Asha hadi raha kuongea nae hapo kasahau kam ni interview 😂 dah napenda sana kuona wasanii wazaman wakiishi maisha mazuri kiukwel wameteseka sana 😢hata kama kapanga ila haombi ombi anapata kodi ndo maisha hata ulaya watu wanapanga apartment wananunua nyumba wanapangisha maisha yanasonga
Nawe nawe Acha zako kipindi upo Tanzania ulikua unaosha sahani kisha wapangusa na tisho?? Au Sababu upo kwa warabu ushaghala basi umekua mtumwa Leo hii wajifanya mjuaji ovyooo@@OmanOman-dn6dj
@@OmanOman-dn6djlabda nikuulize wewe mwezangu ulivyo kua Tanzania ulikua unaosha na kufuta na tisho au Sababu upo kwa warabu khaaaaaaaa shaghala bwana
Hivi tatizo liko wapi basi hamna exposure ulaya mgeni akiingia anapitiliza anachukua glass anamimina wine anaendelea na stori au anatengeneza coffee wabongo ushamba tu
Hii nyumba inaoshesha ndio kwanza imemalizika ujenzi na iko mikononi mwa madalali bado haiĵapata mpangaji ila asha book kakodi kwa masaa tu ya intavuu😂😂😂😂
Dotto Magari anasema kuna waandishi walimfuata wakamwambia atafute nyumba kali wafanyie kipindi aseme ndio kwake atrend akakataa, huwa najiuliza sana ni waandishi wa channel gani
Salehe ilki kipindi kinakufaaa 😂yan umesomea kwel kwel endelea kutupa raha next time nenda kwa riyama ali au kwa vyone cherry aka monalisa❤
ruclips.net/video/r2iEjIz-D30/видео.htmlsi=ihbQK3DIjWbRGLAI
Ila mshauri asher uwashaji wake wa gas ni hatari.yaani antifungal ndio anaanda kiberiti ni hatar saana.alitakiwa kuwasha kiberiti kwanza.
Mashaa Allah love you Asha Boko ❤️❤️❤️❤️
Kama Umeona asha boko anakakumfanana kajara macho 😂gonga like
Asha hadi raha kuongea nae hapo kasahau kam ni interview 😂 dah napenda sana kuona wasanii wazaman wakiishi maisha mazuri kiukwel wameteseka sana 😢hata kama kapanga ila haombi ombi anapata kodi ndo maisha hata ulaya watu wanapanga apartment wananunua nyumba wanapangisha maisha yanasonga
Sahani inaoshwa haifutwi inawekwa chakula😅😅kufuta mikono nyuma ya makalio😅😅😅tishu bei gani kwani kama taulo za kufutia huwezi nunua?..😅😅😅
@@OmanOman-dn6djmaisha halisi hayo kaka waswahili hatunaga hizo mambo za tissue wala kitambaa chankufutia vyombo
Nawe nawe Acha zako kipindi upo Tanzania ulikua unaosha sahani kisha wapangusa na tisho?? Au Sababu upo kwa warabu ushaghala basi umekua mtumwa Leo hii wajifanya mjuaji ovyooo@@OmanOman-dn6dj
Upo kwa warabu tena umesahau kabisa uwalisia WA maisha yetu ya Tanzania ama kweli utumwa mgumu khaaaaaaaa@@OmanOman-dn6dj
@@OmanOman-dn6djlabda nikuulize wewe mwezangu ulivyo kua Tanzania ulikua unaosha na kufuta na tisho au Sababu upo kwa warabu khaaaaaaaa shaghala bwana
Yaani hapo kwa misosi Saleh ndo mwake lazima ale 😂😂😂😂😂
Salehe asante sana kwa kipiindi..unapomaliza na kumuaga interviewee kaa pembeni na utoe summary ya mahojiano ndo ufunge kipindi au sio
Wa sita kucomment ndani ya dakika tano like zenu please 😅
Mashallah asha boko ni mcheshi sna ❤
Jmn nampenda asha Boko Allah amueke nikimuona tu naskia Raha ❤❤
❤❤❤❤ Asha boko huna baya,mnao mbeza mkome
Wabongo mpk mmuchunguze mtu!! ya nn? Kuwe kwake kusiwe hallelujah!!
Hizi surprise wanakuwa wanevaa mic kabusa 😮😮
Ndo swali ninalo jiuliza
Mashamba yote aliokuwa nayo atashindwa kuuza na kupata nyumba kama hiyo wajinga kweli nyie
napenda sana hapa anapokaa..simple and so nice!
Jamani Kuna watu wana maisha yawo na huwezi kuwazania maana hawajitapi kwenye mitandao
Haileti maana mitandao
Huyu Asha nampenda sana ❤❤❤
Wakialikwa kwenye enter view wanatafuta nyumba sio zao😂😂😂😂😂
Asha. Na. Mwene wanafanana sna. Had vituko
MashaAllah yupo chumbani kazima sim😂 ndo maana haingii mtu
Mashaa allah 🎉❤pazuri kwake jomoni ni majirani na miye tunapoishi
Sidhan kama ni kwake hapo . Kwake bagamoyo huyu mama
Samahani izii nyumba zikwapi nimezipenda
Nipe instagram yakoo unieleweshe
@@shantellemwanakombo3703Na mie nafaham hivyo
Ashaboko kila kitu amesahau kidogo😂😂😂😂
😢😢😢😢😢
Aibu sana nch yetu umeme umeme
❤❤ nakupenda daasha
Umemee wakatika ivyoooh aaah Tanesco mwatak laana nyie adi Mahojiano
Asha boko jmn nampenda sauti yake haibadiriki 😅😅😅
Hila unanitekenyaga we mbona kwenye kula uko nstali wa mbele sana love
Mimi nmeona ni kwake ila haishi muda mrefu binti yake ndo yupo hapo
Beat Iko juu sana
Raha ya kiporo maji huwez pasha kiporo bila maj kitakuwa sio kiporo
Maashaallah
Wow that's awesome you're so much better ☺️😎 ooyy kutu letea mishe mishe za abari huko ulipo 🎉❤🎉❤😊 amen amen 🥰🥰
Nspenda sana kipenzi chenu
Nimeipenda hiyo ayaa umeme umerudi am tz from wsuzlendi
Umekoseaki swaili vi kolokolko
tuletee rihama ally❤❤😊😊😊
we ndo umesema
Eti umekodi nyumba kama hiyo alafu jikon una kijiko cha kilo 5 cha genius kimoja😂😂😂😂😂
Afu kweli wamefanana na mariam amour
kipindi kizr jamani ongera mtangazaji 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
Labda halagi nyumbani mmmh
😅😅Nimecheka jmn umenipa raha
Sio mkazi au mwenyeji wa hapo😂😂😂dah kweli wabongo kwa uongo tumefuzu😂😂😂😂
Mgeni kaingia jikoni 😂😂😂😂 😅 ndo maana wanakusema kuwa unapenda kula😊
Sio kula tuu mbn wanadai ni mchicha poli jamani😢
Mchicha poli ndo nin jmn@@annakbunga8377
Hujakosea anapenda Kura siku moja arienda kwa amina dadayake dura makabira kara pirau biri kunawa mikono😂😂😂😂😃😂😃😂
@@annakbunga8377jibu unalo wewe
Hivi tatizo liko wapi basi hamna exposure ulaya mgeni akiingia anapitiliza anachukua glass anamimina wine anaendelea na stori au anatengeneza coffee wabongo ushamba tu
Asha ❤❤❤❤❤
TANESCO wamefanya yao katikati ya interview
Wangp wameenda kuangalia iyotaarabu ya dda wa asha😅sema nampenda uyu mama kipind kile anaigiza nakanumba et anagombea umis tanzania😂
Mimi 😂😂😂😂
Cyo kwake hapo kwa mwanae, yeye kwake bagamoyo
Pata na ww mtt ukakae kwake
Hata yy kasema kapanga hapo
Panga na wewe umuite mama yako chokooo
Mi nilijua kakodi kumbe ni Kwa mwanae afadhalii
Ok kesho mm nakuja none uko hapo hapo ila just kabisa mm sipokei rushwa nataka UKWELI tu??????
Amakweli usimzalau usiemjua
Kabisaa
Hii nyumba inaoshesha ndio kwanza imemalizika ujenzi na iko mikononi mwa madalali bado haiĵapata mpangaji ila asha book kakodi kwa masaa tu ya intavuu😂😂😂😂
Acha dharau na roho mbaya onyesha ya KWAKO na wewe
We ina kuhusu nini au umeulizwa
Ingekuwa kakodi yule dada pale chini angesema huwa wanaish nae vizuri???
huyu Asha poa sana jmni...nimempenda sana sana
Kumbe miriam amour ni mdogo wako ndio najua leo ila mmefanana kidogo sema wewe mrefu Miriam mfupi 😀
Namkumbuka sharo milionea daaah😢 ile video ya chuki ni bule ashaboko nomaaaa🎉🎉🎉
Hii ni nyumba yake au apartment amepanga
Yan saleh anawaz kula to et ubwabwa tutakulajee😊
Yan inaonekana kabisa sio kwake yan km hajiamin jaman😂😂😂
Si kasema kapanga
Kwake kweli maana kwenye mpaka home alihoniwaga kipindi maisha Bado ya chini why asingefake kipindi hicho
Kwake bwana Kwan yeye hawezi kumiliki sehemu kama hiyo,half kingine anakigugumiz so unaweza kuhisi kama hajiamini 😂😂😂😂
Katanga sio nyumba yeke
Jamani yeye mwenyewe ameshasema amepanga
Mlinzi tu kakukatalia itakua majirani😂😂😂😂muongo huyooooooo😂😂😂😂😂
Wasanii wetu ni waongo sana
Ashaboko anaishi vizuri na wala hajisifii ila wangekua awa maslay queen sasa weee tungekoma 😂😂😂🙌🏻
Salehe anasema raha ya kiporo ukigeuze hv😂😂😂😂
Salehe tunaomba siku moja uwende kwa Mrs energy
Mmmh
Oya salehe mbona Kwa CLAM VEVO auendi nenda bas tujue maisha yake anayoish
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Asha jamani kilakitu umesahau kweli au umeamua tu 😂😂😂😂aah mm nakupenda mpaka basi tu from kenya 🇰🇪 ❤❤
Apo ni kwa mtoto wake tunataka kwakee
Umeweza kama mimi
AsHa boko na mzee senga movie ya wema😂😂😂inachekesha sana
Miriam kumbe mdogo wake asha boko uwi asante hiki kipindi nimejua nisiyo yajua😂😂
Nampenda sana sana zaid ya sana Asha boko katibu Uk 🇬🇧 mtu kama huyu unaenjoy ukikaa nae kamuwwke mungu saba mbelempeni salam zangu
Nimefuraia sana interview
Yuko vizur in person ❤
Anunue gar jaman huku Bagamoyo akipita hakuna hata anaepepesa jicho anaipuyanga Bagamoyo nzima na miguu
😀😀😀😀😀 kumbe
Hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha nimeipenda iyo dada ashaboko
Ichi kikaka kinapenda kula namwili hakina😂😂😂et mpk umekuja kuolewa na mashaallah😅😅😅mbonaivo
😂😂😂😂😂
Location inasoma wapi hapo nimependa hiyo apartiment
Maana anaonyesha ni mgeni nayo hìi nyumba haha😂😂😂😂😂
Ila sale unapenda kula wewe njoo kwangu unihoj majirani wanione😂😂😂😂
Nakupenda bure asha boko❤😂😅
Kama nasema uongo mwambie awashe tv😂😂😂
Kaka haachi kuonja onja😂😂😂😂 kila nyumba
Tuna pena uwende nyumbañi kwa alikiba harmonize daimond rayvanny
Utu oneshe maisha yawo yanyuma ya Kamera bro fanya ivo
Kwa diamond kwenda sio lahisi
Huyu anaonyesha hii nyumba si yake wala hajakodi muongo , labda kuna mtu anakuana nae kamwomba ajionyeshe ktk intavuu tu , hahahaha😊
Kwanza kunavty vnaoneshaa tu sio lake ajiamn 😂
Umeliona jicho la asha alivyomkatia mhudumu yaani kama anamwambia wewe usije ukasema kitu😂😂😂😂
Dotto Magari anasema kuna waandishi walimfuata wakamwambia atafute nyumba kali wafanyie kipindi aseme ndio kwake atrend akakataa, huwa najiuliza sana ni waandishi wa channel gani
Maybe zamaradi
Ni Hawa Hawa wa Zamaradi
Music ipo juu kuliko sauti za wahusika
Wasanii wetu kuweni wakweli mnacho fanya ni kuwaharibu vijana wetu na kuwatia Tamaaa ambazo ni uongo mtupu,😮😮😮
Wapili naombeni like zangu plz😂
Mmesha temea mate kwenye chakula😂😂😂😂
Aisee mnapasha misosi kama mpo Ulaya
😂😂😂😂eti maji kwa katuni si frij😂😂😂
Ok nimekumbuka kumbe wewe comedy😂😂😂😂😂
Kumbe asha ni ndug Na Miriam wa sichoki kustahimili ❤❤mnafanana
Ila munatabia mbaya kwani mtu mpaka aoneshe chumba anacholala sio masikizano hayo
Kanifurahisha kukataaaa chumba I kwake maana mhh si heshmaa hata kidogo
Salehe na kula jaman hapana 😂😂😂 umeona ugeuze na kiporo
Sele wapenda kula 😅😅😅umeme nao
Salehe wew unapenda Kula wew 😅😅😅
Ungemwambia uongee na majirani😂😂😂
Jamani achani utani ukodi nyumba kama hii alafu hata frij hamna😂😂😂
We hujaona frig au frij gani
Mi simchukii asha ila kama mdau wao napenda wawe wakweli kimaisha,
Jaman kasema kapanga yy na mwanaw anasoma chuo.
Hahahha Sio kwake ..kuna mtu anaishi ulaya kawekwa Kama mlinzi tu😂😂😂
Weeeee kumbe😃😃😃
Nimeshanga sikutegemea❤❤😂
Masha allah nyumba nzr 👏👏😍🥰