BOFLO STAR SEARCH | ARUSHA & KILIMANJARO - USWEGE & ELIUD

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • BOFLO STAR SEARCH
    Ni kipindi cha Comedy kitakachoruka kila jumatano saa moja kamili jioni
    Kipindi kinaongozwa na Uswege pamoja na Mchekeshaji Eliud Samweli kutoka CHEKA TU.
    Usikose.

Комментарии • 187

  • @yahayabakari9387
    @yahayabakari9387 Год назад +46

    Watatu Leo jaman naomben like

    • @abiasifredrickdima3255
      @abiasifredrickdima3255 Год назад

      We Asikali wa zenji mtupu 🤣🤣🤣

    • @officialkamdudu
      @officialkamdudu Год назад

      like unazipeleka wapi kenge wewe!
      acha ushamba
      idiot 😏

    • @bizzlejoh3466
      @bizzlejoh3466 Год назад

      Tunakuuwa unaomba like upate faida gani uje kiwahadisia wanao

    • @vanemmy6043
      @vanemmy6043 Год назад +1

      @@officialkamdudu Mbona matusi sasa, idiot niwewe coz mwenzako anachukuliya funny kwenye social media

  • @pharmcare3453
    @pharmcare3453 Год назад +12

    Mnavogeuza macho wakat mtu anaingia utazan Kuna mtu kwel 😂😂

  • @NigerEmpire
    @NigerEmpire Год назад +13

    Naenjoy hii nikiwa ngarenaro... appreciate sana wakali hamjawahi kufeli niliisubili kwa ham

  • @johnsimon8388
    @johnsimon8388 Год назад +7

    Aiseeeh mmeua ... sikutegemea ingekua funny like this kwa home City .... Big UP Big UP Big UP waqali wa kaziiiii💯💯💯💯💥

  • @erickjonh3204
    @erickjonh3204 Год назад +9

    Pepeta mwenyew 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @abdallahismail9274
    @abdallahismail9274 Год назад +10

    Uswege nilijua kapigwa na Adam mchomvu 😂😂

  • @ntiharirizwashani1438
    @ntiharirizwashani1438 Год назад +12

    Uswege na Eliud mtanilipa mbavu zang 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @m.l.b2066
      @m.l.b2066 Год назад

      Wawe tayari tu, gharama zitakazohusika katika matibabu ya mbavu wawajibike tu!

  • @glorykisha8887
    @glorykisha8887 Год назад +21

    Mbavu zangu ziko tayari kabisa nah isitoshe ntacheka hatari

  • @doreenmathew165
    @doreenmathew165 Год назад +9

    Sisi hatujafuata waalimu wa kindergarten🤣🤣🤣

  • @NewPhone-oh7ge
    @NewPhone-oh7ge Год назад +7

    😂😂😂Eti weusi wapo sita 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @babumwananinga1007
    @babumwananinga1007 Год назад +9

    Kwan Arusha & Kilimanjaro wasanii wengi ni Wakike
    🚶🚶🚶🚶🚶

  • @meshackjacob3268
    @meshackjacob3268 Год назад +8

    Unyama sanaa huu see you at the top

  • @glorykisha8887
    @glorykisha8887 Год назад +7

    Kapigwaaaa jamani chief jaji

  • @JeniferMinja
    @JeniferMinja 4 месяца назад

    Kwaiy eliud hn vyet akaomb kz sm nyingn 😂😂😂

  • @meshack3266
    @meshack3266 Год назад +9

    Na nilichokipenda zaidi katika vipande vyote Uswege unampa sana nafasi Eliud ya kuongea safiiiiii

  • @doreenmathew165
    @doreenmathew165 Год назад +4

    Et sio kwamba ndo ile yan sio sanaaa😂😂😂Eliud jmn

  • @NtakiruntimanaEmile-ux2pi
    @NtakiruntimanaEmile-ux2pi Год назад +2

    From South Africa in cape town i like it ❤❤❤😂 this

  • @Lawizoo
    @Lawizoo Год назад +8

    Home sweet home 😂😂

  • @pharmcare3453
    @pharmcare3453 Год назад +7

    Nawakubal San nasubir ya Dar🤗🤗😋

  • @estherngolo453
    @estherngolo453 Год назад +4

    Wa kumi, leo chief jaji utuletee za kenya lini 😅🤔

  • @ndirangurukwaro254
    @ndirangurukwaro254 Год назад +11

    🤣🤣🤣Mnachekesha sana jamaa! Proper entertainment 🔥🔥.🇰🇪

  • @jacksonhaggai6771
    @jacksonhaggai6771 Год назад +3

    Heeee wazee wakichagaa aliud 😁😁 nyie jamaa mnajua

  • @djmoolah2553
    @djmoolah2553 Год назад +7

    nilikuwa nasubiri kwa hamu sana hii mikoa 😅😅😅😅

  • @davj5961
    @davj5961 Год назад +6

    Hatar xana😂😂😂😂

  • @musakaphu4581
    @musakaphu4581 Год назад +6

    Ati sasa tukimuacha huyu si tutakua tumechoma mafuta🤣🤣

  • @suleimansiff
    @suleimansiff Год назад +4

    Haisee nihatar kwl
    🤣🤣🤣

  • @khadijakisingo7920
    @khadijakisingo7920 Год назад +3

    Uswege ana kaumalaya fulani ivi😅😅

  • @fujiokamjukuu6470
    @fujiokamjukuu6470 Год назад +8

    Wa mwisho jamani 😁😁

  • @osamadbanarab5162
    @osamadbanarab5162 Год назад +4

    😂😂😂😂😂 Semajiiiiii yupo vizuri sanaaaaaaa......
    Hahahaha mtabaki 6

  • @moemussa5212
    @moemussa5212 Год назад +4

    1 hour ago, sio kinyonge leo, nimewahi

  • @saidihamissikibahapwani
    @saidihamissikibahapwani Год назад +6

    Ila eliud 😅😅😅

  • @ibrahimabdullah9904
    @ibrahimabdullah9904 Год назад +2

    Arusha mumeweza pia
    Respect for all
    Uswege ft Eliud

  • @user-bq5dk5iw3p
    @user-bq5dk5iw3p 7 месяцев назад

    Mmetisha kinoma

  • @chrismwamburi6169
    @chrismwamburi6169 Год назад +4

    Arusha kama Arusha 😂😂🔥🔥

  • @ezekielalfred763
    @ezekielalfred763 Год назад +3

    Waaaaoooo... Nic Name.........

  • @chizoboy3001
    @chizoboy3001 Год назад +1

    Mnaonaje tuacheee

  • @suleimansiff
    @suleimansiff Год назад +2

    Wakwanza leo jaman naitaj link hata moja jaman

  • @nicholausjackison7729
    @nicholausjackison7729 Год назад +8

    Nzovwe boy 🔥🔥🔥

  • @josephogonyi7004
    @josephogonyi7004 Год назад +2

    @mceliud mara moja moja una mmamata kofi la uso @uswege madem aache tamaa hahahahaha wanangu mna ua kinomanoma, such a nice creativity appreciate u guys

  • @brunofidelis7895
    @brunofidelis7895 Год назад +3

    Asiimbe hana kipaji 🤣🤣🤣🤣🤣 atokeeee..

  • @abdulseko6376
    @abdulseko6376 9 месяцев назад

    Umetisha broh

  • @ritaisaya1424
    @ritaisaya1424 Год назад +5

    Nishafika😂

  • @paulshibhiti9584
    @paulshibhiti9584 Год назад +3

    Sijachelewa saana jamani nioneni basi

  • @damarismanga6734
    @damarismanga6734 Год назад +9

    🔥 🔥 😂😂😂

  • @hamisimashaka4899
    @hamisimashaka4899 Год назад +2

    tulixubiri kwa shauku kubwa 😁🤣🤣🤣🤣

  • @nurumwangoka5909
    @nurumwangoka5909 Год назад +2

    eliud Kaka angu,mbona kumtandiak viboko😅😅,wewe kamatia chini tuh😅

  • @meshackinocent4053
    @meshackinocent4053 Год назад +3

    Much love brothers

  • @mansagolden4152
    @mansagolden4152 Год назад +1

    Aty akapambanie ndoto 😂😂😂😂😂🙌chief judge waamua tuh😂😂

  • @jumaamrani3295
    @jumaamrani3295 Год назад +2

    kujitinyingany, kujivuruguanyaaa hh

  • @youngzubelyzubely2288
    @youngzubelyzubely2288 Год назад +1

    Judge muderede anapenda videmu huyu daah😂😂😂

  • @farajangomongo6315
    @farajangomongo6315 Год назад

    Hahahahaaaaaaa ndagha!

  • @ComedyPlustz
    @ComedyPlustz Год назад +6

    🔥🔥

  • @qassimikhanishauqy6607
    @qassimikhanishauqy6607 Год назад +3

    Oyoooooooooo nomaa

  • @teddyurio2582
    @teddyurio2582 9 месяцев назад

    Cheaf jaj😂😂😂😂

  • @TheRealAguu_Official_tz
    @TheRealAguu_Official_tz Год назад +5

    Kama unaipenda chuga, naomba like zenu

  • @officialredstar3
    @officialredstar3 Год назад +1

    Tutamtoa salama bongo star seach akae uswege itakua madem wote pita uku unaenda dar 🤣🤣🤣🤣

  • @glorykisha8887
    @glorykisha8887 Год назад +4

    Tunasubiriiiiii

  • @khansinterprisekhans3129
    @khansinterprisekhans3129 Год назад +1

    Haya bhana hongera ARUSHA

  • @jumaamrani3295
    @jumaamrani3295 Год назад +3

    hhhh chifu jaji kafany nn tenaaa hhh

  • @tatekauka
    @tatekauka Год назад

    Uswege💪💪💪💪

  • @dozepofficial6465
    @dozepofficial6465 Год назад +1

    Aingie kwenye Siasa apambanie ndoto yake😂😂

  • @MSHOGANG
    @MSHOGANG Год назад

    So Nice

  • @mussamadua1079
    @mussamadua1079 Год назад +2

    Uswege leokakutana nacho chezea chuga😂😂

  • @msechutimotheo4830
    @msechutimotheo4830 Год назад +1

    Arusha mpooooooo😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @paschalcleophace5677
    @paschalcleophace5677 Год назад +1

    Hapo Kwa Dipa mama mmeniuaa, nmecheka kifala

  • @AlexMbagata
    @AlexMbagata 3 месяца назад

    Mnajitahid wanadamu.

  • @swalehesaad1143
    @swalehesaad1143 Год назад +1

    Sio watano mnabaki sita🤣🤣🤣

  • @johnrichard5482
    @johnrichard5482 Год назад +1

    Chifu jajii Ameuvagaaa Mziki Wa Chugga...Wavunja Kamkono na kumtia pancha on head...🤣🤣🤣🤣🤣 #UswegeMurderer #McEliud 🙌🙌🙌🙌🙌😤😤😤😤😤

  • @abudulingasa6413
    @abudulingasa6413 Год назад

    Uswege nyie nimachoko kwel😂😂😂😂 iyo miwan sasa aseee

  • @samiahsalum3464
    @samiahsalum3464 Год назад +1

    Hahahahaha jmn Hawa watu mmh

  • @alterboyafrica
    @alterboyafrica Год назад +1

    Being a beautiful female is a guarantee to go Dare salaam especially when uswege is around.👍😂😂

  • @miritonbikura5487
    @miritonbikura5487 Год назад +1

    Dah hawa jama noooma😆😆

  • @ReubenReubenmsumeno
    @ReubenReubenmsumeno 3 месяца назад

    Respect

  • @rwekaza9110
    @rwekaza9110 Год назад +1

    💥💥💥💥kuleni bomi

  • @hansobed6300
    @hansobed6300 Год назад +1

    Motra the future 😂😂😂

  • @adamsiadamsi4733
    @adamsiadamsi4733 Год назад +2

    God job kbx

  • @goodluckmichael3492
    @goodluckmichael3492 Год назад

    ety me naitwaaa eliud mwakasegee ahhahahahahahah

  • @Hassan-ot1mc
    @Hassan-ot1mc Год назад

    Eti semaji dah Eliud nyoko sana

  • @luglusambagi2950
    @luglusambagi2950 Год назад

    Mlichomfanya motra the future mungu anawaona

  • @ireneassey2022
    @ireneassey2022 Год назад

    Rosa reee wapiiii😂😂😂

  • @rukiangilla3113
    @rukiangilla3113 Год назад

    Chuga oraaaaaaaa❤️❤️❤️❤️❤️

  • @rashowshine7849
    @rashowshine7849 Год назад +1

    Vee money 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @princeallonxsso7312
    @princeallonxsso7312 Год назад +1

    Oyooooooooo

  • @charybdis8113
    @charybdis8113 Год назад +1

    Show nzuri leo

  • @kuamino
    @kuamino Год назад

    Mbona hamjamuweka chali ya r

  • @mwajabumsami6388
    @mwajabumsami6388 Год назад +3

    🤣🤣🤣🤣🤣huhuhu

  • @danielmbaula-vh2or
    @danielmbaula-vh2or Год назад

    Asante uswege umenitimizia ndoto

  • @peterjr8073
    @peterjr8073 Год назад

    sasa sijaelewa billinas si wa dar mtoto wa kinondoni sasa arusha kafikaje uko 😂😂😂😅

  • @vardyboy3397
    @vardyboy3397 Год назад

    Mungu anawona nyie 😂😂

  • @rodgerushindi85
    @rodgerushindi85 Год назад

    Yana jisifia ... uhuni 😁😁😁

  • @OswardyCharess
    @OswardyCharess 5 месяцев назад

    Unyama

  • @TheRealAguu_Official_tz
    @TheRealAguu_Official_tz Год назад +2

    Chuga one🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @gox_b4579
    @gox_b4579 Год назад

    😂😂shenzi nyie

  • @Lawizoo
    @Lawizoo Год назад +3

    Daah sema sujapenda kuwaacha jambo squad

  • @abudulingasa6413
    @abudulingasa6413 Год назад

    Nilikuwa sijainyaka hii😂😂😂😂

  • @yuzarsifutv7716
    @yuzarsifutv7716 Год назад

    😄😄😄😄apo kwa Vanessa mdee😄😄😄

  • @josephlukumay84
    @josephlukumay84 Год назад +1

    Umekosea ujamweka mr ebo jamn

  • @patrickkapisha628
    @patrickkapisha628 Год назад +1

    wamwisho leo

  • @bensonwilson1209
    @bensonwilson1209 Год назад

    Hi nzuri sana ila mmemsahau mh Temba na Mr nice asee

  • @faithmucee
    @faithmucee Год назад

    bado niko hapo kwa pepeta🤣🤣🤣🤣