Mbaya sana hii kitu mtu huna msimamo unakuwa so mwanaume kamili so rafiki wa Mpenzi wako akileta mazoea kata simu block mwambie huna heshima kisha mwambie pia rafiki ake ambaye ndo Mpenzi wako full stop Ko kulazimishwa so kesi hapo mwanaume hatuna binafsi kucheat na rafiki mtu ni ufalaaaaa
Huyu jamaa alikua anataka wala haja forcewa isipokua alikua na wasiwasi kama yupo na dem wake alivojiridhisha kakubari make angekua hataki asingemtafuta tena wanaume tunazingua sana mwanamke akipenda hawezi kufanya ivo
ila kweli angekuwa ataki asingenmtafuta tena uyo dada lkn alikuwa anataka ,ila kingine awa wakina kiredio iyo kaz yao sio mzuri watakuja kufanyiwa kitu kibaya sana make wanacheza sana na mahusiano ya watu
Dhuuu! Mchezo ni mzuri,lakini mbaya sbb mumeharibu mahusiyano ya watu tayari. Lakini pia, heleweni mwanaume ni dhaifu sana pale anaposikia tendo la ndoa. Kwa mtego huu, ipo siku huyo jamaa atafanya juu chini mpaka atatembea na huyo dada mwengine. Kwakuwa mumekosea, Mungu awasamehe.
Hizi kazi jamanii so nzuri japo kua mnatafuta hela ila badala ya kupatanisha kwa wanandoa na wenye mahusiano nyinyi ndo mnagombanisha khaswaa jamanii hta ww uloanda kipnd hki bass ipo siku yko jua hv2
Mwanamke mwenye kujitambua humuepusha mwanaume wake majaribu. The man was firm ila for every man will fall in this kind of trap. Unfair to this gentleman.
Kiredio muongo eti mzee ana miaka 29 umeona wapi umesikia wapi wakati ndio mwisho mwisho wa kuitwa mtoto wa 2000 kuanzia 1996-2000 sisi ni mapacha😂96 bado tuko sana kwenye watoto wa 2000😂❤ alafu Kiredio yule Dada c Mama ni mdada alafu wewe ni mtoto is all about stage by stage tena Dada mkali gari ya maana alafu mbaya zaidi ni fans ako anakujua 😂😂😂❤
Part 2 Hii Hapa👇
ruclips.net/video/opIfKNPEX3U/видео.htmlfeature=shared
@@kiredio_ safi shabiki ako kutokea hapa south Africa tuombe uzima mwaz 12 naingia jiandae
Nipe jina la account ya huyo jamaa bas
@@SabrinaMohammedythe Pluto show
namba imetajwa full 😂😂😂 hamjakata
Tutakuja kukosa ela kimzaha mzaha kuogop kupokea sim za mashemeji 🤣🤣🤣
Mwamba aliyefumaniwa yupo makini sanaa. Alikuwa hana mpango wa kucheat sema mmemlazimisha sanaa.
😢😢 umeonaeeeh...yupo makini sana alaf anaheshimu mahusiano yake..wamemlazimisha tuuu
Mbaya sana hii kitu mtu huna msimamo unakuwa so mwanaume kamili so rafiki wa Mpenzi wako akileta mazoea kata simu block mwambie huna heshima kisha mwambie pia rafiki ake ambaye ndo Mpenzi wako full stop
Ko kulazimishwa so kesi hapo mwanaume hatuna binafsi kucheat na rafiki mtu ni ufalaaaaa
Ndio ukaze sasa hamna cha kulazimishwa hapoo
@@MarioChottahndio kbs 😢
Kweli wamelazimisha ku cheat! Huyo kaka alikua anampendavsama Dem wake! Hata huyo Dada ni mjinga way asinge end up mda ule ule boy wake alivyo kataa!
Waaah jaman wakenya naomben like zenu kwa pluto
Asee kaka mumetisha kinoma sana mungu awe maisha marefu tanzania 🇹🇿 kenya 🇰🇪
Pluto umejitahidi kuongea fluent swahili. Big up nakungoja mombasa unisanitizie iki kiumbe changu
Sending love from Kenya 🇰🇪🇰🇪 kiredio❤❤❤❤hapo sasa our guy thee Pluto ❤❤❤rudi Kenya
Huyu jamaa alikua anataka wala haja forcewa isipokua alikua na wasiwasi kama yupo na dem wake alivojiridhisha kakubari make angekua hataki asingemtafuta tena wanaume tunazingua sana mwanamke akipenda hawezi kufanya ivo
ila kweli angekuwa ataki asingenmtafuta tena uyo dada lkn alikuwa anataka ,ila kingine awa wakina kiredio iyo kaz yao sio mzuri watakuja kufanyiwa kitu kibaya sana make wanacheza sana na mahusiano ya watu
The pluto.. Nakupenda sana and nakufatilia sana... Karibu tanzania
Jamani the Pluto show nakupenda sana nafatilia show zako sana ❤❤❤kiredio umetisha❤❤❤❤
Huuyu ako na kelele mob sana sijui kiredio au,,,waa lakini madem wa tz wanabonga fiti niaje🤩😍sauti tamuu
Team Pluto we’re here❤tunavunja ndoa cha lazima 😂😂😂
Uyo dada mwenye mpenzi nmempenda sana jmn . Anaelewa the real situation ya wanaume ata angekubali asingepanik
Hayo mahusiano yalikua yametulia na yapo strong mme m force sana huyo kaka mna haribu mahusiano ya watu bure
The creativity in our boy Pluto is on another level
I love this collaboration. the video was amazing. watching from kenya
Pluto ni mmoja🎉🎉 ata tz wameiga kwake.. nampenda sana
Nanyie mpunguzage kamdomo
Different kabs ,
Pluto ni muunganishaji,
Kiredio ni mvunjaji 😂😂
Huyu mkenya anajua sana hizi kazi sjawah mfwatilia ila anaonekan mjanja sana
😂😂😂njoo usubscribe
@@theeplutoshowakuje aangalie show zako atafurahi i really love you pluto na show zako hahaha
Uyo ndio bingwa wa hizi kazi yaaan uyo kitedio mwenyw anajifunza kwake
@@pablocj376kiredio oio😂😂
Huyu pongezi zetu humfuata
safi sana pluto 🤣🤣 na kiredio ni unyama ,,,,,,,mm n tom kutoka 254 na pluto nasoma hapa morogoro njooni tusafishe street hapa morogoro mjini😃😃😃😃
Theeeeeeeee plutooooooo mwambaaaaaa nakukubali sana jamaangu keep up brother from 254
Sitokubali kumfanyia challenge mpenz wangu eeeh kalazimishwa sana
Sema hii n hatari mwanaume anatakiwa awe mwelewa sana sana ili wasiachane! Good work kiredio, pia Mungu akulinde sana
Dhuuu! Mchezo ni mzuri,lakini mbaya sbb mumeharibu mahusiyano ya watu tayari. Lakini pia, heleweni mwanaume ni dhaifu sana pale anaposikia tendo la ndoa. Kwa mtego huu, ipo siku huyo jamaa atafanya juu chini mpaka atatembea na huyo dada mwengine. Kwakuwa mumekosea, Mungu awasamehe.
sahihi
Kiredio nimekubali kaz kuonana na Pluto jaama anajuwa sana huyu mkenya
Mmemlazimisha kaka wa watu bwana😂😂😂😂😂😂
Pluto karibu tz brouh nakufuatilia sana kazi zako
Yaani Kiredio 😂 anafurahia kuwa na thee pluto 😂 mkitegea job 😅😂❤❤❤❤
Mdada endelea kuwa na mpenz wako anakupenda sana
❤❤ New subscribe from +254...😅😅😅 nmekuja sababu ya The Plutoo🎉🎉🎉🎉
The Pluto in the house 😂😂 kiredio umepiga hatua kubwa sana
Hizi kazi jamanii so nzuri japo kua mnatafuta hela ila badala ya kupatanisha kwa wanandoa na wenye mahusiano nyinyi ndo mnagombanisha khaswaa jamanii hta ww uloanda kipnd hki bass ipo siku yko jua hv2
Nishamkubali uyo dada jinsi alivyo unyesha mkono wake❤ na nibonge la pisi
NIPITIE PLEASE
Mwanamke mwenye kujitambua humuepusha mwanaume wake majaribu. The man was firm ila for every man will fall in this kind of trap. Unfair to this gentleman.
Umemlz bruh
Leo sijachelew sana leo tupo pamoja ❤❤
Kam unamarafiki zaidi ya kumi kutoka nairobi piga likes tufike kumi 😊😊
kiredio ebu acha uchoko mwanangu unacho kifanya sio sawa😊
Napenda kiswahili cha huyo MKENYA 🇰🇪 had raha❤❤❤
Nina uhakika asilimia 700 huyo baba J atakuja atembee na huyo rafiki ake huyu hawajui wanaume vizuri 😂😂😂😂😂atatembea nae lazima 💯
😂😂😂
I know my man ana mambo mengi🤣🤣🤣
Wamelazimisha sana huyu kaka anapenda mpenzi wake😊
@@surayammanga8190 kbs
Tena saan mm hyo siihesabu kama ni fumaniz kwakwelii🙌🙌🙌
hampendi alikuwa tu anaogopa isiwe demu wake ndiye amemtuma,,hamprndi
@@dedan1443nakubaliana na wewe
Kiredio muongo eti mzee ana miaka 29 umeona wapi umesikia wapi wakati ndio mwisho mwisho wa kuitwa mtoto wa 2000 kuanzia 1996-2000 sisi ni mapacha😂96 bado tuko sana kwenye watoto wa 2000😂❤ alafu Kiredio yule Dada c Mama ni mdada alafu wewe ni mtoto is all about stage by stage tena Dada mkali gari ya maana alafu mbaya zaidi ni fans ako anakujua 😂😂😂❤
Uyo mwanamke ametaka kuvunja penzi lake mwenyewe
Ila hii mmemlazimisha mwamba mpaka mkamfumania! Mwamba ni mwaminifu
yani we kiredio unavyo furahi mwanaume kuingia kweny mtego wako 😂😂😂😂😂😂
Jmn huyo dada😂😂 ety nimebanwaa
huyu kaka anampenda dame ake❤❤❤ bhn🥰🙌.....
Daaah mmemuonea huyo jamaa😂😂 wanapendana bhn
Like za Baba zoeyyyyyyyy hereee😅
Umejisikia raha mwenyewe kuharïbu huba la watu😢😂😂
Nawakubali sana Pluto karibu sana Tz tunakupenda na tunakufiatilia sana
Swahili love ni tamu wuehh🤭 Babyy ehh Mpenzii ehh wueh wueh
Wee the plutoo to the building 😅🎉mzee wa kusanitize namfatiliaga sana aisee
uyu kaka mmemuonea sana😢😢 sijapenda dada usimuache bwana ako😢😢
Kwahiyo kiredio asubuhi ukitoka nyumban unaenda kazin na kazi yenyew n yakuwinda mahusiano ya watu uyavunje😂😂😂😂
😂😂
Anavunja mahusiano yaliyolegalega
😅😅😅😅😅😅😅😅
😂😂😂😂
😅😅😅😅😅😅😅
hawa wanachuo wanaonewa tu wako kwenye stage ya uchaguzi bado!kutana na hii miamba iliyooa nakuolewa nandio mabingwa wakucheat😄
Kwel kabsa
Jamaa ni muaminifu basi tuu wamemfosi 😂😂😂 lakini alikua Hana mpango kabisaaaa Tena mgumu haswa😅
I like this collaboration
Kabogo nimesoma nae huyo mpe hi sana my wii😊
Nampenda pluto
Nashukuru sana 🎉
@@theeplutoshowuko poa sana kaka
Brother kiredio unapenda san michezo kama hizo lakn niatari san ndugu 😂😂😂😂🎉
Huyu rafiki mtu anaonekana kungwi wa hayo mambo😂😂
mwamba nimempenda sana jaman wanaume wapo nyieeee
From kenya 🇰🇪piga like
Ngojea pluto akufundishe kazi
😂😂😂😂kiredio umbea upo kwenye damu hadi unaruka ruka
😂😂😂😂😂
😂😂😂 yan
😂😂😂@@YasintaRobert-q9v
@@YasintaRobert-q9v hatuliii kabisa
😅😅😅
❤❤❤❤kazi nzuri pluto
Pluto hiyo ndio kazi yake kiredio ngoja ufundishwe kazi 😂😂😂
Huyo mdada ataenda kumpa show mwanaume wake mpaka aenjoy
Wow prutoo nakpenda jmn😊
Wanaume ni shida...kitu sitawahi kuamini ni hawa viumbe wa miguu mitatu...
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
😅😅😅
Not even my father🤣🤣..cz they always erected, ready to deep it wherever possible..🤣
NIPITIE PLEASE
Sema kiredio anapenda umbea kuliko kula😂😂😂
Ndo maan hanenepi😄😄
Leo nimekuwa wa nne kucomment 😅 nipeni like ivo ivo😅
نستسلسللسفسءغايتبنبهعثاصةصاصايتتيي
Kaka wawatu angejua kama anawindwa kama helaa😂😂
Nilikuwa nataman Kumwona hatimaye ndani ya tz love pluto❤
Ploto anajua sana daaaah ni familia
😂😂😂kiswahili ya pluto bana😄😄yaani akienda mahali anaongea kama wao😄😄i like it unajaribu....😅
Eeeh,huyo dada kajua kutongoza kweli 😅😅😅
Vepe vepe😂😂😂watu wa thee Pluto tumefika...mark register hapa na like 👍😂
Chonjochonjo wazi joo
@@vivianagolla5124 hapo sawa
Rada mbya
Mahusiano ya huyu binti imevunjwa kwa lazima🙌
Kaka fanya nae wa comrade flavour from +254 anabalaa sana
Kiredio jifunze kwa huyo the pluto jamaaa wa mda mrefu alfu yuko vzr sana anaweza hizo challenge
Pluto yupo very serious for contact😂😂😂
The ploto mambo ayapendayo😂😂😂😂 ona anavyo rukaruka😂😂😂😂
Mmh ana future nzuri sana nyuma yake😅
Pluto yuko vzr sana kwenye kazi hizi🤝
Ila kiredio unavunja mahusiano ya watu ww.... Watu wapo siriaz na mahusiano yao ww unafoc yavunjike... 😂
Peleka uko😂
Kwann asiwe na msimamo unavunjiwaje mahusiano kama wewe ni mwaminifu....
Acha umalaya
😂😂 dah hii nimeipenda sana comb yenu
Dah huyu Mkenya anajua Sana nimejikuta nacoment Kwa mara ya kwanza humu.
Ndo kazi yake huyo¡ Fundi sna the pluto❤
Kiredio unaongea sana bana...kelele nyingi kwa mike
Enyewe hiki ni kiredio cha ukweli 😂😂😂anaongea sana ...bro chil chief sanitizer akufunze kazi 😂😂
😂😂😂😂😢
Kiredio anacheka Cheka sana na yeye...hatuliii
😂😂😂😂Kiredio bado mtoto kwenye hizi vitu Thee Pluton ni balaa Jamaaa anajua ni hatrreeee
Huu mchongo hata mimi sitoboi. 😂😂😂😂😂
Mamae!😂
Oy the plutoo big up sn man nakufatilia toka kitambo,kazi nzuri.by from eastzoo
HII MMEZINGUA MMEMFORCE SANA JAMAA ..NA MNAJUA MWANAUME NI MTU WA MATAMANIO
atakama si angejizuia heee😂
Mtu katongozwa kidogo tu kalegea alikuwa anamtaka bwana 😂
Apo kafosiwa na Nan maneno machache tuuuu
Amazing from the Pluto show.Watching from Kenya
Sipo tyr kumpoteza mwanaume naempenda sana 7bu ya challenge 😢huyo kaka mmemforce sana ety😏😮😅😅
Kiredio umetisha mzee huyo jamaa nae ni noumaaaaa namkubali sana
😅😅😅😅 movie mzuli sana kiredio
Mtakuja kupigwa nyie mpk mpotee njia😂😂
LAWAMA HAJAUMBIWA MBWA 😄😄😄😄😄💔
From pluto show, new sub
Ila wanaume🙌🙌🙌 kichwa cha chini kikiwaga kimerefuka🙌🙌 akili inakuwa haipo masikini
😂😂😂 dah
Kwel kabisa
Hakili zako hazina hakili 😂😂