Wowuuu huu ndo muda wa kubonyeza kwa hili neno subscriber mnanifulahisha Sana . ndaro akiwa na stiven mpango yao ni hatali . Kwizera Hamza from Rwanda. kwa kiswahili unite Kuamini Hamza . Shukran Sana wazee wetu tunawapenda zaidi . ila msinicheke kiswahili changu sio kizuli cha muhumu ni maoni yangu. Tuendelee .....
Aiseee nmecheka too much mpaka tumbo limeniuma gaflaa yaan nyie stive na Ndaro salute😂😂😂😂🙌
😂😂😂😂@ndaro @steve. You guys have good chemistry. Mnajuaa, yaan hata bila script nyie ni vichaa tayari.
Ningekuwa pia mchekeshaji lazima ningemshirikisha Steve Moses...talanta haswa😅
#fan no. 1 toka Kenya
😂😂😂😂😂😂ndaroooo au basi nishaelewa .... Steve hiii njia inatoka..🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kazi nzur nawakukubar sana
Nawakubali sio nawakubar
@@TamimuIddnn
Vp naomba like zangu
❤❤❤❤❤❤❤
Omba omba wa like mnoboa😊
Hii imeenda kwa stive na ndarooo c.o pw nawakubali😂😂😂😂😂😂😂❤
nakubali sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Halafu sio nzuri,,,,,,wamempea huyo muhudumu wakati mgumu,,,,halafu tena mwisho nmependa sana 😂😂😂
Nmejiwahisha mie 😂😂 mnilike Sasa
Kama umelewa ndoro licha ya kuigiza ni kweli pia ananjaa nipen like zangu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hahah jamaa hawafahi yaan kila wakitoa hawakoseiiii 😂😂
Ahahahahahahahahahahahahaaaa!! Shida steve kamchoma ndaro
😂😂😂elfu kumi na nane kwani tuna ondoka na vyombo😂😂
❤❤❤❤❤
Wowuuu huu ndo muda wa kubonyeza kwa hili neno subscriber mnanifulahisha Sana . ndaro akiwa na stiven mpango yao ni hatali . Kwizera Hamza from Rwanda. kwa kiswahili unite Kuamini Hamza . Shukran Sana wazee wetu tunawapenda zaidi . ila msinicheke kiswahili changu sio kizuli cha muhumu ni maoni yangu. Tuendelee .....
😂😂 alafu akimaliza aje kunakitu muhongee
Huko club sunset mna inzi😂😂😂
Nimejikuta nacheka kwa sauti aisee ndaro na stive😂😂😂😂
Naipenda kuona mavie sako ndaro nataka nikuone siku moja
hii nzuri unapelekwa jela ukiwa umeshiba😂😂😂😂😂😂
Jose,smon
😂😂😂😂Basi sawa tukubaliane hawa jamaa noma sana
🤣🤣🤣🤣, pale mwishooni, ety Steveeeeee😂😂😂🙌🙌🙌
Are you hungry? Why not😂😂 ...kizungu cha steve😂😂
😂😂😂
Nikwel
Kwani Awa Steve na ndaro wenitunza stresse 😀😀😀😀😀🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Ninoma san😅🎉😂😂😂😂😊❤
Hahahahahah unapelekw jela umeshiba😢 ila Steve unakit chaj mbngn🎉
👏👏👏👏👏Hapo Hapo vijana kbs 😂😂😂😂!!! Kula nyama 😋😋😋!! Na leo Steve umetumia Hakiri kwa kumkamata mwizi mkubwa 🤣🤣🤣🤣
Walai hii n moto 😂😂😂😂 lakin steve aajikaza kimombo 😂😂😂😂 ebu atafsiri "dont u forget me and u" 😅😅😅😢😢
Njoo tuchekee huku😂😂 mwenzako Sina nguvu za kuja huko🥳🥳
Very good mnanifurahisha xan❤❤❤❤❤
Gud job ndaro and Steve, keep it up ❤️ ❤️ ❤️
Yaani ndaro na stevu mnaombeafa chakula kwelimasn naona mnavamia tu 😂😂😂😂😂
Daenjoy sana kuwacheki hawa jamaa 😂😂💥
Daah Yan me sjawah kupat like zang
Mmetisha
mekubali
Lazma uchekee
Kak usiofu utapat
We mdada una mtoto
😂😂😂 nimecheka njoo tu chekee huku😅😅😂😂 mwisho ndaro kitazi ndaro ameniuwa stivuuuu😂😂kula chuma icho
More love from 🇰🇪 ✌️✌️
🫂🌹👌
😢😢😢😢😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮@@josephmaina-vm1lc
We dada mambo
Unamjaa ❤❤❤ ndaroo
@@Chazyassengapouwer
😂😂😂kwani tunaondoka na vyombo😂😂
Ila Steve na ndaro😂😂😂😂😂😂Mungu azidi kuwabariki 🙏
Mr.machale leo stive kakuchoma😅😅😅😅😂😂😂
Nimechoka Hadi mbavu zinauma ndaru na sintiv m 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
We hatari,san
nimecheka kwa nguvu sana nusu nikose kaz leo hahahahahaahaa nice
hawa jamaa hawana akili😂😂😂 nawakubalisana
APA KAZI ilichapwa vizuri sana, mulitaka munipasuwe na macheko😁😁
My favs...we love you from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ndaro🔥🔥 na Steve mweusi🔥🔥 munaniuaga sana😂😂😂
Oyaaaah jaman part two itakuja lini😂😂😂 yaan nime cheka hatri😅😅😅😅😅😅😅
😂😂😂😂😂stave umekwepa mtego 🤣 nakubali brother pongezi
Hahhahaha kama umecheka nipe like ata mbili 😅😅😅
Kula hii
hatari sana😅😅 content
😂😂😂😂😂
Ha better 😢😢😢😮😮
We ni boys
nawapenda toka congo ndaro na Steve mweusi😂😂🎉
Willyemsista from kenya😂😂 pia najaribu hio ujanja😂
Tukitoka hapa tukacheze dubu 😂😂😂
😂😂😂😂😂lakini nyinyi zamani mume niuwa na furaha Léo kabisa nyinyi niwa Noma kweli mimi ni shabiki kutoka Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
❤😅😅😅😅😊
Kilos chasimba
❤
Njoo tuchekee huku😂😂😂😂
Machi lavu kutoka kenya
My favourite comedian ndaro mwenyewe ❤❤❤
Kwa kwel ndaro na Steve wapambane mpaka nacheka mwenyew e😅😅😅😅😅😅😅
Jaman kila siku nawapa like na mimi jap like 10❤❤
Pokea hii
@@BonnyMwajombe-iu7hb
Ok 👍
❤❤❤❤
🎉
Kwan likes huwa mnaziuza au!! Selew ujue
Sema hii nzr unaenda jela umeshibda 😂😂😂
You never disappoint bro.....keep up.
Kenyans love you❤❤❤❤
Na nilikuona na brother yangu Tom Daktari
Da kweli mnaweza
These people always impress me keep it up u guys
Ondokeni na vyombo 😂😂😂
Nilikua nime miss sana kazi yenyu watu wangu hii ni from 🇨🇩
We ndaro njo tuchekee huku nakukubali kweli acha utani😂😂😂
Hii imenimaliza mwisho😂😂😂😂
Hhaahha😂😂😂 kudadekiii leo kwl mmeyatimba wahuni wa kariakoo na popcorn 🍿
Are you hungry??
Why not🤣🤣🤣🤣🤣
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅unapelekwa jeraa umeshibaaaa😅😅😅
Wakwaza hapa liké zangu
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
😂😂😂😂😂😂😅 nice @@Omar-l2u
Vichwa vyenu mnajijua wenyew 😂😂😂😂🙌
This two boys are very talent
Ile elfu kumi na nane ya Tz naskia ni thate fae bob ya Kenya 😅..anyway much love guys
Divide by 16 ama 20
Jidanganye Yani hapo ni sawa na sawa ksh.900
Ebanae yani. Ndaro mjeshi kikofia and Steve mweusi niatar sana kiukweli. Nawapenda ma brother zangu ❤❤❤❤
😅😅😅😅 hii nzuri unaelekwa magereza ukiwa umeshiba
Aaah with Steve and Ndaro,never stressed.
Ety Kitu tuongee cha kimwili😂😂😂 Steve ... mshenz
Muito talento envolvido ✌️ one love diretamente de Moçambique...nawapenda sana
😂😂😂😂 Steve Leo kimekulamba 😂😂😂
Anaye mukubali mjeshi kofia agonge like
Aisha nitumie namb ya simu bas
Ukichelewa nakufuata hukohuko😂😂😂
i am congolese 🇨🇩 Steve mweusi and ndaro super guys
We bland usilipee😅😅😅😅😅😅
Aíya 😂😂😂😂
ONE LOVE FROM KENYA 🇰🇪 yaaaní hapo mwisho tu stivuuuuu 😂😂😂😂😂
Hii advert ya club sunset ni motoooo ....one day will visit from Kenya
Always my crush steve❤❤
😂❤❤ steve na ndaro wananipa laaha 😅😅😅😊😅😅😅😅
Lazima tuwape maua yao awa jamaa wanajua sanaaaaa😂
😂😂😂😂 big up nawakubal sana pigeni msosi havi hapo napamanya sana msosi wao uko vyema sana
U always made my days u guys I love u so much 😂😂😂😂😂😂
Azam aza!Azam
Vipi❤
😮😮😮
ILA LI CHEKO LA NDARO daaaaaah eti tukimaliza tukacheze dubu hahahahahahahah
These two boys are greatly talented.
😂😂😂😂😂😂 tukitoka hapa tukacheze dubu😅😅😅😅
You've made my day 😁😁😊😁
Et tukitoka apa tukacheze dubu😂😂😂😂 dah nmecheka sn
Mapema sana Leo like 3 tu zinatosha
Ay Usha pata 140
ruclips.net/video/E7z0dkeIdtM/видео.htmlsi=O4iwh9Netyqzkch4
😂
Auxiy
Puuuuuuuumbaaaavuuuuuuuuuuuuu
Ndaro na Steve hamjawah kuw n kaz mbovu asee🎉🎉
Chakula kitamuuu❤❤
Napenda huyu mrembo Meri ahk 🥰🥰
Wakwanza leo naomb❤
Ndaro na Steven mweusi nyiye munanifayaka chizi wakucheka hatakamaninanjaa nikiwaona kwanye move nasahau kula 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 from 🇨🇩
Steve au basi achatu 😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂kazi iko hap😂😂😂😂😂😂kwa stv mweusi lazima uchichanganye
bro, your comedy is very good you know it very well
Kwamb elfu 18 unaondok navyombo hahahaaa 😅😅😅😅😅