Huyu dada ni mjinga huwezi kubali huu upuuzi kamwe kwenye hali kama hiyo mimi ingekuwa ni huyo mwanaume ungeolewa na kiredio Kuna vitu utani hauhitajiki
Ujue hawa wanaaminika watu mahusiano yao hakuna mwanaume ambaye anamwanamke mmoja iyo haipo sasa utu mwenye harusi anakuli wakati anaenda kwenye ndoa ajui kama wapo wanawake wanao tafuta ata iyo ndoa haipo
Dear Kiredio, najua una hustle, lakini.. Kuna magonjwa ya moyo mengi tu siku hizi..mtu anaweza kudondoka ghafla na kupoteza maisha kabisa kutokana na taarifa anyoipokea.. ni suala la maisha hili.. Don't say you weren't warned.👐
Jmn sjawah kukoment ila wacha nikoment challenge ya dizaini hii siikubali kabisaa kwasabqbu kila mwanaume na moyo wake ndoa zilivokuwa ngumu alafu ukaiharibu kwa upumbavu huu hpn hp kiredio hujafanya sahihi challenge km hizi usifanye
We mbwa unakula Mbs zangu sana. Notification ipo on. Asee ni bless ata Mb za buku tano. Kuna li levi limoja lina piga sana mke wake. Uje uli challenge na husiliambie kama ni challenge naamini lita acha pombe tu.
,Koredio soma huu ujumbe, Ukiwa kama mwanume tumia hakili, Mtu unajua yuko kazini, wanaume tuna hustle usiku na mchana, we unaleta ujinga, hujui mtu anaumiza hakili kiasi gani na maisha we hutaki kuwazaa hilo mzee.... unayumbaaa Sanaaaa
Huoni pia kiredio yupo kazini na pia na yeye ni mwanaume anae umiza kichwa kama kufanya hicho anachofanya 😁 tuache ushamba bhana kila mtu apambane na kazi yake 🙌 keep going bro 💪❤️
Kaka kuwa makini zaidi nakazi yakokunabaadhi ya mahusiano umeshayavuruga jaribu kufanya chalenge ambazo unaamini hazitakuwa namadhara kaka najua nikazi lakini kazi yako isiwe chazo chakusababisha machungu kwa wengine
Mke wangu popote ulipo usije ukafanya huu ujinga utamfuata kiredio nimesema 😢
😅😅😅😅
😂😂😂😂😂 nimecheka sn
😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Sijawah kuona dada mjinga Kama huyu bi harusi😂😂
Duuu kiredio mmbea sana ndomana anaiweza hii kazi
Kiredio nikikukuta njian ntakimbia mbio hizo so kwa mamb haya
😂😂😂😂
@@ngwacahnyagwaswa9979 😁😁😁😁😁😁
Aah kw kweli hii yavunja mahusiano kabisa
Hahahah waoooh mambo matamu hayaa 😅😅😅 mpenzi wanguu juu ya vipenzi vyanguu 😂😂 nmeipenda sana hii
Bebi boi wanguuu njoo uone mambo yalivyonoga🎉😂
We kiredio acha hayo mambo kabisa jamaa angu
Huo ujinga kiredio usije kufanya tena utakuja kufanya watu wakuozeshe ww
Hadi mwanza umetisha kiredio 😂😂
Kama tu mi nmeogopa, je kiredio😅
Kiredio kiredio🙌🙌🙌🙌
😂😂😂et unaeza ukaenda dukani uchi😂😂
Daa mim hapana jmn🧐🧐
Uyu uxenge
Kiredio nikikutana nae hata salamu sikupi sitak utan kabisaa na mahusiano yangu
Upumbavu kabisa upumbavu kabisa upumbavu kabisa upumbavu kabisa upumbavu kabisa upumbavu kabisa
Anakubalije challenge ya ajabu hivi ase
Kwan mna shida gan kaaah
Huyu dada ni mjinga huwezi kubali huu upuuzi kamwe kwenye hali kama hiyo mimi ingekuwa ni huyo mwanaume ungeolewa na kiredio Kuna vitu utani hauhitajiki
Akiiiiii😪😂😂😂
Huyu jamaa ni msenge
wameshaanza kwenda uchi😂
Hii ni hatari
Mwanamke mjinga ataaribu nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe,mnatafuta funbase ila make sure hamtengenezi laana kwenye maisha yenu,this is not FUNNY
Ivi kiredio anakupa shingapi isee siwezi huu upumbavu
Wangu ataniblock hatataka ujinga huu uwiiiiii
Weeee kiredio wewe acha hii ktk mambo mengi
IPO SIKU UTAMPONZA MWAIKIMBA📌
Ila kiredio 😂😂😂
Matangazo tu hayo 😂😂😂😂
Bi harusi moyo unadunda😂😂😂
Uje upo apo unakenyua Kuna mwingine hata umuoneshe hiyo video shost unaachika kuwe makini na upuuzi mwenzio anaingiza hela
Kiredio wacha huo mchezo haraka
Anderson Richard Williams Jessica Smith Eric
Wee kiredio unauwa mahusiano ya watu
😢😢😢😢
Kiredio ww utauwa
Nimecheka vibaya kitedio utauwa watu
Kiredio kiredioo😂😂🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Ila kiredioo😂
😂😂😂😂😂😂
Nimekimbia kujakuangalia
😂😂😂😂😂 nyie nyie mm sitak huu ujinga kabisa wee mwishoe niache bure
😂😂😂walivyogoma kufanya challenge nmecheka sana walah
Tuliokuja fast RUclips tujuane ila huu ujinga sifanyi haki wallah
😅😅😅😅😅😅😅bwana angu mimi angenikataa kbsaa
Ujue hawa wanaaminika watu mahusiano yao hakuna mwanaume ambaye anamwanamke mmoja iyo haipo sasa utu mwenye harusi anakuli wakati anaenda kwenye ndoa ajui kama wapo wanawake wanao tafuta ata iyo ndoa haipo
Kwakweli nimekuja chap
@@AnthonyAnatorynashanga
🤣🤣🤣
Kiredio wewe kiredio litakuja kukukuta jambo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kwa mm nilivoelewa hili ni tangazo 😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Limkute malangap
Mwanamke mjinga ataibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe
😂😂😂😂kiredio jmn lbd Kam ni tangazo sawa ila kama uko serious umuoe tu na vee ue na wake wawili cjapenda
Yule babe angu pangechimbikaaa,Wallah nikikuonaa nitakimbia mbio za paka chongo
Mwanamke anayejitambua awezi kukubari kumjaribu mmewe mtarajiwa Kwa huu upumbavu kamweeee
Aisee
Hivi huyu dada akili zinamtosha kwelii challenge ganii hii lakin duhh
Huu dada atakindoa
Hyo biharus anakilanga mwee eti anapiga kabisaaa nyie mwendekezeni tu kiredio
😃😃😃
😂😂😂kwakweli Acha wamuendekeze tu
Dear Kiredio, najua una hustle, lakini.. Kuna magonjwa ya moyo mengi tu siku hizi..mtu anaweza kudondoka ghafla na kupoteza maisha kabisa kutokana na taarifa anyoipokea.. ni suala la maisha hili.. Don't say you weren't warned.👐
Yn mwanangu uko vzr sana
Huyu mume wangu hatajua kiredio wala kispika. Nitafarikishwa😂😂😂😂
😂😂😂😂
nimecheka atar eti kispika😂
😂😂😂😂
😊😂😂
Jmn sjawah kukoment ila wacha nikoment challenge ya dizaini hii siikubali kabisaa kwasabqbu kila mwanaume na moyo wake ndoa zilivokuwa ngumu alafu ukaiharibu kwa upumbavu huu hpn hp kiredio hujafanya sahihi challenge km hizi usifanye
Anatangaza biashara ya mashela hapo
Eeehh huuu ujinga sitokaa niufanyeee dah hujui anayeongea sijui ana hali gan.mara paap mahusiano yameharibika kwel utani mbayaaaa😢😢
Ata kuchukua mamuzi ya kujiua mtu uwezi jua mtu anakupenda kiasi gani mtu anatoka apo anajinyonga bule unaitwa mfiwa
Never Be Me...Never Akil za Matope Izo ...Ndoa Na iheshimiwe Na watu Wote Stupid;!!..
Kiredio unazingua, unaachisha mahusiano ya watu this is bad and the guy is very royal😂😂😂😂anaitikia tyu mmmmh😂😂😂😂
Mwanaume nimempenda n mstaarabu sana hatoi taarfa za mkewe kuna mikaka inalopoka kwa hasira
Umeonaee
hivi wewe kiredio kibali chako chakazi kinabainisha Kufanyanini mbn una risk maisha ya watu
Kama unaipenda furaha ya mahusiano yako epuka kukutana na Vicent.
Hhh😂😂😅
😂😂😂😂
We mbwa unakula Mbs zangu sana. Notification ipo on. Asee ni bless ata Mb za buku tano. Kuna li levi limoja lina piga sana mke wake. Uje uli challenge na husiliambie kama ni challenge naamini lita acha pombe tu.
Siwezi kufanya huu upuuzi hata kwa dk 1 labda sio mimi
Kaaah mtu anaweza kuja kufa Yani daah 😅😢😂😂😂😂
Sku ya arusi ujaribu hilo jambo utamfanya mtu aachike
Hivo unavyofanya sio waharibu nyumba za watu
Kiredio njooo mwanza chap kwa ajili ya mahusiano yangu yavunjike yasivunjike fresh tu
Akija uni dm
Challenge ni nin...?! Sema kwa Kiswahil
🙄🙄
Kiredio Utakuja kufaga Vibaya wewee
Shenzi kabisaaa😂😂😂😂😂
Biharusi wewe ni mjinga, yaan mwanamke mjinga huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyew
Anamwamini bana @kiredio anachangamsha mambo ikiwa chenjeu ndo una yamwaga
😂😂😂😂😂😂😂😂
Msenge sana huyu bi harusi…
Fala Sana yaan anamwendawazim na nusu
This is stupidity
Ujinga huu sifanyi hakyamungu
,Koredio soma huu ujumbe,
Ukiwa kama mwanume tumia hakili,
Mtu unajua yuko kazini, wanaume tuna hustle usiku na mchana, we unaleta ujinga, hujui mtu anaumiza hakili kiasi gani na maisha we hutaki kuwazaa hilo mzee.... unayumbaaa Sanaaaa
Hata hivyo kuna wengine wana tatizo la presha akumbuke na hilo.
Huoni pia kiredio yupo kazini na pia na yeye ni mwanaume anae umiza kichwa kama kufanya hicho anachofanya 😁 tuache ushamba bhana kila mtu apambane na kazi yake 🙌 keep going bro 💪❤️
Haya ni maigizo mtu mzima na akili zake si dhani kama anaweza kubali kuharibu ndoa yeke
Hi harusi hajielewi kabisaaaaaaaa
nisawa nakuchezea shilingi chooni
Ninavyoteseka na mahusiano alafu kuna watu wanayachezea😂😂
Umenifanyaa nichekee kama mwehuu make kama umenisema mimi😂😂😂😂😂❤❤❤❤
Kiredio wewe ni fala 😂😂😂
Vai wa kiredio mshaur kijana wako
Ukiachika mwali wetu Kiredio lazima akuoe 😂 by fire by force ❤
Wafaa ukiwwchanisha watu oa wewe
😂😂😂😂Nimekuja yutb kwakukimbia mpk nimejikwaa🤣🤣🤣🙌🙌
Hii kazi ni "high risk" sana, ipo siku gharama italipwa. It's funny yet not, strengthening but mostly breaking.
Take care @kiredio
ngonga like kama umetumwa na pluto
Kama unaangalia cctv camera gonga like hapa
HUU NI UJINGAAAA WE MDADA..., Mfyuuuuuuuuuu😮
Bulozi kabisa ww
We kiradio wewe😮😮
Kaka kuwa makini zaidi nakazi yakokunabaadhi ya mahusiano umeshayavuruga jaribu kufanya chalenge ambazo unaamini hazitakuwa namadhara kaka najua nikazi lakini kazi yako isiwe chazo chakusababisha machungu kwa wengine
Naomb namb ntakuja siku sio nyingi kuchek nguo ya harus Niko Buhongwa ,, ila hizo challenge sizitaki msije kuniulia mume wangu 🥹
Miii hapana kwakweli nooo kubwa😂😂😂😂😂😂
mwanamke jinga
Mmmh labda cyo fulani wangu, jembe lingelima lami😂😂😂
Hrf mtu yuko kazin una kubali kumdisturb mtu na mambo km hayo kweli ?et kiredio nikiachika mimi? Sass unafikiri atakusaidia?
Kiredio hacha hiyotabia ipo siku utakuja kuumia (anavyo fanya hivyo huwezi jua unawaachia madharagani watu wengine)
Wanawake 😅