ANAPOISHI BI MWENDA/WALINIPIGA KARIAKOO/WANANIZOMEA WACHAWI WAMENIUMIZA MIGUU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2024
  • Usisahau ku"SUBSCRIBE" RUclips channel yetu kwa videos nyinginezo
    #zamaraditv #mambonimengi
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 177

  • @AminaOthman-b4f
    @AminaOthman-b4f Месяц назад +20

    Nyumba nzuri.mashallah...hongera bi mwenda, Allah atazidi kukubarik Inshallah.

  • @mohamedmwinjuma
    @mohamedmwinjuma Месяц назад +20

    Bibi mwenda kajitahidi sana nyumba nzuri sana hongera bibi mwenda

    • @tanzcanmediatv4473
      @tanzcanmediatv4473 Месяц назад +2

      Nimefurahi sana .maana naumiaga wanavyoaga dunia hawana kitu wakati wamefanya makubwa .wanazurumiwa sana

  • @Nuru9568
    @Nuru9568 Месяц назад +11

    Mashallah Zuu collection inaonekana anampenda sana Bi Mwenda❤

  • @SuleimanKhdija
    @SuleimanKhdija Месяц назад +20

    Bi mwenda yupo vizuri ❤❤❤❤salehe kafika😂😂😂😂😂

    • @eggysulle7988
      @eggysulle7988 Месяц назад

      Watt wangap na wajukuu wangap,,,umekuja kwenye sensa😂😂😂

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz День назад

    Mashaaalah b mwenda amvalishe mke sketi ya shule,

  • @patchomwamba9529
    @patchomwamba9529 Месяц назад +11

    Mweeee bi mwenda kanikumbusha bibi yangu alikua mcheshi Kama wewe pumzika amani bibi yangu 😭😭😭😭

  • @TumsifuMbamba
    @TumsifuMbamba Месяц назад +5

    Inapendeza big up dada kumletea zawadi bi mwenda, ila sarehe kaja mikono mitupu

  • @user-pd2fk6kt5i
    @user-pd2fk6kt5i Месяц назад +17

    Saheleh siku moja wende na kwa Hamisa mobeto

  • @user-dn7gn6ib4k
    @user-dn7gn6ib4k Месяц назад +12

    I like this mummy may Allah protect her more ❤❤❤❤

  • @hopegwimile53
    @hopegwimile53 8 дней назад +1

    Mkiwatembelea wasanii kama Bi Mwenda na wengine mpeleke fedha taslim kama mnavyopeleka kwa wazazi wenu.
    OLD IS GOLD.TUNU HAWA MFANO WA KUIGA.

  • @panadomadola3064
    @panadomadola3064 Месяц назад +1

    Ongera sana bi Mwenda, ulikuwa ukinifurahisha pale unapo igiza kama mchawi, mpaka baadhi ya watu walidhani wewe ni mchawi, wakati wewe siyo mchawi, bali ni fani tu. Ujaliwe maisha marefu

  • @minnahhers7437
    @minnahhers7437 Месяц назад +4

    Ma shaa Allaah nilikuwa napenda kumfatilia wakati wa Kaole

  • @nancywanjiku1554
    @nancywanjiku1554 Месяц назад +1

    Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪 bi si kitu..🫂 🫂

  • @agripinagaudence7744
    @agripinagaudence7744 Месяц назад

    Sasa huu ndiyo uhalisia wa maisha ya wasanii wa bongo movie....japo bongo movie wengi wanafake sana....big up bi mwenda

  • @chikujuma18
    @chikujuma18 Месяц назад +1

    ❤❤❤😂😂 Nampenda bibi anajua kuigiza sanaaaaa

  • @anathjuma6813
    @anathjuma6813 Месяц назад +11

    Kuwa na kwako Raha jamaniii

  • @maria_mutondioriginal5
    @maria_mutondioriginal5 Месяц назад +15

    Mungu ni mwema atimae bibi mwenda ametoka kwenye kibanda cha mabati na matope pale airport njiapanda 😢 Mungu akutunze.

    • @sir_ENOCKMACHA
      @sir_ENOCKMACHA Месяц назад +1

      Kwan alikuwa anakaa kwenye kibanda au

    • @MaryNdondole
      @MaryNdondole Месяц назад +1

      Alikuwq anauza mafuta ya taa

  • @DavidDavidmaleko
    @DavidDavidmaleko Месяц назад +3

    Namkubali sana bb mwendaa ❤❤

  • @junioremmanuel1695
    @junioremmanuel1695 Месяц назад +5

    Mwenyez Mungu akuweke bib mwenda

  • @maureenmgeni
    @maureenmgeni Месяц назад +1

    Hongera sana Bi Mwenda.

  • @user-un9eh6xn6c
    @user-un9eh6xn6c Месяц назад

    Nakupenda bi mwenda mungu hakutunze❤❤❤😂🎉😅

  • @KenechiUdeh-zd3tu
    @KenechiUdeh-zd3tu Месяц назад +3

    My wifi penda Sana wewe kipenzi changu maisha marefu mpenzi bi kwenda Fatuma Makongoro

  • @zainab8251
    @zainab8251 Месяц назад +2

    Salehe leo cha pilau hongera sana mama uko vizuri

  • @btylove1870
    @btylove1870 Месяц назад +27

    Mtangazaji jifunze kuwapa pole unaowahoji wanapo kwambia wamefiwa na familia zao

  • @aminamwivita7690
    @aminamwivita7690 5 дней назад

    Mashaallah bibi

  • @mamodelmam
    @mamodelmam Месяц назад +5

    Saleh em jifunze kusema pole na wewe khaaaaa!

    • @eggysulle7988
      @eggysulle7988 Месяц назад

      Upo saii kabisa mtu kafiwa na mume n wtt anasema ok af anadakia swal lengne

  • @ZenaChuo
    @ZenaChuo Месяц назад +1

    Zuu nakupenda cc

  • @hamidambonea1826
    @hamidambonea1826 Месяц назад +12

    Salehe leo umepata kiboko yakooooooo❤😂😂😂😂

  • @patelokoh5828
    @patelokoh5828 Месяц назад +2

    Always old is gold.

  • @Zainab_salat
    @Zainab_salat Месяц назад +3

    Salehe umepatikana😂😂😂😂😂 bibi anamajibu😂😂😂😂

  • @UmayyaNkya-ze3ri
    @UmayyaNkya-ze3ri Месяц назад +1

    MashaaAllah bibi Allah azid kumuweka

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n 9 дней назад

    Mashalah ❤❤❤❤ bi mwenda

  • @SabraKisanya
    @SabraKisanya Месяц назад +2

    Nimependa anaonekan c mchoyoo na zuu ni rafiki yak mwaya ongera saan tunamic kua na bibi na cc😢

  • @esthermichael3221
    @esthermichael3221 Месяц назад +15

    Kweli mafanikio hayana umri usikate tamaa katika kupambania ndoto zako
    Mchawi afya njema ya akili na mwili na kumtanguliza Mungu kwa kila jambo

  • @TheresiaAndrea-hv9dg
    @TheresiaAndrea-hv9dg Месяц назад +3

    Eti zinaingia na kutoka❤❤❤

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 Месяц назад +5

    Pamoja na kuhesabu kwa vidole umekosa ni miaka nane

  • @MegaNasri-bv7tc
    @MegaNasri-bv7tc 2 дня назад

    Mcheshi adi raha 😅😅😅😅 ishi maisha marefu bibi

  • @p.kasongot979
    @p.kasongot979 Месяц назад

    Nampenda sana uyu bibi jamani 😍😍😍😍😍😍😍😍😍

  • @Hapygideon
    @Hapygideon Месяц назад

    Salehe, salehe,salehe siku watakupa chakula uharisheeeeeeee😅😅😅😅😅shauri yako

  • @HijaSalimu
    @HijaSalimu 2 дня назад

    Bi Mwenda karibu Kilimanjaro

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 Месяц назад +12

    Nampenda sana bi mwenda❤🎉

  • @rukiyamohammed2945
    @rukiyamohammed2945 Месяц назад

    Nimekuniss sana bi mwenda kwenye game

  • @khadijahhussan182
    @khadijahhussan182 Месяц назад +7

    UKipewa taarifa ya msiba Sema pole sio eeh

  • @hamischilinga6706
    @hamischilinga6706 День назад

    Bi mwenda kaweka Tango katika friji kwa kujisevia

  • @LeylaHamisi-qh3kb
    @LeylaHamisi-qh3kb Месяц назад +4

    Salehe dusa dusa😂😂

  • @bintmrisho3526
    @bintmrisho3526 Месяц назад

    Kivule frem kumi napapenda sana

  • @MerinaChrispini-vy9wc
    @MerinaChrispini-vy9wc Месяц назад +3

    Bibi Yuko vzr

  • @sabinaleonce8243
    @sabinaleonce8243 Месяц назад

    Hongera sana dada

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n 9 дней назад

    Hujafa hujaumbika umenikumbusha mbali bi mwenda
    Mashaka kumbe kafa😢
    Jaman na kisa alkua mzuri eiwaa lkn Mlemavu😢sana ilitrend itv long time ulvosema nikawakumbuka

  • @nicholauspeter9454
    @nicholauspeter9454 Месяц назад +2

    amejitahid sana mama

  • @aishandayishimiye5127
    @aishandayishimiye5127 Месяц назад +1

    Mashaallah ❤❤❤

  • @hanifaa1487
    @hanifaa1487 Месяц назад +1

    Mashallah mashallah

  • @sifandayisaba9360
    @sifandayisaba9360 Месяц назад

    Bi mwenda mkwe wangu iyo mimba ya mbumba bado tu haija zaliwa tu??😂😂😂

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 Месяц назад +3

    Mtangazaji wacha kusema Ehhh . Sema . Mashallah

  • @user-qs7lj7kj1k
    @user-qs7lj7kj1k Месяц назад

    Saleh tunaomba joti😂😂

  • @user-ll7np8td7x
    @user-ll7np8td7x Месяц назад +1

    Wote Tunawependa kaka sarehe na bibi mwenda na wote apo

  • @malila4582
    @malila4582 Месяц назад

    Salehe napenda sana kz zako ww kijana

  • @user-hn8un5fz2n
    @user-hn8un5fz2n Месяц назад

    Mashaallah ❤

  • @LisarahMsangi
    @LisarahMsangi Месяц назад

    😂😂😂 unekuja kwenye sensa

  • @user-ho1fl1eg8n
    @user-ho1fl1eg8n Месяц назад +4

    Sale kwa kula😅😅😅😅

  • @FaudhiaMchunga
    @FaudhiaMchunga Месяц назад +1

    Waah

  • @solomondanny-1507
    @solomondanny-1507 Месяц назад

    Eti gari imeenda barabarani 😂😂

  • @ywydhhd7941
    @ywydhhd7941 Месяц назад

    ❤❤❤🎉🎉huyu zuu ndio Naira au amefanana tu

    • @user-jh9si3dx7i
      @user-jh9si3dx7i Месяц назад

      amn mumy zuu mwngn zayliss mwngine

    • @ywydhhd7941
      @ywydhhd7941 Месяц назад

      @@user-jh9si3dx7i ok umefanana kidgo

  • @latifahkarim9774
    @latifahkarim9774 Месяц назад +6

    Umekuja kwenye sensa

  • @khamisimtame7848
    @khamisimtame7848 Месяц назад +2

  • @hopemremy1160
    @hopemremy1160 Месяц назад +1

    ❤❤❤

  • @sarahhassan1323
    @sarahhassan1323 5 дней назад

    Huyu mama mstaatabu saba zaman kbsa alikuaga anatembeza sabun alikua akikukuta bar atakubembeleza mpka utanunua

  • @ayubuzayumba
    @ayubuzayumba Месяц назад +1

    Kauzuuuu bibi

  • @kennedymuro1008
    @kennedymuro1008 Месяц назад +1

    Macho ya bi mwenda bhana...akikuangaliaa kwa mara ya kwanza lazima uogope

  • @festusabramary-bz4ef
    @festusabramary-bz4ef Месяц назад

    ujui kufanya interview mzee

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 Месяц назад +1

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @carolineoyugi7771
    @carolineoyugi7771 Месяц назад +4

    Salehe acha usenge mtu anakwmabia kapoteza mtoto na mume hata pole hakuna 😏😏😏

    • @MacrinaLameck-yv2mu
      @MacrinaLameck-yv2mu Месяц назад

      Yaani kanikela kazi kuchekacheka tuu kama baamed kaachiwa chenji...

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Месяц назад

    Bibi 🎉

  • @Truheta
    @Truheta Месяц назад

    Wap camera man😂😂😂

  • @hamisimanda1310
    @hamisimanda1310 Месяц назад

    Salehee unapenda kula 😅

  • @franknzowa22
    @franknzowa22 Месяц назад +8

    Mbona humpi hata pole mzee,..mwenzio anakushirikisha watu wake walioenda mbele za haki...unaitikia tu kama unapewa taarifa ya kawaida kaka daaah. Ulipaswa utamke neno.

  • @FaudhiaMchunga
    @FaudhiaMchunga Месяц назад +1

    Ewa

  • @user-sb3bp9yz5v
    @user-sb3bp9yz5v Месяц назад +1

    Muonekano wke kama ana chembe cha uchawi au mwanga

  • @evanceeva6599
    @evanceeva6599 Месяц назад

    Kaka Salehe naomba no ya Zuu jamany

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n 9 дней назад

    Bi.mwenda sio mchoyo

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 Месяц назад

    Salehe hajui kukataa 😂😂😂uwe unakataaga bas wenzio bajeti salehe kwangu ukija huli nakwambia

  • @user-tw7qm5mw4b
    @user-tw7qm5mw4b Месяц назад

    😍

  • @mohamedmwinjuma
    @mohamedmwinjuma Месяц назад +2

    Salehe kwakupenda kula kula nimemvulia kofia

  • @shantellemwanakombo3703
    @shantellemwanakombo3703 Месяц назад +1

    Ila salehe huyu kwan anaendaga kuhoji au kula duh😮

    • @hamidawamba
      @hamidawamba 10 дней назад

      Acha kuonyesha tabia yako hapa ni aibu ko asile ?

  • @mawlodafarida
    @mawlodafarida Месяц назад +1

    ❤❤
    😂😂😂😂😂

  • @adammveyange9638
    @adammveyange9638 Месяц назад +2

    Magugufuli hakwepek kidogo amtajee.

  • @RonnieBertin
    @RonnieBertin 19 дней назад

    Huyu salehe ni msenge

  • @sabinaleonce8243
    @sabinaleonce8243 Месяц назад

    Bi SI kitu jamani

  • @user-do1ug7de3g
    @user-do1ug7de3g Месяц назад

    Nilisikia hana nyumba kweli lakuambiwa ulilivalie kijora bali nguo nyingine

  • @RehemaMasunga-ml7kt
    @RehemaMasunga-ml7kt Месяц назад

    Cameraman amekula kweli

  • @RachelEmid-jq6eo
    @RachelEmid-jq6eo Месяц назад +3

    Jmn huyo mtoto mbna kamwangalia Bibi yake hvyo sjui ndo anabinua mdomo au anamng'ong'a😢

    • @Mina.15
      @Mina.15 Месяц назад

      😂😂😂😂😂

    • @HawaAkida
      @HawaAkida Месяц назад +1

      Ata mm Nmeona kamuangalia saleh alimshika kichwa

    • @rosenaheka5137
      @rosenaheka5137 Месяц назад

      Anakiburi sana

    • @rosemaryrwabibi5908
      @rosemaryrwabibi5908 Месяц назад

      Umeshaaambiwa mwanajeshi 😂😂😂

    • @eggysulle7988
      @eggysulle7988 Месяц назад

      ​@@rosemaryrwabibi5908af askiii😂😂😂

  • @frankngonyani2540
    @frankngonyani2540 Месяц назад

    Saleh kama vp kamcheki na young d

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Месяц назад

    Tangu.. Kaolew 😢😢mama ake kanumba

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 Месяц назад

    Saleh mwambie bi mwenda aende kwa wachina wa ETERNAL,,watamsaidia hiyo miguu!!Nina ushuhuda!

  • @RonnieBertin
    @RonnieBertin 19 дней назад

    Vidumu vya pembeni😂😂😂😂😅

  • @jacklinechuga2569
    @jacklinechuga2569 Месяц назад +2

    Ameeza shule 65 mama angu kazaliwa 68 Alf mama ana ata mjukuu mmoja 😅😅kheee

    • @eggysulle7988
      @eggysulle7988 Месяц назад +1

      Mmechelewa kumpatia labda ama yy kachelewa wapata ninyi kina Jack

  • @user-dn7gn6ib4k
    @user-dn7gn6ib4k Месяц назад

    Bibi tumaia black seeded its good

    • @shakilamasoud2983
      @shakilamasoud2983 Месяц назад

      Hee ngoja nijiokotee matibabu ya Mama yangu hapa. Black seed anajipaka kwenye maimivu au anakunywa kidogo kidogo

  • @khadijahhussan182
    @khadijahhussan182 Месяц назад

    Kwaiyo camera man ye Hali salehe unakula ww tu

  • @user-cx7rh6jt6y
    @user-cx7rh6jt6y 28 дней назад

    Bi Mwenda punguza uzito ndo maana miguu inauma

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 Месяц назад +6

    Huyu Salehe kila nyumba anaingia lazina ale