SIPENDI WAUZA NGUO | SIWEZI KUKAA MIEZI 2 | MUONEKANO WAKE SIJAUPENDA KABISA
HTML-код
- Опубликовано: 1 дек 2023
- ►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder Развлечения
Labda niulize swali kwa wadada ambao wanaenda kutafuta wanaume kwenye hiki kipindi ivi huwa mnaenda kutafuta wenza wa maisha au mwenza wa fashen tambueni pia wanaume wanaoenda hapo nao pia wapo na tabia kama zenu ndio maana mnakutana hapo bado mnaanza kuchaguana chaguana dada huwezi kumpata mwanaume mwenye uwezo unaoutaka wewe hpo mwanaume unaekutana nae hapo ndio unastahili kuwa nae
Mungu akupi unachotaka anakupa unachostahili.
Wanafanana tabia Kwa hiyo huko ndio wakutane.kitendo Cha kufanana tabia hiyo ndio bond
Hao wa2 ni midomo zege
Soundtrack iko juu sana punguzeni ndo tuwaskize vizuri
🇧🇮🇧🇮much love From Burundi i m Francis
Nipo wa 1 kwa mr Right🔥🔥🔥🎉🎉
So handsome .Hawa wasichana wanachagua sana.Endeleeni mtasimama sana apo.
Ndio ni handsome ila apo hakuna mume kama unamacho yakuhangalia vizuri
afadhali umesema kuna mabinti hawajui kuwaona wanaume, mwanaume wahivi mwanamke akimsumbua kidogo tu kumuacha anaona ndo maamuzi ya kiume,au kukiwa na matatizo wote kwenye nyumba mtajikuta mnalia hakuna mwanaume @@lilianeerica3318
Sauti ya mziki ipo juu sana
Mr right anaonekana tu hayupo matured
Maoni yangu pia
Nimempenda mr right he is smart... Ana misimamo ya kiunaume.. he does what he likes Na nywele pia kapendeza sana sanaaa...
Sauti iko juu sana inaingiliana na mazungumuzo
Soundtrack Iko juu sana, inaingiliana na mazungumzo, punguzeni tufurahi zaidi mazungumzo
Mnaweka saut ya Radio juu sana
Uwa naipenda iki kipindi San from 🇴🇲
Hicho kitopu tuu 😂😂 afu anavuta sigara huyu midomo yake yaonyesha
Nice show but background music is very high
😂😂😂 nimecheka sanaa lulu diva 😂😂😂😂😂🙌❤🥂
Nimekipenda sana hicho kipindi
Nimefurahi sana kuwaona Tena
Sauti ya mzik iko juu kuliko raia
Naomba tu mpunguze mlio wa instrumental kidogo ili sauti za wenye wako kwa show waskike vizuri. Otherwise napenda sana show yenu ya Mr. Right. Mimi ni shabiki.
Wanaongea sana
Very right th behind music is too loud
Jamaa kwanza anajibu kisipastaa kizarau yaani kama hajali don't care yaani kwamba yaani alitoka akiamini kwamba yeye atawashiwa taaa sana na swaga za watot wa mjini
Kweli lkn jamaa haeleweki, ata Ivo alivovaa ah, halaf kaapa nywele hakati ahahaaa hata mm simpendi mwanaume mweny kufuga minywele
@@nahlahassan-fd6le ni wewe hupendi ko yeye imsaidie nini kama hupend wsnaume wanaofuga nywele
Kusema kweli si mstarabu huu anaonekana uki mmpeleka kumtambulisha nyumbani ataaza ku chana😂
Kazingua Hana jipya huyo
😂😂😂😂
Kamera mnayotumia haitowi picha vizur badirisheni kamera bwana
saiz tuna enjoy jmn 😅❤❤ full ep
Nice 🇺🇸🔥🔥
Mm mwenyewe sijamuelewa huyu kk
Diva una akili asee acha uwaelimishe dear❤
Yes yes yes iyo kwioo acheni kushawishi muacheni mwenyewe amue
Mmmmh mwamba muongo muongo na pia alijua wataweweseka naee ila kala cha chuma
WEWE AAALIYA UNAWAHARIBIA MA MR.RIGHT AU UNAWATAKA WEWE HAO MAMR.RIGHT😢😢😢
Punguzen mziki ili tufurahie zaid mazungumzo!
Jamaa hayupo smart kabs in terms of intelligence.
I love how these people host mr right
Wanawake ndo tulivyo akil fupi tupenden tu hivo hivo
Surely 😅
Usiseme hivyo yeye ndo akili zake fupi
Hi
Hako ka sharon si kanaigizaga na jot ndo kmeamua kuj kutft bwan🤣🤣
Kaka bishoo sana bwana mwanaume apendez ivyo
aaliya mjanja mjanja sana....a lot of vibe
Lulu diva love you so much ❤❤❤❤
🎉
Mkaka mwnyew anaonekn ana dharau
Boa noite liga moz Maputo 🇲🇿🇲🇿🇲🇿👌
iyo mike kwanza anavoishika mhhhh siyo mume huyu ndani mnasumbuwana
Ogopaaa mtu wa hvyo hahahaha na kitopuu chakee
Raha sanaa
Nakipenda sana hich kipind wach nikae kwa kutuliq
Booooh ndio mwanaume huyo????😂😂😂😂😂 ni kiliooo
This is a big player
Nice show,i love the background music.
It too much n distabing
Mnahoji vitu muhimu sana siyo poa.punguzeni maswali ya ki dwax
😂😂😂muonekano muhimu ...umaridadi huficha umaskini...sasa. Mtu amevaa ivi ...anakaa kihuni😢....ila ni handsome
Ulitaka aongee kinyonge aosio😅😅madem wanaokopa wanaume wazuri ila haimanishi hamam hawamtaki wanataka tu ila hawajiamini🤣🤣
Yaani lulu diva umenichekesha yaani mtu kakunongoneza wewe unanyanyuka 😅😅😅
Hivi this huaga ni real au ni script ?
jaman am in love with MC Gara B ❤❤❤❤❤
Kwa Editors sound Effects zimekuwa juu sana kiasi ambacho zinafanya shoo iwe boring. Please rekebisha at least iwe 4 . Ahdante
Iko Tu sawa
Yeah nikweli saut ipo juu sana wapunguze
Fact
Hujamaa unyama mwingi ndo umemuangusha
Aaliya i love you so much ❤❤❤❤
Nipanisha❤❤❤😂😂😂
Ona mdomo unavyo pindishwa😂😂😂😂😂 kama wanaigiza
All the way from Australia 🇦🇺
How can I join this show
I would like to find a lady Here
I also wish to join the show for sure so when they will answer your question on how to join please help me know
Kwa ngu mimi nimetaka kuomba upande wa mafundi *Cabine technique* kupunguza mzusiki uwee chini ya Mic zoteee ili tuwe tuna sikia vyema wanapo zungumza. Asanteni.
For all the girl they are there handsome guy just left like that🇿🇦🇧🇮
Music background volume Iko juu hatuskii vizuri chenye wanaongea
lulu wanaume awajawahi kuwa mbwa rabda unao kutana nao
🇧🇮🔥🔥🔥❤
Hako ka sharoni kanaigiza na jotiii
Jama ubixhi wake kakoxa chombo 😂😂😂 anaambiwa anyone nywele eti hizi hazitok xinyoi 😂😂😂 warembo wot wameon wamchinje nimefurah
🤣🤣🤣🤣
Tatizo anajuamini sn ndo mana kachinjwa
Angekubali tu si anakataa kunyoa baada ya kula mzigo
Alia mate yamemtoka jamn😂😂
😂❤🥂
Sauti inaharibu bana,,tuned in from Kenya
Huyo sharon nae akae kwa kitungamana sio kwa kutulia tu
@@user-zu8dk2zo8b hi
😅😅😅bro kapendeza bit angejibu vizur alikuwa kama anabato na mabinti😅😅
Mkaka mzuri ila ana kona kona nyingi. Kuwa naye ni complications tupu. Unaweza lia kila siku
Kkkkkkkkkk umenifrahisha
@@mussacharlesSongo-or4wn 😆😆bora kukomaa na kina missomisondo tu kitaa
Kkkkkk unanisemea vitu
Nimependa hapo maana alijuwa muonekano wake anapata mtu yani hao majanga
Yan kaumbuka😂😂😂halijua hapindui
😂😂wakaka wauza nguo wahuni
❤❤❤❤❤❤
Aliya jamaa umemcheki aje 😂😂😂
He's young tho ..akikua ataacha!
Jamanii 😢😢😢😢
Mbona hata wao wanavaa vibaya hao warembo
wadada siku hizi awataki wanaume mabishoo wauza sura wanaume wachapakazi na wasio na maringo kama uyo jamaa ndio maana kapata taa moja tu
😂😂😂😂 washajanjaluka Maan wanaume wengi wa ivyo niwahuni sanaaaa awajawah kutulia
Aaaaa wanaume ni kama kiwawa 😂😂😂
Atakiwi mwanaume kupendeza ivo
Hyo ndio mambo ya samson na delila
Alia chukua hii baba maana alivyoingia hizo reaction zakoo😊😅
😂😂😂😂nilizan nimeona pekeang
Mimi nilizani nimeona mwenyewe, yani hadi mate yangemtoka😂😂😂😂😂😂😂
Dula makabila na zailisa 😂😂😂😂😂
jamaa anaonekana anautoto, nywele za kibishoo sio uanaume. washikaji wa hivi wanang'oa sana vicheche mtaani, basi akavimba kichwa akajua wanawake wanapend muonekano wa hivo, mwanamke yeyote anaetaka maisha kweli sio maigizo hawezi kuwa na mshikaji wa hivo, ila jamaa akienda night club atapata mademu kama wote maana kazi ni kuvuana nguo tu.ila kwenye maisha kunahitajika mwanaume mwenye sifa na tabia za kiume wakuyashika mambo na kuituliza familia,huyu jamaa anaonekana kwenye mausiano mwanamke akizingua anaacha sasa huo sio uanaume,
Ivi ukitaka kuja kuangalia live process zikoje?
Hao wadada maskini hata hawajielewi wala nini na sura yangu kama ya remi ongala lkn hapo hapana aiseee🤣🤣🤣
Uyu kashidwq kutofautisha sex na mahusiano kashidwa kujielexza
love the show but the background music is usually high. producer do something about it
Lulu Diva 😂😂😂😂😂😂
Hawa majaji ni sawa lakini wawasaidie wadada wasiwaangamize
Dula makabila alinyoa n akaachwa😅😅
Umesahau na wigi alivishwa😅😅
Kutongoza kichochoroni raha sana kuliko kujiongelesha mbele ya umati afu ukatolewa nje
Jamani mbona mim huwa sipati sizoni yote napata vipande vipande tofauti nisaidieni😢
Mwanaume bisho hapana kweli😂
aaliy anazngua bn
Mr ni msupuu
Aliyesema kuhusu mavazi ana akili, mwanaume gani uyu
😂😂😂
Sema Nelly kamuelewa mdau bas tu mzingatien mwishon😂😂😂
Wamanyema chumbani hawana show mbovu nyie
Haaaa haaaa
Wamanyema nikabila gani watu wakigoma waha au
Lulu umeuliza swali la msingi kabisa,mtafutaji ila sio mtoaji
Hapo aliya hapamfai
Kavaa kaa wanafunzi wa Yesu hizo nywele zinakaa muYesu
Anakaa muYesu
Uyo yesu mwenyew ushawah muona mwaya😂😂😂