PART 2: ELIUD WA CHEKA TU, NIMEOKOKA, WANAWAKE WANASUMBUA .
HTML-код
- Опубликовано: 20 янв 2023
- Hii ni sehemu ya pili ya ,ahojiano na Eliud Samwel hapa amefunguka kuhusu yeye kufanikiwa kuwa kwenye washindi 3 wa Cheka tu na kuhusu mahusiano yake pamoja na maisha yake akiwa ameokoka tazama
#eliud #eliudsamwel #chekatu #cheka #chochozamitaa #aboutbongotv #aboutbongotv #eliudchekatu
Follow Us on;
Instagram; / aboutbongotv
TikTok; / aboutbongotv Развлечения
Wow👏👏👏!!!
For the first time I'm commenting on YT.
Hivi mimi katika pilkapilka zangu nikaiona hii interview.
I love your faith in the Lord Jesus Christ and how you're truly representing Him.
More grace!
Celebrate you from Kenya🇰🇪
You are welcome
Eliudi nakupongeza unamsimamo mzuri mtumishi na MUNGU akufanyie wepesi mipango yako ifanikiwe,
Ehe mwenyezi mungu mbariki kijana wako kazi ya mikono yake kitaifa na mataifa
Eliud nmekuelewa sana
Eliud nakukubali sana
Duu MUNGU akubariki akulinde akuepushe na mabaya yote ndugu
Eliud Mungu azidi kukubariki kwa kiwango Cha juu 🙏🙏🙏🙏🙏
Hii interview makini sana
Safi
Makini sana eliudsamwely
Hahahaaaaa wapo wakina rapcha na wakina dizasta 🤓🤣🤣🤣🤓🤣🤓🥶😂😂😂
Unajitaidi kuhongea wokovu naamin nawengne watataman kupokea iyo
Ni hatari mno
🥰🥰
Siyo IMANI NYINGI ni IMANI KUBWA. Yaani sisi WATANZANIA tuna Matumizi ya lugha yetu TUKUFU ya Kiswahili ya Kihovyo.