MREMBO WA OMAN YAMKUTA MAZITO, AFICHUA UCHAFU WA MPENZI WAKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 409

  • @IvonaLeonardo
    @IvonaLeonardo Месяц назад +6

    Dada angu mm nimekupenda kwa mazungumzo mazur inshallah kheri mwenyez mungu atakuongoza utapata mwingine na uyo frenki atakukumbuka kwa mema na mazur

  • @ValentineFrisch
    @ValentineFrisch Месяц назад +4

    Hongera Sana dada umeonyesha upendo Sana lakini mungu atakusaidia ni mwanamke mpambanaji sana

  • @iamkamodo
    @iamkamodo День назад

    Mwenye upendo wa kweli hua hapati upendo wa kweli. 7b mwenye upendo wa kweli hua haoneshi 7b wengi wetu tumeumizwa tunaogopa kuumia tena. Dada mzuri lakini ameonesha hajatumia uzuri wake kumdharau dogo. Usikate tamaa love is on the way.

  • @mlyomikilonzo5897
    @mlyomikilonzo5897 3 дня назад

    Sasa kwann umnyang'anye ulitoa kwa upendo au kujionesha yani binafsi ungemuacha ukaendelea na maisha yako aaaaah hiyo sio sawa kutendwa kupo tu.....

  • @raymondrayfat3845
    @raymondrayfat3845 Месяц назад +12

    Weee mwanamke wa Frank ni mzuri saaana bwana ila basi tu tuyaache hayo dada wa Oman

    • @VeronicaDunbar
      @VeronicaDunbar Месяц назад

      On second thought, contract, si siri ni ya miaka 2.
      So, ilikuaje akaweza fumania bf wake, na contracket si ya siri?
      Kwani Uarabuni for all those 2 years, boss hawaruhusu wafanyakazi/shagalas, kupiga simu nyumbani
      Mmmh, I'm starting to believe hii ni acting.

  • @user-qf8zn6ui8q
    @user-qf8zn6ui8q Месяц назад +17

    Jamani acheni maigizo nyie aliyetoka Oman atakua huyo nyie VP mtu hana hata kielelezo chochote hana passport yani lazima angekua na hvo vitu mikononi mwake halaf kitu kingine atoke oman na kibeg kile kimoja tena chepesi hakina hata kitu muongo kama nn

    • @bernadetaleopord51
      @bernadetaleopord51 Месяц назад +4

      Mimi mwenyewe nimeshangaa kibegi kimoja tena chepesi na unasema umerudi jumla jumla mkataba umeisha 😢😊

    • @BennyTalimo
      @BennyTalimo Месяц назад +1

      Wewe dada nakupa pole umetapeliwa ila Mimi nipo tayari kama utaniitaji najua utaona utani ila Mimi ni mwaminifu dada

    • @BennyTalimo
      @BennyTalimo Месяц назад

      Bahati hii jamani

    • @BennyTalimo
      @BennyTalimo Месяц назад +1

      Nope namba yako tuwe marafiki kama hutajali

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 Месяц назад +2

      Nilivyoona ile clip ya kwanza tu nilijua ni muongo na wala cjaimalizia ht hizo nyingine huwa nazipita km nimeona mgonjwa wa corona 😂naona ni ujinga tu kupoteza muda kuangalia upuuz wake

  • @joycerwabanu5961
    @joycerwabanu5961 Месяц назад +20

    Wee acha njaa utoke omani na bag nyepesi bila mkoba acha uongo bhana!

    • @user-sn2ef2qt8r
      @user-sn2ef2qt8r Месяц назад +1

      Namimi nilisema kabegi kenywe kadogo Nani sizani kama KUlikua na kitu ata pochi ya bei Ata ya rial 5 alikua Ana 😅😅😅😅kwa nnavyojua wadada tunatoka Oman tunarudi tz na mabegi ya maana 😂😂

    • @MaArrr-mh2so
      @MaArrr-mh2so Месяц назад

      😂😂😂😂😂​@@user-sn2ef2qt8r

    • @sarahrashidabdallah3109
      @sarahrashidabdallah3109 Месяц назад

      ​@@user-sn2ef2qt8rumeona eee 😅😅

    • @bensonnyirenda
      @bensonnyirenda Месяц назад

      Dada anatafuta kiki 😂😂😂😂😂

    • @user-jt7pp4fg7r
      @user-jt7pp4fg7r Месяц назад

      Sio wote wanarudi na mabegi wengine wanaachana nguo zao km wana mpango wa kurudi​@@user-sn2ef2qt8r

  • @mlyomikilonzo5897
    @mlyomikilonzo5897 3 дня назад

    Wadada wa siku hizi wao wanapenda wanaume wengiiiii ili yy awamiliki wao

  • @Furahazawadi-ym4be
    @Furahazawadi-ym4be Месяц назад

    Good achamume akuowe mariyako naye musaidiyane wemuke usihonge❤😂

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Месяц назад +3

    Eti frank mwanaume mpole, msitaarabu😂😂😂😂. Nimelia sana hadi machozi ya damu. Kwa hiyo ukajikuta umepata mwanaume wako peke yako pyee😂

  • @gfyt9036
    @gfyt9036 Месяц назад +2

    Mwana mke Akipenda mtu wake uwa sio et ana muhonga niuoendo tu ule nasio kua ana jipendekez alimpenda uyo kaka kwan ww mwana mume ukimpenda mwanamke uwa wamuonga am wampa kwa mapenzi yako

  • @hassanissa6893
    @hassanissa6893 Месяц назад +1

    Pole dada duuu kaziipo❤❤

  • @faustablastus
    @faustablastus 6 дней назад

    Mmmh million mia af mbili mwishon

  • @MagrethDally
    @MagrethDally Месяц назад +1

    dada pole na upo sahii sana kuchukua vtu vyako

  • @user-pu1vq9hm7m
    @user-pu1vq9hm7m День назад

    Nikweli dada,huongi wanawake mkipenda uwa hamjali hana kitu ama anacho,lakini freak mpumbavu,ametuangusha wanaume,lakini usirudi nyuma,mwanamke kuudumia mwanaume sio kwamba anakasoro,lakini kitu naamini mwanamke akipenda,uwa nimwepesi wakutoa,pole dada kuvunjika kwa mwiko sio mwisho,wasafari,wanawake wabovu pia wako,wanaume wabovu pia wapo,

  • @ClaudiaClemence-h3h
    @ClaudiaClemence-h3h 8 дней назад

    Alafu acha katabia cha kujisifu sijui me mzur haingii ndani,,sasa kama hakufikii mbona alimchukua huyo,,kila mtu ni unic ww una uzur wako wakipekee na yule dada naye ana uzur wake wa kipekee,,,ww msamehe maisha yaendelee sasa ww miaka miwili kuweza akae tuuuu,,sasa ulitaka awe hanisi

  • @EsauSospita
    @EsauSospita Месяц назад +2

    Pole sana dada wanaume ndivyo walivyo

    • @sanaf8367
      @sanaf8367 Месяц назад

      Stories za kupanga tu hizi

  • @user-qk4de2go9n
    @user-qk4de2go9n Месяц назад

    Pole dada yetu mungu atakupa mwingine mzur

  • @BinthaSultan
    @BinthaSultan 28 дней назад

    Huyu mwanamuke kwanza nimemupenda ilo kwanza anajielewa kwasababu alikuwa anatengeze maisha ya badae ni ile tu amekutana na mutu asiyokuwa sasa ila mwanamuke mwenye malengo yuko hivo na mutu anayohonga ni muze ila huyo ziyo muze nimuzuri anafwata anaweza kupendwa na mwanaume yohote tena wazaidi ya franck namuombea Mungu Ampe mutu sahihi

  • @nurumwinyi796
    @nurumwinyi796 Месяц назад +2

    We dda acha maringo,subiri usifiwe.....mbona wazri wapo wengi zaidi yako na wameyamaza tu nakuangalia

  • @KassimMkota-to5ck
    @KassimMkota-to5ck Месяц назад +4

    Million 200 una TV ndani mnahojiana ujinga oman wadada wakazi riale 900 kwa mwezi

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 Месяц назад +4

    Kwani huyu mdada pesa zote anampa Frenk. Kwani hana wazazi wanao hitaji msada wake…?

    • @MariamOmary-ep6iv
      @MariamOmary-ep6iv Месяц назад

      Waongo Hawa we jifikilie huyo frenk ni mjinga kiasi gani akaish na mwanamke kwa hiyo nyumba alio pangiwa kwann asiame😂

    • @umfahad2609
      @umfahad2609 24 дня назад

      @@MariamOmary-ep6iv eti eeeh…? Kumbe hawa hua wanatupiga na kitu kizito tu ndugu yng.

    • @umfahad2609
      @umfahad2609 24 дня назад

      @@MariamOmary-ep6iv Unajua mimi mwenyewe ni nusu muomani nusu mtanzania. Naishi Oman. Nikitaka mdada wa kazi natafuta mtanzania mwenzangu. Ili atoboe na yeye. Kuliko kuleta wa inchi nyingine. Hua nawapa mawazo. Wajichange wajenge. Na wasichezee pesa zao vibaya. Kwa hivyo niliskitika kuckia kampangia mwanaume. Na yeye hajajijenga kimaisha.

  • @CastorGwamaka
    @CastorGwamaka Месяц назад +2

    Kiki hapo hamna kitu labda uolewe na mbwa 200,m kwa kipi ulicho nacho utazeeka hvyo hvyo au ulikuwa unajiuza huko..!!

  • @NduwimanaHassan-k4c
    @NduwimanaHassan-k4c 13 дней назад

    Nakubali dada hujakoseya kimapenzi hayo kawaida wewe nimjengaji kapambana ikosiku utampata wakukufaa

  • @user-tb5bt8lq8j
    @user-tb5bt8lq8j Месяц назад +1

    Dada muongo hyu anasema alinunua bajaji akanunua pikipiki akafungua duka akahonga milion 10 kakaa Oman miaka 2 kwa mshahara haga shagala hyu muongo sana labda alikuwa anauza gari la katikati ya mapaja😂😂😂

    • @MonnaPonda
      @MonnaPonda Месяц назад

      Unasema kweli nimuongo sana huyo kwa kazi gani atumie million 1kwa cku mshamba tu

    • @khadeegaabdallah5756
      @khadeegaabdallah5756 26 дней назад

      Ajielew vzr kwahiyo ilo baibui la million Khaa alafu oman gani alikuwa akifanya kaz mmmh

  • @Official83640
    @Official83640 Месяц назад +3

    We msenge tumekuchoka kila media kusambaza ujinga usioufanya tu juzi tu km miezi mitatu umehojiwa Carrymastory Oman unasema umekaa miaka 2 ndy urudi ht pasport huna mkononi wala pochi nyau ww punguza kiki boya wee

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 Месяц назад +1

      Linataka umaarufu 😂

    • @user-sn2ef2qt8r
      @user-sn2ef2qt8r Месяц назад +1

      😅😅😅😅😅😅

    • @Official83640
      @Official83640 Месяц назад

      @@ruqaiamohammed345 Mi nataka nikalichambe kwenye Insta yake ila sijaijua tu anatumia jina gani

    • @janethmutoka
      @janethmutoka Месяц назад +1

      Bora ww umesema mana mwenyewe nlikua bado nashangaaa hiyo miaka miwili Oman vipi tena😂😂😂

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 Месяц назад +1

      Katukera san wapambanaji wezie ubwaa hii

  • @fatimahirakoze7311
    @fatimahirakoze7311 Месяц назад

    Nanyie wadada mnao fanya kazi warabuni mkome n'a wawakomeshe haswa

  • @Furahazawadi-ym4be
    @Furahazawadi-ym4be Месяц назад +1

    Musihongewaume❤😂

  • @QueencathKivuyo
    @QueencathKivuyo 29 дней назад

    Million 200!😮😮............

  • @user-zi1gp6dc2q
    @user-zi1gp6dc2q Месяц назад

    We nar muandishi mnafiki kwan kumhonga kitu gn watu walikuwa namipango yakuoana kwanini asimuhonge kwan kuhongwa kuna mipaka . Achen ufara hao walikuwa wanamakengo yakuishi na alikua ahongi alikuwa anampa ili frenk aandae maisha yao yabadae

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Месяц назад +2

    😂😂😂😂😂 had nataman nitume voice mjinga san w

  • @user-qi4in8yx4w
    @user-qi4in8yx4w 17 дней назад

    Nipo hapa😅😅😅😅😅

  • @HalimaIbrahim-x8x
    @HalimaIbrahim-x8x 12 дней назад

    Iyo ndo tabiya ya wanaume tz kenya atuna izo unapigwa na juwa

  • @user-pu1vq9hm7m
    @user-pu1vq9hm7m День назад

    Usimchukie kiredio dada,alitaka ujionee hakutaka kuwa mnafki

  • @martinakimaro3302
    @martinakimaro3302 22 дня назад

    Wadada wengi sana tunakoseaga sana kuwapa hawa wakaka hela

  • @rqiyaabdallah840
    @rqiyaabdallah840 Месяц назад +1

    Tahira kweli mungekua unanyota uyo mwanaume Angekupiga matukio Pamoja na kumlea muanyota Au wanaume Awa wapendi Atakama mukiwa onga wawajali wala nini ona pesa ako ulizo kua una muona kaenda kumlipia Mahari mwekine milioni 2 Nanusu Alafu bado unaji ita unanyota ukubado unamtaka Pamoja nayote Alio kufanya poleyako

  • @mosesmwaisela2455
    @mosesmwaisela2455 9 дней назад

    Unamtuhumu frenk. Je. Wewe ulikaa Miaka 2 Huna bwana uko. Haiwezekani

  • @AbrahamParasetui
    @AbrahamParasetui Месяц назад

    Pole xan dad

  • @LucieGolden
    @LucieGolden Месяц назад

    Hahaha umemuonea kiredio,yan uone za wengine za kwako aaah!😂😂

  • @MajidAlrawahi-p3k
    @MajidAlrawahi-p3k Месяц назад

    Kweli kabisaaa so kuhongaa ni mapenz yanu tu ilaa watu hawaelew

  • @user-wi1jb8mb7o
    @user-wi1jb8mb7o Месяц назад +1

    Mtihani wallah 😂😂😂

  • @bensonnyirenda
    @bensonnyirenda Месяц назад

    Muongo huyu Dada anajikanyaga sana unapuma pesa kwamtu ambayo hujuwi😂😂😂😂😂

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Месяц назад +16

    Wametunga story hakuna uhalisia kabisa kama igizo la yule bibi

    • @MwanajumaShaban-z2x
      @MwanajumaShaban-z2x Месяц назад

      @@judithtitomalyeta4000 kweli

    • @janethmutoka
      @janethmutoka Месяц назад

      Kabisa huyu dada miez michachache kadhaaa hapa nyuma alitrend sijui kwenye media gan lkn ss hv anatuambia kakaaa Oman two years😂😂😂foolish

    • @MwanajumaShaban-z2x
      @MwanajumaShaban-z2x Месяц назад

      @@janethmutoka 3 years na kibegi kidogo😅😅

    • @khadijaomar7015
      @khadijaomar7015 Месяц назад

      Huyu kiredio siku pesa zikimtembelea nazan iyo surual hatofunga na kamba za viatu ayo masweta pia ataacha kuvaaa 😂😂 kiredio km nakuona ukianza kung,aa tu madem watapanga folen

    • @VeronicaDunbar
      @VeronicaDunbar Месяц назад

      Haya ni mambo hutokea. Sijui km ni igizo.
      Lakini, ina dipict mambo yake hutokea in real life.
      Na km ni acting, believe me, basi ni actress MZURI SANA. Na, angekua ashatambulika km ni acting.
      In short, naona ni real. But it's good umetupatia benefit of doubt.

  • @user-zz7jr7yj9m
    @user-zz7jr7yj9m Месяц назад +2

    Katokaaa Oman na kucha kabandikaa 😂😂😂

  • @lucasmlowezi9214
    @lucasmlowezi9214 Месяц назад

    Acha kujichanganya, umesema, uongi unatoa. Saizi unasema ulimuonga million 10. Acha mbwembwe

  • @Furahazawadi-ym4be
    @Furahazawadi-ym4be Месяц назад

    Hehehe muko nashida nahonga mume hahahaha❤😂

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 Месяц назад +2

    Sasa km mzuri. Ndio unajiuza milion mia 2.? Huyu majicfu saana. Mwenye hela hajinadi hivi.

  • @hananali978
    @hananali978 24 дня назад

    Mwanamke mwehu.. 200 million?
    Una kichaa 😂

  • @user-uv2zg4uc5o
    @user-uv2zg4uc5o Месяц назад +2

    Pole sana wanaume sio waaminifu

  • @fatimahirakoze7311
    @fatimahirakoze7311 Месяц назад

    Mwanamke mzuri ahongagi ulihonga kwa sababu hukua unajiamini sokweli n'a mie mzee ninawajukuu siwezi kuhonga

  • @joycerwabanu5961
    @joycerwabanu5961 Месяц назад +4

    Maigizo

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 Месяц назад +2

    , nyie wote ni waongo Umetoka Oman baada ya miaka 3 unarudi na sanduku la hand luggage? Kwanza asafiri wa kutoka nje hawataki kwenye huo mlango uliotokea

  • @user-oj1dv7ci1v
    @user-oj1dv7ci1v Месяц назад

    Achakusema unahela zikowapi
    😢😢

  • @mkundemosha1046
    @mkundemosha1046 25 дней назад

    Huyu dada akili haijakomaa.
    Mara nin hela mara nn
    Wenye hela wanasemaga. Kamwanamme kenyewe kale kamevaa mibwag. Vivulana vya dar

  • @AbdillahiAlly
    @AbdillahiAlly 27 дней назад

    Nawy nimalaya kwamaneno yako 😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😅😅

  • @SabinaChacha-dy2yg
    @SabinaChacha-dy2yg Месяц назад

    Frenk huyo ni mdangaji aneth anakufaa ndo type Yakojitafute muanze maisha

  • @DayanaPeter-pd9yf
    @DayanaPeter-pd9yf Месяц назад

    Waweke Ndani sasa kumbe Hujakoma😂😂😂

  • @bontenirera4795
    @bontenirera4795 21 день назад

    Naamini kama haukuwa unahonga ulikuwa namipango mingi nae

  • @user-nk6zz4pe4e
    @user-nk6zz4pe4e 25 дней назад

    Ongera dada sana nimekumisi

  • @user-he2pk6io4d
    @user-he2pk6io4d Месяц назад +1

    We mzuri unaonga wanaume kuliko wewe kuongwa😂😂😂😂 eti mi mzuri

  • @user-sj3mh5yh7m
    @user-sj3mh5yh7m 17 дней назад

    Uzuri Gani,,Sifa kusifiwa c kujisifu 😮

  • @jeskaoscar9423
    @jeskaoscar9423 Месяц назад

    Hana uzuli wowote kwanza egi goooooo Hana lolote ety mahari mirioni200

  • @Furahazawadi-ym4be
    @Furahazawadi-ym4be Месяц назад

    Usipatiye mume pesa ujinga❤😂

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Месяц назад

    Yani Ile Safari Mpango Kila Kitu Feki Mpaka Watangazaji Feki Akuna Tukio Wala Bibi Kitukio

  • @mkambaselemani-ej7np
    @mkambaselemani-ej7np Месяц назад

    Mzuri ngombe kuku mzuri ukataliwe mzuri uhonge unahela house gell acha shobo

  • @bontenirera4795
    @bontenirera4795 21 день назад

    Dada jipe amani uko sahihi

  • @ZakkirNasri
    @ZakkirNasri Месяц назад

    Huyo dada sio mzuri hata kidogo hana ishu hana uzuri wowote alafu ana jichubuatu

  • @nassirimasemo123
    @nassirimasemo123 Месяц назад

    Is Eeh kupenda sio mchezo,huyo dada ameumia sana,bahati haiji mara mbili,

    • @VeronicaDunbar
      @VeronicaDunbar Месяц назад

      Haiti mara mbili vipi in this case? Kwani wale wote ndoani zao, wote walifaulu mara ya kwanza?

  • @AthumaniBakari-o6r
    @AthumaniBakari-o6r Месяц назад

    Mmmmmmh niiishie hapo

  • @AminaOmary-sm4wl
    @AminaOmary-sm4wl Месяц назад

    Na waandishi wa tz cjui hawana kaz za kufanya sio kweli huy dada hakuwepo oman aulize ss mdo tupo oman

    • @MonnaPonda
      @MonnaPonda Месяц назад

      Kabisa na mshara gani afanye vyote hivyo bajaji ahonge milioni kumi afungue duka bodaboda alipe kodi tunaijuwa hiyo

  • @rqiyaabdallah840
    @rqiyaabdallah840 Месяц назад +2

    Muongo uyo Alikua mfanya kazi wandali Ame Aibika Anajitoa Aibutuu eti akiuzamangari ndo mkataba wa miaka miwili hhhh

    • @Judy-dy4zt
      @Judy-dy4zt Месяц назад

      Kaz za ndani Oman zinalipa kuzidi alihopo ofisini Tanzania lakini hihi ni Kiki sio kwer njaa tu zinacubua

  • @GaishaFelix-fc7xl
    @GaishaFelix-fc7xl 12 дней назад

    Weee huna uzuri wa m 2.

  • @floratillya8078
    @floratillya8078 Месяц назад +1

    Sasa wewe ulimtafuta kiredio kumpotezea Muda au ungemjuaje kama angekua anasikiliza swala la kutopost hutaki kuonekana mtandaon usimtafute huyo kiredio unamuonea tu kwanza kakufanya uwe star

    • @VeronicaDunbar
      @VeronicaDunbar Месяц назад

      Kweli, mbona aliita Kiredio km alikua hataki video ionekane? Still, mbona akaleta 2nd. vidiographer ikiwa hakutaka mambo yake mtandaoni.

  • @umranim5854
    @umranim5854 Месяц назад +2

    😂😂😂 milioni mia mbili kwa uzuri gani hasa wala haujatoka Oman kiki tu 😏

  • @ZakkirNasri
    @ZakkirNasri Месяц назад

    Ana zarau sana Mungu ata mnya.nganya alicho nacho

  • @AvelinaStephano
    @AvelinaStephano Месяц назад

    Muwe mnajifunza huwezi kuonga mwanaume

  • @Aisha-ic1rl
    @Aisha-ic1rl Месяц назад

    Heee jamani kwaio miaka mimwili kapata million 100 au😢

  • @navukalunavatanzi6227
    @navukalunavatanzi6227 Месяц назад

    Hivi kama ni kweli basi wanawake wana shida sana. Yaani mwanamke unamtumia mabela mwanaume hujamwona miaka na unaamini anakungoja halo. Unaye na anachepuka ndiyo haupo halafu hata wazazi huwakumbuki mjinga sana

  • @FrankZenob
    @FrankZenob Месяц назад

    Yesu

  • @AbrahamParasetui
    @AbrahamParasetui Месяц назад

    Hahahahahahah mwenye million 200 ajitokez kumuoa Sasha jamnnnnn 15:52

  • @julianagowele9163
    @julianagowele9163 Месяц назад

    Na kiredio ajitahidi tu kuwa makini km walivyo wenzie wale wa kenya na Nigeria

  • @nancymaphie379
    @nancymaphie379 Месяц назад

    Ili ni igizo maan niwadada 3 tofauti ata ainogi acheni utoto

  • @FridanyoniFridanyoni
    @FridanyoniFridanyoni Месяц назад

    Kwani anayetoka oman lazima abebe mabegi mengi labda kasafirisha kwenye mery

  • @user-zz7jr7yj9m
    @user-zz7jr7yj9m Месяц назад +6

    Chakushangaaa mtuuu katokaaa Oman anakujaaa kupokelewaa na kiredio mojaa kwa mojaaa kwampenz hunaa wazizi wakuja kukupokea na km wazizi hawapo hunaa ndugu upande wa baba. Upande wa mama tunajuwaa kilaaaa mtuuu Anapendaaa kumpokeaa ndugu kususa tunaotokea Oman wanajuwaaa tenaaa huyuuu anamaokotoo acha uongo tafutaa njia nyingine

    • @jadetoto
      @jadetoto Месяц назад +4

      Na wewe Acha ushamba Oman ndo kwa kupokelewa na ukoo wote

    • @omaryomary-bf8of
      @omaryomary-bf8of Месяц назад

      Yaani Ach tu 😂😂​@@jadetoto

    • @Ana-di6qg
      @Ana-di6qg Месяц назад

      ​@@jadetotokuandika kwenyewe hatari na nusu eti anaondoka wazizi

    • @ShAMIMURASHIDI
      @ShAMIMURASHIDI Месяц назад

      🤣🤣🤣🤣🤣😅😂Jmn binaadam sis hatukosi mjbu​@@Ana-di6qg

    • @fatumatandika6220
      @fatumatandika6220 Месяц назад

      Mbona stori zinapishana pishana huyu aseme mmesoma wote. Huyu aseme hivi kuna uongo mwingi

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 Месяц назад +3

    Mrembo wa oman wap bhna wee 😂😂😂apunguze cream vidole ndiz za kuchoma

  • @mamasalhat
    @mamasalhat Месяц назад

    Mdada mnafki huyu wakati alijua kama analikodiwa looh 😂😂

  • @hawasaid6625
    @hawasaid6625 Месяц назад

    🤣🤣🤣🤣😂😂here I nimechonga kwa sonara 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @MajidAlrawahi-p3k
    @MajidAlrawahi-p3k Месяц назад

    Daaah dadaa sashaa emb jarb kusamhee frank anatiaaa hurumaa kamaa unampendaa msamehee tu

  • @suleymaniqram1510
    @suleymaniqram1510 13 дней назад

    Mbona nyumba uliijuwa wacha uongo

  • @ShukuruJully
    @ShukuruJully Месяц назад

    Frenk noma

  • @MeryJuliusJulius
    @MeryJuliusJulius Месяц назад

    mmmh we dad embu acha uhongo😂😂😂😂

  • @SalimaAlismaili
    @SalimaAlismaili Месяц назад +1

    muogo mm nakaa omani huqezi kuwa na pesa

    • @user-ix5uo6ks7j
      @user-ix5uo6ks7j Месяц назад

      Yaan alihonga na matumizi yote tena bado anapesa kwani alikua analipwa mshahara ngapi

  • @FurahaNishishikare-ks4zn
    @FurahaNishishikare-ks4zn Месяц назад

    Acha kujidai we mama mwenye pesa hasemi,mwe mongo ulikuwa mtumishi wandani na uyo uzuri nikawaida ni mekapu hakuna cha uzuri mi nikitizama

  • @zuwenaabdallah2059
    @zuwenaabdallah2059 14 дней назад

    Apana dada kiredio hajuwi kitu bali ni uyo bwana wako kakusaliti

  • @sholastikaHenjewele-rh4gw
    @sholastikaHenjewele-rh4gw Месяц назад +2

    Namjuha vizur huyu Dada anaitwa Sasha makoye
    Wametunga izo story sio za kweli

    • @SuleimanKhdija
      @SuleimanKhdija Месяц назад

      Wa cha wee😅😅

    • @user-lo8ef9qn2r
      @user-lo8ef9qn2r Месяц назад

      Hata Mimi nilijua ilo somo Kwa wenye Tabia ya kuudumia wanaume

  • @khadeegaabdallah5756
    @khadeegaabdallah5756 26 дней назад

    Ivi hilo alilovaa ni gaun kama la bibi yangu tena lakitenge puuuz ssna we

  • @mwasitigervas2624
    @mwasitigervas2624 Месяц назад

    Uliacha umempangia nyumba mbona Tena unaishangaa nyumba eti ya kawaida au sijakuelewa mwanzo ulimtumia pesa apange au ulituma za matumizi ,,,uumh pole dada😂. Wa kawaida ndio Yuko nae🤝

    • @jadetoto
      @jadetoto Месяц назад

      Hukuelewa yaani ndani hakuna vitu kawaida yaani hajanunua vitu

    • @mwasitigervas2624
      @mwasitigervas2624 Месяц назад

      @@jadetoto oosante

  • @umranim5854
    @umranim5854 Месяц назад

    Anauza magari 😂 muongo anajua kuongea kiarabu 😮

  • @husnasalim9614
    @husnasalim9614 Месяц назад

    Mwanamke napesa zake mjini yani uteseke gulf alafu uwonge boda boda umpangie chumba una wazazi ungempa ndugu yako iyo boda😢

  • @africanentertainment2124
    @africanentertainment2124 Месяц назад +1

    Mwambie aweke namba kaka yangu amempenda