WASHIRIKI WA DODOMA WALIVYOVUNJA MBAVU ZA MAJAJI KWENYE CHEKA TU COMEDY SEARCH DODOMA 2

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 июл 2021
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 202

  • @sifasanga7866
    @sifasanga7866 3 года назад +6

    Tuwape heshima Sana Akina Joti, Mpoki Mc Mboneke Nk...kuchekesha kazi ngumu sana

  • @emmanueljoseph2576
    @emmanueljoseph2576 3 года назад +11

    😂😂😂😂😂milembe imejengwa pale Dodoma ni makutaniko ya wehu

  • @mohammedmaalim6454
    @mohammedmaalim6454 3 года назад +9

    Coy is very smart person

  • @prosperswai490
    @prosperswai490 3 года назад +13

    Bado sijaona kam Arusha

  • @wiseboytv2974
    @wiseboytv2974 3 года назад +11

    😂😂😂ila babalevo eti hospital ya milembe imejengwa Dodoma kwasababu,nimakutano ya wehu😂nimecheka kifala,!😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @siyeyetv
      @siyeyetv 3 года назад

      Wamemsikia

    • @christonchristian7448
      @christonchristian7448 Год назад

      uyu mwehu ni 😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆

  • @nazaretimwamba2416
    @nazaretimwamba2416 3 года назад +6

    Mshindi tuu ataroka Arusha kabsaaaa 🇧🇮🇧🇮 kwani mnasemaje uuuh

  • @vailetmwakalobo6075
    @vailetmwakalobo6075 3 года назад +3

    No 1 wap like za B.levo

  • @lexrock427
    @lexrock427 3 года назад +5

    Etiii wallah huu ugonjwa utoboi ... Mshiriki wangu bora🤣

  • @lizzydiy4590
    @lizzydiy4590 3 года назад +3

    Huyo alokua anacheza kama mwanga 🙌🙌🙌

  • @Az__2012
    @Az__2012 3 года назад +4

    Mshkaji anaekata mauno mumemuibia tu

    • @inri003
      @inri003 3 года назад +1

      Double standard

  • @genesishalisi7161
    @genesishalisi7161 3 года назад +1

    Coy mzungu nimekupenda bure una moyo mzuri Sana unayajua maisha Safi sana brother

  • @nashadullamwatsavwa7659
    @nashadullamwatsavwa7659 3 года назад +4

    Nlipenda comedy ya Arusha

  • @mwaisanyonyoma416
    @mwaisanyonyoma416 3 года назад +8

    Hawakukosea kujenga hosptali ya milembe Dom... Knachohtajika na knachofanywa tofauti

  • @anastaziakilaza7456
    @anastaziakilaza7456 Год назад +1

    Comedy ni kazi na ni talents inayotumia hisia ya sita very tough kama mwili Wako haukuruhusu kufanya hicho kitu

  • @restkalemile5274
    @restkalemile5274 3 года назад +12

    Yule jamaa mweus na Bonge wafikirie sana coy.....
    Huyo sister mwenye miwan hamna kitu umembeba tu nazan unamtaman tu

  • @laurinfred2931
    @laurinfred2931 3 года назад +5

    Hao kina dada kunakipi kinaendelea 😅😅 maana mmeacha macomedian, mkachukua wadada

  • @muzlyzam
    @muzlyzam 2 года назад +4

    Nani amerudi hapa baada ya final?

  • @koletajeanne8824
    @koletajeanne8824 3 года назад +5

    0985 good for this it make me laugh with my family from USA

  • @youngpanther7616
    @youngpanther7616 3 года назад +2

    Nakubar

  • @stellah3844
    @stellah3844 3 года назад +5

    Huyu dada mwenye ushung umembeba bora ungemchukua Yule bonge au Yule mkaka alovaa kilemba aisee

  • @youngpanther7616
    @youngpanther7616 3 года назад +2

    Aza boii

  • @geographyteacher.2961
    @geographyteacher.2961 3 года назад +7

    Coy ur gd in judgement

  • @elysahussein5804
    @elysahussein5804 3 года назад +2

    Iyi kazi ngumu san

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 3 года назад +6

    Maneno ya Majaji yanachekesha kuliko washiliki😂😂😂

  • @norahyrron
    @norahyrron 3 года назад +6

    Representing kenya

  • @emmanueljoseph2576
    @emmanueljoseph2576 3 года назад +3

    Dodoma hakuna wachekeshashi wengi ni wehu Kama alivyosema baba levo ndio maana milembe ikajengwa hapo 😂

  • @meshacknyerere3040
    @meshacknyerere3040 2 года назад +1

    0985 ni chaguo langu bora sana

  • @zaburi2386
    @zaburi2386 3 года назад +2

    Yule wa rasta wa kukuta Mauno anajua sana sema zembwela hafai Kuwa jaji

    • @leahsilayo5126
      @leahsilayo5126 3 года назад

      Kabisa zembwela hana lolote hapo yupo kwaajil ya kukatisha tamaa

  • @mwaisanyonyoma416
    @mwaisanyonyoma416 3 года назад +5

    No. 0985 anajua sana uyo fidodido😂😂😂

  • @jastinjustus6878
    @jastinjustus6878 3 года назад +2

    Wasaaaaafi

  • @allanothuman2941
    @allanothuman2941 3 года назад +3

    30.1.🤩🤩🤩🤩

  • @mtitagirloriginal9472
    @mtitagirloriginal9472 3 года назад +3

    Alokata mauno mauno kanichekesha 😂😂

  • @answarulmahdy7557
    @answarulmahdy7557 3 года назад +1

    Mikutaniko ya baazi ya wehu🤣🤣🤣🤣😂😂

  • @koletajeanne8824
    @koletajeanne8824 3 года назад +3

    Baba levo mwenyewe niche wa Diamond

  • @amrimwingwa994
    @amrimwingwa994 3 года назад +2

    Zembwela Unakazaaaaa kinomaaaaa

  • @cloneltv
    @cloneltv 3 года назад +3

    Hao watatu ambao Coy ulilia wakat wa kuwatoa mbona ndo wanadeserve daah

  • @sharinv8864
    @sharinv8864 3 года назад +4

    Haki mm siwezi fanya hii kazi ya kuchaguwa mshindi naeza chaguwa woote na naeza lia saana maana nina moyo wa huruma mno daaah ni mtihani kwakweli.

  • @sirsalumu
    @sirsalumu 3 года назад +2

    Huyo bonge nadhani alideserve pia kushinda

  • @shihume256
    @shihume256 3 года назад +4

    Dah....kama niivi naweza

  • @flavour_boy1596
    @flavour_boy1596 2 года назад +8

    Tuliokuja baada ya leornado kushinda weka like

  • @wilonjabikey8274
    @wilonjabikey8274 3 года назад +4

    Maisha unayachaguwa na ya naweza kukuchaguwa wewe!
    Nimeupenda sana huu msemwa.

  • @waheedahtanzania4912
    @waheedahtanzania4912 3 года назад +3

    Mmhu ila bro Zembwela daah hapa wenye kukupa moyo wa kufaulu maisha ni baba levo na koy mzungu

  • @mtitagirloriginal9472
    @mtitagirloriginal9472 3 года назад +2

    Uyo mwenye dera anasoma sana vibonzo mpak anasahau

    • @annaheggidy7858
      @annaheggidy7858 3 года назад

      Ila wewe dada umejua kunifurahisha eti anasoma Sana vibonzo 😂😂😂😂

  • @mwaisanyonyoma416
    @mwaisanyonyoma416 3 года назад +7

    Dodoma wamezngua sana☹️☹️

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 3 года назад +2

    Hii kal😂😂🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭

  • @bigboss1192
    @bigboss1192 3 года назад +2

    Dodoma wako vinzr sana 😂😂😂

  • @abdulkanganya9628
    @abdulkanganya9628 3 года назад +2

    Daah dodoma

  • @kadegashibani5934
    @kadegashibani5934 3 года назад +1

    Daah huyu kaka walasta kanichekesha jmn🤣🤣

  • @ramakimolo125
    @ramakimolo125 3 года назад +1

    Jaji ndo mchekeshajiii ila washirikii amna kitu bora wachekeshaj wa gwassa 😁😂😁😁

  • @irenel1494
    @irenel1494 3 года назад +2

    Huyo wa kwanza anajua

  • @irengealkeymufungizi483
    @irengealkeymufungizi483 3 года назад +1

    So nice

  • @ivonvena9409
    @ivonvena9409 3 года назад

    Wangemuweka na rubeni hakika bhna ni Moto Sanaa yulee🤣🤣🤣

  • @jastinjustus6878
    @jastinjustus6878 3 года назад +4

    Majudge ndo wanachekesha hadi raha

  • @bahebecharles2948
    @bahebecharles2948 3 года назад +2

    Nimemuona mwanangu eddo

  • @mjuba
    @mjuba 3 года назад +1

    Eti Dodoma ni makutaniko ya wehu 😂😂😂😂😂😂

  • @Richesfam
    @Richesfam 3 года назад +1

    Namba 0890 Ana fanana na Wema Sepeto

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 3 года назад +1

    Beberu hacheki beberu na kucheka wapi kwa wapi

  • @fadakemambilinyi550
    @fadakemambilinyi550 3 года назад +2

    yaan majudge ndio wanaotuchekesha \

  • @koletajeanne8824
    @koletajeanne8824 3 года назад +3

    0957 he talk like gabo zingabo

  • @Arnnoboy
    @Arnnoboy 3 года назад +2

    #deopa Media

  • @britonngale6644
    @britonngale6644 3 года назад +2

    Arusha walitisha sana

  • @kamaratsalimsafari8838
    @kamaratsalimsafari8838 3 года назад +1

    0957 Kikao cha Audio, One man pretending a group of a sutan conversation 👍

  • @hamedabashir9
    @hamedabashir9 3 года назад +3

    😂😂😂😂😂🤣

  • @jenniferzakaria3884
    @jenniferzakaria3884 Год назад

    Jaman hz hela zinamfanya mtu aonekane chizi 🤣🤣🤣

  • @neemankwabi6544
    @neemankwabi6544 Год назад

    Jaman ata me NINGEKUA jaji sijui tu yule mshiriki wa pili tu NINGEKUA na fimbo Wote wanaongea ujinga piga fimbo

  • @bestbusiness4351
    @bestbusiness4351 3 года назад +2

    Ng’ombe wa Mwanza wanachoma matofali 😂😂😂

  • @mathayowilson1525
    @mathayowilson1525 2 года назад

    WOTE waliovunja MBAVU ZA ndugu ZETU huko Dodoma UMAANA polisi hawajasikia hilo? Kamataaa haoo wavunja mbavu..😄😃😆😆🤣🤣😀😁

  • @nyestthebestboy9367
    @nyestthebestboy9367 3 года назад +1

    Round 1 ilikua moto

  • @DjmubaTechServices
    @DjmubaTechServices 3 года назад +1

    hawa madada wanachukuliwa kwnn 😄😄

  • @TheMandela21
    @TheMandela21 3 года назад +2

    Makutaniko ya ya wehu

  • @victoriadati3473
    @victoriadati3473 2 года назад

    Naomba ratiba ya kipindi cha Cheka tu kwenye Wasafitv

  • @siyeyetv
    @siyeyetv 3 года назад

    Mmeniuz sana

  • @daniel.shao.9028
    @daniel.shao.9028 3 месяца назад

    Dullah alifunika wote hapo why mlimuacha?....ndio maana mpaka leo anaiweza comedy vizuri sana.

  • @kibatofinest8840
    @kibatofinest8840 3 года назад

    😂😂😂mazee huyo mbongee mweusi anatishia

  • @sethmgeni2463
    @sethmgeni2463 2 года назад

    Yes

  • @emmasheck6552
    @emmasheck6552 3 года назад +3

    COY Mzungu bro if you guys truly mean to discover talents. The Rasta man with the old age...aliekata viuno anakila kitu cha kumfanya awe comedian.
    Kama nimewasikia vema;
    1. Mnatafuta mtu mwenye kipaji halisi.
    2. Awe na content
    3. Awe mwenye kuandika set yake ya jokes kuleta mpangilio kwenye presentetion yake.
    4. New face
    Huyo jamaa mmemkataa tu sawa ninyi ndio judges ila kama mnataka kwenda international you need people with logical and smart jokes kama za jamaa.
    Kazi yenu ni nzuri ila two judges hapo hawa qualify hata kushindanishwa na huyo bwana Rastafarian. He is real...so real.
    Sijamtaja Bebelu Zembwela of the two un qualified judges to compete him.
    Big five.

  • @emiliaalyhibraimo6367
    @emiliaalyhibraimo6367 3 года назад +2

    Hawa wapo karibu na shishi food uko washashiba harufu za chakula cha shishi

  • @nuchonuel0489
    @nuchonuel0489 3 года назад +1

    Noumaaa

  • @fabiankazimil8276
    @fabiankazimil8276 3 года назад +1

    0020 anazingua

  • @mussasimon1701
    @mussasimon1701 2 года назад

    Mwenye kuhitaji vichekesho nitafute in bobo

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 3 года назад

    Huyo bonge Mhindi yuko vizuri mno

  • @koletajeanne8824
    @koletajeanne8824 3 года назад +1

    0912 you so funny

  • @chabahaya7823
    @chabahaya7823 3 года назад +1

    🤠🤠🤠🤠

  • @doreennaftal4373
    @doreennaftal4373 3 года назад +1

    😂😂 interview ya cmba

  • @stanfordjeremiah8943
    @stanfordjeremiah8943 3 года назад +1

    et very race.....ndio nn sasa

  • @yahyajuma2059
    @yahyajuma2059 2 года назад

    Daaah Leonardo umetoka mbl sn

  • @bonnyvanny8321
    @bonnyvanny8321 3 года назад +1

    comedians wmetokaaa hatuelwiii

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 3 года назад

    Makutaniko ya baadhi ya wehu... Baba levo mjinga kabisa 😁😁😁😁

  • @ShallooB-cl2iz
    @ShallooB-cl2iz 10 месяцев назад

    nami taka kuingiya cheka tu lakini niko zambia

  • @bighead8184
    @bighead8184 3 года назад +1

    0844👍

  • @mtitagirloriginal9472
    @mtitagirloriginal9472 3 года назад +1

    Sasa kama mmewatoa hao na mwenye kiremba mnapeleka nn mjin🙄🙄🙄🙄

    • @lucialeonard2675
      @lucialeonard2675 3 года назад

      Yaan ndo nawaza kwamba wanaacha wazur wanachukua wabovu

  • @fettyharoun1333
    @fettyharoun1333 3 года назад +3

    😂😂😂😂🙏

  • @esterdoriye4304
    @esterdoriye4304 3 года назад +1

    Koi umelia jamani unatamani ungewachukua wote

  • @hellenwaswa2222
    @hellenwaswa2222 Год назад

    Mjawi huyu 😂😂😂

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 3 года назад +1

    Machozi ya nini sasa mzungu umemtoa huo kijana mwenye kilemba ukamchukua huyo dada ni unafiki mtupu

  • @a.k.astudio5351
    @a.k.astudio5351 3 года назад +1

    Coy unanipa maraha san huku mwisho mwisho

  • @kidjhdf7568
    @kidjhdf7568 3 года назад +3

    Wakwanza

  • @rehemaothman2200
    @rehemaothman2200 3 года назад +1

    Zebwela jamaniiiiiii

  • @yamunguhussein4330
    @yamunguhussein4330 3 года назад

    Yan naangalia huku naokenua ila sichekeshwi imagine 🤣😂🤣

  • @kamaratsalimsafari8838
    @kamaratsalimsafari8838 3 года назад +2

    KAMSEREREKO🤪🤣🤣🤣🤣