😭 VILIO NA MAJONZI VYATAWALA WASHIRIKI WAKITOLEWA KWENYE CHEKA TU COMEDY SEARCH 2021
HTML-код
- Опубликовано: 17 сен 2021
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm Развлечения
Coy mzungu kaka una moyo wa dhahabu,yani nimekuona ndani ya moyo wako umetamani uwachukue wote ila ni vile vipo nnje ya uwezo wako🥰🥰❤❤
Nimekuwa wa kwanza kutazama jaman naomben likes zenu😁😁😁
Mtoto wa kiume kuomba omba like n umalaya mtakuja kuliwa kwa kuomba omba ovyo hd like mnakera 😏😏😏
Coy mzungu..is a very emotional guy...I can feel what this guy is feeling..ingekua ndani ya uwezo wake..angewachukua wote ju hawa watu wote ni washindi
Mbk kalia bro ujuwe naye kapitia ayo yote dah kaumia sana kwa kwel
@@princevan3747 1qqq
Ukiwa team wasafi😍😍 wala uwez kukonda mda ote rahaa2 😋
kweli 😀😀😀😀
Leonad kashinda
Sema brother coy he deserved to be a chief judge
Anaitendea haki nafasi yake
Dah kwel
Kama unamkubali baba levo twende kwa likes "nitawatoa'😂😂
Kwa hali yyte lazima washindi wapatikane .hata yy anaumia lakn anajitoa ufahamu anakaza maana wakilegea wote mambo hayatoenda!
baba levo ni Cold blood
Coy umesema vizuri eliud nakuombeya Sana punguza simulizi brother mbona ww nimkali top 5 upoamka ushindane bado ujajuwa nimashindano mbona mm naona unajuwa ww unakuwaje uwoni brother 🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Coy mzungu..
Nimependa sana jinsi unavyoguswa na kuonesa hisia kali juu ya matarajio ya washiriki.. na kuwatia moyo!! Pokea congeree zangu bro
Mchambuzi wa mpiraaa amewezaaaaa sanaaa😍😘
Me ni Team Leonard, Asma, na Saidi! 🙌🏾🔥🔥🔥 I believe on them! Let’s goooo!
Hata mm Leonard namkubali sana🔥🔥
Leonard anajua sanaa,potential yake kubwa sanaaa
Sanaaaaa
Waah, leo majaji mna kibarua kigumu jamani;yani leo wote wamefanya kazi safi,sijui nimchague nani💞💞💞💞💞
Leornadiiiiiiii group tupia Likes 🔥🔥🔥🔥🔥
🔥🔥🔥🔥
Leonard....Fire Ila Kazana safar bafo ndefu sana... Ujitahidi Kitu Kimoja Stage Hakikisha unaimiliki ipasavyo....na mazoezi ya kutosha kuyafanyia mapungufu yako
Koi naitaji nafasi from tanga
LEONARDO ❤ & SAID SAID 😍 MTATUUWA JAMANI 🙌😂🔥
Wameua
Wewe acha tuu mm sijalala naipenda hii na big Sunday live leo wasafi from saudia Arabia 🇸🇦🇸🇦
oiiiii
Kazi ipo et@
Mzee wa zimatomo mkali sana Nox M noma na nusu
Ukijuwa kusudi uta face chochote ili ufikiye lengo lako thanks Cowmzungu😍😘🤩
All of them they know how to perform . But that's how things should be .and big up to brother coy your words mean a lot to me too🤔🤔🤔 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Eliud even if u can feel but u are my best comedians and i will support u more fidele from Congo
Asma Majid is great comedian and will be greatest female comedian of all time 🇰🇪🇹🇿🇺🇬🇷🇼🇧🇮
Agree 💪🏾🙌🏾🔥
Leonard!! Mm ni tem ww haki!! Tokea siku ya kwanza ulinifurahisha sana!! Mpaka leo hujaniangusha!! Na hizo mamilioni naziona kwako inshaallah!!! Nafatilia haya mashindano nikiwa🇰🇪!! But ni mtanzania mm
Huyu jamaa wa moto yuko vzr sana. Kachukua muda mwingi lkn ana flow punch tu
Leonardo ni fireeeeeeeeeeeee 🔥 🔥
SAID and Leonad 👌👌👌ila hote wapo vizur jmn dah waweza umiza kichwa kumtafuta mshid
Mohammed from Kenya nachekatu lakini pia!👊
Karbu tz
Thanks alot Nshaallah siku moja ntafika huko🙏
@@mohammedathman5816 ok u are welcome to our country
@@aminaamiri7684 ahsante sana my friend nafurahi sana kwakuni karibisha wallah🙏
@@aminaamiri7684 uko Tanzania sehem gani
Coy spoke from the heart, the man cares and wants these young men and women to be successful. Hii sio kutafuta kiki, machozi yake ni ya ukweli… big up to you Coy.
Amazing.
Fact, atleast i got someone who understood exactly what is said# It takes time to realize that some men are too emotional 🙏
Hakika daah. Mungu ampe moyo huo daima
Duh so emotional kaka alicho kuongea ni ukweli mtupu Sio wote wamekuja kuperform Cheka tu kua ni kipaji Chao ila tu wamekuja kusudi watoke kimaisha 😢😢😢😢
Nwachane azaboi anakuja kwa spd ya light, leornado is genius due to his consistency, my men from mbey Nox m leo katsha, ASma 💯💯
Nimefurah kuona hii comment coz jamaa namkubali toka kiskuli
Skupingiiii ushindi ni azaboi
@@brunojoseph8270 good comedian
head master umeua😃😃😃😃😃
Nataka siku mfanye competition tz na Kenya tuone vipaji
Leonardo, said, na ndaro 2kutane finale🙌🏾
Leornard atar sana
Bila shaka jombaa
Ndaru pamoja na eliudi.mnajitahidi.sana.minawafutiria.sana.marume.hii.from.cap.town sauz africa
Headmaster yupo vizuri sana. Big up
Coy u are good chiefjuge brother…a leader of StandUpComedy in Tanzania
Hatari Sana, huyo jamaa wa zima Moto 😀😀
Masikini tumcheka lkn baadae tumelia sana poleni sana msivinjike moyo
Team Leonard gonga like apa tujuane👌👍
Can i have ur # please
Mambo
Machozi yako yamenitoa machoz piah coy forsure una moyo wa kupenda kbsa kuwasaidia vjana zaid ni maneno yako ya busara yanafundsha sana na kutia moyo Almighty heaven Father bless you na akuinue kwa viwango vya juu sana
Pole coy jmn😢😢vizur umewatia moyo......baba love eti mi ntawatowa tu😆😆nakweli yaitaj roho ngum sn
Wasafi daa very funny leo nimeamin somo lahisa🇸🇦
Mang'ndo mumemuonea anastahil kuendelea 😭😭😭😭🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Leonardo,asma,chimamy nawapenda
Mang'endo amezingua sana bora angemtumia yule character wake wa Insta ila nxt time he can do better
Inaumiza kwakweli mungu awasaidie mm namuelewa coy hata mm niko hivo.baba levo haha kweli ww ni judge 🤣🤣🤣
Leonardo, Saidi na Ngaro
Awa watu achana nao kbs 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Seen
Asmah ma girl😍😘🥰
kama na ww coy amekuliza bs gonga like hapo
BOOM ON FIRE ..magic Commedian
Twend mbel turud nyuma hongeren mna waslsh drem yang vzur rock on
Aiiii maneno mazitoooo yaniiiiii u feel it😭😭😭😭
Naipenda sana chekatu😂😂😂
good show kali sanaaaaaa nimependa
Mang' ndo mumurudishe anajua sana🇧🇮🇧🇮🇧🇮 Kdo
Kama nilivysema tokea mwanzoni nitabakia upande (team)
1.Mama Nyonzo
2.Asma
Hawa mabint wanakipaji kikubwa Sana, so nitarud hapa mwaka ujao kuprove hii 🔥🔥🔥
ameen
@@mamanyonzo_og2607 tuko pamoja na wewe
Duh leo nimejitaid hadi wakwnz
Mmh Leonard asma said na azaboi i love this guys maana daah wanachekesha halafu wapo so seriously kiukwel
Renaldo, Ndalo na Said Said nyie moto wa Petroli🔥🔥🔥
Leonard unajua
Leonardo 🔥🔥🔥💪🏿
Namkubali sana leonard
Stiff competition 💪🏾
izo héla ziende kwa BOOM
Uyo magician comedy
Mungu ni mwema ila tukubali kua ni mashindano kwa wale mlio shindwa amini mtafautu kwingine
Jamaa wa masingaombwe anatia hela kwenye mfuko wa shati, watu wanashangaa
Akili umakinina usharp unatakiwa sana anajitahd ni ngumu sana.
Daay...kumbe Ommy ulimcheq pale alivotupia hela mfukoni faster na hakuna alojua🤣🤣🤣🤣🤣 ila mengine sijajua anafanyaje huyu mwamba daah!
@@nissamwapoladi7345 kweli unawez ukaangusha🤣
Io ni kweli lazima mshindi apatikne faida wampta pia coz watu wengi wamezid kuwajua kuptia apo apo kujiogeza tu wenywe tu sas
Big up Nox m,
My brother ,my uncle , Mai zumo this joke went over people’s head
Only few got it.
Pamoja sana wasafi tv
Leonard namba 1
So emotional
Naskiaga mwanaume kulia ni ngumu sana Ila kwa coy ameonesha upendo wa kweli ni jinsi gan anatamani na wenzake wapate bac na mm namuombea coy apate zaid ya hapo 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Uuuwi leonard anaweza jamaniii🙌🙌🙌
Jamani muzungu alia usilie vumilia kumbe unamoyo wahuruma nakupenda sana nzungu ukovizuri
Watizamaji mtu tengenezee platform ya kuwapigia kura washiriki.
Gerald Sebastian. Arusha, Tanzania
Ni jeshi km ya saudia,🇸🇦
Nomaa
Cheka tu comedy 👏👏👏wasafi tv
Head master is so professional
Sana
mwanaume akilia n raha jamn koi mzngu .... 😂😂😂😂😂 ad hurm lkn
Mang'ndo arudi ameonewa tunampenda sana 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 Kdo
Napenda sana, mimi ni mtazania, naishi Italy ❤ napenda
Tanzania 👌🏽👍🏾
Leonard is so genius
Ninge muomba koy amsaidie kimbwele kwenye utangazaji mpaka comedy search ata kapo kamilika atakuwa kasha pata experience
Kwakweli ana saut nzuri lazima atapata kazi hawatomuacha hvhv
Dah chef juge 😭😭😭😭
Leonard ni bonge la comedian sema uwez wakumiliki stage aupo ajitaid kuondoa hofuu stejini
Coy mzungu iyo tabia ya kulialia embu acha
Leonard mshindi
Well done judges ur right
😂😂😂😂😂Dah jol master ww kichwa kibov
Leonardo ni mkari lakini leo ulipia kidogo, usituangushe weekend ijayo
Angalau Sasa natumia bundle langu nyumbani lilikuwa ninamalizwa na Churchill's show
Jaman headmaster katisha sana
Said😍😘
Daa on fire
Competition ya Moto 🔥🔥🔥🔥
Azaboi 😂😂😂😂😂na leonard
Endelea saana kumuombea aza boy mana huyo mwana ni next level 🔥🔥
leonard na ndalo tukutane fainal🔥🔥🔥
azaboi umemuacha wap
Leonard anajua jamn
anafanan ba baba levo😊
Coy mzungu ndo umeniliza hvi jmn😢😢😢
Nakipenda kipindi hichi sana