Комментарии •

  • @TrustElbashil
    @TrustElbashil 4 дня назад +1

    Hongera sana mama mwanahawa kwa kuimba miaka 58 sio mchezo mungu anakupenda sana mama mapumziko mema

  • @SabitMohd-h8o
    @SabitMohd-h8o День назад

    Jambo jema kilichobaki ni toba kabla Allah Hajazuia pumzi zake ❤

  • @OmarKombo-h2j
    @OmarKombo-h2j 5 дней назад

    Nakukubali bi. Mwanahawa
    Mwenyezi mungu akupe nguvu na afya njema

  • @leahdeogratius2069
    @leahdeogratius2069 8 дней назад +1

    Sio mpenzi wa Taharabu, lakini nampenda huyu Mama angu! Allah akutunze!! Hongera Zamaradi Allah akuzidishie kheri!! Naikumbuka hiyo ajali, dah nchi mzima na wapenz wa taharabu ilikuwa huzuni kwa kweli!!

  • @maria_mutondioriginal5
    @maria_mutondioriginal5 2 дня назад

    Mungu amtunze bado tunakuhitaji miaka 72 bado una nguvu ukijisikia kuimba imba mama mpendwa hicho ni kipaji chako hata bibi kidude aliimba hadi mwisho wa uhai wake. Tunashukuru kuwa mh. Rais amesikia kilio chako na amekuja kukupa mkono wa heri ❤ ila ukijisikia kuimba imba mama usifungwe na chochote mpendwa ❤

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 8 дней назад +3

    Saut ya huyu mama ndio imefanya niipende taarab nampenda sana ❤

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 9 дней назад +2

    Mashallah asànte mwanahawa ally ❤ shukran sana kwa uburudan nzul

  • @Sidik-d7e
    @Sidik-d7e 4 дня назад

    ASSLAMALAKUM WARAMATUALLAH WABARAKATU MY MOTHER ALLAH ALWAYS MAKE U HAPPY WITH UR LOVELY FAMILY IN ZANZIBAR ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤REMEMBER ME IN UR DUA UR SON SIDIK FROM LONDON 🇬🇧 UK WS ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @SahimSalim-l5f
    @SahimSalim-l5f 9 дней назад +2

    Legend Bi mwanahawa

  • @MbaroukAbdallah-k8h
    @MbaroukAbdallah-k8h 5 дней назад

    IN SHA ALLAH TURUDI KWA MOLA SASA MAMA YETU TUPATE MWISHO MWEMA NAKUPENDA BI MWANA HAWA

  • @SuolFat
    @SuolFat 19 часов назад

    Nani anakumbuka ule wimbo wa ....Waso haya Wana mji wao

  • @biommy6700
    @biommy6700 9 дней назад +1

    Mama la mama nani km Wewe, umewacha muziki na sauti yako haizeeki

  • @HusnaIdarus
    @HusnaIdarus 7 дней назад

    Anasauti nzuri

  • @djjackdjjack5055
    @djjackdjjack5055 9 дней назад +1

    ❤❤

  • @AwadhAdam-j5f
    @AwadhAdam-j5f 8 дней назад +1

    Huyu isa kijoti aliniuma sana japo nilikua mdogo hadi leo nikisikia hiyo nyimbo yake bado naumia 😢endelea kupumzika kwa amani Isa kijoti

  • @RAMLATHAJI-ig4pf
    @RAMLATHAJI-ig4pf 5 дней назад

    uyu ndo mwanahawa

  • @OmanSohar-d7z
    @OmanSohar-d7z 7 дней назад

    Agetumiyq kwa quran kichwa hicho mola agemzidishiya

  • @zaydelabay9776
    @zaydelabay9776 9 дней назад +1

    ASANTE MWANAHAWA

  • @edwinmathayo1066
    @edwinmathayo1066 8 дней назад

    Mtoto wake wa kwanza jau😂

  • @DanielGaspel
    @DanielGaspel 9 дней назад +3

    KWANINI WA ZANZIBAR WAKIOLEWA HUWA WANAACHIKA ....PUNGUZENI MIDOMO

    • @AbdulhaamisSoud
      @AbdulhaamisSoud 9 дней назад +5

      Kuachika hata bara wanaachika Malaya wakubwa nyie

    • @liylahahmed829
      @liylahahmed829 9 дней назад

      Kwan kila anoachwa ana mdomo ww vp acha upuuzi

    • @TatoTato-t7s
      @TatoTato-t7s 8 дней назад +1

      Wenae acha kukashifu watu mie wadar kauliyako sio nzuri

    • @DanielGaspel
      @DanielGaspel 8 дней назад

      @@TatoTato-t7s sasa kwani uongo

    • @DanielGaspel
      @DanielGaspel 8 дней назад

      @@AbdulhaamisSoud nyie mmezidi wafilwaji wa kubwa nyie

  • @Zanzibar-e4h
    @Zanzibar-e4h 7 дней назад

    Wewe bibi nani alosema hayo km unakatwa kwa mapanga wacha ftina za ccm kwa watu wa kawaida wa miraani hawasubutu kusema hayo hao viongozi hakuna anoweza kusema hayo.na hiyo nyimbo haijakera watu km nyimbo nyengine .au ndo unajifagilia uitwe gena Mungu anakuona na maneno yako wacha mziki ushakonga

  • @MaryamSimai-b9f
    @MaryamSimai-b9f 7 дней назад

    Maisha ya vijiji hakika uliitendea haki

  • @lonnmutta2073
    @lonnmutta2073 8 дней назад

    ASANATE BI MKUBWA UMETULEA KW BUSARA NA HEKMA

  • @Fathasssane-vs2th
    @Fathasssane-vs2th 9 дней назад +4

    Tubia bibi umeisha unaenda kuangwa kwa muziki badala utubie mtihan

    • @TEDY-MTEMY24
      @TEDY-MTEMY24 9 дней назад +6

      Sasa kutubia kwani ni suala la kutangaza??, hata kwa kuwazatu maisha ya music anayaacha unadhani atafanya nini zaidi ya kuendelea na maisha ya ibada,, hongera mwanahawa kwa kuweza kuitumia taranta yako hakika ilitumika vizuri na kuwaleta watu wengi pamoja ,,, Mungu akulinde uishi kwa furaha na amani 🙏 katika kipindi kilichobaki ❤❤

    • @JenniferTemba-t9i
      @JenniferTemba-t9i 9 дней назад +4

      Miungu watu sasa una mnyooshea mwenzio kidole kimoja ww vingap vinakuangalia .

    • @BimHamdi
      @BimHamdi 8 дней назад +1

      Toba ni baina ya mja na mola wake tu sasa unatak atutangazie kam katubia? Tuombe mwisho mwema ndio jambo la muhimu

    • @starbusinesslikondo1833
      @starbusinesslikondo1833 6 дней назад

      Unajua ww uwezi jua kila mtu na maisha yake na anatupia anavyo jua yeye wewe ndio wakunuamulia mpka umemuona ana stafu bas jua mungu ndio alio mpka uwo uwezo kwaiyo ww muonbee Dua tuuu aish maisha marefu

    • @salimmashjary8028
      @salimmashjary8028 4 дня назад

      ​@@TEDY-MTEMY24watu kama nyiniyi ndio munajiona kiburi muko sawa ndugi yangu wacha tibia hiyo.hivo sivo njia yakuelezeya mtu.ww bado waymbwa

  • @MkundeLugula
    @MkundeLugula 9 дней назад +1

    Zena yuko wp cmuoni

  • @BimHamdi
    @BimHamdi 8 дней назад

    Bi mwanahawa umenishtua kwenye hio stori ya ajali ulopata ukatafuta kipochi badala ya kutafuta wenzako😢