GHOROFA ANALOISHI MWIMBAJI WA TAARAB ZUHURA SHABANI/ANAISHI KIFAHARI/SIIMBI TENA HATA UKINILIPA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 окт 2024
  • Usisahau ku"SUBSCRIBE" RUclips channel yetu kwa videos nyinginezo
    #zamaraditv #mambonimengi

Комментарии • 54

  • @abbashussein-hz4dr
    @abbashussein-hz4dr 2 часа назад +1

    Mashaa Allah ❤❤❤ watu wana maisha na hawajionyeshi tizama kasir la maana mola amtunzie maisha yke ammyn🤲🤲

  • @fatmaallyabdul1732
    @fatmaallyabdul1732 2 часа назад

    Mashaaallaaah! Nazipenda sana nyimbo zako hasAa ile HASARA ZAKO

  • @fatmamuhammed9713
    @fatmamuhammed9713 4 часа назад +2

    Haichukuliwi kua uimbe kwa harusi inayokkugusa ila kuimba ni kuimba tu naomba kwa upande wangu usiimbe popote rudi kwa Allah kikamilifu mamaa na Mola atakusaidia. Inshaallah nahija utaenda lnshaallah

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 4 часа назад

    Bismillah mashallah Allah azid kukuweka mama yangu kipenz nyimbo zako Bado zipo kwenye moyo wangu

  • @dashuu5295
    @dashuu5295 6 часов назад +1

    Saleh leo kaemewa kapata kitetemeshi😂😂. Bizuhraaa nasi tulienda kwake ramadhan ya 2018 tulkuwa na swali la semina presentation cozi ya ushairi . Kiembesamaki hukoo nyumba paaambe hadi naogopa kukaa kwey matakia ila na huu ni mjengo wa haja mashallaaah❤❤❤❤

  • @keyla3641
    @keyla3641 3 часа назад

    Mashaallh raha yuko vile vile hazeeki❤❤❤

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 6 часов назад +1

    Mashaallah Zuhra M/Mungu amekujaalia Alhamndulilah

  • @LazandaSweety
    @LazandaSweety 3 часа назад +1

    ❤❤❤ nyumba nzuli sana

  • @fatimaabdullahmohd2347
    @fatimaabdullahmohd2347 6 часов назад +2

    Masha ALLAH ALLAH amlinde na hassad

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 6 часов назад

    Maa'shaallah sauti yake yakuimbia na aliyokuwa nayo sasa tofauti mie nadhani ht njiani nisingemjua yaani nyimbo zake nazipenda mno

  • @LutfiaRashid
    @LutfiaRashid 6 часов назад +1

    Bismillah mashallah nyumba nzuriiiiiiii

  • @kamekonas3547
    @kamekonas3547 7 часов назад +3

    Wallah huyu alikua star balaa nampendaga hadi leo and she's very very beautiful... mashallah...

  • @khadijahhussan182
    @khadijahhussan182 6 часов назад +1

    Mashallah yupo mzuri vilevile ni kweli azeeki

  • @abubakarsuleman1983
    @abubakarsuleman1983 5 часов назад +1

    Aliniua huyu dada na nyimbo elina nakupenda.

  • @fatmamuhammed9713
    @fatmamuhammed9713 4 часа назад

    Kachukua haraka kakuachia baraka wa kumi ni wa kumi wa moja haongezeki mshukuru Allah hajaweza kukuathiri pahala

  • @rukiaabdul7191
    @rukiaabdul7191 6 часов назад +1

    Maa Shaa Allaah.

  • @TatoTato-t7s
    @TatoTato-t7s 7 часов назад +1

    Mashallha da zuhura allha akulinde

    • @sheikhanasser4714
      @sheikhanasser4714 4 часа назад

      Allahuma Aameen Yaarb Alaameen 🤲
      Allah tusndike kwa herufi kubwa "Allah "

  • @moshielfesty7992
    @moshielfesty7992 6 часов назад +1

    Mashallah Mama 🎉🎉🎉🎉

  • @SummymaddyMaddy
    @SummymaddyMaddy 4 часа назад +1

    Mashallah aishi pazur mashallah

  • @Tuu2019
    @Tuu2019 5 часов назад +1

    Mashalaha

  • @mwanamvuasuleyman4671
    @mwanamvuasuleyman4671 4 часа назад

    Anaish pazur na hapigi kelele mashallah❤❤❤

    • @FahadAbubakari-y3f
      @FahadAbubakari-y3f 3 часа назад

      Hakuna mtu mwenye maisha ya maana kweli ukamuona anajitamba wote mnaowaona wanajionyesha ni wazugaji au hawana uhakika ndo maana matajiri halisi tz huwezi waona mitandaoni walobaki vibaka tu

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 4 часа назад

    😂😂😂nakumbuka huo ugomvi ulitokea dodoma nami nikihudhuria hilo tamasha mligombana kwenye stage ulisababishwa na wivu😂

  • @SherryFadhil
    @SherryFadhil 7 часов назад +2

    Like zangu😀

  • @ReginaErnest-cf6ji
    @ReginaErnest-cf6ji 6 часов назад

    Da humo ndani sio powa maua yake jmn ❤❤❤❤

  • @alirashid3239
    @alirashid3239 3 часа назад

    Aisee! Watu wanaishi na wala hawana tafrani mjini kimyaaaa lakini balaaaaa

  • @wizdully
    @wizdully 4 часа назад

    Saleh tunamuhitaja na mr mwanya

  • @batulindege7057
    @batulindege7057 6 часов назад

    Maashaallah

  • @josephinesisso6598
    @josephinesisso6598 7 часов назад +1

    🎉❤

  • @joharifarahani2739
    @joharifarahani2739 7 часов назад +1

    ❤❤❤ hatari

  • @mohammedabdallah6390
    @mohammedabdallah6390 3 часа назад

    Umeyatupa mwenzngu umeyatupa! Kitumbua changu mchanga usinitilie Umeyatupa mwenzngu Umeyatupa!! Mwana wa mwenzio usinivunjie 😂😂😂😂 hatari sio mchezo kipindi icho ilikuwa Haille Selassie 😅

  • @GloriaNikiza
    @GloriaNikiza 5 часов назад

    🔥🔥🔥

  • @aishandayishimiye5127
    @aishandayishimiye5127 5 часов назад

    Umeniangusha dah 😂 hujapata msosi 😆

    • @zainabwage4658
      @zainabwage4658 4 часа назад +1

      Atakuwa amekula lkn ajaweka kwenye kipind😂😂😂

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 6 часов назад

    Leo saleeh kiranga komo ,makoch ya watu kimguu ulitaka uweke juu ya kochi wapiii😂😂😂😂 heshima kwa adabu

  • @AishaAisha-q4t
    @AishaAisha-q4t 5 часов назад +1

    Ujaomba kula

  • @salma_6j975
    @salma_6j975 4 часа назад

    Huyu anafaa kupewa heshima yake km bi mwanahawa da zama

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 4 часа назад

    KAMA HUNA D 3 HUWEZ KUMGUNDUA UYO MAMA KWA HARAKA.

  • @zenasalum2231
    @zenasalum2231 4 часа назад

    Jamani hiyo stting room mi hapa nipo taaban

  • @جميلهالجميلات-ذ6ظ
    @جميلهالجميلات-ذ6ظ 7 часов назад

    Amejipanga❤❤❤

  • @Tupena-ov7xq
    @Tupena-ov7xq 4 часа назад

    Kumwambia mtu umenenepa ni dharau, mtangazaji karudia mara3 neno umenenepa, ingekua unamuhoji mzungu angekufukuza na interview ingeisha.

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 5 часов назад +1

    Huyu nd ali imba Uliwezi bifu au

    • @AishaKibarati
      @AishaKibarati 5 часов назад

      ​@@rehemafeysali4444hapana uliwezi bifu ameimba marehemu Mariam khamisi

    • @RioIpo
      @RioIpo 4 часа назад

      ​@@rehemafeysali4444 Kaimba Marehemu Mariamu khamis

    • @zainabwage4658
      @zainabwage4658 4 часа назад +1

      Mariam khamis kaimba iyo uliwez bifu na kwa sasa marehem

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj 5 часов назад

    Salehe hujaamini
    Kam hapo ni nyumban kwa bi zu😀

  • @tibamohamed3952
    @tibamohamed3952 6 часов назад

    Allah anijalie na Mimi inshallah ❤

  • @عاىشةالصبحي-م6ه
    @عاىشةالصبحي-م6ه 4 часа назад

    Salehe leo umeingia chakike ata kahawa ukalibishwi

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 4 часа назад

      Atakula hapo ila baadhi ya wznz hatupendi huku unakula na huku unasema.