BOFLO STAR SEARCH | MBEYA & IRINGA - USWEGE & ELIUD

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 мар 2023
  • BOFLO STAR SEARCH
    Ni kipindi cha Comedy kitakachoruka kila jumatano saa moja kamili jioni
    Kipindi kinaongozwa na Uswege pamoja na Mchekeshaji Eliud Samweli kutoka CHEKA TU.
    Usikose.
  • ПриколыПриколы

Комментарии • 309

  • @meshackinocent4053
    @meshackinocent4053 Год назад +53

    Nyieeeee jaman huku pamekucha me watatu like jaman

  • @raphaeltanzania
    @raphaeltanzania Год назад +41

    Mbeya city piga keleleeeeeeeeeeee maana huko mambo ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @mukandayisengasolange9387
    @mukandayisengasolange9387 Год назад +20

    All the way from Rwanda, njooni mpaka rwanda kutafta ma star pia, huku tunawapenda saana!!

  • @hamisimashaka4899
    @hamisimashaka4899 Год назад +19

    mna play part kubwa sana kwenye maisha yetu 🤜🤛❤️🤣🤣

  • @babumwananinga1007
    @babumwananinga1007 Год назад +22

    "Hao ma-judge wa kuku-judge wewe kingereza wako wapi hapa"
    Napenda hiyoooo

  • @samjr2510
    @samjr2510 Год назад +16

    mbeya ni kiwanda cha wasanii🔥🔥🔥

  • @gmwene6269
    @gmwene6269 Год назад +8

    Mnyakyusa toka mbeya na ninawika dar yote,like kwa uswege tafadhari"

  • @kingthelast
    @kingthelast Год назад +10

    Vijisababu vya Eliud ya kutoenda Dar 🤣🤣🤣 hata kama kwenu Mbeya wajua kila mtu na majina yake si mali si majina ya kimajazi 🔥🔥🔥 love the last language

  • @nasibuahmedy2438
    @nasibuahmedy2438 Год назад +9

    Nakuona mbali sana Mc Eliud hongera sana bwana mkubwa Uswege

  • @sethnsohoye1220
    @sethnsohoye1220 Год назад +13

    Aise hii n moto tena fire 🔥🔥
    Mmetisha sana jamani 🙌👋👏

  • @kingthelast
    @kingthelast Год назад +6

    Finally got it wiki mbili sijaona boflo waited for long love the content big fun uswege from 254🇰🇪 001

  • @hemedchande01
    @hemedchande01 2 месяца назад +1

    Muwe mnafanya hii kipindi kila mwaka hili tuwe tunajuwa wasanii wa mpyaa 😊

  • @nyakungukimakon1883
    @nyakungukimakon1883 Год назад +5

    Inua wewe lilikuwagawa lisungusungu hilo😂😂

  • @jamesfanuel4595
    @jamesfanuel4595 Год назад +5

    🤣🤣🤣 eti kaka ake alishawahi kunipora Mkebe

  • @charybdis8113
    @charybdis8113 Год назад +5

    Kaka yake amewahi kumpora mkebe😀😀😀

  • @Goldboyking
    @Goldboyking Год назад +11

    ni gold boy cavani kutoka kenya ❤❤❤

  • @shaaqlassique6644
    @shaaqlassique6644 Год назад +12

    Boflo back in the house

  • @marcomussatv9195
    @marcomussatv9195 Год назад +9

    Mbeya city stand up🔥🔥💥😂

  • @danielmbaula-vh2or
    @danielmbaula-vh2or Год назад +3

    Asante sana Mbeya,jaman mko powa ila Arusha lini Sasa,

  • @emmanuelcharles7889
    @emmanuelcharles7889 Год назад +6

    😂😂🙌🙌...kwamba Amber ni soko matola !! Vibe kubwa kutoka mbeya 🤣

  • @johnrichard5482
    @johnrichard5482 Год назад +5

    Mikono juu... Eti limekulia Nonde... 🤣🤣🤣🤣🤣 BIG UP SANA Team BOFLO STAR SEARCH😤😤😤

  • @jemairene9578
    @jemairene9578 Год назад +14

    Tunaomba mtoe part 2, kwa iringa mmetubania, kina ray c, marlaw na wengine wengi tu 😣

  • @farajajohn2042
    @farajajohn2042 Год назад +2

    Ebu chuku Tumaziwa utu 😂😂😂😂😂😂

  • @roi2554
    @roi2554 Год назад +6

    Nimemwambia atuendi dar😆🤣😂

  • @lilywhite2872
    @lilywhite2872 Год назад +5

    N kali Sana eliud na uswege. Ila iringa mmetuonea et😭😭😭😭

    • @jameschumbula7351
      @jameschumbula7351 Год назад

      Upendeleo n mwing wanataja ad andagraund wambeya2 kwingne wala huku nako wap kama mvua kila mtaa

  • @tinahmashaka4355
    @tinahmashaka4355 Год назад +2

    Haya ndo madhara ya mtu kukujua jaman eliud eliud😀😀😀😀, et linus

  • @michaelsikapundwa4955
    @michaelsikapundwa4955 Год назад +10

    It's a part of regional crops exhibition..... awesome

  • @hawaynatimam982
    @hawaynatimam982 Год назад +3

    Inamaana eliud watu wako wote unawajua 😂😂😂

  • @kherryndayishimiye2396
    @kherryndayishimiye2396 Год назад +2

    From rwanda tup pamoj✌️✌️💪💪🤟🤟👊👊

  • @kulwaphilipo6553
    @kulwaphilipo6553 Год назад +2

    Oy oy kunestarboy hapa dar,kimara korogwe

  • @youngtynna4748
    @youngtynna4748 Год назад +3

    Eti mm Hawa siwa taki mamdogo wa hisanga😄😄😄

  • @naimahhussein8430
    @naimahhussein8430 Год назад +2

    😂😂😂😂😂ila nyieeee 🙌....weeeeeh toka hapa shenzi ntakunyuka vibao 😂😂😂😂😂eliudi 🙌

  • @mazingeandrea7921
    @mazingeandrea7921 Год назад +2

    Okhooo yanii hikii kipindi kinatangaza sehemu yni mijii

  • @edwinjohn6334
    @edwinjohn6334 Год назад +5

    Wana peya tunao toka uyole tupige like hapa

  • @VeronicaErick-b7d
    @VeronicaErick-b7d 13 дней назад

    Mbeya sio ya kitoto jaman eliud ni 🔥

  • @TaimurAbbas-pt6jw
    @TaimurAbbas-pt6jw 8 месяцев назад

    Nilikuw unamsubr rayvanny my bro from another mother ❤️my bro

  • @tinahmashaka4355
    @tinahmashaka4355 Год назад +5

    Eliud hatak dada zake waliwe kabisa😀😀😀😀,, a😀😀😀😀😀 yaan kila mdada ni mfyele😀

  • @happymchomvu6766
    @happymchomvu6766 Год назад +2

    Eti tulishakuonya wanawake wa mama john🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ellyjacob9897
    @ellyjacob9897 Год назад +5

    🤣🤣🤣🤣et ni mambo ya familia

  • @kyelaonlinetv2
    @kyelaonlinetv2 Год назад +2

    Leo ya moto sana home kume waka

  • @hildamvile9352
    @hildamvile9352 Год назад +1

    Ww Eliud kila mdada ni mfyele😅😅... roho mbaya t😆

  • @exaviandauka135
    @exaviandauka135 Год назад +3

    Hakutikisa maziwa huyo 😂😂

  • @100Hundredmiles
    @100Hundredmiles Год назад +2

    eliud kafanana na nguo pamoja na matunda yote ya mezani😃😃😃

  • @jonaspatrick8074
    @jonaspatrick8074 Год назад +3

    Mbeya tumefikiwa sasa 😂😂😂

  • @nicholausjackison7729
    @nicholausjackison7729 Год назад +6

    Home boe nzovwe no one 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @filbertfaustine7357
    @filbertfaustine7357 Год назад +3

    Yani nilijua mmeshakata kamba, hakuna tena boflo star 💫 search, Ryavanny yeye ni mboga mboga tu 😂😂😂😂

  • @popotekambi4119
    @popotekambi4119 Год назад +1

    Leo MC Eliud kawa jeuri kisa yupo kwao😂😂😂

  • @anordmwenga677
    @anordmwenga677 Год назад +4

    nakubaliii sana big up sanaa

  • @doreenmathew165
    @doreenmathew165 Год назад +3

    mwaisa hatujafuata ripot 😂😂Eliud kila mtu anamjua

  • @marthaaugustinokimilike4228
    @marthaaugustinokimilike4228 Год назад +3

    Hahhahha nlikua naisubiri hii wa home😂😘😘

  • @jumaamrani3295
    @jumaamrani3295 Год назад +2

    hhhh mmetishaaaa, Leo chief jaji amebadili sutiii hhhhh

  • @paschalcleophace5677
    @paschalcleophace5677 Год назад +2

    Atafikia kwangu 😄😂😂

  • @indexchitanda4477
    @indexchitanda4477 Год назад +3

    Mmekutana sana vijana wangu Safi sana 🥱🥱

  • @naythardarling1115
    @naythardarling1115 Год назад +2

    🤣 🤣 🤣 🤣 Nitakunyuka nani umvue jacket kwnn usimpe wewe shati lako😂😂😂😂

  • @markramirez3910
    @markramirez3910 Год назад +15

    Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @athumanhalid9871
    @athumanhalid9871 Год назад

    Hahaha 🤣 siku zote mchungaji uwa unatisha… ila leo umetisha zaidi yaani izo historia unavozichambua daaah 😅

  • @vumiliasimon9055
    @vumiliasimon9055 Год назад +3

    🤣🤣🤣 kama nilimlea babaake sishindwe mtoto kumlea

  • @emmanuelodiembo
    @emmanuelodiembo Год назад +2

    Eti kakake aliwah nipora mkebe 🤣🤣🤣

  • @caterinafallesmwasagha1920
    @caterinafallesmwasagha1920 2 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂❤nyie eliud tutaondoka nao wote

  • @michaelyusuph9143
    @michaelyusuph9143 Год назад +1

    Dah mnatuweka sana aseee tumezoea Kila jtano sema mmeua

  • @AlexMbagata
    @AlexMbagata 2 месяца назад

    Mko vizuri wakubwa,ila muwe wakadilifu kwenye kula.

  • @mbeya_befs_nation
    @mbeya_befs_nation Год назад +2

    Hahahahaha mbeyaaaa city so hot big brothers 🤣🤣🤣🤣

  • @doreenmathew165
    @doreenmathew165 Год назад +4

    😂😂😂jmn Eliud

  • @musakaphu4581
    @musakaphu4581 Год назад +1

    Ulianza lini wewe kuhurumia wajasiriamali wadogo wadogo ..Eliud bana daah 🤣

  • @chellynpanja3970
    @chellynpanja3970 Год назад +3

    Roho ya uzinzi Nu ghwa kighiri🤣🤣🤣

  • @nyanokwetv7766
    @nyanokwetv7766 Год назад

    Kwa kifupi eliudi anajua wote na historia yao zote ... Lkn anawahurumia wasiende Dar

  • @youngfather5118
    @youngfather5118 Год назад +10

    Nimeiludia Kwa siku mbili hii nilisubiri Sana 🔥🔥

  • @vicentmahenge9201
    @vicentmahenge9201 Год назад +7

    Mbeya city 🔥🔥🔥

  • @nickluca1512
    @nickluca1512 Год назад +2

    Huyu ni roho ya uzinziii🌹😂😂😂😂😂😂

  • @batoniallenchatanda2647
    @batoniallenchatanda2647 Год назад +3

    🤣🤣🤣🤣iringa kukaye

  • @dennycdenny6464
    @dennycdenny6464 Год назад +1

    Kumekucha kumekucha hukuuuuu 😂😅😂😅😂😅😂

  • @allybulushi624
    @allybulushi624 Год назад +1

    Muko powa ile mbaya Muna juwa 🇴🇲

  • @justinemahenge4159
    @justinemahenge4159 Год назад +2

    Na uving'oosee🤣🤣🤣

  • @zabronmbalwa9225
    @zabronmbalwa9225 Год назад +4

    Unyama sanaaaaa

  • @slysuguruofficial5471
    @slysuguruofficial5471 Год назад +2

    Eti lilikuwaga lisungusungu😂😂😂

  • @pioneersenior9077
    @pioneersenior9077 Год назад +5

    Ney the true boy

  • @eunicemwikali5439
    @eunicemwikali5439 Год назад +5

    😂😂keeping burning 🔥🔥🔥 hii umeenda wapi likes

  • @sifaisack7470
    @sifaisack7470 Год назад +1

    Daah uko makandana sasa 😂🤣🤣🤣🤣

  • @janneykennedy5138
    @janneykennedy5138 Год назад +4

    Home sweet home

  • @caterinafallesmwasagha1920
    @caterinafallesmwasagha1920 2 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂nimecheka sna leo

  • @raphaeltanzania
    @raphaeltanzania Год назад +3

    Huko mbeya city kumejaa wapenda ubwabwa

  • @saidihamissikibahapwani
    @saidihamissikibahapwani Год назад +4

    Ila eliud 😅😅😅😅

  • @dulayowakiba569
    @dulayowakiba569 Год назад +2

    Ulitemba😅 ulitembala🤣

  • @iddke.2779
    @iddke.2779 Год назад +1

    🤣🤣🤣🤣😂 upo nyonyo wa Tz nyinyi you always make me extremely happy all day long

  • @ellenkabeta7561
    @ellenkabeta7561 Год назад

    Piga kelele kwa mbeyaaa akeeeee!!!! Mbeya raha sana jaman

  • @amytullah2175
    @amytullah2175 Год назад +1

    Hii Mbeya na IRINGA iwe na part 2 jamani kuna watu wengi hamjawafikia jamani😅😅😅😅😅

  • @davidbahati3748
    @davidbahati3748 Год назад +1

    Aliesikia ata nguo alivaa Q laka ni za kushindia agonge like apa😂😂

  • @user-yq2ov9rx7k
    @user-yq2ov9rx7k 7 месяцев назад

    Uswege apo Eiud kakudanganya iyo tuvuuke kinyakiyusa , kwakiswahili ndo kusema twende

  • @berberaboy9277
    @berberaboy9277 Год назад +1

    Me naisubiri ya hometown chugga

  • @aminaolver9114
    @aminaolver9114 Год назад +3

    Niliwamiss sana 😂😂😂

  • @justinemahenge4159
    @justinemahenge4159 Год назад +3

    Damu ya kilimo🤣🤣🤣

  • @tupokigwemwasekaga7058
    @tupokigwemwasekaga7058 Год назад +1

    Atimaye mmefika mbeya 🔥🔥🔥🔥🔥 what ⏭️ men?

  • @jackisack9466
    @jackisack9466 Год назад

    🔥🔥🔥🔥🔥 waoooh ndaga fijo in mbeya lla mby tuna waimbaji hatari

  • @xaverisunday699
    @xaverisunday699 Год назад +2

    #aboi_4rm_makambako b2k batweli kinyunyu home boi mumemuacha jamani

  • @jumaamrani3295
    @jumaamrani3295 Год назад +1

    kutundumuka nd nn jamani eliud hhhh

  • @kipukatz
    @kipukatz Год назад +1

    Hii pigeni na part 2 yake akina awilo mmewaacha na hao wa gospel chukuen wachache

  • @munasaid1429
    @munasaid1429 Год назад +2

    Wow tuliwamiss sana 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @SalumKhamis-of4sn
    @SalumKhamis-of4sn Месяц назад

    Umemuonea b2k jamn unaanzaje kumuachaa😢😢

  • @adamsalim587
    @adamsalim587 Год назад +1

    leo nimewahii wakuuu

  • @gloryndahani7959
    @gloryndahani7959 Год назад +2

    Hatareee🔥🔥🔥