BOFLO STAR SEARCH | KIGOMA - USWEGE & ELIUD

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 янв 2023
  • BOFLO STAR SEARCH
    Ni kipindi cha Comedy kitakachoruka kila jumatano saa moja kamili jioni
    Kipindi kitaongozwa na Uswege pamoja na Mchekeshaji Eliud Samweli kutoka CHEKA TU.
    Usikose.
  • ПриколыПриколы

Комментарии • 817

  • @samsonmugobozi1462
    @samsonmugobozi1462 Год назад +81

    Sema iyi combination ya Uswege na Eliud mume juwa kutufurahisha kwakweli mungu awabariki nawatakiya maisha marefu tuna subiri season 2 yaani munatutowa uvivu sisi mashabiki wenu.

  • @chrismwamburi6169
    @chrismwamburi6169 Год назад +19

    😂😂😂😂mko vizuri hpo kwa baba levo mmetisha sana🔥🔥

  • @chakuboyofficial9720
    @chakuboyofficial9720 Год назад +37

    Eliud ka upiga mwingi sanaa 🔥🔥🔥🇦🇺

  • @AggyChars-sd3nh
    @AggyChars-sd3nh 7 месяцев назад +4

    😅😅😅😅😂 Yan ata kama haichekeshi ila ukifocus na Eliud tu unavunjika mbavu😂😂😂❤

  • @yes_yes1310
    @yes_yes1310 Год назад +22

    Kumbe Nilizinzi bwana 😂😂😂😂

  • @jescacheyo1329
    @jescacheyo1329 Год назад +17

    Eliud na lafudhi ya mbeya naenjoy👏👏👏👏

  • @zainabtumba1186
    @zainabtumba1186 Год назад +22

    🇹🇿/🇺🇲💕Jamani Aliud Nilimkubali kuanziaaa auditions Za cheka tu kua ni kibokooo! Aliud Na Jamaaa huyu fundi uchepeee dah Apo sasa fundi kwenye kwichi kwichi... kazi Eindelee Nachekaa tu Mieee Kwiiiiii Kwiiii hoi 💯💥💥💥🙏

  • @fredrickmsomba4123
    @fredrickmsomba4123 Год назад +35

    Mc Eliud is so fun.... 😂🔥🔥🔥

  • @captainkomba4739
    @captainkomba4739 Год назад +217

    Kama umeielewa hii shoo leo gonga like apa

  • @yusterkahimbaza2410
    @yusterkahimbaza2410 Год назад +17

    Ety linatukalipia🤣🤣🤣 sema ni Kigoma Mwisho Wa #Reli

  • @Bongodailyhabari
    @Bongodailyhabari Год назад +24

    Next ni nyingi sana kaka😂😂😂

  • @oscarhumphrey7692
    @oscarhumphrey7692 Год назад +23

    This beautiful brother's creativity keep it up don't give up

  • @ngwacahnyagwaswa9979
    @ngwacahnyagwaswa9979 Год назад +33

    Aki kazi yenu nzur sana kutengeneza content hiv si kazi rahisi let's appreciate these two guys Ubongo Smart sana 🤗🤗

  • @NzangiMuimi
    @NzangiMuimi Год назад +21

    Bwana weee! MC Eliud alivyomtimua Ali🤣🤣

  • @blessjacob9196
    @blessjacob9196 Год назад +13

    😂😂😂😂😂 daa nyie watu mbarikiwe 🙌🙌🙌🙌🙌

  • @jabalisoundsband747
    @jabalisoundsband747 Год назад +11

    Eeeeeeeeeeh ni lizinziii bwaanaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌 nmecheka adi nikaanguka😂😂😂🙌

  • @tinahmashaka4355
    @tinahmashaka4355 Год назад +16

    Atleast eliud anajal kidg vipaji 😆😆😆

  • @alexjumanne3247
    @alexjumanne3247 Год назад +5

    Walahi nimecheka sana upande wa baba levo hongereni sana kaz nzuri

  • @Makwebhaza97
    @Makwebhaza97 Год назад +11

    Mi mb zangu zinaishaga kwa kumuangalia Mc eliud

  • @robertabel6984
    @robertabel6984 Год назад +7

    😂😂😂😂😂Ila eliudi we kichwa chako kimepinda eti hili linekaa kama liyahudi

  • @Da_Silver
    @Da_Silver Год назад +89

    Nimecheka mpaka majirani wakaja kuangalia show yenu hii hatari...twambieni next ni mkoa gani...😅😅😅😅

    • @samsonmugobozi1462
      @samsonmugobozi1462 Год назад +5

      Bora hatawewe balikuja angaliya mimi nimecheka majirani wakazani nimelewa mupaka waka niitiya mapolice nyumbani

    • @mrsinia3064
      @mrsinia3064 Год назад

      @@samsonmugobozi1462 🤣🤣mapolice kwer

    • @amonia96
      @amonia96 Год назад

      Dar

  • @salehemohamed981
    @salehemohamed981 Год назад +6

    Nzuri sana wasafi Tv wakupe kipindi Uswege hii kitu ni kubwa

  • @Bentrixx_
    @Bentrixx_ Год назад +21

    😂😂😂mimi pia nina kipaji kaka to kenya,🇰🇪🏃🏃

  • @paschaljoachim6859
    @paschaljoachim6859 Год назад +12

    Ila nyie ni zaidi ya kipaji kwa kweli nimefurahi 😂😂😂😂

  • @selector5929
    @selector5929 Год назад +13

    eti eeh nili zinzi bhn mpk nimecheka kwanguvu 🤣😂 sema diamond hajawahi pitaga kwa uswege makofi kala sn mwana shv angalau atapumzika 🙌

  • @petermartini7176
    @petermartini7176 Год назад +16

    The king👑 of music comedy 🙌@uswege

  • @johkuzaga1804
    @johkuzaga1804 Год назад +11

    Hii chumvi sio chumvini, ungeacha aangeonesha uwezo😂😂🔥

  • @blessjacob9196
    @blessjacob9196 Год назад +15

    Ila eliud 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌

  • @linnamapunda2275
    @linnamapunda2275 Год назад +12

    Eliud 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mbn kama linadekaaa

  • @Uakika_tv_online
    @Uakika_tv_online Год назад +7

    🤣🤣🤣🤣kikosi kimekamilika apo nimekubali saana pamoja saaana

  • @ShawnLexonke_
    @ShawnLexonke_ Год назад +20

    Sio rahisi kuunda vidaa kama hii.. kazi nzuri sana boss wangu 👊🇰🇪

  • @yonamwakanyamale1320
    @yonamwakanyamale1320 Год назад +7

    Nimeinjoy kinoma noma.
    Bros, keep up no Mara waah.

  • @puzzleb9880
    @puzzleb9880 Год назад +10

    Kama hawa jamaa hawajawahi kukosea gonga lke hap

  • @issandmukelo9964
    @issandmukelo9964 Год назад +21

    Safi kabisa nashukuru saana kwa idea yenu kabisa bing up saaaaaana, mwendeleye ivo with new carecter 🇨🇩🇨🇩🇿🇦🇿🇦

  • @vanessalaizer4363
    @vanessalaizer4363 Год назад +4

    Wazimu wangu ukinipanda hata nguo ntavua😂😂kumbe mgonjwa wa akili hahhaha😂😂😂

  • @rashowshine7849
    @rashowshine7849 Год назад +13

    Chief jaj kafall love😂😂😂🇰🇪

  • @furahajacob9110
    @furahajacob9110 Год назад +8

    Eliud....Umetisha xana Mwaisa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @Mrpac0808
    @Mrpac0808 Год назад +19

    Kipaji,ubunifu, nomaaaa 💣

  • @idrisamangwala6470
    @idrisamangwala6470 Год назад +8

    😂😹😹mtuu ya suti yake kiini cha yai

  • @johnsimon8388
    @johnsimon8388 Год назад +11

    Aaaaah kwa Ommy Dimpozzz mmenifurahishaaa 😃😃😃😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂😂

  • @nassihaji4822
    @nassihaji4822 Год назад +7

    Hapoo kwa baba levoo ndioo nimechekaa mpaka metokwa na matee😂😂😂

  • @Umande83
    @Umande83 Год назад +13

    😂😂😂😂😂 hapo kwa Mondi mbavu zangu mie

  • @chazzyemm7032
    @chazzyemm7032 Год назад +19

    Nmecheka Kwa sauti kubwa sana 🔥🔥🚒

  • @officialjoakim3555
    @officialjoakim3555 Год назад +6

    Uyu Eliud nae ni mkali nyote ni noma.

  • @ellenkabeta7561
    @ellenkabeta7561 Год назад +9

    😂😂😂unyakyusa raha sana tunalafuz tamuuu balaa kwakwel najivunia kuwa mnyakyusa😍😍

  • @vanessalaizer4363
    @vanessalaizer4363 Год назад +19

    Good job guys👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾such a masterpiece💕

  • @dwesemizaikesk
    @dwesemizaikesk Год назад +6

    Ya kuhudhunisha duniani ni mengi sana. Nipatapo chochote kinitiacho tabasamu huwa natumia muda wangu hapo. Please nawaomba hii kitu iwe endelevu 🔥 👍 👌

  • @pezasally8204
    @pezasally8204 Год назад +6

    Mngemuacha ALIKIBA ningewatukanaaa 😂😂😂

  • @rayvanychui2827
    @rayvanychui2827 Год назад +10

    Mnatishaaa sanaaaa unyama ni mwingiiii sanaaaaa😂😂😂😂

  • @joycenjole7463
    @joycenjole7463 Год назад +2

    Ooh jamnii eliud big up sana kipaji unacho na io lafudh ya kinyakyu unaniua kabisa me😆😆😆

  • @romeoissa-uw3lq
    @romeoissa-uw3lq Год назад +1

    kama umeikubali combination hii bas show love like apa

  • @saraissa9327
    @saraissa9327 Год назад +6

    Nmecheka sana walahiiiii 🙌🙌🙌🙌😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @lwitikomayele5819
    @lwitikomayele5819 Год назад +5

    😂😂😂😂 Mnyakyusa 🙌🙌😂😂😂

  • @barakachilambo546
    @barakachilambo546 Год назад +5

    Uswege mc eliud mbingun mnapita ukuuu🔥

  • @johnsimon8388
    @johnsimon8388 Год назад +5

    Mmetisha mnooo 👍💪💪💪💪

  • @travellertraveller4505
    @travellertraveller4505 Год назад +21

    Kumbe ni LIZINZI🤣🤣🤣🤣

  • @efootgame8
    @efootgame8 Год назад +8

    🔥😆😆mzimu wangu ukinipanda umetisha kaka uswege and eliudi .nipeni like zangu team uswege

  • @Bongodailyhabari
    @Bongodailyhabari Год назад +24

    Nachoshukuru ujinga ni mwingi sana.😂😂😂😂😂

  • @goodluckjustin8579
    @goodluckjustin8579 Год назад +7

    hapo kwa sunday mjeda,kumbe linaufanisi😂😂😂😂

  • @ambokilejr8192
    @ambokilejr8192 Год назад +1

    Mmetisha aiseee

  • @jeremiahmosses7520
    @jeremiahmosses7520 Год назад +41

    Well done guys this one was absolutely stunning

  • @user-jy9yq3on1g
    @user-jy9yq3on1g 4 месяца назад

    Yaan kiukwel nawapenda snaaa mmenifnya nimecheka snaa kwasaut duuuh mko vzr s aaa

  • @user-gm2gq3gi7k
    @user-gm2gq3gi7k 7 месяцев назад +1

    Ety ni lizinzi 😂😂😂😂😂😂

  • @mariammilambo-eg4qx
    @mariammilambo-eg4qx Год назад +1

    Yaan hap kwa queen😂😂😂 umeuwaaa

  • @princepicasso1846
    @princepicasso1846 Год назад +5

    Kazi nzuri ,Big up sana

  • @NewPhone-oh7ge
    @NewPhone-oh7ge Год назад +7

    😂😂😂😂Natamani isiishe nimeipenda sana 😂

  • @barakajuma6915
    @barakajuma6915 Год назад +5

    😅😅😅 Vipaji vikubwa kwl, huwa nawaelewa sanaaaa hawa wadau 😅😅 utani yanasema ukwl🙌🏃

  • @bluelionboyhistory6591
    @bluelionboyhistory6591 Год назад +7

    Don't book the judge 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @andrewngasamabere2719
    @andrewngasamabere2719 Год назад +25

    Fire 🔥🔥

  • @zekelly_025
    @zekelly_025 Год назад +1

    Kwamba fundi kwenye kwichikwichi. Nimecheka kufa🤣🤣😅😅😅

  • @masteragrey7472
    @masteragrey7472 Год назад +10

    ni LIZINZI bana😂😂😂😂😂

  • @sabrasaham4269
    @sabrasaham4269 Год назад +2

    Ni lizinz bwana 😄

  • @allykhalid4077
    @allykhalid4077 Год назад +7

    Xema eliud umetisha sana umevaa uhusika halisiii

  • @kelvinkiprotich3384
    @kelvinkiprotich3384 Год назад +14

    This time great combination watching from Kenya brothers

  • @rafajohntz
    @rafajohntz Год назад +7

    Ohoo! Tanzania tuna vipaji noma sana 🔥🔥

  • @vicentfunzo3314
    @vicentfunzo3314 Год назад +4

    Daaah accept job big up my brothers 😎

  • @mdoutz7452
    @mdoutz7452 Год назад +6

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mmeua mamae next episode 🤣

  • @mkomonistifact
    @mkomonistifact Год назад +11

    Big talent 😅

  • @ernestcharles374
    @ernestcharles374 Год назад +3

    Aisi nyinyi ni wabunifu sana,nimeenjoy sana

  • @jadinyajuamungu9799
    @jadinyajuamungu9799 Год назад +12

    😂😂🔥🔥wa kwanza leo dadeki 😂

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Год назад +1

    Baba levo uwiii hili litol limekaa kama liyahudi litatufaa kuwa mlinzi🤣🤣🤣😭😭

  • @flemymusic
    @flemymusic Год назад +14

    Eliud yanii utanatesaa more love from Kenya 🇰🇪

  • @calvincypriano2956
    @calvincypriano2956 Год назад +6

    Creativity 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @omarfrogy4360
    @omarfrogy4360 Год назад +9

    Uswege#Eliud 🔥🙌🏾Hii ni zaidi ya Comedy Show.. Mashaallah Salute sana my brother napata burudani nikiwa974

  • @wawesttv
    @wawesttv Год назад +13

    Show of the year 🙌

  • @kelvinokelo7992
    @kelvinokelo7992 Год назад +3

    Yaani nimeangalia kwa utaratibu ila ilipofikia kwenye "Ni lizinzi" nimecheka sanaaa🤣🤣🤣

    • @edwinpetro1241
      @edwinpetro1241 8 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @materulivin5921
    @materulivin5921 Год назад +1

    Dah mmetisha kinoma mpaka natamani kilacku kipind kiwepo

  • @doreenmathew165
    @doreenmathew165 Год назад +4

    ni lizinzi bhana😂😂😂

  • @mhagamaalfred4821
    @mhagamaalfred4821 Год назад +8

    It's the best 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @asmanjastoni1514
    @asmanjastoni1514 Год назад +4

    Looking amazing 🥰mmeweza kaka💪💪💪

  • @irakozethierry6699
    @irakozethierry6699 Год назад +7

    Show hatariiiiiiiiii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @akidahamad142
    @akidahamad142 Год назад +1

    Yani daah munajua sana daah kudadeki zenu

  • @abduratifu5802
    @abduratifu5802 Год назад +8

    Nakubali sana hii combination mmeuwa sana eliudi nakkubali sana umeuwa

  • @francisdominick1580
    @francisdominick1580 Год назад +3

    😂😂😂 sooo funny yani nimecheka mpaka machozi

  • @ejonline8109
    @ejonline8109 Год назад +2

    Hapo kwa diamond nimecheka mpaka basi

  • @official_dicksonmunga
    @official_dicksonmunga Год назад +7

    🤣🤣🤣 mtaiendeleza mkiwa hapa hapa kigoma

  • @edsonbihangwa9523
    @edsonbihangwa9523 Год назад +1

    😂😂😂🤣🤣 hapo kwa diamond ndo nimecheka et fundi kama kwichikwichi kama lote arafu jaji eliudi et kumbe nilizinzi😂😂😂🤣🤣

  • @jesusiscoming237
    @jesusiscoming237 Год назад +3

    Eti nilizinzi bwana 😄🤣😂

  • @felicianmichael6277
    @felicianmichael6277 Год назад +3

    Bonge moja la kazi mmeua sana Uswege

  • @honestfrank
    @honestfrank Год назад +3

    Nimekubali sana wanangu