SIMTAKI ANAONEKANA ANAPENDA WAMAMA | ANAPENDA MTELEZO | HANA KAZI
HTML-код
- Опубликовано: 20 янв 2024
- ►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder Развлечения
Sema sisi wairaq wazuri siyo wanaume siyo wanawake ❤❤❤napenda kabila langu
Aisee umesema kweli
Jamani naomba like tu 💯 100
Izo like 100 unalipwa??
Had wanaume kumbe mna shobo za kike za kuomba like
Ndo hao wanaolewa dume zima kuomba like
Unazipeleka wap
@@PaulinaSemindu-ob3de aya aanze mzee wako sawa tuko pamoja
He is Real | 💯🔥🔥
sema watu wa manyara sio arusha wew.. arusha hatuna mawaki wa ivyo
When he starts making big money….. I swear people will change their minds
We mwiraq umekosa wanawake nyumbani unaenda kuchagua mke Mr right duh unatufelisha ndugu zako 😢
😢😢niaibu aisee alafu mm naona kama niukahaba unaendlea hapo
Habari zenu ukweli ni nayo furaha kubwa kuona kama Tanzania tuna weza hongera sana ni mimi Simba from Netherlands
Kumbeee ni mbuluu mwenzgu 😢😢😢😢😢❤❤❤❤❤❤😊
Nimependa jamaa jinsi Anavyo tembea 🔥🔥🔥
😂lulu tumesema sawa sawa
Wanazingua hao madem wenu wanajishongodoa sana
❤🎉
Kuna wengine tulikataa watu wadogo wenzetu tukataka mazee ...mazee yakatujaza mimba wakakimbia wakaja kulea wale watoto wenzetu 😢
🎉❤
Flora🤣🤣
Huyo dem ameyumba 😂😂
Hawa wadada wanapoteza muda tu, nahs hamna anaejua anachokitaka
Hahahaaa, niko manyara hapa nawazuum ndugu zake huyo jamaa walivyo wazuri !!!! Weuweeeeeeeee! Wairaq ni wazuri bana dah!!!
Wadada chefu
Na mimi nataka kutafuta mchumba ntapapata Je....😅😅😅😅
Flora 😂
😂😂😂😂😂rudi karatu uchukue wa mburu wenzio
😅😅😅😅ngoja ncheke
Namtaka uyu
😂😂😂😂flora ni nyoko
Huyu florah hafai kuwe mke anafaa kuliwa tu na kuachwa sio kila mwanamke ni wa kuoa
Ana matatizo ya akil
Mbona Manyara kuna watoto wazur sana kaka si uende kwenu ukaoe?
Wakorofi sana ndugu zake😅
Nabii hakubaliki kwao 😂
Mwana kaacha pisi yumbani kaja kwa wakogwe mani turudi hom
Nikimwona aaliyah naona ukahaba tu
Alliyah limeshamtaman mister right...
Kwani nyie wakaka mmefikia hatua hii jaman kwani huku kwenye jamii hamuon wanawake mbona mnajizalilisha Hivi familia zenu zinajiskiaje Na huu niumalaya uliojificha
Acha ujinga hii ni burudani Kama burudani nyingine umalaya peleka kwenu
HAWA WANAWAKE MGEWAPENGIA WAKIZINGUA MALA TATU ANATOKA KATIKA MASHINDANO WANAWESHA TAA WANAZIMA SABABU AZINA MSINGI WANAPOZESHA KIPINDI😂😂😂😂 🇹🇿 🇬🇷
Huyu madam anavsaje yupo uchiuchi tu hapendezi
Natak nijiunge jmn nafanyaje
Umalaya tu
Flora utazeeka apo
Acha kumdhalilisha mwanangu machangudoa nyie
Mbona fupi jmn
wanazingua hawa.