WASHIRIKI WA DODOMA WALIVYOVUNJA MBAVU ZA MAJAJI KWENYE CHEKA TU COMEDY SEARCH DODOMA 2
HTML-код
- Опубликовано: 21 июл 2021
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm Развлечения
Tuwape heshima Sana Akina Joti, Mpoki Mc Mboneke Nk...kuchekesha kazi ngumu sana
😂😂😂😂😂milembe imejengwa pale Dodoma ni makutaniko ya wehu
Coy is very smart person
Bado sijaona kam Arusha
Arusha ni noumaa
😂😂😂ila babalevo eti hospital ya milembe imejengwa Dodoma kwasababu,nimakutano ya wehu😂nimecheka kifala,!😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wamemsikia
uyu mwehu ni 😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
Mshindi tuu ataroka Arusha kabsaaaa 🇧🇮🇧🇮 kwani mnasemaje uuuh
No 1 wap like za B.levo
Etiii wallah huu ugonjwa utoboi ... Mshiriki wangu bora🤣
Huyo alokua anacheza kama mwanga 🙌🙌🙌
Mshkaji anaekata mauno mumemuibia tu
Double standard
Coy mzungu nimekupenda bure una moyo mzuri Sana unayajua maisha Safi sana brother
Nlipenda comedy ya Arusha
Hawakukosea kujenga hosptali ya milembe Dom... Knachohtajika na knachofanywa tofauti
Comedy ni kazi na ni talents inayotumia hisia ya sita very tough kama mwili Wako haukuruhusu kufanya hicho kitu
Yule jamaa mweus na Bonge wafikirie sana coy.....
Huyo sister mwenye miwan hamna kitu umembeba tu nazan unamtaman tu
Hao kina dada kunakipi kinaendelea 😅😅 maana mmeacha macomedian, mkachukua wadada
Nani amerudi hapa baada ya final?
😆😆😆😆☝
0985 good for this it make me laugh with my family from USA
Nakubar
Huyu dada mwenye ushung umembeba bora ungemchukua Yule bonge au Yule mkaka alovaa kilemba aisee
Bonge mmemuacha bure tuu
Kweli
Aza boii
Blood❤
Coy ur gd in judgement
Iyi kazi ngumu san
Maneno ya Majaji yanachekesha kuliko washiliki😂😂😂
Wao kua majaj imaanisha wanajua zaidi
Representing kenya
Dodoma hakuna wachekeshashi wengi ni wehu Kama alivyosema baba levo ndio maana milembe ikajengwa hapo 😂
0985 ni chaguo langu bora sana
Yule wa rasta wa kukuta Mauno anajua sana sema zembwela hafai Kuwa jaji
Kabisa zembwela hana lolote hapo yupo kwaajil ya kukatisha tamaa
No. 0985 anajua sana uyo fidodido😂😂😂
Haaaa umekwisha
Wasaaaaafi
30.1.🤩🤩🤩🤩
Alokata mauno mauno kanichekesha 😂😂
Mikutaniko ya baazi ya wehu🤣🤣🤣🤣😂😂
Baba levo mwenyewe niche wa Diamond
Zembwela Unakazaaaaa kinomaaaaa
Hao watatu ambao Coy ulilia wakat wa kuwatoa mbona ndo wanadeserve daah
Nakubaliana na wewe
Na mm nashangaaa kwann amewatoa maana wale ndo wakali zaidi nilihc ndo wana pata
Haki mm siwezi fanya hii kazi ya kuchaguwa mshindi naeza chaguwa woote na naeza lia saana maana nina moyo wa huruma mno daaah ni mtihani kwakweli.
Huyo bonge nadhani alideserve pia kushinda
Dah....kama niivi naweza
Tuliokuja baada ya leornado kushinda weka like
😂😂😂😂 bwanaee
Maisha unayachaguwa na ya naweza kukuchaguwa wewe!
Nimeupenda sana huu msemwa.
Mmhu ila bro Zembwela daah hapa wenye kukupa moyo wa kufaulu maisha ni baba levo na koy mzungu
Uyo mwenye dera anasoma sana vibonzo mpak anasahau
Ila wewe dada umejua kunifurahisha eti anasoma Sana vibonzo 😂😂😂😂
Dodoma wamezngua sana☹️☹️
Sana
Hapana kunawalio perform vizuri kama yule lasta man
Hii kal😂😂🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭
Dodoma wako vinzr sana 😂😂😂
Daah dodoma
Daah huyu kaka walasta kanichekesha jmn🤣🤣
😁😁😁😁
Jaji ndo mchekeshajiii ila washirikii amna kitu bora wachekeshaj wa gwassa 😁😂😁😁
Huyo wa kwanza anajua
Ahsante
So nice
Wangemuweka na rubeni hakika bhna ni Moto Sanaa yulee🤣🤣🤣
Majudge ndo wanachekesha hadi raha
Nimemuona mwanangu eddo
Eti Dodoma ni makutaniko ya wehu 😂😂😂😂😂😂
Namba 0890 Ana fanana na Wema Sepeto
Beberu hacheki beberu na kucheka wapi kwa wapi
yaan majudge ndio wanaotuchekesha \
0957 he talk like gabo zingabo
#deopa Media
Arusha walitisha sana
0957 Kikao cha Audio, One man pretending a group of a sutan conversation 👍
😂😂😂😂😂🤣
Jaman hz hela zinamfanya mtu aonekane chizi 🤣🤣🤣
Jaman ata me NINGEKUA jaji sijui tu yule mshiriki wa pili tu NINGEKUA na fimbo Wote wanaongea ujinga piga fimbo
Ng’ombe wa Mwanza wanachoma matofali 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
@@azaboicomedy 😂😂😂
WOTE waliovunja MBAVU ZA ndugu ZETU huko Dodoma UMAANA polisi hawajasikia hilo? Kamataaa haoo wavunja mbavu..😄😃😆😆🤣🤣😀😁
Round 1 ilikua moto
hawa madada wanachukuliwa kwnn 😄😄
Makutaniko ya ya wehu
Naomba ratiba ya kipindi cha Cheka tu kwenye Wasafitv
Mmeniuz sana
Dullah alifunika wote hapo why mlimuacha?....ndio maana mpaka leo anaiweza comedy vizuri sana.
😂😂😂mazee huyo mbongee mweusi anatishia
Yes
COY Mzungu bro if you guys truly mean to discover talents. The Rasta man with the old age...aliekata viuno anakila kitu cha kumfanya awe comedian.
Kama nimewasikia vema;
1. Mnatafuta mtu mwenye kipaji halisi.
2. Awe na content
3. Awe mwenye kuandika set yake ya jokes kuleta mpangilio kwenye presentetion yake.
4. New face
Huyo jamaa mmemkataa tu sawa ninyi ndio judges ila kama mnataka kwenda international you need people with logical and smart jokes kama za jamaa.
Kazi yenu ni nzuri ila two judges hapo hawa qualify hata kushindanishwa na huyo bwana Rastafarian. He is real...so real.
Sijamtaja Bebelu Zembwela of the two un qualified judges to compete him.
Big five.
Hawa wapo karibu na shishi food uko washashiba harufu za chakula cha shishi
Noumaaa
0020 anazingua
Mwenye kuhitaji vichekesho nitafute in bobo
Huyo bonge Mhindi yuko vizuri mno
0912 you so funny
🤠🤠🤠🤠
😂😂 interview ya cmba
et very race.....ndio nn sasa
Daaah Leonardo umetoka mbl sn
comedians wmetokaaa hatuelwiii
Makutaniko ya baadhi ya wehu... Baba levo mjinga kabisa 😁😁😁😁
nami taka kuingiya cheka tu lakini niko zambia
0844👍
Sasa kama mmewatoa hao na mwenye kiremba mnapeleka nn mjin🙄🙄🙄🙄
Yaan ndo nawaza kwamba wanaacha wazur wanachukua wabovu
😂😂😂😂🙏
Koi umelia jamani unatamani ungewachukua wote
Mjawi huyu 😂😂😂
Machozi ya nini sasa mzungu umemtoa huo kijana mwenye kilemba ukamchukua huyo dada ni unafiki mtupu
Coy unanipa maraha san huku mwisho mwisho
Wakwanza
Much😉
Thanks
Zebwela jamaniiiiiii
Yan naangalia huku naokenua ila sichekeshwi imagine 🤣😂🤣
KAMSEREREKO🤪🤣🤣🤣🤣