BOFLO STAR SEARCH | KIGOMA - USWEGE & ELIUD
HTML-код
- Опубликовано: 3 янв 2023
- BOFLO STAR SEARCH
Ni kipindi cha Comedy kitakachoruka kila jumatano saa moja kamili jioni
Kipindi kitaongozwa na Uswege pamoja na Mchekeshaji Eliud Samweli kutoka CHEKA TU.
Usikose. Приколы
Sema iyi combination ya Uswege na Eliud mume juwa kutufurahisha kwakweli mungu awabariki nawatakiya maisha marefu tuna subiri season 2 yaani munatutowa uvivu sisi mashabiki wenu.
Good idea.....mecheka sana eliud duuh
I love this game
❤
😂😂😂😂mko vizuri hpo kwa baba levo mmetisha sana🔥🔥
Eliud ka upiga mwingi sanaa 🔥🔥🔥🇦🇺
😅😅😅😅😂 Yan ata kama haichekeshi ila ukifocus na Eliud tu unavunjika mbavu😂😂😂❤
Kumbe Nilizinzi bwana 😂😂😂😂
Eliud na lafudhi ya mbeya naenjoy👏👏👏👏
🇹🇿/🇺🇲💕Jamani Aliud Nilimkubali kuanziaaa auditions Za cheka tu kua ni kibokooo! Aliud Na Jamaaa huyu fundi uchepeee dah Apo sasa fundi kwenye kwichi kwichi... kazi Eindelee Nachekaa tu Mieee Kwiiiiii Kwiiii hoi 💯💥💥💥🙏
Mc Eliud is so fun.... 😂🔥🔥🔥
Kama umeielewa hii shoo leo gonga like apa
😂😂😂😂kigoma na chum.......vini😅😅
😅😅😅😅
Ety linatukalipia🤣🤣🤣 sema ni Kigoma Mwisho Wa #Reli
Next ni nyingi sana kaka😂😂😂
This beautiful brother's creativity keep it up don't give up
Aki kazi yenu nzur sana kutengeneza content hiv si kazi rahisi let's appreciate these two guys Ubongo Smart sana 🤗🤗
Bwana weee! MC Eliud alivyomtimua Ali🤣🤣
😂😂😂😂😂 daa nyie watu mbarikiwe 🙌🙌🙌🙌🙌
Eeeeeeeeeeh ni lizinziii bwaanaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌 nmecheka adi nikaanguka😂😂😂🙌
Jamaa wasumbufu sana
Atleast eliud anajal kidg vipaji 😆😆😆
Walahi nimecheka sana upande wa baba levo hongereni sana kaz nzuri
Mi mb zangu zinaishaga kwa kumuangalia Mc eliud
😂😂😂😂😂Ila eliudi we kichwa chako kimepinda eti hili linekaa kama liyahudi
Nimecheka mpaka majirani wakaja kuangalia show yenu hii hatari...twambieni next ni mkoa gani...😅😅😅😅
Bora hatawewe balikuja angaliya mimi nimecheka majirani wakazani nimelewa mupaka waka niitiya mapolice nyumbani
@@samsonmugobozi1462 🤣🤣mapolice kwer
Dar
Nzuri sana wasafi Tv wakupe kipindi Uswege hii kitu ni kubwa
😂😂😂mimi pia nina kipaji kaka to kenya,🇰🇪🏃🏃
Ila nyie ni zaidi ya kipaji kwa kweli nimefurahi 😂😂😂😂
eti eeh nili zinzi bhn mpk nimecheka kwanguvu 🤣😂 sema diamond hajawahi pitaga kwa uswege makofi kala sn mwana shv angalau atapumzika 🙌
The king👑 of music comedy 🙌@uswege
Hii chumvi sio chumvini, ungeacha aangeonesha uwezo😂😂🔥
Et kumbe ni lizinzi
Ila eliud 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌
Eliud 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mbn kama linadekaaa
🤣🤣🤣🤣kikosi kimekamilika apo nimekubali saana pamoja saaana
Sio rahisi kuunda vidaa kama hii.. kazi nzuri sana boss wangu 👊🇰🇪
Goood joob
Nimeinjoy kinoma noma.
Bros, keep up no Mara waah.
Kama hawa jamaa hawajawahi kukosea gonga lke hap
Safi kabisa nashukuru saana kwa idea yenu kabisa bing up saaaaaana, mwendeleye ivo with new carecter 🇨🇩🇨🇩🇿🇦🇿🇦
Wazimu wangu ukinipanda hata nguo ntavua😂😂kumbe mgonjwa wa akili hahhaha😂😂😂
Chief jaj kafall love😂😂😂🇰🇪
Eliud....Umetisha xana Mwaisa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kipaji,ubunifu, nomaaaa 💣
😂😹😹mtuu ya suti yake kiini cha yai
Aaaaah kwa Ommy Dimpozzz mmenifurahishaaa 😃😃😃😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂😂
Hapoo kwa baba levoo ndioo nimechekaa mpaka metokwa na matee😂😂😂
😄😛
😂😂😂😂😂 hapo kwa Mondi mbavu zangu mie
🤣🤣🤣🤣
Nmecheka Kwa sauti kubwa sana 🔥🔥🚒
See you Man from Mbeya... 🔥🔥
Uyu Eliud nae ni mkali nyote ni noma.
😂😂😂unyakyusa raha sana tunalafuz tamuuu balaa kwakwel najivunia kuwa mnyakyusa😍😍
Wengne wanaroho ya chuki
@@jullythedone8615 Pole bhana hakuna kikamilifu chini ya jua
Good job guys👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾such a masterpiece💕
Ya kuhudhunisha duniani ni mengi sana. Nipatapo chochote kinitiacho tabasamu huwa natumia muda wangu hapo. Please nawaomba hii kitu iwe endelevu 🔥 👍 👌
Mngemuacha ALIKIBA ningewatukanaaa 😂😂😂
Mnatishaaa sanaaaa unyama ni mwingiiii sanaaaaa😂😂😂😂
Ooh jamnii eliud big up sana kipaji unacho na io lafudh ya kinyakyu unaniua kabisa me😆😆😆
kama umeikubali combination hii bas show love like apa
Nmecheka sana walahiiiii 🙌🙌🙌🙌😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 Mnyakyusa 🙌🙌😂😂😂
Uswege mc eliud mbingun mnapita ukuuu🔥
Mmetisha mnooo 👍💪💪💪💪
Kumbe ni LIZINZI🤣🤣🤣🤣
🔥😆😆mzimu wangu ukinipanda umetisha kaka uswege and eliudi .nipeni like zangu team uswege
Nachoshukuru ujinga ni mwingi sana.😂😂😂😂😂
Nimecheka eti kumbe ni lizinzi
hhhh umeona eee
hapo kwa sunday mjeda,kumbe linaufanisi😂😂😂😂
Mmetisha aiseee
Well done guys this one was absolutely stunning
Yaan kiukwel nawapenda snaaa mmenifnya nimecheka snaa kwasaut duuuh mko vzr s aaa
Ety ni lizinzi 😂😂😂😂😂😂
Yaan hap kwa queen😂😂😂 umeuwaaa
Kazi nzuri ,Big up sana
😂😂😂😂Natamani isiishe nimeipenda sana 😂
😅😅😅 Vipaji vikubwa kwl, huwa nawaelewa sanaaaa hawa wadau 😅😅 utani yanasema ukwl🙌🏃
Don't book the judge 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Fire 🔥🔥
Kwamba fundi kwenye kwichikwichi. Nimecheka kufa🤣🤣😅😅😅
ni LIZINZI bana😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣
Ni lizinz bwana 😄
Xema eliud umetisha sana umevaa uhusika halisiii
This time great combination watching from Kenya brothers
Ohoo! Tanzania tuna vipaji noma sana 🔥🔥
Daaah accept job big up my brothers 😎
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mmeua mamae next episode 🤣
Big talent 😅
Aisi nyinyi ni wabunifu sana,nimeenjoy sana
😂😂🔥🔥wa kwanza leo dadeki 😂
Umeikuta yangu 😂😂😂😂
@@networkersirduntz 😂😂😂 uongo bhana
@@jadinyajuamungu9799 angalia mda
Apa tumuuulize uswege 😂😂😂
Baba levo uwiii hili litol limekaa kama liyahudi litatufaa kuwa mlinzi🤣🤣🤣😭😭
Eliud yanii utanatesaa more love from Kenya 🇰🇪
Creativity 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Uswege#Eliud 🔥🙌🏾Hii ni zaidi ya Comedy Show.. Mashaallah Salute sana my brother napata burudani nikiwa974
Show of the year 🙌
Yaani nimeangalia kwa utaratibu ila ilipofikia kwenye "Ni lizinzi" nimecheka sanaaa🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Dah mmetisha kinoma mpaka natamani kilacku kipind kiwepo
ni lizinzi bhana😂😂😂
It's the best 🔥🔥🔥🔥🔥
Looking amazing 🥰mmeweza kaka💪💪💪
Show hatariiiiiiiiii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yani daah munajua sana daah kudadeki zenu
Nakubali sana hii combination mmeuwa sana eliudi nakkubali sana umeuwa
😂😂😂 sooo funny yani nimecheka mpaka machozi
Hapo kwa diamond nimecheka mpaka basi
Acha tyu
😂😂😂😂
🤣🤣🤣 mtaiendeleza mkiwa hapa hapa kigoma
😂😂😂🤣🤣 hapo kwa diamond ndo nimecheka et fundi kama kwichikwichi kama lote arafu jaji eliudi et kumbe nilizinzi😂😂😂🤣🤣
Eti nilizinzi bwana 😄🤣😂
Bonge moja la kazi mmeua sana Uswege
Nimekubali sana wanangu