TAZAMA VIMBWANGA NA VITUKO VYA WASHIRIKI WA CHEKA TU COMEDY SEARCH ARUSHA
HTML-код
- Опубликовано: 19 июл 2021
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm Развлечения
Huyu Kaka wa magician sijawah kuona bongo aiseee tunaonaga tu kwa American got talent Tena kwa wakiwango chake n noma Sana yaan Mimi nasema uyo Kaka n pesa Tena ndefu Sana mkimtazama for the future umsimuache n wachache mno
Duuuuuh Arusha Noma kabisa 🇧🇮💪💪💪🔥🔥🔥🔥🤣🤣🤣🤣🤣
Ila wanawake wa arusha wanajiamini sanaaaa💥💥
Gonga like za Arusha apa toeni shavu 10 zinatosha 🤣🤣
Arusha wako serious sana....kuna vipaji arusha hatari ...Cheka tu hamjapoteza muda wenu hapo
CONGRATULATIONS JUDGES FoR RECRUITING 6 COMEDIANs .
I LIKE THE STRATEGY
Uwo aliyechana gazet ni noma
Huyo n full magician na comedian
Mimi ni wa Ar ila mpambano ulikua mkali sana kuna walioachwa wengi wazuri sana sana.
Hua nikisikia chuga kinachofatia nikicheko 😂😂😂🤣🤣🤣Arusha mji w bwebwe#Markuba babalababa🔥🔥🔥👌
Huyu jamaa alochana gazeti kaniacha hoi kafanyeje hii imekaaje hiyo jamani
Bado nauliza…
Subhanallah huyu mchana gazeti mfuniko
🤣🤣🤣
Arusha kuna talent kabisaa wametisha,mbeya ndo hovyo hapo Arusha mnashindwa mumuache yupi
Sana
😂😂😂hawa vijana wa tatu pasua kichwa Aisee 😂😂nimecheka mpaka mawazo ya lockdown yameisha 😂😂
IPO dakika ya ngap?
Kitaa kina mishe kibao mo town Sanya🔥🔥
Khiiitata 😀😀
Asee Arusha wako vizuri mnoooo,Hutu jamaa wa Gazeti Pastor Pastol asee yuko vizuri eeh hadi Mazingaombwe..Movie za Kibongo maji yakimwagika yanazoleka
Huyu wa bongo star search kafika pia😀😀😀Aliandroo watikagoo
Uyu sister big watatu kuingia anajua na anajiamini sana sana 💥💥
Mama nyonzo
,🙏🙏🙏🙏
Mashallah namba 29yupo vyema kabisa nilipenda aendelee
Ameweza sana ...
kwel kk coy kanikera xan
Jamaa wa baba trafiki ni noma 🔥 🔥
Hongera sana Arusha mmenifurahisha sana
From Oman Ma judge good job u know vipaji mashaallaah eid Mubarak
Mwenye mzura ndo mshindi😂😂😂😂😂😂😂
Mzuura mweupe ila anawasiwasi
Nendeni na kigoma mtapata comedian weng sana
🤣🤣🤣🤣🤣 mgepashwa kuchukua kama 5 ao 6 kabisa vipaji viiipoo duu😂😂😂🇧🇮
Pastor @boom_shakalaka
kijana unajua mnoo
comedy plus mazingaombe umeua bro😋😋🥳😂
Nimesoma naye musoma tech 😂😂
Hao jamaa mbona wanatoa simulizi tu hadithi tu hata mavazi yako hayasadiki comed
Coy Mzungu umezingua bro kumuacha huyo 2913 kaka anajua htr,, "this life no balance"
Hii round ya pili woote ni 💥
mmmmh huyo aliyechana gazeti mbona kama uchawi sasa et grasi ya juisi 🙄
Mazingaombwe
Umeonaeee
Ingia RUclips search magic tricks utaona zinavofanyika
Ila zembwela unakatisha tamaa fala wewe 😂
Very good
Leo mimi nimekuwa wa pili na omba like
DODOMA SEHEMU YA PILI HAMJATULETEA
Jicho la zembwela linaweza kumkosesha mtu umakini!!!
Watu wa arusha wametisha sanaaaaaaaaa
Huyu Dada Bonge yuko vizuri
Markuba kawambia mmaroho mbaya mbona amjampa markuba ata liteni
😂😂😂😂arusha hapan kwa kweli Nimechek san
Naipenda Sana ma home chuga yaaan utacheka tu otherwise bandama mbovu
Hongereni Sana vijana wenzangu
Chief judge NI handsome haitosh ana kaul nzur. I just love him
Yaan Arusha barid ni kwerekwecheeeee🤣
Arusha noma sana
Zembwela mbona ndita hivyo
Arusha vipaji vipo wallah.....
Hao round 2 wametisha sanaaaa
Nouma sama Mkuu
Huyo anae ongea kikenya kuchekaa nomaa
Jamaa wakwanza na wapilii 🔥mmeiweka kivule kwenye uso wa wasafi mnajuaaaaaa hongeleni😃
Sikuping blood
Mbona wanapiga story badala ya comedy cai
Hawa jama wanapenda madem wameona ipss baba levo anacheka2
Zimbweraaa unawakatisha Tama bana ety kidogooooooooooo.oooooooooo. Duhh 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Jamani msisahau. Na Kigoma mjeeeeee. Jaman.
Indoniliisubiria kinyama
Kiukweli ujaji ulikuwa sahihi bila Shaka, hongereni wa amuzi na wa teuliwaji
27:23 THIS GUY.
Arusha tumetisha sana 🤣🤣 mpaka nimetoa chozii
Cloe anacheka nn leo..mbona vingine kawaida tu
Machaliii wachuga ni nomaaa😂😆
Mwanga amna labda same🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂
Beautiful Dorah
Dorah naomba number yako
Njooni Zanzibar
Arusha wamenifuraisha sana 254
Kwangu mm Mkenya mwenye comedy ya kucheka dunia nzima alistahili kupita
Hahaha baba levo mhemko wa kucheka huku
😂
Majanaba markuba wa BSS ndani ya nyumba! Yechuyechu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Zambwela unawavunja vijana moyo haifai hata kukaa hapo bahna aanglie got talent atajifunza
Daaa arusha wametisha sana
Coy zungu yupo vzr kwenye uchambuaji na siyo zembwela
Mbona majaji wengine wanakuwa na hasra vile Kama wenyewe wanaweza sana
Arusha ni 🔥🔥🔥🔥
Mzungu mm sichek na vituko but nachek kwa jins unavyochek ndio inaingia chumv ya kuchek kwa ajil yao hhhhhhhhhh
A town wanajua aseeee🤠🤠🤠
Hamna mwanga labda same 🤣🤣
Jamaa wa dakika ya 18 he got talent men 🔥🔥🔥
Uyu jamaa aliemwambia baba levo aache unafik anajua sn alafu km naona styles za YY ndani yke ila huyu alochana gazeti hajuw kipaji chake kilipo huyu sio comedian hawa n watu wa sarakasi
Wamezingua sana kumuacha jamaa
Sarakasi ndio comedy I mean vichekesho huyo jamaa wa magazezi kipaji chake ni cha. Magic show ama kiswahili kiini macho
Zembwela judge hatariii anajua
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mbavuzangu jamani eti shetani unatuchoma au tujirushe wenyewe
Nembo ya mtaaa kombe linabaki apa town
Uyu alie chana gazet kauwa
Arusha mko vizuri
Eti nije wakuchomwa au wa kuchemshwa,
Hahahahaha nimeinjoy sana
Uyo mtoto baba yake trafic aliyemuwekea buku kwenye daftari noma
Yuko vizuri mno
Itabidi usahili ujao muongeze idadi ya watu maana kama hapa arusha vipaji vimekuwa ni vingi mno!! Mimi kama mimi nimeona vipaji saba(7) ambavyo vingeweza kwenda DSM na vyote vikafanya vizuri na platform ya Cheka Tu ikawa na wachekeshaji wengi pia. Kwaiyo mi naona ni vizuri kuongeza idadi au kusiwe na limiti ilimradi tu mtu awe na uwezo mzuri wa kuchekesha ili muwez kupata vipaji vingi na vya maana kwa sababu hakuna umuhimu au faida ya kupoteza fedha na muda wa kusaka vipaji halafu vipaji vikatokea mkaviacha..
Inawezekana mkaenda mikoa mingine kusaka vipaji mkapata vipaji vizuri lakini visiwe vizuri zaidi ya hivi mlivyoviacha 🤔🤔
Arusha wako poa sana ukicheki Dar hamna kitu kabisa.
kama vp wachukuliwe wawe wanachekesha kwenye jukwaa
Mbwa kala mbwa kwa nini uwemnyonge?
38:09 mipaaaa zuzuzuuuuuuuuuuuuuuuuu
Hapo hakuna kitu angalau ni watu wawili tu ndio wenye uwezo wa kujaribu kumfanyia mtu akacheka japo bado lakin hao wengine kiukweli bado hawawezi kuchekesha
Pastori pasto kidogo kujitahidi sana👏👏👏
mwenyewe nimemkubali
Au anataka kujifanya kaz salama🤣🤣🤣🤣
Ni mecheka paka mbavu sangu jamani
Me nampenda zembwele anaga unafki
Nani anamtekenya huyo jamaa, mbona anajichekesha bila sababu!!#zembwela#b.levo
I see Arusha ni noma Machalii hawana Ngori
Niceee
Kwamara yakwanza nimecheka mno yani arusha kila niliomuona anakipaji mikoa mingine mlienda kutembea tuu
Kwel Arusha ni nomaaa 🔥🔥🔥
😀😃😃😃from 🇸🇦😍❤
Nice comedy
Uyo judge mwenye white tishart mbona ana hasira
Ameweka sura ngumu sana😂😂😂
Babu
Wale wanaokumbuka speach s.schools gonga like hapa
Sijui unawaza nini 😂😂😂😂
Markuba🤣🤣🤣🤣🥰
Jaman nimemuona majanaba makuba hahahahaha adi kuchekesha Tena hahahahaha