BIBI HARUSI MATATANI KUACHIKA KABLA YA HARUSI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 391

  • @peterpaschal4522
    @peterpaschal4522 4 месяца назад +32

    Mke wangu popote ulipo usije ukafanya huu ujinga utamfuata kiredio nimesema 😢

  • @viatoryadam1556
    @viatoryadam1556 3 месяца назад +2

    Sijawah kuona dada mjinga Kama huyu bi harusi😂😂

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 2 месяца назад +2

    Duuu kiredio mmbea sana ndomana anaiweza hii kazi

  • @pur-ple-girll-304
    @pur-ple-girll-304 4 месяца назад +18

    Kiredio nikikukuta njian ntakimbia mbio hizo so kwa mamb haya

  • @ZaytoonaKarama
    @ZaytoonaKarama 4 месяца назад +19

    Aah kw kweli hii yavunja mahusiano kabisa

  • @ediythermihanga4994
    @ediythermihanga4994 4 месяца назад +3

    Hahahah waoooh mambo matamu hayaa 😅😅😅 mpenzi wanguu juu ya vipenzi vyanguu 😂😂 nmeipenda sana hii
    Bebi boi wanguuu njoo uone mambo yalivyonoga🎉😂

  • @christinalawrence7493
    @christinalawrence7493 4 месяца назад +1

    We kiredio acha hayo mambo kabisa jamaa angu

  • @KismartSaid
    @KismartSaid 4 месяца назад +3

    Huo ujinga kiredio usije kufanya tena utakuja kufanya watu wakuozeshe ww

  • @IzkiOamn
    @IzkiOamn 2 месяца назад +1

    Hadi mwanza umetisha kiredio 😂😂

  • @KukuWaMayai
    @KukuWaMayai 4 месяца назад +9

    Kama tu mi nmeogopa, je kiredio😅

  • @felifeliz1462
    @felifeliz1462 4 месяца назад +4

    Kiredio kiredio🙌🙌🙌🙌

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 2 месяца назад

    😂😂😂et unaeza ukaenda dukani uchi😂😂

  • @GraceDawite-z3g
    @GraceDawite-z3g 4 месяца назад +1

    Daa mim hapana jmn🧐🧐

  • @MagidaFafa
    @MagidaFafa 2 месяца назад +1

    Uyu uxenge

  • @rahmarashid9904
    @rahmarashid9904 4 месяца назад

    Kiredio nikikutana nae hata salamu sikupi sitak utan kabisaa na mahusiano yangu

  • @Kanyawela
    @Kanyawela 2 месяца назад

    Upumbavu kabisa upumbavu kabisa upumbavu kabisa upumbavu kabisa upumbavu kabisa upumbavu kabisa

  • @JacklineLemayan
    @JacklineLemayan 4 месяца назад

    Anakubalije challenge ya ajabu hivi ase

  • @sesjohn8054
    @sesjohn8054 3 месяца назад

    Kwan mna shida gan kaaah

  • @seneu.2128
    @seneu.2128 4 месяца назад

    Huyu dada ni mjinga huwezi kubali huu upuuzi kamwe kwenye hali kama hiyo mimi ingekuwa ni huyo mwanaume ungeolewa na kiredio Kuna vitu utani hauhitajiki

  • @CathyMsomx-ex9zr
    @CathyMsomx-ex9zr 3 месяца назад +1

    Akiiiiii😪😂😂😂

  • @aidanikasembe8191
    @aidanikasembe8191 2 месяца назад

    Huyu jamaa ni msenge

  • @imaxshine2210
    @imaxshine2210 3 месяца назад

    wameshaanza kwenda uchi😂

  • @فاطمهال-ص7ت
    @فاطمهال-ص7ت 3 месяца назад

    Hii ni hatari

  • @kabelwasalim6305
    @kabelwasalim6305 4 месяца назад

    Mwanamke mjinga ataaribu nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe,mnatafuta funbase ila make sure hamtengenezi laana kwenye maisha yenu,this is not FUNNY

  • @paskaziasholla7471
    @paskaziasholla7471 2 месяца назад

    Ivi kiredio anakupa shingapi isee siwezi huu upumbavu

  • @Sophiandeki
    @Sophiandeki 2 месяца назад

    Wangu ataniblock hatataka ujinga huu uwiiiiii

  • @julianagowele9163
    @julianagowele9163 4 месяца назад +1

    Weeee kiredio wewe acha hii ktk mambo mengi

  • @hybrid_ngoli
    @hybrid_ngoli 2 месяца назад +1

    IPO SIKU UTAMPONZA MWAIKIMBA📌

  • @BINTIHAMISI-c9p
    @BINTIHAMISI-c9p 2 месяца назад

    Ila kiredio 😂😂😂

  • @Lizzyktd
    @Lizzyktd 2 месяца назад

    Matangazo tu hayo 😂😂😂😂

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 4 месяца назад

    Bi harusi moyo unadunda😂😂😂

  • @SurprisedBeachVacation-ld6pb
    @SurprisedBeachVacation-ld6pb 4 месяца назад

    Uje upo apo unakenyua Kuna mwingine hata umuoneshe hiyo video shost unaachika kuwe makini na upuuzi mwenzio anaingiza hela

  • @abdallaabdulrahman8319
    @abdallaabdulrahman8319 2 месяца назад

    Kiredio wacha huo mchezo haraka

  • @SamuelGriffin-x7b
    @SamuelGriffin-x7b 17 дней назад

    Anderson Richard Williams Jessica Smith Eric

  • @RahmaBenedictor
    @RahmaBenedictor 2 месяца назад

    Wee kiredio unauwa mahusiano ya watu

  • @ginazngo4317
    @ginazngo4317 Месяц назад

    😢😢😢😢

  • @maryammwinyi7232
    @maryammwinyi7232 2 месяца назад

    Kiredio ww utauwa

  • @elishaamosi8304
    @elishaamosi8304 4 месяца назад

    Nimecheka vibaya kitedio utauwa watu

  • @aaronarodius649
    @aaronarodius649 4 месяца назад

    Kiredio kiredioo😂😂🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻

  • @Qnn_iy
    @Qnn_iy 4 месяца назад

    Ila kiredioo😂

  • @Denatha50
    @Denatha50 4 месяца назад +1

    😂😂😂😂😂😂

  • @GiftGitf
    @GiftGitf 4 месяца назад

    Nimekimbia kujakuangalia

  • @Zouh480
    @Zouh480 4 месяца назад +45

    😂😂😂😂😂 nyie nyie mm sitak huu ujinga kabisa wee mwishoe niache bure

  • @WitnessAmani
    @WitnessAmani 4 месяца назад +20

    😂😂😂walivyogoma kufanya challenge nmecheka sana walah

  • @OmanOman-ru4eu
    @OmanOman-ru4eu 4 месяца назад +102

    Tuliokuja fast RUclips tujuane ila huu ujinga sifanyi haki wallah

    • @IRENEKOMANYA
      @IRENEKOMANYA 4 месяца назад +2

      😅😅😅😅😅😅😅bwana angu mimi angenikataa kbsaa

    • @AnthonyAnatory
      @AnthonyAnatory 4 месяца назад

      Ujue hawa wanaaminika watu mahusiano yao hakuna mwanaume ambaye anamwanamke mmoja iyo haipo sasa utu mwenye harusi anakuli wakati anaenda kwenye ndoa ajui kama wapo wanawake wanao tafuta ata iyo ndoa haipo

    • @preciousmarya6423
      @preciousmarya6423 4 месяца назад

      Kwakweli nimekuja chap

    • @RajabuHayyan
      @RajabuHayyan 4 месяца назад

      ​@@AnthonyAnatorynashanga

    • @JacklineBarthazary
      @JacklineBarthazary 4 месяца назад

      🤣🤣🤣

  • @khadejarajab8007
    @khadejarajab8007 4 месяца назад +21

    Kiredio wewe kiredio litakuja kukukuta jambo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @Sweetnaah
      @Sweetnaah 4 месяца назад

      Kwa mm nilivoelewa hili ni tangazo 😂😂😂😂😂

    • @ZenabAli95
      @ZenabAli95 4 месяца назад

      😂😂😂😂😂

    • @MarryPatrick-kl2vk
      @MarryPatrick-kl2vk 3 месяца назад

      Limkute malangap

  • @HappinessSawe
    @HappinessSawe 4 месяца назад +5

    Mwanamke mjinga ataibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 4 месяца назад +6

    😂😂😂😂kiredio jmn lbd Kam ni tangazo sawa ila kama uko serious umuoe tu na vee ue na wake wawili cjapenda

  • @neemajohnson6571
    @neemajohnson6571 4 месяца назад +9

    Yule babe angu pangechimbikaaa,Wallah nikikuonaa nitakimbia mbio za paka chongo

  • @zenapius3796
    @zenapius3796 4 месяца назад +4

    Mwanamke anayejitambua awezi kukubari kumjaribu mmewe mtarajiwa Kwa huu upumbavu kamweeee

  • @lucydaniel8304
    @lucydaniel8304 2 месяца назад +6

    Hivi huyu dada akili zinamtosha kwelii challenge ganii hii lakin duhh

  • @najmasalim-rg6ow
    @najmasalim-rg6ow 4 месяца назад +32

    Hyo biharus anakilanga mwee eti anapiga kabisaaa nyie mwendekezeni tu kiredio

    • @irenembise541
      @irenembise541 4 месяца назад

      😃😃😃

    • @LuciaCelu
      @LuciaCelu 3 месяца назад

      😂😂😂kwakweli Acha wamuendekeze tu

  • @yohanandila8386
    @yohanandila8386 Месяц назад +1

    Dear Kiredio, najua una hustle, lakini.. Kuna magonjwa ya moyo mengi tu siku hizi..mtu anaweza kudondoka ghafla na kupoteza maisha kabisa kutokana na taarifa anyoipokea.. ni suala la maisha hili.. Don't say you weren't warned.👐

  • @suleimansalim8408
    @suleimansalim8408 17 дней назад +1

    Yn mwanangu uko vzr sana

  • @MarthaKiwalle
    @MarthaKiwalle 4 месяца назад +9

    Huyu mume wangu hatajua kiredio wala kispika. Nitafarikishwa😂😂😂😂

  • @ahmedNassra-e8i
    @ahmedNassra-e8i 2 месяца назад +1

    Jmn sjawah kukoment ila wacha nikoment challenge ya dizaini hii siikubali kabisaa kwasabqbu kila mwanaume na moyo wake ndoa zilivokuwa ngumu alafu ukaiharibu kwa upumbavu huu hpn hp kiredio hujafanya sahihi challenge km hizi usifanye

  • @petermuhoja1109
    @petermuhoja1109 3 месяца назад +6

    Anatangaza biashara ya mashela hapo

  • @rahmarashid9904
    @rahmarashid9904 4 месяца назад +5

    Eeehh huuu ujinga sitokaa niufanyeee dah hujui anayeongea sijui ana hali gan.mara paap mahusiano yameharibika kwel utani mbayaaaa😢😢

    • @catherineelias5108
      @catherineelias5108 4 месяца назад

      Ata kuchukua mamuzi ya kujiua mtu uwezi jua mtu anakupenda kiasi gani mtu anatoka apo anajinyonga bule unaitwa mfiwa

  • @agnessanga2940
    @agnessanga2940 2 месяца назад

    Never Be Me...Never Akil za Matope Izo ...Ndoa Na iheshimiwe Na watu Wote Stupid;!!..

  • @EmileLugendo
    @EmileLugendo 4 месяца назад +1

    Kiredio unazingua, unaachisha mahusiano ya watu this is bad and the guy is very royal😂😂😂😂anaitikia tyu mmmmh😂😂😂😂

  • @sarahmasuba
    @sarahmasuba 4 месяца назад +13

    Mwanaume nimempenda n mstaarabu sana hatoi taarfa za mkewe kuna mikaka inalopoka kwa hasira

  • @petermwijage9882
    @petermwijage9882 2 месяца назад

    hivi wewe kiredio kibali chako chakazi kinabainisha Kufanyanini mbn una risk maisha ya watu

  • @petroprenge8716
    @petroprenge8716 4 месяца назад +14

    Kama unaipenda furaha ya mahusiano yako epuka kukutana na Vicent.

  • @sedrickndunguru7993
    @sedrickndunguru7993 4 месяца назад +2

    We mbwa unakula Mbs zangu sana. Notification ipo on. Asee ni bless ata Mb za buku tano. Kuna li levi limoja lina piga sana mke wake. Uje uli challenge na husiliambie kama ni challenge naamini lita acha pombe tu.

  • @teddyurio2582
    @teddyurio2582 4 месяца назад +2

    Siwezi kufanya huu upuuzi hata kwa dk 1 labda sio mimi

  • @ROSEMARYLIHAWA
    @ROSEMARYLIHAWA 4 месяца назад +5

    Kaaah mtu anaweza kuja kufa Yani daah 😅😢😂😂😂😂

  • @neemanyimbi2355
    @neemanyimbi2355 2 месяца назад

    Sku ya arusi ujaribu hilo jambo utamfanya mtu aachike

  • @HimaHimaya
    @HimaHimaya 3 месяца назад +1

    Hivo unavyofanya sio waharibu nyumba za watu

  • @MarryPatrick-kl2vk
    @MarryPatrick-kl2vk 3 месяца назад +2

    Kiredio njooo mwanza chap kwa ajili ya mahusiano yangu yavunjike yasivunjike fresh tu

  • @Ax-xpress
    @Ax-xpress 26 дней назад

    Challenge ni nin...?! Sema kwa Kiswahil

  • @SabrahamiduNassoro
    @SabrahamiduNassoro 3 месяца назад +1

    🙄🙄

  • @augustinopanga9622
    @augustinopanga9622 2 месяца назад

    Kiredio Utakuja kufaga Vibaya wewee

  • @yohanaj4
    @yohanaj4 4 месяца назад +4

    Shenzi kabisaaa😂😂😂😂😂

  • @SalimSalim-wp3zx
    @SalimSalim-wp3zx 4 месяца назад +2

    Biharusi wewe ni mjinga, yaan mwanamke mjinga huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyew

  • @AishaHaji-jn7sg
    @AishaHaji-jn7sg 4 месяца назад +4

    Msenge sana huyu bi harusi…

  • @AgnessWlk
    @AgnessWlk 4 месяца назад +2

    This is stupidity

  • @subiramayegeya5343
    @subiramayegeya5343 4 месяца назад +2

    Ujinga huu sifanyi hakyamungu

  • @nahumnkwama239
    @nahumnkwama239 4 месяца назад +10

    ,Koredio soma huu ujumbe,
    Ukiwa kama mwanume tumia hakili,
    Mtu unajua yuko kazini, wanaume tuna hustle usiku na mchana, we unaleta ujinga, hujui mtu anaumiza hakili kiasi gani na maisha we hutaki kuwazaa hilo mzee.... unayumbaaa Sanaaaa

    • @fiakizi
      @fiakizi 4 месяца назад +1

      Hata hivyo kuna wengine wana tatizo la presha akumbuke na hilo.

    • @flaviangervas905
      @flaviangervas905 4 месяца назад +11

      Huoni pia kiredio yupo kazini na pia na yeye ni mwanaume anae umiza kichwa kama kufanya hicho anachofanya 😁 tuache ushamba bhana kila mtu apambane na kazi yake 🙌 keep going bro 💪❤️

    • @Naw89
      @Naw89 4 месяца назад

      Haya ni maigizo mtu mzima na akili zake si dhani kama anaweza kubali kuharibu ndoa yeke

  • @AgnessWlk
    @AgnessWlk 4 месяца назад +13

    Hi harusi hajielewi kabisaaaaaaaa

  • @LinaSalumu
    @LinaSalumu 2 месяца назад

    nisawa nakuchezea shilingi chooni

  • @lydiamakange
    @lydiamakange 2 месяца назад +2

    Ninavyoteseka na mahusiano alafu kuna watu wanayachezea😂😂

    • @Grace-p9e
      @Grace-p9e 2 месяца назад

      Umenifanyaa nichekee kama mwehuu make kama umenisema mimi😂😂😂😂😂❤❤❤❤

  • @amedeusfredrick1614
    @amedeusfredrick1614 Месяц назад

    Kiredio wewe ni fala 😂😂😂

  • @najmasalim-rg6ow
    @najmasalim-rg6ow 4 месяца назад +2

    Vai wa kiredio mshaur kijana wako

  • @nellymtambo8432
    @nellymtambo8432 3 месяца назад +1

    Ukiachika mwali wetu Kiredio lazima akuoe 😂 by fire by force ❤

  • @HimaHimaya
    @HimaHimaya 3 месяца назад

    Wafaa ukiwwchanisha watu oa wewe

  • @NuratyBahati
    @NuratyBahati 4 месяца назад +1

    😂😂😂😂Nimekuja yutb kwakukimbia mpk nimejikwaa🤣🤣🤣🙌🙌

  • @chrissameri465
    @chrissameri465 4 месяца назад

    Hii kazi ni "high risk" sana, ipo siku gharama italipwa. It's funny yet not, strengthening but mostly breaking.
    Take care @kiredio

  • @paulsawa.ke.6269
    @paulsawa.ke.6269 Месяц назад

    ngonga like kama umetumwa na pluto

  • @MRTSBUILDER
    @MRTSBUILDER 3 месяца назад +1

    Kama unaangalia cctv camera gonga like hapa

  • @OliverKassim
    @OliverKassim 4 месяца назад +1

    HUU NI UJINGAAAA WE MDADA..., Mfyuuuuuuuuuu😮

  • @SaidiAbdul-fp5yv
    @SaidiAbdul-fp5yv 25 дней назад

    Bulozi kabisa ww

  • @Mwanaisha-h4h
    @Mwanaisha-h4h 3 месяца назад +1

    We kiradio wewe😮😮

  • @paulkihaga26
    @paulkihaga26 3 месяца назад

    Kaka kuwa makini zaidi nakazi yakokunabaadhi ya mahusiano umeshayavuruga jaribu kufanya chalenge ambazo unaamini hazitakuwa namadhara kaka najua nikazi lakini kazi yako isiwe chazo chakusababisha machungu kwa wengine

  • @TundaEmanuel-ns8kj
    @TundaEmanuel-ns8kj 3 месяца назад

    Naomb namb ntakuja siku sio nyingi kuchek nguo ya harus Niko Buhongwa ,, ila hizo challenge sizitaki msije kuniulia mume wangu 🥹

  • @lucycareen2053
    @lucycareen2053 4 месяца назад +8

    Miii hapana kwakweli nooo kubwa😂😂😂😂😂😂

  • @makende82
    @makende82 25 дней назад

    mwanamke jinga

  • @GRACEJOHN-c3m
    @GRACEJOHN-c3m 4 месяца назад +1

    Mmmh labda cyo fulani wangu, jembe lingelima lami😂😂😂

  • @magrethibrahim9636
    @magrethibrahim9636 4 месяца назад

    Hrf mtu yuko kazin una kubali kumdisturb mtu na mambo km hayo kweli ?et kiredio nikiachika mimi? Sass unafikiri atakusaidia?

  • @ZuhuraAthumani-bo8yy
    @ZuhuraAthumani-bo8yy 4 месяца назад

    Kiredio hacha hiyotabia ipo siku utakuja kuumia (anavyo fanya hivyo huwezi jua unawaachia madharagani watu wengine)

  • @Basagamp4
    @Basagamp4 2 месяца назад

    Wanawake 😅