BOFLO STAR SEARCH | TANGA - USWEGE & ELIUD
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- BOFLO STAR SEARCH
Ni kipindi cha Comedy kitakachoruka kila jumatano saa moja kamili jioni
Kipindi kinaongozwa na Uswege pamoja na Mchekeshaji Eliud Samweli kutoka CHEKA TU.
Usikose.
Uswege nakukubar niweke juu namimi nipate like mbna kila siku sipati
Then ukipata likes what's next???
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Imagine leo namimi highlights
Uswege
Fire
Nimekua wa kwanza leo sija wahi kupata like naombeni
Nimekuwa wa kwanza nawapend 😂😂😂😂😂😂❤
you killed it brothers party ya mwanafalsafa tulioipenda pls tujuaneee🤣🤣🤣
Napenda mnavyo angalia kama kuna watu kweli😂😂🥰
Chief judge kwenye Kuch Kuch hotahee🔥🔥
Kazi nzuri sana hongereni team nzima ya BOFLO STAR SEARCH 🙌🏿 muende mbeya Sasa Kuna vipaji kule aisee
Uswegge eliud wote 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mc Eliud❤️unajua unajua unajua tenaaaaaa!!
Asante uswege nitakuwa shabik yako kila siku maana uko safi sana
Hii show Kenya tumeikubalii sanaaa🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙌🙌🙌🙌🙌
Yani hii combination ni konyo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Eliud na Uswege ni wehu nyieeee 🙌🙌
😂😂😂asanteni kwa kunipa nafasi ya kutumia bando langu, keeping the forgotten music alive 💃🏾💃🏾😂 bigup🥂🥂
Jamani uswege usiishie kati twende nayo hadi fanal🔥
Kazi nzuri kwakweli ila ongezeni kama steps za mtu anaeingia. Zisikike 💪😍🔥🔥🔥🔥🔥
Tumaini Wazo lako litafanyiwa kazi, s/o to U btw big-up kwa niaba ya @BofloStarSeaech @BSS @uswegeMurderer @McEliud @ComicNiggazWW
Eti wakitoka wa Tanga wanakuja wa Hindi watanga raha sana 📌🔥🌚tuimbie za sharukani😂😂😂
😂😂😂🌚🌚
Hahahaaa... Majaji bhana,, Kwahiyo Akina Bamdogo (Wagosi wa Kaya) , Dog Man Na Falsafa Ndio Mmewaacha Tanga..!!?🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂 #BofloStarSearch 🙌🙌🙌😁😁😁😁😁 #McEliud & #UswegeMurderer 🇹🇿🎤🎥🎬📺💥🔥💥🔥
Twende moroggoro ntacheka saana I can't wait to watch next episode Big up
Nilikuwa nasubiri hii kwa ham San jameni
Eti sema unachotaka mamy😁😁 nimecheka jamni
Yani majaa hata bando mkibeba gb nzima kwangu fresh t😁😁😁
Kazi nzuriii,, hakika hiki ni kipaji mmbarikiwa aiseee 😘😘
Et unae muita mamy ninani😂😂😂😂
Naongea na ww🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ela sio 🙈🙈
Eliud...kaumia kwa kweli nimechek had nimelia😂😂😂😂😂😂😂
Nami sijachelewa leo❤️
daah angeongezeka #NDARO hapo🔥🔥🔥🔥🔥
Ila mnafanya kazi sana 😂😂😂 vijana wangu. Big up sana
Libaki kwa faida ya mkoa 🙌🙌😂😂
Love from Burundi 🇧🇮
Sijawahi comment kweny hii page but leo nimecheka sana hususani kipengele cha mwana FA 😅😅😅🙌🙌🙌🔥🔥🔥
Yaani uswege hujawahi niangusha 🙌🏾
Nimependa kipindi hiki na huyo mwenzio we acha tu 😂❤️
Continue the idea guyz naisi nimepata chakuangalia youtube
Nimeanza kucheka kabla hata sijaanza kuangalia 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂tumekua wawili
this is very cool, you have arranged it really well, congratulations for a good job, I wish the region you are following will be the best for mc eriud😂😂😂😂
NAWAKUBALI bhana
🤣🤣🤣
Tunaomba na mwanza 😂😂
Mwana FA katishaaaa😁😁😁🙌
Mm nataka Uswerge uende Mwanza pllzz 😂
Nimecheka sana 🤣🤣🤣🤣
This should be on tv station
Nice work n akil kubwa sana mnatumia
Nakukubari sana bro Uswege una talent ya uchekeshaji kabsa 👍
Usweger naona umevaa uhuusika wa salama kbsa 🤣🤣🤣
Eliud ghaaaaiiii 😹😹😹😹😹 mtabaki Tanga kudumisha mapenz
Eti wanadhani sisi TAMISEMI 😂🤣🤣🤣
Great content!!
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 Kwa sheta nime cheka nyie daaaaar
Good talented big up Uswege Murder & Mc Eliud
Nimecheka nusu kuzimia, Tanga kumenogaa 😂😂😂
😂😂😂😂 hela sio nini
Uswege fanyeni mpango wakubadiri nguo mana mikoa yote jamani😂😂🤐🤐
tajir wa mahaba kawapiga mabusu wote hana mzaa🤣🤣🤣🤣🤣
Nakupnda sana Uswege😍
Hii ya mbunge wangu wa muheza Kwa kweli nimeikubalii sanaaa. Nyie ni nomaaaaa
😂😂😂tamisemi😂😂😂 bamdogo
😂😂😂😂 eti linataka kucheza na mm kuch Kuch ho tae
Dah ila hawa jamaaa nawaombea2 mungu mfike mbali 😂😂😂😂😂
Kuchikuchi hodaheee
shetta ni familly danger😂😂😂😂
Wakwanza leo
🇰🇪🇰🇪💕💕💕🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Luv it
🤣🤣🤣🤣
Mbavu zngu jamaan
Nanba like zangu eliud samwel
Eliud eliud +king uswege=🔥🔥
Apo kwa Diva Na MB dogi😂😂😂😂😂😂😂
Wakwanza leoo hiii.A
Kubwa zima unaogopa nududu😂😂😂
Aseeee Apoo baadae navolala nitaangalia vizuri
Uswenge on fire 🔥🔥🔥🔥🚒
Nimecheka hapo kwenye lulu diva 😂😂😂
Kujua alichelewa kuingia lakin uswege sas mmmmhhh ety anaend dar nimechek atariiii😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣Safi Sana wazee wa kazi
Hiii chemistry 🔥🔥🔥
The first
Hahaaaaah hiikiboko uswenge ninakafuatilia sana mupo vizuri nipo tng
Eti kuch kuch hot ae 😂😂
Bora hata hiyo kuliko zecomedy
Unanukia karafuu umekuwa pilau wewe😂😂😂😂
Bas wote wa kwanza leo
Mwana FA kauwaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼
Mwana FA sio pwaaaaa😂😂😂😂
Boflo tabora mnaenda lini jamni
Mbavu zangu 😂😂😂
Apo kwa falsafa sasa 😂😂😅😅😅
Mtakuja kuvunja mbavu zetu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌
Eliudi wetu unajua saana na ndugu yetu uswege
😂😂😂😂😂😂nmecheka sanaaa
Ety wamemjazaa tu hamna lolote🤣😂😂😂
😂😂😂Niwe tu mkweli hii comedy Eliudi kaichangamsha. Alafu Sasa nyie badala mmalize kabisa kabisa Kanda ya ziwa mlikuwa kigoma tena mmeruka pwani mnatumia fare vibaya next Mwanza 😂
My dad's name is uswege😂😂 but he's not stubborn like you uswege 😂
Jmn iyo mapokez mnapozungusha izo Macho uwiii😃😃😃😃😃
Jamani mm napenda sana mm mnanivunja mbavu.big up sanaaaaa
Kawigi kame jiviliga
Tuliache kwa faida y mop🤣
Apa naona fainal kigoma na Tanga napenda sana uswege mc eliud umetisha Kwenye hii vzr sana mnatupa kilicho safiiiiii
My best comedian uswege haukeli wala Hauboi kaka
Mmetishaaa hhh
Hahhahahha ! Hela sio matak*
Ela sio matraqoo kwamba Kila mtu anazo😂😂😂
😂😂😂😂😂 Huyu Eliud Chenga
Vichwa vya moto hivi
Chifu jaji 😅😅😅😅... Bomba la idea hii kitu
Mnanfulahisha nyi wehu
😂 😂 😂 😂 😂 Uswege Huja wahi angusha mashabiki zako qaqeeek ume tisha sana
Brain yako iko vizuri kuwaza tofauti😁😁😁😁
🤣🤣🤣🤣🤣Dog man daaaah