SASHA MAKOYE: AMFUMANIA BOFYFRIEND WAKE/KIREDIO ATOBOA MCHONGO/NIMEMBLOCK KIREDIO KUTRENDISHA VIDEO.
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- Nyie😂😂😂 Kumbe Kuna Wadada Bado Wanalipa Kodi? Wanakununulia Usafiri Na Mipango Ya Biashara Wanakunyooshea??? TEAM STRONG MKO VIZURI
Usisahau ku subscribe RUclips channel ili kuwa mwanafamilia wa Bongo Fm.
#simbafans #nbcsports #timuyawananchi
#timuyawananchi #tpmazembe #rajacasablanca #daimambelenyumamwiko #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #michelo #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts #simbasc
😮waliogundua ni kiki like hapa
Mimi nilijua kuona bagi Tu nikajua hii ni Kiki 😂
Kwanza kwa hella gani jmn mshahara wenyewe umeshuka
Kwa kweli nimechoka huyu dada katufanya sisi watoto kumbe katengeneza muvi😢😅😂
Duuuh
Huyu sio wa ramata badala ya lamata na ruru badala ya lulu😂😂😂ili igizo hili
Usimlaumu kiredio wakati ww mwenyewe na kihere here chako ndio ulimtafuta kiredio sasa kwa nn umlaumu kiredio😢
Sasha alitaka kutrend tuu 😂😂 atajuju aliyataka mwenyew kiredio asingeweza kumfata Sasha kwanza hamjui watu wanaopenda mambo ya mitandaoni ndo wanamtafta kiredio wenyewe 🤣😂😂😂
Alisema alimtafta kiredio mwenyew, sio kiredio aliemtafta huy dada
Kwa wale tumemujuwa kupitiya @kiredio like zenyu
Umeigiza juzi tubumetoka oman juzi tu wewe ni mfanyabiashara wewe ni housegirl omzn wewe ni muigizaji mashallah
Hahahaaaa.........kama ilikua ni private Kiredio umemtafuta wanini😊.
Huyo sio Sasha😂😂😂
Kiki wanatengeneza kutafuta viewers
Hata mm niliona jaman like beg halikuwa naki2 chchote mana co kwaubebaj uleee😂😂😂😂😂
Miss. Sasha your so beautiful mummy. Bout jama hana mana nimeumia sana mummy
❤❤❤❤❤ mm Niko omani nataka nijue ALIKUWA anafanya kazi sehemi gani omani kama kweli ALIKUWA omani
Utakuwa umefanya la mana 😂😂
Kwanza Ile begi haikuwa na kitu ndani
Halafu ukishajuwa ufanyeje mfyuuu pambana na hali yako huko
Masqat
😂😂😂😂@@HappyChona
Ety private na camera,? Na microphone na kiredio juu😂😂😂😂 kenge wa kijaniii
Mh kweli wambea tupo wengi jamani😂
Oman mchezo tuulize tuliyoko oman uku wee kwa ile mikucha na zile nywele we umetoka oman ipi dada😂😂 na kale kabegi😂 mashallah waarabu kwa nguo lazima na ww uwe na nguo za kutosha uku tumefungusha na nguo zao zilivyo kwa kile kibegi na izi hekaheka za oman eti mkalee na mwanaume😂😂dada pesa oman tunapata nyingi kweli lakini cyo kirahisi ivyo eti ukaongee na kulea mtoto wa mtu weeeeee
Kwnza alikuwa analipwa kiasi gn omani hii ya joto la jiwe au
Kwa kucha na nywele shost ni inawezekana kabsaaaaaa, labda hayo mangne ndo tumjudge maana hvo sjui kucha na wigi una order online na unajibandika vizuri sana sku unayoondoka hakuna wakukuzuia
Mimi nilijua tu huyu dada anataka umarufu kwa jinsi nilivyomuona ck ile anakuja kibegi kimoja kidogo chepesiii mwanamke huna hata kipochi kidogo tu hebu fikiria half makucha sasa huyu muongo xn kwa kiredio alisema frenk walikuwa wanaishi wote ile nyumba kabla ya kuondoka akamuacha pale na alivyorudi yeye ndo alienda moja kwa moja pale kwa frank kwasababu alisema anapajua yeye ndo alipanga kabla hajaenda omani halfu hapa tena anasema alimtumia pesa apange nyumba ndo kaenda kutafuta nyumba uswahilini ambayo haiendani na pesa aliyokuwa anamtumia huyu dada ni muongo xn alitaka umarufu tu hana lolote mbwa huyu mm nilijua toka ck ile ya kwanza kwa kitedio 😏😏
Hello
Huyu dada ni mwongo jmn yeye si alinyooka moja kwa moja kwenye mlango na kasema ndiyo nilikomwacha huyu dada mwongo sana
Sanaaaa
Huyu dada kweli ni muongo yan mwanaume anatumia pesa zako za Oman, hlf unasimulia unarelax kbisa yan, na pesa ya muarabu inavyouma ivi
Haki anatufunga kwamba huyu 🥹 katufanya mazuzu
1:Bag dogo kwa aliyefanya kazi oman halafu halikua na details za msafiri aliyepita airport .
2:Maelezo ya nyumba mwanzo alisema alimuacha pale that's why alipafahamu wakati wa kurudi halafu leo hii anajifanya eti nyumba cheap na midomo anabinua kwa dharau😂.
3:Kiredio alimuita mwenyewe leo anamtupia lawama.
4:Oman amekaa miaka 2 mara ni mwigizaji kaigiza miaka 4 mashabiki wanamkubali😂
Dada kajua kucheza na akili za watanzania.
KIKI tu kuwa na akili za kuona unajidhalilisha Aaahh!😂😂
Wasanii
Kumbe ndo yule alomkosoa lamata kumueka lulu baada ya maria😂 asa mbona ile ni current ishu na yy alikua oman for two yrs?hii no 2 ina mantiki sana win,kwann ashangae ile nyumba wakat anaijua ndomana katoka airport direct mpk mikocheni alikompangia?
😂😂 kumbe muigizaji basi hii imeenda
😂😂😂😂
Umeenda😂😂
Hicho ndiyo alichokitaka yaani sijui Kwanini kutaka umaarufu ndiyo alioutaka jamaniii tuliokuwa Oman tujuane hapa LIKE 10 😂
Haya tujuwane
Tupo@@NasserAlhajri-ys6yr
From Mabellah
From barka❤
From masikat
Si rahis atume Milioni10 😊
Asalaam aleikum Naomba number ya simu
miaka miwili upo oman...Okkk haya hiyo tamthilia ya koneksheni Sinema zetu uli igiza lini dadaaa 😂
Nachekaaaa to kwa heka heka z omn shghara mie😂
Kwaio Omani karudi lin😂😂😂maana kafanyiwa interview na carry mastory baada ya mimi Mars kubadilishwa😂😂😂mpuuzi m1.....
Jaman tulio oman tujuwane nataka kuuliz au ni mie jaman umekaa oman miaka 2 alfu ufike tu tz ety umpigie mtu cm jsmn huyu dada muongo kwanz rain inafungiwa alfu yy kafik na kupata vocha wapi?? alfu beg lake harin nembo jamn😂😂 Hata mkomba hana 😂😂
Kiredio wetu hana baya kabisa kabisa 😂😂
Hata kdg
Kwanza alisema alimfumania na frenk yuko juu ya kitanda na nwanamke😂😂 ipo kazi kweli
Lile bag halikuwa na zile stickers za airport zinazobanwa kwenye bag kuonyesha details za mtu. Pia halkuwa na kitu. Ni kiki
😂😂😂 Jamani Tanzania sihami nimecheka kwa sauti
Na pia milango aliotokea sio sahh😂😂mbwa huyu kingine wakati wanataka kuweka begi mbn anasema hili buti linafunguka alijuaje na ndo kwanzaaa gari kapanda diku ile
Kweli begi halikuwa na kitu hii. Ni Kiki wanatafuta follow follows. Huyo kiredio tushawajua uongo trend
Hata mm nimeshangaa mtu unatoka nje ya nchi na begi moja kweli
Milion moja na lak6 kwa nyumb gan?.. ebu kwenda huko
Naisi apo kuna kik akitoka oman kweli miaka 2 uwez kumtumia milion 10 kwa mshahara bei gan yan
Anaweza mana sikuiz Oman watu Kila mwez ijumaa wanatoka wengine wanajiuza
Mishahara ni mizuri oman rial 100 hadi 120 yaani laki saba naa hadi laki 8 nachenji so inaweza ikawa ni kweli
Harafu huyu ukimsikiliza ni kiki hajatoka oman wala nini 😅
Kuna ambao wanalipwa rial 200,dadaangu analipwa rial 200 ,sema nyiee mmeshakariri ubeki tatu tuu,kazi zipo nyingi,Kuna supermakert, saloon,shule kazi kibao
Alikuw anatak kuja mjin tu
Mnafaa mnípe maua yangu nilikoment sikuileile kuwa hii ni kiki ,,mimi najua kumsoma mtu kiufupi tu nina mashale
Kiredio akianza kiki za hivi asitulaumu badae tukiacha kumfatilia,alianza vizuri anelekea kujiharibia
Mhhh jamn kiki hizi zitaua watu
waongo hawa frank anasema duka LA nguo yeye demu anasema duka vifaa vya pikiki😂😂
Huyo mwongo mbona frenk anasema duka la nguo?
Huyu hajawahi fanya kazi oman mimi ni mkaguzi hapa airpost Dar hajawahi kutoka wala kirud
😂😂😂😂😂
Mala Frank alipanga nyumba mbaya wakat yeye ndo alimpeleka kiredio na ukasema unapakumbuka
mwanamme duka languo mwanamke duka la vifaa vya pikipiki😂😂
Yaani hwa wadada hawadada
Aiseee huyu dada nimuongo sana hakua oman
Huyu ni Miongo Sio kwelii Hakwenda Oman wala nini.. Kama Mnakumbuka Ndio Yule Alosema Ruruuuuu Ramataa.. haya kaenda oman lini Mpk Akaa miaka 2... Walipanga hao Kwanza bag halikuwa na Stkaaa Bahna... Semaa Luluu na Sio Ruruuuu
Yani😂🙌
ᴺᴵᴷᵁᴹᴮᵁˢᴴᴱ ᴴᴱᴮᵁ ᴺᴵᴷᵁᴹᴮᵁᴷᴱ ᴺᴬ ᴹᴵᴹᴵ
Daah
Nilikuwa nasema hii sura mbona kama sio ngeni😅asante kwa kunikumbusha ndugu yangu😂😂
@@Vee-w3x 🤣🤣🤣 Af'waan mpz Yaani wanatufanya Wajinga na watu Tunakumbukumbu...
@@CAPTAIN_GALAXY13 🤣🤣🤣 Umesahau kipindi Lulu Amewekwa Jua kali.. Nenda kwa karma Story Yule Aliyehojiwa Akawa Anasema Ramata Amemuweka Ruruuu Yaani Alikuwa Akitumia RRR Nyingi sana. Kwenye L anasema R..
Jamani dada muongo uyu ata Oman apajui
Ulivyomuita kiredio hukutaka apost mbna hukusema mapema asije na camera 📸😂😂😂😂
Ndo alichokuwa anataka unamlipia nwanau😢chumba, unanunua pikipiki afya unakaa Oman miaka yote hiyo yaani unatakakeje hizo hela ungewapa wazazi wako siyo hao mbwa mwitu kwani umefunga naye ndoa?ndo akili zikukae mwanaume anayeweza kumfanyia hayo yote ni mume wa ndoa tu.😊
Kwa hiyo mnatuigizia sio asantee kwa kutumalizia mb zetu
😂😂😂
Hivi ile begi ndo la kutoka Oman? Mara nyumba nilikuwa naifaham Mara nyumba sio ya hela niliyokuwa namtumia
Na nnvojua wanaondoka na ndundu hzo mibegi tleee mitumba yote
Ila huyo dada nimuongo 😂😂😂
Hakuna mkataba wa miaka mitatu hahahahhaah jaman
Hii ni kiki mnafiki huyu harafu bado anatamka Ruru badala ya lulu mara business fwuuuu😊
Wewe pia umeandika harafu badala ya halafu 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Dada kasha upata umaarufu tayari naulikua unamulaumu kiredio kwanini kapost
Dada muongo Sana. Pesa ya Omani mshahala wa kwanza ndohyo yote umetuma kwa hyo ulirudi hata mia huna😮😮
Hii ni kiki.. sasa ulikuwa unamuita Kiredio ili iweje??
Wandishi wa habari wachochezi🤣😂😊
Kweli hii ni kiki tuu
Kiki tu kwanza begi halikuwa na kitu ila kinawatu wanapata majanga kama hayo
Kwnz hakua anatok Oman uyo
Begi lilikua halina chochote lile
Pia mkononi alikuwa ana karatas
Dada Kapata umaarufu uyu asaiv utashangaa anapost matangazo
Mbona kule kwa kiredio full mashungi huku ni hiv
Kule s alikua anqigizq
45yrs
Nimuongo huyo 😂😂😂 Oman ipi hiyo
Muongoo uyuataka umalufu maalufu
😂ukiangalia kwa undan huyu dada huko oman alikuwa anajiuza mana hakuna msichana wa ndan akalipwa pesa nyingi oman na tena amekaa miaka 2 hakuna maendleo ya miaka 2 na pia skia alichosema mwanzo kabla hajaondoka amempangia nyumba na alipajuaje kwa frank pesa alipata wap wakat mitaji yote alimfungulia frank wakat yupo oman huyu dada anataka kupelekewa moto na wasanii hajapata kikiiiii 😅
Kumuhudumia mwanamume lazima aje akupige tukio zito Kwa sababu mwanamke akuumbiwa kumuhudumia mwanamke
Kule alisema miaka 3 huku miaka 2 mfyuuuuu Oman ametoka na kibag kimoja na mikucha kama msungo
Labda alikuja kujiuza maana mabellah wamejaa wabongo wanauza nyuchi zao
Maabellah❤
@@NasserAlhajri-ys6yr eehee wapo tele😂😂😂😂
huyu anaigiza bwana sio kweli katoka omani😊
Mbona kama kiki.
siku zinavyoendelea nazidi kuamini hii kiki 😂
Hii kiki mahi mtu anatoka nje na kibegi kama kile afu ajabu begi Haina hata sticker za mizigo
@@soniahassan6769 kabisa yani
@@soniahassan6769Si ndo hapo mahi wangu😂😂😂 yaan kwaza mtu anae toka nnje tulivyo na mihemko mabag matatu mawili😅😅😅😅
@@ashazuber6548 wasituzalilishe wapambanaji wa oman hakuna siku hizi bwege anaehonga mwanaume
@@ashazuber6548mm mwenyewe nimeshangaa maana hpa kuna wang ana mipolo kma yote na bdo kuondoka yy kibegi kile chepesi.
Mmh pale kodi ni million 😂😂😂
Lakini wanaume waache tabia ya kupenda kulelewa. Fanyeni kazi maana hata maandiko yasema mwanaume atakula kwa jasho na mwanamke atazaa kwa uchungu. So mwanaume asimame kwa zamu yake na mwanamke kwa zamu yake. Nyie wanawake mnaowapoteza wanaume wadogo kwa kuwarubuni kwa hela na Mali na mahaba mazito muache hiyo tabia ili waweze kujitafutia na kuanzisha familia zao.
Huyu anavyoongea2 unajua anautaka umaarufu sauti sio yake ebu rejea hapo kwenye bei ya kodi 😂😂😂
Eti sasha ni mfanya biashara😂😂😂wai wakati wewe ni shagla ulukuwa unaosha hamu mama😂😂wacha uwongo
Hii ni kiki tu m ndo maana huwa namuamini millardayo tu yaani mwanaume kahojiwa kasema alifunguliwa duka la nguo mwanamke saivi anasema vifaa vya pikipiki
Kama hukutaka kiredio aposti ulimtafuta wa nini mpuuz kbs
Jamani tim gulf tujuane kwenye hii habar ml 2 hiyo kwiyo
Wewe dada kama ulitoa pesa ya nyumba na hiyo nyumba siyo ya bei hiyo ulipajuaje pale mbona ulimwongoza kiredio acha uwongo
Ukipata chance ya kurudii oman utakubali?
Aache ushamba yeye anamkasirikia kiredio kwani yeye kiredio alijipeleka pale mwenyewe? Huyo asijishaue.
We tukome ww Kwanza ujui ata mkataba miezi mingapi una tafuta kk kupitia uongo wako ata Oman upajui😢😢
Wee wat tuk omn hatujasikia msharah wa million 3
Eti nyumba so ya hadhi ya laki moja na anashangaa sa kabla hajaondoka c aliiona mpaka anamleta kiredio 😂😂 n kwamba anapajua ase na mm nianze Kiki nijulikane niwe mwigizaji😂😂😂
Alikuwa anaosha vyombo😂😂😂😂
Haina shida swala ni kazi...
Acha upumbamvu Yani kiredio asipost akose Hela we ulimuita wanin kiredio ana ishu privet uyu demu mpuz kweli kweli 😅😅
Hawa nao waongo Frank kahojiwa kasema Duka la nguo huyu dada nae anasema Duka la vifaa mmmh
Uyu dada nae muongo tu
Sana tena mwanzo alisema walikaa wote hiyo nyumba sasa anasema alimpa pesa sio ya kukaa hapo
😂😂😂
Huyu si alisema anaitwa rose au😢😢
Huyu fala mwongo kinouma ile nyumba ndo milioni mbili kweli wakati hata laki tatu haifikii
Pwagu na pwaguzi poli lao moja mchukuane maisha yaendele ila tu muowane kila mtu amueshimu mwenzake😂😂😂
6:55 Kwani ulivyomtafuta kiredio ulitegemea nn au ulitaka hiyo video uiweke kweny sm yk acha uongo bwanaaa
Sasa kama ulikuwa hutaki upostiwe ulimwita kiredio wa nn
Majirani huna namba zao🥴
Million moja kwa nyumba ipi😂😂
Mwongo sasha alisema mkataba ulikuwa miaka 3 leo unasema miaka 2!?
Hiyo mi 10 ndo mshahala wa miak 2 namaan uyo uku alikaa kumudumia bwana tu kwaiyo uyu dada kaludi patup😢
Hajarud kap sai rial ipo juu mwaka mmoja una milion 10 na lako 2 na pesa kidog yy kakaa miaka 3 kwa hiyo huyu ni mjinga tuy tusem hajielew pengine hata kwao gajajenga
Dada muongo uyu oman kwa mshaara gani ujitape ivo mmmmm mm simuamini uyu dada muongo
Uongo sehemu nyingine umejikoroga!!
Lakini kama ulikuwa upafaham ulikwendaje kwake unachangany mambo
dada muongo mpak kuelezea hawezi ovyoooo kabisaaa
Amna mtoka oman apo kwanza wanapokoaea yule mke mwenzie wame shindw kuekt mtu mmoja
Jmn kigofu kile ndo milion 😅😅😅😅😅
Why mnasema muongo ? Kwani hawezi fanya kazi oman
Huyu mdada mbona anaonekana muongo muongo??usikute hata hakuwa oman walianzia kushoot airport tu hapo😂😂😂
Dada hii michezo😂😂katafuta namna ya kujulikana2
Kujulikan wap alikuw oman kweli jinga hili
Hivi hawa wenzetu wanapata wapi hela zakuhonga wanaume😢
Kweli ni waongo, yeye anasema kakaa oman miaka miwili,sasa ishu Ya nafasi ya Maria si juzujizi tu,na anadai alihojiwa na carrymastory,Alihijiwaje wakati alikuwa Oman,,anatudanganya,huu ni mchezo ili atrend
Kama hukutaka kiredio a post ulimfata wa nn sa na akati niliona unamwambia a record kabla hamjafika😂😂😂 embu tuachie kiredio wetu