Dogo yuko real sana, anapika vizuri ,anafundisha mapishi vizuri, ameitendea haki interview anajibu maswali vizuri sana short and clear, Very focused young man , ni mtu ambae anahitaji uvumilivu na kuwa thabiti katika anachokifanya muda utaongea atafika mbali sana
@@RayyanRayyan-rt9cg Sio watu wote waliooza meno wanatokea Arusha Kuna warangi,wanyaturu na wanyantuzu😂😂😂😂kigezo Cha meno hapana na sio wote Arusha wameoza meno
George idea zako huwa nzuri sana, Rudi Arusha fungua restaurant yako huku restaurant nyingi zimejaa vyakula vya kizungu, pls come tuuze na mbege pia😂❤❤❤
Mm sio wa Chuga lakini hilo ni kweli Watu wa Arusha wana akili sana by nature nmesoma kule nmejionea hata ambaye hajaenda shule unaona anacho kitu kichwani sijui ni maji mnayo kunywa na baridi
By the way naomba upike mseto WA choroko na samaki WA Nazi can't wait for this...shush hii kitu utube na insta we r here for u Mungu azidi kukupeleka juu kimafanikio
Haya watanzania kwenye mahoteli makubwa sekta nzuri hata vipindi#wasafitv muajirini huyu Jamaa ana wafuasi wengi Sana tutamsapoti Kwa kila Hali...mpeni fursa ya KAZI jamani tusapoti vijana
Hapo tyl kampuny itakuona tu! Mwamba siyo kwa maic ya milard Ni maic kubwa sana WEW NDIYO PROFESHINAL TANZANIA MZIMA Mimi mwanangu pia najua kupika Napenda kupika kinoma na pia Najua sanaaaa LAKIN USHAULI WANGU DOGO VAA VIZURI VAA KIUME ACHANA NA MAJI yakutia mdalasin Lakin kwenye upishi hpo sikulaum Pika mzee mpaka ufanikiwe
Bro anaongea kisomi mpaka raha yuko so professional kama kafika chuo😮 Big up❤
Na wanasemaga arusha hamna kijana timamu
😂😂
Nawashangaa sana
Haya ndo MADINI ya kutuwekea 🔥🙌 keep it up my brother George usisikilize maneno mze wang utapotea fanya roho k2 inapenda
Ukisikia kubarikiwa ndo huku. Maashallah, kijana mwenye akili zake timamu na IQ yake iko vyema. Big up my young bro.
Nimejua kupika chapati kupitia huyu kaka jmn ubarikiwe mdogo wangu❤❤❤
Kweli anafanya kazi vizuri
Nampataje
Dogo yuko real sana, anapika vizuri ,anafundisha mapishi vizuri, ameitendea haki interview anajibu maswali vizuri sana short and clear, Very focused young man , ni mtu ambae anahitaji uvumilivu na kuwa thabiti katika anachokifanya muda utaongea atafika mbali sana
Uroho tu 😂😂 sio kwa kusifia kote huko 😂
😂😂😂
😂😂
Hongera sana mdogo wangu,Mungu akuwezeshe ufike mbali
Nimepemda anavyojibu facts bila kulemba lemba. Big up dogo najua utatoboa kuna siku campuni zitakuona.
Watu wa arusha wanarembaga maneno basi
Anafundisha keki vzr uyu kaka hatariiii❤❤❤
Ada ni shingapi dear?
Me nilikuwa najuaga ety ni mkenya kumbe ni mwarusha mwenzangu jaman congrats George ❤❤keep it
Me too
Hata Mimi 😂
Kabsa mawazo yalikua Sawa, mi nilijua kabsa sio mtanzania
Mimi pia😂
Duuh waTz cc mtu akija na idea ambayo hatujaizoe bas lazma weng wahisi sio mtz😢
Wanao amini George anakinge kizur kuliko chino wana man 2juane 😅
Sasa kwanini umtolee mfano chino😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😅😅😅kwann chino
@@thabealaizer3313kwanin wana man lakin
Nimejufunza kuoga maji ya pilau kupitia huyu kaka. Ubarikiwe sana☺️☺️☺️☺️☺️
😂na maji ya mayonaiz
Anapika vizuri mashaallah ❤❤
Aiseee Mungu anisamehe sikuwazaga kwamba huyu ni gentleman kbs kumbe ni chalii ya Ara😁 big up brother
Uoni hata meno jmni😅
@@RayyanRayyan-rt9cg Sio watu wote waliooza meno wanatokea Arusha Kuna warangi,wanyaturu na wanyantuzu😂😂😂😂kigezo Cha meno hapana na sio wote Arusha wameoza meno
Mnapenda kuhukumu kabla ya utafiti ndio maana
Wapishi wengi na ma hodari sana ni wanaume. Subhana Allah
Wanawake tunafatilia sana mambo ya kiduni 😂kupika ziro
Huyu jamaa anajua Ngelii Nyiee Si Unasikia hizo yaaah Yees 🙌😂😂
😂😂😂😂anajua tu 🇾🇪🇸 ,🇾🇪🇦🇭 🇦🇦🇦🇭🇭
Mhh😂 yes
George idea zako huwa nzuri sana, Rudi Arusha fungua restaurant yako huku restaurant nyingi zimejaa vyakula vya kizungu, pls come tuuze na mbege pia😂❤❤❤
Vlee inafaa😂❤❤❤❤❤
Unajua mtu akipenda kupika hawezi kunificha mimi sasa napika kama wazimu tukikutana na hyo tunaweza kufungua biasha kubwa sna wacha nimtafte❤❤❤❤
Umefunguwa biashara yako au unapika nyumbani tuu??
tuunganishe nguvu tuone
@brandsmedia4861 yes mimi kwa sasa nik9 nairobi napika kwa muheshimiwa fulani cwezi kumtaja hpa napima adi chumvi inanijua khaaa🤣🤣
@@Sarah-e1o9k haha hiyo hatari sana
@@Sarah-e1o9kniunganishe na mm waheshmwa ni wengi najua kupika sema na boss aniulizie namm kazi
Hongera sana Brother one day utakuwa billionaire 🙏
Yupo vzr mno,mungu akupe maisha marefu mpishi hodari
Hongera saana George Mimi ni shabiki wako Niko Morogoro
Jamaa anaongea very proffesional anajibu maswali clear sana
safi sana aise..nashangaa mnaoswma shoga .shoga baba zenu.mxiew
Usijar geoge mama samia amekusikia tegemea mambo mazur mda si mrefuuuu😅
Hongera kijana wetu WA Arusha 💪💪💪
Anajua anajua na tena yupo vzr mashallah
Hongera sana George…nafuatilia sana mapishi yako na napenda pia…Mungu azidi kukuongoza kwenye kazi yako ya upishi.
Huyu kaka anajua sana very professional kama amemaliza chuo kikuu
Napenda mapishi yako mwanangu mungu akutunze Inshallah❤❤❤
Anapika uyu Yan akifungua mgahawa na kupika mwenyewe itakua nomah 😊😋
Hongera Bro 👊
Very professional ase.
Uyu jamaa anajua bhna nimeshabahatika kula cake aliyotengeneza uyu jamaaa ase ni kwere bablai
Hongera broo Tanga ndivyo tulivyo karibun na wengine
Kaka. Mambo hongera kwa kazi nzuri Mimi Huwa nakufatilia San tktk naomba naMimi unielekeze pia na viungo vyake
Anaongea kisomi sana good job brother 🥰🥰
Arusha Moja
@@EsupatLaisermlikua mnajifanyaga wagumu kumbe soft tu ndo mana dogo dangote alikua anawalaza ndani mapema
Mbona comment iko nje ya mada kaka@@FahadAbubakari-y3f
@@FahadAbubakari-y3f😂😂😂 jamani yote hayo ya Nini
@@AgnesJohn-f1r wanaaktigi ugumu yani ile ubishi kinoma kumbe waigizaji tu
jamaa anajibu short but clear Nice one
Anapika vzuri alafu kwa usafi..big up George..tunaomba page ya cake pls wateja tuzifate
Huyu kaka nampenda buree❤ anaoga had maji ya maziwa😅
Hata mimi nakupenda
Hongera sana kaka,kwa uwezo wa Mungu utatimiza malengo yako
Safiiiiiiiiiii hongera sana Dogo ❤ keep it up
Kaskazini hatokagi fala! Ooh! Chuga hiyo! Chuga hiyo!😅😅🎉🎉🎉🎉
Sasa huyu unadhani ni fala?
@@ubuntubantu2404hujaelewa
Na utaskia vijna wa arusha hawapo timamu 😏😏
Mm sio wa Chuga lakini hilo ni kweli Watu wa Arusha wana akili sana by nature nmesoma kule nmejionea hata ambaye hajaenda shule unaona anacho kitu kichwani sijui ni maji mnayo kunywa na baridi
Hongera home boy endelea kufanya unachopenda.
Hongera Sana GEORGE Mi Nakufatilia Sana 🥳😍🙏
This guy 🎉🎉 anajielezea vizuri sana hadi raha
Tanga raha❤
Kwa dunia ya.wenzetu (wazungu) lkn hata tasisi zingine. kama vile Majeshi,wapishi ni wanaume.Wapishi wazuri ni wanaume,wanawake ni wasaidizi tu.
Keeps going broh Mungu hawezi kukuacha
By the way naomba upike mseto WA choroko na samaki WA Nazi can't wait for this...shush hii kitu utube na insta we r here for u Mungu azidi kukupeleka juu kimafanikio
Ningefurah zaid ange pika live kupitia Ayo tv
Hongera kaka napenda chakula chako unavopika mimi pia napenda kupika
dah! kwako maroll model wake ni watu wa tanga..😂😂🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤ ila tanga 🙌🙌📌📌📌
Hongera sana na Mungu azidi kukutia nguvu uzidi kupambanaa
Nilijuaga wanaume wamesha kupoteza kumbe upo pamoja naoo hongera sana
Nitashika fimbo nikuchape😀😃😄
Hiyo ndio shida ya kuhukumu bila kujua. Na ni nani aliesema mwanaume akipika anakuwa shoga?
So smart wengine, wanawaza waoe akawe house girl
Nakupenda bure
Pambana mdogo wangu@Georgeskitchen..utakuwa mpishi wa kimataifa utatoboa.
Bro ubarikiwe sana nilikuw xjui kupika chapat ila kupitia ww nmejua💞💞💞
Aisee kumbe ni wa kwetu peace sana name hongera sana
Yupo strong huyu wala sio ...
Daaah 😅😅😅😅
Kabsa yupo, strong, man aliekamilika hahaha
Yes yaah
Yuko na confidence kijana huyu
Yes yeah zikipungua itapendeza sana otherwise he is so perfect 👌
Mhm makubwa! Kila mtu na namna yake ya kujieleza anapohojiwa.
Mbona we umetupia kizungu hapo mwishoni
Yupo sahihi mno mno
Keep going 💪💪💪
Big up George
Good brother very nice
Kwanza hongera chal unajua kujib maswal kisom na uko vizur
Haya watanzania kwenye mahoteli makubwa sekta nzuri hata vipindi#wasafitv muajirini huyu Jamaa ana wafuasi wengi Sana tutamsapoti Kwa kila Hali...mpeni fursa ya KAZI jamani tusapoti vijana
Daah wewe ndiyo mmoja ambae umeangalia nje ya horizon 🎉🎉 umefkria nje ya box
Wajinaaaa. Good 👍
Mungu akubariki
U did it
Handsome man
Mashaallah fungua mgahawa si kwa mapishi hayoo
Anayeangalia uku anatabasamu😊😊
Tupeni mauwa yetu watanga 😂😂😂tumemfundisha mpk kajua kupika tanga rahaa bhana😂
Hapo tyl kampuny itakuona tu!
Mwamba siyo kwa maic ya milard
Ni maic kubwa sana WEW NDIYO
PROFESHINAL TANZANIA MZIMA
Mimi mwanangu pia najua kupika
Napenda kupika kinoma na pia
Najua sanaaaa LAKIN USHAULI WANGU
DOGO VAA VIZURI VAA KIUME
ACHANA NA MAJI yakutia mdalasin
Lakin kwenye upishi hpo sikulaum
Pika mzee mpaka ufanikiwe
Mdalasini ni muhimu brother
Usipotia ww atatia mkeo.
Huyu kaka napenda sana kazi zake saluty kwake
Napenda sufuria zake
Kupika unajua Sanaa hongera Sanaa
watoto wa single mother
Kwnn?
Yess
❤😂😂Yani nakijana wangu ampika hatar naona mk atapata tabuu
Jirani yangu huyu kabisaaa napokaaaaa
Hongera Sana❤
Makofi kwa chuga boy mpambanaji👏
Nakubaliii sana
Meaka huu ni wakina George mwingine best student
Ana sauti nzuri unweza kupata nafasi
Yupo vzr jmn
❤❤❤❤❤❤❤❤❤ nitakaribia siku moja nije nionje jaman
Uyu mhojaji yuko vizuri sana
Ongera
Mwanangu uko juu kama ubaya ubwela ni haki umpikie rais unafaa
Keep it up brother
Tangia tupo vizuri😊😊
Dogo amenyooka sana big up 2u
😅😅😅leo sasa nmeelewa kila siku nilikuwa nakufananisha na masai😂😂😂kumbe kwel.
❤❤❤ kaka naomba namba za huyo kaka
Upo vizur George
Anaweza kuwa Mtangazaji pia
We uoni ni mgumu tiyari anakujibu bila kupindisha😂
Hii interview imenifanya nimpende na kumuheshimu zaidi George
ndoto yako hiyo ya kumpikia Mh imekuja lini, ni toka zamani au kwakuwa umeulizwa na mwandishi
Nimempenda jins anavyojibu