BOFLO STAR SEARCH | KIGOMA - USWEGE & ELIUD

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025
  • BOFLO STAR SEARCH
    Ni kipindi cha Comedy kitakachoruka kila jumatano saa moja kamili jioni
    Kipindi kitaongozwa na Uswege pamoja na Mchekeshaji Eliud Samweli kutoka CHEKA TU.
    Usikose.

Комментарии • 828

  • @samsonmugobozi1462
    @samsonmugobozi1462 2 года назад +84

    Sema iyi combination ya Uswege na Eliud mume juwa kutufurahisha kwakweli mungu awabariki nawatakiya maisha marefu tuna subiri season 2 yaani munatutowa uvivu sisi mashabiki wenu.

  • @AggyChars-sd3nh
    @AggyChars-sd3nh Год назад +8

    😅😅😅😅😂 Yan ata kama haichekeshi ila ukifocus na Eliud tu unavunjika mbavu😂😂😂❤

  • @chrismwamburi6169
    @chrismwamburi6169 2 года назад +25

    😂😂😂😂mko vizuri hpo kwa baba levo mmetisha sana🔥🔥

  • @chakuboyofficial9720
    @chakuboyofficial9720 2 года назад +41

    Eliud ka upiga mwingi sanaa 🔥🔥🔥🇦🇺

  • @alexjumanne3247
    @alexjumanne3247 2 года назад +5

    Walahi nimecheka sana upande wa baba levo hongereni sana kaz nzuri

  • @yes_yes1310
    @yes_yes1310 2 года назад +26

    Kumbe Nilizinzi bwana 😂😂😂😂

  • @captainkomba4739
    @captainkomba4739 2 года назад +221

    Kama umeielewa hii shoo leo gonga like apa

  • @salehemohamed981
    @salehemohamed981 2 года назад +6

    Nzuri sana wasafi Tv wakupe kipindi Uswege hii kitu ni kubwa

  • @yusterkahimbaza2410
    @yusterkahimbaza2410 2 года назад +19

    Ety linatukalipia🤣🤣🤣 sema ni Kigoma Mwisho Wa #Reli

  • @Bongodailyhabari
    @Bongodailyhabari 2 года назад +25

    Next ni nyingi sana kaka😂😂😂

  • @blessjacob9196
    @blessjacob9196 2 года назад +14

    😂😂😂😂😂 daa nyie watu mbarikiwe 🙌🙌🙌🙌🙌

  • @robertabel6984
    @robertabel6984 2 года назад +8

    😂😂😂😂😂Ila eliudi we kichwa chako kimepinda eti hili linekaa kama liyahudi

  • @oscarhumphrey7692
    @oscarhumphrey7692 2 года назад +23

    This beautiful brother's creativity keep it up don't give up

  • @zainabtumba1186
    @zainabtumba1186 2 года назад +22

    🇹🇿/🇺🇲💕Jamani Aliud Nilimkubali kuanziaaa auditions Za cheka tu kua ni kibokooo! Aliud Na Jamaaa huyu fundi uchepeee dah Apo sasa fundi kwenye kwichi kwichi... kazi Eindelee Nachekaa tu Mieee Kwiiiiii Kwiiii hoi 💯💥💥💥🙏

  • @ngwacahnyagwaswa9979
    @ngwacahnyagwaswa9979 2 года назад +33

    Aki kazi yenu nzur sana kutengeneza content hiv si kazi rahisi let's appreciate these two guys Ubongo Smart sana 🤗🤗

  • @NzangiMuimi
    @NzangiMuimi 2 года назад +21

    Bwana weee! MC Eliud alivyomtimua Ali🤣🤣

  • @paschaljoachim13
    @paschaljoachim13 2 года назад +12

    Ila nyie ni zaidi ya kipaji kwa kweli nimefurahi 😂😂😂😂

  • @Uakika_tv_online
    @Uakika_tv_online 2 года назад +7

    🤣🤣🤣🤣kikosi kimekamilika apo nimekubali saana pamoja saaana

  • @yonamwakanyamale
    @yonamwakanyamale 2 года назад +7

    Nimeinjoy kinoma noma.
    Bros, keep up no Mara waah.

  • @ShawnLexon
    @ShawnLexon 2 года назад +21

    Sio rahisi kuunda vidaa kama hii.. kazi nzuri sana boss wangu 👊🇰🇪

  • @Bentrixx_
    @Bentrixx_ 2 года назад +22

    😂😂😂mimi pia nina kipaji kaka to kenya,🇰🇪🏃🏃

  • @selector5929
    @selector5929 2 года назад +13

    eti eeh nili zinzi bhn mpk nimecheka kwanguvu 🤣😂 sema diamond hajawahi pitaga kwa uswege makofi kala sn mwana shv angalau atapumzika 🙌

  • @issandmukelo9964
    @issandmukelo9964 2 года назад +21

    Safi kabisa nashukuru saana kwa idea yenu kabisa bing up saaaaaana, mwendeleye ivo with new carecter 🇨🇩🇨🇩🇿🇦🇿🇦

  • @joycenjole7463
    @joycenjole7463 2 года назад +2

    Ooh jamnii eliud big up sana kipaji unacho na io lafudh ya kinyakyu unaniua kabisa me😆😆😆

  • @jescacheyo1329
    @jescacheyo1329 2 года назад +20

    Eliud na lafudhi ya mbeya naenjoy👏👏👏👏

  • @ellenkabeta7561
    @ellenkabeta7561 2 года назад +9

    😂😂😂unyakyusa raha sana tunalafuz tamuuu balaa kwakwel najivunia kuwa mnyakyusa😍😍

    • @jullythedone8615
      @jullythedone8615 2 года назад

      Wengne wanaroho ya chuki

    • @ellenkabeta7561
      @ellenkabeta7561 2 года назад +1

      @@jullythedone8615 Pole bhana hakuna kikamilifu chini ya jua

  • @vanessalaizer4363
    @vanessalaizer4363 2 года назад +4

    Wazimu wangu ukinipanda hata nguo ntavua😂😂kumbe mgonjwa wa akili hahhaha😂😂😂

  • @idrisamangwala6470
    @idrisamangwala6470 2 года назад +8

    😂😹😹mtuu ya suti yake kiini cha yai

  • @Mrpac0808
    @Mrpac0808 2 года назад +19

    Kipaji,ubunifu, nomaaaa 💣

  • @linnamapunda2275
    @linnamapunda2275 2 года назад +12

    Eliud 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mbn kama linadekaaa

  • @furahajacob9110
    @furahajacob9110 2 года назад +8

    Eliud....Umetisha xana Mwaisa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @Da_Silver
    @Da_Silver 2 года назад +92

    Nimecheka mpaka majirani wakaja kuangalia show yenu hii hatari...twambieni next ni mkoa gani...😅😅😅😅

    • @samsonmugobozi1462
      @samsonmugobozi1462 2 года назад +6

      Bora hatawewe balikuja angaliya mimi nimecheka majirani wakazani nimelewa mupaka waka niitiya mapolice nyumbani

    • @mrsinia3064
      @mrsinia3064 2 года назад

      @@samsonmugobozi1462 🤣🤣mapolice kwer

    • @queenm_96
      @queenm_96 2 года назад +1

      Dar

  • @AishaRembo
    @AishaRembo 4 дня назад

    Ety chekibob mdomo kam kambare😅😅😅😅 nimecheka eliud ujengew sanamu lako

  • @jabalisoundsband747
    @jabalisoundsband747 2 года назад +11

    Eeeeeeeeeeh ni lizinziii bwaanaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌 nmecheka adi nikaanguka😂😂😂🙌

  • @tinahmashaka4355
    @tinahmashaka4355 2 года назад +18

    Atleast eliud anajal kidg vipaji 😆😆😆

  • @romeoissa-uw3lq
    @romeoissa-uw3lq Год назад +1

    kama umeikubali combination hii bas show love like apa

  • @fredrickmsomba4123
    @fredrickmsomba4123 2 года назад +35

    Mc Eliud is so fun.... 😂🔥🔥🔥

  • @RoseOmary-q3c
    @RoseOmary-q3c 10 месяцев назад

    Yaan kiukwel nawapenda snaaa mmenifnya nimecheka snaa kwasaut duuuh mko vzr s aaa

  • @johkuzaga1804
    @johkuzaga1804 2 года назад +11

    Hii chumvi sio chumvini, ungeacha aangeonesha uwezo😂😂🔥

  • @blessjacob9196
    @blessjacob9196 2 года назад +15

    Ila eliud 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌

  • @dwesemizaikesk
    @dwesemizaikesk 2 года назад +6

    Ya kuhudhunisha duniani ni mengi sana. Nipatapo chochote kinitiacho tabasamu huwa natumia muda wangu hapo. Please nawaomba hii kitu iwe endelevu 🔥 👍 👌

  • @ambokilejr8192
    @ambokilejr8192 2 года назад +1

    Mmetisha aiseee

  • @officialjoakim3555
    @officialjoakim3555 2 года назад +6

    Uyu Eliud nae ni mkali nyote ni noma.

  • @efootgame8
    @efootgame8 2 года назад +8

    🔥😆😆mzimu wangu ukinipanda umetisha kaka uswege and eliudi .nipeni like zangu team uswege

  • @rayvanychui2827
    @rayvanychui2827 2 года назад +10

    Mnatishaaa sanaaaa unyama ni mwingiiii sanaaaaa😂😂😂😂

  • @chazzyemm7032
    @chazzyemm7032 2 года назад +19

    Nmecheka Kwa sauti kubwa sana 🔥🔥🚒

  • @puzzleb9880
    @puzzleb9880 2 года назад +11

    Kama hawa jamaa hawajawahi kukosea gonga lke hap

  • @akidahamad142
    @akidahamad142 2 года назад +1

    Yani daah munajua sana daah kudadeki zenu

  • @pezasally8204
    @pezasally8204 2 года назад +6

    Mngemuacha ALIKIBA ningewatukanaaa 😂😂😂

  • @petermartini7176
    @petermartini7176 2 года назад +16

    The king👑 of music comedy 🙌@uswege

  • @materulivin5921
    @materulivin5921 2 года назад +1

    Dah mmetisha kinoma mpaka natamani kilacku kipind kiwepo

  • @mariammilambo-eg4qx
    @mariammilambo-eg4qx Год назад +1

    Yaan hap kwa queen😂😂😂 umeuwaaa

  • @ejonline8109
    @ejonline8109 2 года назад +2

    Hapo kwa diamond nimecheka mpaka basi

  • @johnsimon8388
    @johnsimon8388 2 года назад +11

    Aaaaah kwa Ommy Dimpozzz mmenifurahishaaa 😃😃😃😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂😂

  • @nassihaji4822
    @nassihaji4822 2 года назад +8

    Hapoo kwa baba levoo ndioo nimechekaa mpaka metokwa na matee😂😂😂

  • @saraissa9327
    @saraissa9327 2 года назад +6

    Nmecheka sana walahiiiii 🙌🙌🙌🙌😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @imatheboy4797
    @imatheboy4797 2 года назад +1

    Ayaaaa bwn wapumbav nyieee mmenifulaishaa kinoma

  • @johnsimon8388
    @johnsimon8388 2 года назад +5

    Mmetisha mnooo 👍💪💪💪💪

  • @princepicasso1846
    @princepicasso1846 2 года назад +5

    Kazi nzuri ,Big up sana

  • @zekelly_025
    @zekelly_025 2 года назад +1

    Kwamba fundi kwenye kwichikwichi. Nimecheka kufa🤣🤣😅😅😅

  • @pianoboytz3748
    @pianoboytz3748 2 года назад

    Haujawahi kuniangusah kaka yani. mmetisha kinoma na eliud

  • @NewPhone-oh7ge
    @NewPhone-oh7ge 2 года назад +7

    😂😂😂😂Natamani isiishe nimeipenda sana 😂

  • @vanessalaizer4363
    @vanessalaizer4363 2 года назад +19

    Good job guys👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾such a masterpiece💕

  • @sabrasaham4269
    @sabrasaham4269 2 года назад +2

    Ni lizinz bwana 😄

  • @jadinyajuamungu9799
    @jadinyajuamungu9799 2 года назад +12

    😂😂🔥🔥wa kwanza leo dadeki 😂

  • @arnoldkasoma886
    @arnoldkasoma886 2 года назад +1

    Next..........

  • @charlessanya139
    @charlessanya139 2 года назад

    Good Job nimeongeza siku am happy
    Mkoa unaofuata wap

  • @Umande83
    @Umande83 2 года назад +13

    😂😂😂😂😂 hapo kwa Mondi mbavu zangu mie

  • @barakachilambo546
    @barakachilambo546 2 года назад +5

    Uswege mc eliud mbingun mnapita ukuuu🔥

  • @jeremiahmosses7520
    @jeremiahmosses7520 2 года назад +41

    Well done guys this one was absolutely stunning

  • @lwitikomayele
    @lwitikomayele 2 года назад +5

    😂😂😂😂 Mnyakyusa 🙌🙌😂😂😂

  • @hamicrajabu5206
    @hamicrajabu5206 9 месяцев назад

    Baba levo ety mbn linacheka

  • @ernestcharles374
    @ernestcharles374 2 года назад +3

    Aisi nyinyi ni wabunifu sana,nimeenjoy sana

  • @Uakika_tv_online
    @Uakika_tv_online 2 года назад

    Mmetisha soo powa wazee hambaatishi

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Год назад +1

    Baba levo uwiii hili litol limekaa kama liyahudi litatufaa kuwa mlinzi🤣🤣🤣😭😭

  • @shellahhm9907
    @shellahhm9907 Год назад

    safiii sana nimecheka sana yaan❤

  • @felicianmichael6277
    @felicianmichael6277 2 года назад +3

    Bonge moja la kazi mmeua sana Uswege

  • @omarfrogy4360
    @omarfrogy4360 2 года назад +9

    Uswege#Eliud 🔥🙌🏾Hii ni zaidi ya Comedy Show.. Mashaallah Salute sana my brother napata burudani nikiwa974

  • @goodluckjustin8579
    @goodluckjustin8579 2 года назад +7

    hapo kwa sunday mjeda,kumbe linaufanisi😂😂😂😂

  • @wawesttv
    @wawesttv 2 года назад +13

    Show of the year 🙌

  • @abduratifu5802
    @abduratifu5802 2 года назад +8

    Nakubali sana hii combination mmeuwa sana eliudi nakkubali sana umeuwa

  • @barakajuma6915
    @barakajuma6915 2 года назад +5

    😅😅😅 Vipaji vikubwa kwl, huwa nawaelewa sanaaaa hawa wadau 😅😅 utani yanasema ukwl🙌🏃

  • @neemacosmasi6625
    @neemacosmasi6625 2 года назад +1

    Daaah jamani nimecheka Sanaa nakubari Sanaa mung awabariki

  • @mbembetyson05
    @mbembetyson05 2 года назад +1

    Wakulalala nani sasa we kifutu wewe 😂😂😂😂 unamdosola mwenzio

  • @burunga8686
    @burunga8686 2 года назад

    Huu mzee wa rumonge burundi eti jiwa wa kigoma
    Huu wa yellow

  • @asmanjastoni1514
    @asmanjastoni1514 2 года назад +4

    Looking amazing 🥰mmeweza kaka💪💪💪

  • @Rk_movies_09
    @Rk_movies_09 2 года назад +4

    Daaah accept job big up my brothers 😎

  • @allymangogasya8068
    @allymangogasya8068 2 года назад +2

    Ila sema tu muna eshima kwa Boss mondy

  • @louisgabriel4821
    @louisgabriel4821 2 года назад +1

    Mi lizinzi bwana kidogo npasue simu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @nunuuali5316
    @nunuuali5316 2 года назад +1

    Kwa kweli upande wa Queen hamjakosea bora akalime

  • @BlessingsJosephMsofe
    @BlessingsJosephMsofe Год назад

    Nimeshalijua halijui akkapela kweli hii ni noma😂😂😂😂

  • @ZamoMartin-i2e
    @ZamoMartin-i2e Год назад

    Oyaa wanangu bora niwambie tu ukweli mmetisha sana yaan sio kidogo joh,,

  • @doreenmathew165
    @doreenmathew165 2 года назад +4

    ni lizinzi bhana😂😂😂

  • @kelvinkiprotich3384
    @kelvinkiprotich3384 2 года назад +14

    This time great combination watching from Kenya brothers

  • @francisdominick1580
    @francisdominick1580 2 года назад +3

    😂😂😂 sooo funny yani nimecheka mpaka machozi

  • @Bongodailyhabari
    @Bongodailyhabari 2 года назад +24

    Nachoshukuru ujinga ni mwingi sana.😂😂😂😂😂

  • @kelvinokelo7992
    @kelvinokelo7992 2 года назад +3

    Yaani nimeangalia kwa utaratibu ila ilipofikia kwenye "Ni lizinzi" nimecheka sanaaa🤣🤣🤣

    • @edwinpetro1241
      @edwinpetro1241 Год назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @rafajohntz
    @rafajohntz 2 года назад +7

    Ohoo! Tanzania tuna vipaji noma sana 🔥🔥

  • @travellertraveller4505
    @travellertraveller4505 2 года назад +21

    Kumbe ni LIZINZI🤣🤣🤣🤣

  • @Psychology-all
    @Psychology-all 2 года назад

    Clouds tv Bora wangekuwa wanarusha hiki kipindi chenu kuliko joh master