UTACHEKA MASTAA 10 WAKIKE WALIVYO KUA WADOGO KABLA HAWAJAANZA KUSHIKA PESA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 окт 2024
  • HABARI ZA KIJANJA

Комментарии • 460

  • @MsilwaKabisu
    @MsilwaKabisu 8 месяцев назад +6

    Jaman nandy chukua maua yako🎉 we mzur toka zamani❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @HamisAlly-gj3wv
    @HamisAlly-gj3wv 6 месяцев назад +3

    Nandy eeeebbwanaeeeeee nandy wewe nimzuri sana mmshukulu mungu mama kakumimina 3:35 😮

  • @princessmadaha1188
    @princessmadaha1188 2 года назад +90

    jmn awowoote wanao comment kwamba flan mbaya ni rohombaya sana Kwan binaadam wote wazur na kilamtu na uzuri wake, like iwapo upo na mm

  • @husnandumbala5214
    @husnandumbala5214 2 года назад +40

    Tunda big up yaani wewe mzuri toka tumbon mwa mama yako❤️❤️

  • @MariaCassian787
    @MariaCassian787 7 месяцев назад +1

    Tunda Ireen shishi Nandi ZARI pendeza sana wazuri Tangu enzi hizoo Paula kaziriiii. Paula ungekuwa chakula ungekuwa unaliwa na watu wenye pesa zao tu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @HamisAlly-gj3wv
    @HamisAlly-gj3wv 6 месяцев назад +2

    Nandy eeeebbwanaeeeeee nandy wewe nimzuri sana mmshukulu mungu mama kakumimina

  • @bestinakeyyah6532
    @bestinakeyyah6532 2 года назад +33

    Lulu ni de best toka kinda tunamuona hajui makeup lakn👌🏿👌🏿👌🏿👌🏿👌🏿👌🏿👌🏿👍🤙

  • @OswardBoniface-je9iv
    @OswardBoniface-je9iv 6 месяцев назад +2

    AmissA mwaaaaa ❤

  • @AgnesMakasi-wo3ut
    @AgnesMakasi-wo3ut 9 месяцев назад +2

    Nandy bhana we ni mzuri tokea mwanza sijaona❤❤❤❤❤❤❤

  • @zipporahogembo142
    @zipporahogembo142 2 года назад +23

    Nilikuwa nadhani kwamba wote ni wazungu kweli pesa ni kiboko yao😂😂😜 kuoga na maziwa🙈🙈👏

  • @julianalaizer7021
    @julianalaizer7021 2 года назад +16

    Nandy the African princess love you

  • @SuhailaYunsuh-on9gh
    @SuhailaYunsuh-on9gh Год назад +2

    Sasa hivi wote wonderfully♥️♥️♥️♥️♥️

  • @shillahmahiri855
    @shillahmahiri855 2 года назад +13

    Mm sio shabiki wa zari lakini nmekubali alikua mrembo na bado ni mrembo👌

  • @zuhurlaison
    @zuhurlaison Год назад +6

    daaaa nandy yaani wew mzuri toka tumboni mwa mama yako❤❤

  • @HauratJafar
    @HauratJafar 11 месяцев назад +10

    Zuchu ni mzuri jamani mwacheni dd yangu❤❤❤❤

    • @DanYohana
      @DanYohana 5 месяцев назад

      Jmn we nanda mzuri aisee nakupenda bure mi mdogo wake haha wa secondary ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤your beautiful

    • @DanYohana
      @DanYohana 5 месяцев назад

      Ooooh nandy ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Brayootieno-b6c
    @Brayootieno-b6c Год назад +2

    😢hapo no 1ni da pau,zari mwisho kajala❤🎉

  • @JacklineAlly-mc1jp
    @JacklineAlly-mc1jp 5 месяцев назад +1

    Jaman nandy we mung alitulia sana ww mzur tu ata iweje❤❤❤❤

  • @beatricekitapk2265
    @beatricekitapk2265 2 года назад +14

    Zarina bwanah,ndo kila kitu kwangu Nampenda saaanah,

  • @JacklineChuwa-b8l
    @JacklineChuwa-b8l 2 месяца назад +1

    Nandy your pretty good 👍 🎉

  • @ashuramhando5285
    @ashuramhando5285 2 года назад +11

    Hapo kwa Zuchu umechapia Misa wetu nambar One, P namb two, na Zar three ♥️♥️♥️🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @prisca-fridakasika6389
    @prisca-fridakasika6389 Год назад +5

    Nandy always beautiful 😍

  • @shekinahmurhububa7980
    @shekinahmurhububa7980 3 года назад +32

    Shishi was beautiful

  • @salimkitego7103
    @salimkitego7103 8 месяцев назад +1

    Wote wabaya mm mzur

  • @AlbertineMaisha
    @AlbertineMaisha 2 месяца назад

    Nandy yupo fresh tangu enzi izo ❤❤❤

  • @MiahMudy-pl1yd
    @MiahMudy-pl1yd Месяц назад

    Uko vizuri na billnas

  • @minnahhassan2229
    @minnahhassan2229 2 года назад +2

    Zuchu kavua ushungiiii😅😅😅😂😂jmni weee ustaar kweli vituko

  • @mankamallya7608
    @mankamallya7608 2 года назад +15

    Shilole ni mzuri nandi Lulu wote wazuri

  • @SofiyaNasri
    @SofiyaNasri 3 месяца назад

    Lulu mzuri asilia❤

  • @marionazei5252
    @marionazei5252 3 года назад +7

    Jaman mobeto,,,amber lulu,,Paula wangu nmcheka hasa Paula wah

  • @salmamohd8202
    @salmamohd8202 2 года назад +11

    Sasa walipokuwa wadogo oooo au walipokuwa weusiiiiii hadi mutufahamishe vizuri

    • @swahifaabdijuma2782
      @swahifaabdijuma2782 2 года назад +1

      Kwelii jamaniii😂😂😂

    • @sifatiiman
      @sifatiiman 2 года назад

      😆😆😆😂😂😂😂

    • @aishamamy
      @aishamamy 8 месяцев назад

      Pia camera za zaman na sasa tofauti mjue hiloo

  • @mwajabukaseke8710
    @mwajabukaseke8710 3 года назад +19

    Paulah nimechk ady nkajikojolea 😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @hellleinpaul1262
    @hellleinpaul1262 Год назад +6

    Woteeee wzur sanaaaaaaaa❤❤❤❤❤

  • @johnbernad3990
    @johnbernad3990 2 года назад +11

    Ilene uwoya alikua super toka zamani

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 Год назад +1

    Irene alikuwa mzuri toka. Zamani

  • @godfridatesha2219
    @godfridatesha2219 2 года назад +3

    Hongera zai mastaaa

  • @SofiyaNasri
    @SofiyaNasri 3 месяца назад

    Ndio zuchu Zaman alikuwa mzur sana ❤

  • @JovitaWinchilaus
    @JovitaWinchilaus 28 дней назад

    Nandy nakupend❤❤❤❤❤❤

  • @NasmaNasra
    @NasmaNasra 25 дней назад

    Nandy n mzur sna jaman apewe maua yake💌💌💌💌💌💌💌

  • @wardamarungu1518
    @wardamarungu1518 2 года назад +6

    Mbona sio mzungu Paula mweusi nywele kipilipili

  • @faizamohamed6993
    @faizamohamed6993 2 года назад +1

    mmmh sema yuko dubai Ana danga na sio masomoni

  • @AdamuLema-j5s
    @AdamuLema-j5s Год назад +3

    Irene Uwoya ❤❤❤

  • @Naema-x7p
    @Naema-x7p 27 дней назад

    Acha niongeze bidii yakutafuta pesa 😢😢😢😢😢❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @RoseBinmakyambe-r2x
    @RoseBinmakyambe-r2x 9 месяцев назад +1

    Nandy ni mzuri tu ata zamani ❤❤

    • @ZakiaNassor-p4d
      @ZakiaNassor-p4d 2 дня назад

      ❤💖Nandi ndio mzuri tangia mwanzo🥰❣️💝💖

  • @VeronikaJonas-vh5tv
    @VeronikaJonas-vh5tv 6 месяцев назад +1

    Nampenda zuchu wejiamini ni nzuri sana

  • @maryamconstantine2232
    @maryamconstantine2232 2 года назад +8

    Mmemsauu Riyama, maana alikuwa mwembamba uyo

  • @JulianaRubara-qr9br
    @JulianaRubara-qr9br 5 месяцев назад

    Amber Lulu sio mzuri kwa wote yeye ndie wa mwisho😂😂😂

  • @MariahgagaRupan
    @MariahgagaRupan 11 месяцев назад +1

    Woow jaman peas ndo kila kitu daaaah😂😂😂🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤ na wapenda wote

  • @irenemnemba5008
    @irenemnemba5008 3 года назад +3

    Eti ndo namba moja pyuuuuuuu chefuuuu

  • @Rachelmwadjuma-ds9rv
    @Rachelmwadjuma-ds9rv 10 месяцев назад

    Tunda ni number one, 2ni lulu

  • @johnbernad3990
    @johnbernad3990 2 года назад +10

    lulu alikua mzur sana zamani tofaut na sasa

  • @Shadya-ju2el
    @Shadya-ju2el 9 месяцев назад +2

    Nandy mrembo sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @مريم-ه2ز9ق
    @مريم-ه2ز9ق 3 года назад +10

    Misa mobeto💕💕💕💕

  • @delphinawaziri2064
    @delphinawaziri2064 3 года назад +12

    Irene ni yule yule bado alikuwa mzuri

  • @AlimasThabiti-l3l
    @AlimasThabiti-l3l 27 дней назад

    Jamani nice mauwayako

  • @YasiniJuma-q9r
    @YasiniJuma-q9r 9 месяцев назад +4

    Tunda zuchu ayrini weng walikuwa vizur2

    • @KambeMashauri
      @KambeMashauri 5 месяцев назад

      Asseeee mbon zuchu pisses San duuh pokea ❤🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤

  • @salhamrisho8138
    @salhamrisho8138 3 года назад +12

    Katunda katamu bhana

  • @gigimedia4065
    @gigimedia4065 2 года назад +12

    Paulla 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @kitimedia
    @kitimedia 3 года назад +18

    Huyo Paula jamani aahhaha 😂😂

  • @AlimasThabiti-l3l
    @AlimasThabiti-l3l 27 дней назад

    Jamanni zari mzur❤❤❤❤❤

  • @divinebernard1047
    @divinebernard1047 2 года назад +13

    Na tunda mzuri ❣️

  • @hassainabdallah2951
    @hassainabdallah2951 2 года назад

    Hapo sawa uzur upo wp na sio shepu haijaonekana zamani wanajitengeneza mashepu kuzidisha km shilole ukimuona tu unajua km atakuja kuwa na shepu

  • @lucymlingi
    @lucymlingi Год назад

    Shilole your preety

  • @ZuhuraJuma-u7f
    @ZuhuraJuma-u7f Год назад +5

    Shilole bhan still the same ❤❤

    • @HeriethCleth
      @HeriethCleth 8 месяцев назад

      Heko kwa nandy ni binge la toto toka kitambo sana❤❤❤

  • @SarahAroni
    @SarahAroni Год назад +1

    Hv Paul jmn uliwh kutongozw n wakak kwely au uliixhia kw wazee jmn MBN ulikuw kabaaay hiv 😅😅😅

  • @AshuraMustafa-z8o
    @AshuraMustafa-z8o Год назад

    Mie py cute jaman😅😅😅😂 ila tunda big up

  • @NdamaNdama-g4r
    @NdamaNdama-g4r Год назад +1

    tunda big up

  • @Dil-nawadhFt
    @Dil-nawadhFt 2 месяца назад

    Mh zuchu kizur n tunda❤❤

  • @ChristabelAtieno-o8p
    @ChristabelAtieno-o8p 2 месяца назад

    Nandi mzuri

  • @stellakyando8433
    @stellakyando8433 Год назад +3

    Nandy hajabadilika Sana Yuko pouwa ,,,ni mzur kitambo

  • @AyshaSalumu
    @AyshaSalumu 2 месяца назад

    Zari❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @JoanAtiti-mn5mb
    @JoanAtiti-mn5mb 3 месяца назад +1

    Nandy na zuchuuu❤❤❤

  • @saleemadhiyabalkhatri7800
    @saleemadhiyabalkhatri7800 2 года назад +3

    Unatuchosha unaropoka sana bro

  • @suleimanrashid3918
    @suleimanrashid3918 2 года назад +4

    Namba zime kua kidogo mpaka mkamsahau ebitoke. Mnge mueka japo addition 😂😂😂

  • @rachelphilbert7394
    @rachelphilbert7394 3 года назад +10

    Mkiambiwa Fayma mzur mwakataa haya picha hizo hapo za Paula kazidiwa nawengine wote chacha, Tusiwapondee watu kutokana na kutowapenda ka mzurmzur ni mzur ty.

  • @tundacappuccino
    @tundacappuccino 3 года назад +16

    Hii kwli ndizi media nimepaliwa hapa kwenye daladala ,😂

  • @Carolyneakoth-jo9bf
    @Carolyneakoth-jo9bf Год назад +2

    😂😂God made man 😢man made 💰

  • @ryivolornaryn7146
    @ryivolornaryn7146 Год назад +2

    Nandy,,,shilole💓💗💓

  • @oseabenito5289
    @oseabenito5289 Год назад

    Ni mzr paul

  • @LukiaYusuph
    @LukiaYusuph 10 месяцев назад +1

    Nandy mzuri sana

  • @ryivolornaryn7146
    @ryivolornaryn7146 Год назад +4

    Mungu hutoa mavumbini watu mbali jamani🙏🙏

  • @Sixcjmedia2023
    @Sixcjmedia2023 2 года назад +7

    Nandy sugu jmn sem shishi uwoya bd wazur

  • @husnayahya5070
    @husnayahya5070 3 года назад +10

    Kumbe hamisa mzuri toka Zamani,

  • @vivianalex8501
    @vivianalex8501 2 года назад +24

    Always Tunda alikua mzur tu

  • @AdrinaIpopo
    @AdrinaIpopo 21 день назад

    Nandy na tunda❤❤❤

  • @fadhilajuma
    @fadhilajuma 2 месяца назад +2

    Nandi popote ulipomungu azid kukubariki

  • @arodiahchalesi-rp7ig
    @arodiahchalesi-rp7ig 7 месяцев назад +1

    Paula nikabaya toka zamani

  • @naomymmarymmary5047
    @naomymmarymmary5047 3 года назад +14

    🤣🤣🤣nimejua kucheka leo yan amber lulu 😂

  • @mwamvitamaulid5755
    @mwamvitamaulid5755 7 месяцев назад

    Tundaaa❤❤

  • @sheyibrahim3803
    @sheyibrahim3803 Год назад

    Paula kajala congratulation

  • @divinebernard1047
    @divinebernard1047 2 года назад +8

    Nandy,uwoya,lulu na shishi wazuri tangu hawana héla Ila Paula😁😁😁😁kweli mamayake anafanya kazi ya ziyada sana and iphone naipa saluti

  • @saeedjuma4335
    @saeedjuma4335 3 года назад +15

    Kwa jinsi Paula alipotokea na alipo naamini hamna mtu mbaya duniani

  • @wemamgala4869
    @wemamgala4869 2 года назад +15

    Shilole alikua mzur

  • @shungurapper9450
    @shungurapper9450 2 года назад +1

    AAAAAAH SANA DAAAAAH FEDHEA

  • @azizamaumba8377
    @azizamaumba8377 Год назад +5

    Irene uwoya alikuwa bomba sana

  • @ashuramipawa3941
    @ashuramipawa3941 3 года назад +10

    Tunda ni very xana zaman sasa

  • @AugustinoJulius
    @AugustinoJulius 11 дней назад

    Tundaaaaa hatareee nyieee😅😅

  • @souvenirweber7169
    @souvenirweber7169 2 года назад +8

    Acha ujinga.wanawake wengi hata wanaume umbo la udogoni na utu uzima ni tofauti .lazima mwili uongezeke ukikua

  • @Efootballvo
    @Efootballvo Год назад +1

    Paula ni mzuri tu

  • @shadrackmachage8013
    @shadrackmachage8013 11 месяцев назад

    Amba lulu . Mungu wangu😂😂😂😂😂😂

  • @JulianaRubara-qr9br
    @JulianaRubara-qr9br 5 месяцев назад

    Lulu Mikael namb moja