PETER MSECHU NA MJENGO WAKE WA KIFAHARI, AFUNGUKA ALIVYOJENGA KWA GHARAMA "SIUZI HATA KWA BILIONI 3"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2023

Комментарии • 810

  • @teychriss3248
    @teychriss3248 9 месяцев назад +92

    Kila binadamu ana ndoto ya kuishi kwenye nyumba kama hii na zaidi!! Hongereni sana kwa kweli!! Nimependa sana hiyo sentenso ya Mimi na mke wangu!!

    • @barakakomba6087
      @barakakomba6087 9 месяцев назад

      Hongera kwanao jua ujenzi nini tumekuelewa narudia tena hongera bro☝️👍

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 9 месяцев назад +50

    Mungu muumba wa mbingu na nchi amlinde Peter msechu na familia yake Amen.

  • @JohnPrine-ut2ni
    @JohnPrine-ut2ni 9 месяцев назад +26

    Dah bro peter ameniinspire sana MUNGU ambariki tusiache kupambania ndoto zetu siku zote

  • @matronmalimali6809
    @matronmalimali6809 5 месяцев назад +12

    Msechu Nyumba yako ni nzuri sanaaa kuliko ya Mwijaku Msechu nakupa mauwa yakooo 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤

    • @seifsaid845
      @seifsaid845 4 месяца назад

      Both houses are nice, ya msechu 1, mwijaku 2, aristote last. Am an architect and engineer but aristote has over used materials. one secret about house, white and black colour is the best

  • @salimmwabundu958
    @salimmwabundu958 9 месяцев назад +32

    Mungu nibariki nguvu na mm niweze miliki kama hii naamini inawezekna ilimradi napambana...Hongera sana Msechu

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428 9 месяцев назад +27

    Hongera Mr*Mrs Peter Msechu endeleeni kumcha na kumpenda Mungu

  • @mimihuyo8239
    @mimihuyo8239 9 месяцев назад +22

    Kila mtu anatamani kuishi kwenye nyumba nzuri tena aliyoijenga mwenyewe. Hongera sana Peter na Mkeo kweli mmeweza

  • @monikamasasi7582
    @monikamasasi7582 9 месяцев назад +20

    Mungu akubariki wewe na family yako,mke wako umempa nafasi tunayo ithamini wanawake wengi ana bahati kupata mume kama wewe,ndoto zanu zimetimia kwa kishindo na kutuacha mdomo wazi big congrats bro

  • @Fx_expertmoneymaker001
    @Fx_expertmoneymaker001 9 месяцев назад +29

    Msechu umenifanya nijifikirie mara mbili mbili... 💪

  • @joshuamwaisaka1839
    @joshuamwaisaka1839 9 месяцев назад +51

    Thats awesome. Hongera BIG Peter kwa kujenga nyumba nzuri. You have spoken important things to wasanii

  • @devissyprian1526
    @devissyprian1526 9 месяцев назад +12

    Bwana Yesu awasaidie mkae salama mpaka muishi miaka 99 mkiwa pamoja Bwana awalinde

  • @Isynick
    @Isynick 18 дней назад +1

    Mungu akubariki sana Peter Msechu kwa vile unavyomthamini mke wako.

  • @tunkuh661
    @tunkuh661 8 месяцев назад +8

    Ninavyopenda mambo ya nyumba na makazi Mungu mwenyewe anajua... Niwape hongera Mr & Mrs kwa kufikia malengo mliojiwekea hii ndio maana ya ushirikiano wa wanandoa.

  • @rahmahabibu4727
    @rahmahabibu4727 9 месяцев назад +42

    Napenda msechu anavompa kipaumbele mke wake napenda sanaaaaa❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️ na mungu awabariki

    • @amanimanase8798
      @amanimanase8798 9 месяцев назад

      VIP na ww nianze kukupa priority

    • @lucymoshi6866
      @lucymoshi6866 9 месяцев назад +2

      Aisee hii ni ya kuigwa jilindeni ombeni sana hili lisiondoke kwenu na shetani asipate nafasi hongereni

    • @rhodachristopher4398
      @rhodachristopher4398 9 месяцев назад +1

      ndio maana wanafanikiwa

    • @sskondopoleani9616
      @sskondopoleani9616 9 месяцев назад +1

      Wanaume wengi waliowaamini wake zao na kuwashirikisha kwenye mambo ya maendeleo ndani ya familia Trust Me *WAMEFANIKIWA*

  • @victormbekomize8154
    @victormbekomize8154 9 месяцев назад +38

    Kuna watu hawaamini katika Mungu;Msechu waoneshe kuwa MUNGU anaishi ndani yetu.

    • @peterdavid4230
      @peterdavid4230 9 месяцев назад +1

      Amina Mungu anatenda sana ukimuamini

    • @user-zs4qz4wm2n
      @user-zs4qz4wm2n 9 месяцев назад

      Wewe lala usijitume uone kama Mungu atatenda au wasubili wagalatia watende😂

  • @lucmpangaje8727
    @lucmpangaje8727 9 месяцев назад +50

    This man is a role model to many 😍😍😍❤️❤️❤️

  • @255kwetu8
    @255kwetu8 9 месяцев назад +10

    Msechu binafsi mmeniinspire sana wewe pamoja na mkewe.Kupitia hii nyumba nami naweka malengo ya ujenzi.2030 nitawaita millardayo kwenye nyumba yangu.😊😊

  • @gradnessshitindi3694
    @gradnessshitindi3694 9 месяцев назад +5

    Mme wangu Shitindi tutegemee nyumba kama hii miaka ijayo.. acha tumuombe Mungu uzima,,, hongera sana Mr and Mrs msechu🥰

  • @user-ex4jv5uz9w
    @user-ex4jv5uz9w 9 месяцев назад +19

    Congrats father Msechu kwa kufanikiwa kumilik chako

  • @ldavis7753
    @ldavis7753 2 месяца назад +1

    Yaan Msechu kanifanya niache kuwaza kujenga ghorofa very classic home❤

  • @sky-wz5zi
    @sky-wz5zi 9 месяцев назад +4

    Namuelewa sana Msechu namna anavoelezea kwa hisia, namuelewa vzr sana. Mungu nakuomba uniinue kiuchumi na unipe hekima pia niweze kufika hatua hii. Kwa jina la Yesu.

  • @elizabethkimaro4443
    @elizabethkimaro4443 9 месяцев назад +27

    Kwenye kila maendeleo ya mwanaume kuna mwanamke nyuma yake❤ umechagua fungu lililo bora
    Hongera sana na Mfike mbali🎉

  • @Chalsbanks
    @Chalsbanks 9 месяцев назад +16

    Power!!
    I'm inspired, congratulations brother 🙏

  • @beatricepallangyo2821
    @beatricepallangyo2821 9 месяцев назад +4

    Hongera sana Peter Msechu na Mkeo.., Mwenyenzi Mungu Awabariki sana na watoto wenu!!!

  • @Jacque_Fungo
    @Jacque_Fungo 9 месяцев назад +7

    Daaah he is a family man, unaona kabisa moyo wake upo kwa familia yake. Kwanini usitoboe!! Hongera sana sana. I connect to such grace. Iwe hivyo na kwangu pia 🙌🙌🙌

  • @yumbujackson869
    @yumbujackson869 9 месяцев назад +6

    Hongera sana kaka. Nimependa sana ujumbe wako unatia moyo kwa watu wengine tunaojitafta unatutia moyo na wengine kutokukata tamaa kwenye maisha big up bro🎉

  • @mamsaro28
    @mamsaro28 9 месяцев назад +5

    The house is real Nice...! Hongera sanaaa Peter na Mke wako. Amazing House🎉🎉🎉🎉

  • @AbuubakaryLyamba-pc1gp
    @AbuubakaryLyamba-pc1gp 5 дней назад +1

    Hongera Sana mungu akuzidishie zaidi na zaidi

  • @zulekha3028
    @zulekha3028 9 месяцев назад +7

    Mashllh mashallh....nyumba nzurisanasana...hongerenisn...mungu awajaalie maisha ya furaha awaepushe na hasadi za viumbe vyake..

  • @shivobs4485
    @shivobs4485 9 месяцев назад +18

    Nyumba ni nzuri sanaaaaa yaaani sanaaaaaa

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 9 месяцев назад +4

    Nadhani huyu ndio msani alie heshimisha sana yake.
    Ongera sana brother umenipa usongo na wivu wa maendeleo.
    Big up brother
    Heshima yako.

  • @rosejeremy9484
    @rosejeremy9484 9 месяцев назад +10

    ishi kwenye ndoto zako big up umeua congratulations

  • @felistalesulie2933
    @felistalesulie2933 9 месяцев назад +9

    Be blessed my brother. Soo inspirational😊

  • @nicolenabintu2509
    @nicolenabintu2509 9 месяцев назад +22

    Mfano wa ku igwa , felicitations Piter 🌷🍂🙏🏾🔥

  • @williammsilu8617
    @williammsilu8617 9 месяцев назад +27

    Honestly, I love every in this house. Nice achievement my brother.

  • @immanuelmruma-nr8kl
    @immanuelmruma-nr8kl 9 месяцев назад +9

    Hongera sana peter Msechu you deserve to be a role model

  • @SharifaOman-bf1bn
    @SharifaOman-bf1bn 9 месяцев назад +8

    Alhamdulilah. Mungu awajalie na familia yako

  • @biasharaonline693
    @biasharaonline693 5 месяцев назад +4

    Wanawake wa saivi anataka akija akute ushajenga mjumba, una magari yeye aje na jibegi lake la nguo tu aingie ndani😅 hawatutaki tukiwa tuna hussle ili tupambane pamoja, hadi tufanikiwe ndo wanajileta

  • @pascalntandu1217
    @pascalntandu1217 9 месяцев назад +10

    Hongera Brother na family yako;nyumba nzuri.

  • @salimbilali5174
    @salimbilali5174 9 месяцев назад +1

    Mfano WA kuigwa Kwa Peter msechu from wasanii to watu WA kawaida.... Peter msechu ❤❤❤

  • @TM.Sullusi
    @TM.Sullusi 9 месяцев назад +6

    Napenda mama Lolo anavotumia maneno "Tulifanya, tulikusanya, etc". UMOJA NI NGUVU.

  • @twalebleboss9687
    @twalebleboss9687 9 месяцев назад +4

    AMAZING..... !!! MAASHAALLAH

  • @selemanmaganga-le4zg
    @selemanmaganga-le4zg 5 месяцев назад +1

    Mume kapata mke na Mke kapata mume" ongeleni saana, Ehee Mwenyezi Mungu wajalie hawa wajawako maelewano na upendo endelevu sikuzote za maisha yao, uwaepushe na kila lililokinyume nao, furaha ya huyu ikawe kwa huyu na furaha ya huyu ikawe kwa huyu pia na familia yao" Amen.

  • @hamenyayohanakasase5836
    @hamenyayohanakasase5836 9 месяцев назад +2

    Kwa kweli hata mimi nimejifunza kitu hapo. Hongereni sana Bw. & Bibi Msechu.

  • @dwiny7841
    @dwiny7841 9 месяцев назад +11

    Wapi baba levo😂😂😂😂😂😂😂😂Congrats🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Msechu

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 9 месяцев назад +1

    Ma sha allah. Namuomba Mungu akujaalieni iwe nyumba ya furaha na amani. Na mzidi kuelewana.🇹🇿🇴🇲

  • @naomihaika538
    @naomihaika538 8 месяцев назад +3

    Congratulations Mr. Peter...you truly are a role model

  • @VeronicaMwilombe
    @VeronicaMwilombe 4 месяца назад +1

    Watoto na mke part wanavyogombania remote ya a/c n.k 😢 I felt that father's joy

  • @user-rk4xy5ii6i
    @user-rk4xy5ii6i 9 месяцев назад +1

    Hongera kakaangu mungu ampe maisha marefu ufanye mengi zaidu ya hayo .usitulie useme umemaliza manaume nikupambana hongera kwa mkewo mshauri wa familia❤

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 9 месяцев назад +6

    Kuazia sasa ngoja niwe kalibu sasa na mkewangu kwastaili apana ubabe naweka pemben kuazia leo asante msechu

    • @paulojoel6551
      @paulojoel6551 3 месяца назад

      Na uyo mke wako awe na akili sasa

  • @hasani565
    @hasani565 9 месяцев назад +4

    Bonge moja la nyumba congratulations msechu family ❤

  • @happyfaniabatromeo8010
    @happyfaniabatromeo8010 9 месяцев назад +1

    Safi Sana🔥🔥🔥tujifunzee ❤️❤️ Hongereni sanaaa na MUNGU awape mda mrefu wa kuishi kwa nyumba yenu🔥🔥🔥🙏🙏🙏

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 9 месяцев назад +1

    Aristote naye alisema ana nyumba eeeeh😂😂😂😂😂basi sawa
    MashaAllah 🎉🎉pongezi kubwa kwa hii family,MashaAllah 🎉🎉🎉

  • @user-lo9pb1po8l
    @user-lo9pb1po8l 9 месяцев назад +1

    Hii ni zaid ya nyumba,mara nyingi huwa naona kwenye kideo hasa mijumba ya dubai❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 9 месяцев назад +7

    Hongera sn Peter na Mkewo Mungu awatunze na kuwabariki zaidi.❤

  • @TECHTZTV
    @TECHTZTV 5 месяцев назад

    Nimekuwa inspired sana na hii kitu kwa uwezo WA mungu siku moja nitakuja kuishi sehemu yangu mzur hataka kama isifikie hii ila angalau namm nitakuwa nimetimiza ndoto yangu..hongera sana peter msechu

  • @marianajohn5415
    @marianajohn5415 9 месяцев назад +21

    Hongera sana Peter! Watakao kubeza hawana akili! Funzo kubwa heshimuni sana wake zenu na muwashirikishe kwenye maendeleo! Mungu azidi kukuinua Peter na mkeo kipenzi mama lolo

    • @konshazikonsha6180
      @konshazikonsha6180 9 месяцев назад

      Sio kila mke au mwanamke ana akili kama za mama Lolo ujuee!!!

    • @judicalosika7642
      @judicalosika7642 5 месяцев назад

      ​@@konshazikonsha6180Sahihi mzee

  • @gabrielkokolo4251
    @gabrielkokolo4251 9 месяцев назад +5

    Wow that's awesome, big up kwake

  • @priscillatumwesige4525
    @priscillatumwesige4525 9 месяцев назад +1

    Hongereni sana .Hii ni mala ya kwanza kutoa comm.Nakumbuka mlivyojitoa kwa KUMWIMBIA Mungu Kkkt enzi hizo usharika wa kigoma mjini , kuanzia Baba,mama na Watoto.Haya ASANTE MUNGU ANAJIBU.WEWE UKUMBUKI MBEGU ULIYOIPANDA KWA MUNGU.SALUT

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 9 месяцев назад +9

    Hongera sana Bro, Mashallah 🙏

  • @10gb27
    @10gb27 5 месяцев назад

    Mungu akunariki sana Peter. Kila anajenga but damn, beauty ya nyumba yako niyakipekee. Clip imeonesha nje tu inakufanya mtu utake kujua ndani kutakuaje. InshaAllah nami soon im following your steps🙏🏾🙏🏾

  • @BurtonSon
    @BurtonSon 9 месяцев назад +19

    Blessed Brother you and your family..

  • @thescop1003
    @thescop1003 9 месяцев назад +162

    Kwenye mambo ya kipuuzi utakuta comment 10000. Ila kwenye vitu kama ivi unakuta tano. Tuuzwe tu😅

    • @Chiruka-qj3eb
      @Chiruka-qj3eb 9 месяцев назад +13

      Unadhani watu wanapendaga maendeleo ya watu ingekuwa connection hapo ndo ungeona wasingelala leo😂

    • @msbeckie4693
      @msbeckie4693 9 месяцев назад +2

      😅😅😅

    • @directorabiero340
      @directorabiero340 9 месяцев назад

      Ww ndie unaona upuuzi mwenzako kufanikiwa. Fanya kama vile unajenga Yako milady ayo aje akutangaze tu like

    • @Official83640
      @Official83640 9 месяцев назад +1

      Tumemchoka na yy kila leo hatupumui nyumba nyumba kina Kiba kina Samata wana mijengo ya maana mbona hatuoni wakijitapa kila leo huyu Muha ni mshamba na km hujui huyo anatangaza biashara ya hao waliojenga hiyo Nyumba upo TT

    • @automotivetz1275
      @automotivetz1275 9 месяцев назад

      @@directorabiero340hujamuelewa

  • @devotamutayoba9373
    @devotamutayoba9373 9 месяцев назад

    Hongereni sana Mr $ Mrs Msechu,hakika huu ndo umoja na mshikamano unaotakiwa kwenye ndoa.
    Haijalishi mnapitia changamoto zipi lkn mme akimpenda,kumthamini,kuwa muwazi na kumheshimu mke,kwa vyoyote vile mke atamtii mume wake na maisha yataenda vizuri

  • @diipesa
    @diipesa 9 месяцев назад +2

    MIMI NAONA NI BIG INSPIRATION KWA SISI VIJANA TUNAO AZA MAISHA NAKUKUBALI SANA BRO MSECHU ONE LUV🤝

  • @ismailmussa5662
    @ismailmussa5662 9 месяцев назад +1

    Mashallah safi sana msechuu, with the help of Almighty God under the sun nothing impossible brother

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 9 месяцев назад +12

    Hongera peter ni msanii mwenye akili ya kimaisha

  • @femidayahaya4882
    @femidayahaya4882 9 месяцев назад

    MashaAllah! Hongera sana Brother Peter Msechu.

  • @user-xn7oc4qu2m
    @user-xn7oc4qu2m 4 месяца назад +1

    Safi sana Mr msechu Mungu akikubariki lazima ushukuru na kufrahi Hongera sana nanimejifunza kitu kutoka kwako na mm nitaanza kumbe inawezekana kumiliki nyumba ninayo itaka natakiwa kuwa na nidhamu ya pesa

  • @exaverykalinga1487
    @exaverykalinga1487 9 месяцев назад

    Nyie ayo tv safi sn hizi ndo habari na hongera sn peter msechu umeonyesha mfano kwa vijana na wasani kwa ujumla....big up.

  • @elinajacksonharusha7155
    @elinajacksonharusha7155 5 месяцев назад

    Hongereni sana kwa kupambania ndoto zenu. Nyie ni watu na nusu na Mungu awajaalie ndoa yenu idumu, muwe na furaha na amani siku zenu zote.

  • @rosehillary8742
    @rosehillary8742 9 месяцев назад +1

    Jishaue Peter na mkeo ...Enjoy baba...tamba tamba sana...kimfaacho mtu chake. Usisikie ya watu Peter..Una nyumba nzuri nzuri sana. Nzuri mno

  • @m___ck799
    @m___ck799 9 месяцев назад +9

    Amazing 👏

  • @zulfahussein6784
    @zulfahussein6784 9 месяцев назад +5

    Kwakweli hongereni sana na Mungu awabariki kumiliki nyumba ni jambo na khey sana

  • @EuniceMwanri-jw9py
    @EuniceMwanri-jw9py 9 месяцев назад +2

    Congratulations brother.. everything is God 🙏

  • @magrethmathayo2800
    @magrethmathayo2800 9 месяцев назад +6

    waoooo hongera sana msechu

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 9 месяцев назад

    Woow Peter Msechu. Big up aisee. Umenitamanisha sana bro. One day

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 9 месяцев назад +1

    Mbarikiwe saana, Mungu Ni mwema Saaana wakati wote

  • @edwardfaraji1133
    @edwardfaraji1133 9 месяцев назад +3

    Hongera sana Munene mwenzangu...

  • @PasweloJr
    @PasweloJr 9 месяцев назад +1

    Hongera sana Msechu nimekuwa naku admire toka enzi za Tusker Project Fame.Umekuwa mfano wa vijana wengi na hii ndo maana halisi ya kuwa kioo cha Jamii

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 9 месяцев назад +26

    Congratulations to them ❤❤

  • @ZeDestroya
    @ZeDestroya 9 месяцев назад

    Hongera sana kaka!!! Mungu akuongezee!!! True Hustler!!!

  • @sulleymanjimmy2214
    @sulleymanjimmy2214 9 месяцев назад +5

    Hongera sana bro I appreciate you for this 👏👏👏

  • @user-pb5df7hs1o
    @user-pb5df7hs1o 5 месяцев назад +1

    Safi sana unaongea Kwa hekima hongera sana

  • @ebenezermachange-zp4es
    @ebenezermachange-zp4es 9 месяцев назад

    Amen..mmefanya vizuri..Mungu azidi kuwabariki

  • @judicalosika7642
    @judicalosika7642 5 месяцев назад +1

    Msechu, hakika suala la mke,
    Ampatae mke mwema amepata kitu bora sana
    Umepata mke, Ubarikiwe.

  • @user-wk1ix1gm1p
    @user-wk1ix1gm1p 9 месяцев назад +1

    Hongereni sana Mr and Mrs Msechu 👏🏻👏🏻

  • @juliethmziray
    @juliethmziray 5 месяцев назад

    Hongera mama Lolo mpende sana mumbo kama anavyokupenda daa !! Mungu awesome nanyi daima❤❤❤❤❤❤❤

  • @ndinhesyaasukenie1014
    @ndinhesyaasukenie1014 9 месяцев назад

    Peter congrats ishi maisha yako, enjoy yourself, above all mjue sana MUNGU!

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 9 месяцев назад

    Wow hongera Sana Mr &Mrs msechu umepambana Sana kaka yangu m/mungu azid kukulinda

  • @rennyleo4874
    @rennyleo4874 9 месяцев назад +1

    Good job ❤ Mungu azidi kuwabariki muongeze na zingine

  • @juliuskalawa7860
    @juliuskalawa7860 9 месяцев назад +1

    Hongera kwako Brother Peter pamoja na Mke Mwema uliye naye...

  • @dorisfabian4776
    @dorisfabian4776 9 месяцев назад +4

    Nimependa kwakweli ❤

  • @edwinedward5352
    @edwinedward5352 9 месяцев назад +2

    Msechu icho sio kido nikikubwa sana na umenifulaisa mno kwa jinsi unavyo penda familia yako mungu akubariki Sana🙏🏾🙏🏾

  • @rodgerushindi85
    @rodgerushindi85 9 месяцев назад +2

    Congratulations, The house aise ni kali sana

  • @AbuubakaryLyamba-pc1gp
    @AbuubakaryLyamba-pc1gp 5 дней назад +1

    Waooooo nakuelewa Sana broo

  • @AbuubakaryLyamba-pc1gp
    @AbuubakaryLyamba-pc1gp 5 дней назад +1

    Nakuelewa Sana broo na nmejifunza Mambo mengi Sana kwako

  • @Combinemedia7569
    @Combinemedia7569 5 месяцев назад +1

    You have inspired me alot brother,,may God bless you

  • @mercycitungo1968
    @mercycitungo1968 9 месяцев назад +2

    Hongera sana sana Mr and Mrs Msechu.

  • @petrochundu9702
    @petrochundu9702 9 месяцев назад +1

    Hongeren sana kwa kazi nzur