AKATAA ZAWADI YA GARI KUTOKA KWA MAMA YAKE MZAZI SABABU ALIMTELEKEZA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024

Комментарии • 805

  • @barickprogrammer
    @barickprogrammer 4 часа назад +17

    Huyu mama namuelewa sana, wengine watupwa kwenye tundu la choo, mama alimuacha kwa mtu wake wa karibu, hamktelekeza!! Binafsi Pendo amemkosea mama yake!! Wengine mama zetu thnawalipa na mshahara kabisa yaan hata akiumwa na mbu roho inauma 🙌🙌🙌 staki apate shida

  • @sophiaremmy6326
    @sophiaremmy6326 8 часов назад +86

    Uchungu + maumivu ya miaka 14 mnataka mtu ayamalize ndani ya siku moja..haiwezekani anahitaji muda pia kuweza kusamehe..hamjui binti kapitia mangapi kumkosa mama ambar anajua kabisa yupo na ni mzima wa afya ila aliamua kuchagua mwanaume zaidi kuliko binti yake…huwezi kaa miaka 14 hujaonana na mtoto wako mtoto anamaliza la saba upo kimya,form four kimya,form six,kama kweli ulikua unalipa ada ungekua hata unampigia simu mtoto kumwambia kazana kusoma mwanangu au hata unajitokeza kwenye matukio yake muhimu ili ajue upo

    • @rajabus.kigwanigwa9788
      @rajabus.kigwanigwa9788 7 часов назад +4

      Mama anasema juhudi za kuwasiliana na mwanae zilikua zikizimwa na bibi.

    • @elisaphymsemo6330
      @elisaphymsemo6330 7 часов назад

      Bro kama kweli alikua na nia ya kumtafta mwanae sawa bb kakataa jee alishindwa kumtafta kwa njia nyingne mfano kwenda kusalimia home,kutafta watu wakampe taarifa binti yake kua namuulizia? ​@@rajabus.kigwanigwa9788

    • @sophiaremmy6326
      @sophiaremmy6326 6 часов назад

      @@rajabus.kigwanigwa9788 kwao/kwa mamaake alikua hapajui?? Miaka 14 unaongeaga tu na mamaako kwenye simu ??..hatukatai anatakiwa kusamehewa ila sio lazima iwe kwa muda wake ampe muda binti na aendelee kuweka juhudi za kua nae karibu

    • @philemonmagesa5548
      @philemonmagesa5548 6 часов назад +2

      Nakubaliana naww aisee yani sio rahisi mtu amekutelekeza miaka yote sio rahisi kukubali

    • @annaYohane-i4r
      @annaYohane-i4r 5 часов назад

      Inauma bwana

  • @williamjustin-f7f
    @williamjustin-f7f 7 часов назад +20

    mama ni mama kwanza kitendo cha yeyekutunza mimba hadi akajifungua ni kitu kikubwa mno sababu angeitoa sabbu yeye alikataliwa but aliweka imani yake kwa mwanaye na kuamini ipo siku iwe mvua iwe jua kwahiyo kukuacha kwabibi sio shida je angekutupa dampo kikubwa mushukuru mungu amekukumbuka

  • @deogratiusyudatadei5658
    @deogratiusyudatadei5658 9 часов назад +225

    Yani nilikuwa nataka kujua point moja tu Nani anaye msomesha na kwa sababu ni ww mama Wala hata usiwaze SS tulitelekezwa na mama zetu na walirudi bila hata mia na bado tuliwapikea na kuwa saidia bila hata kujali na bado akataka kuni umiza lakini sikukata tamaa niliendelea kumlea na kwa Sasa nimeenda naye mbali Ila na msaidia mama ni mama tu

    • @rosesevent
      @rosesevent 8 часов назад +9

      Huyo! Dada hatofanikiwa Mama yake amejitoa kwa sababu ya umaskini 😩 mama amejitoa muhanga

    • @kelvinthomas4579
      @kelvinthomas4579 8 часов назад +4

      ​@@roseseventSema Sasa na mtoto alikuwa hajui anasomeshwa na nan 😢

    • @rosesevent
      @rosesevent 8 часов назад

      @@kelvinthomas4579 sasa kama bibi yako hana kazi ya kueleweka kwa nini usiulize! Mungu fundi bhn! Asije akapitia mtihani kama wa mama yake Aombe na kufunga! Sanaa nimekaa hapa! Bado Ana safari ndefu ya maisha

    • @RehemaMobeto-t1q
      @RehemaMobeto-t1q 8 часов назад +15

      ​@@roseseventnyie gar sio upendo unajua kuish maisha bila mama alafu ajafa yup hai utoto wote hayupo nyie

    • @SabihaibrahimRajabu
      @SabihaibrahimRajabu 8 часов назад +7

      Mzazi ni mzazi tu haijalishi

  • @Official_kp-2000
    @Official_kp-2000 8 часов назад +20

    Naomba hii IENDELEE mama atafutwe akae na bint wamalize shida achukue gari😂😂

  • @bernadetageorge6039
    @bernadetageorge6039 8 часов назад +20

    Kikubwaa mama hajamtupaa ...kamsomeshaa anamftilia na kumhudumiaa mama hakosei

  • @fatmambeyela6697
    @fatmambeyela6697 6 часов назад +23

    Aiseeh nmelia😭😭😭😭😭mzazi hakosei jaman kuna watu wanataman wazaz wao warudishiwe pumzi walau DK 10 tu wapate kumbatio Lao dash😭😭😭😭😭

    • @SylviaMrope
      @SylviaMrope 6 часов назад +1

      Hujui kapatia nini anahitaji muda wa kutosha ,

    • @kelvinthomas4579
      @kelvinthomas4579 5 часов назад +1

      Sio hakosei watu tumekataliwa na wazaz wetu tokea tupo tumboni.Af akija sahz hata na zawad huwez kubal kirahs hivyo. 😢. 😢

    • @Mellissabahati137
      @Mellissabahati137 2 часа назад

      😢😢😢😢 kweli

    • @Tanzaniayangu1
      @Tanzaniayangu1 2 часа назад

      Angekuwa na nia mbaya asingemsomesha

  • @zuwenaabdallah2059
    @zuwenaabdallah2059 7 часов назад +10

    Aaah gari jaman namsamee Mama yangu siwezi kuwa na cuki na mama yangu kwa kweli

  • @JeskaMwalongo
    @JeskaMwalongo 8 часов назад +14

    Mama ni mama time will come atamtafuta yeye mwenyew 😢

  • @ginelisangakrambi9546
    @ginelisangakrambi9546 6 часов назад +13

    Mimi ningemshauri Pendo kua msamaha ni msamaha siku zote na. Mama ni mama ata asingekuja na zawad ya gari ni mama na akukuua kama mama wengne akukutupa nje kama mama wengne ila alikupeleka maali aliko jua utakua Salama kwa asilimia Mia Pendo mpenzi pls msameh mama

  • @Juliety-v3o
    @Juliety-v3o 7 часов назад +28

    Pendo ashukru Mungu aliachwa sehemu salama coz apo kwa bibi mzaa mama nisehemu salama kabixaa ajakutupa amekuacha kwa mama ake usiwe hvyo pendo mzazi akosei msamehe mama ako nimaisha tu wanawake tunapitia mengi xana ukikua utaona pendo

  • @homemadestory4871
    @homemadestory4871 7 часов назад +20

    Inasikitisha lakini hapo kwenye graduruuu apana mtanisamehe🤣🤣🤣🤣🙌

  • @amrimwingwa994
    @amrimwingwa994 8 часов назад +14

    Huwezi Pata Maisha mazuri kizembe... Mama shujaaaa ame sucrifice for the Family... Kila jambo Lina Hatma yake mtoto hana Budi kumkubali Mama Yake

    • @Vees12
      @Vees12 7 часов назад +1

      Ndio nashangaa Yani mtu anajitoa kwaajili yako alafu umuaibishe hivyo no way

  • @Sisterelly
    @Sisterelly 7 часов назад +20

    Mwambie uyo mama aniletee iyo gari, funguo ntachongeshaa😢😢😢😢❤

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 6 часов назад +2

      @@Sisterelly 😂😂😂😂hunashida na funguo

    • @mwajabumrindoko-xw9mq
      @mwajabumrindoko-xw9mq 6 часов назад

      Mm namchukiaa mama yangu yanii hapo najiona Mimi kabisaaa simpendi na siongei nae sitoongea naeee Tena naona ya huyo binti ni madogo yangu😢😢😢

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 5 часов назад +1

      @@mwajabumrindoko-xw9mqmsamehe mama Huwa wanakera lakin usiwe unachukuria uzito Yale anayokufanyia hata kama yanakuumiza pole ila msamehe tu

    • @JanetAhmad-v3h
      @JanetAhmad-v3h 4 часа назад

      😢eti mama ni mama hio mwaka yote alikua wapi hata ningekua mimi nisinge kubali

    • @Sisterelly
      @Sisterelly 3 часа назад

      @@petermanala6138 ndy😣😭😂😂

  • @lidyakinono9917
    @lidyakinono9917 7 часов назад +24

    Yani me nikatae gari😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 hata kama sijamsamehe ila gari nabeba

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 7 часов назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂unakataaje zawad

    • @ValensNgateu
      @ValensNgateu 7 часов назад +2

      Matajiri hawana tamaa 😂😂😂

    • @Princessnauty
      @Princessnauty 7 часов назад

      😅😅😂watu mna moto

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 7 часов назад

      @@ValensNgateu hawana tamaa lakin hawakatai zawad hata pipi ya hamsin ukimpa anapokea tena anashukuru itakuwa ndinga

    • @NillahMbuya
      @NillahMbuya 6 часов назад

      😂😂😂😂😂😂

  • @nancymremi7857
    @nancymremi7857 6 часов назад +26

    huyo mama si awe mama yangu maana natamani hata mama wakusingiziwa

  • @francisemmanuel5578
    @francisemmanuel5578 5 часов назад +6

    Dada Pendo namshukuru Mungu sana Mama ake kaenda kumuacha kwa Bibi yake kama mimi nimeachwa shambani nikiwa na miezi mitatu tu ndio watu wakanichukua na kunipeleka kwa Bibi na kulelewa na bibi mpaka 2010 nimuombe tu amsamehe mama na maisha yaendelee tu

  • @paulmrema1083
    @paulmrema1083 6 часов назад +13

    ile kiredio kala shavu sana kwenye hii kazi😊😊

  • @ericsalema1690
    @ericsalema1690 8 часов назад +18

    Mama ana kosa ila sio kubwa..Kwenda kumuacha mtoto kwa mama yake alifanya vizuri kuliko angemtelekeza kwingineko..Bibi wa mtoto alipaswa kumjenga binti kisaikolojia ili ajue mama yake bado anampenda na ndiye anayemsomesha. Mama yetu ana kazi kubwa sana kurudisha mapenzi ya mtoto kwake. Ila bibi mtu akikaa na mjukuu wake yatakwisha..Na angekuwa ni mtoto wa kiume mama angefanikiwa upesi sana.Si mnajua Watoto wa kiume na mama zetu hatukui🙌🙌...Anyway Nimegundua mama kashikilia usukani muda mrefu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @dovicochristopher5388
      @dovicochristopher5388 7 часов назад +1

      Ana kosa kubwa sanaa mzee😢😢

    • @erickndamlo280
      @erickndamlo280 5 часов назад

      Kushikiria uskani ni kuwa anaongea kwa uchungu

    • @graceluambano3922
      @graceluambano3922 4 часа назад

      mama amtumie mamake (bibi pendo) kumuomba amuombee kwa mwananae yaishe. lingine kwa nini mama pendo akumbuambia ukweli bibi pendo badala ya kumtoloka. lingine natamani mazungumzo yangefanyika kabla ya siku ya kumpa zawadi yani siku ya graduation. namuonea huruma mama mwenzangu hii kitu tunavyoisoma kwenye mtandao. kila anayemjua anaona kuwa alimtoroka mtoto na akumuambia mamayake mzazi. inamzalilisha sana

  • @fettiemaganza1484
    @fettiemaganza1484 3 часа назад +12

    Ila hyo mwanaume ana roho ngumu sana kumtenganisha mtt na mamake na wadogo zake duhh

  • @halimarahma7450
    @halimarahma7450 6 часов назад +20

    Shukuru mungu uliachwa sehemu salama ungetupwa dampo je

    • @dotnatajoseph2620
      @dotnatajoseph2620 5 часов назад

      Kweli kabisa

    • @kelvinthomas4579
      @kelvinthomas4579 5 часов назад

      Na ndy Maan pendo anaumia sana. Akifikilia kamuacha kwa bibi ake akiwa na miaka 8 tu. Now yupo chuo. Anamaliza😢 af ndy mama aje. Na pendo aliambiwa na bibj kuwa mama ako alikutelekeza akaenda kuolewa

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 5 часов назад

      Kuna watu Wana roho za ajabu sana wakat hata usipomuona Kwa muda mchache mtoto unaita unataka umuone

    • @deogratiusyudatadei5658
      @deogratiusyudatadei5658 3 часа назад

      @@kelvinthomas4579 sibora yeye miak8 mm nilitelekezwa kwa bibi baada ya baba kufa nikiwa miez3 na Leo huyo mama karudi na maneno kibao nikamsamehee kumbe analake katumwa na mganga aniuwe ahamishe nyota yangu ampe mwanaee mwingine aliye zaa huko na akashidwa naleo Wana maisha magumu balaa mm ndiyo na walea

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 7 часов назад +20

    Kwa mama hata asingenipe kitu ningemsamehe Kwa mapenzi yoote ❤

  • @rajabus.kigwanigwa9788
    @rajabus.kigwanigwa9788 7 часов назад +23

    Hii ndio tofauti kuu kati ya wanaume na wanawake. Angekua mtoto wa kiume angekua ashamsamehe mama yake tena bure. Huyo binti anatakiwa atoke hadharani aeleze sababu za kumdhalilisha mama yake hadharani namna hii. Kama kafundishwa na bibi yake, basi huyo bibi yake ni mchawi. huwezi kupandikiza chuki kwa binadanu kias hicho kama huna utalamu wa kichawi. Huyo naamin ipo siku atajutia hiki alichokifanya naamin ni utoto unaomsumbu pamoja na chuki pandikizi dhidi ya mama yake alizooewa na bibi yake, lakini siku moja nae atakuja kuomba msamaha kwa mama yake na maisha yataendelea.

    • @davidlameck7879
      @davidlameck7879 6 часов назад +3

      Si kwamba ww tamaa ya Gari imekushika tu😂😂😂😂,

    • @collethamahenge5631
      @collethamahenge5631 6 часов назад +1

      hio miaka 14 unajua mwenzio kapitiaa mangapo ww bila kua na mama afu unataka atumie siku moja tu kusahau yote na kusamehe?? ungekua n ww ungeweza ama n gari tu inakupa moto wa tamaa?? 😂

    • @1stladyafrica402
      @1stladyafrica402 6 часов назад +1

      Msipende kutoa conclusion kwa mambo msiyoyajua

    • @ashurajengela3926
      @ashurajengela3926 4 часа назад

      Bibi kapandikiza chuki au kamwambia ukweli ?! Kwani ni uongo kama mama yake alimtelekeza kisa mwanaume ?! Miaka 14 unateseka yy anakula Bata tu afu aje kirahisi tu hapana anahitaji muda ili kusamehe

    • @tipherradrin88
      @tipherradrin88 3 часа назад

      Ka chizi 😂🥹

  • @abc-en3em
    @abc-en3em 8 часов назад +62

    Same story as mine ,, nimesoma kenya for the last 14 years bila communication na mama.Mzee alipofarika, mama aliniacha kwa bibi akaenda dar kutafuta maisha apo nlikuwa sijielewi mdogo sana. Bibi angu mzaa baba akiniombea kwa shangazi yangu aliyekuwa anaishi kenya. Shangazi akanichukua apo nlikuwa darasa la pili. Nlienda kenya nikaanza darasa la kwanza . Adi nimemaliza form 4 mama ndio nlikuja kuonana nae Dar es laam , Alafu fresh kumbe mama alikuwaga analipaga ada yangu kenya alafu nlikuwa sijui wala nn.. adi nimemalizaa form 4. Ndio nimekuja dar nimekutana nae ,, Nampenda mama kinomaa uyu pendo Anazingua .

    • @Official_kp-2000
      @Official_kp-2000 8 часов назад +1

      @@abc-en3em uyo mdada nae aache utoto shida miaka 22 unapewa. cX5 unaona kama ujinga akati ndoto ya mtu hiyo 😂😂

    • @elviaheriel2582
      @elviaheriel2582 8 часов назад +2

      Tusimlaumu kwa sasa!
      Kumbuka ndo amepokea taarifa, hawezi kusamehe hapohapo.. baadae atamsamehe tu

    • @kelvinthomas4579
      @kelvinthomas4579 8 часов назад +1

      Hapo bibi alishamwambia kuwa mamako alikutelekeza alikukimbia. Hapo kwa harak harak mtoto anaweza waza mengi. Mfano anaweza waza kuwa mama angepitiwa kdg tu na shetan inamaana angeweza hata kunitoa uhaii.😢 😢 But inasikitisha sana

    • @MerinaMihayo
      @MerinaMihayo 6 часов назад

      Pendo acha ujinga wewe mama ndyo kila kitu utajutia baadae

    • @FEBRONIAJULIUS
      @FEBRONIAJULIUS 5 часов назад

      Safi sana mama kitu kingine bna wee

  • @youngnigerbarizo2167
    @youngnigerbarizo2167 8 часов назад +14

    Pesa sio Kila kituuuu😢

  • @DorahMwanansolo
    @DorahMwanansolo 5 часов назад +5

    Najaribu kuvaa viatu vya Mama na Pendo havinitosh, nikikaa upande wa Mama naona anastahili msamaha plzz Pendo msameha mama hakukuacha alikuwa nyuma yako ni Maisha tuu but nakuelewa pia 😢😢😢

  • @AnnaobadiaMwakalobo
    @AnnaobadiaMwakalobo 3 часа назад +6

    Mngejua tunavyoteseka reba mtoke salama tu kuna wakati tunachagua kufa na kupona aisee pendo unahitaji toba kuna pepo baya sana kwenye maisha yako Mama Yangu popote pale ulipo nakuombea uzima, afya njema Mungu akulinde na kukubariki wakati wote Mama nakupenda sana wewe ndio Mungu wangu wa pili

    • @eliasaNgahehwa-l2f
      @eliasaNgahehwa-l2f 2 часа назад

      Sema mama inaonekana kafight sana kumvuta mwanae karbu, ishu ni bibi anatia sumu inainekana maana bibi hakutakiwa kumjaza mwanae alitakiwa awe anamwambia mama atarudi, au angekua anamdanganya Tu ili mwanae aone mama yake yupo karibu nae, bibi mtihani bola kukunjua bibi mtoto hawezi kumuekewa mama yake.

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 Час назад

      @@AnnaobadiaMwakalobo hapo bibi ndo tatizo

  • @AminaShaibu-c5v
    @AminaShaibu-c5v 3 часа назад +50

    Mimi niliachw nikiw na miak 3 mama akarud Nina miak 10 akanion akaondoka hapo baba simjui,niliish kwa mjomba angu mwisho wa siku ndug wakagombn kuhus Mimi nanyanyasik Mimi sijui ant akakasirik mke wa mjomba akasema mtot aende tanga ,mama aliish pemba ila alikuja kweny 40 ya mama ake alifarik na sikupew uhamisho wowote ule mama akapambn mpk nikaend shule kule kijijn nikiw 6 40 ilipoisha akarud kwa mumew pemba nikaachw kijijn na kaka angu mtot wa mjomba aliemaliza chuo niliish pale mwisho nae akaondoka nikabaki kijijn mwenyew akawambia majirn waniangalie matumiz anatuma napika mwenyew nafua kulala naogopa naenda rafik yangu namuomb tulale wote 😢,yote mama kuniacha mwanaume aliemuoa hakunitak Mimi hapo nilikuw na miak 11 naish mwenyew mpk nikamaliz 7 Babu mzaa mama alikuw anakuja kuniangalia Anglia lkn yeye alikuw anaish korogwe mjin alivyoumw Babu mama akarud Tanzania korogwe mjin na Mimi nikaw namaliz 7 ila Babu alichomwambia mama asiondoke Tena akaniacha alikuw na mtot Mdogo mume wa mam akamwambia mama achague ndoa na Mimi kwakwel mama alichagua Mimi nilipomaliz 7 nikaend korogwe mjin nikaish na mama matokeo yalipotok nimefaul sec akapambn kunihamish korogwe mjin nikaw naish na mama rasm nilipofik form 2 baba mpemb akaja Tanzania na yeye kumfuata mama japo kishingo upande ,nimeish na mama rasmi mpk nikamaliz kidato 4

    • @Harsinotzkasongo
      @Harsinotzkasongo 3 часа назад

      Unabonge la story ilapia pole kwayaliotokea😢😢

    • @AliAli-hr8mr
      @AliAli-hr8mr 2 часа назад +1

      please nitafute

    • @subrynerysegerow1323
      @subrynerysegerow1323 2 часа назад

      mungu kakulinda kuosh pekeako ukiwa mdogo aisee

    • @pikanaauntzuu1466
      @pikanaauntzuu1466 2 часа назад +1

      Duh Pole sana lkn km kuna kitu siwez bac nikumtelekeza mtoto wangu kisa mume no way ni single mother lkn mtoto wangu nampambania kwa hali na mali hata hio ndoa siitaki kwasbababu nataka mwanangu aishi maishi mazuri asome shule nzuri na Alhamdulillah amemaliza darasa la saba na sasa anaenda sec mwakan nampeleka bodying kwasbabu walezi wamekuwa na mambo mengi bora aishi bodying tu anarudi likizo siishi nae lkn nathami uwepo wake na maisha yake usalama wake ni bora kuliko

    • @rizickjonas1916
      @rizickjonas1916 2 часа назад

      Pole bby

  • @kelvinthomas4579
    @kelvinthomas4579 8 часов назад +6

    Sema na sisi ambao tulitelekezwa na mzaz mmoja wapo. Hii story kama inatuuma sana. 😢. Unaangalia unakumbuka mbali. 😥😥

  • @dinnaemmanuel7884
    @dinnaemmanuel7884 3 часа назад +21

    Niliachwa na mama yangu nikiwa na miezi sita kwa bibi sasa hv nimemaliza chuo nasubiria mahafali pia BUT kamwe sitokaa nimchukie mama angu maan sijui alipitia mangap akiwa na mimba yangu! MUNGU ampe miaka mingi na kheri Dunian pamoja na kina mama wote Dunian

  • @Clausonlab
    @Clausonlab 9 часов назад +8

    Wa kwanza hapa likes zangu😂

  • @yonahmkemwa9767
    @yonahmkemwa9767 8 часов назад +5

    Ukiona mtu amekubali kosa na akaamua kukuomba msamaha basi ujue amemaanisha Sasa hapo pendo ndo amebakia na hatia huyo mama sio kwamba ana maisha ya dhiki ila uchungu alionao kwa mtoto tena na kumsomesha amemsomesha pendo Mungu akupe hekima katika hili usipoangalia utajikuta unaishi maisha ya uchungu na kisasi kitu ambacho kitakunyima amani ya moyo msamehe mama ufurahie maisha Sasa changamoto zipo kwa kila mtu we fikiria hakukuacha kwenye mazingira mabaya alienda kukuacha kwa bibi ni ishara tosha bado alikuwa na upendo

  • @JudithAlly
    @JudithAlly 3 часа назад +4

    Mydream car🌝🥰 Pendo msamehe mama though its take time ila msamehe tu

  • @rabielkaaya3764
    @rabielkaaya3764 6 часов назад +5

    Mungu atafanya wepesi one day wataungana pamoja

  • @abubakarkhamis8200
    @abubakarkhamis8200 6 часов назад +6

    mama angenipa boda boda tu naenda kumkumbatia😂😂😂😂😂

  • @MayasaYousif
    @MayasaYousif 5 часов назад +13

    Haki nimelia sana sanaa wakat mimi apa nataman hata dk 1 nimuone mama yangu alafu wewe unakataa kumsamehe mama yako pendo popote ulipo mama nidhahabu ghar sana mama yupo mara moja tu akuna mama mara 2 napia mzazi hakosei ajakutupa alienda kutafuta naleo kakurejea na hajaja kwaajir umefanikiwa unakipato kikubwa ila kaja kuonysha upendo alio kukatili mimi ni mwanamke na nimama pia kunamaumivu tunayapata tukiachisha mtoto ziwa lakin ainajinsi lazima uache ili tuendelee na majukumu mengine ikiwemo kuwatafutia watoto wetu rizk na ndio iko kilicho mkuta mama yako leo so msamehe haikua kafanya ivyo kwa ubaya nandio maana alikuacha kwa bibi yako akidhani ni sehem salama nani salama kweli nimeandika kwa uchungu sana

  • @esterbenard-f2p
    @esterbenard-f2p 4 часа назад +3

    Ni ngumu kuondoa hasira na uchungu uliudumu miaka 14 ndani ya siku moja tena kwa suprise. Mama asichoke ipo siku mtoto atafungua moyo😢💔

  • @swamadujackson
    @swamadujackson 8 часов назад +7

    Mnaocomment hapa kumlaumu huyu binti hamjui tu inavyouma kukua ukijua kuna mzazi hana mda na wewe unalelewa kwenye familia za watu hata kama unapata kila kitu ila inauma sana kukua bila familia halisi😢 mimi namuelewa sana

    • @gloryyairo928
      @gloryyairo928 8 часов назад

      Apo bibi yake ilibid asimlishe sumu Mtoto

    • @dicxonmexielyofficial3925
      @dicxonmexielyofficial3925 8 часов назад

      We tuliaa huna unachokiongeaqq

    • @Zari-bj7pg
      @Zari-bj7pg 8 часов назад

      Sasa hata kam asingemtupu maish yangekuw magumu tu mama alienda kutafuta maisha

  • @HalimaSelemani-e8b
    @HalimaSelemani-e8b 5 часов назад +6

    Kakuacha na miaka 8 tena sehem salama unagoma kumsamehe 😢😢😢

  • @Zuuh4286
    @Zuuh4286 7 часов назад +4

    Mungu anijalie uhai nami nije nimuzawadie mtoto wangu sk anamaliza chuo😢😢😢😂

  • @Fausta-o8u
    @Fausta-o8u 6 часов назад +5

    Aisee kiukweli mzazi alijitoa sana kwaajili ya familia lkn wap😢😢 watoto tujaribu kuwaelewa wazazi so sad😢 pale hakumtupa mama alijua amemucha mwanae sehem salama 😢😢😢 naomba warud wayamalize😢😢😢😢

  • @florasaidi1157
    @florasaidi1157 4 часа назад +3

    Pendo mama mitiani ya wazazi ni ming haswa sisi tuliozaliwa kabla ya wakat wazaz wakike wanaenda kupenda watoto atakaozaa na baba mwingine hiyo inatukuta hatuna pakulilia mi aliwah sema umezaliwa bahati mbaya unahishi kwa makusud siisahau hii kitu na inapunguza sana upendo kati ya mzazi na mtoto ila nakuomba msamehe tu then endelea kuishi kusudi la mungu aliloliweka ndan yako

  • @anniesylivester4100
    @anniesylivester4100 7 часов назад +1

    Inaumiza sana 💔🥲 Nways psychologist wapo watusaidie Binti amsemehe tu Mama 🙏

  • @linnerphilip4260
    @linnerphilip4260 Час назад +6

    Huyo mama nae hapaswi kusamehewa kirahis kabsaa
    Na ile kauli ya kusema ety mzaz hakosei sitakagi hata kuisikia

  • @EkronMasilu-d3j
    @EkronMasilu-d3j 8 часов назад +14

    Sawa alikutelekeza Je bila Yeye ungekuwa hapo Vipi Maza angetoa ujauzito wako Mbona Pendo unaleta mambo ya kiwaki mzazi ata akoseee Vipi hutakiw kunfanyia hivyo Mama zetu wanakosea lakini hatuwez kuwalaumu maana bila wao Tusingekuwa hv Daaah hv anamfanyia hvo mama anajua wangap wanataman Kuwa na mama na Hawana Nimemaind 😢😢😢

    • @RehemaMobeto-t1q
      @RehemaMobeto-t1q 8 часов назад

      Mmmmmmmh yasikieni kwa wenzenu

    • @EkronMasilu-d3j
      @EkronMasilu-d3j 8 часов назад

      Ata kama heb angalia mama aloptia ​@@RehemaMobeto-t1q

    • @monabae7447
      @monabae7447 7 часов назад

      😢rest in peace mama angu

    • @RehemaBakuza
      @RehemaBakuza 7 часов назад

      Ww wasema tu kama jambo kama halijakukuta wala usiliongelee

  • @MwanasaYusuph-q3e
    @MwanasaYusuph-q3e 6 часов назад +4

    Mwenyewe baba angu ameniterekeza tangu npo darasa la nne

  • @clintonjohn4312
    @clintonjohn4312 8 часов назад +6

    HAHAHHA issue imepangwa hiii tunaelewa wenye D MBILI TYU

    • @arafaally2895
      @arafaally2895 7 часов назад +1

      Mi pia nina D mbili tangazo hili

    • @JaneveeThomas
      @JaneveeThomas 7 часов назад +1

      Kweli kabisa wenye d mbili tu ndo tunaelewa 😂

    • @LeylahJumbe-vc3lv
      @LeylahJumbe-vc3lv 7 часов назад +1

      Nilikua naitafuta hii comment😂

    • @lusticabernad9982
      @lusticabernad9982 5 часов назад

      Nami nimewaza kama wewe, tangazo lililoenda shule hili, wenye D mbili ndio tunaelewa

  • @ChidySuleiman
    @ChidySuleiman 3 часа назад +2

    Maisha yanatufundisha vitu vikubwa sanaa lakn wanafunzi atuelewi

  • @alexlaston7464
    @alexlaston7464 7 часов назад +2

    Mama alifanya...usihofu kumpoteza mmja ili kumi waishi vyema....ni kwel kuna mistake kwa mama lkn mama ni mama...asemehewe...ni painfull lkn no way afu unakataaje gari...😂😂😂😂😂😂😂

  • @JohnSamwel-y9s
    @JohnSamwel-y9s 5 часов назад +2

    Kumbe hawa wanaume hawajaaza leo kukataa mimba ni toka zaman Dha ko, nyie wazee wa zamn 😊😊😊😊😊😊😊

  • @IbrahNikke
    @IbrahNikke Час назад +1

    Amshukulu sana uyo mama kwasababu mama alikuwa anauwezo wakumtupa mama kwa huruma akampeleka sehem salama kwa bibi ake

  • @STAVOO_WIZZIE
    @STAVOO_WIZZIE 2 часа назад +5

    MIMI NIMEKAA KWA BIBI MIAKA YOTE ILA AKINIPA MILIONI MOJA TU NAMSAMEHE 😅😅😅😂😂😂😂 INGAWA HAJANILEA KBSA ILA MILIONI MOJA TU INATOSHA JMN😂😂😂

  • @EvanceFrancis-l7r
    @EvanceFrancis-l7r Час назад +1

    Mtu unatakiwa ujiulize ni mambo mangapi unafanya, dhambi ngapi unafanya lakini Mungu anafumba macho, anasahau, lakini sisi kuwasamehe binadamu wenzetu inakuwa kazi. Inabidi ujiulize Mungu amewahi kukusamehe mara ngapi tena dhambi kubwa, jiulize huyo binti amefanya dhambi ngapi tena kubwa ikiwepo kuzini, lakini Mungu hajawahi hata kumtega akaangukia pua.
    Huyu binti akishindwa kuvuka hili basi hii dhambi hata Mungu mwenyewe hatokuja kumsamehe.

  • @Hameedmrope
    @Hameedmrope 8 часов назад +6

    Maisha Yan Siri kubwa San mwenyezimung atulinde na atupe mapnz na huruma juu ya familia zetu

  • @everdee7271
    @everdee7271 8 часов назад +3

    Daaah....inaumiza but angempa chance ya kumsikiliza mama yake ajue reason behind why mama yake alifanya maamuzi yale ...

  • @chuwafrank1632
    @chuwafrank1632 2 часа назад +2

    Kitu nikwambia katika maisha yetu ya kila siku akuna mtu akosei mama alikosea Sasa akikumbuka makosa yake lakini anajuwa akufanya makusudi alifanya vile kwa maisha ya badae mtoto kwa mama akui mama kaomba msamaha tena wa garama nabado umekataliwa Sasa mama auze Gari akatoe iyo pesa katika dini anayo iyamini yeye na sadaka iyo iwe niyashukrani ya kumshukuru mungu kwa kumlinda binti yake mpaka alipo ona muda umefika aombe msamaha na binti kakataa Sasa mungu sadaka yangu iyo nimeileta mbele yako ulinzi uendelee kwa mwanae basi YATOSHA

    • @NeemaJosey
      @NeemaJosey Час назад

      Dah hii Comment kwakweli kuna mda unaona bora iwe hvo tu 😢

  • @rogerioathumani9084
    @rogerioathumani9084 7 часов назад +2

    Kwa ss wenye D4 hii inaonekana wanaekiti wanatufanya watoto 😂😂 nyie boya endeleni kupigwa

  • @HappnecPaullo
    @HappnecPaullo 2 часа назад +1

    Pole pendo na mama pendo mungu awapatanishe

  • @Chimbo_la_paziakali
    @Chimbo_la_paziakali 8 часов назад +4

    Ngoja niangalie mpaka mwisho ndio nicomment chochote...

  • @ommyntigiry9332
    @ommyntigiry9332 9 часов назад +5

    Pendo skia tukushauli gani sio muhimu ila hiyo isiwe sababu ya kumtosa mama kabisa sisi tuliyo fanyiwa ni vile tyu wengine sisi sio maalufu ila msamehe mama pendo pls msamehe mama uyo ni mama yako kama amekili kosa msamehe mylove
    Mimi nikikwambia yangu utaona bora yako

  • @tatianuspauline2730
    @tatianuspauline2730 4 часа назад +4

    Hili ni tangazo la bihashara wakuu

  • @AishaNikule
    @AishaNikule 31 минуту назад

    Yaan huyo pendo anatakiwa amshukur mungu mama kakuaomesha tena hajaachwa mdogo ni miaka 8 alhamdulillah tena hajatelekezwa umeachwa kwa bib Mzazi hakosei afanye yaixhe tu

  • @rochiusromward8495
    @rochiusromward8495 7 часов назад +4

    Mmh!! Kama nimeumia kias hiki sijiu mother kaumia kwa kiasi gan!

  • @RichardMunishi
    @RichardMunishi 2 часа назад +2

    Inaumiza sanaa kukosa mapenzi ya wazazi hususani mama inaumiza sanaa😢

  • @NaftalMungure
    @NaftalMungure 8 часов назад +2

    Mwenye shida ni bibi. Mtoto akishajazwa sumu hawezi kubadilika hadi awe mzee

  • @B.l.e.s.s.e
    @B.l.e.s.s.e 51 минуту назад

    Amenifurahisha alivyokuwa anamkimbia kiredio 😂😂 Yaan watu wanamuogopa kweliii😂😂😂

  • @AhmedAbdallahBakari
    @AhmedAbdallahBakari 2 часа назад +1

    Pendo nenda kangalie clause fm ukaone watoto wanavyo watafuta mama zaoo utaliy kiukweli wew mama umekufat yeye lkn wew bado unabifu na mama SIO VIZUR nakuomba mpokee MAMA Etu please usimfanye MAMA amwage machozii kw uchungu please mpokee MAMA

  • @JohnCage-we6tp
    @JohnCage-we6tp 8 часов назад +7

    Yan mpk mzazi anakufatilia anajua unasoma wap unakaa mpk lin anajua lin una hitimu chuo huyo haja kutelekeza ni maisha ndio yalifanya hivo na haja kutelekeza alikuacha kwa mama miaka 8 bado mtu mzim

    • @EmillianElias-u9s
      @EmillianElias-u9s 8 часов назад

      Wengine tuliachwa na miaka miwili tena kwa jirani ili baba yetu akirudi atukute lakin mpaka leo tunaongea na mama yetu na tunapendana hakuna kama mama

    • @lemimagembe5677
      @lemimagembe5677 8 часов назад

      Hpn huyo mama nae alikosea alithamini mwanaume kuliko mtt wake mxwieew😭

    • @JohnCage-we6tp
      @JohnCage-we6tp 8 часов назад

      ​@@lemimagembe5677unajua malezi ya single maza weee hao Malaya wengi unawaon bc asili Yao ni hio sio haba mama alimpeleka kwa mama yake na haj mtupa mtaan

    • @elizabethIsanzu-b4p
      @elizabethIsanzu-b4p 8 часов назад

      Sasa kama alikuwa na uwezo wa kumfatilia why asimtafute? Akawa karibu na binti unsjua binti anaitaji uangalizi wa mams kuliko kitu chohote kil

  • @zuwenaiddy7820
    @zuwenaiddy7820 7 часов назад +10

    Mmmh ngumu kumeza ila mama anaroho ngumu

  • @ErasminaSereha
    @ErasminaSereha 8 часов назад +2

    Ila kiredio et anamaliza graduation 😂😂

  • @gloryyairo928
    @gloryyairo928 8 часов назад +3

    Uyo dada akizaa atamsamehe mama yake ila angejua wamama wanayopitia amsamehee mapema tyuu

  • @HawaAbdu-gt3yz
    @HawaAbdu-gt3yz 5 часов назад +3

    Mm niko mbali ty na mam yngu but nammis sana sana tena

  • @JosephMeja
    @JosephMeja 8 часов назад +3

    Kiredio tunataka nyingine ya mama kupatana na pendo (kamilisha wewe hio humanity) TASK📌

  • @kamalissabig4631
    @kamalissabig4631 6 часов назад +3

    Kama ww Peleke huko msenge ww uliona wap mama akakataliwa

  • @josephtaifa8645
    @josephtaifa8645 6 часов назад +3

    Noma, limekosa UZITO nadhan walau ungeambatana na Bibi au kiongozi wa kidini au wote wawili, na hawa wangefanya hio kazi.
    Polee Umepata kazi kazini 🦾

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 7 часов назад +2

    Kuna wakati mtu unapita maisha magumu hadi ukitembea unaona watu wote wanajua shida zako sasa jumlisha umepewa ujauzito na umetelekezwa chai tu ni shida...acheni jamani msamaha ni muhimu sana

  • @lucykanyele5061
    @lucykanyele5061 4 часа назад +1

    Nimevaa kiatu cha huyu mama naelewa ugumu wa kulea mtoto au mimba ukiwa huna support yoyote ile kwa mtu yoyote yule ,na mbaya zaidi shida huja na majaribu mengi sana mengine mpaka ya kurisk maisha ili mradi tu upate hela ule na uishi ,lakini kwangu mimi ningemchagua mwanangu kuliko hata huyo mwanaume ,sema mama aliona aishi na mwanaume akiamini akifanikisha atarudi na kuweka maisha sawa kosa la mama hakutaka kuwa wazi kwa mzazi alitakiwa mama akae chini kabla ya kuondoka na mama yake wangeongea hali halisi ya maisha ilivyo na angemuacha kwa baraka zote bila kumtelekeza

  • @lilianambokile6832
    @lilianambokile6832 3 часа назад +3

    Yaan kuna vitu nilitamani umuulize ila kiredio sio mambo yk kuhoji ila huy mama angukutana na sns ingekua baraa

  • @manp9091
    @manp9091 49 минут назад +1

    Kiredio una sikitika sana nawewe😂😂😂

  • @edgarelikana7204
    @edgarelikana7204 8 часов назад +1

    Duuuh Mama ni Mama ila Huyu wa aina yake, Pendo Msamehe tu Kuepusha Mengi, Lkn Mapnz ya mama kwa Mtoto Hayawezi Zuiliwa na Mwanaume!!!!!!

  • @DavidMosha-e1x
    @DavidMosha-e1x 2 часа назад +1

    Inauma sana yan dha nimeumia kinomah😢😢😢 sijui itakuaje dha inauma😢

  • @lainessmwombeki7919
    @lainessmwombeki7919 8 часов назад +2

    Pendo arudishe moyo tu. Af bora hata huyo baba alimkataa mtoto mapema kuliko angeishi nae akamyanyasa

  • @ComfortKhamis
    @ComfortKhamis 2 часа назад +1

    Changamoto mno tuwapende watt we2 hta iweje❤

  • @Fahimahadyeeri
    @Fahimahadyeeri 33 минуты назад

    There are things single mothers do and huwezi kumuelezea mtoto akaelewa. Mom just give her time, she's a woman, ndio anaanza maisha. One day atakutafuta, don't stress yrself you have tried. Only single mothers can understand why you had to do what you did.

  • @Sophy-cs4ch
    @Sophy-cs4ch 7 часов назад +1

    Huyu pendo angejua hadi kufikia hapoo n juhudi za mama akee asingsubutu kumfedhehesha mama ake kiasi ichoo

  • @mgetamrisho6875
    @mgetamrisho6875 4 часа назад +1

    kwa mm naona mzazi hakosei alafu alikuacha sehemu salama angekutupa ingekuwaje aachane naye cku akijua mzazi akosei atarudi

  • @emanuelmadei7058
    @emanuelmadei7058 9 часов назад +2

    Wa kwanza Leo 🎉🎉🎉

  • @TeklaNdekeja
    @TeklaNdekeja 8 часов назад +1

    Nachukia sana tabia ya wanaume kufanya mwanamuke apoteze haki ya upendo kwa mtoto ulie mukutanae hii inaniuiza sana!!

  • @isaiahassumani8046
    @isaiahassumani8046 4 часа назад +1

    Yaani leo ndo nime amini ya kwamba wanawake warefu awanaga akili 🤣 kwani hapo kuna cha ajabu lakini ? Pendo faamu kwamba hata hapo unapo hishi una saidiwa ifadhi kwa sababu uko mjukuu wao mtoto wa mtoto wao. Ingelikua mama aliendaga ku kuacha kwa bibi yako mzaa baba yako kweli angelaumiwa kidogo lakini alienda ku kuacha kwao kwa mama yake na tayari hulikua umesha kuwa na miaka 8. Sister Pendo naku shauri mrudilie mama na upokeye zawadi acha kiburi cha usichana faamu na wew ni mwanamke tena mama wa baadae. Hilo ndo shauri lango kutoka Phoenix Arizona USA 🇺🇸

  • @manp9091
    @manp9091 47 минут назад +2

    Oya mbona kama ili tangazo la magari kmmak😂😂😂

  • @kudrathmohammed
    @kudrathmohammed 4 часа назад +2

    Huyo mwanaume wake atakuwa na roho mbaya

  • @annaki318
    @annaki318 Час назад +2

    Mama anasema mwanae ana gaduruu😂😂😂😂😂😂

  • @AimarMarrystella
    @AimarMarrystella 8 часов назад +3

    Sawaa mzazi akosei lkn umeacha mtoto na mama ako toka ana miaka 8 ad unamtafuta akiwa amemaliza 4m 5 really ...ulikua unaishi na amani kabisa na uku unajua alikua na maisha magumu et gaduruu sawaaa bhana

    • @aliceapollo8241
      @aliceapollo8241 8 часов назад

      Yn watu wanaongea hawaelew uchungu

    • @BerthaModest
      @BerthaModest 8 часов назад

      🙌💔inauma kuna wakat bora kuish maish ya njaa na mzaz wako wallah

    • @Zuu673
      @Zuu673 8 часов назад

      Na aliyemsomesha nani?

    • @AsiaMeme-s1q
      @AsiaMeme-s1q 8 часов назад +1

      Watu wanasem awajui kiatu Cha uyuu dada uyuu mama akili anaa kwann kakubal kuolewa alaf mtoto amtelekezee saf kabisa nimependa

  • @witnessmkenda8082
    @witnessmkenda8082 8 часов назад +1

    All in all mam ni mam hafananishwi n kitu chochote

  • @uwandameno
    @uwandameno Час назад

    Hii ishu wanatakiwa wataalamu wa saikoloji kuweza kusaidia kutatua mgogoro huu, kina Dr. Chris session hiii ina wahusu ingilie kati wakuu. Mama hakudhamiria kutoka moyo bali ugumu wa maisha na vikwazo kutoka kwa mume anayeishi naye kuepuka kurudi katika nyakati ngumu, ndiyo maana aliamua kuchukua maamuzi magumu.

  • @chisungatabitha134
    @chisungatabitha134 5 часов назад

    😂😂😂😂😂😂@kirwdio hausemi mama acha tu ngoja tusolve hili kwanza 😂

  • @hadijamandanje6189
    @hadijamandanje6189 Час назад

    Da mwenyewe kiredio umechoka,Mwenyezi Mungu atuongoze ni mtihani

  • @denicdaud4702
    @denicdaud4702 8 часов назад +6

    Kuna muda pesa sio kitu aseee😢😢😢

  • @Rosemary-sw3jy
    @Rosemary-sw3jy 7 часов назад +2

    Mama ni mjinga alikua tayari ushazaa bila mume ushakose baada uanze kufanya kazi unaenda kuolewa mtoto unamuacha kwa bibi unaendelee kukalia dudu😏

    • @greysonmsigwa5741
      @greysonmsigwa5741 7 часов назад

      Wew ni bint mdogo jitahid kuwa na maneno ya hekma

  • @AzizaMillanzi
    @AzizaMillanzi Час назад

    Hii story inanipa goosebumps wallah 😢angemsamehe tu mama ake had amejirud jmn