BOFLO STAR SEARCH | MBEYA & IRINGA - USWEGE & ELIUD
HTML-код
- Опубликовано: 7 мар 2023
- BOFLO STAR SEARCH
Ni kipindi cha Comedy kitakachoruka kila jumatano saa moja kamili jioni
Kipindi kinaongozwa na Uswege pamoja na Mchekeshaji Eliud Samweli kutoka CHEKA TU.
Usikose. Приколы
Nyieeeee jaman huku pamekucha me watatu like jaman
Mbeya city piga keleleeeeeeeeeeee maana huko mambo ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
All the way from Rwanda, njooni mpaka rwanda kutafta ma star pia, huku tunawapenda saana!!
mna play part kubwa sana kwenye maisha yetu 🤜🤛❤️🤣🤣
"Hao ma-judge wa kuku-judge wewe kingereza wako wapi hapa"
Napenda hiyoooo
mbeya ni kiwanda cha wasanii🔥🔥🔥
Mnyakyusa toka mbeya na ninawika dar yote,like kwa uswege tafadhari"
Vijisababu vya Eliud ya kutoenda Dar 🤣🤣🤣 hata kama kwenu Mbeya wajua kila mtu na majina yake si mali si majina ya kimajazi 🔥🔥🔥 love the last language
Nakuona mbali sana Mc Eliud hongera sana bwana mkubwa Uswege
Aise hii n moto tena fire 🔥🔥
Mmetisha sana jamani 🙌👋👏
Finally got it wiki mbili sijaona boflo waited for long love the content big fun uswege from 254🇰🇪 001
Muwe mnafanya hii kipindi kila mwaka hili tuwe tunajuwa wasanii wa mpyaa 😊
Inua wewe lilikuwagawa lisungusungu hilo😂😂
🤣🤣🤣 eti kaka ake alishawahi kunipora Mkebe
Kaka yake amewahi kumpora mkebe😀😀😀
ni gold boy cavani kutoka kenya ❤❤❤
Boflo back in the house
Mbeya city stand up🔥🔥💥😂
Asante sana Mbeya,jaman mko powa ila Arusha lini Sasa,
😂😂🙌🙌...kwamba Amber ni soko matola !! Vibe kubwa kutoka mbeya 🤣
Mikono juu... Eti limekulia Nonde... 🤣🤣🤣🤣🤣 BIG UP SANA Team BOFLO STAR SEARCH😤😤😤
Tunaomba mtoe part 2, kwa iringa mmetubania, kina ray c, marlaw na wengine wengi tu 😣
Niwasubir sana ray c na marlaw
Ebu chuku Tumaziwa utu 😂😂😂😂😂😂
Nimemwambia atuendi dar😆🤣😂
N kali Sana eliud na uswege. Ila iringa mmetuonea et😭😭😭😭
Upendeleo n mwing wanataja ad andagraund wambeya2 kwingne wala huku nako wap kama mvua kila mtaa
Haya ndo madhara ya mtu kukujua jaman eliud eliud😀😀😀😀, et linus
It's a part of regional crops exhibition..... awesome
Inamaana eliud watu wako wote unawajua 😂😂😂
From rwanda tup pamoj✌️✌️💪💪🤟🤟👊👊
Oy oy kunestarboy hapa dar,kimara korogwe
Eti mm Hawa siwa taki mamdogo wa hisanga😄😄😄
😂😂😂😂😂ila nyieeee 🙌....weeeeeh toka hapa shenzi ntakunyuka vibao 😂😂😂😂😂eliudi 🙌
Okhooo yanii hikii kipindi kinatangaza sehemu yni mijii
Wana peya tunao toka uyole tupige like hapa
Mbeya sio ya kitoto jaman eliud ni 🔥
Nilikuw unamsubr rayvanny my bro from another mother ❤️my bro
Eliud hatak dada zake waliwe kabisa😀😀😀😀,, a😀😀😀😀😀 yaan kila mdada ni mfyele😀
🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣
Eti tulishakuonya wanawake wa mama john🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣et ni mambo ya familia
Leo ya moto sana home kume waka
Ww Eliud kila mdada ni mfyele😅😅... roho mbaya t😆
Hakutikisa maziwa huyo 😂😂
eliud kafanana na nguo pamoja na matunda yote ya mezani😃😃😃
Nimecheka jaman
Mbeya tumefikiwa sasa 😂😂😂
Home boe nzovwe no one 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Yani nilijua mmeshakata kamba, hakuna tena boflo star 💫 search, Ryavanny yeye ni mboga mboga tu 😂😂😂😂
Leo MC Eliud kawa jeuri kisa yupo kwao😂😂😂
nakubaliii sana big up sanaa
mwaisa hatujafuata ripot 😂😂Eliud kila mtu anamjua
Hahhahha nlikua naisubiri hii wa home😂😘😘
hhhh mmetishaaaa, Leo chief jaji amebadili sutiii hhhhh
Atafikia kwangu 😄😂😂
Mmekutana sana vijana wangu Safi sana 🥱🥱
🤣 🤣 🤣 🤣 Nitakunyuka nani umvue jacket kwnn usimpe wewe shati lako😂😂😂😂
Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hahaha 🤣 siku zote mchungaji uwa unatisha… ila leo umetisha zaidi yaani izo historia unavozichambua daaah 😅
🤣🤣🤣 kama nilimlea babaake sishindwe mtoto kumlea
Eti kakake aliwah nipora mkebe 🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂❤nyie eliud tutaondoka nao wote
Dah mnatuweka sana aseee tumezoea Kila jtano sema mmeua
Mko vizuri wakubwa,ila muwe wakadilifu kwenye kula.
Hahahahaha mbeyaaaa city so hot big brothers 🤣🤣🤣🤣
😂😂😂jmn Eliud
Ulianza lini wewe kuhurumia wajasiriamali wadogo wadogo ..Eliud bana daah 🤣
Roho ya uzinzi Nu ghwa kighiri🤣🤣🤣
Kwa kifupi eliudi anajua wote na historia yao zote ... Lkn anawahurumia wasiende Dar
Nimeiludia Kwa siku mbili hii nilisubiri Sana 🔥🔥
Mbeya city 🔥🔥🔥
Huyu ni roho ya uzinziii🌹😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣iringa kukaye
Kumekucha kumekucha hukuuuuu 😂😅😂😅😂😅😂
Muko powa ile mbaya Muna juwa 🇴🇲
Na uving'oosee🤣🤣🤣
Unyama sanaaaaa
Eti lilikuwaga lisungusungu😂😂😂
Ney the true boy
😂😂keeping burning 🔥🔥🔥 hii umeenda wapi likes
Daah uko makandana sasa 😂🤣🤣🤣🤣
Home sweet home
😂😂😂😂😂😂nimecheka sna leo
Huko mbeya city kumejaa wapenda ubwabwa
Ila eliud 😅😅😅😅
Ulitemba😅 ulitembala🤣
🤣🤣🤣🤣😂 upo nyonyo wa Tz nyinyi you always make me extremely happy all day long
Piga kelele kwa mbeyaaa akeeeee!!!! Mbeya raha sana jaman
Hii Mbeya na IRINGA iwe na part 2 jamani kuna watu wengi hamjawafikia jamani😅😅😅😅😅
Aliesikia ata nguo alivaa Q laka ni za kushindia agonge like apa😂😂
Uswege apo Eiud kakudanganya iyo tuvuuke kinyakiyusa , kwakiswahili ndo kusema twende
Me naisubiri ya hometown chugga
Niliwamiss sana 😂😂😂
Damu ya kilimo🤣🤣🤣
Atimaye mmefika mbeya 🔥🔥🔥🔥🔥 what ⏭️ men?
🔥🔥🔥🔥🔥 waoooh ndaga fijo in mbeya lla mby tuna waimbaji hatari
#aboi_4rm_makambako b2k batweli kinyunyu home boi mumemuacha jamani
kutundumuka nd nn jamani eliud hhhh
Hii pigeni na part 2 yake akina awilo mmewaacha na hao wa gospel chukuen wachache
Wow tuliwamiss sana 🤣🤣🤣🤣🤣
Umemuonea b2k jamn unaanzaje kumuachaa😢😢
leo nimewahii wakuuu
Hatareee🔥🔥🔥