BOFLO STAR SEARCH | ARUSHA & KILIMANJARO - USWEGE & ELIUD
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- BOFLO STAR SEARCH
Ni kipindi cha Comedy kitakachoruka kila jumatano saa moja kamili jioni
Kipindi kinaongozwa na Uswege pamoja na Mchekeshaji Eliud Samweli kutoka CHEKA TU.
Usikose.
Watatu Leo jaman naomben like
We Asikali wa zenji mtupu 🤣🤣🤣
like unazipeleka wapi kenge wewe!
acha ushamba
idiot 😏
Tunakuuwa unaomba like upate faida gani uje kiwahadisia wanao
@@officialkamdudu Mbona matusi sasa, idiot niwewe coz mwenzako anachukuliya funny kwenye social media
Mnavogeuza macho wakat mtu anaingia utazan Kuna mtu kwel 😂😂
Naenjoy hii nikiwa ngarenaro... appreciate sana wakali hamjawahi kufeli niliisubili kwa ham
Aiseeeh mmeua ... sikutegemea ingekua funny like this kwa home City .... Big UP Big UP Big UP waqali wa kaziiiii💯💯💯💯💥
Pepeta mwenyew 🤣🤣🤣🤣🤣
Uswege nilijua kapigwa na Adam mchomvu 😂😂
Uswege na Eliud mtanilipa mbavu zang 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wawe tayari tu, gharama zitakazohusika katika matibabu ya mbavu wawajibike tu!
Mbavu zangu ziko tayari kabisa nah isitoshe ntacheka hatari
Jamani
Sisi hatujafuata waalimu wa kindergarten🤣🤣🤣
😂😂😂Eti weusi wapo sita 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwan Arusha & Kilimanjaro wasanii wengi ni Wakike
🚶🚶🚶🚶🚶
Unyama sanaa huu see you at the top
Kapigwaaaa jamani chief jaji
Kwaiy eliud hn vyet akaomb kz sm nyingn 😂😂😂
Na nilichokipenda zaidi katika vipande vyote Uswege unampa sana nafasi Eliud ya kuongea safiiiiii
Et sio kwamba ndo ile yan sio sanaaa😂😂😂Eliud jmn
From South Africa in cape town i like it ❤❤❤😂 this
Home sweet home 😂😂
Nawakubal San nasubir ya Dar🤗🤗😋
Wa kumi, leo chief jaji utuletee za kenya lini 😅🤔
🤣🤣🤣Mnachekesha sana jamaa! Proper entertainment 🔥🔥.🇰🇪
Heeee wazee wakichagaa aliud 😁😁 nyie jamaa mnajua
nilikuwa nasubiri kwa hamu sana hii mikoa 😅😅😅😅
Hatar xana😂😂😂😂
Ati sasa tukimuacha huyu si tutakua tumechoma mafuta🤣🤣
Haisee nihatar kwl
🤣🤣🤣
Uswege ana kaumalaya fulani ivi😅😅
Wa mwisho jamani 😁😁
😂😂😂😂😂 Semajiiiiii yupo vizuri sanaaaaaaa......
Hahahaha mtabaki 6
😂😂😂😂😂😂😂😂uswege mpuuzi uyu
@@FarajaMagesa-bd4pq anajizimaga data mda mwengine
1 hour ago, sio kinyonge leo, nimewahi
Ila eliud 😅😅😅
Arusha mumeweza pia
Respect for all
Uswege ft Eliud
Mmetisha kinoma
Arusha kama Arusha 😂😂🔥🔥
Waaaaoooo... Nic Name.........
Mnaonaje tuacheee
Wakwanza leo jaman naitaj link hata moja jaman
Nzovwe boy 🔥🔥🔥
@mceliud mara moja moja una mmamata kofi la uso @uswege madem aache tamaa hahahahaha wanangu mna ua kinomanoma, such a nice creativity appreciate u guys
Asiimbe hana kipaji 🤣🤣🤣🤣🤣 atokeeee..
Umetisha broh
Nishafika😂
Sijachelewa saana jamani nioneni basi
🔥 🔥 😂😂😂
tulixubiri kwa shauku kubwa 😁🤣🤣🤣🤣
eliud Kaka angu,mbona kumtandiak viboko😅😅,wewe kamatia chini tuh😅
Much love brothers
Aty akapambanie ndoto 😂😂😂😂😂🙌chief judge waamua tuh😂😂
kujitinyingany, kujivuruguanyaaa hh
Judge muderede anapenda videmu huyu daah😂😂😂
Hahahahaaaaaaa ndagha!
🔥🔥
Oyoooooooooo nomaa
Cheaf jaj😂😂😂😂
Kama unaipenda chuga, naomba like zenu
Tutamtoa salama bongo star seach akae uswege itakua madem wote pita uku unaenda dar 🤣🤣🤣🤣
Tunasubiriiiiii
Haya bhana hongera ARUSHA
hhhh chifu jaji kafany nn tenaaa hhh
Uswege💪💪💪💪
Aingie kwenye Siasa apambanie ndoto yake😂😂
So Nice
Uswege leokakutana nacho chezea chuga😂😂
Arusha mpooooooo😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Tupooooo😂
Hapo Kwa Dipa mama mmeniuaa, nmecheka kifala
Mnajitahid wanadamu.
Sio watano mnabaki sita🤣🤣🤣
Chifu jajii Ameuvagaaa Mziki Wa Chugga...Wavunja Kamkono na kumtia pancha on head...🤣🤣🤣🤣🤣 #UswegeMurderer #McEliud 🙌🙌🙌🙌🙌😤😤😤😤😤
Uswege nyie nimachoko kwel😂😂😂😂 iyo miwan sasa aseee
Hahahahaha jmn Hawa watu mmh
Being a beautiful female is a guarantee to go Dare salaam especially when uswege is around.👍😂😂
Hyo uhakik
Dah hawa jama noooma😆😆
Respect
💥💥💥💥kuleni bomi
Motra the future 😂😂😂
God job kbx
Kababayee Ina maana kana mtoto anaitwa ye
ety me naitwaaa eliud mwakasegee ahhahahahahahah
Eti semaji dah Eliud nyoko sana
Mlichomfanya motra the future mungu anawaona
Rosa reee wapiiii😂😂😂
Chuga oraaaaaaaa❤️❤️❤️❤️❤️
Vee money 🤣🤣🤣🤣🤣
Oyooooooooo
Show nzuri leo
Mbona hamjamuweka chali ya r
🤣🤣🤣🤣🤣huhuhu
Asante uswege umenitimizia ndoto
sasa sijaelewa billinas si wa dar mtoto wa kinondoni sasa arusha kafikaje uko 😂😂😂😅
N mchaga yule
Mungu anawona nyie 😂😂
Yana jisifia ... uhuni 😁😁😁
Unyama
Chuga one🙏🙏🙏🙏🙏🙏
😂😂shenzi nyie
Daah sema sujapenda kuwaacha jambo squad
Nilikuwa sijainyaka hii😂😂😂😂
😄😄😄😄apo kwa Vanessa mdee😄😄😄
Umekosea ujamweka mr ebo jamn
Si ni marehem ama
wamwisho leo
Hi nzuri sana ila mmemsahau mh Temba na Mr nice asee
bado niko hapo kwa pepeta🤣🤣🤣🤣