TAZAMA VIMBWANGA NA VITUKO VYA WASHIRIKI WA CHEKA TU COMEDY SEARCH ARUSHA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 июл 2021
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 297

  • @eazieofficial6209
    @eazieofficial6209 3 года назад +8

    Huyu Kaka wa magician sijawah kuona bongo aiseee tunaonaga tu kwa American got talent Tena kwa wakiwango chake n noma Sana yaan Mimi nasema uyo Kaka n pesa Tena ndefu Sana mkimtazama for the future umsimuache n wachache mno

  • @kapusilogybwoy
    @kapusilogybwoy 3 года назад +31

    Duuuuuh Arusha Noma kabisa 🇧🇮💪💪💪🔥🔥🔥🔥🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mwaisanyonyoma416
    @mwaisanyonyoma416 3 года назад +26

    Ila wanawake wa arusha wanajiamini sanaaaa💥💥

  • @martinonetv
    @martinonetv 3 года назад +13

    Gonga like za Arusha apa toeni shavu 10 zinatosha 🤣🤣

  • @innocentelphas438
    @innocentelphas438 3 года назад +4

    Arusha wako serious sana....kuna vipaji arusha hatari ...Cheka tu hamjapoteza muda wenu hapo

  • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA
    @--------GEO_SPORT_EARTH_EA 3 года назад +9

    CONGRATULATIONS JUDGES FoR RECRUITING 6 COMEDIANs .
    I LIKE THE STRATEGY

  • @annastevensteven9515
    @annastevensteven9515 3 года назад +21

    Uwo aliyechana gazet ni noma

  • @fredrickjoseph2907
    @fredrickjoseph2907 3 года назад +3

    Mimi ni wa Ar ila mpambano ulikua mkali sana kuna walioachwa wengi wazuri sana sana.

  • @issrahayattv1356
    @issrahayattv1356 2 года назад +1

    Hua nikisikia chuga kinachofatia nikicheko 😂😂😂🤣🤣🤣Arusha mji w bwebwe#Markuba babalababa🔥🔥🔥👌

  • @emmanueljoseph2576
    @emmanueljoseph2576 3 года назад +14

    Huyu jamaa alochana gazeti kaniacha hoi kafanyeje hii imekaaje hiyo jamani

  • @waheedahtanzania4912
    @waheedahtanzania4912 3 года назад +20

    Subhanallah huyu mchana gazeti mfuniko

  • @Jassmin-media-official
    @Jassmin-media-official 3 года назад +3

    Arusha kuna talent kabisaa wametisha,mbeya ndo hovyo hapo Arusha mnashindwa mumuache yupi

  • @waheedahtanzania4912
    @waheedahtanzania4912 3 года назад +4

    😂😂😂hawa vijana wa tatu pasua kichwa Aisee 😂😂nimecheka mpaka mawazo ya lockdown yameisha 😂😂

  • @nestoemanuel2821
    @nestoemanuel2821 3 года назад +10

    Kitaa kina mishe kibao mo town Sanya🔥🔥

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 3 года назад +2

    Asee Arusha wako vizuri mnoooo,Hutu jamaa wa Gazeti Pastor Pastol asee yuko vizuri eeh hadi Mazingaombwe..Movie za Kibongo maji yakimwagika yanazoleka

  • @bintykigan6236
    @bintykigan6236 3 года назад +2

    Huyu wa bongo star search kafika pia😀😀😀Aliandroo watikagoo

  • @mwaisanyonyoma416
    @mwaisanyonyoma416 3 года назад +11

    Uyu sister big watatu kuingia anajua na anajiamini sana sana 💥💥

  • @waheedahtanzania4912
    @waheedahtanzania4912 3 года назад +14

    Mashallah namba 29yupo vyema kabisa nilipenda aendelee

  • @bestbusiness4351
    @bestbusiness4351 3 года назад +6

    Jamaa wa baba trafiki ni noma 🔥 🔥

  • @mussaandrew2083
    @mussaandrew2083 3 года назад +1

    Hongera sana Arusha mmenifurahisha sana

  • @salehalzakwani3283
    @salehalzakwani3283 3 года назад +2

    From Oman Ma judge good job u know vipaji mashaallaah eid Mubarak

  • @allyhamisi6394
    @allyhamisi6394 3 года назад +9

    Mwenye mzura ndo mshindi😂😂😂😂😂😂😂

  • @zedekchamagogo1223
    @zedekchamagogo1223 3 года назад +2

    Nendeni na kigoma mtapata comedian weng sana

  • @nazaretimwamba2416
    @nazaretimwamba2416 3 года назад +2

    🤣🤣🤣🤣🤣 mgepashwa kuchukua kama 5 ao 6 kabisa vipaji viiipoo duu😂😂😂🇧🇮

  • @fongokhalfan1002
    @fongokhalfan1002 3 года назад +3

    Pastor @boom_shakalaka
    kijana unajua mnoo
    comedy plus mazingaombe umeua bro😋😋🥳😂

    • @ensonjr799
      @ensonjr799 3 года назад

      Nimesoma naye musoma tech 😂😂

  • @mussavalongeorg9419
    @mussavalongeorg9419 3 года назад +10

    Hao jamaa mbona wanatoa simulizi tu hadithi tu hata mavazi yako hayasadiki comed

  • @florianmgata1045
    @florianmgata1045 2 года назад +1

    Coy Mzungu umezingua bro kumuacha huyo 2913 kaka anajua htr,, "this life no balance"

  • @kitindisultani7200
    @kitindisultani7200 3 года назад +7

    Hii round ya pili woote ni 💥

  • @ezam255
    @ezam255 3 года назад +5

    mmmmh huyo aliyechana gazeti mbona kama uchawi sasa et grasi ya juisi 🙄

  • @kitindisultani7200
    @kitindisultani7200 3 года назад +4

    Ila zembwela unakatisha tamaa fala wewe 😂

  • @Mweus
    @Mweus 3 года назад +2

    Very good

  • @charzwillima2541
    @charzwillima2541 3 года назад +7

    Leo mimi nimekuwa wa pili na omba like

  • @DrNick-hg6il
    @DrNick-hg6il 3 года назад +11

    DODOMA SEHEMU YA PILI HAMJATULETEA

  • @lareineminah1353
    @lareineminah1353 2 года назад +1

    Jicho la zembwela linaweza kumkosesha mtu umakini!!!

  • @tunukitambi6066
    @tunukitambi6066 3 года назад +1

    Watu wa arusha wametisha sanaaaaaaaaa

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 3 года назад +2

    Huyu Dada Bonge yuko vizuri

  • @hasyno9805
    @hasyno9805 3 года назад +2

    Markuba kawambia mmaroho mbaya mbona amjampa markuba ata liteni

  • @mtitagirloriginal9472
    @mtitagirloriginal9472 3 года назад +2

    😂😂😂😂arusha hapan kwa kweli Nimechek san

  • @mdentertainmenttz124
    @mdentertainmenttz124 3 года назад +2

    Naipenda Sana ma home chuga yaaan utacheka tu otherwise bandama mbovu

  • @emmanuelbe-dae.170
    @emmanuelbe-dae.170 3 года назад +1

    Hongereni Sana vijana wenzangu

  • @rachelsilvester7018
    @rachelsilvester7018 3 года назад +3

    Chief judge NI handsome haitosh ana kaul nzur. I just love him

  • @salimramadhani5237
    @salimramadhani5237 3 года назад +1

    Yaan Arusha barid ni kwerekwecheeeee🤣

  • @shedrackmwaipopo9427
    @shedrackmwaipopo9427 3 года назад +5

    Arusha noma sana

  • @princemujuni9803
    @princemujuni9803 3 года назад +9

    Zembwela mbona ndita hivyo

  • @kingnicky2568
    @kingnicky2568 3 года назад +5

    Arusha vipaji vipo wallah.....

  • @bensonhamis3303
    @bensonhamis3303 3 года назад +1

    Hao round 2 wametisha sanaaaa

  • @kingdunga7806
    @kingdunga7806 3 года назад +1

    Huyo anae ongea kikenya kuchekaa nomaa

  • @KIPAJISTUDIO
    @KIPAJISTUDIO 3 года назад +1

    Jamaa wakwanza na wapilii 🔥mmeiweka kivule kwenye uso wa wasafi mnajuaaaaaa hongeleni😃

  • @jumahaji7392
    @jumahaji7392 3 года назад +1

    Mbona wanapiga story badala ya comedy cai

  • @chimbidumwazembe1116
    @chimbidumwazembe1116 3 года назад +2

    Hawa jama wanapenda madem wameona ipss baba levo anacheka2

  • @eddycosmeticseddycosmetics5664
    @eddycosmeticseddycosmetics5664 3 года назад +1

    Zimbweraaa unawakatisha Tama bana ety kidogooooooooooo.oooooooooo. Duhh 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @eddycosmeticseddycosmetics5664
    @eddycosmeticseddycosmetics5664 3 года назад +2

    Jamani msisahau. Na Kigoma mjeeeeee. Jaman.

  • @pambetv1067
    @pambetv1067 3 года назад +10

    Indoniliisubiria kinyama

  • @bokeganza5456
    @bokeganza5456 3 года назад +3

    Kiukweli ujaji ulikuwa sahihi bila Shaka, hongereni wa amuzi na wa teuliwaji

  • @heisnova
    @heisnova 3 года назад +6

    27:23 THIS GUY.

  • @martinonetv
    @martinonetv 3 года назад +1

    Arusha tumetisha sana 🤣🤣 mpaka nimetoa chozii

  • @inri003
    @inri003 3 года назад +6

    Cloe anacheka nn leo..mbona vingine kawaida tu

  • @thobiethalibutu1465
    @thobiethalibutu1465 3 года назад

    Machaliii wachuga ni nomaaa😂😆

  • @Heal-with-Dodo
    @Heal-with-Dodo 3 года назад +11

    Mwanga amna labda same🤣🤣🤣🤣🤣

  • @t_bone_rizzy1719
    @t_bone_rizzy1719 3 года назад +2

    Njooni Zanzibar

  • @masinzamark7051
    @masinzamark7051 3 года назад +1

    Arusha wamenifuraisha sana 254

  • @madukaj.j.6999
    @madukaj.j.6999 3 года назад +4

    Kwangu mm Mkenya mwenye comedy ya kucheka dunia nzima alistahili kupita

  • @fettyharoun1333
    @fettyharoun1333 3 года назад +3

    Hahaha baba levo mhemko wa kucheka huku

  • @dreusebiusjmikongoti248
    @dreusebiusjmikongoti248 3 года назад +3

    😂
    Majanaba markuba wa BSS ndani ya nyumba! Yechuyechu

  • @bigboss1192
    @bigboss1192 3 года назад +1

    Zambwela unawavunja vijana moyo haifai hata kukaa hapo bahna aanglie got talent atajifunza

  • @highlife6779
    @highlife6779 3 года назад +1

    Daaa arusha wametisha sana

  • @gradnessshitindishitindi4881
    @gradnessshitindishitindi4881 3 года назад +1

    Coy zungu yupo vzr kwenye uchambuaji na siyo zembwela

  • @jenniferzakaria3884
    @jenniferzakaria3884 Год назад

    Mbona majaji wengine wanakuwa na hasra vile Kama wenyewe wanaweza sana

  • @audifacejosephat7071
    @audifacejosephat7071 3 года назад +3

    Arusha ni 🔥🔥🔥🔥

  • @74_ramo_
    @74_ramo_ 3 года назад +1

    Mzungu mm sichek na vituko but nachek kwa jins unavyochek ndio inaingia chumv ya kuchek kwa ajil yao hhhhhhhhhh

  • @nobybeny8204
    @nobybeny8204 3 года назад +1

    A town wanajua aseeee🤠🤠🤠

  • @jacklinejohn222
    @jacklinejohn222 3 года назад +3

    Hamna mwanga labda same 🤣🤣

  • @johnco8756
    @johnco8756 3 года назад +2

    Jamaa wa dakika ya 18 he got talent men 🔥🔥🔥

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 3 года назад +5

    Uyu jamaa aliemwambia baba levo aache unafik anajua sn alafu km naona styles za YY ndani yke ila huyu alochana gazeti hajuw kipaji chake kilipo huyu sio comedian hawa n watu wa sarakasi

    • @highlife6779
      @highlife6779 3 года назад +2

      Wamezingua sana kumuacha jamaa

    • @bintykigan6236
      @bintykigan6236 3 года назад

      Sarakasi ndio comedy I mean vichekesho huyo jamaa wa magazezi kipaji chake ni cha. Magic show ama kiswahili kiini macho

  • @jastinjustus6878
    @jastinjustus6878 3 года назад +6

    Zembwela judge hatariii anajua

  • @kisakim5660
    @kisakim5660 3 года назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mbavuzangu jamani eti shetani unatuchoma au tujirushe wenyewe

  • @samweljohn8521
    @samweljohn8521 3 года назад +10

    Nembo ya mtaaa kombe linabaki apa town

  • @popurapper
    @popurapper 3 года назад +1

    Uyu alie chana gazet kauwa

  • @emmanueljoseph2576
    @emmanueljoseph2576 3 года назад +2

    Arusha mko vizuri

  • @Mariacyril9000
    @Mariacyril9000 5 дней назад +1

    Eti nije wakuchomwa au wa kuchemshwa,

  • @evaristmrope
    @evaristmrope 3 года назад +1

    Hahahahaha nimeinjoy sana

  • @shabanimkwepu1389
    @shabanimkwepu1389 3 года назад +2

    Uyo mtoto baba yake trafic aliyemuwekea buku kwenye daftari noma

  • @mjuba
    @mjuba 3 года назад +2

    Itabidi usahili ujao muongeze idadi ya watu maana kama hapa arusha vipaji vimekuwa ni vingi mno!! Mimi kama mimi nimeona vipaji saba(7) ambavyo vingeweza kwenda DSM na vyote vikafanya vizuri na platform ya Cheka Tu ikawa na wachekeshaji wengi pia. Kwaiyo mi naona ni vizuri kuongeza idadi au kusiwe na limiti ilimradi tu mtu awe na uwezo mzuri wa kuchekesha ili muwez kupata vipaji vingi na vya maana kwa sababu hakuna umuhimu au faida ya kupoteza fedha na muda wa kusaka vipaji halafu vipaji vikatokea mkaviacha..
    Inawezekana mkaenda mikoa mingine kusaka vipaji mkapata vipaji vizuri lakini visiwe vizuri zaidi ya hivi mlivyoviacha 🤔🤔

    • @bonifacembilinyi5576
      @bonifacembilinyi5576 2 года назад +1

      Arusha wako poa sana ukicheki Dar hamna kitu kabisa.
      kama vp wachukuliwe wawe wanachekesha kwenye jukwaa

  • @standalphone2445
    @standalphone2445 3 года назад +5

    Mbwa kala mbwa kwa nini uwemnyonge?

  • @heisnova
    @heisnova 3 года назад +11

    38:09 mipaaaa zuzuzuuuuuuuuuuuuuuuuu

  • @jacksonkyando5690
    @jacksonkyando5690 3 года назад +1

    Hapo hakuna kitu angalau ni watu wawili tu ndio wenye uwezo wa kujaribu kumfanyia mtu akacheka japo bado lakin hao wengine kiukweli bado hawawezi kuchekesha

  • @mussavalongeorg9419
    @mussavalongeorg9419 3 года назад +3

    Pastori pasto kidogo kujitahidi sana👏👏👏

  • @bigboss1192
    @bigboss1192 3 года назад +1

    Au anataka kujifanya kaz salama🤣🤣🤣🤣

  • @yohanakivuyo4261
    @yohanakivuyo4261 3 года назад +1

    Ni mecheka paka mbavu sangu jamani

  • @deelissa2746
    @deelissa2746 3 года назад +2

    Me nampenda zembwele anaga unafki

    • @samsunggalaxytab4444
      @samsunggalaxytab4444 3 года назад

      Nani anamtekenya huyo jamaa, mbona anajichekesha bila sababu!!#zembwela#b.levo

  • @TheMandela21
    @TheMandela21 3 года назад

    I see Arusha ni noma Machalii hawana Ngori

  • @chrisvanny9170
    @chrisvanny9170 3 года назад +1

    Niceee

  • @jacklinejohn222
    @jacklinejohn222 3 года назад +2

    Kwamara yakwanza nimecheka mno yani arusha kila niliomuona anakipaji mikoa mingine mlienda kutembea tuu

  • @jorgettemwajuma5428
    @jorgettemwajuma5428 3 года назад

    😀😃😃😃from 🇸🇦😍❤

  • @justineonline6556
    @justineonline6556 3 года назад +1

    Nice comedy

  • @ibramusongora7503
    @ibramusongora7503 3 года назад +4

    Uyo judge mwenye white tishart mbona ana hasira

  • @franciscaaugustino4305
    @franciscaaugustino4305 3 года назад +5

    Wale wanaokumbuka speach s.schools gonga like hapa

  • @mjuba
    @mjuba 3 года назад +2

    Sijui unawaza nini 😂😂😂😂

  • @rosemzava5149
    @rosemzava5149 3 года назад +1

    Markuba🤣🤣🤣🤣🥰

  • @eazieofficial6209
    @eazieofficial6209 3 года назад

    Jaman nimemuona majanaba makuba hahahahaha adi kuchekesha Tena hahahahaha