TAZAMA VITUKO VYA WASHIRIKI WA MBEYA KWENYE MCHUJO WA CHEKA TU COMEDY SEARCH

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 июл 2021
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 625

  • @user-no7pz1bz4y
    @user-no7pz1bz4y 3 месяца назад +5

    Eliud anaroho nzuri sana, Mungu azd kukusimamia Eliud wetu❤❤

  • @inspiringmediarecords4391
    @inspiringmediarecords4391 3 года назад +153

    Ushawahi cheka kwasababu mtu hachekeshi??😂😂tujuane kwa likes

  • @georgelyego6256
    @georgelyego6256 3 года назад +170

    Kama wewe umekuja kucheki hii video coz ya kucheka tu naomba like yako

  • @DAVID-wp4vc
    @DAVID-wp4vc 3 года назад +26

    Ila coy mzungu ni mtu na anajua alipotoka namkubali sana coy he is a real man,father and Brother naingalia nikiwa iringa aje tu na huku

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 3 года назад +10

    Huyo msenge aloambiwa akalete chakula mimi kaniumiza mbavu kabisa ... The guy is naturally funny aisee😁😁😁😁🤦🏾‍♂️

  • @ungwamwangaza7297
    @ungwamwangaza7297 3 года назад +12

    Dhh uyo kaka mwenye ako na Da Neema nime penda alivyo sema❤️😍😍

  • @creatymnyanga3237
    @creatymnyanga3237 3 года назад +9

    Wazo ni zuri sana kwa utafutaji wa standup comedian. Ila kwa upande wa programme production haikuwa poa kwani ni copy and paste ya programme production nyingine. Hakuna ubunifu mpya kabisa!!

  • @thomasponera6018
    @thomasponera6018 3 года назад +15

    Safi sana mwanzo mzuri Coy Mzungu, Mungu awabariki mpate wachekeshaji wenye vipaji haswa

  • @romakoko2292
    @romakoko2292 3 года назад +7

    Kuna jamaa alipoteza kila kitu kwa stage😂😂😂

  • @nestoemanuel2821
    @nestoemanuel2821 3 года назад +25

    Nembo ya mtaa mo town Sanya🔥🔥

  • @officialbntrasool5223
    @officialbntrasool5223 3 года назад +10

    Yan hpo majaj wanacheka sio kwamba wanachekeshwa ila wanahuzunika to😂😂😂😂😂

  • @bibahwabae3066
    @bibahwabae3066 3 года назад +14

    Baba Levo alivyo seriously utazan sio yeye Yule chzi 🤣🤣🤣🤣

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 3 года назад +7

    Wasafi n kiwanda cha sanaa Africa 🌍

  • @Richesfam
    @Richesfam 3 года назад +22

    😂😂😂 The host njo anachekesha
    Mbona hawa watu awachekeshi

  • @simba_de_leo5042
    @simba_de_leo5042 3 года назад +25

    Daaah coy is really genius by that way he make decision good up bro

  • @jafetzmwacha1503
    @jafetzmwacha1503 3 года назад +8

    Daaah uyo jamaa alio poteza netwek hahahha

  • @official_bhachuri5684
    @official_bhachuri5684 3 года назад +5

    Sina chakusema juu ya broo mungu ampe moyo huo huo maana kwenye dunia hii yupo peke yake

  • @Kingkadir24
    @Kingkadir24 3 года назад +12

    Huyu interviewer hapo nje mnafki sana😂😂😂💔💔💔💔

  • @asibumwande7896
    @asibumwande7896 3 года назад +2

    Mwamba elidy nakubali brooo we mkali mungu akubresss sana

  • @tumatijr_9142
    @tumatijr_9142 3 года назад +6

    mchekeshaji anaenda kuchekesha afu anachekeshwa yeyeee😆😆

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 3 года назад +5

    Mama mchungaji ameziajiri mbavu zangu kwa muda🤣🤣🤣🤣🙌

    • @SandeMwikuyu
      @SandeMwikuyu 11 месяцев назад

      We jamaa hautaiona mbingu😂😂😂😂

  • @mototv1599
    @mototv1599 3 года назад +42

    Anaechekesha mwengine aibu naona Mimi😂😂😂🤣🤣

  • @j.bjacobbasubi2187
    @j.bjacobbasubi2187 3 года назад +2

    Asante sana Éric Mungu akubariki kwasababu ulifanya ile ambayo kristoyesu anayo itaka yani nilazima kujitowa kwaajili ya mwengine 🇺🇬🇨🇩🇨🇦

  • @gehazmakoga1018
    @gehazmakoga1018 3 года назад +31

    Dah kuchekesha haijawahi kuwa rahisi imagine kuna watu hapo wanaona wanachekesha aibu napata mimi huku aisee majaji wanakazi sana

  • @ibnmoses979
    @ibnmoses979 3 года назад +2

    Eliudi alivyomchagua huyo binti niumia but judge alivyomrudisha nilitoka chizi jamaa anajua afu ana upendo

  • @salimomary6279
    @salimomary6279 3 года назад +3

    Hapo ndo ushamfikisha baba levo 🤣🤣🤣🤣

  • @frankblessy2482
    @frankblessy2482 2 года назад +5

    From Kenya I silute Eluid, his a really Gentleman

  • @elizamaiko7789
    @elizamaiko7789 3 года назад +6

    😂😂😂😂😂baba levo nakupenda Sana

  • @barutiboniphace4335
    @barutiboniphace4335 3 года назад +7

    Cheka tu. Hapo nimegundua kitu washiriki wanao kuja wanahofu ya muda ndomana wengine wanatumua muda mchache sana so ingekua vyema washiriki wawekewe saa hapo ukutani

  • @yusuphbaracha6137
    @yusuphbaracha6137 3 года назад +9

    Hii ni moja ya show niliyofurahi kuona so nimependa jajiz mlivyofanya selection lakin msiwaache tu bali wafundishen jinsi ya kutengeneza or format ya delivering hizo content

  • @bighead8184
    @bighead8184 3 года назад +1

    Uwezo kuchekesha unazaliwa na kipaji. hata ukiwa hana experience atakuchekesha. Mimi sijafurahi hata moja. Comedians ni kazi nguvu sana. Nice show

  • @tamarablack254
    @tamarablack254 2 года назад +3

    Hizi comedy nazo .😂😂😂Mbona una kipara🇰🇪🇰🇪

  • @sellinakapama4375
    @sellinakapama4375 3 года назад +3

    Kipindi kizuri sana! Safi Sana Wasafi TV kwa kutupa burudani tosha!

  • @yusuphmohamed2816
    @yusuphmohamed2816 3 года назад +19

    Hey wasafi me cjawah kukoment hat cku moja ila huyo jamaa na uyo dem hapo wameniliza 4sure😭huo cyo msaada bali ni upendo

  • @jescagodwin2732
    @jescagodwin2732 3 года назад +8

    Halafu wawekwe audiencesi at least 20 wawepo live. wao ndio watadetermine kama mchekeshaji anachekesha pale watakapo cheka. The Number of people who laugh can determine the competence of the presenter.

    • @madsofttz1718
      @madsofttz1718 2 года назад +1

      That's really bro, audiences wanaumuhime sana make uharisia unakuwepo pia kuna ushawishi wa mchekeshaji kufristyle

  • @ramsikhamis7083
    @ramsikhamis7083 3 года назад +1

    😅😅😅Denis kaomba aondoke mwenyew aisee... pesa hii daaa

  • @marynyabenda4414
    @marynyabenda4414 3 года назад +11

    Jmn loooooooh uyo wa pili anaongea upuuzi tuu

  • @masinzamark7051
    @masinzamark7051 3 года назад +2

    Mo town bro uko juu huwa wanipinga sana from 254

  • @mahamedabdi1881
    @mahamedabdi1881 3 года назад +7

    Tanzania hatowezi Comedy tuwaachie wakenya Comedy za Kenya utacheka tu 😆🤣😄

  • @meshack3266
    @meshack3266 3 года назад +3

    Mtu imala bhana hapo kwa kinyambe hahahah

  • @chembeakhalifan7828
    @chembeakhalifan7828 3 года назад +2

    Uyu mzee baada ya kuchekesha anatoa nasaha hahahahah

  • @professormacomplexa7422
    @professormacomplexa7422 3 года назад +5

    Inaitwa Stand Up Comedy. Sio mchezo😃

  • @rb3176
    @rb3176 3 года назад +2

    Habari zenu ? Mzuri...Mumekula ? ndio..
    Aya kalete chakula basi😂😂😂 Hii kali wadau😂😂😂😂

  • @sumamwamba3708
    @sumamwamba3708 3 года назад +6

    0991 mshiriki kanichekesha kweli Yan akifika kwenye stegi anasahau mwisho akakubali kushindwa tu

  • @philomenagathoni2861
    @philomenagathoni2861 2 года назад

    Coy your judgement is promising you never demoralize anyone, God bless you, ( wanjala Toka Kenya )

  • @lynucylavezzy3232
    @lynucylavezzy3232 3 года назад +6

    Dah kucheksha n kaz wallah

  • @Mr_Highlights360
    @Mr_Highlights360 3 года назад +4

    Jamani kwani wanashindwa hata kuchukua JOKES za GOT TALENT zile unatranslater unaleta hapa,

  • @mussamivache4986
    @mussamivache4986 3 года назад +11

    Mwaisa mtu mbadi yuko wapi jmn🤣🤣🤣❤️

    • @kingcicero1708
      @kingcicero1708 3 года назад

      Kwani wa wapi uyo jamaa? From Mozambique 🇲🇿 hapa

    • @alextanzania
      @alextanzania 3 года назад +1

      @@kingcicero1708 wa Mbeya - Isengo

  • @malickkasuga4805
    @malickkasuga4805 2 года назад +1

    nimecheka sanaa sio kwa ubaya nimependa program iwe endelevuu

  • @novusengineering_tz4523
    @novusengineering_tz4523 3 года назад +6

    Shikamoo standup comedy hahaha
    Kumbe co rahisi

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 3 года назад +3

    Jamaaa kauza kampuni yake Cheka tu kwa tajiri kwa mark x kawa mwajiriwa tu sasa hivi

  • @victoriabulambo2029
    @victoriabulambo2029 2 года назад +2

    Zembwela sijawai kumuona akicheka, kwaiyo ukitaka kumchekesha inaitaji kazi kubwa sana

  • @josephmanyama435
    @josephmanyama435 3 года назад

    Nakubali sana Jose wa mama Jose safi sana wajina unakipaji sana man piga kazi

  • @DAVID-wp4vc
    @DAVID-wp4vc 3 года назад +5

    Nimempenda huyo aliyecopy jolmaster 🤣🤣🤣

  • @jafetzmwacha1503
    @jafetzmwacha1503 3 года назад +2

    Uyo jamaa mpishi nime cheka sana yani hahaha

  • @joharichaima4309
    @joharichaima4309 3 года назад +4

    Nyie mi nampendaga baba levo akiongea ata kawaida tu nacheka

  • @Stayawayfromislam2
    @Stayawayfromislam2 3 года назад +1

    Chiff dguje anaheshima sana I like that

  • @jasminegabriel4247
    @jasminegabriel4247 3 года назад +3

    Jamani mimi kwa ushauli naomba muwape washiliki mda waku weza kufanya kile wana choweza hata waki weza kuigiza kama mtu mwingine

  • @nzitogondwe9976
    @nzitogondwe9976 2 года назад +1

    Ulie igiza kama dogo langu kinyambe yaani umearibu sana ivi bless ulikua skabda uyole ulikua wap na aliko mkangafu ulikua wap tatu ulikua wap vipaji tunduma ilemi kwa samu video center yaani wote rama sombe nguvu zimenishia kweri samwer vwawa mbeya mmetutia aibu

  • @joyron104
    @joyron104 3 года назад +9

    Zembwelaaa...umezdi fhambi kwel😂😂😂

  • @shedrackmwaipopo9427
    @shedrackmwaipopo9427 3 года назад +3

    Sema huyo dadaa ziro kabsa na kisuruari chake

  • @nyimbozangu3684
    @nyimbozangu3684 3 года назад +1

    Kwamba kachiri on dis one nakukubali kinoma noma an

  • @maasaimkisii9089
    @maasaimkisii9089 3 года назад +3

    *Salute From Kenya* 🇰🇪🇰🇪

  • @azizaaziza9113
    @azizaaziza9113 2 года назад +1

    Zembwera saruti kwako nilijua tu lzm umukumbatie neema😁😁

  • @michaelnyello-nh6uk
    @michaelnyello-nh6uk Год назад

    Eliud ni mwamba yupo tayari kujitoa kwa ajili ya mwingine big up bro

  • @kisakim5660
    @kisakim5660 3 года назад +3

    😂🤣😂🤣🤣🤣🤣🤣zebwela nakuolewa

  • @supermaestrograndmasteramo8466
    @supermaestrograndmasteramo8466 2 года назад +1

    Mwanza Lin au mmeisha toka by king killer

  • @joakimndanga1170
    @joakimndanga1170 3 года назад +3

    tisha sana.
    ila mmetunyim utamu wa round ya pili

  • @asibumwande7896
    @asibumwande7896 3 года назад +3

    Big nimemwelewaaaa sana

  • @syntaxerror9217
    @syntaxerror9217 3 года назад +3

    Yaan apa utacheka sio sababu washiriki wanavichekesho hamna ila wanachochekesha kinachekesha🙄🙄😂

  • @nzitogondwe9976
    @nzitogondwe9976 2 года назад +1

    Lkn naona mulichukua watu sio mbeya vipaji vipo lkn mulichagua sijuhi au matangaxo yalikua sio ya kutosha maana vipaji mbeya Vincng

  • @momylaviel
    @momylaviel 2 месяца назад +1

    Eliud ana roho nzuri sana jamanii

  • @godfreymlula6466
    @godfreymlula6466 3 года назад

    Mm binafsi nimependa uyo jaji na majaji wote pia kwakulipa wema wa uyo jamaa aliekua tayali kubaki yeye na kukubali mwanamke aende kiukweli kwangu mm imenitoa machozi kabisa ameonyesha kuwasapoti wanawake wanawake wanaweza mwanamke ni Tai mungu awabariki wasafi kanzi nzuli sana

  • @mussahaji1152
    @mussahaji1152 3 года назад +4

    mzee mtapwela ni jeur htri

  • @salehalzakwani3283
    @salehalzakwani3283 3 года назад +2

    Ma judge wiki ongea waki hoji ndio raha yake hahahhaha Safi Sana kutoka Dubai pamoja sana

  • @waheedahtanzania4912
    @waheedahtanzania4912 3 года назад +1

    Baharia hasaa tena wanchi kavu😂😂😂kaza baba mzaramo wa mbeya ulojitokeza 😂😂👻

  • @lucymkude2853
    @lucymkude2853 3 года назад +2

    Sijaelewa alomleta Baba levo Baba levo kuwa judge ni Nani, kwa kweli hafai

  • @shadyamollel1453
    @shadyamollel1453 3 года назад +4

    nmependa iyo matching items

  • @wa-mbeyaTv4725
    @wa-mbeyaTv4725 3 года назад +5

    Mbn hii inanipita jamaan mpo mbeya sehem gan... WA-MBEYA COMEDY

    • @waheedahtanzania4912
      @waheedahtanzania4912 3 года назад +1

      Imeisha hiyooo 😂😂njoo dar kesho Asubuhi kinondoni viwanja vya leaders 🚶🚶🚶

  • @musamgulila577
    @musamgulila577 3 года назад +1

    Jo master hachekesh bana labda lkn uwezo mdogo sana

  • @angelokihaka7216
    @angelokihaka7216 3 года назад +5

    Huyu Jose wa kweny Tunu huko wasaf anakipind siku gan?????? Napendag anavosema jion ya leo

    • @stn4873
      @stn4873 3 года назад

      Ni Giiiiii. GIONII YA LEOOO

  • @mosesg.pendael8381
    @mosesg.pendael8381 3 года назад

    Neema. Nimekupenda sana. Next time tufurahishe sisi wahanga wa hisia. Wakati Eliud alipoanguka chini....nilitamani ungemuinua na kum hug sana kwa sababu ya kile alichofanya yeye kwako. Hongera sana.

  • @gemstoneofficial1438
    @gemstoneofficial1438 3 года назад

    Dakika 32 huyo mzee katisha Sana hachekeshi lakini ndo amenichekesha kuliko wote🤣🤣🤣🤣

  • @kelvinmuthami4147
    @kelvinmuthami4147 3 года назад +4

    Nafikiri Comedy bado haijashika mizizi TZ, wako 'comic' lakini Delivery ndio shida

  • @jescagodwin2732
    @jescagodwin2732 3 года назад +4

    Yaan wanaochekesha sio watainiwa n majaji

  • @mndemetv8851
    @mndemetv8851 3 года назад +3

    Jamani kwa dar es salaam ni lini na programe kujiunga ni vipi vipaji tunavyo tutaishia kuvionesha mashuleni

  • @peteralmas8311
    @peteralmas8311 3 года назад +1

    Mwamba mtu imara nakukubali saana mzee baba

  • @bensonhamis3303
    @bensonhamis3303 3 года назад +3

    Hili zoezi gumu mno😄

  • @rojasramadhan476
    @rojasramadhan476 3 года назад +2

    Kwaupande wangu hapo sijaona wachekeshaji ila waigizaji wa movies wamo.

    • @andrewkilave3532
      @andrewkilave3532 3 года назад

      Kabsa yaani ingekuwa inaandaliwa tamthilia wangechukuliwa wengi sana

  • @lyrics_forum
    @lyrics_forum 5 месяцев назад

    Aisee Ninacheka kwasababu Hawachekeshi 😂😂

  • @Chapesatv
    @Chapesatv 3 года назад +14

    Next town ni mwanza tujuane wana

  • @worldchanneltv1809
    @worldchanneltv1809 3 года назад +2

    Ila kuwa mwanaume kazi kinoma

  • @einsteinmboje4730
    @einsteinmboje4730 3 года назад +1

    Hakuna Kazi Ngumu Kama Kuchekesha...Tena Unamchekesha Usiyemjua Nn Kinamchekeshaga Akiwa Kanuna 😅😅😅

  • @queencharles3987
    @queencharles3987 2 года назад +1

    Yaani nacheka kwakuwa sielewi kinachoendelea kweli kuchekesha kazi aise 😂😂😂😂😂😂😂 Et naona kama sukar ya zuchu yote kama amelala nayo yeye 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️

  • @esterdoriye4304
    @esterdoriye4304 3 года назад +3

    Huyo aliyesahau ndo kachekesha zaidi

  • @kelvin8324
    @kelvin8324 3 года назад +2

    No.0991---😄😆😅sema blackout 🌚.....pole bro tha is always next time👊🏿

  • @Tajiriabasy
    @Tajiriabasy 3 года назад +2

    Tatizo majaji wenywe wana kaaza wamenuna sura ngumu utachekeshaje aisee

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 3 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣 Majaji wenyewe ni wakuokota tu

  • @mymussept3662
    @mymussept3662 3 года назад +3

    Mm naona vizuri wekeni na hadhira

  • @tofikinaftali4336
    @tofikinaftali4336 3 года назад +3

    Comedy njoo kenya bongo wanatoa story

  • @nyandamathias6103
    @nyandamathias6103 3 года назад +2

    Mpka nimelia namkubali eliud