SIPENDI WAUZA NGUO | SIWEZI KUKAA MIEZI 2 | MUONEKANO WAKE SIJAUPENDA KABISA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 дек 2023
  • ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 225

  • @Matunzo_Classic
    @Matunzo_Classic 7 месяцев назад +27

    Labda niulize swali kwa wadada ambao wanaenda kutafuta wanaume kwenye hiki kipindi ivi huwa mnaenda kutafuta wenza wa maisha au mwenza wa fashen tambueni pia wanaume wanaoenda hapo nao pia wapo na tabia kama zenu ndio maana mnakutana hapo bado mnaanza kuchaguana chaguana dada huwezi kumpata mwanaume mwenye uwezo unaoutaka wewe hpo mwanaume unaekutana nae hapo ndio unastahili kuwa nae
    Mungu akupi unachotaka anakupa unachostahili.

    • @pueblo148
      @pueblo148 6 месяцев назад +1

      Wanafanana tabia Kwa hiyo huko ndio wakutane.kitendo Cha kufanana tabia hiyo ndio bond

    • @mgeniotto254
      @mgeniotto254 2 месяца назад

      Hao wa2 ni midomo zege

  • @cheao2544
    @cheao2544 6 месяцев назад +9

    Soundtrack iko juu sana punguzeni ndo tuwaskize vizuri

  • @francisniyokindi6737
    @francisniyokindi6737 7 месяцев назад +9

    🇧🇮🇧🇮much love From Burundi i m Francis

  • @Zuuh4286
    @Zuuh4286 7 месяцев назад +8

    Nipo wa 1 kwa mr Right🔥🔥🔥🎉🎉

  • @fatumahapesamohamedfatumah4633
    @fatumahapesamohamedfatumah4633 7 месяцев назад +8

    So handsome .Hawa wasichana wanachagua sana.Endeleeni mtasimama sana apo.

    • @lilianeerica3318
      @lilianeerica3318 6 месяцев назад +2

      Ndio ni handsome ila apo hakuna mume kama unamacho yakuhangalia vizuri

    • @luganoesomu5301
      @luganoesomu5301 4 месяца назад

      afadhali umesema kuna mabinti hawajui kuwaona wanaume, mwanaume wahivi mwanamke akimsumbua kidogo tu kumuacha anaona ndo maamuzi ya kiume,au kukiwa na matatizo wote kwenye nyumba mtajikuta mnalia hakuna mwanaume @@lilianeerica3318

  • @DeboraJames-pd8ne
    @DeboraJames-pd8ne 7 месяцев назад +13

    Sauti ya mziki ipo juu sana

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 7 месяцев назад +7

    Mr right anaonekana tu hayupo matured

  • @sathysohal2075
    @sathysohal2075 3 месяца назад

    Nimempenda mr right he is smart... Ana misimamo ya kiunaume.. he does what he likes Na nywele pia kapendeza sana sanaaa...

  • @themalumbos4214
    @themalumbos4214 6 месяцев назад +4

    Sauti iko juu sana inaingiliana na mazungumuzo

  • @honorykwahhay4364
    @honorykwahhay4364 6 месяцев назад +6

    Soundtrack Iko juu sana, inaingiliana na mazungumzo, punguzeni tufurahi zaidi mazungumzo

  • @user-lo5sr2xw3k
    @user-lo5sr2xw3k 7 месяцев назад +3

    Mnaweka saut ya Radio juu sana

  • @y5y5prime58
    @y5y5prime58 7 месяцев назад +1

    Uwa naipenda iki kipindi San from 🇴🇲

  • @lucykikoti1849
    @lucykikoti1849 5 месяцев назад +2

    Hicho kitopu tuu 😂😂 afu anavuta sigara huyu midomo yake yaonyesha

  • @febyakinyi1979
    @febyakinyi1979 7 месяцев назад +6

    Nice show but background music is very high

  • @sarazacharia
    @sarazacharia 6 месяцев назад +2

    😂😂😂 nimecheka sanaa lulu diva 😂😂😂😂😂🙌❤🥂

  • @mosseslusambo4940
    @mosseslusambo4940 6 месяцев назад +1

    Nimekipenda sana hicho kipindi

  • @NaggawaSumayiyah-ny7mk
    @NaggawaSumayiyah-ny7mk 7 месяцев назад +5

    Nimefurahi sana kuwaona Tena

  • @marymolel800
    @marymolel800 7 месяцев назад +7

    Sauti ya mzik iko juu kuliko raia

  • @kijanayaaput8940
    @kijanayaaput8940 6 месяцев назад +10

    Naomba tu mpunguze mlio wa instrumental kidogo ili sauti za wenye wako kwa show waskike vizuri. Otherwise napenda sana show yenu ya Mr. Right. Mimi ni shabiki.

  • @poulmbogo1770
    @poulmbogo1770 7 месяцев назад +27

    Jamaa kwanza anajibu kisipastaa kizarau yaani kama hajali don't care yaani kwamba yaani alitoka akiamini kwamba yeye atawashiwa taaa sana na swaga za watot wa mjini

    • @nahlahassan-fd6le
      @nahlahassan-fd6le 7 месяцев назад +3

      Kweli lkn jamaa haeleweki, ata Ivo alivovaa ah, halaf kaapa nywele hakati ahahaaa hata mm simpendi mwanaume mweny kufuga minywele

    • @Cfd_monarch
      @Cfd_monarch 7 месяцев назад +2

      @@nahlahassan-fd6le ni wewe hupendi ko yeye imsaidie nini kama hupend wsnaume wanaofuga nywele

    • @Sidrasidra636
      @Sidrasidra636 6 месяцев назад +4

      Kusema kweli si mstarabu huu anaonekana uki mmpeleka kumtambulisha nyumbani ataaza ku chana😂

    • @collinsbella8360
      @collinsbella8360 6 месяцев назад

      Kazingua Hana jipya huyo

    • @SerenakaremboDzombo
      @SerenakaremboDzombo 5 месяцев назад

      😂😂😂😂

  • @user-od9jk1yq1e
    @user-od9jk1yq1e 7 месяцев назад +7

    Kamera mnayotumia haitowi picha vizur badirisheni kamera bwana

  • @Nurianlife
    @Nurianlife 7 месяцев назад +2

    saiz tuna enjoy jmn 😅❤❤ full ep

  • @marthasonia5005
    @marthasonia5005 7 месяцев назад +1

    Nice 🇺🇸🔥🔥

  • @elizabethswai7777
    @elizabethswai7777 7 месяцев назад +3

    Mm mwenyewe sijamuelewa huyu kk

  • @alfredrweyemamu7807
    @alfredrweyemamu7807 6 месяцев назад +2

    Diva una akili asee acha uwaelimishe dear❤

  • @hassanndauka9685
    @hassanndauka9685 5 месяцев назад

    Yes yes yes iyo kwioo acheni kushawishi muacheni mwenyewe amue

  • @NdekejaKamuli-sh5pe
    @NdekejaKamuli-sh5pe 7 месяцев назад +6

    Mmmmh mwamba muongo muongo na pia alijua wataweweseka naee ila kala cha chuma

  • @AbdurazakiKisoma
    @AbdurazakiKisoma 6 месяцев назад +2

    WEWE AAALIYA UNAWAHARIBIA MA MR.RIGHT AU UNAWATAKA WEWE HAO MAMR.RIGHT😢😢😢

  • @agnesgeorge6818
    @agnesgeorge6818 7 месяцев назад +6

    Punguzen mziki ili tufurahie zaid mazungumzo!

  • @-vu2cs
    @-vu2cs 7 месяцев назад +2

    Jamaa hayupo smart kabs in terms of intelligence.

  • @dennyosoko8075
    @dennyosoko8075 7 месяцев назад +6

    I love how these people host mr right

  • @magdalenabenedict2089
    @magdalenabenedict2089 7 месяцев назад +9

    Wanawake ndo tulivyo akil fupi tupenden tu hivo hivo

  • @NancyBrayan-wi2lr
    @NancyBrayan-wi2lr 7 месяцев назад +4

    Hako ka sharon si kanaigizaga na jot ndo kmeamua kuj kutft bwan🤣🤣

  • @AdmiringBamboo-pf5sd
    @AdmiringBamboo-pf5sd 6 месяцев назад +1

    Kaka bishoo sana bwana mwanaume apendez ivyo

  • @jumajingi8172
    @jumajingi8172 7 месяцев назад +4

    aaliya mjanja mjanja sana....a lot of vibe

  • @aminamwivita7690
    @aminamwivita7690 7 месяцев назад +3

    Lulu diva love you so much ❤❤❤❤

  • @SashaOscar
    @SashaOscar 7 месяцев назад +5

    Mkaka mwnyew anaonekn ana dharau

  • @NasserSifa-hr4ql
    @NasserSifa-hr4ql 7 месяцев назад

    Boa noite liga moz Maputo 🇲🇿🇲🇿🇲🇿👌

  • @fatmamohammed8346
    @fatmamohammed8346 6 месяцев назад +1

    iyo mike kwanza anavoishika mhhhh siyo mume huyu ndani mnasumbuwana

  • @user-eu5xt1vb6f
    @user-eu5xt1vb6f 6 месяцев назад +2

    Ogopaaa mtu wa hvyo hahahaha na kitopuu chakee

  • @sauka9622
    @sauka9622 7 месяцев назад

    Raha sanaa

  • @kaawas8326
    @kaawas8326 7 месяцев назад +3

    Nakipenda sana hich kipind wach nikae kwa kutuliq

  • @Assay-gn1wv
    @Assay-gn1wv 7 месяцев назад +2

    Booooh ndio mwanaume huyo????😂😂😂😂😂 ni kiliooo

  • @omarsakwa-zs2zy
    @omarsakwa-zs2zy 7 месяцев назад +1

    This is a big player

  • @wilmotkilanga5117
    @wilmotkilanga5117 6 месяцев назад +2

    Nice show,i love the background music.

  • @mussacharlesSongo-or4wn
    @mussacharlesSongo-or4wn 6 месяцев назад

    Mnahoji vitu muhimu sana siyo poa.punguzeni maswali ya ki dwax

  • @user-ug6df5kg7n
    @user-ug6df5kg7n 7 месяцев назад +6

    😂😂😂muonekano muhimu ...umaridadi huficha umaskini...sasa. Mtu amevaa ivi ...anakaa kihuni😢....ila ni handsome

    • @Kim.Bashir
      @Kim.Bashir 7 месяцев назад +2

      Ulitaka aongee kinyonge aosio😅😅madem wanaokopa wanaume wazuri ila haimanishi hamam hawamtaki wanataka tu ila hawajiamini🤣🤣

  • @anethbwino1026
    @anethbwino1026 7 месяцев назад +2

    Yaani lulu diva umenichekesha yaani mtu kakunongoneza wewe unanyanyuka 😅😅😅

  • @mpendwalove4390
    @mpendwalove4390 7 месяцев назад +5

    Hivi this huaga ni real au ni script ?

  • @user-uw5xf5bo2l
    @user-uw5xf5bo2l 4 месяца назад

    jaman am in love with MC Gara B ❤❤❤❤❤

  • @theresiakibasa3221
    @theresiakibasa3221 7 месяцев назад +5

    Kwa Editors sound Effects zimekuwa juu sana kiasi ambacho zinafanya shoo iwe boring. Please rekebisha at least iwe 4 . Ahdante

  • @sunaybrajabu238
    @sunaybrajabu238 7 месяцев назад +3

    Hujamaa unyama mwingi ndo umemuangusha

  • @aminamwivita7690
    @aminamwivita7690 7 месяцев назад +2

    Aaliya i love you so much ❤❤❤❤

  • @naomioscar
    @naomioscar 6 месяцев назад

    Nipanisha❤❤❤😂😂😂

  • @Assay-gn1wv
    @Assay-gn1wv 7 месяцев назад +2

    Ona mdomo unavyo pindishwa😂😂😂😂😂 kama wanaigiza

  • @boashamah3642
    @boashamah3642 6 месяцев назад +3

    All the way from Australia 🇦🇺
    How can I join this show
    I would like to find a lady Here

    • @azizaaziz9261
      @azizaaziz9261 6 месяцев назад

      I also wish to join the show for sure so when they will answer your question on how to join please help me know

  • @user-gm2xi7pz4n
    @user-gm2xi7pz4n 2 месяца назад

    Kwa ngu mimi nimetaka kuomba upande wa mafundi *Cabine technique* kupunguza mzusiki uwee chini ya Mic zoteee ili tuwe tuna sikia vyema wanapo zungumza. Asanteni.

  • @fistonnibigira167
    @fistonnibigira167 4 месяца назад

    For all the girl they are there handsome guy just left like that🇿🇦🇧🇮

  • @ntigirinzigovianney6107
    @ntigirinzigovianney6107 Месяц назад

    Music background volume Iko juu hatuskii vizuri chenye wanaongea

  • @user-fx6zr3nt1v
    @user-fx6zr3nt1v 7 месяцев назад +2

    lulu wanaume awajawahi kuwa mbwa rabda unao kutana nao

  • @hawababy120
    @hawababy120 7 месяцев назад +1

    🇧🇮🔥🔥🔥❤

  • @flm1530
    @flm1530 7 месяцев назад +4

    Hako ka sharoni kanaigiza na jotiii

  • @ozuabrahamu8079
    @ozuabrahamu8079 7 месяцев назад +4

    Jama ubixhi wake kakoxa chombo 😂😂😂 anaambiwa anyone nywele eti hizi hazitok xinyoi 😂😂😂 warembo wot wameon wamchinje nimefurah

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 7 месяцев назад

      🤣🤣🤣🤣

    • @nishaabdula5015
      @nishaabdula5015 7 месяцев назад

      Tatizo anajuamini sn ndo mana kachinjwa

    • @ellymwampashe8927
      @ellymwampashe8927 7 месяцев назад

      Angekubali tu si anakataa kunyoa baada ya kula mzigo

  • @roseraymond4954
    @roseraymond4954 7 месяцев назад +2

    Alia mate yamemtoka jamn😂😂

  • @Evelinweek
    @Evelinweek 7 месяцев назад

    😂❤🥂

  • @jairusbarasa2544
    @jairusbarasa2544 6 месяцев назад +2

    Sauti inaharibu bana,,tuned in from Kenya

    • @user-zu8dk2zo8b
      @user-zu8dk2zo8b 5 месяцев назад

      Huyo sharon nae akae kwa kitungamana sio kwa kutulia tu

    • @jairusbarasa2544
      @jairusbarasa2544 5 месяцев назад

      @@user-zu8dk2zo8b hi

  • @rahymaaa4357
    @rahymaaa4357 4 месяца назад

    😅😅😅bro kapendeza bit angejibu vizur alikuwa kama anabato na mabinti😅😅

  • @ellymwampashe8927
    @ellymwampashe8927 7 месяцев назад +3

    Mkaka mzuri ila ana kona kona nyingi. Kuwa naye ni complications tupu. Unaweza lia kila siku

  • @QUEENJoseph-kh6cb
    @QUEENJoseph-kh6cb 6 месяцев назад +2

    Nimependa hapo maana alijuwa muonekano wake anapata mtu yani hao majanga

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 3 месяца назад

      Yan kaumbuka😂😂😂halijua hapindui

  • @user-pg6db8jl2y
    @user-pg6db8jl2y 4 месяца назад

    😂😂wakaka wauza nguo wahuni

  • @user-mw9qh7to3y
    @user-mw9qh7to3y 6 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤❤

  • @mgenisimba5902
    @mgenisimba5902 6 месяцев назад

    Aliya jamaa umemcheki aje 😂😂😂

  • @halidhemed7524
    @halidhemed7524 2 месяца назад

    He's young tho ..akikua ataacha!

  • @officialraines8995
    @officialraines8995 6 месяцев назад

    Jamanii 😢😢😢😢

  • @jestinandemba
    @jestinandemba 2 месяца назад

    Mbona hata wao wanavaa vibaya hao warembo

  • @husseinjosephitocho6754
    @husseinjosephitocho6754 7 месяцев назад +2

    wadada siku hizi awataki wanaume mabishoo wauza sura wanaume wachapakazi na wasio na maringo kama uyo jamaa ndio maana kapata taa moja tu

    • @user-pg6db8jl2y
      @user-pg6db8jl2y 4 месяца назад

      😂😂😂😂 washajanjaluka Maan wanaume wengi wa ivyo niwahuni sanaaaa awajawah kutulia

  • @musondolirobert3922
    @musondolirobert3922 2 месяца назад

    Aaaaa wanaume ni kama kiwawa 😂😂😂

  • @joshuamollel6993
    @joshuamollel6993 6 месяцев назад

    Atakiwi mwanaume kupendeza ivo

  • @user-zu8dk2zo8b
    @user-zu8dk2zo8b 5 месяцев назад

    Hyo ndio mambo ya samson na delila

  • @saeedalyahmadi1738
    @saeedalyahmadi1738 7 месяцев назад +7

    Alia chukua hii baba maana alivyoingia hizo reaction zakoo😊😅

    • @user-is3og1hc8r
      @user-is3og1hc8r 7 месяцев назад +1

      😂😂😂😂nilizan nimeona pekeang

    • @lilianeerica3318
      @lilianeerica3318 6 месяцев назад +1

      Mimi nilizani nimeona mwenyewe, yani hadi mate yangemtoka😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-eu5xt1vb6f
    @user-eu5xt1vb6f 6 месяцев назад

    Dula makabila na zailisa 😂😂😂😂😂

  • @luganoesomu5301
    @luganoesomu5301 4 месяца назад

    jamaa anaonekana anautoto, nywele za kibishoo sio uanaume. washikaji wa hivi wanang'oa sana vicheche mtaani, basi akavimba kichwa akajua wanawake wanapend muonekano wa hivo, mwanamke yeyote anaetaka maisha kweli sio maigizo hawezi kuwa na mshikaji wa hivo, ila jamaa akienda night club atapata mademu kama wote maana kazi ni kuvuana nguo tu.ila kwenye maisha kunahitajika mwanaume mwenye sifa na tabia za kiume wakuyashika mambo na kuituliza familia,huyu jamaa anaonekana kwenye mausiano mwanamke akizingua anaacha sasa huo sio uanaume,

  • @mwanaidytaifa3329
    @mwanaidytaifa3329 7 месяцев назад +4

    Ivi ukitaka kuja kuangalia live process zikoje?

  • @Assay-gn1wv
    @Assay-gn1wv 7 месяцев назад

    Hao wadada maskini hata hawajielewi wala nini na sura yangu kama ya remi ongala lkn hapo hapana aiseee🤣🤣🤣

  • @mubaraqotyeno9061
    @mubaraqotyeno9061 6 месяцев назад +2

    Uyu kashidwq kutofautisha sex na mahusiano kashidwa kujielexza

  • @mattkings44
    @mattkings44 6 месяцев назад

    love the show but the background music is usually high. producer do something about it

  • @sophiamoses431
    @sophiamoses431 5 месяцев назад

    Lulu Diva 😂😂😂😂😂😂

  • @emmanueljagadi9191
    @emmanueljagadi9191 2 месяца назад

    Hawa majaji ni sawa lakini wawasaidie wadada wasiwaangamize

  • @khamoshmikidadi618
    @khamoshmikidadi618 7 месяцев назад +2

    Dula makabila alinyoa n akaachwa😅😅

  • @FilbertHabashi-zn1qu
    @FilbertHabashi-zn1qu 5 месяцев назад

    Kutongoza kichochoroni raha sana kuliko kujiongelesha mbele ya umati afu ukatolewa nje

  • @user-ju3wm5nu2z
    @user-ju3wm5nu2z 4 месяца назад

    Jamani mbona mim huwa sipati sizoni yote napata vipande vipande tofauti nisaidieni😢

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 6 месяцев назад

    Mwanaume bisho hapana kweli😂

  • @user-qp2yd9zw2u
    @user-qp2yd9zw2u 6 месяцев назад

    aaliy anazngua bn

  • @stellasamy7662
    @stellasamy7662 6 месяцев назад

    Mr ni msupuu

  • @Assay-gn1wv
    @Assay-gn1wv 7 месяцев назад +3

    Aliyesema kuhusu mavazi ana akili, mwanaume gani uyu

  • @JosephDeogratias-up3im
    @JosephDeogratias-up3im 6 месяцев назад

    Sema Nelly kamuelewa mdau bas tu mzingatien mwishon😂😂😂

  • @lilybarongo8119
    @lilybarongo8119 7 месяцев назад +8

    Wamanyema chumbani hawana show mbovu nyie

    • @BerylSeer1
      @BerylSeer1 7 месяцев назад

      Haaaa haaaa

    • @MadenaIphone
      @MadenaIphone 6 месяцев назад

      Wamanyema nikabila gani watu wakigoma waha au

  • @anethbwino1026
    @anethbwino1026 7 месяцев назад +1

    Lulu umeuliza swali la msingi kabisa,mtafutaji ila sio mtoaji

  • @chikusangalala7759
    @chikusangalala7759 7 месяцев назад +1

    Hapo aliya hapamfai

  • @gladymambo
    @gladymambo 6 месяцев назад

    Kavaa kaa wanafunzi wa Yesu hizo nywele zinakaa muYesu

    • @gladymambo
      @gladymambo 6 месяцев назад

      Anakaa muYesu

    • @user-pg6db8jl2y
      @user-pg6db8jl2y 4 месяца назад

      Uyo yesu mwenyew ushawah muona mwaya😂😂😂