Wewe salehe wewe ndiyo maana unakuwaga kibonge maana kila nyumba unayokwenda nilazima ukamilishe suunna😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤ farhiya kafanana na baba yake sana mungu amrehem ahera aliko
Dah cameraman anapata shida watu wanakula yeye na camera ila ngoja nimwambie dada zamaradi ikifika mida ya kula salehe ndio ashike camera alikodi kipindi ili cameraman ale 😂😂😂
Uyu mtoto wa marehemu kafanana baba yake Mash Allah 😭😭😭😭😭 wamenifany nilie hata sijuwi nalia nini 😢😢😢😢😢 wastara Mungu yupo na wewe kipenz
Sajuki angekuepo wastara angeishi maisha mazuri Zaidi😌
Lakini ata saizi anaishi vizuri pia
Wangekuwa washa achana na taraka juu wasanii lini wakadumu, huyo anajiongeleshaga tu coz hayupo so anatumiaga kama kigezo cha kusaidiwa
Says who? You?
Kamani mwacheni saleh haki yake kazi ngumu hii mwache Anjoy nimependa mazingira ya wastara wallahi raha wenyewe tunawapenda from uk 🇬🇧
Kweli msafi mpaka raha
Msafi. Mpaka raha. Kutazama. Kweli huyu mwarabuu 🙌🙌🙌❤️❤️
Haki huyu tangazaji hana Aibu hafai kukwambia jiskoe uko nyumbani😮
Nampenda huyu dadawastara 🎉🎉🎉❤❤ Yuko vizuri hongera salehe kutuletea huyu dada❤❤
Yaani swalehe kwenye nyumba zote alizo tembelea hii ni ya kwaza kwa chakula alicho kaibishwa vizuri
Wow masha Allah she's a sweetheart she's a fighter born with boys the only girl
Masha Allah ,dada Allah akupe afya we nafamiliy yako
Jamani😢😢 nilimsahau sanjuki ila nimemkumbuka sanjuki kwahiyo sura huyo mtoto❤❤
Swalehe kijana anapiga kazi vzr sana,,, nampenda sana ❤❤😊😊😊
Sajuki,Sajuki,Sajuki"" raha ya milele akupe ee bwana na mwanga wa milele akuangazie upumzike kwa amani"🙏
Mashaallah' mtoto Nzuri' ALLAH Akukuze
Wewe salehe wewe ndiyo maana unakuwaga kibonge maana kila nyumba unayokwenda nilazima ukamilishe suunna😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤ farhiya kafanana na baba yake sana mungu amrehem ahera aliko
Katoto kazuri jmn 😘😘😘
Masha Allah umefanana na dabarika ata kuongea,mume fanana sana
Wastara urembo wake hauishi,..hazeeki😃
Mashallah
Kafanana na aliekuwa babaake jmn ❤❤❤ Mwenyez Mungu amrehem
Wastara. Nimekupenda. Ukomsafi. Sana. Mapaka raha. Hongera sana. Ukovizuri. 🥰🥰🥰🙌🙌🙌🙌🙌
Vulugu za viombo apunguze jikon😅
@@user-pw2sw1sk1b jikolake. Dogo vituvingi 🤣🤣
Hapo jikoni ni vurugu mechi kwa kweli
@@bettymbatta9626 ,,kwa kweli
Binti Kafanana Marehemu Baba ake MASHAA'ALLAH 😊❤❤❤
Adi kuongea yani duh mungu amuifazi sajuki
She is definitely strong and SAJUKI won’t be forgotten ❤
Nakupenda dada wastara Mungu aendelee kukupigania
Saleh itabidi Nikualike Uje ule Kwangu😂😂 Uko Deep na unajua Raha ya Chakula ni Ule vizuri haswa mpk mwenyeji afurahie
atamie nimependa anavokula..hadi raha mnooo..ana enjoy chakula mwenyewe safi sana
Mpaka nime😢 mulipendana sana kaz ya Mungu haina makosa,mtoto mzuri mashallah
Huyu kaka Kwa kula kiboko karibia anamaliza jagi la juice na uhakika alivoondoka waliongea khe😂😂😂😂🤣
Hhhhh
Maashaallh mtt mxrui
Hiyo juice ya nn inaonekana tamu hatari sio kwa kuibugia huko 😂😂😂
Acha uroho , 😂😂😂😂😂
Ukwaju
Hhhh salehe kaielewa juic kwel
Daa apa namuona sajuki kabisa
Mashaallah familia nzuri❤❤❤❤
😂😂😂mtangazaji naona umekitendea haki chakula tartiiiiiiibu😂😂
Jmn😅😅😅😅😅muachen kujishilia kashidwa🙌utasema kiwavi mda wote tumbo linatak chakula
Dah cameraman anapata shida watu wanakula yeye na camera ila ngoja nimwambie dada zamaradi ikifika mida ya kula salehe ndio ashike camera alikodi kipindi ili cameraman ale 😂😂😂
😂😂😂 weeee salehe ataacha kazi
😂😂😂😂
Kwakweli 😂😂😂😂
Si ana tegesha camera si wamekaa hapo😅😅😅nae yuko pembeni wnakula
Nampenda sana wastara mtoto kafanana na baba yake sajuki jaman
Mashaaallah tabarakaallah ❤ ❤ ❤
Stor yenu nzuri hebu ektini movie
Uyu binti kafanana na baba ake daa kwa mom ajafata chochote❤😅
Kafanana nanihilii kitumbua
❤❤
Farheen anafanana na baba ake❤
Sana ❤
Jaman farheen so cute ❤😂😂😂NMEKAPENDA so charming 😂😂😂story ka zote. Sajuk mtupu. Black beauty.. RIP sajuki.
Bas msimombe cc maskini
Huyu saleh alikua na njaa sana kaah mwwnyewe anamuangalia lakin hata hawazi anachojua ni kula tu😂
Hhhhh
Ila Watu nyie muacheni Swaleh akitendee Hakii chakula
Wastaraaa❤❤❤❤❤❤❤❤
Swalehe kipindi kinamfaaa🤣🤣🤣🤣
Kweli kbs😅
ivi uyo dada anachukua nini jmn mudaa au ameambiwa n swalehe!!!!!
Kaaaah uyo saleh tena kazidi haoni hata aibu anafanya kama kadhamiria kuwakomoa akitoka hapo lazima watamsema 😂😂😂
😂😂😂😂
Jug la juice Saleh 😅😅
Sura ya babako marehemu #sajuki Ila tabia ya mama yako wastara
Ila SALEHE HUNA USTAARABU WA MEZA JMNIII...kunywa juice ka ndo chakula na wengne hawajala woiii
Yaan amekula mpaka amelemewa upande mmoja.. juice kamaliza yaan
Nyie nanyi wachoyo ko asile, ndio maan mim sipnd kula kwa mtu inaelekea mnawasema watu wakishakul kwenu huko
Huyo.bint sajuki.mtupi wallay ukizaaa coppy ufiiii😅😅😅😅😅 bado.unaish mwili wako.kasoro roho
Nikweli
Hao kuku million 3 daaah. Na mtu ananunua wa kula
Damu ya baba ilikuwa kali sana
Swalehe hadi bakuli liishe😂😅😅
Salehe juice inaisha unamsahau camela man dah😂😂😂
sarehe unakandamiza daaaaa
Wengi humu wachoyo sana malimbukeni wa chakula mnapenda kumsemea chakula huyu kaka wawatu jaman sio vzr kaa 🤐🤐🤐
Eti haujakutana na mwanaume kimwili muda gani,khaaaa....swali gani hilo???
😂😂swaleh naona comment nyingi wanakusema eti unakula ongo hata ingekua watazamaji wangekula tu 😂😂😂😂😂kula zako bhana maisha yewe mafupi😅😅😅
Kweli kbs wanao sema ana kula tu wana tamanii😂😂😂😂
Saleh, wastara anahuzunika kwa kuelezea kifo cha mumewe we unaenjoy juice na nyama🙌😂🤲💔
Mtoto ni Sajuki mtupu
Saleh huwa anaenda mida mizuri,..mida ya maakuli😁🥘🥙🌮🍗
Mwacheni alee ndo uzima wenyewe ..akiumwa atoweza kula😅
Farheen nimekupenda unajielewa mtt mzur ❤
Saleh kaka yangu na kulaa
Isee salehe ni mroho jamn anavyotafuna sasa kama hajala mwaka mzima mfyuuu
Nyie waandishi wa habari maswali mengine msiwe mnauliza
Salehe unakula tena unaongeza,,, wewe noma
Jaman mtoto Wetu kabisa allo sajukii kabisaaaa
Jmn ebu Muacheni ale Kwan Vp
Mwenye bintiake hajla ametajwa huku🤣🤣🤣
Saleh anakula kam yupo nyumbni jamanii😂😂
Atakuelewa wapi huyo salehe nae nasikiza ubwabwa tabiya mbaya tu
Mtangazaj ni Bala kula
Ningeshangaa Saleh akose kula 😂😂😂😂😂
Swaleheee 😂😂😂😂😂 ongera dogo
Kachangamfu had raha
Natamani Wastara uelezee kidogo hao kuku wa milion 3.naona kama hujaelezea vizuuuri tukashiba maelezo
Salehe ntakupikia siku nikualike mdogo wangu ❤😂
Nialike tu jmn nije kulaaaaa😅😅
Ila huyo mfanyakazi na wastara hamsemeshi😢😢
Salehe unapenda kula doooh
Swaleh uwe unamkumbuka na camera man wako 😂😂😂
Ila juice hainywewi hivyo kama maji khaaa😂😂😂😂😂
Nimependa wastara hana mambo mengi...
Mtangazaji ana hofia kuongea kingereza 😂😂
Saleh juice ameilewa 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂jamani
Mtangazaji amekula akashiba mpk kakaa upande ana hema juu juu hahahahah
Show alizofanya Ramadan ndo hajadusa ila Safi kilamtu anakula kazini kwake
Ila hapo kwa z anto😂😂ametu chocha
Sanjuki jaman nalia mm ni kimwangalia mtoto wako nakuona ww kabisa nitakukumbuka daima senjuki
Yan swalehe umefanya juu chin mpk kwenye sekta yako ukamilishe jambo lako😂😂
😀😀😀😀😀😀😀
Mwandishi Kwa madikodiko
Yani Swalehe hajawahi acha msosi
@@MosesAntony-gh4yt😂😂😂 alikosa kwa Dj Ally B kama sijakosea 😂😂
Kwanza safarihiamefurahi wah
Anakula kuliko mwenye nyumba duh
mwenye nyumba atakula baadae msosi upo
Acha shobo chakula siyo cha kumsema mtuu
Mlitaka ale vipi? Kwanza ukiona mgeni amekula vizuri chakula chako unajiskia, unaona kumbe kakipenda. Kuliko umkaribishe mtu aguseguse tu
Kweli mgeni akila unasikia raha sana jamani
Yani huyumtoto kama nimemona sajuki nilikuwanapeda yulakaka Allah ampelijan
Amiin
Aki huyu salehe yuko km ambae hajaona chakula wasitara heri cunyamaze kwanza muanqaliye Hilo moja LA kula
heee kwani vipii mbona kawaida tu
Au unataman kula wewe😊😊😊😊
😂😂😂😂Hiv 😂😂huyu shangalrh ni mzima kweli 😂😂😂😂😅
😂😂😂😂😂😂
Mtoto ni sajuki mtupu😢😢
Swalehe namuona kama kanenepa au macho yangu
Hyu mdada ni mshamva😂😂 yupo bize kurekodi kipind na yy
Salehe juisi umeipenda haswaa maana sio kwa kuigida huko 🤣🤣🤣🤣
Kilasaa mnaongelea kuhusu sajuki sema mnataka kula chakula cha wastara mnakera
Salehe😂😂😂😂😂
Tuachane n izo nywele z mtt😂ila salehe mroho sana kaka anakul hajali km yupo ugenin wala nn😂😂🙌
Sajuki alijizaaa jamani
Salehe apana khaaaa una ata haibu khaaa salehe ukitaka kuowa upate mke anaejua kupika 😅😅😅
huyu mtoto bado hajaharibika Allah amuongoze ushahidi ni stori yake ni yakitoto sana mtoto akiharibika anakuwa hata stori ni zakikubwa
Allah awahifadhi watoto wetu wote 🤲🤲🤲
Kuku mil3 ndo naskia leo😮😮😮!