ANAPOISHI MWANAHAWA ALLY MUIMBAJI WA TAARAB/ SIIMBI KUJIFURAHISHA NATAFUTA TONGE/MAMA SAMIA NISAIDIE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024

Комментарии • 369

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif9465 5 месяцев назад +23

    muhimu kwake hajapanga bora sitara maisha mazuri ya duniani hayana maana❤

  • @spreadlove5300
    @spreadlove5300 5 месяцев назад +35

    Jamani sio kwa ubaya ila watoto pia wangesaidia pia kuboresha maisha ya mama yao japo kidogo 😮❤

    • @rizikiabdalla2501
      @rizikiabdalla2501 5 месяцев назад +7

      Watt wote wanakula Kwa joshoo la mama yao ukipita hapo wamejazaaa tele wao na watt wao

    • @swaumuabdallah6886
      @swaumuabdallah6886 5 месяцев назад +3

      Yani jmn mama anaumaarufu mkubwa sana ila maisha yake dar

    • @fatmasaid4114
      @fatmasaid4114 5 месяцев назад +1

      Alhamdulillah. Allah alikupa afya na umri na muda wa kùtubia tena umshukuru Allah na atapokea tobacco zako na riski yako atakupa kwa uwezo wake

    • @BintHassan-o1y
      @BintHassan-o1y 5 месяцев назад

      ​@@rizikiabdalla2501 hao watoto wake hawafanyi kazi..? Wamekusanyana bdo walishwa na mama yao..?ulishe wstoto na wajukuu kwa umri huo..uzuni kwa kwel😢😢

    • @RajabuHayyan
      @RajabuHayyan 4 месяца назад

      Nilijua mie tu nawaza watoto kwannn awamsaport

  • @rayaabdul-gm3hc
    @rayaabdul-gm3hc 5 месяцев назад +20

    Daaa nampenda huyu bibi napenda nyimbo zake sana yani simu yangu zimejaa nyimbo zake tu mashallah❤❤❤❤❤

    • @saumbliz8983
      @saumbliz8983 5 месяцев назад

      Naomba number Yako ya whastap unitumie na mimi my😢

    • @rayaabdul-gm3hc
      @rayaabdul-gm3hc 5 месяцев назад

      @@saumbliz8983 ingia google danlod

    • @mubanassortz
      @mubanassortz 5 месяцев назад

      Yani Huyu MamaNa Wenzio wanadhulimika Sana maana Hawa ndio walitakiwa kupiga hela kupitia mitandao hizi basata sijui zinafanyaje kazi kama haki miliki za hawa watu hawapati kitu

  • @PREZZO10
    @PREZZO10 5 месяцев назад +122

    Umaskiii wanguu🎶 4:30 moja ya nyimbo yake kali Sanaa gonga like kama unaijuwaaa🎉

    • @tabumpate9722
      @tabumpate9722 5 месяцев назад

      Viumbe wazito

    • @pachawadoto5911
      @pachawadoto5911 5 месяцев назад

      Naamini sitadhalilika nikavua utu wangu...naamini,kupata nakukosa ni jaala yake mungu..

  • @SalmaAthuman-hp3en
    @SalmaAthuman-hp3en 5 месяцев назад +39

    Siamini ninachokiona kwa mama yetu kwa haya maisha yake siamini jaman na sauti yake nzuri masha allah haya mazingira sio ya kuishi yeye 😢

    • @swaumuabdallah6886
      @swaumuabdallah6886 5 месяцев назад +4

      Yan mimi nahis pesa zak analisha familia huy mama😢

    • @happynesbaemuhappynes8813
      @happynesbaemuhappynes8813 5 месяцев назад

      Yeye karidhika labda

    • @RayChausa
      @RayChausa 5 месяцев назад

      Bhana weeee😢

    • @svt3
      @svt3 5 месяцев назад

      ​@@happynesbaemuhappynes8813harizike na hafirahie kabisa sababu anasema bado anaimba kwenye ma sherehe sababu ya shida ila swali ni watoto wake 7 na wajuukuu ambao nao wamezaa kwa nini wasi mpe maisha wachange change wamununulie sofa nzuri ya kupumuzikia na kuboresha hiyo nyumba wanafanya nini wamuache tu hivyo

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 5 месяцев назад

      Wacha kukufuru kuna watu maisha Yao wanayo ishi utaliya wee. Choo hukitamani hawana maji wana taa. Utasema nini watu Kama hao.???

  • @lovirinaa
    @lovirinaa 4 месяца назад +3

    Mwanamke hulkha bonge la nyimbo🥰

  • @pachawadoto5911
    @pachawadoto5911 5 месяцев назад +7

    Mlinikusudia nini enyi wenzangu mwenzenu kunihiliki,,kunitia ubayani si hulka yangu mjue sifedhekii!!!🎉🎉🎉🎉

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 5 месяцев назад +13

    Umasikini wangu my favourite tune ....Wasanii wa kitambo wamedhulumika sana Wallah! ngoma si ziko RUclips lkn wengine ndio wanafaidika nazo

    • @lonnmutta2073
      @lonnmutta2073 5 месяцев назад +2

      hapo ndipo pa balaa mwengine kufaidikia\

  • @soamShs-cp4dl
    @soamShs-cp4dl 5 месяцев назад +29

    Mama ana sauti huyu mashallah nilitamani umwambie asome hata quran kidogo tuone pia anafiti vipi Allah amjaalie toba tena amzidishie uzima na afya ampe hatima nnjema yeye na sisi amin

    • @user-qe3rx2ok7z
      @user-qe3rx2ok7z 5 месяцев назад

      Ameen

    • @anithanithaa2651
      @anithanithaa2651 5 месяцев назад +1

      Half ukishaona anafiti ufanye Nini Em kuweni na Huruma Bhasi

    • @salumnassor6555
      @salumnassor6555 5 месяцев назад

      Ameeen sauti ile ni kweli angalikuwa anasoma quran mara moja moja ingekuwa vizuri

    • @mamasalhat
      @mamasalhat 5 месяцев назад

      Kwani kamtukana? Usikuze jambo​@@anithanithaa2651

    • @Arfa-b5r
      @Arfa-b5r 5 месяцев назад

      Ammin

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 5 месяцев назад +10

    ROHO MBAYA HAIJENGI,,,HIT SONG,,,BUMASKINI WANGU BILA KUISAHAU WEMA HAZINA,,,AF SAUTI YA MAMLAKA ❤

  • @rajabkassim5978
    @rajabkassim5978 5 месяцев назад +13

    Pongezi mama mimi naomba huyu mama tungemfanyia mchango ili tumnunulie vitu vya nyumba ili pia nae afrahie I hope Allah atatuwezesha in sha allah

  • @Chemba67
    @Chemba67 5 месяцев назад +12

    HONGERA SANA MTANGAZAJI KWA KUTULETEA LEGENDARY, UMEFANYA KAZI KUBWA NA YA MAANA SANA.

  • @MwanahamisSeifu
    @MwanahamisSeifu 5 месяцев назад +10

    Nimempenda bi mwanahawa kumbe mcheshi mashaallah kila anachoulizwa mwenyewe anafurahi sio kisirani ❤❤

  • @LadyMzana
    @LadyMzana 5 месяцев назад +9

    Nyimbo zake nilizozipenda sana ni Viumbe wazito, Roho mbaya haijengi, Umasikini wangu, Rabby nilinde, Lakini nyie watu mnaoziweka RUclips nyimbo za huyu Bibi Mwanahawa Ally mumlipe ili aishi maisha mazuri kupitia kazi yake ya muziki wa Taarab aliyotumia sauti yake kuimba kwa miaka mingi, mkila hizo pesa mnakula jasho lake sio poa, Mungu atawapiga na kitu kizito nyie wote mnaokula pesa za huyu mama kupitia RUclips.

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 5 месяцев назад +16

    Huyu mama ndio kanifanya niipende taarabu kutokana na saut yake nampenda sanaaaa anajua kuimbaa haswaa ana saut tamu hatariiiii❤❤

    • @MwinyiSalim-d4j
      @MwinyiSalim-d4j 5 месяцев назад

      ❤❤❤❤mambo

    • @FloraNgoma
      @FloraNgoma 5 месяцев назад +1

      Hata mie sauti yake napenda sana na utulivu wake kwake.

    • @allykigatta7564
      @allykigatta7564 5 месяцев назад +1

      ..FINALI JEHANAM..!!!!

    • @TatoTato-t7s
      @TatoTato-t7s 4 месяца назад

      ​@@allykigatta7564we mungu kakwambia wapeponi

    • @RajabuHayyan
      @RajabuHayyan 4 месяца назад +1

      Kipaji.kipo.kwenye damu

  • @HamisSaidi-h3u
    @HamisSaidi-h3u 5 месяцев назад +4

    Mbona wengi Mwayashangaa Maisha yake! Ndipo Mungu Alipo mkadiria Mbona Maish safi tu

  • @FarhatTashrif
    @FarhatTashrif 5 месяцев назад +2

    Maashaallah allah akujaaliye ustaghaafir tena maisha mazuri yapo peponi

  • @Tweech
    @Tweech 5 месяцев назад +4

    Hongera sana sana. Mwanahawa kwa utulivu wako. Mola akujaliye piya akupe afiya na umri. Nimepokea kujuwa huko kwa uweso wake Mola. Ulikuwa marufu enzi zako lakini hatuja kusahau kabis.

  • @Vee-w3x
    @Vee-w3x 5 месяцев назад +26

    Daah Watanzania wenzangu ebu tufanye mpango tumsaidie huyu mama angalau kidogo tu.Inaonesha watu waliokuwa wamemzunguka huyu mama sio watu wazuri,wametumia kipaji chake kujinufaisha matumbo yao tu daah,wao wenyewe wanaishi maisha mazuri mpaka leo,wamemuacha mama yetu kwenye mazingira ya kimaskini hivi daah.Kwa mchango wake katika jamii huyu mama hakustahili kuishi maisha haya daah! Kuna mkono wa mtu haiwezekani,wamemdhurumu sana huyu mama,na inaonesha ni mpole sana daah,Najisikia kulia mwenzenu dah😢😭

    • @fatmahamdoun74
      @fatmahamdoun74 5 месяцев назад +3

      Si watu wazuri wamemtumilia sana kwenye kipaji

    • @femidayahaya4882
      @femidayahaya4882 5 месяцев назад +2

      Tena hawana haya..wamemtumia kujilimbikizia kupitia kipaji chake😢😢😢 nimehuzunika.

    • @Suda-dv7rz
      @Suda-dv7rz 5 месяцев назад

      Wanxiaxibar wabinafsi sana

    • @AverinaShirati
      @AverinaShirati 5 месяцев назад +1

      Msaidien mwislamu mwenzenu

    • @Vee-w3x
      @Vee-w3x 5 месяцев назад

      @@AverinaShirati Usipende kuleta udini kwenye mambo ambayo hayahusiani.Vitu tulivyoletewa kutoka nchi za wenzetu visije kutugombanisha,tusibaguane.By the way mimi ni Mkristo(Roman catholic) wakristo tumesisitizwa upendo toka tupo wadogo.Tanzania bila udini inawezekana

  • @hawaramadhan7437
    @hawaramadhan7437 5 месяцев назад +3

    Ma shaa Allah mama mwanahawa huku Kenya twapenda taarab yako hasa mie ule wimbo wako wa nimeukinai umasikini wangu ❤

  • @lailafakhihaji
    @lailafakhihaji 5 месяцев назад +11

    Kweli kuzaa si kupata kweli watoto hamuwezi kumlea bi mkubwa mpaka akaimbe wallah mtihani

  • @savannacollection5205
    @savannacollection5205 5 месяцев назад +7

    Allah akupe shifa mama yetu sie tuko kenya ila asili ya babangu Unguja , shangazi yangu enzi za nadi ikhwan safa umeimba nae.

  • @shakilasharifa9
    @shakilasharifa9 5 месяцев назад +1

    Jamani Huyo mama domaisha anayo ishi Hayo anayimbo nzuri Ana bi Hawa mungu atakusimamia❤❤❤

  • @al-mamarial-mamari5457
    @al-mamarial-mamari5457 5 месяцев назад +5

    Maskiin. Mungu atufunglie milango ya rizki za halal. Ameen

  • @HaulaSaid-p5p
    @HaulaSaid-p5p 5 месяцев назад +5

    Duh yaani huyu bibi anaishi nyumba hii kweli kazi za dhambi hazina maana wallah ushachuma shambi za kutosha bibi sasa urudi kwa allah

    • @user-ov3dy4xu5v
      @user-ov3dy4xu5v 5 месяцев назад +5

      Usijaribu kuongea jambo kama hujui kitu Wala wewe huezi kumuhukumu mtu Dhabi Gani amechuma Allah ndio mwenye kumuhukumu mtu ....hakuna ajuae Leo au kesho

    • @HaulaSaid-p5p
      @HaulaSaid-p5p 5 месяцев назад +2

      Kwa iyo kukaa juu ya kiriri kichwa wazi na kuimba siyo dhambi kwa iyo aendelee tu wala Hakuna faida anayoipata yaani nyinyi watu wengine mupo kibilisi bilisi

    • @HaulaSaid-p5p
      @HaulaSaid-p5p 5 месяцев назад +1

      Tokea alipoanza kuimba mpka Leo kuna faida gni kaipata na age aliyonayo mpka sasa anaendelea jamani mnaijua lakini hukumu ya muimbaji bi mwanahawa nakuomba rudi kwa allah acha kuimba haraka sana

    • @DeBoy-oy2jg
      @DeBoy-oy2jg 5 месяцев назад

      Kitabu cha dini ya kiislamu kimekataza mziki ni haramu

  • @mariamdullazy8166
    @mariamdullazy8166 5 месяцев назад +7

    ❤😊 leo nimefurah kumuona mama yetu nampenda jaman huyu bi mwana

  • @mohammedbakar4142
    @mohammedbakar4142 5 месяцев назад +2

    Subhanallah yarabi kweli nimeamini binadamu tenda wema usisubiri shukurani wallah machozi yananitoka jinsi Bi.Mwanahawa Ali anavyo eleza zanzibar siamini kama kweli viongozi wanaweza kumtupa nguli wa misic

  • @chakamusa8389
    @chakamusa8389 2 месяца назад +1

    mwanahawa ali hit songs: mwenye wivu ajinyonge, Kila mja na riziki yake, alokutwika, utajiju, wakerekao, viumbe wazito, nimetulia shwari wacha vimeo wachonge, last warning, etc

  • @salmoomorefeelingproductio1744
    @salmoomorefeelingproductio1744 5 месяцев назад +2

    Mungu awajaalie hatimae mama samia kampa 10M

  • @femidayahaya4882
    @femidayahaya4882 5 месяцев назад +2

    Me hasa naipenda ile Viumbe wazito. Pole kwa kudhulumiwa mama.

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 5 месяцев назад +4

    Mashallah yaaan naipenda iyo nyimbo ya mwisho iyo rabi nilinde ❤ nimefurah sna kusikia interview yako❤

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 5 месяцев назад +3

    Maisha mazuri tuu madam hamuombi mtu ana nyumba yake. Alhamdulilah inatosha. Afya nzuri. Nini tena unataka Duniani.

  • @hanifahkhamiss8485
    @hanifahkhamiss8485 5 месяцев назад +12

    Zanzibar ukiwa msanii na ukifnya sanaa yko ndani ya Zanzibar utakufa maskin hakuna utakachojivunia juu ya sanaa yko zaid ya umaskini😢😢😢😢

    • @kherichapa7324
      @kherichapa7324 5 месяцев назад

      Ndomaana..bi Khadija kopa alihama yupo zake Dar na maisha swafi

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 5 месяцев назад +10

    🥰Ana juwa snaa. Mama. Wema ni hazina. Naipenda sana ile nyimbo na ile roho mbay

  • @fathiyaalrawahi6382
    @fathiyaalrawahi6382 5 месяцев назад +1

    Mashaallah anazungumza vizuri

  • @ZediAbdul
    @ZediAbdul 5 месяцев назад +2

    Watoto saba nao hawamwangalii mama yao.Mwanahawa Ally nakupenda

  • @rehemamahendeka-rm2ek
    @rehemamahendeka-rm2ek 5 месяцев назад +7

    Yaani kjn wng Saleh asante sana kwa mahojiano na Bi.Mwana,hakika nimejifunza kitu toka kwake,Allah amuafu kwa huruma zake,Aamin !

  • @Husnarajab-kz3ip
    @Husnarajab-kz3ip 5 месяцев назад +1

    Nikweli kabisa bibi yangu kikubwa unachako na si cha mtu Alhamdulillah❤❤❤

  • @namangabruno-xh3kp
    @namangabruno-xh3kp 5 месяцев назад +5

    Bi Mwanahawa uko vizuri Mungu akulinde
    vipi kinyago cha mpapule ulimaanisha nini

  • @dastonamichaels1854
    @dastonamichaels1854 Месяц назад

    Nyimbo zake zilivuma sana miaka ya early 2000s Likoni Mombasa i miss my old neighborhood and childhood friends

  • @MsNajma-e6e
    @MsNajma-e6e 5 месяцев назад +5

    Nampenda sana bbi uyu mwanahawa na nyimbo zake aisee

  • @mejumaabaraza3989
    @mejumaabaraza3989 5 месяцев назад +3

    Masha Allah mama nampenda na nyimbo yake ya tabanana hapa hapa na viumbe wa zito

  • @MareeshMipasho
    @MareeshMipasho 5 месяцев назад +12

    Nilichopenda bi mwanahawa msafi sana

  • @khatimabdallah8143
    @khatimabdallah8143 5 месяцев назад +2

    miziki haina barka wala si njia ya khery nakusihi mrudie allaah mama weee

  • @rahmajaffar794
    @rahmajaffar794 4 часа назад

    Cha urongo, aliekutwika nyimbo zake nzuri

  • @zainabsimbamtoro6790
    @zainabsimbamtoro6790 5 месяцев назад +1

    Pole dadaangu mungu Aendelee kukulinda lNshallaah 🙏 🌹🌹🌹

  • @MsNajma-e6e
    @MsNajma-e6e 5 месяцев назад +22

    Wanaoziweka nyimbo za uyu mama yetu kipez na wanaozipandisha RUclips wamripe uyu mama na wamsaidye sasaiv anatakiwa hale penshen yake asimbe tena huku anaumwa jmn ao mameneja msiwanyonye wasani wasani wa bongo wanashain kwenye video lkn kwenye maisha ni duni aisee sio kabsaa hupendo hakuna

  • @HabibaHassan-t2u
    @HabibaHassan-t2u 4 месяца назад +1

    Ukisoma sana una kua mkristo mama bwana 😂😂😂😂😂nimekuelewa 😂😂😂😂❤❤❤

  • @kamalbashir5127
    @kamalbashir5127 5 месяцев назад +10

    Inasikitishaa sanaa nyimbo zake zimehits sanaa bali hali yake duni

  • @zuleikhaahmed7220
    @zuleikhaahmed7220 5 месяцев назад +4

    So sad she was such a great singer!! 💔

  • @FloraNgoma
    @FloraNgoma 5 месяцев назад +3

    Nakupenda mama yangu, MWENYEZI MUNGU AKUPE RIZIKI YAKO YA KILA SIKU, NA KUKUPA NGUVU.

  • @fatmaallyabdul1732
    @fatmaallyabdul1732 5 месяцев назад +17

    Daah!! Inasikitisha ,nilijua ana maisha yake mazuri tu huyu mama

    • @SafiyaJ-yw2vt
      @SafiyaJ-yw2vt 5 месяцев назад +1

      Sasa ndo nini kuonyesha hayo machupa ya maji japo maisha yake duni

    • @rayahamisi118
      @rayahamisi118 5 месяцев назад +1

      Kwani mukumbuke hii dunia tu kwani maisha mazuri nini mm nanajuwa ukiwa na pumzi tu

    • @munamuna3921
      @munamuna3921 5 месяцев назад

      Kabisa hata mm naamini hivyo,,,umri wenyewe ht umeenda

    • @KK-ygh
      @KK-ygh 5 месяцев назад +1

      Tuach fitina..anaishi vizuri.

  • @adamsilumbe8356
    @adamsilumbe8356 5 месяцев назад +46

    Sikutegemea kuona mama huyu akiishi maisha ya chini kiasi hiki,nyimbo zake xipo you tube nazinapigwa sana kwenye maharusi,kumbi za starehe nakadhalika.daah!!!nilikua najua maisha yake yatakua mazuri napia hata gari

    • @ziadasalimu1730
      @ziadasalimu1730 5 месяцев назад +5

      Hata Mimi jamani ha!

    • @beautyibrahim8428
      @beautyibrahim8428 5 месяцев назад +6

      ni huzuni kwa kweli😢

    • @rukiauwonde7062
      @rukiauwonde7062 5 месяцев назад +3

      Wajinga ndo waliwao😢

    • @alibulushi-d9j
      @alibulushi-d9j 5 месяцев назад +9

      Unamshangaa mwanahawa Bora ungejuliza bkieude kashaenda nchi nyingi na nyumba alikuwa hana

    • @alandeus2945
      @alandeus2945 5 месяцев назад +4

      Tz haijal wasanii wa taarab na dance

  • @SalmaAthuman-hp3en
    @SalmaAthuman-hp3en 5 месяцев назад +6

    Nyimbo zake wanafaidika wengine huko RUclips kuliko yeye mwenyewe 😢life sio nzuri kwake

  • @rizikiabdalla2501
    @rizikiabdalla2501 5 месяцев назад +8

    Hiii vyumba wakati napitaa naendaa shule ilikuwa nzuri nilikuwa nikipita namuona mama akeee mungu amrehemu

    • @zulaykhajuma41
      @zulaykhajuma41 5 месяцев назад +2

      Bi Maulidi "Amina ya rabii thuma Amina ya rabii "

  • @HannanSomaiyah-wp7ny
    @HannanSomaiyah-wp7ny 5 месяцев назад +6

    Wallah Bora kuimba kaswaida kulikoni Taarabu,sasa maisha mtihani sibora Mwanahawa jiunge na Mama Sururu kwenye kikund chao cha uislam kulikoni hivyo

    • @SafiyaJ-yw2vt
      @SafiyaJ-yw2vt 5 месяцев назад

      Mbona hamwambii nionyeshe chumbani kwako😢

    • @mussasaidhamad1891
      @mussasaidhamad1891 5 месяцев назад

      Kuimba ni kuimba TU hakuna kasida Wala Nini zote ni nyimbo

    • @mussasaidhamad1891
      @mussasaidhamad1891 5 месяцев назад +1

      Tena jitahidi mama wasikutumie tena maana hata Faida hakuna mpk Leo maisha yako SI ya kifahari kama waimbaji wengine

    • @mussasaidhamad1891
      @mussasaidhamad1891 5 месяцев назад +1

      Ila Mimi nimegundua kwa ZANZIBAR hakuna fani yoyote inaweza kuwatoa watu kimaisha maana wazanzibari wengi ni wapenda Bure / free vyakuletewa vyakutunukiwa nk

  • @KhadijaSalum-nf5mf
    @KhadijaSalum-nf5mf 5 месяцев назад +5

    Maa shaa Allah 72yrs

  • @righitkileo
    @righitkileo 28 дней назад

    Wallah kupita humu na koment zako za kusema eti alikuwa anatumikia dhambi si sahihi kabisa.kwani wewe unaekoment huna dhambi??? Haya ni maisha yake na kipaji chake toka.kwa.Munqu.Nakupenda saba bibi yanqu ,honqera sana, hapa duniani hakuna maisha.ya.kudumu❤❤❤❤

  • @songombingo108
    @songombingo108 5 месяцев назад +3

    Moja ya mahojiano bora Kabisa. Nimeipenda na nimesononeka kwa Hali aliyo nayo Bi. Mwana

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj 5 месяцев назад +11

    Mwanamke hulka naikumbuka sana bi mwana

    • @Lababyyy20
      @Lababyyy20 5 месяцев назад

      Umenikumbusha mbali aiseee

  • @OliverBayona
    @OliverBayona 4 месяца назад +1

    Napenda wimbo wake wa kinyago cha mpapure.

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 5 месяцев назад

    Asante kwa udadisi, habari na kwa kushea stori ya bi Mwanahawa. Tati letu sisi sote binaadamu ni ukosefu wa elimu ya biashara na fedha. Najua wapo watabisha ispokuwa mimi mwenyewe binafsi nimefunguka macho baada ya kuona watu kadhaa kwenye mitandao wakituhimiza kuwa na tabia ya kuweka hakiba. Kipato iwe kidogo au kikubwa ni muhimu kuweka kwa siku za mbele. Wakati bi Mwanahawa yuko na East African Melody kwa uhakika mbali ya kuwa ni muimbaji nyota mara zote, sio siri alikuwa ni mmoja wa watu walionufaika na malipo ya kazi yake = sanaa. Hongera sana lakini tujifunze kuweka hakiba. Usipojiandaa kushinda, jiandae kushindwa

  • @MariamTao-l2c
    @MariamTao-l2c Месяц назад

    Nskuoenda sana mwanahawa Ally

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km 5 месяцев назад +2

    jitoe kimasomaso napenda sana huyu mama alifaa kuwa malikia wa Taarab

  • @RajabuHayyan
    @RajabuHayyan 4 месяца назад +1

    Kwa kipaj chake huyu mama 😮😮😮akustahil maisha haya
    Ila.inshalalh msingi pumzi

  • @HassanHassan-dw3mt
    @HassanHassan-dw3mt 5 месяцев назад +6

    Zamaradi TV jitahidini mfikishe salamu za Bi Mwanahawa kwa Mama Samia. Bi Mwana ana mengi sana ya kusema na Mama Samia lakini watangazaji wengi wanaenda kwake kupata maudhui tu kisha wanamuacha solemba.

  • @jumachananja5988
    @jumachananja5988 5 месяцев назад +1

    aaah kipidi hicho mawakara warikuwa wanawazurum sana mfano mzuri wakina tix moshi mmeona wenyewe siyo yakuambiwa

  • @ElizabethWamcha
    @ElizabethWamcha 5 месяцев назад +12

    Jamani serikali muangalieni uyu bibi kaitangaza sana tanzania 🇹🇿

  • @MsNajma-e6e
    @MsNajma-e6e 5 месяцев назад +6

    Yan bongo kaz kubwa mapato madogo wanyonyaji wanafaidka na kipaji za watu sio vzri jmn nirimiss uyu mama kitambo enzi izo nipo mdgo aisee maisha anayo ishi ayasitairi uyu sitaha mkubwa tZ

  • @hamisaabdalah6232
    @hamisaabdalah6232 5 месяцев назад +11

    Bi mwanahawa nakupenda saaaaana maisha uliyonayo ni mazuri tu wengine hawana... Mungu akupe uhai

  • @AminaMwanaid
    @AminaMwanaid 3 месяца назад

    Nampenda sana huyu bibi kwa nyimbo zake tu ❤❤❤

  • @oliverwhite1676
    @oliverwhite1676 5 месяцев назад

    ❤Ongera Sana mwandishi kuyajua baazi ya huyu mwanamziki mkongwe wa taarabu

  • @ataamansi8941
    @ataamansi8941 5 месяцев назад +7

    Hawa wana familia ya huyu bibi,wasakwe wacharazwe bakora, inawezekanaje hata wasiwe wanachanga vijisenti bimkubwa wao apate mlo kamili kila siku, huu ni muda wake kupumzika lakini afanye mazoezi mepesi, pia wamnulie sofa moja awe ajipumzishe baada ya mlo,au bembea awe anapunga upepo huku anabembea na 🧃 taraaatibu, kwa umri wa bimkubwa 🏡 ikijengwa hao wanae watakuja kugombea bure waumizane, maana nimeona comment inayotaka ajengewe🏡 muhimu kwa sasa ni afya yake tu,awe anapata mlo kamili 💯🐄🐓🍉🍓🥭🍍🍌🥝🍈🍋🌶️🧅🥬🥒🫑🥑🥛🥜🌽🍠🥯🥚🥥🍇

  • @Annitahneez
    @Annitahneez 5 месяцев назад +4

    Zoa zoa mwanamke hulka umaskini wangu ❤❤

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar 5 месяцев назад +3

    Mashaallah' bi mwana hawa ❤❤❤❤

  • @user-wv2bq8lf8c
    @user-wv2bq8lf8c 5 месяцев назад +5

    Napenda nyimbo zake huyu bibi

  • @faridapandu7579
    @faridapandu7579 5 месяцев назад +2

    ❤❤❤ nampenda huyu bimwana sauti yake nzuri🎉🎉🎉

  • @siryklyubov7989
    @siryklyubov7989 5 месяцев назад +2

    bado sauti yake nzuri sana. kweli ana kipaji sana ingawa ni mtu mzima lakini sauti ni ile ile.

  • @halima23862
    @halima23862 5 месяцев назад +3

    Mungu atakusaidia inasikitisha sanaaaaa , inatia huruma

  • @biwalindi
    @biwalindi 5 месяцев назад +12

    Si wangemtengenezea youtube channel yake angeimba hata hapo living room na viewers wengi anagepata asingekua na shida za kwenda mastejini na mahumivu.

  • @zingatiavigezo2206
    @zingatiavigezo2206 5 месяцев назад +4

    Mungu akufanyieni wepesi

  • @HamisiAbdallah-vu7fz
    @HamisiAbdallah-vu7fz 5 месяцев назад +1

    bi mwanahawa kuzaa si kupata nakuombea Kwa mungu akupe nafuu

  • @saidabdillahi8107
    @saidabdillahi8107 5 месяцев назад +2

    Smz wanastahili kukujengea nyumba umewatumikia sana tokea enzi za nyimbo za maisha ya vijijini si wakukaa katika nyumba hiyo walitakiwa nyumba waivunje hiyo waijenge upya kiwanja hicho hicho

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 5 месяцев назад +2

    dah mama samia ushasaidia wengi hebu msadie huyu mama akae amuombe mungu asubili kifo chake kwa utulivu

  • @HassaniMzee
    @HassaniMzee 5 месяцев назад +1

    Mwanahawa Mimi humuita dada napenda mno nyimbo zake

  • @faridapandu7579
    @faridapandu7579 5 месяцев назад +2

    Muinuweni huyu Bibi kaimba njimbo nzuri mm nipalilieni chuki naipenda❤❤

  • @rehemamahmud855
    @rehemamahmud855 5 месяцев назад +3

    mumlipe huyu mama jamani mlioweka nyimbo zake youtube kabla sijjawareport

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 5 месяцев назад +4

    Huyu mama walikuwa wanamtumia bure hakuna alichokuwa wanampa.Na ndio maana hata sehem anayoishi imechoka.

  • @liylahahmed829
    @liylahahmed829 5 месяцев назад +7

    Sio uyo tu wasanii wengi wa Taarabu Asilia halizao ni duniii

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 5 месяцев назад

      Kweli zamani ilikuwa hivyo. Watu wamekinai na maisha, basi wanataka furaha za moyo tuu.

  • @FatmaSaid-j9o
    @FatmaSaid-j9o 5 месяцев назад +4

    Watoto wako wapi jamani am feeling so sorry for her but really really love her

    • @KK-ygh
      @KK-ygh 5 месяцев назад

      Anaishi vizuri tu... sioni ubaya na anakoishi.🎉

  • @ShariahajiOmar
    @ShariahajiOmar 5 месяцев назад

    Naipenda nyimbo ya naililia bahati masikini sikupewa lai ingelidhibiti nami nikajaaliwa.

  • @HabibaHassan-t2u
    @HabibaHassan-t2u 4 месяца назад

    Allah atakufanyia wepesi mummy insha'Allah

  • @kindysuleiman5935
    @kindysuleiman5935 5 месяцев назад +1

    Mao gezi mazuri mimi nampenda sana huyu bibi nimefarijika kumuona

  • @HawaJuma-mz3zf
    @HawaJuma-mz3zf 5 месяцев назад

    Bora wajina wngu yko kwake kastirika🎉

  • @IslamPeto-fd6wr
    @IslamPeto-fd6wr 5 месяцев назад

    Saleh ufanye jitihada umkutanishe Bi mwanahwa na mama Samia ahadi iyoo,, tu nasubiri iyo interview ln Shaa llah

  • @salummaulid4860
    @salummaulid4860 5 месяцев назад +1

    Tatizo haki za wasanii hazijazingatiwa na sheria zetu hazimlindi msanii.angalia naigeria, angalia marekani.wasanii wapo juu lakini Tanzania 😢😢😢

  • @fatmahamdoun74
    @fatmahamdoun74 5 месяцев назад +3

    Maisha ya wasanii wa nyumbani wengi hawaishi maisha wanayostahili inasikitisha

  • @WonderfulSoccerGoal-gf2iy
    @WonderfulSoccerGoal-gf2iy 2 месяца назад

    Kazeeka sasa

  • @MultiBice
    @MultiBice 5 месяцев назад +1

    Utaenda kumjibu nini allah bado unajisifu uliwatumikia sana tubu mama huenda mungu akakuruzuku pepo pasina ya wewe kutarajia

    • @AmayaSalum
      @AmayaSalum 11 дней назад

      Sawa malaika Gabriel mtoa hukumu

  • @rehemamahmud855
    @rehemamahmud855 5 месяцев назад +2

    wale wote walioweka nyimbo zake youtube please nimlipe kabla sijawareport