naniwatajiri ira wanajifaa wamasikini sasa hakiri mbovu zawanawake wanashitukiya mwenye amevaa vizuri hizo sihakiri uyo eriza hanadabuu atagandiya hapo simumufukuze
Watu wanajiskia sana hapo kwa show
Nmesoma naeee uyuuuu
Toa eliza
Mimi nadhani ELIZA ana shida sana kila mwanaume kwake ana shida labda akatengeneze wa kwake
Eliza anajishauwa kwa uzur hajui km uzuri unaisha
Yan uyo elza atamalza huu mwaka apo apo
wewe dada mwanaume anaongeshwa anapendeza anafuliwa anakuwa msafi
Yaani hawa mabinti wanadharirisha wakati mwingine bora usiende huko yaaani
Viatu binafanya nini wewe Eliza acha kumudharau sisi tunaishi nje ya inchi nguo siyo kitu
Ila eliza wakati mwengine yuko sawa maana kuna wanaume wengine wanadanganya
Mapenzi sio pesa bwana japo pesa inanafasi kubwa kwenye mapenzi, sasa navishangaa hivi vidada jaman
Eliza unapenda ukweli sana
Eliza mjinga sana
Eliza bibi hyu😮
msipomtoa eliza hapo anaharibu kipind mno yaan anaboa
Kwan huyo Eliza jamani tulishakaa kamati kuwa aondoke Sasa anasubiri Nini hapo,Hadi mnakera jamani anakashifu watu mbwa huyo yeye mwenyewe anajiona mtu katika watu takataka hilo
Eliza bhana unaboa sana sana hata sipendagi upewe nafasi ya kuongea pia wadada kumpata mwanaume unayemtaka ni wewe kumtengeneza sio aje meahatengenezwa huyo atakuwa sio wako ni wa mtu pia kipindi hakinogi tusipopata couples bhana
Eliza angeweza kuwa na kauli nzuri angekuwa ashaondoka mpeni ushauli jaman
Eliza ataondka Lin hyooo vngnevooo atafukuzwaaaaa
Juma yes, swali Zuri sana👌
Huyu Eliza anatakaje kwa mfano sasa unataka mume wakuishi nae au unataka wakwenda nae fesheni? Ukiingia nae kwa ndoa kama mwanamke utamueka vzuli ww mwenyewe Eliza kama huko tayari kuolewa toka hapo umenichosha kujitia mjuaji na uko single ovyoo
Siwez kulia kisa demu ase huyo chalii niaje
😂😂😂wew ujawai kosaa thus why 😅
Elizaaa utachundaaa mpk mr right inaishaaaaa😏😏😏
Huyo dada mjinga san hawajui wachaga hawajui
Mubabaa
Kidogo leo wamevaa nguo
Jamani Eliza atoke hapo. Atakuwa anadate na mtu hapo na amenogewa hataki kumuacha amkubali wake
Eliza akili hana hivi unajua kuna mtu anaweza kuvaa vizuri kumbe sio maisha yake niamevaa tu kuja kutafutia mwnamke wewe Eliza ni mshamba sana
Pia mimi hapa nipo single
Eliza 😂😂😂 cyo poa atabaki kuzeeka bila mchumba ana changua sana kah
Umeonaa
Eliza anakipato gani kwa mwezi ? ,maana Kila mahala yeye anaulizia kipato cha mwanaume
yaan uyo eliza sura kama kisigino libayaa kama ninini
Hiv Eliza ungekua unalipa ungejianika kwenye runinga
Never listen anything from a modern woman........ focus on with your life and good woman will find u there along
Zalishy ungejijua umeshakuwa mzee Wala usingekuwa una nyodoa hapo... Yaani aibu yako na limwili lako la ovyooo
Elizaa n kahabaa to huyuu hnaa lolote kahaba hyoo
Hv kwanini huyuu Eliza msimuondoe jamaniiii tushamchokaaa
Eliza ovyooo kuropoka utaishia kukaa hapo hapo bibi kizee ndo mana majaji wamekwambia ndo mana kuna muda hawakupi nafac y kuongea washakudhsrau
Eliza anavyoanzaga kama vile ana akili timamu
Huyu kaka anamtafuta mke mwema
Wanawake wa sasa hivi ni mtihani
Elizabeth bado upo 2 ujapata bwana😂😂😂
Eliza😂😂😂😂
Eliza usisahau huyo ni mangi, yukotayari avae matambara alemlo mmoja lkn pesa anayoingiza nyoko ww huwezi amini,,, mjini watu wanaishi kwa hakili unaeza kupata wamuonekano na akawa mzigo kwako. Hujishangai umri huo hata hujaolewa buranda ww.
ila uyu eliza khaaa
Af mbona Eliza mbaya to
Sio Eliza tu , kuna nawengine wasichana hapo wawili, yani kira show razıma tuwaone hawataki kutoka hapo .nawashauli watafute mwanaume sahihi, najua pesa zina umhimu ila Pesa zinatafutwa, Nimemaliza.
Eeliza Unataka mme au unataka nguo nzur? Mbona kama bado una utoto mwingii unazingua vibaya mno
Uyu Eliza mimi simpendi ananikera yaani sijuwi
Naomba namba ya Victoria Mimi ni mbaba sijaoa
Jmni niliis eliza ametok😅😅😮
😹😹😹😹🤣
Elizabeth anajipya aongezewe Pepsi