AIBU YA MWAKA, KAPEWA GARI SKU YA GRADU KUMBE ANACHEAT

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 438

  • @amosmahwago6496
    @amosmahwago6496 7 месяцев назад +148

    Ukisikia fungu la kukosa ndio hilo, hakuna kinacho sumbua hapo ni tamaa iliyopo ndani ya wadada wa siku hiz, uaminifu hakuna ukute mshikaji alijiweka hali ngumu ili aangalie upendo wa kweli upo wapi, ni bora ametumia njia hiyo japo inauma kwa Mwanamke ambaye ulikuwa unamuwazia kwenye future yako, lakini ni bora kujua uchafu wake mapema kulikoni maumivu ukiwa kwenye ndoa, Big up sana @kiredio kwa kufanya kazi kwa uaminifu,

    • @davicekombe4932
      @davicekombe4932 7 месяцев назад +8

      Uko Sahihi kabisa kaka yani siku izi hakuna mapenzi ya kweli tena kama unavyosema jamaa kajimake kwa muda ili amnunulie demu wake gari lakin the end of the time mtu unategemea utatajwa kumbe dem anakuja mtaja mtu mwingine je kama angekurupuka na kumpa gari si ingekua ni pressure kila siku na ugomvi usioisha ndani ya nyumbaa dah ladies punguzeni tamaa jamani

    • @gedrickgerazi210
      @gedrickgerazi210 7 месяцев назад +8

      Dah kweli Nimecheka sana yaani dem unashindwa kumjua boi wako mwenye hela

    • @dreamer123.
      @dreamer123. 7 месяцев назад +7

      Hahaha huyo atakuwa nao wenye hela kibao....😅

    • @gedrickgerazi210
      @gedrickgerazi210 7 месяцев назад +1

      Hakika ila Si wakumpa gari ila udsm 🙌🙌😂

    • @immanueljoseph7190
      @immanueljoseph7190 7 месяцев назад +2

      Dah imekatika kama umeme!!??

  • @7Ammy69
    @7Ammy69 6 месяцев назад +10

    Katika kazi zako hiiii ndio nimeikubal sana 🎉

  • @qinakimaka5308
    @qinakimaka5308 7 месяцев назад +43

    Daaaaah nimeumia sana kama mimi ndio nimekosa hiyo gari, unaweza ukafa wallah. Daaah wanawake tujifunze kutulia hujui nani atakuja kukutoa kimaso maso. Uksikia fungu lakukosa ndio hii jaman.

    • @edgarndoleki8827
      @edgarndoleki8827 7 месяцев назад

      Pole sana kama ni wew kwer

    • @IdarousPossy
      @IdarousPossy 7 месяцев назад

      Na hakuna atakae kuja kukununulia gari aiseee,

    • @vanemmy6043
      @vanemmy6043 7 месяцев назад

      😂😂😂😂uyu mtangazaji eti kumamake daaaaa amejisahahu kama Kuna camera

  • @Zenygoldsuperwoman
    @Zenygoldsuperwoman 21 час назад

    Hamupendi ndo maana kataja jina lingine nakuondoka ❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂clip hiyi nipeipenda duuui wadada wadogo mambo makubwa

  • @ShijaBugumba
    @ShijaBugumba 7 месяцев назад +7

    Yote Tisa inshallah kumi mapenzi shikamoooo

  • @user-gb2rt7tj2m
    @user-gb2rt7tj2m 7 месяцев назад +9

    Daaaaaaaah uyo mwanake hatari malaya uyo hafai kbs 😂😂😂😂😂😂😂😂😂, kiredio hongera sana unafanya kazi vzr sana

  • @murielchikoko1165
    @murielchikoko1165 6 месяцев назад +4

    Umalaya umezidi kashajiona mzuri kila bwana wake akome😂😂😂😂😂

  • @johnmdee7963
    @johnmdee7963 7 месяцев назад +7

    😂😂😂 nmeipenda hiyo kwanza mapenzi shikamoo

  • @nadomkalikwanza5550
    @nadomkalikwanza5550 7 месяцев назад +31

    daah huyo manzi anaweza kwenda kujinyonga ebu mfuatilieni 😂😂😂

    • @NicemonFrancis
      @NicemonFrancis 7 месяцев назад

      Hahahahah

    • @juliethmoshi2923
      @juliethmoshi2923 7 месяцев назад

      Afe kabisa

    • @rehemasamwel7785
      @rehemasamwel7785 7 месяцев назад

      😂😂😂😂kwakwel apewe ulinzi

    • @joycechaz2840
      @joycechaz2840 7 месяцев назад +1

      Malaya ajinyongi bado kuna sponsor mzee apo😂😂

    • @jeffhard5773
      @jeffhard5773 7 месяцев назад

      Bora age mapema ili asituachie mbegu mbaya ya unafki wake,,

  • @aliaboud9202
    @aliaboud9202 7 месяцев назад +5

    Beni Beni Beni Beni Beni Beni Beni Beni Beni Beni jamaniiiiiiiiiiii😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Huyu demu anaachwa na wote

  • @Officalnaph
    @Officalnaph 7 месяцев назад +3

    maigizo yako mazuri kijana hongera unajua kuzipanga

  • @user-jd8lu1bk8k
    @user-jd8lu1bk8k 7 месяцев назад +11

    Kuna la kujifunza kwa wanawake wasiotaka kutulia na mwanaume mmojaa😢❤

  • @ernestfelix8596
    @ernestfelix8596 7 месяцев назад +3

    😂😂😂 kazi nzuri kiredio 👏👏🔥🔥

  • @Moses.Waszczykowski
    @Moses.Waszczykowski 7 месяцев назад +38

    USIKUTE BENN NDO ANAMLETEAGA SANA AHADI ZA UWONGO ZA KUMNUNULIA GARI ILA HUYU DADA USHUHUDA HUU HADI KWA WAJUKUU😂😂😂

    • @nazarenamode8584
      @nazarenamode8584 7 месяцев назад

      😂😂😂😂😂

    • @SuzyWilfred
      @SuzyWilfred 7 месяцев назад

      😅😅😅😅😅

    • @jacquelinemichael3928
      @jacquelinemichael3928 7 месяцев назад

      🤣🤣🤣🤣 kwanza siku yake imeshaharibika dadeq zake

    • @elyg8550
      @elyg8550 7 месяцев назад

      Fact.

    • @joycechaz2840
      @joycechaz2840 7 месяцев назад

      Ben ni tapel maskini kamuaminisha dada wa watu😂

  • @happynkya9770
    @happynkya9770 4 дня назад

    umalaya mbaya sana aisee unaweza kupoteza vitu vingi

  • @esterkiyongo2316
    @esterkiyongo2316 7 месяцев назад +3

    Daaaaa Mungu wanguuu

  • @mkuluwaukae2221
    @mkuluwaukae2221 7 месяцев назад +80

    Udism malaya wakutosha sana,Hongera kiredio rudisha gari langu yard kaka! Vijana tunajitolea sana kisa hizi nguruwe lkn hawanaga akili kabisa

    • @KHABISIBRAH
      @KHABISIBRAH 7 месяцев назад +4

      Mbona usinipe mm nifate tu iringa

    • @najimafaustine1881
      @najimafaustine1881 7 месяцев назад +4

      Pole sana

    • @user-ji9fv8se7e
      @user-ji9fv8se7e 7 месяцев назад +4

      Nipende mm kaka😂😂😂😂

    • @agriparose3942
      @agriparose3942 7 месяцев назад +3

      Si ujege huku baba

    • @nnieraudhwa8611
      @nnieraudhwa8611 7 месяцев назад +1

      Kama ni wewe seriously polee sanaa kaka but Kila kitu huwa ni mipango ya Mungu amini katika yeye na atakupa mwanamke anae kustahili🙏🙏

  • @belyseirakoze5371
    @belyseirakoze5371 7 месяцев назад +3

    Hongera kiredio kwa kazi nzur unayo ifanya watu wafunguk macho hakun ku cheatiwa tena maybe kwa wale ambao manapend wenyen kiredio uyu hapa anaraisisha kila tu honger ❤❤❤❤❤❤

  • @fkimwaga
    @fkimwaga 7 месяцев назад +15

    kazi yako njema kaka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @abdallahmmary8591
    @abdallahmmary8591 Час назад

    Unapokuwa na neema hueezi kujua kuwa unayo neema mpka inapoondoka hy neema ndipo unakuja juta kuwa ulikuwa na neema kwahy Siku zote awali ni awali hakuna awali mbovu. Tamaa na Ujinjga mara zote ni majuto

  • @mathiassakwa1551
    @mathiassakwa1551 7 месяцев назад +3

    Kiredio msenge sana et Kumamae😂😂😂

  • @hamisahamisa5896
    @hamisahamisa5896 7 месяцев назад +14

    Nimehisi mm roho imeniuma😢😢😢😢😢😢 ndio maana mm nakuaga na wanaume mmoja Tu hata usingizini ukiniamsha namtaja 😢😢😢😢kakosa ndinga naumia mm😂😂😂😂😂

    • @abuumayunga3349
      @abuumayunga3349 7 месяцев назад +2

      😂😂😂 Unakuaga na WANAUME MMOJA?.. NDIO NYINYI NYOTE

    • @user-xl3id7yc3u
      @user-xl3id7yc3u 7 месяцев назад

      Elewa neno wanaume 😂😂😂😂

    • @menalikechildren8836
      @menalikechildren8836 7 месяцев назад

      Hahahah mbona kama keyboard imekusaliti vile "wanaume mmoja" au sio😂

    • @ibn__ibn
      @ibn__ibn 6 месяцев назад

      WANAUME MMOJA ..it's plural 😂😂
      We ni walewale wakina ..irine magari😂

  • @sein.208
    @sein.208 7 месяцев назад +7

    Yaani ndiyo kamaliza chuo alafu akili ziro hatari

  • @faridakhalifa5231
    @faridakhalifa5231 2 дня назад

    Yaan mungu anipe mwanaume kama huyo ningemuheshimu San jmn

  • @rusiabyaombe5494
    @rusiabyaombe5494 7 месяцев назад +3

    Aaah weee moyo wangu mimi nimeumia kama ni mimi vile

  • @user-gn6jz4qf7o
    @user-gn6jz4qf7o 7 месяцев назад +4

    Wanaume na wanawake wote malaya tuu sikuizi, ubahatishe saana kupata mwenzi atakaetulia kwenye mahusiano

  • @wilonderby
    @wilonderby 7 месяцев назад +5

    Dah na unakuta mwana alikua yeye ndo boom mpaka anamaliza Chuo aise nimesikitika kama kiredio aisee 😔 kiredio kabaki kujilaumu Tu maskini dah.

  • @fridakimwanya1158
    @fridakimwanya1158 7 месяцев назад +1

    Duh umekosa ivi ivi hahah benny popote ulipo mpo wengi kwa uyu dada😂😂😂

  • @philipocharles8507
    @philipocharles8507 7 месяцев назад +4

    Uskute ben ni mme wa mtu😅

  • @felicianmabepe3958
    @felicianmabepe3958 6 месяцев назад +1

    ametajwa BENNY wakacheka kwanza😂😂,,

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 7 месяцев назад +5

    Huyo msichana hamtaki huyo jamaa ndo maana kaacha kila kitu na yeye anampenda ben😂

    • @supernova_africa5407
      @supernova_africa5407 7 месяцев назад

      Ben mwenyewe ametajwa kashaka na yeye yupo Rehan

    • @joycechaz2840
      @joycechaz2840 7 месяцев назад

      Ben mwenyewe utakuta muuni zaid yake😂

  • @rodgersmwagu239
    @rodgersmwagu239 7 месяцев назад

    umetisha kiredio

  • @medyelira
    @medyelira 7 месяцев назад +2

    Ukute bro alkuwaga hajionyeshi anapesa mbele ya dem🤣🤣🤣kamtaja sponsor BEN ye hana huo mdaaa. Ndo ujifunze🙄

  • @chrisstemba
    @chrisstemba 7 месяцев назад +2

    Aaah kumamakee msenge huyo ukute uyo beny ni mpiga tofali anaacha ndinga

  • @ibraahmfw1147
    @ibraahmfw1147 Месяц назад

    Hii ni "Big project"... Safi sana Bro... MADEM WAZINGUAJI MNOO 😂😂😂

  • @collinspius5480
    @collinspius5480 7 месяцев назад +3

    Ubunifu mzuri

  • @shabanidaruweshi-jw5jy
    @shabanidaruweshi-jw5jy 6 месяцев назад

    Kutoka Kilwa,aisee ukusikia mtu ana Digree 10 ndo kama huyu Kiredio jiulize kama gari angelipeleka mwenyewe alishabugi pia kuwapanga alio watuma kua wasiseme nani katoa mpaka aseme mwanamke mwenyewe Gooooood Kiredio umetoa somo aisee

  • @user-yb2qy8mb9u
    @user-yb2qy8mb9u 6 месяцев назад

    Hakuna kuskitika kiledio iyo bonge la kazi yani ponge kwako kaka

  • @user-sc9rh9qy7k
    @user-sc9rh9qy7k 7 месяцев назад +15

    Daaaaa ndo maana halisi ya uaminifu, adi moyo umepasukaaaa 💔💔💔

  • @its.ramadjr751
    @its.ramadjr751 7 месяцев назад +1

    Hio kmmk ya mwisho umesahau kuitoa mbonaa😅😅😅😅

  • @yahayamjenga1996
    @yahayamjenga1996 6 месяцев назад +5

    Kaka achana na content zako zote, shikilia hapa hapa unafanya kazi ya kijamii 😂

  • @najmasalim-rg6ow
    @najmasalim-rg6ow 7 месяцев назад +7

    Ningekua mim najijua nnamabwana wengi ningeondoka ata singeotea

  • @oshenifrank614
    @oshenifrank614 7 месяцев назад +16

    #kiredio hii kityu sijawahi ona Kwene channel yoyote Toka niache kumiliki smart Leo ndo Kwa mara ya kwanza naona kwako big up broo

    • @Keyjop
      @Keyjop 7 месяцев назад

      Ooh! Wana Fanya saana wa Nigeria mpendwa 😂😂😂

    • @user-wm6eh9ri9f
      @user-wm6eh9ri9f 7 месяцев назад

      Kenya wamejaa kibao wakina kiredio wanavunja hadi ndoa za watu kiredio ameiga tu

  • @MaryamSuleiman-xs5ph
    @MaryamSuleiman-xs5ph 7 месяцев назад +1

    Inavoonekana huyo kaka alioileta hyo gar hpo anampenda huyo dada .. na huyo dada akipambana hyo gar inakuw yake 😂 xx ajifikirie hpo kwny kupamban na huyo sponsor wke😂😂😂

  • @deomaster77
    @deomaster77 7 месяцев назад +16

    Yani kiredio kaumia utadhani yeye ndy alikuwa anapewa hilo gari😂😂😂

    • @issaadinaniissa6487
      @issaadinaniissa6487 7 месяцев назад +1

      Hapana we kama mwanaume utahisi anachohisi mshua huko home au kazini anapambana kwa ajili ya huyo mwisho anadhihirsha alivhokua anamficha cku zote

    • @restjaca82
      @restjaca82 7 месяцев назад

      Itakuwa mume wa mtu alafu awajazoeana we angemzoea asingebabaika

  • @mwanaSalim-re4pn
    @mwanaSalim-re4pn 7 месяцев назад +3

    Mmmh kwan tamaa za waume wengi za nni mwanamke mzima

  • @UmayyaNkya-ze3ri
    @UmayyaNkya-ze3ri 7 месяцев назад +1

    Nliwambia nyie mtajavunja mahusiano ya watu na ndoa pia mumeona🤣🤣🤣😜😜

  • @BerthaEdward
    @BerthaEdward 7 месяцев назад +3

    Daah 💔💔💔Iyo imeenda

  • @user-uc7pp3lw1r
    @user-uc7pp3lw1r 7 месяцев назад +4

    😢😢😢 daaah mapenz shikamo 😂😂

  • @chrithicksambo2287
    @chrithicksambo2287 7 месяцев назад +1

    Haka kamalaya kanaongea... Aibu naona Mimi mamake 😂😂

  • @doreenogola
    @doreenogola 7 месяцев назад

    Hujui kazi yako kijana unamkubalia kushika simu mbona

  • @user-nf1ip7vf7s
    @user-nf1ip7vf7s 6 месяцев назад

    Ben popote ulipo kumbe wew ndo unapendwa ungepeleka gar wajamen mdada ametoka amelooooowaaaa

  • @silamwamlima2758
    @silamwamlima2758 7 месяцев назад

    Hiyo nimeipenda

  • @user-qv6ou3nu5s
    @user-qv6ou3nu5s 7 месяцев назад +3

    Good job kiredio 😂

  • @oscarjohn477
    @oscarjohn477 7 месяцев назад +13

    sasa kama umlfanya nae challenge nashindwaje kumjua nyie msitifamye watoto sisi mmeskia..japo mm ndo ningekua mzazi wa huyo binti kaul ingekua n bora ache vyet uko lkn bira gar asirudi nyumban 😂😊😂😊😂

    • @teddyemmanuelyemailteddyemmanu
      @teddyemmanuelyemailteddyemmanu 7 месяцев назад

      😂😂😂😂😂

    • @Officalnaph
      @Officalnaph 7 месяцев назад

      Ni uongo ni usanii

    • @abdulmohd6880
      @abdulmohd6880 7 месяцев назад +1

      Yan hata mm nilijua naweza sn ivo ikiwa wanaume wameshamtumia sn alafu ameishiwa t kupata hela ya Chipsi leo kashaoata gari mtego umemnasa mame inakwambia asa ukija huku uje na gari laaa sivyo huku ucje umbwa ww😂

  • @asiakise2072
    @asiakise2072 7 месяцев назад +1

    Eti mwanaume anakupenda na kukununulia Hadi gar anawapa kiredio akuletee😂😂

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 7 месяцев назад +4

    Duuuh kidada Kikware balaa dah 🙌🇶🇦

  • @khatibuahmad6400
    @khatibuahmad6400 7 месяцев назад

    Daaàah kiredio umempa manz mtihan mmoja mwepes San na mgumu pia kakosa ndiga kizembe ivi. ivi 😂😂😂

  • @bensonchota3461
    @bensonchota3461 12 дней назад

    Ukiona kiredio anakupigia simu usipokee mtego huooo😂😂😂😂😂

  • @beatbyrich2891
    @beatbyrich2891 6 месяцев назад

    Mnunuzi wa gari ana roho ngumu kwa mwaka huu 2023 yeye ni bingwa. Demu gani huyo mbovu hivyo

  • @michaelmchome6067
    @michaelmchome6067 4 месяца назад

    Kiredio umetukana apo mwisho😂😂😂

  • @complex7582
    @complex7582 6 месяцев назад

    Umalaya mbaya sana

  • @NazminaAbuu
    @NazminaAbuu 2 дня назад

    Nimecheka🤣🤣🤣🤣

  • @emanuelmaeda7809
    @emanuelmaeda7809 7 месяцев назад +3

    Reality at it peak

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 7 месяцев назад +2

    uhun mbay😂😂😂😂 kakos tako la nyani 😂

  • @barakambise1859
    @barakambise1859 7 месяцев назад

    Daaaaaaa hii imeendaaaaa

  • @bahatkisam8367
    @bahatkisam8367 7 месяцев назад

    Hahahahahaha sjui nacheka nn ila😂😂😂😂😂 ni huzuniii

  • @user-yb2qy8mb9u
    @user-yb2qy8mb9u 6 месяцев назад +1

    Kiledio sijui nita kupataje wewe nikupe pongezi yan ninge kuwa na namba zako kila mwisho wa mwezi nakutumia mshahala kwakazi nzur yani nime fulahi sana huja kosea hata kidogo yani pongez kwako kaka 🤸🤸🤸🤸👍👍👍asante kiledio wee kiledio weweeee🙂🕺🕺

  • @AcrayMdemu-td4kr
    @AcrayMdemu-td4kr 7 месяцев назад +2

    😂😂Umetishaaaaaa

  • @mj.tv.forpeople992
    @mj.tv.forpeople992 7 месяцев назад +1

    Hivi za kweli au

  • @user-ih1rj8ov8j
    @user-ih1rj8ov8j 7 месяцев назад

    Inauma Sana..lakn kapata funzo lake,,tulia na mpnz 1tu hayo mambo ya kuruka ruka tuwaachie wasio na malengo ya kuwa future wife💞,,jamen tuacheni ss wadada wa udsm sio sote vicheche jamen malaya wapo kila sehem huyo asituchafulie wengine kila mtu na tabia yake.......Ila dah! Kakosa gar😂 +💔

  • @musician939
    @musician939 7 месяцев назад

    Just good gal

  • @dinaalfani
    @dinaalfani 6 месяцев назад

    Mmh.kiredio honger sn njoo na huku ukomeshe wachepukaj jmn n ayb kw kwel

  • @clarangowi4402
    @clarangowi4402 7 месяцев назад +8

    Hii imeenda, msisahau ku like tafadhali??

  • @prospermmary1388
    @prospermmary1388 7 месяцев назад +1

    Mm ndo ben na sikutaki tena 😂😂

  • @salhaayub1338
    @salhaayub1338 7 месяцев назад +13

    😂😂😂😂😂 kaacha gari sababu ya mwanaume wengi

    • @SupermanOman-qd6sd
      @SupermanOman-qd6sd 7 месяцев назад +1

      Maraya mm ningechukua tu

    • @salhaayub1338
      @salhaayub1338 7 месяцев назад

      @@SupermanOman-qd6sd usikute huyo Mwanaume anamjua ben ndy maana kashindwa

    • @zawadichalale4047
      @zawadichalale4047 7 месяцев назад

      Mi ningepambana alafu ningemwambia ben ni kk Yangu we mbele ya ndinga ningejua Cha kujieleza 😂😂😂😂

    • @salhaayub1338
      @salhaayub1338 7 месяцев назад

      @@zawadichalale4047 🤣🤣🤣 akili inaruka unachanganyikiwa kwa mda chezea kuchanganya dozi wewe 🤣🤣

  • @Zero26255
    @Zero26255 7 месяцев назад +3

    Sema kiredio umechoma 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @nero7941
    @nero7941 7 месяцев назад

    Wanawake nyoko Apo katajwa Beni ukute mume wa mtu nae Muongo muongo 😂

  • @khadidjaabdi-hd8py
    @khadidjaabdi-hd8py 7 месяцев назад +1

    Michepuko so dirii Beniii😅😅😅😂😂

  • @fredricksabick-hi1fl
    @fredricksabick-hi1fl 7 месяцев назад +1

    Usha haribu graduation ya mtu hapo😅

  • @user-zi8dh3nw8d
    @user-zi8dh3nw8d 7 месяцев назад +1

    Pole sister😂😂

  • @user-xy8kl9wd2i
    @user-xy8kl9wd2i 7 месяцев назад +2

    Hiyo gari si nipewe mm tu😢😂

  • @Teeh-vi1zw
    @Teeh-vi1zw 7 месяцев назад

    Daaah cku ake iliisha vibaya 🚶🚶🚶 kwa msoto wa UDSM af akoxe 🌝

  • @user-jy5rw2kx1w
    @user-jy5rw2kx1w 7 месяцев назад

    😂😂😂😂kaishiwa poz

  • @user-fs8ov6ut6d
    @user-fs8ov6ut6d 7 месяцев назад

    tatizo ni malaya sana anamabwana wengi asa apo alikuwa ajui na bwana gani aliemtumia gari

  • @yusuphchiputa4809
    @yusuphchiputa4809 7 месяцев назад +1

    Au alikua na mabahasha wenye Hela wengi daah..😂

  • @shapdullayo837
    @shapdullayo837 6 месяцев назад

    Wadada wengine.. tupunguzeni Umalaya!

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 7 месяцев назад +5

    Wanaume wawili kwa wakati moja hpo ndio niishindwa kwenye hii dunia

    • @AngelAbbah-wc5un
      @AngelAbbah-wc5un 7 месяцев назад +1

      Wawil hapo ukute ana zaid ya wawil lkn huyo ben ndo anampenda sana hlf ukute hana maajabu yeyote huyo alomtaja

    • @user-wt7mm9lx8i
      @user-wt7mm9lx8i 6 месяцев назад +1

      Usishindwe Tupo wanawake nunaoweza kulidhika na mwanaume mmoja ilahyu kauwa jaman😂😂

    • @azizayassin3623
      @azizayassin3623 6 месяцев назад

      @@user-wt7mm9lx8i 😀😀😀 umala kiwango cha juu kashindwa kutofautisha baba na boyfriend 🙄😏

    • @azizayassin3623
      @azizayassin3623 6 месяцев назад

      @@AngelAbbah-wc5un 😃😃😃😃 my na wewe hna kweli majabu yoyote yle

  • @whitemusic1419
    @whitemusic1419 7 месяцев назад

    Jina la movie tafadhali,

  • @witnessinary7807
    @witnessinary7807 7 месяцев назад +3

    Wadada wa chuo😃😃😃😃

  • @gastonfuraha
    @gastonfuraha 7 месяцев назад +1

    Duh shd sana

  • @NdituTV
    @NdituTV 6 месяцев назад

    Kiredio mnafiki😂😂😂😂

  • @Jonah_lee.
    @Jonah_lee. 7 месяцев назад

    Eti kirediooo 😂😂😂😂 tamaaa mbaya sana

  • @user-vj2go2xk8x
    @user-vj2go2xk8x 9 дней назад

    Mh aibu naona mm jaman 😢😅😂😂

  • @josephmutalemwa1461
    @josephmutalemwa1461 7 месяцев назад

    Daah kiredio 🎉🎉🎉 nakutafuta mke Wang nae nione vip

    • @umukulthumu1419
      @umukulthumu1419 7 месяцев назад +1

      Mke hata akiwa namchepuko lazima atakuja ww mumewe mana wake zenu wakutoka nje yandoa huwa wanaiambia muchepuko yao kama anae mume yan hii challenge wanawake waliolewa hawawez kunasa😆😆😆 ila wanaume waliooa wananasa kwasababu huwa wakitoka nje hawawaambii michepuko kama wameoa zaid watadanganya ili tuu wapate ngono

  • @hawaomary96
    @hawaomary96 7 месяцев назад

    Kakosa vyote na umalaya wake😅😅😅😅😅

  • @amirially750
    @amirially750 7 месяцев назад +1

    Eti unamjua anajibu siyeah haha😂😂😂

    • @UpepoVlogs
      @UpepoVlogs 7 месяцев назад

      Alipatwa na kigugumizi maana kaumbuka,Gari kakosa na kaharibu siku yake kwa herufi 3 tu yani "BEN"😂

  • @msafirisaimoni9561
    @msafirisaimoni9561 6 месяцев назад

    Uaminifu kitu cha msingi sna😂😂😂😂

  • @jumalimbende4021
    @jumalimbende4021 7 месяцев назад

    mnaachia matusi tu wasenge nyio😂😂😂😂😂

  • @jabirkhamis5301
    @jabirkhamis5301 7 месяцев назад +3

    Nimecheka ki KU###### "ETI KWENYE MA BOYFRIENDS ZAKO UNASHINDWA KUMJUA MTU MWENYE HELA MWANANGU"😂😂😂😂😂😂😂

    • @omariaman7818
      @omariaman7818 7 месяцев назад

      Hiki kisa kifatilie vizuri unaambiwa huyo jamaa mwenyewe anaishi life la kawaida sana tu kama bwege halafu sio kwamba anamkwanjaa saaana