TAZAMA VITUKO VYA WASHIRIKI WA MBEYA KWENYE MCHUJO WA CHEKA TU COMEDY SEARCH
HTML-код
- Опубликовано: 4 июл 2021
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm Развлечения
Eliud anaroho nzuri sana, Mungu azd kukusimamia Eliud wetu❤❤
Ushawahi cheka kwasababu mtu hachekeshi??😂😂tujuane kwa likes
Mtu anakwambia naomba niondoke 😂🤣
hahahaha 2ko pamoja
Hasa achekeshi we umechakaje🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣
Yaani tupo😂😂😂
Kama wewe umekuja kucheki hii video coz ya kucheka tu naomba like yako
Ila coy mzungu ni mtu na anajua alipotoka namkubali sana coy he is a real man,father and Brother naingalia nikiwa iringa aje tu na huku
Huyo msenge aloambiwa akalete chakula mimi kaniumiza mbavu kabisa ... The guy is naturally funny aisee😁😁😁😁🤦🏾♂️
Hahaaa
Dhh uyo kaka mwenye ako na Da Neema nime penda alivyo sema❤️😍😍
Wazo ni zuri sana kwa utafutaji wa standup comedian. Ila kwa upande wa programme production haikuwa poa kwani ni copy and paste ya programme production nyingine. Hakuna ubunifu mpya kabisa!!
Safi sana mwanzo mzuri Coy Mzungu, Mungu awabariki mpate wachekeshaji wenye vipaji haswa
Kuna jamaa alipoteza kila kitu kwa stage😂😂😂
Nembo ya mtaa mo town Sanya🔥🔥
Noma sana
Yan hpo majaj wanacheka sio kwamba wanachekeshwa ila wanahuzunika to😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Baba Levo alivyo seriously utazan sio yeye Yule chzi 🤣🤣🤣🤣
Wasafi n kiwanda cha sanaa Africa 🌍
😂😂😂 The host njo anachekesha
Mbona hawa watu awachekeshi
Daaah coy is really genius by that way he make decision good up bro
Daaah uyo jamaa alio poteza netwek hahahha
Sina chakusema juu ya broo mungu ampe moyo huo huo maana kwenye dunia hii yupo peke yake
Huyu interviewer hapo nje mnafki sana😂😂😂💔💔💔💔
Mwamba elidy nakubali brooo we mkali mungu akubresss sana
mchekeshaji anaenda kuchekesha afu anachekeshwa yeyeee😆😆
Mama mchungaji ameziajiri mbavu zangu kwa muda🤣🤣🤣🤣🙌
We jamaa hautaiona mbingu😂😂😂😂
Anaechekesha mwengine aibu naona Mimi😂😂😂🤣🤣
😂😂😂😂
Hahaha criaz 😅😅
,😂😂hatar na nusuu
😂😂😂
Hahahahhaha hata mimi
Asante sana Éric Mungu akubariki kwasababu ulifanya ile ambayo kristoyesu anayo itaka yani nilazima kujitowa kwaajili ya mwengine 🇺🇬🇨🇩🇨🇦
Dah kuchekesha haijawahi kuwa rahisi imagine kuna watu hapo wanaona wanachekesha aibu napata mimi huku aisee majaji wanakazi sana
daaaa sio wewe tu
Hahahaaaaa upo sahihi
Kwa kweli duh
Yaan kama mshiriki wa pili kafanya nimepata aibu balaa
@@lizzydiy4590 😂😆😂😆
Eliudi alivyomchagua huyo binti niumia but judge alivyomrudisha nilitoka chizi jamaa anajua afu ana upendo
Eliud anafaa kuwa Judge Big up sana kwako Eliud
Hapo ndo ushamfikisha baba levo 🤣🤣🤣🤣
From Kenya I silute Eluid, his a really Gentleman
Kinyambi 😂😂😂
4 sure
😂😂😂😂😂baba levo nakupenda Sana
Cheka tu. Hapo nimegundua kitu washiriki wanao kuja wanahofu ya muda ndomana wengine wanatumua muda mchache sana so ingekua vyema washiriki wawekewe saa hapo ukutani
Hii ni moja ya show niliyofurahi kuona so nimependa jajiz mlivyofanya selection lakin msiwaache tu bali wafundishen jinsi ya kutengeneza or format ya delivering hizo content
Uwezo kuchekesha unazaliwa na kipaji. hata ukiwa hana experience atakuchekesha. Mimi sijafurahi hata moja. Comedians ni kazi nguvu sana. Nice show
Hizi comedy nazo .😂😂😂Mbona una kipara🇰🇪🇰🇪
Kipindi kizuri sana! Safi Sana Wasafi TV kwa kutupa burudani tosha!
Hey wasafi me cjawah kukoment hat cku moja ila huyo jamaa na uyo dem hapo wameniliza 4sure😭huo cyo msaada bali ni upendo
Halafu wawekwe audiencesi at least 20 wawepo live. wao ndio watadetermine kama mchekeshaji anachekesha pale watakapo cheka. The Number of people who laugh can determine the competence of the presenter.
That's really bro, audiences wanaumuhime sana make uharisia unakuwepo pia kuna ushawishi wa mchekeshaji kufristyle
😅😅😅Denis kaomba aondoke mwenyew aisee... pesa hii daaa
Jmn loooooooh uyo wa pili anaongea upuuzi tuu
Mo town bro uko juu huwa wanipinga sana from 254
Tanzania hatowezi Comedy tuwaachie wakenya Comedy za Kenya utacheka tu 😆🤣😄
Mtu imala bhana hapo kwa kinyambe hahahah
Uyu mzee baada ya kuchekesha anatoa nasaha hahahahah
Inaitwa Stand Up Comedy. Sio mchezo😃
Habari zenu ? Mzuri...Mumekula ? ndio..
Aya kalete chakula basi😂😂😂 Hii kali wadau😂😂😂😂
0991 mshiriki kanichekesha kweli Yan akifika kwenye stegi anasahau mwisho akakubali kushindwa tu
Coy your judgement is promising you never demoralize anyone, God bless you, ( wanjala Toka Kenya )
Dah kucheksha n kaz wallah
Sio ndogo dam yanguu... 😅😅😅
Jamani kwani wanashindwa hata kuchukua JOKES za GOT TALENT zile unatranslater unaleta hapa,
Simbaka uwe una jua English 🤣🤣🤣
Mwaisa mtu mbadi yuko wapi jmn🤣🤣🤣❤️
Kwani wa wapi uyo jamaa? From Mozambique 🇲🇿 hapa
@@kingcicero1708 wa Mbeya - Isengo
nimecheka sanaa sio kwa ubaya nimependa program iwe endelevuu
Shikamoo standup comedy hahaha
Kumbe co rahisi
Jamaaa kauza kampuni yake Cheka tu kwa tajiri kwa mark x kawa mwajiriwa tu sasa hivi
Kivipi kaka
Zembwela sijawai kumuona akicheka, kwaiyo ukitaka kumchekesha inaitaji kazi kubwa sana
Nakubali sana Jose wa mama Jose safi sana wajina unakipaji sana man piga kazi
Nimempenda huyo aliyecopy jolmaster 🤣🤣🤣
Uyo jamaa mpishi nime cheka sana yani hahaha
Nyie mi nampendaga baba levo akiongea ata kawaida tu nacheka
Chiff dguje anaheshima sana I like that
Jamani mimi kwa ushauli naomba muwape washiliki mda waku weza kufanya kile wana choweza hata waki weza kuigiza kama mtu mwingine
Ulie igiza kama dogo langu kinyambe yaani umearibu sana ivi bless ulikua skabda uyole ulikua wap na aliko mkangafu ulikua wap tatu ulikua wap vipaji tunduma ilemi kwa samu video center yaani wote rama sombe nguvu zimenishia kweri samwer vwawa mbeya mmetutia aibu
Zembwelaaa...umezdi fhambi kwel😂😂😂
Sema huyo dadaa ziro kabsa na kisuruari chake
😂😂😂
Kwamba kachiri on dis one nakukubali kinoma noma an
*Salute From Kenya* 🇰🇪🇰🇪
Zembwera saruti kwako nilijua tu lzm umukumbatie neema😁😁
Eliud ni mwamba yupo tayari kujitoa kwa ajili ya mwingine big up bro
😂🤣😂🤣🤣🤣🤣🤣zebwela nakuolewa
Mwanza Lin au mmeisha toka by king killer
tisha sana.
ila mmetunyim utamu wa round ya pili
Big nimemwelewaaaa sana
Yaan apa utacheka sio sababu washiriki wanavichekesho hamna ila wanachochekesha kinachekesha🙄🙄😂
🤣🤣🤣
Lkn naona mulichukua watu sio mbeya vipaji vipo lkn mulichagua sijuhi au matangaxo yalikua sio ya kutosha maana vipaji mbeya Vincng
Eliud ana roho nzuri sana jamanii
Mm binafsi nimependa uyo jaji na majaji wote pia kwakulipa wema wa uyo jamaa aliekua tayali kubaki yeye na kukubali mwanamke aende kiukweli kwangu mm imenitoa machozi kabisa ameonyesha kuwasapoti wanawake wanawake wanaweza mwanamke ni Tai mungu awabariki wasafi kanzi nzuli sana
mzee mtapwela ni jeur htri
Ma judge wiki ongea waki hoji ndio raha yake hahahhaha Safi Sana kutoka Dubai pamoja sana
Baharia hasaa tena wanchi kavu😂😂😂kaza baba mzaramo wa mbeya ulojitokeza 😂😂👻
Sijaelewa alomleta Baba levo Baba levo kuwa judge ni Nani, kwa kweli hafai
Achatu dada, si linabebwatu
nmependa iyo matching items
Mbn hii inanipita jamaan mpo mbeya sehem gan... WA-MBEYA COMEDY
Imeisha hiyooo 😂😂njoo dar kesho Asubuhi kinondoni viwanja vya leaders 🚶🚶🚶
Jo master hachekesh bana labda lkn uwezo mdogo sana
Huyu Jose wa kweny Tunu huko wasaf anakipind siku gan?????? Napendag anavosema jion ya leo
Ni Giiiiii. GIONII YA LEOOO
Neema. Nimekupenda sana. Next time tufurahishe sisi wahanga wa hisia. Wakati Eliud alipoanguka chini....nilitamani ungemuinua na kum hug sana kwa sababu ya kile alichofanya yeye kwako. Hongera sana.
Dakika 32 huyo mzee katisha Sana hachekeshi lakini ndo amenichekesha kuliko wote🤣🤣🤣🤣
Nafikiri Comedy bado haijashika mizizi TZ, wako 'comic' lakini Delivery ndio shida
Hakuna kitu
Yaan wanaochekesha sio watainiwa n majaji
Jamani kwa dar es salaam ni lini na programe kujiunga ni vipi vipaji tunavyo tutaishia kuvionesha mashuleni
Mwamba mtu imara nakukubali saana mzee baba
Hili zoezi gumu mno😄
Kwaupande wangu hapo sijaona wachekeshaji ila waigizaji wa movies wamo.
Kabsa yaani ingekuwa inaandaliwa tamthilia wangechukuliwa wengi sana
Aisee Ninacheka kwasababu Hawachekeshi 😂😂
Next town ni mwanza tujuane wana
Ila kuwa mwanaume kazi kinoma
Hakuna Kazi Ngumu Kama Kuchekesha...Tena Unamchekesha Usiyemjua Nn Kinamchekeshaga Akiwa Kanuna 😅😅😅
Yaani nacheka kwakuwa sielewi kinachoendelea kweli kuchekesha kazi aise 😂😂😂😂😂😂😂 Et naona kama sukar ya zuchu yote kama amelala nayo yeye 🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Huyo aliyesahau ndo kachekesha zaidi
No.0991---😄😆😅sema blackout 🌚.....pole bro tha is always next time👊🏿
Tatizo majaji wenywe wana kaaza wamenuna sura ngumu utachekeshaje aisee
🤣🤣🤣🤣🤣 Majaji wenyewe ni wakuokota tu
Mm naona vizuri wekeni na hadhira
Bado mapema sanaaaa
Comedy njoo kenya bongo wanatoa story
Mpka nimelia namkubali eliud