SASHA MAKOYE: AMFUMANIA BOFYFRIEND WAKE/KIREDIO ATOBOA MCHONGO/NIMEMBLOCK KIREDIO KUTRENDISHA VIDEO.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • Nyie😂😂😂 Kumbe Kuna Wadada Bado Wanalipa Kodi? Wanakununulia Usafiri Na Mipango Ya Biashara Wanakunyooshea??? TEAM STRONG MKO VIZURI
    Usisahau ku subscribe RUclips channel ili kuwa mwanafamilia wa Bongo Fm.
    #simbafans #nbcsports #timuyawananchi
    #timuyawananchi #tpmazembe #rajacasablanca #daimambelenyumamwiko #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #michelo #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts #simbasc

Комментарии • 485

  • @SekelaJakson-ls7dd
    @SekelaJakson-ls7dd 2 месяца назад +135

    😮waliogundua ni kiki like hapa

    • @shuwehaharuna6309
      @shuwehaharuna6309 2 месяца назад

      Mimi nilijua kuona bagi Tu nikajua hii ni Kiki 😂

    • @DfhhffDryy
      @DfhhffDryy 2 месяца назад

      Kwanza kwa hella gani jmn mshahara wenyewe umeshuka

    • @HawaJumanne-uy4eu
      @HawaJumanne-uy4eu 2 месяца назад +1

      Kwa kweli nimechoka huyu dada katufanya sisi watoto kumbe katengeneza muvi😢😅😂

    • @UpendoLema-bx9ji
      @UpendoLema-bx9ji 2 месяца назад +1

      Duuuh

    • @Marry-k5p
      @Marry-k5p 2 месяца назад +1

      Huyu sio wa ramata badala ya lamata na ruru badala ya lulu😂😂😂ili igizo hili

  • @Amayrah-fe6ec
    @Amayrah-fe6ec 2 месяца назад +7

    Usimlaumu kiredio wakati ww mwenyewe na kihere here chako ndio ulimtafuta kiredio sasa kwa nn umlaumu kiredio😢

  • @NaahJr
    @NaahJr 2 месяца назад +15

    Sasha alitaka kutrend tuu 😂😂 atajuju aliyataka mwenyew kiredio asingeweza kumfata Sasha kwanza hamjui watu wanaopenda mambo ya mitandaoni ndo wanamtafta kiredio wenyewe 🤣😂😂😂

    • @RhobinaDaudi-iz4ju
      @RhobinaDaudi-iz4ju 2 месяца назад

      Alisema alimtafta kiredio mwenyew, sio kiredio aliemtafta huy dada

  • @EstellaMagara-zk2qx
    @EstellaMagara-zk2qx 2 месяца назад +63

    Kwa wale tumemujuwa kupitiya @kiredio like zenyu

  • @RayOmar-vk2nn
    @RayOmar-vk2nn 2 месяца назад +13

    Umeigiza juzi tubumetoka oman juzi tu wewe ni mfanyabiashara wewe ni housegirl omzn wewe ni muigizaji mashallah

  • @buyegintambi3867
    @buyegintambi3867 2 месяца назад +8

    Hahahaaaa.........kama ilikua ni private Kiredio umemtafuta wanini😊.

  • @calvin6445
    @calvin6445 27 дней назад

    Huyo sio Sasha😂😂😂
    Kiki wanatengeneza kutafuta viewers

  • @ClaraSudi
    @ClaraSudi 2 месяца назад +4

    Hata mm niliona jaman like beg halikuwa naki2 chchote mana co kwaubebaj uleee😂😂😂😂😂

  • @abdulsimbarakiye4145
    @abdulsimbarakiye4145 2 месяца назад

    Miss. Sasha your so beautiful mummy. Bout jama hana mana nimeumia sana mummy

  • @msalice4451
    @msalice4451 2 месяца назад +17

    ❤❤❤❤❤ mm Niko omani nataka nijue ALIKUWA anafanya kazi sehemi gani omani kama kweli ALIKUWA omani

    • @KuluthumuMsuwakollo
      @KuluthumuMsuwakollo 2 месяца назад

      Utakuwa umefanya la mana 😂😂

    • @HappyChona
      @HappyChona 2 месяца назад

      Kwanza Ile begi haikuwa na kitu ndani

    • @RahmaBenedictor
      @RahmaBenedictor 2 месяца назад +1

      Halafu ukishajuwa ufanyeje mfyuuu pambana na hali yako huko

    • @MariamBenjira
      @MariamBenjira 2 месяца назад

      Masqat

    • @FatimaAo-r9p
      @FatimaAo-r9p 2 месяца назад

      😂😂😂😂​@@HappyChona

  • @millahboo
    @millahboo 2 месяца назад +3

    Ety private na camera,? Na microphone na kiredio juu😂😂😂😂 kenge wa kijaniii

  • @MoureenPresiours
    @MoureenPresiours 2 месяца назад +1

    Mh kweli wambea tupo wengi jamani😂

  • @miriammseke
    @miriammseke 2 месяца назад +11

    Oman mchezo tuulize tuliyoko oman uku wee kwa ile mikucha na zile nywele we umetoka oman ipi dada😂😂 na kale kabegi😂 mashallah waarabu kwa nguo lazima na ww uwe na nguo za kutosha uku tumefungusha na nguo zao zilivyo kwa kile kibegi na izi hekaheka za oman eti mkalee na mwanaume😂😂dada pesa oman tunapata nyingi kweli lakini cyo kirahisi ivyo eti ukaongee na kulea mtoto wa mtu weeeeee

    • @Mariamyotube-p2e
      @Mariamyotube-p2e 2 месяца назад +1

      Kwnza alikuwa analipwa kiasi gn omani hii ya joto la jiwe au

    • @AlaikaHassan
      @AlaikaHassan 2 месяца назад

      Kwa kucha na nywele shost ni inawezekana kabsaaaaaa, labda hayo mangne ndo tumjudge maana hvo sjui kucha na wigi una order online na unajibandika vizuri sana sku unayoondoka hakuna wakukuzuia

    • @ashahassan7414
      @ashahassan7414 2 месяца назад

      Mimi nilijua tu huyu dada anataka umarufu kwa jinsi nilivyomuona ck ile anakuja kibegi kimoja kidogo chepesiii mwanamke huna hata kipochi kidogo tu hebu fikiria half makucha sasa huyu muongo xn kwa kiredio alisema frenk walikuwa wanaishi wote ile nyumba kabla ya kuondoka akamuacha pale na alivyorudi yeye ndo alienda moja kwa moja pale kwa frank kwasababu alisema anapajua yeye ndo alipanga kabla hajaenda omani halfu hapa tena anasema alimtumia pesa apange nyumba ndo kaenda kutafuta nyumba uswahilini ambayo haiendani na pesa aliyokuwa anamtumia huyu dada ni muongo xn alitaka umarufu tu hana lolote mbwa huyu mm nilijua toka ck ile ya kwanza kwa kitedio 😏😏

    • @rogatienmathari1838
      @rogatienmathari1838 2 месяца назад

      Hello

  • @jesckamolel5693
    @jesckamolel5693 2 месяца назад +7

    Huyu dada ni mwongo jmn yeye si alinyooka moja kwa moja kwenye mlango na kasema ndiyo nilikomwacha huyu dada mwongo sana

  • @SantaJumaa
    @SantaJumaa 2 месяца назад +6

    Huyu dada kweli ni muongo yan mwanaume anatumia pesa zako za Oman, hlf unasimulia unarelax kbisa yan, na pesa ya muarabu inavyouma ivi

    • @jovithakawimbe7472
      @jovithakawimbe7472 2 месяца назад +1

      Haki anatufunga kwamba huyu 🥹 katufanya mazuzu

  • @WinWilly4162
    @WinWilly4162 2 месяца назад +13

    1:Bag dogo kwa aliyefanya kazi oman halafu halikua na details za msafiri aliyepita airport .
    2:Maelezo ya nyumba mwanzo alisema alimuacha pale that's why alipafahamu wakati wa kurudi halafu leo hii anajifanya eti nyumba cheap na midomo anabinua kwa dharau😂.
    3:Kiredio alimuita mwenyewe leo anamtupia lawama.
    4:Oman amekaa miaka 2 mara ni mwigizaji kaigiza miaka 4 mashabiki wanamkubali😂
    Dada kajua kucheza na akili za watanzania.
    KIKI tu kuwa na akili za kuona unajidhalilisha Aaahh!😂😂

    • @Namtumbo
      @Namtumbo 2 месяца назад

      Wasanii

    • @momsash9210
      @momsash9210 2 месяца назад +2

      Kumbe ndo yule alomkosoa lamata kumueka lulu baada ya maria😂 asa mbona ile ni current ishu na yy alikua oman for two yrs?hii no 2 ina mantiki sana win,kwann ashangae ile nyumba wakat anaijua ndomana katoka airport direct mpk mikocheni alikompangia?

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 2 месяца назад +24

    😂😂 kumbe muigizaji basi hii imeenda

  • @Shadia544
    @Shadia544 2 месяца назад +110

    Hicho ndiyo alichokitaka yaani sijui Kwanini kutaka umaarufu ndiyo alioutaka jamaniii tuliokuwa Oman tujuane hapa LIKE 10 😂

  • @omarabulbustsalim531
    @omarabulbustsalim531 2 месяца назад

    Si rahis atume Milioni10 😊

  • @marjanmohamed5727
    @marjanmohamed5727 Месяц назад

    Asalaam aleikum Naomba number ya simu

  • @ShamsaOmary-l9g
    @ShamsaOmary-l9g 2 месяца назад +3

    miaka miwili upo oman...Okkk haya hiyo tamthilia ya koneksheni Sinema zetu uli igiza lini dadaaa 😂

    • @RehemaMwango-xy8qo
      @RehemaMwango-xy8qo 2 месяца назад

      Nachekaaaa to kwa heka heka z omn shghara mie😂

  • @hanifahkhamiss8485
    @hanifahkhamiss8485 2 месяца назад +3

    Kwaio Omani karudi lin😂😂😂maana kafanyiwa interview na carry mastory baada ya mimi Mars kubadilishwa😂😂😂mpuuzi m1.....

  • @rohdaphilip2470
    @rohdaphilip2470 2 месяца назад

    Jaman tulio oman tujuwane nataka kuuliz au ni mie jaman umekaa oman miaka 2 alfu ufike tu tz ety umpigie mtu cm jsmn huyu dada muongo kwanz rain inafungiwa alfu yy kafik na kupata vocha wapi?? alfu beg lake harin nembo jamn😂😂 Hata mkomba hana 😂😂

  • @ednaallen3757
    @ednaallen3757 2 месяца назад

    Kiredio wetu hana baya kabisa kabisa 😂😂

  • @ghanimaalabri5783
    @ghanimaalabri5783 2 месяца назад

    Kwanza alisema alimfumania na frenk yuko juu ya kitanda na nwanamke😂😂 ipo kazi kweli

  • @neemamboya99
    @neemamboya99 2 месяца назад +5

    Lile bag halikuwa na zile stickers za airport zinazobanwa kwenye bag kuonyesha details za mtu. Pia halkuwa na kitu. Ni kiki

    • @GrolykamolaMwakapangala
      @GrolykamolaMwakapangala 2 месяца назад

      😂😂😂 Jamani Tanzania sihami nimecheka kwa sauti

    • @athumaniKazua
      @athumaniKazua 2 месяца назад

      Na pia milango aliotokea sio sahh😂😂mbwa huyu kingine wakati wanataka kuweka begi mbn anasema hili buti linafunguka alijuaje na ndo kwanzaaa gari kapanda diku ile

  • @Awaasha-cn6bx
    @Awaasha-cn6bx 2 месяца назад +3

    Kweli begi halikuwa na kitu hii. Ni Kiki wanatafuta follow follows. Huyo kiredio tushawajua uongo trend

    • @SantaJumaa
      @SantaJumaa 2 месяца назад

      Hata mm nimeshangaa mtu unatoka nje ya nchi na begi moja kweli

  • @RujaynaRashidi
    @RujaynaRashidi 2 месяца назад +1

    Milion moja na lak6 kwa nyumb gan?.. ebu kwenda huko

  • @bdvc7107
    @bdvc7107 2 месяца назад +15

    Naisi apo kuna kik akitoka oman kweli miaka 2 uwez kumtumia milion 10 kwa mshahara bei gan yan

    • @AsdDsa-fi5qk
      @AsdDsa-fi5qk 2 месяца назад

      Anaweza mana sikuiz Oman watu Kila mwez ijumaa wanatoka wengine wanajiuza

    • @gladsmwageni9049
      @gladsmwageni9049 2 месяца назад +2

      Mishahara ni mizuri oman rial 100 hadi 120 yaani laki saba naa hadi laki 8 nachenji so inaweza ikawa ni kweli

    • @gladsmwageni9049
      @gladsmwageni9049 2 месяца назад

      Harafu huyu ukimsikiliza ni kiki hajatoka oman wala nini 😅

    • @IvanMocha
      @IvanMocha 2 месяца назад +1

      Kuna ambao wanalipwa rial 200,dadaangu analipwa rial 200 ,sema nyiee mmeshakariri ubeki tatu tuu,kazi zipo nyingi,Kuna supermakert, saloon,shule kazi kibao

    • @Realme-xm3sh
      @Realme-xm3sh 2 месяца назад

      Alikuw anatak kuja mjin tu

  • @shuwehaharuna6309
    @shuwehaharuna6309 2 месяца назад +3

    Mnafaa mnípe maua yangu nilikoment sikuileile kuwa hii ni kiki ,,mimi najua kumsoma mtu kiufupi tu nina mashale

  • @AgeCare-w2h
    @AgeCare-w2h 2 месяца назад

    Kiredio akianza kiki za hivi asitulaumu badae tukiacha kumfatilia,alianza vizuri anelekea kujiharibia

  • @ZulfatJalal
    @ZulfatJalal 2 месяца назад +1

    Mhhh jamn kiki hizi zitaua watu

  • @Mohamedrajab-p2j
    @Mohamedrajab-p2j 2 месяца назад

    waongo hawa frank anasema duka LA nguo yeye demu anasema duka vifaa vya pikiki😂😂

  • @noreen2654
    @noreen2654 2 месяца назад

    Huyo mwongo mbona frenk anasema duka la nguo?

  • @RamadhaniKitala-gx6wc
    @RamadhaniKitala-gx6wc 2 месяца назад

    Huyu hajawahi fanya kazi oman mimi ni mkaguzi hapa airpost Dar hajawahi kutoka wala kirud

    • @MonnaPonda
      @MonnaPonda 2 месяца назад

      😂😂😂😂😂

  • @JoyceLKisha
    @JoyceLKisha 2 месяца назад +1

    Mala Frank alipanga nyumba mbaya wakat yeye ndo alimpeleka kiredio na ukasema unapakumbuka

  • @FaridaJohn-f2s
    @FaridaJohn-f2s 2 месяца назад +4

    mwanamme duka languo mwanamke duka la vifaa vya pikipiki😂😂

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 2 месяца назад

    Yaani hwa wadada hawadada

  • @mariamhelen7808
    @mariamhelen7808 2 месяца назад

    Aiseee huyu dada nimuongo sana hakua oman

  • @aminaramdan3283
    @aminaramdan3283 2 месяца назад +8

    Huyu ni Miongo Sio kwelii Hakwenda Oman wala nini.. Kama Mnakumbuka Ndio Yule Alosema Ruruuuuu Ramataa.. haya kaenda oman lini Mpk Akaa miaka 2... Walipanga hao Kwanza bag halikuwa na Stkaaa Bahna... Semaa Luluu na Sio Ruruuuu

    • @BerthaModest
      @BerthaModest 2 месяца назад

      Yani😂🙌

    • @CAPTAIN_GALAXY13
      @CAPTAIN_GALAXY13 2 месяца назад +1

      ᴺᴵᴷᵁᴹᴮᵁˢᴴᴱ ᴴᴱᴮᵁ ᴺᴵᴷᵁᴹᴮᵁᴷᴱ ᴺᴬ ᴹᴵᴹᴵ

    • @Vee-w3x
      @Vee-w3x 2 месяца назад

      Daah
      Nilikuwa nasema hii sura mbona kama sio ngeni😅asante kwa kunikumbusha ndugu yangu😂😂

    • @aminaramdan3283
      @aminaramdan3283 2 месяца назад

      @@Vee-w3x 🤣🤣🤣 Af'waan mpz Yaani wanatufanya Wajinga na watu Tunakumbukumbu...

    • @aminaramdan3283
      @aminaramdan3283 2 месяца назад

      @@CAPTAIN_GALAXY13 🤣🤣🤣 Umesahau kipindi Lulu Amewekwa Jua kali.. Nenda kwa karma Story Yule Aliyehojiwa Akawa Anasema Ramata Amemuweka Ruruuu Yaani Alikuwa Akitumia RRR Nyingi sana. Kwenye L anasema R..

  • @mantoumm4448
    @mantoumm4448 2 месяца назад +4

    Jamani dada muongo uyu ata Oman apajui

  • @YeddaMturi
    @YeddaMturi 2 месяца назад

    Ulivyomuita kiredio hukutaka apost mbna hukusema mapema asije na camera 📸😂😂😂😂

  • @RAHELIDARABE
    @RAHELIDARABE 2 месяца назад

    Ndo alichokuwa anataka unamlipia nwanau😢chumba, unanunua pikipiki afya unakaa Oman miaka yote hiyo yaani unatakakeje hizo hela ungewapa wazazi wako siyo hao mbwa mwitu kwani umefunga naye ndoa?ndo akili zikukae mwanaume anayeweza kumfanyia hayo yote ni mume wa ndoa tu.😊

  • @ImeldaMyinga
    @ImeldaMyinga 2 месяца назад

    Kwa hiyo mnatuigizia sio asantee kwa kutumalizia mb zetu

  • @RehemaChisonjela
    @RehemaChisonjela 2 месяца назад +3

    Hivi ile begi ndo la kutoka Oman? Mara nyumba nilikuwa naifaham Mara nyumba sio ya hela niliyokuwa namtumia

    • @RitbayRitbay
      @RitbayRitbay 2 месяца назад

      Na nnvojua wanaondoka na ndundu hzo mibegi tleee mitumba yote

  • @hamedatanzani6
    @hamedatanzani6 2 месяца назад +4

    Ila huyo dada nimuongo 😂😂😂

    • @AminaOmary-sm4wl
      @AminaOmary-sm4wl 2 месяца назад

      Hakuna mkataba wa miaka mitatu hahahahhaah jaman

  • @ReginaManyangu-u4j
    @ReginaManyangu-u4j 2 месяца назад +1

    Hii ni kiki mnafiki huyu harafu bado anatamka Ruru badala ya lulu mara business fwuuuu😊

    • @abdalahaby3658
      @abdalahaby3658 2 месяца назад

      Wewe pia umeandika harafu badala ya halafu 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @sofiasophia9018
    @sofiasophia9018 2 месяца назад +1

    Dada kasha upata umaarufu tayari naulikua unamulaumu kiredio kwanini kapost

  • @HellenaMky
    @HellenaMky 2 месяца назад

    Dada muongo Sana. Pesa ya Omani mshahala wa kwanza ndohyo yote umetuma kwa hyo ulirudi hata mia huna😮😮

  • @abdalahaby3658
    @abdalahaby3658 2 месяца назад

    Hii ni kiki.. sasa ulikuwa unamuita Kiredio ili iweje??

  • @fawzalbusayid7232
    @fawzalbusayid7232 2 месяца назад

    Wandishi wa habari wachochezi🤣😂😊

  • @norahkingalu2630
    @norahkingalu2630 2 месяца назад

    Kweli hii ni kiki tuu

  • @JulithaOliva
    @JulithaOliva 2 месяца назад +18

    Kiki tu kwanza begi halikuwa na kitu ila kinawatu wanapata majanga kama hayo

  • @FranklinHosea
    @FranklinHosea Месяц назад

    Dada Kapata umaarufu uyu asaiv utashangaa anapost matangazo

  • @CossyKiria-fd6pq
    @CossyKiria-fd6pq 2 месяца назад +2

    Mbona kule kwa kiredio full mashungi huku ni hiv

  • @mlyomikilonzo5897
    @mlyomikilonzo5897 Месяц назад

    45yrs

  • @Annastazia-x6f
    @Annastazia-x6f 2 месяца назад

    Nimuongo huyo 😂😂😂 Oman ipi hiyo

  • @nassirabas
    @nassirabas 2 месяца назад

    😂ukiangalia kwa undan huyu dada huko oman alikuwa anajiuza mana hakuna msichana wa ndan akalipwa pesa nyingi oman na tena amekaa miaka 2 hakuna maendleo ya miaka 2 na pia skia alichosema mwanzo kabla hajaondoka amempangia nyumba na alipajuaje kwa frank pesa alipata wap wakat mitaji yote alimfungulia frank wakat yupo oman huyu dada anataka kupelekewa moto na wasanii hajapata kikiiiii 😅

  • @zainabramadhani9838
    @zainabramadhani9838 2 месяца назад +2

    Kumuhudumia mwanamume lazima aje akupige tukio zito Kwa sababu mwanamke akuumbiwa kumuhudumia mwanamke

  • @ireneevaristo5552
    @ireneevaristo5552 2 месяца назад +3

    Kule alisema miaka 3 huku miaka 2 mfyuuuuu Oman ametoka na kibag kimoja na mikucha kama msungo
    Labda alikuja kujiuza maana mabellah wamejaa wabongo wanauza nyuchi zao

  • @hawamafuru6791
    @hawamafuru6791 2 месяца назад +1

    huyu anaigiza bwana sio kweli katoka omani😊

  • @DevothaTheonas
    @DevothaTheonas 2 месяца назад +7

    Mbona kama kiki.
    siku zinavyoendelea nazidi kuamini hii kiki 😂

    • @soniahassan6769
      @soniahassan6769 2 месяца назад +4

      Hii kiki mahi mtu anatoka nje na kibegi kama kile afu ajabu begi Haina hata sticker za mizigo

    • @DevothaTheonas
      @DevothaTheonas 2 месяца назад

      @@soniahassan6769 kabisa yani

    • @ashazuber6548
      @ashazuber6548 2 месяца назад +1

      ​@@soniahassan6769Si ndo hapo mahi wangu😂😂😂 yaan kwaza mtu anae toka nnje tulivyo na mihemko mabag matatu mawili😅😅😅😅

    • @soniahassan6769
      @soniahassan6769 2 месяца назад

      @@ashazuber6548 wasituzalilishe wapambanaji wa oman hakuna siku hizi bwege anaehonga mwanaume

    • @RitbayRitbay
      @RitbayRitbay 2 месяца назад

      ​@@ashazuber6548mm mwenyewe nimeshangaa maana hpa kuna wang ana mipolo kma yote na bdo kuondoka yy kibegi kile chepesi.

  • @abc-en3em
    @abc-en3em 2 месяца назад

    Mmh pale kodi ni million 😂😂😂

  • @LizzyTarimo-b7n
    @LizzyTarimo-b7n 2 месяца назад

    Lakini wanaume waache tabia ya kupenda kulelewa. Fanyeni kazi maana hata maandiko yasema mwanaume atakula kwa jasho na mwanamke atazaa kwa uchungu. So mwanaume asimame kwa zamu yake na mwanamke kwa zamu yake. Nyie wanawake mnaowapoteza wanaume wadogo kwa kuwarubuni kwa hela na Mali na mahaba mazito muache hiyo tabia ili waweze kujitafutia na kuanzisha familia zao.

  • @muddywatown
    @muddywatown 2 месяца назад

    Huyu anavyoongea2 unajua anautaka umaarufu sauti sio yake ebu rejea hapo kwenye bei ya kodi 😂😂😂

  • @adamapollo9859
    @adamapollo9859 2 месяца назад

    Eti sasha ni mfanya biashara😂😂😂wai wakati wewe ni shagla ulukuwa unaosha hamu mama😂😂wacha uwongo

  • @patriciahrufutha5723
    @patriciahrufutha5723 15 дней назад

    Hii ni kiki tu m ndo maana huwa namuamini millardayo tu yaani mwanaume kahojiwa kasema alifunguliwa duka la nguo mwanamke saivi anasema vifaa vya pikipiki

  • @RoseAmos-zo6fk
    @RoseAmos-zo6fk 2 месяца назад

    Kama hukutaka kiredio aposti ulimtafuta wa nini mpuuz kbs

  • @sharifasharifa9682
    @sharifasharifa9682 2 месяца назад

    Jamani tim gulf tujuane kwenye hii habar ml 2 hiyo kwiyo

  • @lilianmarcotimbuka9663
    @lilianmarcotimbuka9663 2 месяца назад

    Wewe dada kama ulitoa pesa ya nyumba na hiyo nyumba siyo ya bei hiyo ulipajuaje pale mbona ulimwongoza kiredio acha uwongo

  • @LovelyBubbleTea-vz4ol
    @LovelyBubbleTea-vz4ol 2 месяца назад

    Ukipata chance ya kurudii oman utakubali?

  • @noreen2654
    @noreen2654 2 месяца назад

    Aache ushamba yeye anamkasirikia kiredio kwani yeye kiredio alijipeleka pale mwenyewe? Huyo asijishaue.

  • @Mojabo-qi7sv
    @Mojabo-qi7sv 2 месяца назад +1

    We tukome ww Kwanza ujui ata mkataba miezi mingapi una tafuta kk kupitia uongo wako ata Oman upajui😢😢

  • @MaryamJZee
    @MaryamJZee 2 месяца назад +1

    Wee wat tuk omn hatujasikia msharah wa million 3

  • @HoitherJesse-fc9se
    @HoitherJesse-fc9se 2 месяца назад

    Eti nyumba so ya hadhi ya laki moja na anashangaa sa kabla hajaondoka c aliiona mpaka anamleta kiredio 😂😂 n kwamba anapajua ase na mm nianze Kiki nijulikane niwe mwigizaji😂😂😂

  • @Mwaguntobi-ip1yi
    @Mwaguntobi-ip1yi 2 месяца назад +2

    Alikuwa anaosha vyombo😂😂😂😂

  • @crispingerald3000
    @crispingerald3000 2 месяца назад

    Acha upumbamvu Yani kiredio asipost akose Hela we ulimuita wanin kiredio ana ishu privet uyu demu mpuz kweli kweli 😅😅

  • @norahkingalu2630
    @norahkingalu2630 2 месяца назад

    Hawa nao waongo Frank kahojiwa kasema Duka la nguo huyu dada nae anasema Duka la vifaa mmmh

  • @RehemaSalum-vp6rf
    @RehemaSalum-vp6rf 2 месяца назад +14

    Uyu dada nae muongo tu

    • @umaima1178
      @umaima1178 2 месяца назад

      Sana tena mwanzo alisema walikaa wote hiyo nyumba sasa anasema alimpa pesa sio ya kukaa hapo

    • @edwardchilewa6289
      @edwardchilewa6289 2 месяца назад

      😂😂😂

  • @hadijamshimbula7616
    @hadijamshimbula7616 2 месяца назад

    Huyu si alisema anaitwa rose au😢😢

  • @sylivestermwasile4203
    @sylivestermwasile4203 2 месяца назад

    Huyu fala mwongo kinouma ile nyumba ndo milioni mbili kweli wakati hata laki tatu haifikii

  • @ibrahimjuma9709
    @ibrahimjuma9709 2 месяца назад

    Pwagu na pwaguzi poli lao moja mchukuane maisha yaendele ila tu muowane kila mtu amueshimu mwenzake😂😂😂

  • @VEREDIANAMUMBA
    @VEREDIANAMUMBA 2 месяца назад

    6:55 Kwani ulivyomtafuta kiredio ulitegemea nn au ulitaka hiyo video uiweke kweny sm yk acha uongo bwanaaa

  • @isabellamichael1025
    @isabellamichael1025 2 месяца назад

    Sasa kama ulikuwa hutaki upostiwe ulimwita kiredio wa nn

  • @Sharifa_Fashion_21
    @Sharifa_Fashion_21 2 месяца назад

    Majirani huna namba zao🥴

  • @britneyivy
    @britneyivy 2 месяца назад

    Million moja kwa nyumba ipi😂😂

  • @joycerwabanu5961
    @joycerwabanu5961 2 месяца назад

    Mwongo sasha alisema mkataba ulikuwa miaka 3 leo unasema miaka 2!?

  • @AishaMshamu
    @AishaMshamu 2 месяца назад +4

    Hiyo mi 10 ndo mshahala wa miak 2 namaan uyo uku alikaa kumudumia bwana tu kwaiyo uyu dada kaludi patup😢

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 2 месяца назад

      Hajarud kap sai rial ipo juu mwaka mmoja una milion 10 na lako 2 na pesa kidog yy kakaa miaka 3 kwa hiyo huyu ni mjinga tuy tusem hajielew pengine hata kwao gajajenga

  • @missfetty4173
    @missfetty4173 2 месяца назад

    Dada muongo uyu oman kwa mshaara gani ujitape ivo mmmmm mm simuamini uyu dada muongo

  • @irenembura8045
    @irenembura8045 2 месяца назад +1

    Uongo sehemu nyingine umejikoroga!!

  • @gracekayumba-z9l
    @gracekayumba-z9l 2 месяца назад

    Lakini kama ulikuwa upafaham ulikwendaje kwake unachangany mambo

  • @fatmamohammed8346
    @fatmamohammed8346 2 месяца назад +2

    dada muongo mpak kuelezea hawezi ovyoooo kabisaaa

  • @Oman-z4q
    @Oman-z4q 2 месяца назад

    Amna mtoka oman apo kwanza wanapokoaea yule mke mwenzie wame shindw kuekt mtu mmoja

  • @swaumuabdallah6886
    @swaumuabdallah6886 2 месяца назад +1

    Jmn kigofu kile ndo milion 😅😅😅😅😅

  • @mariagrayson5414
    @mariagrayson5414 2 месяца назад

    Why mnasema muongo ? Kwani hawezi fanya kazi oman

  • @asiliyetuonlinetv5063
    @asiliyetuonlinetv5063 2 месяца назад

    Huyu mdada mbona anaonekana muongo muongo??usikute hata hakuwa oman walianzia kushoot airport tu hapo😂😂😂

  • @madinarobert4944
    @madinarobert4944 2 месяца назад +1

    Dada hii michezo😂😂katafuta namna ya kujulikana2

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 2 месяца назад

      Kujulikan wap alikuw oman kweli jinga hili

  • @penuelmichael3374
    @penuelmichael3374 2 месяца назад +1

    Hivi hawa wenzetu wanapata wapi hela zakuhonga wanaume😢

  • @salomeelias2108
    @salomeelias2108 2 месяца назад

    Kweli ni waongo, yeye anasema kakaa oman miaka miwili,sasa ishu Ya nafasi ya Maria si juzujizi tu,na anadai alihojiwa na carrymastory,Alihijiwaje wakati alikuwa Oman,,anatudanganya,huu ni mchezo ili atrend

  • @Mariethabakari
    @Mariethabakari 2 месяца назад

    Kama hukutaka kiredio a post ulimfata wa nn sa na akati niliona unamwambia a record kabla hamjafika😂😂😂 embu tuachie kiredio wetu