@@annamussa185sasa ulitaka aseme kuwa angekuwa ashaachana nae wastara kamuuguza sajuki adi anakufa alipita nae katika kila ngum isingekuwa rahis kuachana hivyo
Wewe salehe wewe ndiyo maana unakuwaga kibonge maana kila nyumba unayokwenda nilazima ukamilishe suunna😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤ farhiya kafanana na baba yake sana mungu amrehem ahera aliko
Dah cameraman anapata shida watu wanakula yeye na camera ila ngoja nimwambie dada zamaradi ikifika mida ya kula salehe ndio ashike camera alikodi kipindi ili cameraman ale 😂😂😂
Mtoto ameniliza kweli sura ya baba nivizuri kuzaa kweli sura ya mtoto itakuwa inamkumbushaga mama ake mbali kweli Mtangazaji ume kula kama uko home very good kweli
Uyu mtoto wa marehemu kafanana baba yake Mash Allah 😭😭😭😭😭 wamenifany nilie hata sijuwi nalia nini 😢😢😢😢😢 wastara Mungu yupo na wewe kipenz
Sajuki angekuepo wastara angeishi maisha mazuri Zaidi😌
Lakini ata saizi anaishi vizuri pia
Wangekuwa washa achana na taraka juu wasanii lini wakadumu, huyo anajiongeleshaga tu coz hayupo so anatumiaga kama kigezo cha kusaidiwa
Says who? You?
@@annamussa185sasa ulitaka aseme kuwa angekuwa ashaachana nae wastara kamuuguza sajuki adi anakufa alipita nae katika kila ngum isingekuwa rahis kuachana hivyo
Kamani mwacheni saleh haki yake kazi ngumu hii mwache Anjoy nimependa mazingira ya wastara wallahi raha wenyewe tunawapenda from uk 🇬🇧
Kweli msafi mpaka raha
Msafi. Mpaka raha. Kutazama. Kweli huyu mwarabuu 🙌🙌🙌❤️❤️
Haki huyu tangazaji hana Aibu hafai kukwambia jiskoe uko nyumbani😮
Salehe unapend kula
Jamani😢😢 nilimsahau sanjuki ila nimemkumbuka sanjuki kwahiyo sura huyo mtoto❤❤
Yaani swalehe kwenye nyumba zote alizo tembelea hii ni ya kwaza kwa chakula alicho kaibishwa vizuri
Sajuki,Sajuki,Sajuki"" raha ya milele akupe ee bwana na mwanga wa milele akuangazie upumzike kwa amani"🙏
Nampenda huyu dadawastara 🎉🎉🎉❤❤ Yuko vizuri hongera salehe kutuletea huyu dada❤❤
Swalehe kijana anapiga kazi vzr sana,,, nampenda sana ❤❤😊😊😊
Katoto kazuri jmn 😘😘😘
Wastara urembo wake hauishi,..hazeeki😃
Mashallah
Wewe salehe wewe ndiyo maana unakuwaga kibonge maana kila nyumba unayokwenda nilazima ukamilishe suunna😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤ farhiya kafanana na baba yake sana mungu amrehem ahera aliko
Mashaallah' mtoto Nzuri' ALLAH Akukuze
Salehe anapenda kula nyieee 😅
Saleh itabidi Nikualike Uje ule Kwangu😂😂 Uko Deep na unajua Raha ya Chakula ni Ule vizuri haswa mpk mwenyeji afurahie
atamie nimependa anavokula..hadi raha mnooo..ana enjoy chakula mwenyewe safi sana
Kafanana na aliekuwa babaake jmn ❤❤❤ Mwenyez Mungu amrehem
Wow masha Allah she's a sweetheart she's a fighter born with boys the only girl
Wastara. Nimekupenda. Ukomsafi. Sana. Mapaka raha. Hongera sana. Ukovizuri. 🥰🥰🥰🙌🙌🙌🙌🙌
Vulugu za viombo apunguze jikon😅
@@RajabuHayyan jikolake. Dogo vituvingi 🤣🤣
Hapo jikoni ni vurugu mechi kwa kweli
@@bettymbatta9626 ,,kwa kweli
Binti Kafanana Marehemu Baba ake MASHAA'ALLAH 😊❤❤❤
Adi kuongea yani duh mungu amuifazi sajuki
Daa apa namuona sajuki kabisa
She is definitely strong and SAJUKI won’t be forgotten ❤
Ooh Farheen ni sajuki mtupu..
Dah cameraman anapata shida watu wanakula yeye na camera ila ngoja nimwambie dada zamaradi ikifika mida ya kula salehe ndio ashike camera alikodi kipindi ili cameraman ale 😂😂😂
😂😂😂 weeee salehe ataacha kazi
😂😂😂😂
Kwakweli 😂😂😂😂
Si ana tegesha camera si wamekaa hapo😅😅😅nae yuko pembeni wnakula
Masha Allah ,dada Allah akupe afya we nafamiliy yako
Uyu binti kafanana na baba ake daa kwa mom ajafata chochote❤😅
Kafanana nanihilii kitumbua
Hiyo juice ya nn inaonekana tamu hatari sio kwa kuibugia huko 😂😂😂
Acha uroho , 😂😂😂😂😂
Ukwaju
Hhhh salehe kaielewa juic kwel
Nakupenda dada wastara Mungu aendelee kukupigania
😂😂😂mtangazaji naona umekitendea haki chakula tartiiiiiiibu😂😂
Jmn😅😅😅😅😅muachen kujishilia kashidwa🙌utasema kiwavi mda wote tumbo linatak chakula
Mpaka nime😢 mulipendana sana kaz ya Mungu haina makosa,mtoto mzuri mashallah
Huyu kaka Kwa kula kiboko karibia anamaliza jagi la juice na uhakika alivoondoka waliongea khe😂😂😂😂🤣
Hhhhh
😅😅😅😅😅😅
Jaman farheen so cute ❤😂😂😂NMEKAPENDA so charming 😂😂😂story ka zote. Sajuk mtupu. Black beauty.. RIP sajuki.
Masha Allah umefanana na dabarika ata kuongea,mume fanana sana
Huyu saleh alikua na njaa sana kaah mwwnyewe anamuangalia lakin hata hawazi anachojua ni kula tu😂
Hhhhh
Ila Watu nyie muacheni Swaleh akitendee Hakii chakula
Farheen anafanana na baba ake❤
Sana ❤
Swalehe kipindi kinamfaaa🤣🤣🤣🤣
Kweli kbs😅
Nampenda sana wastara mtoto kafanana na baba yake sajuki jaman
Mashaaallah tabarakaallah ❤ ❤ ❤
Mtoto ni sajuki mtupu😢😢
Mtoto ni Sajuki mtupu
Jmn ebu Muacheni ale Kwan Vp
Eti haujakutana na mwanaume kimwili muda gani,khaaaa....swali gani hilo???
Huyo.bint sajuki.mtupi wallay ukizaaa coppy ufiiii😅😅😅😅😅 bado.unaish mwili wako.kasoro roho
Nikweli
Farheen nimekupenda unajielewa mtt mzur ❤
Wastaraaa❤❤❤❤❤❤❤❤
Ila SALEHE HUNA USTAARABU WA MEZA JMNIII...kunywa juice ka ndo chakula na wengne hawajala woiii
Yaan amekula mpaka amelemewa upande mmoja.. juice kamaliza yaan
Nyie nanyi wachoyo ko asile, ndio maan mim sipnd kula kwa mtu inaelekea mnawasema watu wakishakul kwenu huko
Jaman mtoto Wetu kabisa allo sajukii kabisaaaa
Salehe unakula tena unaongeza,,, wewe noma
Hao kuku million 3 daaah. Na mtu ananunua wa kula
Kaka salehe unaheshima na jitaidi kusema asante kwa chakula na kitamu ili mtu apate nguvu
Damu ya baba ilikuwa kali sana
Kachangamfu had raha
Swalehe hadi bakuli liishe😂😅😅
Kaaaah uyo saleh tena kazidi haoni hata aibu anafanya kama kadhamiria kuwakomoa akitoka hapo lazima watamsema 😂😂😂
😂😂😂😂
Bas msimombe cc maskini
Sura ya babako marehemu #sajuki Ila tabia ya mama yako wastara
Natamani Wastara uelezee kidogo hao kuku wa milion 3.naona kama hujaelezea vizuuuri tukashiba maelezo
Mashaallah familia nzuri❤❤❤❤
Salehe juice inaisha unamsahau camela man dah😂😂😂
😂😂swaleh naona comment nyingi wanakusema eti unakula ongo hata ingekua watazamaji wangekula tu 😂😂😂😂😂kula zako bhana maisha yewe mafupi😅😅😅
Kweli kbs wanao sema ana kula tu wana tamanii😂😂😂😂
Mwamba kajisahau kam yupo ugenini na Kuna camera anakunywa juice kam maji 😂😂💔🙌 cjui walioko jikon walitoa yao kidg au ndo wameibwaga yote apo 🥲
Mecheka kwa nguvu
Hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha aijiludiiii iyo ndugu akitoka apo mpaka miaka mitano baadae ndo ataludi tena😂😂😂😂
😂
Saleh, wastara anahuzunika kwa kuelezea kifo cha mumewe we unaenjoy juice na nyama🙌😂🤲💔
Mtoto ameniliza kweli sura ya baba nivizuri kuzaa kweli sura ya mtoto itakuwa inamkumbushaga mama ake mbali kweli
Mtangazaji ume kula kama uko home very good kweli
😳eti haujakutana na mwanaume muda gan??like seriouly????umekosa mswali 😂
huyu mtoto bado hajaharibika Allah amuongoze ushahidi ni stori yake ni yakitoto sana mtoto akiharibika anakuwa hata stori ni zakikubwa
Allah awahifadhi watoto wetu wote 🤲🤲🤲
Mwacheni alee ndo uzima wenyewe ..akiumwa atoweza kula😅
Yan swalehe umefanya juu chin mpk kwenye sekta yako ukamilishe jambo lako😂😂
😀😀😀😀😀😀😀
Mwandishi Kwa madikodiko
Yani Swalehe hajawahi acha msosi
@@MosesAntony-gh4yt😂😂😂 alikosa kwa Dj Ally B kama sijakosea 😂😂
Kwanza safarihiamefurahi wah
Saleh huwa anaenda mida mizuri,..mida ya maakuli😁🥘🥙🌮🍗
Sister Yuko mpole sana mtiifu kupita kiasi . Kuku 3M anakua na kilo ngapi jamani
Sajuki kaacha copy yake .Yaan mi hapo namuona sajuki
Nyie waandishi wa habari maswali mengine msiwe mnauliza
Saleh anakula kam yupo nyumbni jamanii😂😂
ivi uyo dada anachukua nini jmn mudaa au ameambiwa n swalehe!!!!!
Salehe ntakupikia siku nikualike mdogo wangu ❤😂
Nialike tu jmn nije kulaaaaa😅😅
Atakuelewa wapi huyo salehe nae nasikiza ubwabwa tabiya mbaya tu
Isee salehe ni mroho jamn anavyotafuna sasa kama hajala mwaka mzima mfyuuu
Saleh kaka yangu na kulaa
Anakula kuliko mwenye nyumba duh
mwenye nyumba atakula baadae msosi upo
Acha shobo chakula siyo cha kumsema mtuu
Mlitaka ale vipi? Kwanza ukiona mgeni amekula vizuri chakula chako unajiskia, unaona kumbe kakipenda. Kuliko umkaribishe mtu aguseguse tu
Kweli mgeni akila unasikia raha sana jamani
Swaleh uwe unamkumbuka na camera man wako 😂😂😂
Maashaallh mtt mxrui
Nimependa wastara hana mambo mengi...
Ningeshangaa Saleh akose kula 😂😂😂😂😂
Mtangazaj ni Bala kula
Yani huyumtoto kama nimemona sajuki nilikuwanapeda yulakaka Allah ampelijan
Amiin
Jug la juice Saleh 😅😅
Kilasaa mnaongelea kuhusu sajuki sema mnataka kula chakula cha wastara mnakera
Sanjuki jaman nalia mm ni kimwangalia mtoto wako nakuona ww kabisa nitakukumbuka daima senjuki
Show alizofanya Ramadan ndo hajadusa ila Safi kilamtu anakula kazini kwake
Ila huyo mfanyakazi na wastara hamsemeshi😢😢
Aki huyu salehe yuko km ambae hajaona chakula wasitara heri cunyamaze kwanza muanqaliye Hilo moja LA kula
heee kwani vipii mbona kawaida tu
Au unataman kula wewe😊😊😊😊
Ila juice hainywewi hivyo kama maji khaaa😂😂😂😂😂
Salehe unapenda kula doooh
Mtangazaji ana hofia kuongea kingereza 😂😂
Salahe maskini alikuwa hakula siku nzima mchuzi juice wali maji vyote kavimaliza
🤭🤭🤭😂
😂😂😂
Salehe kwakula😂😂😂❤❤ na mm nikitoka oman nitakualika kwangu zanziba ujekula hee
Hao kuku wa laki 3 wanaliwa au ni wa kupeleka kwa mganga?🤔
Milion 3 sio laki tatu 😀😀😀
Weye pesa zao ni kawaida tu😂😂
😅😅
Wanatibu mpk fangas😂😂
@@rajabdibwa6415mweee😂😂😂
😂😂😂😂Hiv 😂😂huyu shangalrh ni mzima kweli 😂😂😂😂😅
😂😂😂😂😂😂
Mtangazaji amekula akashiba mpk kakaa upande ana hema juu juu hahahahah
Ila hapo kwa z anto😂😂ametu chocha
Hapo kwenye vifaranga nitakutafuta unipe ufahamu napenda kufuga
Mwenye bintiake hajla ametajwa huku🤣🤣🤣
Hyu mdada ni mshamva😂😂 yupo bize kurekodi kipind na yy
Sura ya marehem Sajuki hiyo hapo aisee copy kbisaaa kwa wastara nimepapenda