Kazi nzuri kaka hila kwenye mambo ya kuingia chumba chamtu sijapenda chumba kinasiri kubwa kama takuwa nimekukosea nisamehe chumba cha mwanamke kinasiri kubwa broo nibora kwa mwanamme😢😢😢
Mi sijaona km wamekosea ila huyo bi harusi ndio naona kakosea ...coz yeye kaingia amefunika nikabu sasa kilicho mfanya aiweke juu hiyo nikaab ni nini ?...naameona hpo kuwa wanaume 😢
@@MuniraAbdallah-f7nhawana maana yoyote ni kuchukua vitu na pesazawatu……lete chupa za chai vikombe vya chai glass sahani visu kanga shuka na pesa juu mkeka…… Wamefanya nibiashara siku hizi…. Kesho mtasikia na wengine …..biashara isiyo na kibali cha serekali😂😂😂
Nyie watangazaji wa habari muwege mnatoa taarifa mnapoenda nyumbani kwa watu so mnaingia tu na camera 😢sasa ona anawageni wake labda hawapendi kuonekana mitandaoni
Nmekuwa wakwanza leo jmn naomben like zenu
Tukishakupa uzipeleke wapi dear😁😁😁😁
Daah nimefurahi kumuona bi Rehema nimekumbuka akiigiza na marehemu mzee king majuto nilikuwa naburudika saaana ❤❤❤
Nimefurahi sana leo kumuona bi rehema Allah ampe maisha marefu
Kazi nzuri kaka hila kwenye mambo ya kuingia chumba chamtu sijapenda chumba kinasiri kubwa kama takuwa nimekukosea nisamehe chumba cha mwanamke kinasiri kubwa broo nibora kwa mwanamme😢😢😢
Si km utaki unamwambia kwan anakufos
Pia mtangazaji siku Moja na wewe tupeleke kwako tupaone.❤❤❤🎉🎉
vzri kakangu kushukuru Allah kwa Rizki y chakula ❤
Mashallah bi Reema m/mungu azid kukupa afya njema
Amiin
Salehe nafuatilia sana kipindi chako natamani siku moja nikuone live inshaAllah
Hira sarehe macho peruperu kama paka mgeni kaah😂😂😂
😅😅😅
Naona mwari mwenyew anaonekana fundi balaa kuliko ata kungwi sijui ndo somo...any way tunakupenda darey❤
Mh huyo mwari mbona limama 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hata mm nashangaa mwari hilo limama😅😅😅😅
Uyo mwali mbona anafanana na demu wangu wa zaman mwanahamis mmmh aya bhana
Nampenda sana huyu mama mashallah 😊😊
Mumekoseaaa sanaaaa sanaaa sanaaaa kumuonyesha Bi harusi wa watu
Mi sijaona km wamekosea ila huyo bi harusi ndio naona kakosea ...coz yeye kaingia amefunika nikabu sasa kilicho mfanya aiweke juu hiyo nikaab ni nini ?...naameona hpo kuwa wanaume 😢
Biharusi katoa nikab mwenyewe Amna hata alo mtuma
@@kibabysaid6692kwa kweli asingetoa nikab, au angeenda kukaa kule mbali
Mmh bi harusi mtu jamani mzigo upo kwenye Juba lakini unaonekana😂😂❤❤
Mashaalah mama anaishi pazuri
Ma sha allah this definitely I'm going to try,
Bi rehema nitakuja kutafut unifundee 🥰Mungu akuwekee
Mashaallah nimefurahi sana kumuona bi rehema
Nimefurah kumuona huyu mama ❤❤❤❤
WA SABA kukoment naomben like zangu
Xxa uyu mwali macho makubwa kwa camera ata ajifich tena kaenda mbele kbs tofaut nawenzake😅😅😅😅loh mwali kigego
Mwali wa mwaliboko 😅
😂😂😂😂😂😂jmn
Ntaandamana kwann wadada wakaz hawatambulishwi vzr ,ukisema mdg wangu ,mwanangu kunashida wengine husema hichi kidada changu ndokinatusaidia hapa nyumbn
Serikali walisema marufuku kuwaita dada na kuwachukulia Kama ndugu kwasababu baadhi ya wengi wanakua hawawalipi kwa kigezo Cha ndugu
Salehe tuletee na Ringo kwenye show bizz
Dada Rehema ongera sana umenenepa sana'zaman ulikuwa mwemba sana na gizo la Tarawehi lile
Bi. Rey❤️❤️
Ila huyu alijua kuigiza na marehemu majuto😂
Salehe iyo sio tabia nzuri kirakitu unataka kujua mambo yasomo hayakuhusu angaria mwali umemuonesha tv
Kosa la bb harusi Kwann alitoa ninja
Ila amepoa sana na Rudi kwa germ
Wow
Kitambo dada huyu na mzee majuto,halafu kweli duniani hakuna mwemba,huyu dada alikuwa mwembamba jaman.❤❤❤❤❤🎉🎉
Bi rehema❤❤❤❤❤❤❤
Salehe anapenda kula kwa watu 😅😅
Jifunzeni kurusha vipindi kwa awamu sasa part 1 inaakuwa ya mwisho part 2 inakuwa ya mwanzo ndy nn sasa mmejifunza wapi kazi
Zama tutee Nyota waziri
❤❤Nataka Namba za bi rehema
Bora ule kabisa mana unavyopenda kula kwa watu
Wew mchoy😂😂😂😂
@@hamidawamba 😃😃😃
Nikweli
Mm ningeomba kipengele cha chumban kwa mtu kisiwepo, nadhani wengine wanashindwa tu kukataa ila chumban n faragha ya mtu
Mmhhh huyu mama nae kdg age ime go so.akil kdg salehe unataka kumueleleza
Tango
Tango
Tango
Lakazigani.
......
HAO WATU WA WALLPAPERS HUWA HAWAWASHAURI,,,WE KANNUNUE YE ANABANDIKA TU
Swali langu haomakungwi au somo mbona woote hawana mume wameachwa naomba jawabu
😂😂😂Saleh nawe kwa maswali Yako ya kutupia na we si ufanye Uowe Ramdhan upikiwe futari
Kumbe nyota waziri ni somo somo kweli jaman mashallah
Sanaaa
Tena some aswaaa ukipitia pale mambo swafiiuu
Na mimi nataka kufundwa ila sina mpenz bado
We mpumbavu mambo ya chumbani yanakuusu nini
Sasa yuko kwenye interview kwanini kapokea simu
B rehema abdalah
Kungwi mwenyew kaa hika😂😂
Naona kungwi umemkatisha mapema eti kaolewa uyuuu😁😁😁
bi harusi saleh kamtowa macho😅😂😂😂😂
Mashallah ❤❤❤
Bikharus upitwi😅
@@husna34562 🧕😄🥺umefata nini huku🚵😃
Hilo tango ni 😂😂😂😂😂
Naomba number zake ninamwali wang naitaji somo
Tuma namba zako
Naitafuta sana movie ya FUKARA HATABIRIKI. Naipataje?
Leo umekula mapema 😂😂 hujala kwa watu 😂😂
Wewe mgomvi😂😂😂
😂😂😂😂umeona ee huko ni kufunda sio kupika
Mmemsema sn😂😂😂
Karibuni wageni. Anaonekana mgeni mmoja
na hilo tango je?
Naomba number zake nina mwali wangu
Uko kuza Lili Shana jamani
Salehe
😍😍😍
Kwani cujifinike ninja
Mimi nipo bize na mwali tu
Sijawahi kuona kungwi kadumu kwa ndoa
Hatamm nilizani mkewamajuto
Salehe kujifanya mwenyew eti unapunguza sauti
Nimeipend sebur yake
Bro wakati una introduce Kipindi uwe unatuambia na location kama ni mbezi,kimara,Goba, n.k
Si nzuri kwa usalama wa mteja wake
Mbna kwa Asha boko hakuingia kma hutak haingii chmbn
Bi rehema c umpuze huyo mtangazaji
Alinitapeli huyu mama sina hamu
Polee😂😂ilikuaje??
😭😭😭😭
Samehe ndugu yangu
Sio rahic km unavyothan nikitewe vitu vyangu ndo ntasamehe
@@MuniraAbdallah-f7nhawana maana yoyote ni kuchukua vitu na pesazawatu……lete chupa za chai vikombe vya chai glass sahani visu kanga shuka na pesa juu mkeka……
Wamefanya nibiashara siku hizi…. Kesho mtasikia na wengine …..biashara isiyo na kibali cha serekali😂😂😂
TUWEKEE NAMBA ZAKE WENGINE TUPELEKE WAKE ZETU
😂😂😂😂😂
Kiboko😅
Jamani🤣🤣🤣🤣🤣🙌
😅😅😅😅😅😅😅
Dah😂😂😂😂
Nyie watangazaji wa habari muwege mnatoa taarifa mnapoenda nyumbani kwa watu so mnaingia tu na camera 😢sasa ona anawageni wake labda hawapendi kuonekana mitandaoni
Angekuwa hapendi asingetoa nikabu😂😂😂😂
@@jesterfredrick9497
🤣🤣😂kumbe
Ni umbea wake kutoa nikabu😂😂
@@bennamush4616 😂😂
@@bennamush4616
Labda Aliisi camera ni kwaajili yake kungwi wake ndo amemletea camera watengeneze sidii ya kumbukumbu ndio maana alijifunua nikab
We mpuuz mbn hujauliza ilo tango ni la nini😂😂😂😂
Hata mm nimeona tango😅😅😅😅😅
Hilo tango la nini hapo😅😅😅
Hilo tango linamaana yake pia sio ya kusema hadharani
@@MwanaMtowaitabid ufafanue vzur mm pia sjui
Kijana ana hangaika huyu 😅
San Tena anafrhisha
Ila salehe ana maswali ya ajabu 😅😅
Yanachekesha😂😂😂😂😂
Turushie namba mi nataka kuolewa na Raia wakigeni nataka nimchanganye kimapenzi mpaka asijute kuoa Afrika hahaa
😂😂😂😂
😂😂😂
Ongera my tuwakilishe
Mtangazaji tunatak maish yko
😅😅😅😅😅salehe yeye anajua kwenda kwa watu tu
Kaka wewe utaona mpaka chupi
Ilo tango vipi hapo kachumbali ama?
Tango analikatikia
TANGOOOOOO mmeliona wakubwa tumeshaelewa mambo ya kwichi kwichi 🥒🍆🛌💏
harusi hakujua kama kuna kamera kajifunua nikabu keshaanikwa
Mwali aelewi somooo anaona macamera camera😅😅😅😅😅😅😅 acha nilud nije Kwa bi Rehema unifunde nimepata somo la mswaki hapo Ila sele ulitaka kufukua mambo😅
Huku kwetu hukuti mtu kupiga msuwaki nje tng enzi za mabibi na babu....
Mungu awaweka wote
Mwari kuingia tu kafunua niqab wakati kashaona macamera
😂😂😂😂😂😂😂