TOP 10 MASTAA WENYE NYUMBA ZAO WALIZO JENGA WENYEWE WASANII MATAJIRI 2024
HTML-код
- Опубликовано: 5 янв 2024
- #wasaniimatajiri #TOP10 #matajiri
WASANII 10 MATAJIRI ZAIDI TANZANIA 2023/2024 LIST RASMI IMETOKA
TOP 10 MASTAA WALIO ACHANA VIBAYA NA KUTOLEANA SIRI ZA NDANI ZARI/LUKAMBA/RAYVANNY/HARMONIZE/KAJALA
#lukamba #cecy
TOP 10 COUPLE BORA ZA MASTAA NA WAPENZI WAO NA UMRI WALIO PISHANA 2022 - 2023 EAST AFRICA
TOP 10 WASANII MATAJIRI BONGO 2021 2022 WANAO INGIZA PESA NYINGI LIST RAMSI IMETOKA
MASTAA WANAWAKE 10 WENYE WATOTO CHINI YA MIAKA 25 SUPER WOMAN
WANAWAKE 10 MASTAA WENYE SIMU ZA BEI KUBWA AFRICA MASHARIKI UTASHANGAA
TOP 10 YA MASTAA WAKIKE WANAO FANANA KILA KITU MAPACHA
WANAWAKE MAARUFU 10 MASTAA WENYE LIPS NZURI TANZANIA
TOP 10 ya Watoto wa mastaa wanaotikisa Instagram Bongo
TOP 10 MASTAA WAIOFANYA SURGERY KUBWA EAST AFRICA
TOP 10 MASTAA WA KIKE WAZURI ZAID TANZANIA/WASICHANA 10 WENYE MVUTO ZAID WA SURA NA SHEPU TANZANIA
MASTAA WANAWAKE 10 TANZANIA WAZURI NA WENYE UMRI CHINI YA MIAKA 30 TOP 10
WANAWAKE 10 MASTAA WENYE MAKALIO MAKUBWA TANZANIA
MASTAA 10 WA KIUME WENYE SURA NZURI ZAID TANZANIA/TOP TEN WASANII WA KIUME WENYE MVUTO ZAIDI
TOP 10: LISTI ya WASANII Wanaojua KUTUPIA NGUO za GHARAMA na KUPENDEZA BONGO...
TOP 10 Wasanii Ma Handsome ZAIDI Tanzania (Handsome Boy) Part 1
TOP 10: MASTAA 10 WALIOINGIZA PESA NYINGI DUNIANI KUPITIA INSTAGRAM 2019
TOP 10 WAREMBO MASTAA WASIOZEEKA EAST AFRICA
TOP 5 (FIVE) YA WATOTO WA MASTAA WANAOPENDEZA ZAIDI TANZANIA
MASTAA 21 WA KIKE WAZURI ZAID TANZANIA/LIST YA MASTAA WANAOONGOZA KWA UZURI NA MVUTO ZAID TANZANIA
TOP 10 YA MASTAA 10 WAIGIZAJI WENYE UMRI CHINI YA MIAKA 40 WENYE MVUTO NA UZURI
UTACHEKA! WAREMBO BONGO WANAVYOONEKANA BILA MAKE UP 😂
WASANII KUMI BORA BONGO MWAKA 2020 ..TOP 10
Top 10 Mastaa wenye Ushawishi zaidi Tanzania
LIST YA WAREMBO 10 BORA TANZANIA| ZUCHU ASHIKA NAMBA.. AMBERRUTTY GUMZO|BEAUTIFUL LADIES IN TANZANIA
MASTAA WANAWAKE 13 WAZURI EAST AFRICA 2020 - 2021
LIST YA WASANII 10 MATAJIRI AFRIKA MASHARIKI
MASTAA 10 WA KIUME WENYE SURA NZURI ZAID TANZANIA/TOP TEN WASANII WA KIUME WENYE MVUTO ZAID
WASANII KUMI WENYE MADEMU WAZURI ZAIDI TANZANIA ❤
WATOTO 10 MAARUFU TANZANIA, MTOTO WA KIBA AWEKWA KATI NA WATOTO WA DIAMOND PLATNUMZ,
WASANII 10 WAKIUME TOP 10 WANAO ONGOZA KWA KUVAA VIZURI EAST AFRICA
WASANII,MASTAA 20 WANAOMILIKI NDEGE ZA KIFAHARI ZAID DUNIANI HAWA APA/LIST YA MASTAA WENYE NDEGE
List ya Warembo kumi bora Tanzania ❤️( Top 10 most beautiful Tanzanian celebs
WASANII 10 WA KIKE WAZURI ZAID TANZANIA HAWA APA/ MASTAR WAREMBO ZAID KWA SHEPU NA SURA ZA KUVUTIA
LIST YA WASANII MAFREEMASON WAKUBWA TANZANIA/WASANII KUMI WACHAWI KULIKO/LIST YA WASANII ILLUMINATE
TOP 10 MPYA YA MASTAA TAJIRI ZAIDI DUNIANI HII HAPA.
TOP 10 MASTAA WANAOONGOZA KWA FOLLOWERS WENGI INSTAGRAM MWAKA 2021 TANZANIA
UTASHANGAA WASANII 15 WANAO ONGOZA KWA KUVAA VIZURI NA KUPENDEZA TANZANIA
MASTAA 10 WENYE MKWANJA MREFU BONGO!
WATOTO WA MASTAA WATAOSUMBUA VIDUME
Top 10 ya mastaa waliowahi kukiri kuwa Messi ni bora kuliko Ronaldo
LIST YA WATOTO WA MASTAA KUMI WANAOJUA KUVAA NA KUPENDEZA
TOP 10 List ya wasanii Matajiri ZAIDI Kuliko Wote Duniani Mwaka 2021 | 2022
TOP 15 Majina Halisi Na Miaka Kamili ya Mastaa Kutoka Tanzania
WASANII 15 WANAOJUA KUONGEA ENGLISH TANZANIA HAWA APA/MASTAR 15 WANAOJUA KUONGEA KIINGEREZA ZAID
MASTAA 10 WAREMBO ZAIDI AFRIKA MASHARIKI-2020/ TOP 10 MOST BEAUTIFUL CELEBRITIES IN EAST AFRICA.
HAWA ndo WASANII 5 wenye MAGARI YA KIFAHARI Tanzania
JEURI YA PESA! Jionee Mastaa 10 Wanaomiliki Ndege Binafsi - Видеоклипы
mond ana nyumba kibao labda km umekuja jana mitandaoni
Kajenga wp
Ardhini
Madale zipo tatu
Not true
Mondi ni limbukeni tu, ana nyumba wapi wakati anapangiasha????
Mwenyezi mungu na Mimi naomba siku moja nimiliki ghorofa
Simba ni noma pambana baba mungu yupo pamoja nawe kaka yetu wanaokuchukia niwakuchukie tu yote nikwavile unapambana na huwajibu upo kimy so kimy chako kinawauma
Platnumz hatari,,we are proud of you
Eeee yesu kiristo uliyeniumba mimi Remidiusi ponsiani bolingo nakuomba na mimi siku moja nimiliki nyumba nzuri nakuomba pia,siku moja na Mimi niweze kuendesha magari yangu kikubwa zaidi amani na furaha katika familia yangu vidumu waongezee zaidi pia,walionavyo🙏🙏🙏🙏 na ambao awajabarikiwa wabarikie amina
Amina
Mashindano ya mijengo nimeyafurahia ,wasanii wetu Sasa wameelemika nawapongeza wote na Wana majumba yenye hadhi wote
Kipekee nimpongeze Mwijaku ,amenifurahisha sana ,anapambana sana ,hongeraaa sana
Nyumba ya Jux na Kenzo zina style nzuri sana za kileo mpaka decoration za ndani
,🙏
Ee mungu naomba siku moja na mimi ni miliki ghorofa
Inshallah 🙌🙏
Namshukuru Mungu mimi sio masanii ila ninalala juu Mungu ni wetu sote amen
Inshallah 🙏🙏
Omba umiliki gorofa mbinguni
Pambana tu
My God help us
Namukubali sana Simba
Rayvanny
Mungu wangu anijalie na mimi pia niwe miongon mwao napenda nyumba nzur nipate na mme mwenye machungu yamapambano
Aaaaaaa usiwazee ushampata na ombi lako limetimia sisterrrr
Mwijaku hongera sana
Much love from Kenya guys like back❤
Muonekano tu wa Nyumba ya msechu ni the best
Kabisaa
Ee Mungu naomba siku moja na mimi nilale gorofani🙏❤️❤️❤️
Usijali muamini mungu
Amen
We utalala leval 1 na mavi
Kway armonize ana nyumb et
Hivi Alikiba nyumba yake iko mitaa gan. Tuwape mauwa yawo wameweza 💐💐
Tabata
@@NDIZIMEDIA0:0 0:00 0
Tabata
Aristote chawa Mwijaku chawa
Nyumba ya msechu ni kali sanaaàa, finishing kali mnoo, garden kali sanaaa
Garden ya msechu hat mm 💯
daaa kunawatu mungu kawajalia pesa
❤ list imetulia sana wcb for life 🔥
Namuombea dua kipenzi waa watu Ally, Ali kiba,azidi kupambana wadharirike maadui zake
Awuna kili kbx umesahau jeshi
Naomba muwe mnatuonyesha nyumba za kisasa za zamani hatutaki, msechu toto la kigweno umetisha nyumba yako niya kisasa garden safi, Aristot hongera ya kisasa, kenzo ya kisasa, hongera, Jux ya kisasa hongera, ❤
sasa walojenga zaman wabomoe au sio 😂
MashaAllah
Naomba njia uliyotumia kupata sample yako na uhalisia wa kiini cha utafiti wako.Nasema hv maana husemo hata wapi nyumba hzo zipo,actual size ya mijengo hyo na vitu vingine kitaalqmu yaani fully siasa.Wengine tunaishi nao Mbezi
E Mungu wangu nijalie afya njema pamoja na familia yangu
Eeeeeh mungu wangu namimi Siku moja ni imiliki gorofa kabambi😢😢😢
Wolper, kiba, mwijaku ❤❤
Harmonize kaachwa wap🎉
hilo nalo swali!!
Nyumba Ya piter msechu ndo nyumba konk kwangu sijui Kwa nn
Kabisaa
Mungu tubaliki ma dj sisi mung
Kabisa 🙌✅
Mungu nisaidie nijenge nami nyumba nzur
Hongera sana joti
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ukijiwekeza yote yanawezekana dieu est toujur le grand
Jucline wolper balaa
Harmonize yupi
Aristote uwongo Mwijaku uwongo
Tunaomba gorofa badala uombe ujenge uhusiano wako vzr na Mungu hp tunapitatu uhusiana muzuri ujenge kiroho
Duuuh jux ana mtwango kama wanguu sijui kaniibia mastailiii
SIMBAAAA🦁🦁🦁🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Cmba noma cna upo vzur umekaza
Napambana nami niwe na mali zangu kikubwa uzima tu Mungu yupo
List imekata KWAKE 🔥 imetulia data nzuri
Mung 6:14
Ashukuliwee aristote, but nyumba ya msechu ni nzur sana
Diamond ni baba lao tu msumbiji 🇲🇿
Acha uongo ww mtangazaji mungu ana kuona khaaa
😂😂😂😂
👑🔥🔥
Kiba ana jengo tabata achana na iyo yajuz na ilikuwemo pia
Kiba yupo juu sana kimaisha ila ni msiri sana.
Mondi nakukubal sana we ninomaaa
Veep jeshi
Diamond ananyumba kibao ila.hapendi kuzionyesha
Kabisa
Anavyopenda show off huyo ndo ashindwe kuonyesha hizo nyumba akimnunulia cheni tu mama yake anaposti sembuse nyumba😂😂😂😂
Shoga mondi hana nyumba freemason ilinukataza
Hujui broo
sawa
Natafuta ramani ya nyumba ya jack line wolper 😊
Hapo dj Ally B mmetupiga hajajenga amepanga
Nimeshangaa sana watu tunapangwa mno😅😅😅😅
Kajenga alinunuwa akafanya malekebisho
🎉🎉😮😊
du mwenyezi mungu awatie nguvu mastaa ote wenye majumba naata wale ambao bado hawaja pata wapate
😂😂
Iyi ya diamond ni uwongo anapanga
Ana nyumba na anapanga
Mungu naomb na mm unisaidieee na mm nijenge nymba nzr
Amina
Mung naamin hat mm iko dey nitamilik yang mung anagawa kwa mafung
🙏🙏🙏
🎉🎉
Pia Mimi namiliki yangu siwezi wachwa nyumba kabisa😂😂😂 2:40
Haya hongera ndugu yetu
Hongereni wasania hayo ndiyo mashindano mazuri ya maendeleo
E Mungu baba naomba na mimi golofa
Siku za mwisho watu watashindanisha manyumba na sio ibada mambo yanaenda kasi
11:55
😂😂😂😂😂
🥰 hujawai kosea
Veep amjaon ya mwijaku au
I love it
Ay. Vipi
Vp harmonize jaman
Simba la masimba dangote
Mwaka huu naanza kujenga nyumba kama ya msechu kwa yesu kila kitu kinawezekana💪💪💪
Ameen na iwe ivyo mpnz❤
@@blasidafussy1364 🙏🙏
Amen
Amina
Kw yesu au toa jasho pambana 😅😅😅
😮
king kiba apew maua yk,ach ku2dangany broh 😂😂😂
ivi nyinyi mnazijua milioni Mia name kweli
Ee mungu na onba namiye nikuwe ingiya kathi ya ma yumba ya ma gorofa
Hongeren Sana wote mlio Jenga haijalish
Ali anagrofa Zaid ya 1 Sasa unamuekaje no 6😅
Nimungu
Harmonize nae vp
Na Mimi ipo siku
Alikiba numero 1
Uwoyaa je
Hongeren wote
Wewe mtangazaji una ngapi au unahesabu za wenzio tu
Nataman kumuona konde akiingy na yy kweny list
Machawa wa Mondi ni wengi
Aonde yupo wapi
Mond apa Kenya anajengo kubwa sana.
Wachaaa
Nashangaa mshamba unaecoment ujinga na kubisha kwenye nyumba za wanaume wenzie,, na huku umepanga vyumba vya elfu kum na 5 uko buzza kwa mpalange afu una daut ujinga
Wapi nyumba za wasanii wa hop hop
😂😂😂😂😂😂😂wengi wahuni tuu amna kituu😂😂😂😂😂
Video za mapenzi
Lakwangu njoo mlione
Mondi Kila kitu yeye no 1 kwann?