ANAPOISHI BI REHEMA MAJUTO ANA CHUMBA CHA KUFUNDIA WARI/MUME WAKE KAMKIMBIA MIAKA 8/KAFUNDA WARI 400

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Usisahau ku"SUBSCRIBE" RUclips channel yetu kwa videos nyinginezo
    #zamaraditv #mambonimengi

Комментарии • 146

  • @AshaMambo-u4o
    @AshaMambo-u4o 6 месяцев назад +22

    Nmekuwa wakwanza leo jmn naomben like zenu

    • @paulabelleghe451
      @paulabelleghe451 6 месяцев назад +1

      Tukishakupa uzipeleke wapi dear😁😁😁😁

  • @rahmasuleiman9334
    @rahmasuleiman9334 6 месяцев назад +9

    Daah nimefurahi kumuona bi Rehema nimekumbuka akiigiza na marehemu mzee king majuto nilikuwa naburudika saaana ❤❤❤

  • @selemanikabeya8020
    @selemanikabeya8020 6 месяцев назад +7

    Kazi nzuri kaka hila kwenye mambo ya kuingia chumba chamtu sijapenda chumba kinasiri kubwa kama takuwa nimekukosea nisamehe chumba cha mwanamke kinasiri kubwa broo nibora kwa mwanamme😢😢😢

    • @chimamilion
      @chimamilion 6 месяцев назад +4

      Si km utaki unamwambia kwan anakufos

  • @AminaMkumba-u3z
    @AminaMkumba-u3z 9 дней назад

    Pia mtangazaji siku Moja na wewe tupeleke kwako tupaone.❤❤❤🎉🎉

  • @sikukuuchuo3093
    @sikukuuchuo3093 6 месяцев назад +10

    vzri kakangu kushukuru Allah kwa Rizki y chakula ❤

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 6 месяцев назад +9

    Mashallah bi Reema m/mungu azid kukupa afya njema

  • @FaridaAbushirMussa
    @FaridaAbushirMussa 6 месяцев назад +6

    Salehe nafuatilia sana kipindi chako natamani siku moja nikuone live inshaAllah

  • @VeronicaPasko
    @VeronicaPasko Месяц назад +2

    Hira sarehe macho peruperu kama paka mgeni kaah😂😂😂

  • @LutfiaRashid
    @LutfiaRashid 6 месяцев назад +6

    Naona mwari mwenyew anaonekana fundi balaa kuliko ata kungwi sijui ndo somo...any way tunakupenda darey❤

    • @SafiyaJ-yw2vt
      @SafiyaJ-yw2vt 6 месяцев назад +2

      Mh huyo mwari mbona limama 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @SafiyaJ-yw2vt
      @SafiyaJ-yw2vt 6 месяцев назад +1

      Hata mm nashangaa mwari hilo limama😅😅😅😅

    • @mwejstar5678
      @mwejstar5678 6 месяцев назад

      Uyo mwali mbona anafanana na demu wangu wa zaman mwanahamis mmmh aya bhana

  • @hanifahkhamiss8485
    @hanifahkhamiss8485 6 месяцев назад +8

    Nampenda sana huyu mama mashallah 😊😊

  • @AishaAbdullah-qj1lt
    @AishaAbdullah-qj1lt 6 месяцев назад +8

    Mumekoseaaa sanaaaa sanaaa sanaaaa kumuonyesha Bi harusi wa watu

    • @kibabysaid6692
      @kibabysaid6692 6 месяцев назад +10

      Mi sijaona km wamekosea ila huyo bi harusi ndio naona kakosea ...coz yeye kaingia amefunika nikabu sasa kilicho mfanya aiweke juu hiyo nikaab ni nini ?...naameona hpo kuwa wanaume 😢

    • @RehemaSaid255
      @RehemaSaid255 6 месяцев назад +6

      Biharusi katoa nikab mwenyewe Amna hata alo mtuma

    • @aminakassim7486
      @aminakassim7486 6 месяцев назад

      ​@@kibabysaid6692kwa kweli asingetoa nikab, au angeenda kukaa kule mbali

  • @ernestwilliam8628
    @ernestwilliam8628 6 месяцев назад +3

    Mmh bi harusi mtu jamani mzigo upo kwenye Juba lakini unaonekana😂😂❤❤

  • @mohamedmwinjuma
    @mohamedmwinjuma 6 месяцев назад +2

    Mashaalah mama anaishi pazuri

  • @queenshibaskitchen9130
    @queenshibaskitchen9130 6 месяцев назад +1

    Ma sha allah this definitely I'm going to try,

  • @salmahchivatsi791
    @salmahchivatsi791 6 месяцев назад +1

    Bi rehema nitakuja kutafut unifundee 🥰Mungu akuwekee

  • @mariamkibindo1741
    @mariamkibindo1741 6 месяцев назад +2

    Mashaallah nimefurahi sana kumuona bi rehema

  • @clovicemusobozi3891
    @clovicemusobozi3891 6 месяцев назад +2

    Nimefurah kumuona huyu mama ❤❤❤❤

  • @afrimage_decor
    @afrimage_decor 6 месяцев назад +4

    WA SABA kukoment naomben like zangu

  • @chimamilion
    @chimamilion 6 месяцев назад +4

    Xxa uyu mwali macho makubwa kwa camera ata ajifich tena kaenda mbele kbs tofaut nawenzake😅😅😅😅loh mwali kigego

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 6 месяцев назад +3

    Ntaandamana kwann wadada wakaz hawatambulishwi vzr ,ukisema mdg wangu ,mwanangu kunashida wengine husema hichi kidada changu ndokinatusaidia hapa nyumbn

    • @otavinamkongwa5936
      @otavinamkongwa5936 6 месяцев назад

      Serikali walisema marufuku kuwaita dada na kuwachukulia Kama ndugu kwasababu baadhi ya wengi wanakua hawawalipi kwa kigezo Cha ndugu

  • @AbdulOmar-b7r
    @AbdulOmar-b7r 6 месяцев назад +3

    Salehe tuletee na Ringo kwenye show bizz

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 6 месяцев назад +1

    Dada Rehema ongera sana umenenepa sana'zaman ulikuwa mwemba sana na gizo la Tarawehi lile

  • @AsendeNyota
    @AsendeNyota 6 месяцев назад +1

    Bi. Rey❤️❤️

  • @mariamhassan1723
    @mariamhassan1723 6 месяцев назад +3

    Ila huyu alijua kuigiza na marehemu majuto😂

  • @صالحالصوافي-غ5و
    @صالحالصوافي-غ5و 6 месяцев назад

    Salehe iyo sio tabia nzuri kirakitu unataka kujua mambo yasomo hayakuhusu angaria mwali umemuonesha tv

  • @1czay
    @1czay 6 месяцев назад +2

    Ila amepoa sana na Rudi kwa germ

  • @paulabelleghe451
    @paulabelleghe451 6 месяцев назад +2

    Wow

  • @AminaMkumba-u3z
    @AminaMkumba-u3z 9 дней назад

    Kitambo dada huyu na mzee majuto,halafu kweli duniani hakuna mwemba,huyu dada alikuwa mwembamba jaman.❤❤❤❤❤🎉🎉

  • @SaraSara-i1l
    @SaraSara-i1l 6 месяцев назад +1

    Bi rehema❤❤❤❤❤❤❤

  • @samanthalyimo4598
    @samanthalyimo4598 6 месяцев назад +2

    Salehe anapenda kula kwa watu 😅😅

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 6 месяцев назад +2

    Jifunzeni kurusha vipindi kwa awamu sasa part 1 inaakuwa ya mwisho part 2 inakuwa ya mwanzo ndy nn sasa mmejifunza wapi kazi

  • @Tuu2019
    @Tuu2019 6 месяцев назад +1

    Zama tutee Nyota waziri

  • @aishasaif3993
    @aishasaif3993 6 месяцев назад

    ❤❤Nataka Namba za bi rehema

  • @MiddyTuesday-on8jp
    @MiddyTuesday-on8jp 6 месяцев назад +8

    Bora ule kabisa mana unavyopenda kula kwa watu

  • @KesheMedia
    @KesheMedia 6 месяцев назад

    Mm ningeomba kipengele cha chumban kwa mtu kisiwepo, nadhani wengine wanashindwa tu kukataa ila chumban n faragha ya mtu

  • @فاطمهفاطمه-ش2ز9ج
    @فاطمهفاطمه-ش2ز9ج 6 месяцев назад +1

    Mmhhh huyu mama nae kdg age ime go so.akil kdg salehe unataka kumueleleza

  • @MoudyMussa-fw8sz
    @MoudyMussa-fw8sz 6 месяцев назад +1

    Tango
    Tango
    Tango
    Lakazigani.
    ......

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 6 месяцев назад +2

    HAO WATU WA WALLPAPERS HUWA HAWAWASHAURI,,,WE KANNUNUE YE ANABANDIKA TU

  • @shamzone388
    @shamzone388 6 месяцев назад +1

    Swali langu haomakungwi au somo mbona woote hawana mume wameachwa naomba jawabu

  • @didasdecor4208
    @didasdecor4208 6 месяцев назад +2

    😂😂😂Saleh nawe kwa maswali Yako ya kutupia na we si ufanye Uowe Ramdhan upikiwe futari

  • @mariamdullazy8166
    @mariamdullazy8166 6 месяцев назад

    Kumbe nyota waziri ni somo somo kweli jaman mashallah

  • @Joliegal834
    @Joliegal834 6 месяцев назад +3

    Na mimi nataka kufundwa ila sina mpenz bado

  • @ZuberiHassan
    @ZuberiHassan 27 дней назад

    We mpumbavu mambo ya chumbani yanakuusu nini

  • @SafiyaJ-yw2vt
    @SafiyaJ-yw2vt 6 месяцев назад +1

    Sasa yuko kwenye interview kwanini kapokea simu

  • @PreviousSamende
    @PreviousSamende 6 месяцев назад

    B rehema abdalah

  • @selemanikungu8039
    @selemanikungu8039 6 месяцев назад +1

    Kungwi mwenyew kaa hika😂😂

  • @paulabelleghe451
    @paulabelleghe451 6 месяцев назад +1

    Naona kungwi umemkatisha mapema eti kaolewa uyuuu😁😁😁

  • @Aiisha901
    @Aiisha901 6 месяцев назад +1

    bi harusi saleh kamtowa macho😅😂😂😂😂

  • @SuleimanKhdija
    @SuleimanKhdija 6 месяцев назад +1

    Mashallah ❤❤❤

    • @husna34562
      @husna34562 6 месяцев назад +1

      Bikharus upitwi😅

    • @SuleimanKhdija
      @SuleimanKhdija 6 месяцев назад

      @@husna34562 🧕😄🥺umefata nini huku🚵😃

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 6 месяцев назад +2

    Hilo tango ni 😂😂😂😂😂

  • @SubiraAlmasi-h7j
    @SubiraAlmasi-h7j 6 месяцев назад +2

    Naomba number zake ninamwali wang naitaji somo

  • @deadcrush
    @deadcrush 6 месяцев назад +1

    Naitafuta sana movie ya FUKARA HATABIRIKI. Naipataje?

  • @Chakol123-k7s
    @Chakol123-k7s 6 месяцев назад +4

    Leo umekula mapema 😂😂 hujala kwa watu 😂😂

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 6 месяцев назад

      Wewe mgomvi😂😂😂

    • @SuleimanKhdija
      @SuleimanKhdija 6 месяцев назад

      😂😂😂😂umeona ee huko ni kufunda sio kupika

    • @SomoeIssa-ft6ml
      @SomoeIssa-ft6ml 6 месяцев назад

      Mmemsema sn😂😂😂

  • @gallusmbaga5522
    @gallusmbaga5522 6 месяцев назад

    Karibuni wageni. Anaonekana mgeni mmoja

  • @africa7479
    @africa7479 6 месяцев назад +1

    na hilo tango je?

  • @SubiraAlmasi-h7j
    @SubiraAlmasi-h7j 6 месяцев назад +1

    Naomba number zake nina mwali wangu

  • @ABDALLAHARUNABWIJO
    @ABDALLAHARUNABWIJO 2 месяца назад

    Uko kuza Lili Shana jamani

  • @MariamuAnifa
    @MariamuAnifa 6 месяцев назад +1

    Salehe

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 6 месяцев назад

    😍😍😍

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 6 месяцев назад +3

    Kwani cujifinike ninja

  • @bennamush4616
    @bennamush4616 6 месяцев назад +1

    Mimi nipo bize na mwali tu

  • @werehere2006
    @werehere2006 5 месяцев назад

    Sijawahi kuona kungwi kadumu kwa ndoa

  • @AllyKzg-z2h
    @AllyKzg-z2h 6 месяцев назад +1

    Hatamm nilizani mkewamajuto

  • @agnessmgaza3826
    @agnessmgaza3826 6 месяцев назад

    Salehe kujifanya mwenyew eti unapunguza sauti

  • @ManyemaCollection
    @ManyemaCollection 6 месяцев назад +1

    Nimeipend sebur yake

  • @agustinoapolinar1623
    @agustinoapolinar1623 6 месяцев назад

    Bro wakati una introduce Kipindi uwe unatuambia na location kama ni mbezi,kimara,Goba, n.k

    • @tunkuh661
      @tunkuh661 6 месяцев назад +1

      Si nzuri kwa usalama wa mteja wake

  • @KhadijaJuma-pb6fw
    @KhadijaJuma-pb6fw 6 месяцев назад

    Mbna kwa Asha boko hakuingia kma hutak haingii chmbn

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 6 месяцев назад

    Bi rehema c umpuze huyo mtangazaji

  • @MuniraAbdallah-f7n
    @MuniraAbdallah-f7n 6 месяцев назад +2

    Alinitapeli huyu mama sina hamu

    • @jesterfredrick9497
      @jesterfredrick9497 6 месяцев назад

      Polee😂😂ilikuaje??

    • @hijarashid594
      @hijarashid594 6 месяцев назад

      😭😭😭😭

    • @MwanaMtowa
      @MwanaMtowa 6 месяцев назад

      Samehe ndugu yangu

    • @MuniraAbdallah-f7n
      @MuniraAbdallah-f7n 6 месяцев назад

      Sio rahic km unavyothan nikitewe vitu vyangu ndo ntasamehe

    • @shamzone388
      @shamzone388 6 месяцев назад

      ⁠@@MuniraAbdallah-f7nhawana maana yoyote ni kuchukua vitu na pesazawatu……lete chupa za chai vikombe vya chai glass sahani visu kanga shuka na pesa juu mkeka……
      Wamefanya nibiashara siku hizi…. Kesho mtasikia na wengine …..biashara isiyo na kibali cha serekali😂😂😂

  • @edukimaro3489
    @edukimaro3489 6 месяцев назад +2

    TUWEKEE NAMBA ZAKE WENGINE TUPELEKE WAKE ZETU

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi3669 6 месяцев назад +2

    Nyie watangazaji wa habari muwege mnatoa taarifa mnapoenda nyumbani kwa watu so mnaingia tu na camera 😢sasa ona anawageni wake labda hawapendi kuonekana mitandaoni

    • @jesterfredrick9497
      @jesterfredrick9497 6 месяцев назад +2

      Angekuwa hapendi asingetoa nikabu😂😂😂😂

    • @faudhiasaidi3669
      @faudhiasaidi3669 6 месяцев назад +1

      @@jesterfredrick9497
      🤣🤣😂kumbe

    • @bennamush4616
      @bennamush4616 6 месяцев назад +2

      Ni umbea wake kutoa nikabu😂😂

    • @faudhiasaidi3669
      @faudhiasaidi3669 6 месяцев назад +1

      @@bennamush4616 😂😂

    • @faudhiasaidi3669
      @faudhiasaidi3669 6 месяцев назад

      @@bennamush4616
      Labda Aliisi camera ni kwaajili yake kungwi wake ndo amemletea camera watengeneze sidii ya kumbukumbu ndio maana alijifunua nikab

  • @AngelAndress-ph8bh
    @AngelAndress-ph8bh 6 месяцев назад

    We mpuuz mbn hujauliza ilo tango ni la nini😂😂😂😂

    • @SafiyaJ-yw2vt
      @SafiyaJ-yw2vt 6 месяцев назад

      Hata mm nimeona tango😅😅😅😅😅

    • @SafiyaJ-yw2vt
      @SafiyaJ-yw2vt 6 месяцев назад

      Hilo tango la nini hapo😅😅😅

    • @MwanaMtowa
      @MwanaMtowa 6 месяцев назад

      Hilo tango linamaana yake pia sio ya kusema hadharani

    • @antybabybintrashid2333
      @antybabybintrashid2333 6 месяцев назад

      ​@@MwanaMtowaitabid ufafanue vzur mm pia sjui

  • @Zaitoon72
    @Zaitoon72 6 месяцев назад

    Kijana ana hangaika huyu 😅

  • @Zaitoon72
    @Zaitoon72 6 месяцев назад

    Ila salehe ana maswali ya ajabu 😅😅

  • @paulabelleghe451
    @paulabelleghe451 6 месяцев назад +1

    Turushie namba mi nataka kuolewa na Raia wakigeni nataka nimchanganye kimapenzi mpaka asijute kuoa Afrika hahaa

  • @chimamilion
    @chimamilion 6 месяцев назад +2

    Mtangazaji tunatak maish yko

    • @patriciaboniface9975
      @patriciaboniface9975 3 месяца назад

      😅😅😅😅😅salehe yeye anajua kwenda kwa watu tu

  • @tatuathmani883
    @tatuathmani883 6 месяцев назад

    Kaka wewe utaona mpaka chupi

  • @fawziagabriel3355
    @fawziagabriel3355 6 месяцев назад

    Ilo tango vipi hapo kachumbali ama?

  • @3Dshoez
    @3Dshoez 6 месяцев назад

    TANGOOOOOO mmeliona wakubwa tumeshaelewa mambo ya kwichi kwichi 🥒🍆🛌💏

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 6 месяцев назад +1

    harusi hakujua kama kuna kamera kajifunua nikabu keshaanikwa

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 6 месяцев назад +1

    Mwali aelewi somooo anaona macamera camera😅😅😅😅😅😅😅 acha nilud nije Kwa bi Rehema unifunde nimepata somo la mswaki hapo Ila sele ulitaka kufukua mambo😅

    • @rahmaabdallah4514
      @rahmaabdallah4514 6 месяцев назад +2

      Huku kwetu hukuti mtu kupiga msuwaki nje tng enzi za mabibi na babu....

  • @MayarashidiMayarashidi
    @MayarashidiMayarashidi Месяц назад

    Mungu awaweka wote

  • @ummukulthummohd5403
    @ummukulthummohd5403 6 месяцев назад

    Mwari kuingia tu kafunua niqab wakati kashaona macamera