Kwnz kiredio shukran Sana kwa kutuletea loyalty test vlogs humu ,nimefurah Sana sababu nlipokuwa nkitazama za Ayral nlitamani Sana bongo tuwe nazo maana ,unasaidia Sana kujua watu fake,pili Ni burudani .Ni vile tu fuatilia wanaofanya such videos ktk nchi mbalimbali upate contents nzr ,pia namna ya kupata sauti moja kwa moja ukiwa umejificha ,mfano mlipoenda kujificha chumbani ilitakiwa mbuni namna ya kupata sauti moja kwa moja kutika sebleni yaan mngekuwa na simu ya ziada then mngempigia mdada akiwa seblen ameshika simu bila nyinyi kuongea ili kupata mazungumzo yao moja kwa moja,panapo majaaliwa mpate usafiri wenu kwaajili ya kazi km hizo ,ya yote video nzr ,onheza ujuzi kutoka kwa RUclipsrs mbalimbali km I know Ayral , he's my favorite ili utuburudishe wapenz wa vlogs na videos km hizi... hongeren Sana kiredio na crew yako nzma kwa kazi hiyo..😌
Pole mpenzi wangu umejitoa lkn umeambulia kuitwa malaya kosa lako nini love you kwanza upo single na geto lako nzur unajiweza zako mwenyewe huna baya ❤❤❤
Huyo jamaa mwenyew jamniiiii😂😂😂😂tuangaliege na wanaume wa kudate naoo,,,mdada mzuriii ila mkaka kama walee wa manzeseeee
Kijamaa chenyewe kibayaaaa kichafu chafuu tuu khoooo afu eti anamkasirikia shogake Kwa bwana Gani Sasa?chefuuuuu visichana vingine hajitambui.
Sema huyu dada ana kitu mwangalieni vizuri anaweza kuwafaa
Sasa anamtukana mwenzake kwann wakat alikubal ni challenge sijapenda huyu dada hazimo vizuri
Siwezi kudeti na mwanaume anae vaa kitambaa kichwani😏
Kwnz kiredio shukran Sana kwa kutuletea loyalty test vlogs humu ,nimefurah Sana sababu nlipokuwa nkitazama za Ayral nlitamani Sana bongo tuwe nazo maana ,unasaidia Sana kujua watu fake,pili Ni burudani .Ni vile tu fuatilia wanaofanya such videos ktk nchi mbalimbali upate contents nzr ,pia namna ya kupata sauti moja kwa moja ukiwa umejificha ,mfano mlipoenda kujificha chumbani ilitakiwa mbuni namna ya kupata sauti moja kwa moja kutika sebleni yaan mngekuwa na simu ya ziada then mngempigia mdada akiwa seblen ameshika simu bila nyinyi kuongea ili kupata mazungumzo yao moja kwa moja,panapo majaaliwa mpate usafiri wenu kwaajili ya kazi km hizo ,ya yote video nzr ,onheza ujuzi kutoka kwa RUclipsrs mbalimbali km I know Ayral , he's my favorite ili utuburudishe wapenz wa vlogs na videos km hizi... hongeren Sana kiredio na crew yako nzma kwa kazi hiyo..😌
😂😂kwaio umeshaharibu fresh umewaacha wakamalizane wenyewe 😂😂jamaa ww
Uyo demu hapo mwenye geto nimemkubali sana mno kweli kabisa ni mstaarabu pia mcheshi
Daah ila wadada as anakosa gan mwenzake na aliambiw akakubali kil kitu asee Leo kgeuka shog ake ila jmn😂😅😊 wanaume
Huyu dada ana rafiki mwaminifu, sema yeye mpuuzi, alivyomuattack nimeboeka sana😅😅😅
Mi nachekaga tu jamaa kameza kidonge kwenye maigizo show kakosa 😂😂
Kazi nzuri msaidieni huyo nzuri mwanaume mwenyew sio wa hadhi yake huyo aende zake huyo
Jamaa kampigia shem wake na kidonge 😂😂nimecheka kwa kweli
Kiredio unajitahidi Sana kaka kuunda content much love from this side
Pole mpenzi wangu umejitoa lkn umeambulia kuitwa malaya kosa lako nini love you kwanza upo single na geto lako nzur unajiweza zako mwenyewe huna baya ❤❤❤
Uyoóoo dada kazingua sa rafiki ake kakosea wapíii jamaniii na kamsaliti kiajeee sasaaa dada mzuri et """msenge.......mara kum.....'''''''😂😂😂😂😂😂😂
Uyo dada nae aache uchuro asa kam kasirikia mwenzak kwa kosa gan jmni
Sema nakushauli mzee uwe unatembea ata na mbavu mmoja kwa usarama wako 🔥
Kupenda kibaya sana uyo jamaa mwenyewe sasa bado anaweza karanga kwenye mfuko wa suruari😂😂😂
Sema Kijamaa kilikuwa na hamu na shem wake mpk kimeenda na vidonge kabisa ila kile mzigo fresh kisimamie kucha