BOFLO STAR SEARCH | MWANZA & KANDA YA ZIWA - USWEGE & ELIUD

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • BOFLO STAR SEARCH
    Ni kipindi cha Comedy kitakachoruka kila jumatano saa moja kamili jioni
    Kipindi kinaongozwa na Uswege pamoja na Mchekeshaji Eliud Samweli kutoka CHEKA TU.
    Usikose.

Комментарии • 371

  • @maalimumasoudy6746
    @maalimumasoudy6746 Год назад +111

    Jamani Toka nimeanza ku comment kwa uswege sijapata like hata Saba naombeni like jamani

    • @mrsinia3064
      @mrsinia3064 Год назад +2

      Ay izo hapo ukose kunenepa mwenyew

  • @hellendinahlwesya7987
    @hellendinahlwesya7987 Год назад +61

    😂😂siamini kila episode narudi, napenda the fact that good old music is still alive💃🏾💃🏾, ila majaji tunaomba mbadilishe suti mnanichanganya kuchagua video😂😂😂🙈kazi nzuri guy👏🏾👏🏾

  • @babumwananinga1007
    @babumwananinga1007 Год назад +24

    🇰🇪🇰🇪💖💖🇹🇿🇹🇿
    Nimeona judge Elude akila dagaa,
    Nami nkaenda kununua dagaa wangu🤣🤣🤣

    • @raphaelrwakimwaga7995
      @raphaelrwakimwaga7995 Год назад +1

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @emmanuelmsafi9581
      @emmanuelmsafi9581 Год назад +2

      Ata Mimi tena ilikuwa usiku wife kapika wali nilivoona anakula daagaa na ugali nikataman nikamwambia Mimi nipikiwe ugali nikaagiza kuku wa masiniaaa😀😀😀

  • @nazaretimwamba2416
    @nazaretimwamba2416 Год назад +31

    Kwa saida karori mmezingua kabisaa
    Mfanye baasi atoke round 2🔥🔥
    Much love from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @enouschangana
    @enouschangana Год назад +15

    Make baraka da Prince haonekani mpaka mkawasha matoshi😁

  • @alatupaeliassanga5303
    @alatupaeliassanga5303 Год назад +22

    Hahahaha 🤣😂🤣😂🤣😂🤣. Kwa Young Killers nimecheka mpaka nimejamba 😁😁😁

  • @paulwilliam6053
    @paulwilliam6053 Год назад +10

    Kaka mko vizuri sana nimependa mlivyo buni like za nguvu

  • @Zanga93
    @Zanga93 Год назад +7

    Kwahy baracka mweusi ivyo mpaka mmewasha taa 😂😂😂😂😂😂

  • @sophiasavaa3780
    @sophiasavaa3780 Год назад +17

    "Mate yake yanawasha"😂😂😂 tunaosema Mc Eliud like nyingi

  • @musakaki3516
    @musakaki3516 Год назад +19

    Kaka Safi sana nasubili like

  • @johnrichard5482
    @johnrichard5482 Год назад +9

    KAZI NZURI SANA Team Nzima ya #BOFLO_STAR_SEARCH 👏👏👏🎤🙌🙌🙌🙉🙉🙉💥💥💥🔥🔥🔥

  • @yes_yes1310
    @yes_yes1310 Год назад +20

    Chief Judge 😂😂😂 ebu nipe likes zangu 😂😂😂au ndo umeiga tembo... Uchanike .....

  • @nduwimanandikumana9726
    @nduwimanandikumana9726 Год назад +7

    Ila Baraka kaonewa 😂😂😂 hadi mukawasha taa 😂😂😂🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️

  • @hamidarukingamarukingama7010
    @hamidarukingamarukingama7010 Год назад +10

    Baraka nimweusi haonekani😂😂😂😂😂😂

  • @jayxizooh6350
    @jayxizooh6350 Год назад +3

    Apo Kwa baraka apo,kwmb mchizi haonekani kisa weuc wake ad mkatumia tochi..noumah sana

  • @nicholausjackison7729
    @nicholausjackison7729 Год назад +3

    Mnanimalizia bando langu mjue brother eliud na uyo mwenzio uswege 🤣🤣🤣

  • @ernesttesha3615
    @ernesttesha3615 Год назад +6

    Inamaana mwanza kahakuna kizazi kipya🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ericndeki9522
    @ericndeki9522 Год назад +4

    Aaahah Repping Shytown!! Asante chief Judge!! Dimaga Lolo😂😂

  • @prriya507
    @prriya507 Год назад +7

    🤣🤣🤣🤣dah yaan utake unacheka utaki unacheka Good job Brother's 🔥🔥🔥🔥🙏🙏

  • @PapaTheKingKenya
    @PapaTheKingKenya Год назад +9

    Waah Kali hii 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯💯💯💯💯💯💯

  • @shaaqlassique6644
    @shaaqlassique6644 Год назад +5

    Mc eliud hatariiii...hii umeua naiangalia leo siku ya 4na sichoki kucheka🤣🤣🤣🤣yoba

  • @dulymatola2846
    @dulymatola2846 Год назад +1

    Nan kamuona Barak mweusi kamulikwa tochi na majaj

  • @whenry2990
    @whenry2990 Год назад +13

    Majaji ahsanteni sana kwa kuwakilisha nyanda yangu 🥰🥰🥰

  • @nikizajr
    @nikizajr Год назад +13

    YOUNG KILLER😂😂😂 | Kawaua utamu sanaaa!

  • @TimothaJoseph
    @TimothaJoseph Год назад

    Nimechoka sana hongelen kwa kazin nzuli

  • @mwamakuladijei3743
    @mwamakuladijei3743 Год назад +20

    Series iko good sana😂

  • @xyz-tv4om
    @xyz-tv4om Год назад +7

    🤣🤣🤣et Haya nenda ukapete baba 🤣🤣🤣🤣Eliud 🙌🙌

  • @riksonforever1169
    @riksonforever1169 Год назад +4

    Nimependa sana zote mnazo fanya ila ombi langu ni sauti ya majaji ni ndogo na saut ya nyimbo ni kubwa sana

  • @oscarmwanawaboi4253
    @oscarmwanawaboi4253 Год назад +7

    Hao dagaa nimewatamani hatari 😁😁😁

  • @nikizajr
    @nikizajr Год назад +19

    NKUNDA 🌟 | DIMAGA🔥
    Umetisha sana kuanza na mwanangu!😂

  • @filbertfaustine7357
    @filbertfaustine7357 Год назад +5

    Kazi ni nzuri sana na mnaonesha ukomavu lakini pia, mwisho ningependelea mtor shout kwa wasanii wote kwa kazi zao nzuri.🔥🔥🔥🔥🔥

  • @vanessalaizer4363
    @vanessalaizer4363 Год назад +8

    Dudu bayaaa😂😂😂😂😂young killer ka kill kweli😂😂

  • @livingstonehd340
    @livingstonehd340 Год назад +5

    Nimecheka kiboya kweli 🤣🤣🤣🤣

  • @jamesfanuel4595
    @jamesfanuel4595 Год назад +5

    😂😂😂 Young killer amewachana

  • @venniehheaven9303
    @venniehheaven9303 Год назад

    Atuwez kubeba limtu linalo deka😢 jamn best naso

  • @cfonlinetv2131
    @cfonlinetv2131 Год назад +12

    Hahaha nakubal sana wazee mnajua sana 🙏

  • @gmwene6269
    @gmwene6269 Год назад +4

    The best comedian"

  • @KibonaZakalia-ve5wv
    @KibonaZakalia-ve5wv Год назад

    navonjambaVu eliudi unachekesha sana sana .

  • @madamshifaa8503
    @madamshifaa8503 Год назад +3

    Kati ya zote Kigoma ndo ilikuwa 🔥🔥🔥

  • @hekimamliga2139
    @hekimamliga2139 Год назад +3

    NAOMBA BEHIND THE SCENES,😄😄😄😄🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😅😅JAMANI

  • @davidelias4770
    @davidelias4770 Год назад +5

    Kazi nzuri 😂

  • @blessjacob9196
    @blessjacob9196 Год назад +8

    😂😂😂😂😂😂🙌 mwanza wanajua sana

  • @youngfather5118
    @youngfather5118 Год назад +8

    Mmeipatia Sana hii hongereni sana, alaf kumbe chifu jaji una mshono aisee😂😂😂

  • @TimothaJoseph
    @TimothaJoseph Год назад

    😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤ jaman hongelen sana
    Saaaana

  • @hellendinahlwesya7987
    @hellendinahlwesya7987 Год назад +5

    Nasubili twende mbeya😂😂💃🏾

  • @violethamando1873
    @violethamando1873 Год назад +6

    🤣👍nimecheka nakufurahi old is gold

  • @nicksonkaranja7827
    @nicksonkaranja7827 Год назад +8

    Chief jaji from Kenya ❤❤

  • @ahmadaalijuma790
    @ahmadaalijuma790 Год назад

    Aiseee mmeniumiza sana mbavu zangu

  • @touches4lifeonlinetv46
    @touches4lifeonlinetv46 Год назад +6

    Judges wanajua mpaka wanaboa😂😂😆

  • @AminathaMuya-uc1rj
    @AminathaMuya-uc1rj 4 месяца назад

    Oil chafu kwan mwanya umekusaidia nini😂😂😂 kwan mnafahamian wapi limenizoea hapa hap😂😂😂🙌🙌

  • @joycesemizigi5300
    @joycesemizigi5300 Год назад

    Young killer ndio kawapatia😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @chelseanelson1080
    @chelseanelson1080 Год назад +8

    Show ni kaliii 😂😂😂😂 ila eliud jamaniii 🤣🤣🤣

  • @teresiatowegale5087
    @teresiatowegale5087 Год назад +2

    Daah😂😂😂mnanimalizia bundle langu sanaaa

  • @raheematanzania3543
    @raheematanzania3543 Год назад +3

    Yaani Eliud nakupenda bure😆😆🖐

  • @johnmushi9952
    @johnmushi9952 Год назад

    😂😂😂hivi vijamaa bwana sasa wamemmulika baraka

  • @devothafredrick8093
    @devothafredrick8093 Год назад +1

    Hapo kwa nabii jeremiy nmecheka jmn😂😂😂😂

  • @maggiemagdalena3006
    @maggiemagdalena3006 Год назад +3

    Chief judge rasta amekwita baby gal😂😂

  • @swalehesaad1143
    @swalehesaad1143 Год назад +1

    Young killer ndio kawapatia Sana mecheka mpaka Basi🤣🤣🤣

  • @madechambila6683
    @madechambila6683 Год назад +6

    kazi nzuri sana tatizo sauti zenu hasikiki vizuri

  • @johnleonard4835
    @johnleonard4835 Год назад +7

    Hii concrete unyama mwingi sana 😂😂

  • @princedau-mix257
    @princedau-mix257 Год назад +15

    From🇧🇮tuko pamoja👊

  • @StenoDeAlphaTv
    @StenoDeAlphaTv Год назад +1

    Kwaiy barakah amumuoni jamani auu daaah so pw good nimechekaaa sanaaa wangap wamecheka kama mimi kwa baraka da prince 🤣🤣🤣🤣like

  • @mjungatv8172
    @mjungatv8172 Год назад +6

    Young killer 🤣🤣🤣🤣🔥🙌

  • @queenandchill91
    @queenandchill91 Год назад

    Yaani mlivyosema tu"Mbona limeingia linakatika hili, lina akili timamu kweli hili" nikajua ni H Baba tu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @amytullah2175
    @amytullah2175 Год назад

    Sasa kwa nini Baraka haonekani jamani🤣🤣🤣🤣🤣

  • @isayasayota154
    @isayasayota154 Год назад +10

    Jitahidini ku balance voice zenu na hizo za mziki, mara nying zenu ziko chini mno.

  • @pendogeorge5411
    @pendogeorge5411 Год назад

    Mkalimani ahusike 🤣🤣🤣🤣🤣😂😂

  • @mariamdennis9576
    @mariamdennis9576 Год назад +2

    Akapete mbele ya safari😂😂😂😂😂😂

  • @mbogoidentity
    @mbogoidentity Год назад +2

    H baba hamjamtendea haki 😂😂😂😂😂🙌🙌

  • @shabanshaban4076
    @shabanshaban4076 Год назад +4

    Kwa hiyo barakah haonekan🤣🤣😂

  • @davidmichael8748
    @davidmichael8748 Год назад +25

    Tuliokuw tunaosubili hii ya mwanza tujuane kwa like🔥🔥

  • @mohamedsaid8076
    @mohamedsaid8076 Год назад +1

    Ilipofikia mda wa dudu baya...it was lit...#cheka kidogo nione mwanyaaa😂

  • @marthinethomas3020
    @marthinethomas3020 Год назад

    Best naso 💥💥

  • @victoriamashaka7881
    @victoriamashaka7881 Год назад +4

    Hii combination inatisha sanaa

  • @pendogeorge5411
    @pendogeorge5411 Год назад

    Jeremi 😂😂😂😂🤣🤣

  • @zechariahissa6096
    @zechariahissa6096 Год назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣mmeua nawakubali sana, gari la mikate 🤣🤣🤣🤣

  • @zuberyrashidi9951
    @zuberyrashidi9951 Год назад

    Unamuachaje naso 🤣🤣star wa mwanza tulimnunua kutoka msoma 🤣🤣

  • @yes_yes1310
    @yes_yes1310 Год назад +5

    Ila wanawake wamemtenda adi Nabii😂😂.

  • @user-dz3on7xp6n
    @user-dz3on7xp6n 11 месяцев назад

    😂😂😂 eliud bhna

  • @justinejohn3331
    @justinejohn3331 Год назад +3

    Kipande Cha young killer ni kikali San 😂😂😂

  • @zawadimfangavo9677
    @zawadimfangavo9677 Год назад +6

    Nimecheka Sana 🤣🤣🤣

  • @halimashafii
    @halimashafii Год назад +2

    Nimecheka kwa tuone wako mwanya🤣🤣🤣

  • @officialmwabambatv1350
    @officialmwabambatv1350 Год назад +2

    😂😂😂eliudi bhana eti la mikate

  • @godfreykatejile9491
    @godfreykatejile9491 Год назад

    Boflo yenu nzr ila wekeni na ulojo kwambaaali

  • @lustikadaniel5972
    @lustikadaniel5972 Год назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣aisee nacheka tu ovyo

  • @teddyurio2582
    @teddyurio2582 9 месяцев назад

    Twende kazi😂😂😂

  • @LovelyTz
    @LovelyTz Год назад

    Akiiii nakufa Mimi hahahahahaha

  • @xyz-tv4om
    @xyz-tv4om Год назад +2

    Eliud nitapaliwa 🤣🤣🤣🤣et haya huu mwaya utakusaidia nn

  • @amockevin5258
    @amockevin5258 Год назад

    nawakubali kumbe hawasani wanatoka uko

  • @Volcano_Films_Tanzania
    @Volcano_Films_Tanzania Год назад +1

    Unyama ni mwingi sana #mceliud & #uswege mumetisha sana

  • @matambitvog8786
    @matambitvog8786 Год назад +2

    Mmekwama sana mwanza star ni naso na fid

  • @sophiaalexandersophia8610
    @sophiaalexandersophia8610 Год назад

    Hahahaaa mate yake yanawasha

  • @naimahhussein8430
    @naimahhussein8430 Год назад +4

    Eliud akili huna 😂😂😂😂😂😂

  • @jacksonhaggai6771
    @jacksonhaggai6771 Год назад +1

    Dudu baya 🔥🔥🥰

  • @blessjacob9196
    @blessjacob9196 Год назад +3

    😂😂😂😂😂 dah barak haonekani 😂😂😂

  • @roddyfawaz8167
    @roddyfawaz8167 Год назад +2

    Young killer kawanyosha 😁😁😁😂

  • @nasibuahmedy2438
    @nasibuahmedy2438 Год назад +15

    12:31 18:16 26:05 Mc Eliud Mbwa kweli sema Young Killer amewakomesha

  • @StaniFundi
    @StaniFundi 4 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂🎉 jaman kwa manego

  • @maxmilianmtui7493
    @maxmilianmtui7493 Год назад +2

    Majaji 💥💥💥

  • @jacquelinegama8001
    @jacquelinegama8001 Год назад +3

    Nimewasubiria kwa hamu mno fanyeni kutoa fasta jaman yan back to back😂😂😂🥰