PART 2 : ANAPOISHI WASTARA SAJUKI / NIMETESEKA KWA WANAUME / SAJUKI ALINIAMBIA / MWAKA 5 NIPO SINGO.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Usisahau ku"SUBSCRIBE" RUclips channel yetu kwa videos nyinginezo
    #zamaraditv #mambonimengi

Комментарии • 233

  • @belyseirakoze5371
    @belyseirakoze5371 4 месяца назад +23

    Uyu mtoto wa marehemu kafanana baba yake Mash Allah 😭😭😭😭😭 wamenifany nilie hata sijuwi nalia nini 😢😢😢😢😢 wastara Mungu yupo na wewe kipenz

  • @She-m3p
    @She-m3p 4 месяца назад +35

    Sajuki angekuepo wastara angeishi maisha mazuri Zaidi😌

    • @HadijaZabroni-pu1lt
      @HadijaZabroni-pu1lt 4 месяца назад

      Lakini ata saizi anaishi vizuri pia

    • @annamussa185
      @annamussa185 4 месяца назад +2

      Wangekuwa washa achana na taraka juu wasanii lini wakadumu, huyo anajiongeleshaga tu coz hayupo so anatumiaga kama kigezo cha kusaidiwa

    • @nashnene6326
      @nashnene6326 4 месяца назад

      Says who? You?

    • @CatherineFelician
      @CatherineFelician 4 дня назад

      @@annamussa185sasa ulitaka aseme kuwa angekuwa ashaachana nae wastara kamuuguza sajuki adi anakufa alipita nae katika kila ngum isingekuwa rahis kuachana hivyo

  • @MahraMansoor5969
    @MahraMansoor5969 4 месяца назад +12

    Kamani mwacheni saleh haki yake kazi ngumu hii mwache Anjoy nimependa mazingira ya wastara wallahi raha wenyewe tunawapenda from uk 🇬🇧

    • @mamaaanmar1261
      @mamaaanmar1261 4 месяца назад

      Kweli msafi mpaka raha

    • @mamaaanmar1261
      @mamaaanmar1261 4 месяца назад

      Msafi. Mpaka raha. Kutazama. Kweli huyu mwarabuu 🙌🙌🙌❤️❤️

    • @snowaudielizzy8861
      @snowaudielizzy8861 4 месяца назад

      Haki huyu tangazaji hana Aibu hafai kukwambia jiskoe uko nyumbani😮

    • @ashleymohamed6935
      @ashleymohamed6935 Месяц назад

      Salehe unapend kula

  • @faridapandu7579
    @faridapandu7579 4 месяца назад +8

    Jamani😢😢 nilimsahau sanjuki ila nimemkumbuka sanjuki kwahiyo sura huyo mtoto❤❤

  • @ZulfahMuhammad
    @ZulfahMuhammad 4 месяца назад +5

    Yaani swalehe kwenye nyumba zote alizo tembelea hii ni ya kwaza kwa chakula alicho kaibishwa vizuri

  • @blandinamyinga9489
    @blandinamyinga9489 4 месяца назад +2

    Sajuki,Sajuki,Sajuki"" raha ya milele akupe ee bwana na mwanga wa milele akuangazie upumzike kwa amani"🙏

  • @faridapandu7579
    @faridapandu7579 4 месяца назад +3

    Nampenda huyu dadawastara 🎉🎉🎉❤❤ Yuko vizuri hongera salehe kutuletea huyu dada❤❤

  • @janetdundul3858
    @janetdundul3858 4 месяца назад +5

    Swalehe kijana anapiga kazi vzr sana,,, nampenda sana ❤❤😊😊😊

  • @chany9950
    @chany9950 4 месяца назад +12

    Katoto kazuri jmn 😘😘😘

  • @She-m3p
    @She-m3p 4 месяца назад +11

    Wastara urembo wake hauishi,..hazeeki😃

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 4 месяца назад +2

    Wewe salehe wewe ndiyo maana unakuwaga kibonge maana kila nyumba unayokwenda nilazima ukamilishe suunna😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤ farhiya kafanana na baba yake sana mungu amrehem ahera aliko

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar 4 месяца назад +3

    Mashaallah' mtoto Nzuri' ALLAH Akukuze

  • @ThebawseFantasy
    @ThebawseFantasy 8 дней назад +1

    Salehe anapenda kula nyieee 😅

  • @leylamohamed9939
    @leylamohamed9939 4 месяца назад +5

    Saleh itabidi Nikualike Uje ule Kwangu😂😂 Uko Deep na unajua Raha ya Chakula ni Ule vizuri haswa mpk mwenyeji afurahie

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 4 месяца назад

      atamie nimependa anavokula..hadi raha mnooo..ana enjoy chakula mwenyewe safi sana

  • @ChrestinaTina-jl9cs
    @ChrestinaTina-jl9cs 4 месяца назад +1

    Kafanana na aliekuwa babaake jmn ❤❤❤ Mwenyez Mungu amrehem

  • @naimanimo4925
    @naimanimo4925 4 месяца назад +2

    Wow masha Allah she's a sweetheart she's a fighter born with boys the only girl

  • @mamaaanmar1261
    @mamaaanmar1261 4 месяца назад +3

    Wastara. Nimekupenda. Ukomsafi. Sana. Mapaka raha. Hongera sana. Ukovizuri. 🥰🥰🥰🙌🙌🙌🙌🙌

    • @RajabuHayyan
      @RajabuHayyan 4 месяца назад +1

      Vulugu za viombo apunguze jikon😅

    • @mamaaanmar1261
      @mamaaanmar1261 4 месяца назад

      @@RajabuHayyan jikolake. Dogo vituvingi 🤣🤣

    • @bettymbatta9626
      @bettymbatta9626 4 месяца назад

      Hapo jikoni ni vurugu mechi kwa kweli

    • @RajabuHayyan
      @RajabuHayyan 4 месяца назад

      @@bettymbatta9626 ,,kwa kweli

  • @Mimy_keys
    @Mimy_keys 4 месяца назад +1

    Binti Kafanana Marehemu Baba ake MASHAA'ALLAH 😊❤❤❤

    • @SheilaMkamla
      @SheilaMkamla 4 месяца назад

      Adi kuongea yani duh mungu amuifazi sajuki

  • @salmafrancis6689
    @salmafrancis6689 4 месяца назад +8

    Daa apa namuona sajuki kabisa

  • @florahhemedy4053
    @florahhemedy4053 4 месяца назад +3

    She is definitely strong and SAJUKI won’t be forgotten ❤

  • @JulianaJackson-lz6vq
    @JulianaJackson-lz6vq 4 месяца назад +4

    Ooh Farheen ni sajuki mtupu..

  • @homesaickofficial7407
    @homesaickofficial7407 4 месяца назад +7

    Dah cameraman anapata shida watu wanakula yeye na camera ila ngoja nimwambie dada zamaradi ikifika mida ya kula salehe ndio ashike camera alikodi kipindi ili cameraman ale 😂😂😂

    • @Njeriii536
      @Njeriii536 4 месяца назад +1

      😂😂😂 weeee salehe ataacha kazi

    • @shanimbaruku2071
      @shanimbaruku2071 4 месяца назад +1

      😂😂😂😂

    • @aishabakari8040
      @aishabakari8040 4 месяца назад

      Kwakweli 😂😂😂😂

    • @esterMahenge
      @esterMahenge 4 месяца назад +1

      Si ana tegesha camera si wamekaa hapo😅😅😅nae yuko pembeni wnakula

  • @FatmaAboubakar-z7o
    @FatmaAboubakar-z7o 3 месяца назад

    Masha Allah ,dada Allah akupe afya we nafamiliy yako

  • @aishaathuman6445
    @aishaathuman6445 4 месяца назад +4

    Uyu binti kafanana na baba ake daa kwa mom ajafata chochote❤😅

    • @nadiaali9147
      @nadiaali9147 4 месяца назад

      Kafanana nanihilii kitumbua

  • @macklinahkarungi2502
    @macklinahkarungi2502 4 месяца назад +11

    Hiyo juice ya nn inaonekana tamu hatari sio kwa kuibugia huko 😂😂😂

  • @saudashani5981
    @saudashani5981 4 месяца назад

    Nakupenda dada wastara Mungu aendelee kukupigania

  • @huldamichael4445
    @huldamichael4445 4 месяца назад +9

    😂😂😂mtangazaji naona umekitendea haki chakula tartiiiiiiibu😂😂

    • @BerthaModest
      @BerthaModest 4 месяца назад

      Jmn😅😅😅😅😅muachen kujishilia kashidwa🙌utasema kiwavi mda wote tumbo linatak chakula

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 4 месяца назад

    Mpaka nime😢 mulipendana sana kaz ya Mungu haina makosa,mtoto mzuri mashallah

  • @catherinenenula7450
    @catherinenenula7450 4 месяца назад +6

    Huyu kaka Kwa kula kiboko karibia anamaliza jagi la juice na uhakika alivoondoka waliongea khe😂😂😂😂🤣

  • @AzaAzamhmod
    @AzaAzamhmod 4 месяца назад +2

    Jaman farheen so cute ❤😂😂😂NMEKAPENDA so charming 😂😂😂story ka zote. Sajuk mtupu. Black beauty.. RIP sajuki.

  • @FatmaAboubakar-z7o
    @FatmaAboubakar-z7o 3 месяца назад

    Masha Allah umefanana na dabarika ata kuongea,mume fanana sana

  • @KautharRamadhan-xv3gf
    @KautharRamadhan-xv3gf 4 месяца назад +5

    Huyu saleh alikua na njaa sana kaah mwwnyewe anamuangalia lakin hata hawazi anachojua ni kula tu😂

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 4 месяца назад +14

    Farheen anafanana na baba ake❤

  • @mariamusaulo4429
    @mariamusaulo4429 4 месяца назад +11

    Swalehe kipindi kinamfaaa🤣🤣🤣🤣

  • @jenjoseph7270
    @jenjoseph7270 4 месяца назад +1

    Nampenda sana wastara mtoto kafanana na baba yake sajuki jaman

    • @zainabzain3434
      @zainabzain3434 4 месяца назад

      Mashaaallah tabarakaallah ❤ ❤ ❤

  • @rozeyousef9823
    @rozeyousef9823 4 месяца назад +1

    Mtoto ni sajuki mtupu😢😢

  • @nasrahozza9231
    @nasrahozza9231 4 месяца назад +3

    Mtoto ni Sajuki mtupu

  • @MunaShaibu
    @MunaShaibu 4 месяца назад +2

    Jmn ebu Muacheni ale Kwan Vp

  • @huldamichael4445
    @huldamichael4445 4 месяца назад +3

    Eti haujakutana na mwanaume kimwili muda gani,khaaaa....swali gani hilo???

  • @RajabuHayyan
    @RajabuHayyan 4 месяца назад +4

    Huyo.bint sajuki.mtupi wallay ukizaaa coppy ufiiii😅😅😅😅😅 bado.unaish mwili wako.kasoro roho

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 4 месяца назад +7

    Farheen nimekupenda unajielewa mtt mzur ❤

  • @AzaAzamhmod
    @AzaAzamhmod 4 месяца назад +1

    Wastaraaa❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @jescamushi7737
    @jescamushi7737 4 месяца назад +3

    Ila SALEHE HUNA USTAARABU WA MEZA JMNIII...kunywa juice ka ndo chakula na wengne hawajala woiii

    • @upendommbaga7070
      @upendommbaga7070 4 месяца назад

      Yaan amekula mpaka amelemewa upande mmoja.. juice kamaliza yaan

    • @hamidawamba
      @hamidawamba 4 месяца назад

      Nyie nanyi wachoyo ko asile, ndio maan mim sipnd kula kwa mtu inaelekea mnawasema watu wakishakul kwenu huko

  • @PatriciaFelix-hx9wc
    @PatriciaFelix-hx9wc 4 месяца назад +1

    Jaman mtoto Wetu kabisa allo sajukii kabisaaaa

  • @ZakiaMkongwa
    @ZakiaMkongwa 4 месяца назад +4

    Salehe unakula tena unaongeza,,, wewe noma

  • @rosemaryrwabibi5908
    @rosemaryrwabibi5908 4 месяца назад +2

    Hao kuku million 3 daaah. Na mtu ananunua wa kula

  • @MayarashidiMayarashidi
    @MayarashidiMayarashidi Месяц назад

    Kaka salehe unaheshima na jitaidi kusema asante kwa chakula na kitamu ili mtu apate nguvu

  • @veronicankhwazi7954
    @veronicankhwazi7954 4 месяца назад +1

    Damu ya baba ilikuwa kali sana

  • @SuzanSimon-m7f
    @SuzanSimon-m7f 4 месяца назад +3

    Kachangamfu had raha

  • @JudyLee-hf9cy
    @JudyLee-hf9cy 4 месяца назад +4

    Swalehe hadi bakuli liishe😂😅😅

  • @KautharRamadhan-xv3gf
    @KautharRamadhan-xv3gf 4 месяца назад +2

    Kaaaah uyo saleh tena kazidi haoni hata aibu anafanya kama kadhamiria kuwakomoa akitoka hapo lazima watamsema 😂😂😂

  • @janethhendry6734
    @janethhendry6734 4 месяца назад +2

    Bas msimombe cc maskini

  • @aishakinia4957
    @aishakinia4957 4 месяца назад +1

    Sura ya babako marehemu #sajuki Ila tabia ya mama yako wastara

  • @huldamichael4445
    @huldamichael4445 4 месяца назад +5

    Natamani Wastara uelezee kidogo hao kuku wa milion 3.naona kama hujaelezea vizuuuri tukashiba maelezo

  • @mariamali6615
    @mariamali6615 4 месяца назад

    Mashaallah familia nzuri❤❤❤❤

  • @maligeltabatholomeo8128
    @maligeltabatholomeo8128 4 месяца назад +2

    Salehe juice inaisha unamsahau camela man dah😂😂😂

  • @SuleimanKhdija
    @SuleimanKhdija 4 месяца назад +2

    😂😂swaleh naona comment nyingi wanakusema eti unakula ongo hata ingekua watazamaji wangekula tu 😂😂😂😂😂kula zako bhana maisha yewe mafupi😅😅😅

    • @esterMahenge
      @esterMahenge 4 месяца назад

      Kweli kbs wanao sema ana kula tu wana tamanii😂😂😂😂

  • @racheljohn2216
    @racheljohn2216 4 месяца назад +10

    Mwamba kajisahau kam yupo ugenini na Kuna camera anakunywa juice kam maji 😂😂💔🙌 cjui walioko jikon walitoa yao kidg au ndo wameibwaga yote apo 🥲

    • @Kibaadvocate
      @Kibaadvocate 4 месяца назад +2

      Mecheka kwa nguvu

    • @HadijaZabroni-pu1lt
      @HadijaZabroni-pu1lt 4 месяца назад +1

      Hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha aijiludiiii iyo ndugu akitoka apo mpaka miaka mitano baadae ndo ataludi tena😂😂😂😂

    • @IshaManugwa
      @IshaManugwa 4 месяца назад

      😂

  • @Tariq_Tryagain
    @Tariq_Tryagain 4 месяца назад

    Saleh, wastara anahuzunika kwa kuelezea kifo cha mumewe we unaenjoy juice na nyama🙌😂🤲💔

  • @lovirinaa
    @lovirinaa 4 месяца назад +3

    Mtoto ameniliza kweli sura ya baba nivizuri kuzaa kweli sura ya mtoto itakuwa inamkumbushaga mama ake mbali kweli
    Mtangazaji ume kula kama uko home very good kweli

  • @jennet6484
    @jennet6484 4 месяца назад +2

    😳eti haujakutana na mwanaume muda gan??like seriouly????umekosa mswali 😂

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 4 месяца назад +10

    huyu mtoto bado hajaharibika Allah amuongoze ushahidi ni stori yake ni yakitoto sana mtoto akiharibika anakuwa hata stori ni zakikubwa

    • @salmaalkyumi6030
      @salmaalkyumi6030 4 месяца назад +3

      Allah awahifadhi watoto wetu wote 🤲🤲🤲

  • @salmamlokela1987
    @salmamlokela1987 4 месяца назад +1

    Mwacheni alee ndo uzima wenyewe ..akiumwa atoweza kula😅

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 4 месяца назад +19

    Yan swalehe umefanya juu chin mpk kwenye sekta yako ukamilishe jambo lako😂😂

    • @salehcllassic2325
      @salehcllassic2325 4 месяца назад +3

      😀😀😀😀😀😀😀

    • @nururaymond5
      @nururaymond5 4 месяца назад +2

      Mwandishi Kwa madikodiko

    • @MosesAntony-gh4yt
      @MosesAntony-gh4yt 4 месяца назад +2

      Yani Swalehe hajawahi acha msosi

    • @israeluronu9958
      @israeluronu9958 4 месяца назад +2

      ​@@MosesAntony-gh4yt😂😂😂 alikosa kwa Dj Ally B kama sijakosea 😂😂

    • @teedullah5708
      @teedullah5708 4 месяца назад +2

      Kwanza safarihiamefurahi wah

  • @She-m3p
    @She-m3p 4 месяца назад +1

    Saleh huwa anaenda mida mizuri,..mida ya maakuli😁🥘🥙🌮🍗

  • @komboarts7110
    @komboarts7110 2 месяца назад

    Sister Yuko mpole sana mtiifu kupita kiasi . Kuku 3M anakua na kilo ngapi jamani

  • @womanofsteel1402
    @womanofsteel1402 4 месяца назад +1

    Sajuki kaacha copy yake .Yaan mi hapo namuona sajuki

  • @thamani5842
    @thamani5842 4 месяца назад +1

    Nyie waandishi wa habari maswali mengine msiwe mnauliza

  • @MariaMande-e5g
    @MariaMande-e5g 4 месяца назад

    Saleh anakula kam yupo nyumbni jamanii😂😂

  • @sarahmcharo1548
    @sarahmcharo1548 4 месяца назад +3

    ivi uyo dada anachukua nini jmn mudaa au ameambiwa n swalehe!!!!!

  • @spreadlove5300
    @spreadlove5300 4 месяца назад +4

    Salehe ntakupikia siku nikualike mdogo wangu ❤😂

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 4 месяца назад +1

    Atakuelewa wapi huyo salehe nae nasikiza ubwabwa tabiya mbaya tu

  • @neemamollel840
    @neemamollel840 4 месяца назад +1

    Isee salehe ni mroho jamn anavyotafuna sasa kama hajala mwaka mzima mfyuuu

  • @itzsnazzyjazzy472
    @itzsnazzyjazzy472 4 месяца назад

    Saleh kaka yangu na kulaa

  • @bettykerewe4100
    @bettykerewe4100 4 месяца назад +4

    Anakula kuliko mwenye nyumba duh

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 4 месяца назад

      mwenye nyumba atakula baadae msosi upo

    • @janetdundul3858
      @janetdundul3858 4 месяца назад

      Acha shobo chakula siyo cha kumsema mtuu

    • @thamani5842
      @thamani5842 4 месяца назад +4

      Mlitaka ale vipi? Kwanza ukiona mgeni amekula vizuri chakula chako unajiskia, unaona kumbe kakipenda. Kuliko umkaribishe mtu aguseguse tu

    • @tumainlession411
      @tumainlession411 4 месяца назад +2

      Kweli mgeni akila unasikia raha sana jamani

  • @MwanajemaPharmacy
    @MwanajemaPharmacy 4 месяца назад

    Swaleh uwe unamkumbuka na camera man wako 😂😂😂

  • @Amina124-gm9nx
    @Amina124-gm9nx 4 месяца назад

    Maashaallh mtt mxrui

  • @zenathMohammed-md1oy
    @zenathMohammed-md1oy 4 месяца назад

    Nimependa wastara hana mambo mengi...

  • @chani_tayra_official1860
    @chani_tayra_official1860 4 месяца назад +4

    Ningeshangaa Saleh akose kula 😂😂😂😂😂

  • @olomweneelama1240
    @olomweneelama1240 4 месяца назад +1

    Mtangazaj ni Bala kula

  • @aziza9093
    @aziza9093 4 месяца назад +5

    Yani huyumtoto kama nimemona sajuki nilikuwanapeda yulakaka Allah ampelijan

  • @sirahchocolate8508
    @sirahchocolate8508 4 месяца назад +1

    Jug la juice Saleh 😅😅

  • @roswitaexavery3378
    @roswitaexavery3378 4 месяца назад

    Kilasaa mnaongelea kuhusu sajuki sema mnataka kula chakula cha wastara mnakera

  • @Elizakilisipinilikolika1996
    @Elizakilisipinilikolika1996 4 месяца назад

    Sanjuki jaman nalia mm ni kimwangalia mtoto wako nakuona ww kabisa nitakukumbuka daima senjuki

  • @FatmaHamad-g6s
    @FatmaHamad-g6s 4 месяца назад

    Show alizofanya Ramadan ndo hajadusa ila Safi kilamtu anakula kazini kwake

  • @busnaoman9981
    @busnaoman9981 4 месяца назад

    Ila huyo mfanyakazi na wastara hamsemeshi😢😢

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 4 месяца назад +2

    Aki huyu salehe yuko km ambae hajaona chakula wasitara heri cunyamaze kwanza muanqaliye Hilo moja LA kula

  • @HabibaHassan-t2u
    @HabibaHassan-t2u 4 месяца назад

    Ila juice hainywewi hivyo kama maji khaaa😂😂😂😂😂

  • @RahimaAlawi-d1b
    @RahimaAlawi-d1b 4 месяца назад

    Salehe unapenda kula doooh

  • @AmriSabiti
    @AmriSabiti 4 месяца назад

    Mtangazaji ana hofia kuongea kingereza 😂😂

  • @Bashitetako
    @Bashitetako 4 месяца назад +1

    Salahe maskini alikuwa hakula siku nzima mchuzi juice wali maji vyote kavimaliza

  • @faridapandu7579
    @faridapandu7579 4 месяца назад

    Salehe kwakula😂😂😂❤❤ na mm nikitoka oman nitakualika kwangu zanziba ujekula hee

  • @bettymbatta9626
    @bettymbatta9626 4 месяца назад +3

    Hao kuku wa laki 3 wanaliwa au ni wa kupeleka kwa mganga?🤔

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 4 месяца назад +1

    😂😂😂😂Hiv 😂😂huyu shangalrh ni mzima kweli 😂😂😂😂😅

    • @nigamo9645
      @nigamo9645 4 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂

  • @upendommbaga7070
    @upendommbaga7070 4 месяца назад

    Mtangazaji amekula akashiba mpk kakaa upande ana hema juu juu hahahahah

  • @ramadhanyusuf2401
    @ramadhanyusuf2401 4 месяца назад +1

    Ila hapo kwa z anto😂😂ametu chocha

  • @zainabzain3434
    @zainabzain3434 4 месяца назад

    Hapo kwenye vifaranga nitakutafuta unipe ufahamu napenda kufuga

  • @veronicahlusekelo5205
    @veronicahlusekelo5205 4 месяца назад

    Mwenye bintiake hajla ametajwa huku🤣🤣🤣

  • @wardaomar4828
    @wardaomar4828 4 месяца назад

    Hyu mdada ni mshamva😂😂 yupo bize kurekodi kipind na yy

  • @jasminshemsanga8727
    @jasminshemsanga8727 4 месяца назад

    Sura ya marehem Sajuki hiyo hapo aisee copy kbisaaa kwa wastara nimepapenda