FUMANIZI SINZA DAR PART 1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 1 тыс.

  • @kiredio_
    @kiredio_  27 дней назад +133

    Part 2 Hii Hapa👇
    ruclips.net/video/opIfKNPEX3U/видео.htmlfeature=shared

    • @AmaniRashidi-i9b
      @AmaniRashidi-i9b 27 дней назад +10

      @@kiredio_ safi shabiki ako kutokea hapa south Africa tuombe uzima mwaz 12 naingia jiandae

    • @SabrinaMohammedy
      @SabrinaMohammedy 27 дней назад +2

      Nipe jina la account ya huyo jamaa bas

    • @starboyocal5393
      @starboyocal5393 27 дней назад +3

      @@SabrinaMohammedythe Pluto show

    • @dicksonfue1389
      @dicksonfue1389 27 дней назад

      namba imetajwa full 😂😂😂 hamjakata

    • @petropapaa
      @petropapaa 26 дней назад

      Tutakuja kukosa ela kimzaha mzaha kuogop kupokea sim za mashemeji 🤣🤣🤣

  • @babuuclassic
    @babuuclassic 27 дней назад +214

    Mwamba aliyefumaniwa yupo makini sanaa. Alikuwa hana mpango wa kucheat sema mmemlazimisha sanaa.

    • @MariamaryKambuwa
      @MariamaryKambuwa 27 дней назад +13

      😢😢 umeonaeeeh...yupo makini sana alaf anaheshimu mahusiano yake..wamemlazimisha tuuu

    • @MarioChottah
      @MarioChottah 27 дней назад +17

      Mbaya sana hii kitu mtu huna msimamo unakuwa so mwanaume kamili so rafiki wa Mpenzi wako akileta mazoea kata simu block mwambie huna heshima kisha mwambie pia rafiki ake ambaye ndo Mpenzi wako full stop
      Ko kulazimishwa so kesi hapo mwanaume hatuna binafsi kucheat na rafiki mtu ni ufalaaaaa

    • @trendings1293
      @trendings1293 26 дней назад +6

      Ndio ukaze sasa hamna cha kulazimishwa hapoo

    • @Idayajudy
      @Idayajudy 26 дней назад +3

      @@MarioChottahndio kbs 😢

    • @marryeliasmarryelias9289
      @marryeliasmarryelias9289 26 дней назад +4

      Kweli wamelazimisha ku cheat! Huyo kaka alikua anampendavsama Dem wake! Hata huyo Dada ni mjinga way asinge end up mda ule ule boy wake alivyo kataa!

  • @EmanoelPeter-rv1ly
    @EmanoelPeter-rv1ly 26 дней назад +43

    Waaah jaman wakenya naomben like zenu kwa pluto

  • @SadatiMdeke-x6t
    @SadatiMdeke-x6t 15 дней назад +3

    Asee kaka mumetisha kinoma sana mungu awe maisha marefu tanzania 🇹🇿 kenya 🇰🇪

  • @missyt343
    @missyt343 26 дней назад +10

    Pluto umejitahidi kuongea fluent swahili. Big up nakungoja mombasa unisanitizie iki kiumbe changu

  • @TheOfficialEmpressNancy
    @TheOfficialEmpressNancy 26 дней назад +13

    Sending love from Kenya 🇰🇪🇰🇪 kiredio❤❤❤❤hapo sasa our guy thee Pluto ❤❤❤rudi Kenya

  • @boscomwanisongole9173
    @boscomwanisongole9173 24 дня назад +25

    Huyu jamaa alikua anataka wala haja forcewa isipokua alikua na wasiwasi kama yupo na dem wake alivojiridhisha kakubari make angekua hataki asingemtafuta tena wanaume tunazingua sana mwanamke akipenda hawezi kufanya ivo

    • @AishaMbomole
      @AishaMbomole 19 дней назад +1

      ila kweli angekuwa ataki asingenmtafuta tena uyo dada lkn alikuwa anataka ,ila kingine awa wakina kiredio iyo kaz yao sio mzuri watakuja kufanyiwa kitu kibaya sana make wanacheza sana na mahusiano ya watu

  • @user-hd1uf6cb2c
    @user-hd1uf6cb2c 25 дней назад +7

    The pluto.. Nakupenda sana and nakufatilia sana... Karibu tanzania

  • @GreceRobert
    @GreceRobert 25 дней назад +10

    Jamani the Pluto show nakupenda sana nafatilia show zako sana ❤❤❤kiredio umetisha❤❤❤❤

  • @dedan1443
    @dedan1443 26 дней назад +8

    Huuyu ako na kelele mob sana sijui kiredio au,,,waa lakini madem wa tz wanabonga fiti niaje🤩😍sauti tamuu

  • @jewelzarry8465
    @jewelzarry8465 26 дней назад +9

    Team Pluto we’re here❤tunavunja ndoa cha lazima 😂😂😂

  • @LeylaKijaji
    @LeylaKijaji 27 дней назад +22

    Uyo dada mwenye mpenzi nmempenda sana jmn . Anaelewa the real situation ya wanaume ata angekubali asingepanik

  • @ngwacahnyagwaswa9979
    @ngwacahnyagwaswa9979 26 дней назад +22

    Hayo mahusiano yalikua yametulia na yapo strong mme m force sana huyo kaka mna haribu mahusiano ya watu bure

  • @trizahtesh001
    @trizahtesh001 26 дней назад +12

    The creativity in our boy Pluto is on another level

  • @KennahMbimo
    @KennahMbimo 27 дней назад +8

    I love this collaboration. the video was amazing. watching from kenya

  • @BrightnessGasper
    @BrightnessGasper 26 дней назад +24

    Pluto ni mmoja🎉🎉 ata tz wameiga kwake.. nampenda sana

    • @joelsamwel2580
      @joelsamwel2580 26 дней назад +2

      Nanyie mpunguzage kamdomo

    • @SobiTz
      @SobiTz 25 дней назад

      Different kabs ,
      Pluto ni muunganishaji,
      Kiredio ni mvunjaji 😂😂

  • @EkronMasilu-d3j
    @EkronMasilu-d3j 27 дней назад +99

    Huyu mkenya anajua sana hizi kazi sjawah mfwatilia ila anaonekan mjanja sana

    • @theeplutoshow
      @theeplutoshow 26 дней назад +29

      😂😂😂njoo usubscribe

    • @sophiasingano6944
      @sophiasingano6944 26 дней назад +5

      ​@@theeplutoshowakuje aangalie show zako atafurahi i really love you pluto na show zako hahaha

    • @pablocj376
      @pablocj376 26 дней назад +5

      Uyo ndio bingwa wa hizi kazi yaaan uyo kitedio mwenyw anajifunza kwake

    • @user-eh5dc1hr6j
      @user-eh5dc1hr6j 26 дней назад

      ​@@pablocj376kiredio oio😂😂

    • @CarenAtieno-s6q
      @CarenAtieno-s6q 26 дней назад +1

      Huyu pongezi zetu humfuata

  • @DrTom6
    @DrTom6 26 дней назад +14

    safi sana pluto 🤣🤣 na kiredio ni unyama ,,,,,,,mm n tom kutoka 254 na pluto nasoma hapa morogoro njooni tusafishe street hapa morogoro mjini😃😃😃😃

  • @JohnsonMuthenya
    @JohnsonMuthenya 26 дней назад +15

    Theeeeeeeee plutooooooo mwambaaaaaa nakukubali sana jamaangu keep up brother from 254

  • @RahmaMohamedi-yg7mi
    @RahmaMohamedi-yg7mi 23 дня назад +7

    Sitokubali kumfanyia challenge mpenz wangu eeeh kalazimishwa sana

  • @farajaMezza-qn4be
    @farajaMezza-qn4be 26 дней назад +9

    Sema hii n hatari mwanaume anatakiwa awe mwelewa sana sana ili wasiachane! Good work kiredio, pia Mungu akulinde sana

  • @mwanjammassa8563
    @mwanjammassa8563 26 дней назад +13

    Dhuuu! Mchezo ni mzuri,lakini mbaya sbb mumeharibu mahusiyano ya watu tayari. Lakini pia, heleweni mwanaume ni dhaifu sana pale anaposikia tendo la ndoa. Kwa mtego huu, ipo siku huyo jamaa atafanya juu chini mpaka atatembea na huyo dada mwengine. Kwakuwa mumekosea, Mungu awasamehe.

  • @sleimanbakar9593
    @sleimanbakar9593 26 дней назад +10

    Kiredio nimekubali kaz kuonana na Pluto jaama anajuwa sana huyu mkenya

  • @glorymushi2822
    @glorymushi2822 26 дней назад +11

    Mmemlazimisha kaka wa watu bwana😂😂😂😂😂😂

  • @happynkya9770
    @happynkya9770 26 дней назад +5

    Pluto karibu tz brouh nakufuatilia sana kazi zako

  • @janefferndungwamutua1678
    @janefferndungwamutua1678 16 дней назад +2

    Yaani Kiredio 😂 anafurahia kuwa na thee pluto 😂 mkitegea job 😅😂❤❤❤❤

  • @imanifirempala1370
    @imanifirempala1370 26 дней назад +9

    Mdada endelea kuwa na mpenz wako anakupenda sana

  • @MariamaryKambuwa
    @MariamaryKambuwa 27 дней назад +28

    ❤❤ New subscribe from +254...😅😅😅 nmekuja sababu ya The Plutoo🎉🎉🎉🎉

  • @Humanity21216
    @Humanity21216 26 дней назад +6

    The Pluto in the house 😂😂 kiredio umepiga hatua kubwa sana

  • @SuleymanSaid
    @SuleymanSaid 22 дня назад +3

    Hizi kazi jamanii so nzuri japo kua mnatafuta hela ila badala ya kupatanisha kwa wanandoa na wenye mahusiano nyinyi ndo mnagombanisha khaswaa jamanii hta ww uloanda kipnd hki bass ipo siku yko jua hv2

  • @ibraimoselemane17ibraimo29
    @ibraimoselemane17ibraimo29 27 дней назад +18

    Nishamkubali uyo dada jinsi alivyo unyesha mkono wake❤ na nibonge la pisi

  • @chrissameri465
    @chrissameri465 26 дней назад +22

    Mwanamke mwenye kujitambua humuepusha mwanaume wake majaribu. The man was firm ila for every man will fall in this kind of trap. Unfair to this gentleman.

  • @ZulfaMjege
    @ZulfaMjege 27 дней назад +25

    Leo sijachelew sana leo tupo pamoja ❤❤

  • @gilbertoisso
    @gilbertoisso 27 дней назад +78

    Kam unamarafiki zaidi ya kumi kutoka nairobi piga likes tufike kumi 😊😊

  • @prosperiamani
    @prosperiamani 26 дней назад +7

    kiredio ebu acha uchoko mwanangu unacho kifanya sio sawa😊

  • @user-no7pz1bz4y
    @user-no7pz1bz4y 22 дня назад +2

    Napenda kiswahili cha huyo MKENYA 🇰🇪 had raha❤❤❤

  • @AishaHaji-h4d
    @AishaHaji-h4d 27 дней назад +36

    Nina uhakika asilimia 700 huyo baba J atakuja atembee na huyo rafiki ake huyu hawajui wanaume vizuri 😂😂😂😂😂atatembea nae lazima 💯

  • @surayammanga8190
    @surayammanga8190 27 дней назад +59

    Wamelazimisha sana huyu kaka anapenda mpenzi wake😊

    • @RoseSilayo-eb2dz
      @RoseSilayo-eb2dz 27 дней назад

      @@surayammanga8190 kbs

    • @CatherineSamson-p6l
      @CatherineSamson-p6l 26 дней назад +2

      Tena saan mm hyo siihesabu kama ni fumaniz kwakwelii🙌🙌🙌

    • @dedan1443
      @dedan1443 26 дней назад

      hampendi alikuwa tu anaogopa isiwe demu wake ndiye amemtuma,,hamprndi

    • @issajumaali4009
      @issajumaali4009 25 дней назад

      ​@@dedan1443nakubaliana na wewe

  • @nellymtambo8432
    @nellymtambo8432 26 дней назад +4

    Kiredio muongo eti mzee ana miaka 29 umeona wapi umesikia wapi wakati ndio mwisho mwisho wa kuitwa mtoto wa 2000 kuanzia 1996-2000 sisi ni mapacha😂96 bado tuko sana kwenye watoto wa 2000😂❤ alafu Kiredio yule Dada c Mama ni mdada alafu wewe ni mtoto is all about stage by stage tena Dada mkali gari ya maana alafu mbaya zaidi ni fans ako anakujua 😂😂😂❤

  • @VincentGasper
    @VincentGasper 26 дней назад +10

    Uyo mwanamke ametaka kuvunja penzi lake mwenyewe

  • @charlestryphone656
    @charlestryphone656 26 дней назад +14

    Ila hii mmemlazimisha mwamba mpaka mkamfumania! Mwamba ni mwaminifu

  • @salmamashango6295
    @salmamashango6295 13 дней назад +1

    yani we kiredio unavyo furahi mwanaume kuingia kweny mtego wako 😂😂😂😂😂😂

  • @swaibahhassan5056
    @swaibahhassan5056 26 дней назад +9

    Jmn huyo dada😂😂 ety nimebanwaa

  • @lilianmtasiwa9614
    @lilianmtasiwa9614 27 дней назад +11

    huyu kaka anampenda dame ake❤❤❤ bhn🥰🙌.....

  • @GraceIbrahim-g3o
    @GraceIbrahim-g3o 23 дня назад +3

    Daaah mmemuonea huyo jamaa😂😂 wanapendana bhn

  • @hamisahodari9229
    @hamisahodari9229 27 дней назад +93

    Like za Baba zoeyyyyyyyy hereee😅

  • @tattyanasallym4713
    @tattyanasallym4713 23 дня назад +3

    Umejisikia raha mwenyewe kuharïbu huba la watu😢😂😂

  • @neymishytz9302
    @neymishytz9302 26 дней назад +2

    Nawakubali sana Pluto karibu sana Tz tunakupenda na tunakufiatilia sana

  • @betonme1
    @betonme1 26 дней назад +3

    Swahili love ni tamu wuehh🤭 Babyy ehh Mpenzii ehh wueh wueh

  • @fatumaomari7742
    @fatumaomari7742 18 дней назад +1

    Wee the plutoo to the building 😅🎉mzee wa kusanitize namfatiliaga sana aisee

  • @tatutatu1570
    @tatutatu1570 25 дней назад +4

    uyu kaka mmemuonea sana😢😢 sijapenda dada usimuache bwana ako😢😢

  • @HamissaAbassi
    @HamissaAbassi 26 дней назад +76

    Kwahiyo kiredio asubuhi ukitoka nyumban unaenda kazin na kazi yenyew n yakuwinda mahusiano ya watu uyavunje😂😂😂😂

  • @lindaluhanga4065
    @lindaluhanga4065 27 дней назад +21

    hawa wanachuo wanaonewa tu wako kwenye stage ya uchaguzi bado!kutana na hii miamba iliyooa nakuolewa nandio mabingwa wakucheat😄

  • @jacklineayubu4763
    @jacklineayubu4763 23 дня назад +2

    Jamaa ni muaminifu basi tuu wamemfosi 😂😂😂 lakini alikua Hana mpango kabisaaaa Tena mgumu haswa😅

  • @HellenJulius-ky7sx
    @HellenJulius-ky7sx 27 дней назад +11

    I like this collaboration

  • @user-no7pz1bz4y
    @user-no7pz1bz4y 22 дня назад +2

    Kabogo nimesoma nae huyo mpe hi sana my wii😊

  • @LidiahKajema-hy6gm
    @LidiahKajema-hy6gm 27 дней назад +20

    Nampenda pluto

  • @EmmanuelLaizer-r8c
    @EmmanuelLaizer-r8c 22 дня назад +3

    Brother kiredio unapenda san michezo kama hizo lakn niatari san ndugu 😂😂😂😂🎉

  • @kendrickabel7901
    @kendrickabel7901 24 дня назад +3

    Huyu rafiki mtu anaonekana kungwi wa hayo mambo😂😂

  • @CutenessSanga-ys7dc
    @CutenessSanga-ys7dc 19 дней назад +1

    mwamba nimempenda sana jaman wanaume wapo nyieeee

  • @evamugus9185
    @evamugus9185 26 дней назад +36

    From kenya 🇰🇪piga like

  • @aishakambenga6191
    @aishakambenga6191 27 дней назад +57

    Ngojea pluto akufundishe kazi

  • @marymajenzi5617
    @marymajenzi5617 27 дней назад +22

    😂😂😂😂kiredio umbea upo kwenye damu hadi unaruka ruka

  • @bethnjeri7644
    @bethnjeri7644 15 дней назад +1

    ❤❤❤❤kazi nzuri pluto

  • @auntmakochela4202
    @auntmakochela4202 27 дней назад +8

    Pluto hiyo ndio kazi yake kiredio ngoja ufundishwe kazi 😂😂😂

  • @lilianestephanie7881
    @lilianestephanie7881 26 дней назад +5

    Huyo mdada ataenda kumpa show mwanaume wake mpaka aenjoy

  • @StellaStanphord
    @StellaStanphord 27 дней назад +6

    Wow prutoo nakpenda jmn😊

  • @popod177
    @popod177 27 дней назад +32

    Wanaume ni shida...kitu sitawahi kuamini ni hawa viumbe wa miguu mitatu...

    • @user-gv1vz7qd9i
      @user-gv1vz7qd9i 27 дней назад +2

      😂😂😂😂

    • @youdya
      @youdya 27 дней назад

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @luphafamily8971
      @luphafamily8971 27 дней назад +1

      😅😅😅

    • @popod177
      @popod177 27 дней назад

      Not even my father🤣🤣..cz they always erected, ready to deep it wherever possible..🤣

    • @SHINECONJER
      @SHINECONJER 26 дней назад

      NIPITIE PLEASE

  • @tc_angel
    @tc_angel 26 дней назад +5

    Sema kiredio anapenda umbea kuliko kula😂😂😂

  • @corebomwaijobela6332
    @corebomwaijobela6332 27 дней назад +22

    Leo nimekuwa wa nne kucomment 😅 nipeni like ivo ivo😅

    • @fimboonlinetv5282
      @fimboonlinetv5282 26 дней назад

      نستسلسللسفسءغايتبنبهعثاصةصاصايتتيي

  • @user-mb7jn6ed4l
    @user-mb7jn6ed4l 23 дня назад +3

    Kaka wawatu angejua kama anawindwa kama helaa😂😂

  • @zuwenamwambungu3982
    @zuwenamwambungu3982 25 дней назад +2

    Nilikuwa nataman Kumwona hatimaye ndani ya tz love pluto❤

  • @CallMeog-df6wu
    @CallMeog-df6wu 26 дней назад +8

    Ploto anajua sana daaaah ni familia

  • @MuhandeMercy-w1l
    @MuhandeMercy-w1l 24 дня назад +5

    😂😂😂kiswahili ya pluto bana😄😄yaani akienda mahali anaongea kama wao😄😄i like it unajaribu....😅

  • @Florence-wc1dl
    @Florence-wc1dl 25 дней назад +2

    Eeeh,huyo dada kajua kutongoza kweli 😅😅😅

  • @lydialynn2586
    @lydialynn2586 26 дней назад +27

    Vepe vepe😂😂😂watu wa thee Pluto tumefika...mark register hapa na like 👍😂

  • @managerbenlight9701
    @managerbenlight9701 24 дня назад +2

    Mahusiano ya huyu binti imevunjwa kwa lazima🙌

  • @michaelherberth575
    @michaelherberth575 27 дней назад +4

    Kaka fanya nae wa comrade flavour from +254 anabalaa sana

  • @ramadhanimtulya1962
    @ramadhanimtulya1962 21 день назад

    Kiredio jifunze kwa huyo the pluto jamaaa wa mda mrefu alfu yuko vzr sana anaweza hizo challenge

  • @rahymaaa4357
    @rahymaaa4357 27 дней назад +8

    Pluto yupo very serious for contact😂😂😂

  • @Susanumazi
    @Susanumazi 26 дней назад +2

    The ploto mambo ayapendayo😂😂😂😂 ona anavyo rukaruka😂😂😂😂

  • @davidsimon9610
    @davidsimon9610 27 дней назад +6

    Mmh ana future nzuri sana nyuma yake😅

  • @jennymoshy8514
    @jennymoshy8514 26 дней назад +1

    Pluto yuko vzr sana kwenye kazi hizi🤝

  • @AaAa-lq7mr
    @AaAa-lq7mr 27 дней назад +25

    Ila kiredio unavunja mahusiano ya watu ww.... Watu wapo siriaz na mahusiano yao ww unafoc yavunjike... 😂

  • @alatudinyahya6095
    @alatudinyahya6095 24 дня назад +2

    😂😂 dah hii nimeipenda sana comb yenu

  • @JumaMuhhamad
    @JumaMuhhamad 26 дней назад +12

    Dah huyu Mkenya anajua Sana nimejikuta nacoment Kwa mara ya kwanza humu.

    • @willz101faris..8
      @willz101faris..8 25 дней назад

      Ndo kazi yake huyo¡ Fundi sna the pluto❤

  • @Africanleopardess
    @Africanleopardess 24 дня назад +2

    Kiredio unaongea sana bana...kelele nyingi kwa mike

  • @gracembuthia7344
    @gracembuthia7344 26 дней назад +3

    Enyewe hiki ni kiredio cha ukweli 😂😂😂anaongea sana ...bro chil chief sanitizer akufunze kazi 😂😂

    • @Shifa-os7st
      @Shifa-os7st 26 дней назад

      😂😂😂😂😢

    • @hildakaaya354
      @hildakaaya354 8 дней назад

      Kiredio anacheka Cheka sana na yeye...hatuliii

  • @emmanuelfortunatus270
    @emmanuelfortunatus270 26 дней назад +1

    😂😂😂😂Kiredio bado mtoto kwenye hizi vitu Thee Pluton ni balaa Jamaaa anajua ni hatrreeee

  • @rojahkasato7077
    @rojahkasato7077 26 дней назад +5

    Huu mchongo hata mimi sitoboi. 😂😂😂😂😂

  • @CharlesMabwayi
    @CharlesMabwayi 25 дней назад

    Oy the plutoo big up sn man nakufatilia toka kitambo,kazi nzuri.by from eastzoo

  • @juliuskomu8823
    @juliuskomu8823 27 дней назад +22

    HII MMEZINGUA MMEMFORCE SANA JAMAA ..NA MNAJUA MWANAUME NI MTU WA MATAMANIO

    • @SalmahOneh
      @SalmahOneh 26 дней назад

      atakama si angejizuia heee😂

    • @MaryamShedrack
      @MaryamShedrack 26 дней назад

      Mtu katongozwa kidogo tu kalegea alikuwa anamtaka bwana 😂

    • @neemaassenga5557
      @neemaassenga5557 25 дней назад

      Apo kafosiwa na Nan maneno machache tuuuu

  • @murendetvextra
    @murendetvextra 26 дней назад +1

    Amazing from the Pluto show.Watching from Kenya

  • @faithkaganda-k3s
    @faithkaganda-k3s 26 дней назад +7

    Sipo tyr kumpoteza mwanaume naempenda sana 7bu ya challenge 😢huyo kaka mmemforce sana ety😏😮😅😅

  • @emmanuelpaul5704
    @emmanuelpaul5704 23 дня назад

    Kiredio umetisha mzee huyo jamaa nae ni noumaaaaa namkubali sana

  • @modestajamada3496
    @modestajamada3496 26 дней назад +4

    😅😅😅😅 movie mzuli sana kiredio

  • @anithamwakamyanda
    @anithamwakamyanda 12 дней назад +1

    Mtakuja kupigwa nyie mpk mpotee njia😂😂

  • @jumerbaron4408
    @jumerbaron4408 24 дня назад +5

    LAWAMA HAJAUMBIWA MBWA 😄😄😄😄😄💔

  • @KeruboBebs
    @KeruboBebs 27 дней назад +4

    From pluto show, new sub

  • @lilianestephanie7881
    @lilianestephanie7881 26 дней назад +11

    Ila wanaume🙌🙌🙌 kichwa cha chini kikiwaga kimerefuka🙌🙌 akili inakuwa haipo masikini