Haichukuliwi kua uimbe kwa harusi inayokkugusa ila kuimba ni kuimba tu naomba kwa upande wangu usiimbe popote rudi kwa Allah kikamilifu mamaa na Mola atakusaidia. Inshaallah nahija utaenda lnshaallah
Saleh leo kaemewa kapata kitetemeshi😂😂. Bizuhraaa nasi tulienda kwake ramadhan ya 2018 tulkuwa na swali la semina presentation cozi ya ushairi . Kiembesamaki hukoo nyumba paaambe hadi naogopa kukaa kwey matakia ila na huu ni mjengo wa haja mashallaaah❤❤❤❤
Hakuna mtu mwenye maisha ya maana kweli ukamuona anajitamba wote mnaowaona wanajionyesha ni wazugaji au hawana uhakika ndo maana matajiri halisi tz huwezi waona mitandaoni walobaki vibaka tu
Mashaa Allah ❤❤❤ watu wana maisha na hawajionyeshi tizama kasir la maana mola amtunzie maisha yke ammyn🤲🤲
Mashaaallaaah! Nazipenda sana nyimbo zako hasAa ile HASARA ZAKO
Haichukuliwi kua uimbe kwa harusi inayokkugusa ila kuimba ni kuimba tu naomba kwa upande wangu usiimbe popote rudi kwa Allah kikamilifu mamaa na Mola atakusaidia. Inshaallah nahija utaenda lnshaallah
Bismillah mashallah Allah azid kukuweka mama yangu kipenz nyimbo zako Bado zipo kwenye moyo wangu
Saleh leo kaemewa kapata kitetemeshi😂😂. Bizuhraaa nasi tulienda kwake ramadhan ya 2018 tulkuwa na swali la semina presentation cozi ya ushairi . Kiembesamaki hukoo nyumba paaambe hadi naogopa kukaa kwey matakia ila na huu ni mjengo wa haja mashallaaah❤❤❤❤
Mashaallh raha yuko vile vile hazeeki❤❤❤
Mashaallah Zuhra M/Mungu amekujaalia Alhamndulilah
❤❤❤ nyumba nzuli sana
Masha ALLAH ALLAH amlinde na hassad
Maa'shaallah sauti yake yakuimbia na aliyokuwa nayo sasa tofauti mie nadhani ht njiani nisingemjua yaani nyimbo zake nazipenda mno
Bismillah mashallah nyumba nzuriiiiiiii
Wallah huyu alikua star balaa nampendaga hadi leo and she's very very beautiful... mashallah...
Mashallah yupo mzuri vilevile ni kweli azeeki
Aliniua huyu dada na nyimbo elina nakupenda.
Kachukua haraka kakuachia baraka wa kumi ni wa kumi wa moja haongezeki mshukuru Allah hajaweza kukuathiri pahala
Maa Shaa Allaah.
Mashallha da zuhura allha akulinde
Allahuma Aameen Yaarb Alaameen 🤲
Allah tusndike kwa herufi kubwa "Allah "
Mashallah Mama 🎉🎉🎉🎉
Mashallah aishi pazur mashallah
Mashalaha
Anaish pazur na hapigi kelele mashallah❤❤❤
Hakuna mtu mwenye maisha ya maana kweli ukamuona anajitamba wote mnaowaona wanajionyesha ni wazugaji au hawana uhakika ndo maana matajiri halisi tz huwezi waona mitandaoni walobaki vibaka tu
😂😂😂nakumbuka huo ugomvi ulitokea dodoma nami nikihudhuria hilo tamasha mligombana kwenye stage ulisababishwa na wivu😂
Like zangu😀
Da humo ndani sio powa maua yake jmn ❤❤❤❤
Aisee! Watu wanaishi na wala hawana tafrani mjini kimyaaaa lakini balaaaaa
Saleh tunamuhitaja na mr mwanya
Maashaallah
🎉❤
❤❤❤ hatari
Umeyatupa mwenzngu umeyatupa! Kitumbua changu mchanga usinitilie Umeyatupa mwenzngu Umeyatupa!! Mwana wa mwenzio usinivunjie 😂😂😂😂 hatari sio mchezo kipindi icho ilikuwa Haille Selassie 😅
🔥🔥🔥
Umeniangusha dah 😂 hujapata msosi 😆
Atakuwa amekula lkn ajaweka kwenye kipind😂😂😂
Leo saleeh kiranga komo ,makoch ya watu kimguu ulitaka uweke juu ya kochi wapiii😂😂😂😂 heshima kwa adabu
Ujaomba kula
Huyu anafaa kupewa heshima yake km bi mwanahawa da zama
KAMA HUNA D 3 HUWEZ KUMGUNDUA UYO MAMA KWA HARAKA.
Jamani hiyo stting room mi hapa nipo taaban
Tuseme Ma Sha Allah Alhamdelilah 🤲🤲
Amejipanga❤❤❤
Kumwambia mtu umenenepa ni dharau, mtangazaji karudia mara3 neno umenenepa, ingekua unamuhoji mzungu angekufukuza na interview ingeisha.
Huyu nd ali imba Uliwezi bifu au
@@rehemafeysali4444hapana uliwezi bifu ameimba marehemu Mariam khamisi
@@rehemafeysali4444 Kaimba Marehemu Mariamu khamis
Mariam khamis kaimba iyo uliwez bifu na kwa sasa marehem
Salehe hujaamini
Kam hapo ni nyumban kwa bi zu😀
Nyimbo tena mpaka kuzikwa!
Allah anijalie na Mimi inshallah ❤
Amin inshallah
Njoo kwa pdf apa😅
Salehe leo umeingia chakike ata kahawa ukalibishwi
Atakula hapo ila baadhi ya wznz hatupendi huku unakula na huku unasema.