BOFLO STAR SEARCH | KIGOMA - USWEGE & ELIUD
HTML-код
- Опубликовано: 7 фев 2025
- BOFLO STAR SEARCH
Ni kipindi cha Comedy kitakachoruka kila jumatano saa moja kamili jioni
Kipindi kitaongozwa na Uswege pamoja na Mchekeshaji Eliud Samweli kutoka CHEKA TU.
Usikose.
Sema iyi combination ya Uswege na Eliud mume juwa kutufurahisha kwakweli mungu awabariki nawatakiya maisha marefu tuna subiri season 2 yaani munatutowa uvivu sisi mashabiki wenu.
Good idea.....mecheka sana eliud duuh
I love this game
❤
😅😅😅😅😂 Yan ata kama haichekeshi ila ukifocus na Eliud tu unavunjika mbavu😂😂😂❤
😂😂😂😂mko vizuri hpo kwa baba levo mmetisha sana🔥🔥
Eliud ka upiga mwingi sanaa 🔥🔥🔥🇦🇺
Walahi nimecheka sana upande wa baba levo hongereni sana kaz nzuri
Kumbe Nilizinzi bwana 😂😂😂😂
Kama umeielewa hii shoo leo gonga like apa
😂😂😂😂kigoma na chum.......vini😅😅
😅😅😅😅
Nzuri sana wasafi Tv wakupe kipindi Uswege hii kitu ni kubwa
Ety linatukalipia🤣🤣🤣 sema ni Kigoma Mwisho Wa #Reli
Next ni nyingi sana kaka😂😂😂
😂😂😂😂😂 daa nyie watu mbarikiwe 🙌🙌🙌🙌🙌
😂😂😂😂😂Ila eliudi we kichwa chako kimepinda eti hili linekaa kama liyahudi
This beautiful brother's creativity keep it up don't give up
🇹🇿/🇺🇲💕Jamani Aliud Nilimkubali kuanziaaa auditions Za cheka tu kua ni kibokooo! Aliud Na Jamaaa huyu fundi uchepeee dah Apo sasa fundi kwenye kwichi kwichi... kazi Eindelee Nachekaa tu Mieee Kwiiiiii Kwiiii hoi 💯💥💥💥🙏
Aki kazi yenu nzur sana kutengeneza content hiv si kazi rahisi let's appreciate these two guys Ubongo Smart sana 🤗🤗
Bwana weee! MC Eliud alivyomtimua Ali🤣🤣
Ila nyie ni zaidi ya kipaji kwa kweli nimefurahi 😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣kikosi kimekamilika apo nimekubali saana pamoja saaana
Nimeinjoy kinoma noma.
Bros, keep up no Mara waah.
Sio rahisi kuunda vidaa kama hii.. kazi nzuri sana boss wangu 👊🇰🇪
Goood joob
😂😂😂mimi pia nina kipaji kaka to kenya,🇰🇪🏃🏃
eti eeh nili zinzi bhn mpk nimecheka kwanguvu 🤣😂 sema diamond hajawahi pitaga kwa uswege makofi kala sn mwana shv angalau atapumzika 🙌
Safi kabisa nashukuru saana kwa idea yenu kabisa bing up saaaaaana, mwendeleye ivo with new carecter 🇨🇩🇨🇩🇿🇦🇿🇦
Ooh jamnii eliud big up sana kipaji unacho na io lafudh ya kinyakyu unaniua kabisa me😆😆😆
Eliud na lafudhi ya mbeya naenjoy👏👏👏👏
😂😂😂unyakyusa raha sana tunalafuz tamuuu balaa kwakwel najivunia kuwa mnyakyusa😍😍
Wengne wanaroho ya chuki
@@jullythedone8615 Pole bhana hakuna kikamilifu chini ya jua
Wazimu wangu ukinipanda hata nguo ntavua😂😂kumbe mgonjwa wa akili hahhaha😂😂😂
😂😹😹mtuu ya suti yake kiini cha yai
Kipaji,ubunifu, nomaaaa 💣
Eliud 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mbn kama linadekaaa
Eliud....Umetisha xana Mwaisa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nimecheka mpaka majirani wakaja kuangalia show yenu hii hatari...twambieni next ni mkoa gani...😅😅😅😅
Bora hatawewe balikuja angaliya mimi nimecheka majirani wakazani nimelewa mupaka waka niitiya mapolice nyumbani
@@samsonmugobozi1462 🤣🤣mapolice kwer
Dar
Ety chekibob mdomo kam kambare😅😅😅😅 nimecheka eliud ujengew sanamu lako
Eeeeeeeeeeh ni lizinziii bwaanaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌 nmecheka adi nikaanguka😂😂😂🙌
Jamaa wasumbufu sana
Atleast eliud anajal kidg vipaji 😆😆😆
kama umeikubali combination hii bas show love like apa
Mc Eliud is so fun.... 😂🔥🔥🔥
Yaan kiukwel nawapenda snaaa mmenifnya nimecheka snaa kwasaut duuuh mko vzr s aaa
Hii chumvi sio chumvini, ungeacha aangeonesha uwezo😂😂🔥
Et kumbe ni lizinzi
Ila eliud 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌
Ya kuhudhunisha duniani ni mengi sana. Nipatapo chochote kinitiacho tabasamu huwa natumia muda wangu hapo. Please nawaomba hii kitu iwe endelevu 🔥 👍 👌
Mmetisha aiseee
Uyu Eliud nae ni mkali nyote ni noma.
🔥😆😆mzimu wangu ukinipanda umetisha kaka uswege and eliudi .nipeni like zangu team uswege
Mnatishaaa sanaaaa unyama ni mwingiiii sanaaaaa😂😂😂😂
Nmecheka Kwa sauti kubwa sana 🔥🔥🚒
See you Man from Mbeya... 🔥🔥
Kama hawa jamaa hawajawahi kukosea gonga lke hap
Yani daah munajua sana daah kudadeki zenu
Mngemuacha ALIKIBA ningewatukanaaa 😂😂😂
The king👑 of music comedy 🙌@uswege
Dah mmetisha kinoma mpaka natamani kilacku kipind kiwepo
Yaan hap kwa queen😂😂😂 umeuwaaa
Hapo kwa diamond nimecheka mpaka basi
Acha tyu
😂😂😂😂
Aaaaah kwa Ommy Dimpozzz mmenifurahishaaa 😃😃😃😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂😂
Hapoo kwa baba levoo ndioo nimechekaa mpaka metokwa na matee😂😂😂
😄😛
😂😂😂😂😂
Nmecheka sana walahiiiii 🙌🙌🙌🙌😂😂😂😂😂😂😂😂
Ayaaaa bwn wapumbav nyieee mmenifulaishaa kinoma
Mmetisha mnooo 👍💪💪💪💪
Kazi nzuri ,Big up sana
Kwamba fundi kwenye kwichikwichi. Nimecheka kufa🤣🤣😅😅😅
Haujawahi kuniangusah kaka yani. mmetisha kinoma na eliud
😂😂😂😂Natamani isiishe nimeipenda sana 😂
Good job guys👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾such a masterpiece💕
Ni lizinz bwana 😄
😂😂🔥🔥wa kwanza leo dadeki 😂
Umeikuta yangu 😂😂😂😂
@@networkersirduntz 😂😂😂 uongo bhana
@@jadinyajuamungu9799 angalia mda
Apa tumuuulize uswege 😂😂😂
Next..........
Good Job nimeongeza siku am happy
Mkoa unaofuata wap
😂😂😂😂😂 hapo kwa Mondi mbavu zangu mie
🤣🤣🤣🤣
Uswege mc eliud mbingun mnapita ukuuu🔥
Well done guys this one was absolutely stunning
😂😂😂😂 Mnyakyusa 🙌🙌😂😂😂
Baba levo ety mbn linacheka
Aisi nyinyi ni wabunifu sana,nimeenjoy sana
Mmetisha soo powa wazee hambaatishi
Baba levo uwiii hili litol limekaa kama liyahudi litatufaa kuwa mlinzi🤣🤣🤣😭😭
safiii sana nimecheka sana yaan❤
Bonge moja la kazi mmeua sana Uswege
Uswege#Eliud 🔥🙌🏾Hii ni zaidi ya Comedy Show.. Mashaallah Salute sana my brother napata burudani nikiwa974
hapo kwa sunday mjeda,kumbe linaufanisi😂😂😂😂
Show of the year 🙌
Nakubali sana hii combination mmeuwa sana eliudi nakkubali sana umeuwa
😅😅😅 Vipaji vikubwa kwl, huwa nawaelewa sanaaaa hawa wadau 😅😅 utani yanasema ukwl🙌🏃
Daaah jamani nimecheka Sanaa nakubari Sanaa mung awabariki
Wakulalala nani sasa we kifutu wewe 😂😂😂😂 unamdosola mwenzio
Huu mzee wa rumonge burundi eti jiwa wa kigoma
Huu wa yellow
Looking amazing 🥰mmeweza kaka💪💪💪
Daaah accept job big up my brothers 😎
Ila sema tu muna eshima kwa Boss mondy
Mi lizinzi bwana kidogo npasue simu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwa kweli upande wa Queen hamjakosea bora akalime
Nimeshalijua halijui akkapela kweli hii ni noma😂😂😂😂
Oyaa wanangu bora niwambie tu ukweli mmetisha sana yaan sio kidogo joh,,
ni lizinzi bhana😂😂😂
This time great combination watching from Kenya brothers
😂😂😂 sooo funny yani nimecheka mpaka machozi
Nachoshukuru ujinga ni mwingi sana.😂😂😂😂😂
Nimecheka eti kumbe ni lizinzi
hhhh umeona eee
Yaani nimeangalia kwa utaratibu ila ilipofikia kwenye "Ni lizinzi" nimecheka sanaaa🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ohoo! Tanzania tuna vipaji noma sana 🔥🔥
Kumbe ni LIZINZI🤣🤣🤣🤣
Clouds tv Bora wangekuwa wanarusha hiki kipindi chenu kuliko joh master