Ukisikia fungu la kukosa ndio hilo, hakuna kinacho sumbua hapo ni tamaa iliyopo ndani ya wadada wa siku hiz, uaminifu hakuna ukute mshikaji alijiweka hali ngumu ili aangalie upendo wa kweli upo wapi, ni bora ametumia njia hiyo japo inauma kwa Mwanamke ambaye ulikuwa unamuwazia kwenye future yako, lakini ni bora kujua uchafu wake mapema kulikoni maumivu ukiwa kwenye ndoa, Big up sana @kiredio kwa kufanya kazi kwa uaminifu,
Uko Sahihi kabisa kaka yani siku izi hakuna mapenzi ya kweli tena kama unavyosema jamaa kajimake kwa muda ili amnunulie demu wake gari lakin the end of the time mtu unategemea utatajwa kumbe dem anakuja mtaja mtu mwingine je kama angekurupuka na kumpa gari si ingekua ni pressure kila siku na ugomvi usioisha ndani ya nyumbaa dah ladies punguzeni tamaa jamani
Daaaaah nimeumia sana kama mimi ndio nimekosa hiyo gari, unaweza ukafa wallah. Daaah wanawake tujifunze kutulia hujui nani atakuja kukutoa kimaso maso. Uksikia fungu lakukosa ndio hii jaman.
Hongera kiredio kwa kazi nzur unayo ifanya watu wafunguk macho hakun ku cheatiwa tena maybe kwa wale ambao manapend wenyen kiredio uyu hapa anaraisisha kila tu honger ❤❤❤❤❤❤
Unapokuwa na neema hueezi kujua kuwa unayo neema mpka inapoondoka hy neema ndipo unakuja juta kuwa ulikuwa na neema kwahy Siku zote awali ni awali hakuna awali mbovu. Tamaa na Ujinjga mara zote ni majuto
Kutoka Kilwa,aisee ukusikia mtu ana Digree 10 ndo kama huyu Kiredio jiulize kama gari angelipeleka mwenyewe alishabugi pia kuwapanga alio watuma kua wasiseme nani katoa mpaka aseme mwanamke mwenyewe Gooooood Kiredio umetoa somo aisee
Inavoonekana huyo kaka alioileta hyo gar hpo anampenda huyo dada .. na huyo dada akipambana hyo gar inakuw yake 😂 xx ajifikirie hpo kwny kupamban na huyo sponsor wke😂😂😂
sasa kama umlfanya nae challenge nashindwaje kumjua nyie msitifamye watoto sisi mmeskia..japo mm ndo ningekua mzazi wa huyo binti kaul ingekua n bora ache vyet uko lkn bira gar asirudi nyumban 😂😊😂😊😂
Yan hata mm nilijua naweza sn ivo ikiwa wanaume wameshamtumia sn alafu ameishiwa t kupata hela ya Chipsi leo kashaoata gari mtego umemnasa mame inakwambia asa ukija huku uje na gari laaa sivyo huku ucje umbwa ww😂
Kiledio sijui nita kupataje wewe nikupe pongezi yan ninge kuwa na namba zako kila mwisho wa mwezi nakutumia mshahala kwakazi nzur yani nime fulahi sana huja kosea hata kidogo yani pongez kwako kaka 🤸🤸🤸🤸👍👍👍asante kiledio wee kiledio weweeee🙂🕺🕺
Inauma Sana..lakn kapata funzo lake,,tulia na mpnz 1tu hayo mambo ya kuruka ruka tuwaachie wasio na malengo ya kuwa future wife💞,,jamen tuacheni ss wadada wa udsm sio sote vicheche jamen malaya wapo kila sehem huyo asituchafulie wengine kila mtu na tabia yake.......Ila dah! Kakosa gar😂 +💔
Mke hata akiwa namchepuko lazima atakuja ww mumewe mana wake zenu wakutoka nje yandoa huwa wanaiambia muchepuko yao kama anae mume yan hii challenge wanawake waliolewa hawawez kunasa😆😆😆 ila wanaume waliooa wananasa kwasababu huwa wakitoka nje hawawaambii michepuko kama wameoa zaid watadanganya ili tuu wapate ngono
Ukisikia fungu la kukosa ndio hilo, hakuna kinacho sumbua hapo ni tamaa iliyopo ndani ya wadada wa siku hiz, uaminifu hakuna ukute mshikaji alijiweka hali ngumu ili aangalie upendo wa kweli upo wapi, ni bora ametumia njia hiyo japo inauma kwa Mwanamke ambaye ulikuwa unamuwazia kwenye future yako, lakini ni bora kujua uchafu wake mapema kulikoni maumivu ukiwa kwenye ndoa, Big up sana @kiredio kwa kufanya kazi kwa uaminifu,
Uko Sahihi kabisa kaka yani siku izi hakuna mapenzi ya kweli tena kama unavyosema jamaa kajimake kwa muda ili amnunulie demu wake gari lakin the end of the time mtu unategemea utatajwa kumbe dem anakuja mtaja mtu mwingine je kama angekurupuka na kumpa gari si ingekua ni pressure kila siku na ugomvi usioisha ndani ya nyumbaa dah ladies punguzeni tamaa jamani
Dah kweli Nimecheka sana yaani dem unashindwa kumjua boi wako mwenye hela
Hahaha huyo atakuwa nao wenye hela kibao....😅
Hakika ila Si wakumpa gari ila udsm 🙌🙌😂
Dah imekatika kama umeme!!??
Katika kazi zako hiiii ndio nimeikubal sana 🎉
Daaaaah nimeumia sana kama mimi ndio nimekosa hiyo gari, unaweza ukafa wallah. Daaah wanawake tujifunze kutulia hujui nani atakuja kukutoa kimaso maso. Uksikia fungu lakukosa ndio hii jaman.
Pole sana kama ni wew kwer
Na hakuna atakae kuja kukununulia gari aiseee,
😂😂😂😂uyu mtangazaji eti kumamake daaaaa amejisahahu kama Kuna camera
Hamupendi ndo maana kataja jina lingine nakuondoka ❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂clip hiyi nipeipenda duuui wadada wadogo mambo makubwa
Yote Tisa inshallah kumi mapenzi shikamoooo
Daaaaaaaah uyo mwanake hatari malaya uyo hafai kbs 😂😂😂😂😂😂😂😂😂, kiredio hongera sana unafanya kazi vzr sana
Umalaya umezidi kashajiona mzuri kila bwana wake akome😂😂😂😂😂
😂😂😂 nmeipenda hiyo kwanza mapenzi shikamoo
daah huyo manzi anaweza kwenda kujinyonga ebu mfuatilieni 😂😂😂
Hahahahah
Afe kabisa
😂😂😂😂kwakwel apewe ulinzi
Malaya ajinyongi bado kuna sponsor mzee apo😂😂
Bora age mapema ili asituachie mbegu mbaya ya unafki wake,,
Beni Beni Beni Beni Beni Beni Beni Beni Beni Beni jamaniiiiiiiiiiii😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Huyu demu anaachwa na wote
maigizo yako mazuri kijana hongera unajua kuzipanga
Kuna la kujifunza kwa wanawake wasiotaka kutulia na mwanaume mmojaa😢❤
Sio mara zote bwana 😂
😂😂😂 kazi nzuri kiredio 👏👏🔥🔥
USIKUTE BENN NDO ANAMLETEAGA SANA AHADI ZA UWONGO ZA KUMNUNULIA GARI ILA HUYU DADA USHUHUDA HUU HADI KWA WAJUKUU😂😂😂
😂😂😂😂😂
😅😅😅😅😅
🤣🤣🤣🤣 kwanza siku yake imeshaharibika dadeq zake
Fact.
Ben ni tapel maskini kamuaminisha dada wa watu😂
umalaya mbaya sana aisee unaweza kupoteza vitu vingi
Daaaaa Mungu wanguuu
Udism malaya wakutosha sana,Hongera kiredio rudisha gari langu yard kaka! Vijana tunajitolea sana kisa hizi nguruwe lkn hawanaga akili kabisa
Mbona usinipe mm nifate tu iringa
Pole sana
Nipende mm kaka😂😂😂😂
Si ujege huku baba
Kama ni wewe seriously polee sanaa kaka but Kila kitu huwa ni mipango ya Mungu amini katika yeye na atakupa mwanamke anae kustahili🙏🙏
Hongera kiredio kwa kazi nzur unayo ifanya watu wafunguk macho hakun ku cheatiwa tena maybe kwa wale ambao manapend wenyen kiredio uyu hapa anaraisisha kila tu honger ❤❤❤❤❤❤
kazi yako njema kaka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Unapokuwa na neema hueezi kujua kuwa unayo neema mpka inapoondoka hy neema ndipo unakuja juta kuwa ulikuwa na neema kwahy Siku zote awali ni awali hakuna awali mbovu. Tamaa na Ujinjga mara zote ni majuto
Kiredio msenge sana et Kumamae😂😂😂
Nimehisi mm roho imeniuma😢😢😢😢😢😢 ndio maana mm nakuaga na wanaume mmoja Tu hata usingizini ukiniamsha namtaja 😢😢😢😢kakosa ndinga naumia mm😂😂😂😂😂
😂😂😂 Unakuaga na WANAUME MMOJA?.. NDIO NYINYI NYOTE
Elewa neno wanaume 😂😂😂😂
Hahahah mbona kama keyboard imekusaliti vile "wanaume mmoja" au sio😂
WANAUME MMOJA ..it's plural 😂😂
We ni walewale wakina ..irine magari😂
Yaani ndiyo kamaliza chuo alafu akili ziro hatari
Yaan mungu anipe mwanaume kama huyo ningemuheshimu San jmn
Aaah weee moyo wangu mimi nimeumia kama ni mimi vile
Wanaume na wanawake wote malaya tuu sikuizi, ubahatishe saana kupata mwenzi atakaetulia kwenye mahusiano
Dah na unakuta mwana alikua yeye ndo boom mpaka anamaliza Chuo aise nimesikitika kama kiredio aisee 😔 kiredio kabaki kujilaumu Tu maskini dah.
Duh umekosa ivi ivi hahah benny popote ulipo mpo wengi kwa uyu dada😂😂😂
Uskute ben ni mme wa mtu😅
ametajwa BENNY wakacheka kwanza😂😂,,
Huyo msichana hamtaki huyo jamaa ndo maana kaacha kila kitu na yeye anampenda ben😂
Ben mwenyewe ametajwa kashaka na yeye yupo Rehan
Ben mwenyewe utakuta muuni zaid yake😂
umetisha kiredio
Ukute bro alkuwaga hajionyeshi anapesa mbele ya dem🤣🤣🤣kamtaja sponsor BEN ye hana huo mdaaa. Ndo ujifunze🙄
Aaah kumamakee msenge huyo ukute uyo beny ni mpiga tofali anaacha ndinga
Hii ni "Big project"... Safi sana Bro... MADEM WAZINGUAJI MNOO 😂😂😂
Ubunifu mzuri
Kutoka Kilwa,aisee ukusikia mtu ana Digree 10 ndo kama huyu Kiredio jiulize kama gari angelipeleka mwenyewe alishabugi pia kuwapanga alio watuma kua wasiseme nani katoa mpaka aseme mwanamke mwenyewe Gooooood Kiredio umetoa somo aisee
Hakuna kuskitika kiledio iyo bonge la kazi yani ponge kwako kaka
Daaaaa ndo maana halisi ya uaminifu, adi moyo umepasukaaaa 💔💔💔
Hio kmmk ya mwisho umesahau kuitoa mbonaa😅😅😅😅
Kaka achana na content zako zote, shikilia hapa hapa unafanya kazi ya kijamii 😂
Ningekua mim najijua nnamabwana wengi ningeondoka ata singeotea
😂
#kiredio hii kityu sijawahi ona Kwene channel yoyote Toka niache kumiliki smart Leo ndo Kwa mara ya kwanza naona kwako big up broo
Ooh! Wana Fanya saana wa Nigeria mpendwa 😂😂😂
Kenya wamejaa kibao wakina kiredio wanavunja hadi ndoa za watu kiredio ameiga tu
Inavoonekana huyo kaka alioileta hyo gar hpo anampenda huyo dada .. na huyo dada akipambana hyo gar inakuw yake 😂 xx ajifikirie hpo kwny kupamban na huyo sponsor wke😂😂😂
Yani kiredio kaumia utadhani yeye ndy alikuwa anapewa hilo gari😂😂😂
Hapana we kama mwanaume utahisi anachohisi mshua huko home au kazini anapambana kwa ajili ya huyo mwisho anadhihirsha alivhokua anamficha cku zote
Itakuwa mume wa mtu alafu awajazoeana we angemzoea asingebabaika
Mmmh kwan tamaa za waume wengi za nni mwanamke mzima
Nliwambia nyie mtajavunja mahusiano ya watu na ndoa pia mumeona🤣🤣🤣😜😜
Daah 💔💔💔Iyo imeenda
😢😢😢 daaah mapenz shikamo 😂😂
Haka kamalaya kanaongea... Aibu naona Mimi mamake 😂😂
Hujui kazi yako kijana unamkubalia kushika simu mbona
Ben popote ulipo kumbe wew ndo unapendwa ungepeleka gar wajamen mdada ametoka amelooooowaaaa
Hiyo nimeipenda
Good job kiredio 😂
sasa kama umlfanya nae challenge nashindwaje kumjua nyie msitifamye watoto sisi mmeskia..japo mm ndo ningekua mzazi wa huyo binti kaul ingekua n bora ache vyet uko lkn bira gar asirudi nyumban 😂😊😂😊😂
😂😂😂😂😂
Ni uongo ni usanii
Yan hata mm nilijua naweza sn ivo ikiwa wanaume wameshamtumia sn alafu ameishiwa t kupata hela ya Chipsi leo kashaoata gari mtego umemnasa mame inakwambia asa ukija huku uje na gari laaa sivyo huku ucje umbwa ww😂
Eti mwanaume anakupenda na kukununulia Hadi gar anawapa kiredio akuletee😂😂
Duuuh kidada Kikware balaa dah 🙌🇶🇦
Mamake 😂
Daaàah kiredio umempa manz mtihan mmoja mwepes San na mgumu pia kakosa ndiga kizembe ivi. ivi 😂😂😂
Ukiona kiredio anakupigia simu usipokee mtego huooo😂😂😂😂😂
Mnunuzi wa gari ana roho ngumu kwa mwaka huu 2023 yeye ni bingwa. Demu gani huyo mbovu hivyo
Kiredio umetukana apo mwisho😂😂😂
Umalaya mbaya sana
Nimecheka🤣🤣🤣🤣
Reality at it peak
uhun mbay😂😂😂😂 kakos tako la nyani 😂
Daaaaaaa hii imeendaaaaa
Hahahahahaha sjui nacheka nn ila😂😂😂😂😂 ni huzuniii
Kiledio sijui nita kupataje wewe nikupe pongezi yan ninge kuwa na namba zako kila mwisho wa mwezi nakutumia mshahala kwakazi nzur yani nime fulahi sana huja kosea hata kidogo yani pongez kwako kaka 🤸🤸🤸🤸👍👍👍asante kiledio wee kiledio weweeee🙂🕺🕺
😂😂Umetishaaaaaa
Hivi za kweli au
Inauma Sana..lakn kapata funzo lake,,tulia na mpnz 1tu hayo mambo ya kuruka ruka tuwaachie wasio na malengo ya kuwa future wife💞,,jamen tuacheni ss wadada wa udsm sio sote vicheche jamen malaya wapo kila sehem huyo asituchafulie wengine kila mtu na tabia yake.......Ila dah! Kakosa gar😂 +💔
Just good gal
Mmh.kiredio honger sn njoo na huku ukomeshe wachepukaj jmn n ayb kw kwel
Hii imeenda, msisahau ku like tafadhali??
Mm ndo ben na sikutaki tena 😂😂
😂😂😂😂😂 kaacha gari sababu ya mwanaume wengi
Maraya mm ningechukua tu
@@SupermanOman-qd6sd usikute huyo Mwanaume anamjua ben ndy maana kashindwa
Mi ningepambana alafu ningemwambia ben ni kk Yangu we mbele ya ndinga ningejua Cha kujieleza 😂😂😂😂
@@zawadichalale4047 🤣🤣🤣 akili inaruka unachanganyikiwa kwa mda chezea kuchanganya dozi wewe 🤣🤣
Sema kiredio umechoma 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wanawake nyoko Apo katajwa Beni ukute mume wa mtu nae Muongo muongo 😂
Michepuko so dirii Beniii😅😅😅😂😂
Usha haribu graduation ya mtu hapo😅
Pole sister😂😂
Hiyo gari si nipewe mm tu😢😂
Daaah cku ake iliisha vibaya 🚶🚶🚶 kwa msoto wa UDSM af akoxe 🌝
😂😂😂😂kaishiwa poz
tatizo ni malaya sana anamabwana wengi asa apo alikuwa ajui na bwana gani aliemtumia gari
Au alikua na mabahasha wenye Hela wengi daah..😂
Wadada wengine.. tupunguzeni Umalaya!
Wanaume wawili kwa wakati moja hpo ndio niishindwa kwenye hii dunia
Wawil hapo ukute ana zaid ya wawil lkn huyo ben ndo anampenda sana hlf ukute hana maajabu yeyote huyo alomtaja
Usishindwe Tupo wanawake nunaoweza kulidhika na mwanaume mmoja ilahyu kauwa jaman😂😂
@@user-wt7mm9lx8i 😀😀😀 umala kiwango cha juu kashindwa kutofautisha baba na boyfriend 🙄😏
@@AngelAbbah-wc5un 😃😃😃😃 my na wewe hna kweli majabu yoyote yle
Jina la movie tafadhali,
Wadada wa chuo😃😃😃😃
Duh shd sana
Kiredio mnafiki😂😂😂😂
Eti kirediooo 😂😂😂😂 tamaaa mbaya sana
Mh aibu naona mm jaman 😢😅😂😂
Daah kiredio 🎉🎉🎉 nakutafuta mke Wang nae nione vip
Mke hata akiwa namchepuko lazima atakuja ww mumewe mana wake zenu wakutoka nje yandoa huwa wanaiambia muchepuko yao kama anae mume yan hii challenge wanawake waliolewa hawawez kunasa😆😆😆 ila wanaume waliooa wananasa kwasababu huwa wakitoka nje hawawaambii michepuko kama wameoa zaid watadanganya ili tuu wapate ngono
Kakosa vyote na umalaya wake😅😅😅😅😅
Eti unamjua anajibu siyeah haha😂😂😂
Alipatwa na kigugumizi maana kaumbuka,Gari kakosa na kaharibu siku yake kwa herufi 3 tu yani "BEN"😂
Uaminifu kitu cha msingi sna😂😂😂😂
mnaachia matusi tu wasenge nyio😂😂😂😂😂
Nimecheka ki KU###### "ETI KWENYE MA BOYFRIENDS ZAKO UNASHINDWA KUMJUA MTU MWENYE HELA MWANANGU"😂😂😂😂😂😂😂
Hiki kisa kifatilie vizuri unaambiwa huyo jamaa mwenyewe anaishi life la kawaida sana tu kama bwege halafu sio kwamba anamkwanjaa saaana