MPISHI HODARI MTANDAONI ASIMULIA MAAMUZI YAKE “NIMEMBLOCK MAMA, NINA MPENZI”

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 окт 2024

Комментарии • 345

  • @jamilajuma3811
    @jamilajuma3811 3 дня назад +71

    Bro anaongea kisomi mpaka raha yuko so professional kama kafika chuo😮 Big up❤

  • @LuckyTemu
    @LuckyTemu 3 дня назад +17

    Haya ndo MADINI ya kutuwekea 🔥🙌 keep it up my brother George usisikilize maneno mze wang utapotea fanya roho k2 inapenda

  • @cook_with_Mai
    @cook_with_Mai 3 дня назад +18

    Ukisikia kubarikiwa ndo huku. Maashallah, kijana mwenye akili zake timamu na IQ yake iko vyema. Big up my young bro.

  • @VickymaukyMauky
    @VickymaukyMauky 3 дня назад +63

    Nimejua kupika chapati kupitia huyu kaka jmn ubarikiwe mdogo wangu❤❤❤

  • @francis9610-k2p
    @francis9610-k2p 3 дня назад +23

    Dogo yuko real sana, anapika vizuri ,anafundisha mapishi vizuri, ameitendea haki interview anajibu maswali vizuri sana short and clear, Very focused young man , ni mtu ambae anahitaji uvumilivu na kuwa thabiti katika anachokifanya muda utaongea atafika mbali sana

  • @annagakome2991
    @annagakome2991 3 дня назад +18

    Hongera sana mdogo wangu,Mungu akuwezeshe ufike mbali

  • @NtamamiloGibson
    @NtamamiloGibson 3 дня назад +39

    Nimepemda anavyojibu facts bila kulemba lemba. Big up dogo najua utatoboa kuna siku campuni zitakuona.

    • @nuruurio8319
      @nuruurio8319 День назад +1

      Watu wa arusha wanarembaga maneno basi

  • @naomymuro2199
    @naomymuro2199 3 дня назад +21

    Anafundisha keki vzr uyu kaka hatariiii❤❤❤

  • @HappyShirima-k9t
    @HappyShirima-k9t 3 дня назад +61

    Me nilikuwa najuaga ety ni mkenya kumbe ni mwarusha mwenzangu jaman congrats George ❤❤keep it

    • @AnethMungure
      @AnethMungure 3 дня назад +3

      Me too

    • @Bahati47
      @Bahati47 3 дня назад +2

      Hata Mimi 😂

    • @pascoswai3704
      @pascoswai3704 3 дня назад +1

      Kabsa mawazo yalikua Sawa, mi nilijua kabsa sio mtanzania

    • @ireneshao7950
      @ireneshao7950 3 дня назад +1

      Mimi pia😂

    • @ce-08
      @ce-08 3 дня назад +3

      Duuh waTz cc mtu akija na idea ambayo hatujaizoe bas lazma weng wahisi sio mtz😢

  • @AbelCharles-co6qb
    @AbelCharles-co6qb 3 дня назад +36

    Wanao amini George anakinge kizur kuliko chino wana man 2juane 😅

    • @aika9116
      @aika9116 2 дня назад

      Sasa kwanini umtolee mfano chino😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @thabealaizer3313
      @thabealaizer3313 2 дня назад

      😅😅😅kwann chino

    • @salhawaziri1668
      @salhawaziri1668 День назад

      @@thabealaizer3313kwanin wana man lakin

  • @inviolathaathanas7989
    @inviolathaathanas7989 7 часов назад +1

    Nimejufunza kuoga maji ya pilau kupitia huyu kaka. Ubarikiwe sana☺️☺️☺️☺️☺️

    • @suzymnandi
      @suzymnandi 23 минуты назад

      😂na maji ya mayonaiz

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 3 дня назад +16

    Anapika vizuri mashaallah ❤❤

  • @bahatirngulika4493
    @bahatirngulika4493 3 дня назад +38

    Aiseee Mungu anisamehe sikuwazaga kwamba huyu ni gentleman kbs kumbe ni chalii ya Ara😁 big up brother

    • @RayyanRayyan-rt9cg
      @RayyanRayyan-rt9cg 3 дня назад

      Uoni hata meno jmni😅

    • @deodatusmwacha719
      @deodatusmwacha719 3 дня назад +1

      ​@@RayyanRayyan-rt9cg Sio watu wote waliooza meno wanatokea Arusha Kuna warangi,wanyaturu na wanyantuzu😂😂😂😂kigezo Cha meno hapana na sio wote Arusha wameoza meno

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 2 дня назад

      Mnapenda kuhukumu kabla ya utafiti ndio maana

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 3 дня назад +16

    Wapishi wengi na ma hodari sana ni wanaume. Subhana Allah

    • @AshuuuBakari
      @AshuuuBakari 3 дня назад +4

      Wanawake tunafatilia sana mambo ya kiduni 😂kupika ziro

  • @bokotvsai
    @bokotvsai 2 дня назад +9

    Huyu jamaa anajua Ngelii Nyiee Si Unasikia hizo yaaah Yees 🙌😂😂

    • @sulumsalehebadulusaid1515
      @sulumsalehebadulusaid1515 2 дня назад

      😂😂😂😂anajua tu 🇾‌🇪‌🇸‌ ,🇾‌🇪‌🇦‌🇭‌ 🇦‌🇦‌🇦‌🇭‌🇭‌

    • @yasminjuma9146
      @yasminjuma9146 День назад

      Mhh😂 yes

  • @judithkirenga9977
    @judithkirenga9977 3 дня назад +12

    George idea zako huwa nzuri sana, Rudi Arusha fungua restaurant yako huku restaurant nyingi zimejaa vyakula vya kizungu, pls come tuuze na mbege pia😂❤❤❤

    • @Sarah-e1o9k
      @Sarah-e1o9k 3 дня назад

      Vlee inafaa😂❤❤❤❤❤

  • @Sarah-e1o9k
    @Sarah-e1o9k 3 дня назад +10

    Unajua mtu akipenda kupika hawezi kunificha mimi sasa napika kama wazimu tukikutana na hyo tunaweza kufungua biasha kubwa sna wacha nimtafte❤❤❤❤

    • @Rose-ue2ho
      @Rose-ue2ho 2 дня назад

      Umefunguwa biashara yako au unapika nyumbani tuu??

    • @brandsmedia4861
      @brandsmedia4861 2 дня назад +1

      tuunganishe nguvu tuone

    • @Sarah-e1o9k
      @Sarah-e1o9k 2 дня назад

      @brandsmedia4861 yes mimi kwa sasa nik9 nairobi napika kwa muheshimiwa fulani cwezi kumtaja hpa napima adi chumvi inanijua khaaa🤣🤣

    • @brandsmedia4861
      @brandsmedia4861 2 дня назад

      @@Sarah-e1o9k haha hiyo hatari sana

    • @antybabybintrashid2333
      @antybabybintrashid2333 День назад

      ​@@Sarah-e1o9kniunganishe na mm waheshmwa ni wengi najua kupika sema na boss aniulizie namm kazi

  • @tumainielmaruwa3148
    @tumainielmaruwa3148 3 дня назад +9

    Hongera sana Brother one day utakuwa billionaire 🙏

  • @NuruChristopher-z1w
    @NuruChristopher-z1w 3 дня назад +4

    Yupo vzr mno,mungu akupe maisha marefu mpishi hodari

  • @MarySengo-i4c
    @MarySengo-i4c 3 дня назад +7

    Hongera saana George Mimi ni shabiki wako Niko Morogoro

  • @fadhilmgahi1334
    @fadhilmgahi1334 2 дня назад +4

    Jamaa anaongea very proffesional anajibu maswali clear sana

  • @masalakulwa7601
    @masalakulwa7601 3 дня назад +11

    safi sana aise..nashangaa mnaoswma shoga .shoga baba zenu.mxiew

  • @salmamlokela1987
    @salmamlokela1987 3 дня назад +20

    Usijar geoge mama samia amekusikia tegemea mambo mazur mda si mrefuuuu😅

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 3 дня назад +8

    Hongera kijana wetu WA Arusha 💪💪💪

  • @JescaJosephati
    @JescaJosephati 3 дня назад +13

    Anajua anajua na tena yupo vzr mashallah

  • @angelmashauri6961
    @angelmashauri6961 3 дня назад +1

    Hongera sana George…nafuatilia sana mapishi yako na napenda pia…Mungu azidi kukuongoza kwenye kazi yako ya upishi.

  • @lisavictor3102
    @lisavictor3102 День назад +1

    Huyu kaka anajua sana very professional kama amemaliza chuo kikuu

  • @SalmaSwai-k2x
    @SalmaSwai-k2x 4 часа назад

    Napenda mapishi yako mwanangu mungu akutunze Inshallah❤❤❤

  • @Blackmar229
    @Blackmar229 3 дня назад +10

    Anapika uyu Yan akifungua mgahawa na kupika mwenyewe itakua nomah 😊😋

  • @giftgimbi3848
    @giftgimbi3848 День назад +1

    Hongera Bro 👊
    Very professional ase.
    Uyu jamaa anajua bhna nimeshabahatika kula cake aliyotengeneza uyu jamaaa ase ni kwere bablai

  • @EsterJonh-i7h
    @EsterJonh-i7h 3 дня назад +4

    Hongera broo Tanga ndivyo tulivyo karibun na wengine

  • @SaphiaSitta
    @SaphiaSitta День назад

    Kaka. Mambo hongera kwa kazi nzuri Mimi Huwa nakufatilia San tktk naomba naMimi unielekeze pia na viungo vyake

  • @MiishHassan-qm1et
    @MiishHassan-qm1et 3 дня назад +15

    Anaongea kisomi sana good job brother 🥰🥰

    • @EsupatLaiser
      @EsupatLaiser 3 дня назад +1

      Arusha Moja

    • @FahadAbubakari-y3f
      @FahadAbubakari-y3f 3 дня назад +1

      ​@@EsupatLaisermlikua mnajifanyaga wagumu kumbe soft tu ndo mana dogo dangote alikua anawalaza ndani mapema

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla 3 дня назад

      Mbona comment iko nje ya mada kaka​@@FahadAbubakari-y3f

    • @AgnesJohn-f1r
      @AgnesJohn-f1r 3 дня назад

      ​@@FahadAbubakari-y3f😂😂😂 jamani yote hayo ya Nini

    • @FahadAbubakari-y3f
      @FahadAbubakari-y3f 3 дня назад +1

      @@AgnesJohn-f1r wanaaktigi ugumu yani ile ubishi kinoma kumbe waigizaji tu

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 9 часов назад

    jamaa anajibu short but clear Nice one

  • @debbie11044
    @debbie11044 3 дня назад +3

    Anapika vzuri alafu kwa usafi..big up George..tunaomba page ya cake pls wateja tuzifate

  • @GladnessSamson-xk2ii
    @GladnessSamson-xk2ii 3 дня назад +7

    Huyu kaka nampenda buree❤ anaoga had maji ya maziwa😅

    • @Kaankaraz
      @Kaankaraz День назад

      Hata mimi nakupenda

  • @christermlewa8471
    @christermlewa8471 2 дня назад

    Hongera sana kaka,kwa uwezo wa Mungu utatimiza malengo yako

  • @graceaugustino5372
    @graceaugustino5372 3 дня назад +1

    Safiiiiiiiiiii hongera sana Dogo ❤ keep it up

  • @justice607
    @justice607 3 дня назад +32

    Kaskazini hatokagi fala! Ooh! Chuga hiyo! Chuga hiyo!😅😅🎉🎉🎉🎉

    • @ubuntubantu2404
      @ubuntubantu2404 3 дня назад +2

      Sasa huyu unadhani ni fala?

    • @GeeMelly
      @GeeMelly 3 дня назад

      @@ubuntubantu2404hujaelewa

    • @nuruurio8319
      @nuruurio8319 День назад +1

      Na utaskia vijna wa arusha hawapo timamu 😏😏

    • @patrickjustus6930
      @patrickjustus6930 Час назад +1

      Mm sio wa Chuga lakini hilo ni kweli Watu wa Arusha wana akili sana by nature nmesoma kule nmejionea hata ambaye hajaenda shule unaona anacho kitu kichwani sijui ni maji mnayo kunywa na baridi

  • @seneu.2128
    @seneu.2128 20 часов назад

    Hongera home boy endelea kufanya unachopenda.

  • @Mimy_keys
    @Mimy_keys 3 дня назад +1

    Hongera Sana GEORGE Mi Nakufatilia Sana 🥳😍🙏

  • @BlessedLady-by5hz
    @BlessedLady-by5hz День назад

    This guy 🎉🎉 anajielezea vizuri sana hadi raha

  • @MwadawaMohamed
    @MwadawaMohamed 3 дня назад +5

    Tanga raha❤

  • @AthanaseKiyoja
    @AthanaseKiyoja 3 дня назад +13

    Kwa dunia ya.wenzetu (wazungu) lkn hata tasisi zingine. kama vile Majeshi,wapishi ni wanaume.Wapishi wazuri ni wanaume,wanawake ni wasaidizi tu.

  • @NuruCleopa
    @NuruCleopa 3 дня назад +3

    Keeps going broh Mungu hawezi kukuacha

    • @ghaniyapoches2684
      @ghaniyapoches2684 3 дня назад

      By the way naomba upike mseto WA choroko na samaki WA Nazi can't wait for this...shush hii kitu utube na insta we r here for u Mungu azidi kukupeleka juu kimafanikio

  • @missmoona4497
    @missmoona4497 3 дня назад +5

    Ningefurah zaid ange pika live kupitia Ayo tv

  • @sofiaoman5901
    @sofiaoman5901 3 дня назад +2

    Hongera kaka napenda chakula chako unavopika mimi pia napenda kupika

  • @saumuabdallah198
    @saumuabdallah198 День назад

    dah! kwako maroll model wake ni watu wa tanga..😂😂🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤ ila tanga 🙌🙌📌📌📌

  • @getrudedevis
    @getrudedevis 3 дня назад

    Hongera sana na Mungu azidi kukutia nguvu uzidi kupambanaa

  • @DianaMasamu
    @DianaMasamu 3 дня назад +2

    Nilijuaga wanaume wamesha kupoteza kumbe upo pamoja naoo hongera sana

    • @abdulkarimnassor284
      @abdulkarimnassor284 3 дня назад

      Nitashika fimbo nikuchape😀😃😄

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 2 дня назад

      Hiyo ndio shida ya kuhukumu bila kujua. Na ni nani aliesema mwanaume akipika anakuwa shoga?

  • @renyfridabutitiba3458
    @renyfridabutitiba3458 2 дня назад

    So smart wengine, wanawaza waoe akawe house girl

  • @aziadaommary
    @aziadaommary 3 дня назад +3

    Nakupenda bure

  • @leahmanase1034
    @leahmanase1034 3 дня назад +1

    Pambana mdogo wangu@Georgeskitchen..utakuwa mpishi wa kimataifa utatoboa.

  • @FatumaOmary-hu7od
    @FatumaOmary-hu7od День назад

    Bro ubarikiwe sana nilikuw xjui kupika chapat ila kupitia ww nmejua💞💞💞

  • @katherinemetili3428
    @katherinemetili3428 3 дня назад

    Aisee kumbe ni wa kwetu peace sana name hongera sana

  • @youthchanel8612
    @youthchanel8612 3 дня назад +8

    Yupo strong huyu wala sio ...

  • @aminammbaga7736
    @aminammbaga7736 3 дня назад +1

    Yes yaah

  • @mchikirwambombeyagonja4311
    @mchikirwambombeyagonja4311 3 дня назад +14

    Yuko na confidence kijana huyu

  • @janethjonas1700
    @janethjonas1700 3 дня назад +3

    Yes yeah zikipungua itapendeza sana otherwise he is so perfect 👌

    • @cook_with_Mai
      @cook_with_Mai 3 дня назад

      Mhm makubwa! Kila mtu na namna yake ya kujieleza anapohojiwa.

    • @goodteam7890
      @goodteam7890 2 дня назад +1

      Mbona we umetupia kizungu hapo mwishoni

    • @agriparose3942
      @agriparose3942 2 дня назад

      Yupo sahihi mno mno

  • @jacobsafari700
    @jacobsafari700 3 дня назад +1

    Keep going 💪💪💪

  • @Agatha-q5b
    @Agatha-q5b 2 дня назад

    Big up George

  • @murtanseif3539
    @murtanseif3539 3 дня назад +2

    Good brother very nice

  • @JudithKimaro-b9j
    @JudithKimaro-b9j 2 дня назад

    Kwanza hongera chal unajua kujib maswal kisom na uko vizur

  • @ghaniyapoches2684
    @ghaniyapoches2684 3 дня назад +3

    Haya watanzania kwenye mahoteli makubwa sekta nzuri hata vipindi#wasafitv muajirini huyu Jamaa ana wafuasi wengi Sana tutamsapoti Kwa kila Hali...mpeni fursa ya KAZI jamani tusapoti vijana

    • @ce-08
      @ce-08 3 дня назад

      Daah wewe ndiyo mmoja ambae umeangalia nje ya horizon 🎉🎉 umefkria nje ya box

  • @GeorgeKessy
    @GeorgeKessy 2 дня назад

    Wajinaaaa. Good 👍

  • @verynicemonyo8671
    @verynicemonyo8671 2 дня назад

    Mungu akubariki

  • @junioremmanuel1695
    @junioremmanuel1695 2 дня назад

    U did it

  • @irenelucy6349
    @irenelucy6349 День назад

    Handsome man

  • @JESTINAHIMAN
    @JESTINAHIMAN 3 дня назад

    Mashaallah fungua mgahawa si kwa mapishi hayoo

  • @Joliegal834
    @Joliegal834 2 дня назад +1

    Anayeangalia uku anatabasamu😊😊

  • @MashaMwakindangi
    @MashaMwakindangi 3 дня назад +5

    Tupeni mauwa yetu watanga 😂😂😂tumemfundisha mpk kajua kupika tanga rahaa bhana😂

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 3 дня назад +3

    Hapo tyl kampuny itakuona tu!
    Mwamba siyo kwa maic ya milard
    Ni maic kubwa sana WEW NDIYO
    PROFESHINAL TANZANIA MZIMA
    Mimi mwanangu pia najua kupika
    Napenda kupika kinoma na pia
    Najua sanaaaa LAKIN USHAULI WANGU
    DOGO VAA VIZURI VAA KIUME
    ACHANA NA MAJI yakutia mdalasin
    Lakin kwenye upishi hpo sikulaum
    Pika mzee mpaka ufanikiwe

    • @lulumasangwa9962
      @lulumasangwa9962 3 дня назад

      Mdalasini ni muhimu brother
      Usipotia ww atatia mkeo.

  • @DianaMacha-jf8gw
    @DianaMacha-jf8gw 3 дня назад

    Huyu kaka napenda sana kazi zake saluty kwake

  • @Jamila96_juma
    @Jamila96_juma 2 дня назад +1

    Napenda sufuria zake

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja4729 3 дня назад

    Kupika unajua Sanaa hongera Sanaa

  • @AbuodSeleman
    @AbuodSeleman 3 дня назад +4

    watoto wa single mother

  • @ilovefootball1446
    @ilovefootball1446 2 дня назад

    Yess

  • @fidelitekarigirwamuyangwa973
    @fidelitekarigirwamuyangwa973 3 дня назад +1

    ❤😂😂Yani nakijana wangu ampika hatar naona mk atapata tabuu

  • @ShazmaRamadhan-w4o
    @ShazmaRamadhan-w4o 3 дня назад +2

    Jirani yangu huyu kabisaaa napokaaaaa

  • @DareAziz-g3s
    @DareAziz-g3s 3 дня назад

    Hongera Sana❤

  • @janethgodwin2032
    @janethgodwin2032 День назад

    Makofi kwa chuga boy mpambanaji👏

  • @nelykaaya6503
    @nelykaaya6503 3 дня назад +1

    Nakubaliii sana

  • @FatumaRashidi-x5t
    @FatumaRashidi-x5t День назад

    Meaka huu ni wakina George mwingine best student

  • @DpN-rk8xz
    @DpN-rk8xz 3 дня назад +1

    Ana sauti nzuri unweza kupata nafasi

  • @VabraJerome-fy6nf
    @VabraJerome-fy6nf День назад

    Yupo vzr jmn

  • @GloryJohn-o7s
    @GloryJohn-o7s 2 дня назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤ nitakaribia siku moja nije nionje jaman

  • @mariambintsaid3814
    @mariambintsaid3814 2 дня назад

    Uyu mhojaji yuko vizuri sana

  • @Mojabo-qi7sv
    @Mojabo-qi7sv 2 дня назад

    Ongera

  • @MagrethCostantine
    @MagrethCostantine День назад

    Mwanangu uko juu kama ubaya ubwela ni haki umpikie rais unafaa

  • @alleyissaramadhan6068
    @alleyissaramadhan6068 3 дня назад

    Keep it up brother

  • @HafsaShekigenda
    @HafsaShekigenda 3 дня назад +2

    Tangia tupo vizuri😊😊

  • @hagaramgini-sz1du
    @hagaramgini-sz1du 3 дня назад +3

    Dogo amenyooka sana big up 2u

  • @فاطمهفاطمه-ش2ز9ج
    @فاطمهفاطمه-ش2ز9ج 3 дня назад +1

    😅😅😅leo sasa nmeelewa kila siku nilikuwa nakufananisha na masai😂😂😂kumbe kwel.

  • @jinnahsameer
    @jinnahsameer 3 дня назад

    ❤❤❤ kaka naomba namba za huyo kaka

  • @salmamlokela1987
    @salmamlokela1987 3 дня назад +4

    Upo vizur George

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 3 дня назад

    Anaweza kuwa Mtangazaji pia

  • @YobelgnEmmanuel
    @YobelgnEmmanuel 3 дня назад +1

    We uoni ni mgumu tiyari anakujibu bila kupindisha😂

  • @aminakassim7741
    @aminakassim7741 День назад

    Hii interview imenifanya nimpende na kumuheshimu zaidi George

  • @mugapro
    @mugapro 2 дня назад +2

    ndoto yako hiyo ya kumpikia Mh imekuja lini, ni toka zamani au kwakuwa umeulizwa na mwandishi

  • @HappyShirima-k9t
    @HappyShirima-k9t 3 дня назад +1

    Nimempenda jins anavyojibu