Hapo ukute p umri ulikwisha enda kajiopolea bwana wa watu akajua kapata😅😅😅 but nimpenda rose anaongea Kwa busara. ❤❤❤ Love u 😘 Rose halafu wadada mjue kutambilishwa Kwa ndugu siyo kuolewasijuw mnanipata😮
Nyie nyoote ni michepuko hahhhahh kumbe hakuna mke hapo mie nilijua mmoja kaolewa kumbe nyoote mnaziniwa tu mwisho wa siku anaenda kuoa mwingine endeleeni kugombania tu😅
Shost kujulikana kwa mwanaume siyo kuolewa.... 😃😃 tuulize sisi tuliopelekwa ukweni na tukakaa miezi na hatukuolewa na tulifahamika na ukoo mzima... Rozi upo good sana❤❤ nimependa jins ulivyo smart kuanzia akili mpaka mwili una hekima sana kipenz...
Huyu Dada roze nimempenda kwanza hana papara !! She is cool and fery high thinking capacity before talking!! Huyu akiwa mkeo unaenjoy maisha !! Sio mtu wa kujipanikisha ovyo!! 👏👏👏✌✌
Mapenzi yana mambo mengi sana p sio mwizi p pia alitongozwa km Rose ilspokuwa mwanamke ulie wahi kuumizwa kwenye mpenzi au mwanaume ulie wahi kuumizwa hapo mwenye makosa ni mwanaume hakuwa mkweli ila ina uma tuwe wa kweli vipenzi vyangu mapenzi yanauma sana saba 😢
Nikwel katongozwa P kama Rozi ila alichofel yy kutaka kujua Rozi ni nani kwa huyu mwanaume na mbaya zaid anaaza kusema mme wng natabulika kwako ila Pole P hongera kwa Rozi
Yaani hilo ni funzo kwake na kwa wengine kuwajua vyema hawa wanaume huwa ni watu wa tamaa Ila wanaakili za kuangalia wapi scheme sahihi ya maisha yake ya baadae
Rose ,your one of a million ladies outside here, very much wise, intelligent and focus, Malk bro you have a wife, and a mother of your kids bro love Rose
Daaah Kumbe wanawake kama Rose Bado wapo Duniani, daaah impressive woman, full of IQ, Big up Rose you deserve kuish milele ili uwe mfano Kwa wengine 🎉🎉🎉🎉 chukua maua yako
Rose ni role model wangu kwa leo aisee❤❤❤nimempenda sana...ni mstaarabu na yupo na confidence ile level ya juu kabisa. Mungu awadumishe sana kwenye mapenzi yenu wewe na mumeo mzikane jamani❤
Ghaaaiiiiiii😅huyo Rose yupo kama mm atiiii me nachojua kwa mwanaume wangu nipo mm tuu hao wanajibaruguza wachaaa waburuzweee mwishowe Bwana anarud zake kwangu😅😅❤
Rose ni Mwanamke hodari na mwenye busara tena ana akili sana na anaonekana ana uvumilivu ,Mungu akupe maisha marefu Dada I'm proud of you, yaani najikuta nina wivu juu yako, Upo smart kwakuongea Sister.
Mwaka mmoja p kajiona mwamba kaita had Mr. UK. Ila rose anajiamini plus mstaarabu sana na ajidanganyi.. Hapo angekua mwanamke mwengine huyo rose ungekuta anamtukana as yani nimekupa mtaji unanicheat. Yeye kasimamia ukweli yeye ndo chooseni
Ukitaka Mbwa asikubwekee mpe chakula Kama alivopewa marick hawezi kuwa na jeuri na rose amemfuga marick coz anajua ni Mbwa wake hawezi enda popote aende kwa p anakohonga vi elfu 15 ,20 Tena vya kuiba kwa Boss weeeeee marick chezea pesa usichezee kaziiiii utakula dagaaa
Rose haendeshwi na hisia bali anajiamini na kukubaliana na kila kitu na bado ongea yake ni ya busara sana aisee mi siwezi kumfatilia mwanaume kiasi hicho hali ya kuwa hajanioa na sina uthibitisho wa kuwa mkewe halali hebu ona kilichomkuta P 😢😢😢😢😢😢
Maskin nmemuonea huruma p nkiwa kama mwanamke mwenzake maana kosa sio lake wanawake tunadanganywa sana duuu Japo mwaka mmoja ni mkubwa kumchezea mwenzako kiasi hcho kampotezea sana mda
Rose una busara sana dadangu.
Strong woman ever.
God bless you
Kwa kweli ❤
Rose mwamke wa nguvu nakupa salut mama kaza Buti hao mafisi Wanamdondoshe mate mumeo
🎉Hfrerhegexhheqfhhexeqhehqhqehqhwhrgeqeqhqwehh@@JudithAdonis
Siku zote mwenye BUSARA na HEKIMA atakua juu🥰🙏.
Rose ni mwanamke na nusu🔥💯
Rose nimempenda sana yaani mno mno mno ❤❤❤Rose popote ukiona comment hii nakupenda bure
Rose nimekupe da sana kuwa na ujasisiri was kutosha
Team Rose kidole juu☝️
😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮
Rose popot ulipo nmejifunza kutok kwako unajiamn mpk rahaa makopa yko uchukue❤❤❤❤❤
We acha tu
P mke wake unamwita mchepuko yan rose ww si unipe na mimi hyo siri ya maisha jamn niwe km ww nimekupenda mimi❤❤❤
Rose jaman nimekupenda bure mnomnomno ,❤❤ Yani ukiona hiii comment una busara dada yang strong woman ever god bless you ❤❤
Unafaa da rose kuhitwa mke wa mtu hongera kwa hekima uliyo nayo nakupenda sana ❤❤❤
Waliopenda rose gather here😂😂😂
Nimempenda Sana rooooose🎉
❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤
Eti nauliza jamn aya mambo ni kweli au wanaigiza 😅😅😅😅😅 maana
Hahah😂😂😂😂😂 shout out for Roses confidence
Hapo ukute p umri ulikwisha enda kajiopolea bwana wa watu akajua kapata😅😅😅 but nimpenda rose anaongea Kwa busara. ❤❤❤ Love u 😘 Rose halafu wadada mjue kutambilishwa Kwa ndugu siyo kuolewasijuw mnanipata😮
Nikweli
Kabisaaaa
I love Rose the way she talk
Yes nilikuwa naifatilia hii bora imeisha ila nimempenda sana Rose nimwanamke ambaye anaonekana kichwa chake kinafanya kazi vzur
Tulio rudia mara mbili mbili tujuane kwa like
😂😂😂😂😂ni hatarii 😝😝😝
Duuu ila Loz nimzuli Kisha anaeshima na busala piya mashaallah
Sio lozi Rose
@@mohamedchillumba-rk4eu😂😂😂😂😂
Loz nimke mwema so hawez kosa busara angalia sasa hio mbuzi inavyo jibu p anatamaa na duka za msela alizopewa na Loz
@@mohamedchillumba-rk4eu a weee 🤣🤣🤣
Nyie nyoote ni michepuko hahhhahh kumbe hakuna mke hapo mie nilijua mmoja kaolewa kumbe nyoote mnaziniwa tu mwisho wa siku anaenda kuoa mwingine endeleeni kugombania tu😅
one of my fav videos💥💥💥💥...how rose is so calm though no MAN is perfect but hope MARKI sees this GEM
Imeisha hyoo,,mke atabak kuwa mke na mchepuko hatabak kuwa chepuko,,,mume hawez Tema big G kwa karanga zakuonjeshwa umeupiga mwingi da rose 👏👏👏
Usikute maliki kalinda kula yake hawa viumbe hawatabiriki,akirudi kwa p anajibebisha😂😂😂😂😂 nawaza tu
Mungu nipenguvu zakufanyakazi oman nideree namaishayangu
Shost kujulikana kwa mwanaume siyo kuolewa.... 😃😃 tuulize sisi tuliopelekwa ukweni na tukakaa miezi na hatukuolewa na tulifahamika na ukoo mzima... Rozi upo good sana❤❤ nimependa jins ulivyo smart kuanzia akili mpaka mwili una hekima sana kipenz...
Ila wake jmn👐👐
🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣
Rose ana busara sana hivi ndyo anavyotakiwa mwanamke awe pokea mauwa yako❤,p mchepuko anamzarau mwenye mume nimjinga sana😂😂
Mwanamke yoyote duniani uzuri ni akili . Rose anaakili mingi sana
𝑁𝑚𝑒𝑝𝑒𝑛𝑑𝑎 𝑥𝑎𝑛
rose uko vizuri unabusara sana
Nimekupenda bureeeeeeeee Rose
Huyu Dada roze nimempenda kwanza hana papara !! She is cool and fery high thinking capacity before talking!! Huyu akiwa mkeo unaenjoy maisha !! Sio mtu wa kujipanikisha ovyo!! 👏👏👏✌✌
😂😂😂😂😂😂😂 wee p weweee kafe mbele ndoa tunayo dada kwanza unasura nzitooo losheni tu inakusaidia 😂😂😂
❤❤akii uyuu dadaa nime mpendaa xnaa ana hekima ya moyoo afunguee shule ya mahusiano no lov no stress
Mapenzi yana mambo mengi sana p sio mwizi p pia alitongozwa km Rose ilspokuwa mwanamke ulie wahi kuumizwa kwenye mpenzi au mwanaume ulie wahi kuumizwa hapo mwenye makosa ni mwanaume hakuwa mkweli ila ina uma tuwe wa kweli vipenzi vyangu mapenzi yanauma sana saba 😢
Nikwel katongozwa P kama Rozi ila alichofel yy kutaka kujua Rozi ni nani kwa huyu mwanaume na mbaya zaid anaaza kusema mme wng natabulika kwako ila Pole P hongera kwa Rozi
Wanaume hawajawahi kuwa wakweli kwenye mapenzi
Yaani hilo ni funzo kwake na kwa wengine kuwajua vyema hawa wanaume huwa ni watu wa tamaa Ila wanaakili za kuangalia wapi scheme sahihi ya maisha yake ya baadae
Rose ,your one of a million ladies outside here, very much wise, intelligent and focus, Malk bro you have a wife, and a mother of your kids bro love Rose
Daaah
Kumbe wanawake kama Rose Bado wapo Duniani, daaah impressive woman, full of IQ,
Big up Rose you deserve kuish milele ili uwe mfano Kwa wengine 🎉🎉🎉🎉 chukua maua yako
Rose ni role model wangu kwa leo aisee❤❤❤nimempenda sana...ni mstaarabu na yupo na confidence ile level ya juu kabisa. Mungu awadumishe sana kwenye mapenzi yenu wewe na mumeo mzikane jamani❤
Dada rose upo vizuri dada nimekupenda bure natamani hata nipate no yako. Una busara sana dada❤❤❤
Je wewe huna busara
Rose nimwanamke haswa nimeipenda😊
Ghaaaiiiiiii😅huyo Rose yupo kama mm atiiii me nachojua kwa mwanaume wangu nipo mm tuu hao wanajibaruguza wachaaa waburuzweee mwishowe Bwana anarud zake kwangu😅😅❤
Sina ht Cha kuongeza rose umemaliza hii ndio mwanamke inabid ubehave❤
Sema rose yuko na akili sana mtu wa maana kbc Malik hawezi kumwacha huyu mwanamke ko P angalia upande mwingine girl friend
Busara huyu dada anayo sana nimejifunza kitu sana sana kaka unlje na kwangu piaa
Rose nimekupenda bure unafaa kuwa make na nakuombea Kwa mungu utakua mam bora mungu akutunz nimejifunza kit kikubwa san ❤❤❤❤
Huyu Roz anafaa kua mke,
Hakika kwanza anajielewa vibayano
Rose apewe maua yake 🎉
Tayàli Ni mke
Kbs
Wanaume huwa mnajichanganya sana jaman.....loooh !!
Amekiri kwamba Rose ni mke wake but amempotezea muda P 🤔🤔
Rose ni Mwanamke hodari na mwenye busara tena ana akili sana na anaonekana ana uvumilivu ,Mungu akupe maisha marefu Dada I'm proud of you, yaani najikuta nina wivu juu yako, Upo smart kwakuongea Sister.
Nime jifunza kitu Kwa Rose jamani 🙏🏾 mwanamke ni akili heshima na hekima balikiwa da Rose
Ila sisi Wanaume tunajua tuyafanyao kwa mabinti ,hatuwez chagua mbulala hata iwe pisi vip😅😅
Ila rose mzuri!!!❤❤❤.
😘😘Roz ni powerful women Hana papara mingi,makopa kwa ajili yake♥️♥️♥️♥️♥️
P kwanzaa hata alikuwa hajiamin tangu mwanzoo😅😅😅
Lazima asijiamini mwaka mmoja kwa miaka minne
Roz jmn nimempenda huyu dada anajiamin sana big up
Hata Mimi nimempenda pia
Hivi haya ni maigizo au ni ukweli, mbona kama ni ukweli aibu naona mimi😂😂😂😂
Ni kweli
Sio maigizo ni ukweli kabisa
Na kama sii kweli ina funzo .binafsi mimi ishanitokea
❤ Rose nimekupenda Bureeee Dada Mungu anipe Hekimaa kama Uliyonayo Mama Nakupenda nakupenda zaidi
Tuunganishe na roz tumpe hongera zake ni mwanamke na nusu💃💃❤❤❤
❤❤❤❤
Rose katulia sana hapanick wala nn aaak huu mchezo hautaki hasira we p kaendelee ty kupaka mkorogo dada😂😂😂
That Rose HAVE GOD WISDOM ❤❤❤ BOLDNESS 🥳🥳
Da rose Big up San nimekuoenda Kwanza huna presha na mahusiano yak like it❤❤❤❤
Nimempenda sana Rose, Nimwanamke ambae hakurupuki afu mnyenyekevu woow hongera mdada.
Nilijua rose ndowifi yetu ❤❤
Asante Mungu kwaajiri ya moyo wa Rose ❤
Rose upo vizuri dege wako kwann umshikie mabati
😘 Rose
Masikini p mbona anaforce mapenzi and much love Rose❤
Mwaka mmoja p kajiona mwamba kaita had Mr. UK. Ila rose anajiamini plus mstaarabu sana na ajidanganyi.. Hapo angekua mwanamke mwengine huyo rose ungekuta anamtukana as yani nimekupa mtaji unanicheat. Yeye kasimamia ukweli yeye ndo chooseni
Nimekupenda sana 🌹 waoooh your very comfortable congratulations.
😂😂😂uzuri marick ajatoa pesa za uyu asuke uyu asisuke wote ni mnyooshoo mashallah 😂
😂😂😂😂
@@hamzachigogolo7766 kwann unacheka
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 uwiii
😂😂😂
Hahahaha
Weeh kumbe walikuwa wanaishi come to stay, hiyo ni noma sana, bt risk yako iko mbele mbele, Allah atakupa mume bora zaidi wa huyo
Hiii inachekesha kweli 😂😂uyo malki cjui anajiskiaje
Jamni 😂😂😂 nimechakaa
Ila wanaume 😢😮😊😂
Congleshen rose 😂😂😂 p Fanya maamuz yakumove on ....unajichoreshaaaa
Rose mzuri na anaakili❤
Mwanamke mweusi ni mzuri❤
I like rose big up 2 u dd rose,
Hapo aliyemuita mwenzie mchepuko kumbe yeye ndio mchepuko hatari sana kwakweli rozi anafaa na ana point nzuri
Huyu Rose jamn kanifurahisha sana yaan Yuko vzr sana Hana presh kwanza ❤❤❤
Nlpomuona uyo wife kwny connection ndo nkagundua n drama km drama nyingine nko hapa nmetuliza fuvu... Good movie
Nakpenda da rose ❤❤❤
4 real meipendah vile madam rose umebehave , kiukwel watot wako wamepat a good mom.....🎉
Big up ' ~da rose 🤗 wise woman
P aibu yake 😂😂yan mwizi ndo anasema kaibiwa😅
Daah natamani ningekuwa na moyo kama wa rose😂
😂😂 kwa kweli
Ukiamua tu unaweza
Lakini sasa😂😂😂
Ukitaka Mbwa asikubwekee mpe chakula Kama alivopewa marick hawezi kuwa na jeuri na rose amemfuga marick coz anajua ni Mbwa wake hawezi enda popote aende kwa p anakohonga vi elfu 15 ,20 Tena vya kuiba kwa Boss weeeeee marick chezea pesa usichezee kaziiiii utakula dagaaa
Kwanza comedown 😂😂 woiii ROSE❤❤❤
P alishajua kapata bonge la bwana lenye mihela yake 😅😂
Hao ndo wadada wasio fanya kazi 😅😅😅😅
@@evaaggrey1382 kwakweli kabisaa
Ivi Huyu P anajielewa kweli?😂😂😂 mtu umeingilia penz la mwenzio alaf unamtafta uliemkuta😂😂😂 Shenz kabisa
Mr uky nakukubal sana
Woohoo! Rose Ni mke jaman mstaarabu sana Malik mke anae
Rose haendeshwi na hisia bali anajiamini na kukubaliana na kila kitu na bado ongea yake ni ya busara sana aisee mi siwezi kumfatilia mwanaume kiasi hicho hali ya kuwa hajanioa na sina uthibitisho wa kuwa mkewe halali hebu ona kilichomkuta P 😢😢😢😢😢😢
Njaa mbaya sana zingatia maokoto
Maskin nmemuonea huruma p nkiwa kama mwanamke mwenzake maana kosa sio lake wanawake tunadanganywa sana duuu
Japo mwaka mmoja ni mkubwa kumchezea mwenzako kiasi hcho kampotezea sana mda
Alaf ukute mwanaume hata muoa hata mmoja mweeeeeeeeee
Kabisa mana inavoonekana uyo rose ndo kamfungulia biashara, asa we uliona wapi iyo jmn
Hyo dem mwembamba hana stress maana anajua mwanaume ni wake 😂😂😂😂😂
Rose Mungu akutunze. Marick akiiona hii clip atajua kweli mke nimepata. Huyu p ni mpuuzi kabisa Hans adabu ata kidogo
Rose ni mwanamke na nusu nimekupenda bureeeee ❤
Rose ni mwanamke na nusu
Nimempenda saana namna anavyohandle situation nguvu kwa njia ambayo hata adui anaonajiuliza huyu mtu au malaika 😂😂
wanaume ni watu waajabu sana mwanamke unaonaje kugombana na mwanamke mwenziyo kisa mwanaume 😅😅
Yaan p unaiba afu unatishia 😂😂😂😂😂😂unawazimu ,nngekuzibua weupe wote uishe 😂😂😂😂😂ungekua mwekundu
Rose nimzuri sana napendaga wanawake wenye miili ya Rose alafu rangi yenyewe haijapelekwa kiwandani
Nimependa utulivu wake,huyu ni mke kabisa
Asante Malik.., Rose deserves to be a wife!!!!
The meaningful of beauty and brain ❤
Yn katika challenge nimeipenda ni hiii rose nakupenda nakupenda Tena djamani
Rose hogera sana, nimejifunza kitu kwako🎉❤❤❤❤❤
P kwaio ndo mwizi wa mume wa rose half yey mwizi ndo kenda kushataki kaibiwa😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂
Akili kisoda 😂😂
Inaonyesha huyu p aliingia kwa huyo jamaa bila hata kuvua viatu yani mzima mzm, nakushari bro mpende sana mkeo rose pls,
Kwa mjibu wa maelezo ya hao akina dada Rose ni mke sahihi wa maliki
Wanawake wapuuzi ni wengi sana. Huyu P ni mdada wa aje eti. Wanawake tuwe na akili tunagombana sababu ya mwanaume na mlikua hamjuani. Mxiiuuuu
Mwanamke mwenye ela na akili haachwi😅 pole p
yani rose🎉namp maua yake ni mtu anaejielew sana❤😊
Uyo p nae kujizalilisha tu😂 na huyo Rose awe makini na uyo buana asijione kapata bwana hawez acha umalaya
nimpe mpa respect zangu sana rose.......
Rose I love you. Wewe ni mwanamke shujaa sana. I like the way you handle situation . Wewe ni mke mwema na jasiri sana
Huyu P alimpwnda MALKI kisa pesa na hakuwa na lolote fala huyu Big up Rose Jimbo ni lako in full
P sukali imepanda😂
😂😂😂😂
😂😂
😂😂 nimecheka 😅
Yani rose nimeku salute dada mm nko Kenya lkni p hyo awe pole ❤❤
Rose❤ i love the way you react
Aibu naona Mimi ukuu Oman Roz hongera sanaa pokea mauwa yako 🎉🎉🎉❤❤❤😂😂😂😂