BOFLO STAR SEARCH | MWANZA & KANDA YA ZIWA - USWEGE & ELIUD
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- BOFLO STAR SEARCH
Ni kipindi cha Comedy kitakachoruka kila jumatano saa moja kamili jioni
Kipindi kinaongozwa na Uswege pamoja na Mchekeshaji Eliud Samweli kutoka CHEKA TU.
Usikose.
Jamani Toka nimeanza ku comment kwa uswege sijapata like hata Saba naombeni like jamani
Ay izo hapo ukose kunenepa mwenyew
😂😂siamini kila episode narudi, napenda the fact that good old music is still alive💃🏾💃🏾, ila majaji tunaomba mbadilishe suti mnanichanganya kuchagua video😂😂😂🙈kazi nzuri guy👏🏾👏🏾
Angalia mkoa waliopo kama saivi mwanza ..kigoma tayar
Me too wananikumbusha secondary
Kwakweli suti
yeah yeah
@@donathageorge6551 secondary ilikuwaj bro tuelez
🇰🇪🇰🇪💖💖🇹🇿🇹🇿
Nimeona judge Elude akila dagaa,
Nami nkaenda kununua dagaa wangu🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ata Mimi tena ilikuwa usiku wife kapika wali nilivoona anakula daagaa na ugali nikataman nikamwambia Mimi nipikiwe ugali nikaagiza kuku wa masiniaaa😀😀😀
Kwa saida karori mmezingua kabisaa
Mfanye baasi atoke round 2🔥🔥
Much love from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Make baraka da Prince haonekani mpaka mkawasha matoshi😁
Hahahaha 🤣😂🤣😂🤣😂🤣. Kwa Young Killers nimecheka mpaka nimejamba 😁😁😁
🤣🤣🤣
😄😄😄
🤣🤣
Kaka mko vizuri sana nimependa mlivyo buni like za nguvu
Kwahy baracka mweusi ivyo mpaka mmewasha taa 😂😂😂😂😂😂
"Mate yake yanawasha"😂😂😂 tunaosema Mc Eliud like nyingi
Kaka Safi sana nasubili like
KAZI NZURI SANA Team Nzima ya #BOFLO_STAR_SEARCH 👏👏👏🎤🙌🙌🙌🙉🙉🙉💥💥💥🔥🔥🔥
Chief Judge 😂😂😂 ebu nipe likes zangu 😂😂😂au ndo umeiga tembo... Uchanike .....
Ila Baraka kaonewa 😂😂😂 hadi mukawasha taa 😂😂😂🏃♀️🏃♀️🏃♀️
🤣🤣🤣😂
Baraka nimweusi haonekani😂😂😂😂😂😂
Apo Kwa baraka apo,kwmb mchizi haonekani kisa weuc wake ad mkatumia tochi..noumah sana
Mnanimalizia bando langu mjue brother eliud na uyo mwenzio uswege 🤣🤣🤣
Inamaana mwanza kahakuna kizazi kipya🤣🤣🤣🤣🤣
Aaahah Repping Shytown!! Asante chief Judge!! Dimaga Lolo😂😂
🤣🤣🤣🤣dah yaan utake unacheka utaki unacheka Good job Brother's 🔥🔥🔥🔥🙏🙏
Waah Kali hii 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯💯💯💯💯💯💯
Mc eliud hatariiii...hii umeua naiangalia leo siku ya 4na sichoki kucheka🤣🤣🤣🤣yoba
Nan kamuona Barak mweusi kamulikwa tochi na majaj
Majaji ahsanteni sana kwa kuwakilisha nyanda yangu 🥰🥰🥰
🤣🤣
Uswege we ni shidaa ukiwa na eliudi ndo inakuwa balaa
YOUNG KILLER😂😂😂 | Kawaua utamu sanaaa!
Nimechoka sana hongelen kwa kazin nzuli
Series iko good sana😂
🤣🤣🤣et Haya nenda ukapete baba 🤣🤣🤣🤣Eliud 🙌🙌
Nimependa sana zote mnazo fanya ila ombi langu ni sauti ya majaji ni ndogo na saut ya nyimbo ni kubwa sana
Hao dagaa nimewatamani hatari 😁😁😁
NKUNDA 🌟 | DIMAGA🔥
Umetisha sana kuanza na mwanangu!😂
Kazi ni nzuri sana na mnaonesha ukomavu lakini pia, mwisho ningependelea mtor shout kwa wasanii wote kwa kazi zao nzuri.🔥🔥🔥🔥🔥
Dudu bayaaa😂😂😂😂😂young killer ka kill kweli😂😂
Nimecheka kiboya kweli 🤣🤣🤣🤣
😂😂😂 Young killer amewachana
Atuwez kubeba limtu linalo deka😢 jamn best naso
Hahaha nakubal sana wazee mnajua sana 🙏
The best comedian"
navonjambaVu eliudi unachekesha sana sana .
Kati ya zote Kigoma ndo ilikuwa 🔥🔥🔥
NAOMBA BEHIND THE SCENES,😄😄😄😄🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😅😅JAMANI
Kazi nzuri 😂
😂😂😂😂😂😂🙌 mwanza wanajua sana
Mmeipatia Sana hii hongereni sana, alaf kumbe chifu jaji una mshono aisee😂😂😂
😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤ jaman hongelen sana
Saaaana
Nasubili twende mbeya😂😂💃🏾
🤣👍nimecheka nakufurahi old is gold
Chief jaji from Kenya ❤❤
Aiseee mmeniumiza sana mbavu zangu
Judges wanajua mpaka wanaboa😂😂😆
Oil chafu kwan mwanya umekusaidia nini😂😂😂 kwan mnafahamian wapi limenizoea hapa hap😂😂😂🙌🙌
Young killer ndio kawapatia😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Show ni kaliii 😂😂😂😂 ila eliud jamaniii 🤣🤣🤣
Daah😂😂😂mnanimalizia bundle langu sanaaa
Yaani Eliud nakupenda bure😆😆🖐
😂😂😂hivi vijamaa bwana sasa wamemmulika baraka
Hapo kwa nabii jeremiy nmecheka jmn😂😂😂😂
Chief judge rasta amekwita baby gal😂😂
Young killer ndio kawapatia Sana mecheka mpaka Basi🤣🤣🤣
kazi nzuri sana tatizo sauti zenu hasikiki vizuri
Hii concrete unyama mwingi sana 😂😂
From🇧🇮tuko pamoja👊
Kwaiy barakah amumuoni jamani auu daaah so pw good nimechekaaa sanaaa wangap wamecheka kama mimi kwa baraka da prince 🤣🤣🤣🤣like
Young killer 🤣🤣🤣🤣🔥🙌
Yaani mlivyosema tu"Mbona limeingia linakatika hili, lina akili timamu kweli hili" nikajua ni H Baba tu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sasa kwa nini Baraka haonekani jamani🤣🤣🤣🤣🤣
Jitahidini ku balance voice zenu na hizo za mziki, mara nying zenu ziko chini mno.
Mkalimani ahusike 🤣🤣🤣🤣🤣😂😂
Akapete mbele ya safari😂😂😂😂😂😂
H baba hamjamtendea haki 😂😂😂😂😂🙌🙌
Kwa hiyo barakah haonekan🤣🤣😂
Tuliokuw tunaosubili hii ya mwanza tujuane kwa like🔥🔥
Oyaaaa rock city
Me
Ilipofikia mda wa dudu baya...it was lit...#cheka kidogo nione mwanyaaa😂
Best naso 💥💥
Hii combination inatisha sanaa
Jeremi 😂😂😂😂🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣mmeua nawakubali sana, gari la mikate 🤣🤣🤣🤣
Unamuachaje naso 🤣🤣star wa mwanza tulimnunua kutoka msoma 🤣🤣
Ila wanawake wamemtenda adi Nabii😂😂.
😂😂😂 eliud bhna
Kipande Cha young killer ni kikali San 😂😂😂
Nimecheka Sana 🤣🤣🤣
Nimecheka kwa tuone wako mwanya🤣🤣🤣
😂😂😂eliudi bhana eti la mikate
Boflo yenu nzr ila wekeni na ulojo kwambaaali
🤣🤣🤣🤣🤣🤣aisee nacheka tu ovyo
Twende kazi😂😂😂
Akiiii nakufa Mimi hahahahahaha
Eliud nitapaliwa 🤣🤣🤣🤣et haya huu mwaya utakusaidia nn
nawakubali kumbe hawasani wanatoka uko
Unyama ni mwingi sana #mceliud & #uswege mumetisha sana
Mmekwama sana mwanza star ni naso na fid
Hahahaaa mate yake yanawasha
Eliud akili huna 😂😂😂😂😂😂
Dudu baya 🔥🔥🥰
😂😂😂😂😂 dah barak haonekani 😂😂😂
Young killer kawanyosha 😁😁😁😂
12:31 18:16 26:05 Mc Eliud Mbwa kweli sema Young Killer amewakomesha
😂😂😂😂😂😂😂😂🎉 jaman kwa manego
Majaji 💥💥💥
Nimewasubiria kwa hamu mno fanyeni kutoa fasta jaman yan back to back😂😂😂🥰