MKE NA MCHEPUKO WA KUTANA Part 2

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 сен 2024
  • Marki Wechepuka Kwa wanawake wa will

Комментарии • 1,2 тыс.

  • @esthermollel9892
    @esthermollel9892 5 месяцев назад +141

    Rose una busara sana dadangu.
    Strong woman ever.
    God bless you

    • @JudithAdonis
      @JudithAdonis 4 месяца назад

      Kwa kweli ❤

    • @RehemaHondi
      @RehemaHondi 4 месяца назад

      Rose mwamke wa nguvu nakupa salut mama kaza Buti hao mafisi Wanamdondoshe mate mumeo

    • @MaryLuoga
      @MaryLuoga 2 месяца назад

      🎉Hfrerhegexhheqfhhexeqhehqhqehqhwhrgeqeqhqwehh​@@JudithAdonis

  • @deelinus3080
    @deelinus3080 5 месяцев назад +149

    Siku zote mwenye BUSARA na HEKIMA atakua juu🥰🙏.
    Rose ni mwanamke na nusu🔥💯

  • @eunicegerminus193
    @eunicegerminus193 5 месяцев назад +276

    Rose nimempenda sana yaani mno mno mno ❤❤❤Rose popote ukiona comment hii nakupenda bure

    • @RehemaHondi
      @RehemaHondi 4 месяца назад +1

      Rose nimekupe da sana kuwa na ujasisiri was kutosha

    • @makatamauwa1996
      @makatamauwa1996 2 месяца назад +1

      Team Rose kidole juu☝️

    • @SabahiMassoud
      @SabahiMassoud 2 месяца назад

      😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮

  • @StellaDimitry
    @StellaDimitry 5 месяцев назад +74

    Rose popot ulipo nmejifunza kutok kwako unajiamn mpk rahaa makopa yko uchukue❤❤❤❤❤

  • @MohamedMwanikwa
    @MohamedMwanikwa 5 месяцев назад +70

    P mke wake unamwita mchepuko yan rose ww si unipe na mimi hyo siri ya maisha jamn niwe km ww nimekupenda mimi❤❤❤

  • @NeemaAkyo
    @NeemaAkyo 2 месяца назад +6

    Rose jaman nimekupenda bure mnomnomno ,❤❤ Yani ukiona hiii comment una busara dada yang strong woman ever god bless you ❤❤

  • @MauwaLubanda
    @MauwaLubanda 5 месяцев назад +16

    Unafaa da rose kuhitwa mke wa mtu hongera kwa hekima uliyo nayo nakupenda sana ❤❤❤

  • @lilianmwilawi7233
    @lilianmwilawi7233 5 месяцев назад +373

    Waliopenda rose gather here😂😂😂

    • @OliverGodwinzakaria
      @OliverGodwinzakaria 5 месяцев назад +5

      Nimempenda Sana rooooose🎉

    • @annamnyazi8206
      @annamnyazi8206 5 месяцев назад +2

      ❤❤❤❤❤

    • @LizzyLucas-xy8fj
      @LizzyLucas-xy8fj 5 месяцев назад +1

      ❤❤❤❤❤❤❤

    • @radephplv4976
      @radephplv4976 4 месяца назад +2

      Eti nauliza jamn aya mambo ni kweli au wanaigiza 😅😅😅😅😅 maana

    • @StylebyTully
      @StylebyTully 4 месяца назад

      Hahah😂😂😂😂😂 shout out for Roses confidence

  • @JanethErasto
    @JanethErasto 5 месяцев назад +24

    Hapo ukute p umri ulikwisha enda kajiopolea bwana wa watu akajua kapata😅😅😅 but nimpenda rose anaongea Kwa busara. ❤❤❤ Love u 😘 Rose halafu wadada mjue kutambilishwa Kwa ndugu siyo kuolewasijuw mnanipata😮

  • @joycerajabu8448
    @joycerajabu8448 2 месяца назад +6

    I love Rose the way she talk

  • @IssaIddi-vb9yi
    @IssaIddi-vb9yi 5 месяцев назад +31

    Yes nilikuwa naifatilia hii bora imeisha ila nimempenda sana Rose nimwanamke ambaye anaonekana kichwa chake kinafanya kazi vzur

  • @SarahAntony-dv2co
    @SarahAntony-dv2co 5 месяцев назад +41

    Tulio rudia mara mbili mbili tujuane kwa like

    • @WardaHemedy
      @WardaHemedy 4 месяца назад +1

      😂😂😂😂😂ni hatarii 😝😝😝

  • @Salmakaucha
    @Salmakaucha 5 месяцев назад +109

    Duuu ila Loz nimzuli Kisha anaeshima na busala piya mashaallah

    • @mohamedchillumba-rk4eu
      @mohamedchillumba-rk4eu 5 месяцев назад +5

      Sio lozi Rose

    • @faridalihondo3322
      @faridalihondo3322 5 месяцев назад +1

      @@mohamedchillumba-rk4eu😂😂😂😂😂

    • @athumanhamad8522
      @athumanhamad8522 5 месяцев назад +2

      Loz nimke mwema so hawez kosa busara angalia sasa hio mbuzi inavyo jibu p anatamaa na duka za msela alizopewa na Loz

    • @AgnesDavid-et3zn
      @AgnesDavid-et3zn 5 месяцев назад +1

      @@mohamedchillumba-rk4eu a weee 🤣🤣🤣

    • @salmatuleteesehem71jmnmahm59
      @salmatuleteesehem71jmnmahm59 5 месяцев назад +1

      Nyie nyoote ni michepuko hahhhahh kumbe hakuna mke hapo mie nilijua mmoja kaolewa kumbe nyoote mnaziniwa tu mwisho wa siku anaenda kuoa mwingine endeleeni kugombania tu😅

  • @Ms.Shansha
    @Ms.Shansha 3 месяца назад +3

    one of my fav videos💥💥💥💥...how rose is so calm though no MAN is perfect but hope MARKI sees this GEM

  • @MwanahawaBea
    @MwanahawaBea 4 месяца назад +11

    Imeisha hyoo,,mke atabak kuwa mke na mchepuko hatabak kuwa chepuko,,,mume hawez Tema big G kwa karanga zakuonjeshwa umeupiga mwingi da rose 👏👏👏

  • @azinamsuya9350
    @azinamsuya9350 4 месяца назад +12

    Usikute maliki kalinda kula yake hawa viumbe hawatabiriki,akirudi kwa p anajibebisha😂😂😂😂😂 nawaza tu

    • @HasnaSawaid
      @HasnaSawaid 2 месяца назад

      Mungu nipenguvu zakufanyakazi oman nideree namaishayangu

  • @sofiaMtaita
    @sofiaMtaita 4 месяца назад +9

    Shost kujulikana kwa mwanaume siyo kuolewa.... 😃😃 tuulize sisi tuliopelekwa ukweni na tukakaa miezi na hatukuolewa na tulifahamika na ukoo mzima... Rozi upo good sana❤❤ nimependa jins ulivyo smart kuanzia akili mpaka mwili una hekima sana kipenz...

  • @KostaAgnasi
    @KostaAgnasi 3 месяца назад +10

    Rose ana busara sana hivi ndyo anavyotakiwa mwanamke awe pokea mauwa yako❤,p mchepuko anamzarau mwenye mume nimjinga sana😂😂

  • @lilylema5292
    @lilylema5292 5 месяцев назад +97

    Mwanamke yoyote duniani uzuri ni akili . Rose anaakili mingi sana

    • @almerquen8910
      @almerquen8910 5 месяцев назад +1

      𝑁𝑚𝑒𝑝𝑒𝑛𝑑𝑎 𝑥𝑎𝑛

    • @oscarcharles9624
      @oscarcharles9624 4 месяца назад

      rose uko vizuri unabusara sana

    • @wemapanga1547
      @wemapanga1547 4 месяца назад

      Nimekupenda bureeeeeeeee Rose

  • @JosephatMassae
    @JosephatMassae Месяц назад

    Huyu Dada roze nimempenda kwanza hana papara !! She is cool and fery high thinking capacity before talking!! Huyu akiwa mkeo unaenjoy maisha !! Sio mtu wa kujipanikisha ovyo!! 👏👏👏✌✌

  • @ZiiMwita
    @ZiiMwita 5 месяцев назад +8

    😂😂😂😂😂😂😂 wee p weweee kafe mbele ndoa tunayo dada kwanza unasura nzitooo losheni tu inakusaidia 😂😂😂

  • @JohnMkwizu-hj1iv
    @JohnMkwizu-hj1iv 5 месяцев назад +5

    ❤❤akii uyuu dadaa nime mpendaa xnaa ana hekima ya moyoo afunguee shule ya mahusiano no lov no stress

  • @aminamohamed9955
    @aminamohamed9955 5 месяцев назад +19

    Mapenzi yana mambo mengi sana p sio mwizi p pia alitongozwa km Rose ilspokuwa mwanamke ulie wahi kuumizwa kwenye mpenzi au mwanaume ulie wahi kuumizwa hapo mwenye makosa ni mwanaume hakuwa mkweli ila ina uma tuwe wa kweli vipenzi vyangu mapenzi yanauma sana saba 😢

    • @AksaMwigulu-ed9ck
      @AksaMwigulu-ed9ck 5 месяцев назад +2

      Nikwel katongozwa P kama Rozi ila alichofel yy kutaka kujua Rozi ni nani kwa huyu mwanaume na mbaya zaid anaaza kusema mme wng natabulika kwako ila Pole P hongera kwa Rozi

    • @annathomas-wy8yt
      @annathomas-wy8yt 4 месяца назад +2

      Wanaume hawajawahi kuwa wakweli kwenye mapenzi

    • @nurualamoody4305
      @nurualamoody4305 4 месяца назад +1

      Yaani hilo ni funzo kwake na kwa wengine kuwajua vyema hawa wanaume huwa ni watu wa tamaa Ila wanaakili za kuangalia wapi scheme sahihi ya maisha yake ya baadae

  • @Blackanzazi84
    @Blackanzazi84 4 месяца назад +1

    Rose ,your one of a million ladies outside here, very much wise, intelligent and focus, Malk bro you have a wife, and a mother of your kids bro love Rose

  • @agatonybenedict6985
    @agatonybenedict6985 5 месяцев назад +8

    Daaah
    Kumbe wanawake kama Rose Bado wapo Duniani, daaah impressive woman, full of IQ,
    Big up Rose you deserve kuish milele ili uwe mfano Kwa wengine 🎉🎉🎉🎉 chukua maua yako

  • @snowfalldahash7399
    @snowfalldahash7399 3 месяца назад +1

    Rose ni role model wangu kwa leo aisee❤❤❤nimempenda sana...ni mstaarabu na yupo na confidence ile level ya juu kabisa. Mungu awadumishe sana kwenye mapenzi yenu wewe na mumeo mzikane jamani❤

  • @JacklineAmbangile
    @JacklineAmbangile 5 месяцев назад +6

    Dada rose upo vizuri dada nimekupenda bure natamani hata nipate no yako. Una busara sana dada❤❤❤

  • @Mbambanaji
    @Mbambanaji 3 месяца назад +6

    Rose nimwanamke haswa nimeipenda😊

  • @DomitilaMollel
    @DomitilaMollel 5 месяцев назад +5

    Ghaaaiiiiiii😅huyo Rose yupo kama mm atiiii me nachojua kwa mwanaume wangu nipo mm tuu hao wanajibaruguza wachaaa waburuzweee mwishowe Bwana anarud zake kwangu😅😅❤

  • @minahsulesh8740
    @minahsulesh8740 5 месяцев назад +9

    Sina ht Cha kuongeza rose umemaliza hii ndio mwanamke inabid ubehave❤

  • @diva_20162
    @diva_20162 5 месяцев назад +32

    Sema rose yuko na akili sana mtu wa maana kbc Malik hawezi kumwacha huyu mwanamke ko P angalia upande mwingine girl friend

    • @JulianJohn-gn4ht
      @JulianJohn-gn4ht 5 месяцев назад +1

      Busara huyu dada anayo sana nimejifunza kitu sana sana kaka unlje na kwangu piaa

  • @WittinessOscar
    @WittinessOscar 5 месяцев назад +2

    Rose nimekupenda bure unafaa kuwa make na nakuombea Kwa mungu utakua mam bora mungu akutunz nimejifunza kit kikubwa san ❤❤❤❤

  • @thabitimkufi7388
    @thabitimkufi7388 5 месяцев назад +71

    Huyu Roz anafaa kua mke,

    • @SalmamashakaMashaka
      @SalmamashakaMashaka 5 месяцев назад

      Hakika kwanza anajielewa vibayano

    • @diyembarak5506
      @diyembarak5506 5 месяцев назад +2

      Rose apewe maua yake 🎉

    • @FrncMukwinka
      @FrncMukwinka 5 месяцев назад +1

      Tayàli Ni mke

    • @KhadijaJacob
      @KhadijaJacob 5 месяцев назад +1

      Kbs

    • @JudithAdonis
      @JudithAdonis 4 месяца назад

      Wanaume huwa mnajichanganya sana jaman.....loooh !!
      Amekiri kwamba Rose ni mke wake but amempotezea muda P 🤔🤔

  • @DieudonneMusangwa
    @DieudonneMusangwa Месяц назад

    Rose ni Mwanamke hodari na mwenye busara tena ana akili sana na anaonekana ana uvumilivu ,Mungu akupe maisha marefu Dada I'm proud of you, yaani najikuta nina wivu juu yako, Upo smart kwakuongea Sister.

  • @magrethjuma8515
    @magrethjuma8515 5 месяцев назад +32

    Nime jifunza kitu Kwa Rose jamani 🙏🏾 mwanamke ni akili heshima na hekima balikiwa da Rose

  • @强大张
    @强大张 5 месяцев назад +5

    Ila sisi Wanaume tunajua tuyafanyao kwa mabinti ,hatuwez chagua mbulala hata iwe pisi vip😅😅

  • @emmanuelnzaligo6262
    @emmanuelnzaligo6262 5 месяцев назад +9

    Ila rose mzuri!!!❤❤❤.

  • @eunicennko3861
    @eunicennko3861 5 месяцев назад +2

    😘😘Roz ni powerful women Hana papara mingi,makopa kwa ajili yake♥️♥️♥️♥️♥️

  • @OfficialBwalyah
    @OfficialBwalyah 5 месяцев назад +21

    P kwanzaa hata alikuwa hajiamin tangu mwanzoo😅😅😅

    • @hidayakiza9364
      @hidayakiza9364 5 месяцев назад

      Lazima asijiamini mwaka mmoja kwa miaka minne

  • @SevelinaNandwike
    @SevelinaNandwike 5 месяцев назад +8

    Roz jmn nimempenda huyu dada anajiamin sana big up

  • @happyhappy-ym2su
    @happyhappy-ym2su 4 месяца назад +8

    Hivi haya ni maigizo au ni ukweli, mbona kama ni ukweli aibu naona mimi😂😂😂😂

  • @ConsolataMedard
    @ConsolataMedard 4 месяца назад +1

    ❤ Rose nimekupenda Bureeee Dada Mungu anipe Hekimaa kama Uliyonayo Mama Nakupenda nakupenda zaidi

  • @husnaadam6510
    @husnaadam6510 5 месяцев назад +26

    Tuunganishe na roz tumpe hongera zake ni mwanamke na nusu💃💃❤❤❤

  • @lilianmwilawi7233
    @lilianmwilawi7233 5 месяцев назад +4

    Rose katulia sana hapanick wala nn aaak huu mchezo hautaki hasira we p kaendelee ty kupaka mkorogo dada😂😂😂

  • @Miss_Kaaya
    @Miss_Kaaya 5 месяцев назад +10

    That Rose HAVE GOD WISDOM ❤❤❤ BOLDNESS 🥳🥳

  • @SaraFabian-gu7df
    @SaraFabian-gu7df 5 месяцев назад +2

    Da rose Big up San nimekuoenda Kwanza huna presha na mahusiano yak like it❤❤❤❤

  • @yousouph8792
    @yousouph8792 4 месяца назад +1

    Nimempenda sana Rose, Nimwanamke ambae hakurupuki afu mnyenyekevu woow hongera mdada.

  • @DeboraChediely
    @DeboraChediely 5 месяцев назад +6

    Nilijua rose ndowifi yetu ❤❤

  • @AdelinaLusekelo-xl4bm
    @AdelinaLusekelo-xl4bm 5 месяцев назад +5

    Asante Mungu kwaajiri ya moyo wa Rose ❤

  • @faridadondo2103
    @faridadondo2103 5 месяцев назад +2

    Rose upo vizuri dege wako kwann umshikie mabati
    😘 Rose

  • @suzanajackson1910
    @suzanajackson1910 5 месяцев назад +3

    Masikini p mbona anaforce mapenzi and much love Rose❤

  • @ibrahimkingfaith9283
    @ibrahimkingfaith9283 4 месяца назад

    Mwaka mmoja p kajiona mwamba kaita had Mr. UK. Ila rose anajiamini plus mstaarabu sana na ajidanganyi.. Hapo angekua mwanamke mwengine huyo rose ungekuta anamtukana as yani nimekupa mtaji unanicheat. Yeye kasimamia ukweli yeye ndo chooseni

  • @JanethMollel-wk5th
    @JanethMollel-wk5th Месяц назад

    Nimekupenda sana 🌹 waoooh your very comfortable congratulations.

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 5 месяцев назад +13

    😂😂😂uzuri marick ajatoa pesa za uyu asuke uyu asisuke wote ni mnyooshoo mashallah 😂

  • @carolinewanjiri714
    @carolinewanjiri714 Месяц назад

    Weeh kumbe walikuwa wanaishi come to stay, hiyo ni noma sana, bt risk yako iko mbele mbele, Allah atakupa mume bora zaidi wa huyo

  • @NahlaRashed
    @NahlaRashed 5 месяцев назад +5

    Hiii inachekesha kweli 😂😂uyo malki cjui anajiskiaje

    • @halimahalima1488
      @halimahalima1488 5 месяцев назад +1

      Jamni 😂😂😂 nimechakaa

    • @HappyKamera
      @HappyKamera 5 месяцев назад

      Ila wanaume 😢😮😊😂

  • @elizarichard9657
    @elizarichard9657 4 месяца назад +2

    Congleshen rose 😂😂😂 p Fanya maamuz yakumove on ....unajichoreshaaaa

  • @RachelJulius-fh9nl
    @RachelJulius-fh9nl 5 месяцев назад +6

    Rose mzuri na anaakili❤

  • @juanajuan3198
    @juanajuan3198 24 дня назад

    Mwanamke mweusi ni mzuri❤

  • @AlphanSamwi
    @AlphanSamwi 2 месяца назад +2

    I like rose big up 2 u dd rose,

  • @khadejarajab8007
    @khadejarajab8007 5 месяцев назад +4

    Hapo aliyemuita mwenzie mchepuko kumbe yeye ndio mchepuko hatari sana kwakweli rozi anafaa na ana point nzuri

  • @EngelLameck-nz5nk
    @EngelLameck-nz5nk 5 месяцев назад +2

    Huyu Rose jamn kanifurahisha sana yaan Yuko vzr sana Hana presh kwanza ❤❤❤

  • @teddymaliatabu2039
    @teddymaliatabu2039 3 месяца назад

    Nlpomuona uyo wife kwny connection ndo nkagundua n drama km drama nyingine nko hapa nmetuliza fuvu... Good movie

  • @SeciliaNicholaus
    @SeciliaNicholaus 5 месяцев назад +3

    Nakpenda da rose ❤❤❤

  • @MonicahJosiah
    @MonicahJosiah 5 месяцев назад +1

    4 real meipendah vile madam rose umebehave , kiukwel watot wako wamepat a good mom.....🎉

  • @LEODIGERMARCO
    @LEODIGERMARCO 4 месяца назад +2

    Big up ' ~da rose 🤗 wise woman

  • @JESCAMUSA-l8r
    @JESCAMUSA-l8r Месяц назад +1

    P aibu yake 😂😂yan mwizi ndo anasema kaibiwa😅

  • @DoriceSanare
    @DoriceSanare 5 месяцев назад +4

    Daah natamani ningekuwa na moyo kama wa rose😂

    • @domitilaneovitus5724
      @domitilaneovitus5724 5 месяцев назад

      😂😂 kwa kweli

    • @hildagabriel1003
      @hildagabriel1003 5 месяцев назад

      Ukiamua tu unaweza

    • @ErnestMalima
      @ErnestMalima 5 месяцев назад

      Lakini sasa😂😂😂

    • @eunicedaniel
      @eunicedaniel 4 месяца назад

      Ukitaka Mbwa asikubwekee mpe chakula Kama alivopewa marick hawezi kuwa na jeuri na rose amemfuga marick coz anajua ni Mbwa wake hawezi enda popote aende kwa p anakohonga vi elfu 15 ,20 Tena vya kuiba kwa Boss weeeeee marick chezea pesa usichezee kaziiiii utakula dagaaa

  • @zainabusaid
    @zainabusaid Месяц назад

    Kwanza comedown 😂😂 woiii ROSE❤❤❤

  • @sesiliahussein7774
    @sesiliahussein7774 5 месяцев назад +3

    P alishajua kapata bonge la bwana lenye mihela yake 😅😂

    • @evaaggrey1382
      @evaaggrey1382 5 месяцев назад +2

      Hao ndo wadada wasio fanya kazi 😅😅😅😅

    • @sesiliahussein7774
      @sesiliahussein7774 5 месяцев назад

      @@evaaggrey1382 kwakweli kabisaa

  • @iamhilda3
    @iamhilda3 5 месяцев назад +1

    Ivi Huyu P anajielewa kweli?😂😂😂 mtu umeingilia penz la mwenzio alaf unamtafta uliemkuta😂😂😂 Shenz kabisa

  • @SleepyFlowerGarden-im6bv
    @SleepyFlowerGarden-im6bv 5 месяцев назад +3

    Mr uky nakukubal sana

  • @NeemaIbrahimu-c2l
    @NeemaIbrahimu-c2l Месяц назад

    Woohoo! Rose Ni mke jaman mstaarabu sana Malik mke anae

  • @maryamsylivester8662
    @maryamsylivester8662 5 месяцев назад +8

    Rose haendeshwi na hisia bali anajiamini na kukubaliana na kila kitu na bado ongea yake ni ya busara sana aisee mi siwezi kumfatilia mwanaume kiasi hicho hali ya kuwa hajanioa na sina uthibitisho wa kuwa mkewe halali hebu ona kilichomkuta P 😢😢😢😢😢😢

    • @plasmascreen2459
      @plasmascreen2459 5 месяцев назад +1

      Njaa mbaya sana zingatia maokoto

    • @monicapeter9065
      @monicapeter9065 5 месяцев назад

      Maskin nmemuonea huruma p nkiwa kama mwanamke mwenzake maana kosa sio lake wanawake tunadanganywa sana duuu
      Japo mwaka mmoja ni mkubwa kumchezea mwenzako kiasi hcho kampotezea sana mda

  • @hildamasonda6528
    @hildamasonda6528 4 месяца назад +1

    Alaf ukute mwanaume hata muoa hata mmoja mweeeeeeeeee

    • @LidiaSungura
      @LidiaSungura 2 месяца назад

      Kabisa mana inavoonekana uyo rose ndo kamfungulia biashara, asa we uliona wapi iyo jmn

  • @donlinechanell4760
    @donlinechanell4760 5 месяцев назад +1

    Hyo dem mwembamba hana stress maana anajua mwanaume ni wake 😂😂😂😂😂

  • @joycekambuga6286
    @joycekambuga6286 4 месяца назад +1

    Rose Mungu akutunze. Marick akiiona hii clip atajua kweli mke nimepata. Huyu p ni mpuuzi kabisa Hans adabu ata kidogo

  • @MariamAthuman-jq2ce
    @MariamAthuman-jq2ce 5 месяцев назад +5

    Rose ni mwanamke na nusu nimekupenda bureeeee ❤

  • @nurdinmally474
    @nurdinmally474 5 месяцев назад +1

    Rose ni mwanamke na nusu
    Nimempenda saana namna anavyohandle situation nguvu kwa njia ambayo hata adui anaonajiuliza huyu mtu au malaika 😂😂

  • @christinahaule-p8i
    @christinahaule-p8i 2 месяца назад +1

    wanaume ni watu waajabu sana mwanamke unaonaje kugombana na mwanamke mwenziyo kisa mwanaume 😅😅

  • @cristaezekiel1036
    @cristaezekiel1036 Месяц назад

    Yaan p unaiba afu unatishia 😂😂😂😂😂😂unawazimu ,nngekuzibua weupe wote uishe 😂😂😂😂😂ungekua mwekundu

  • @hajjisuffiani385
    @hajjisuffiani385 5 месяцев назад +5

    Rose nimzuri sana napendaga wanawake wenye miili ya Rose alafu rangi yenyewe haijapelekwa kiwandani

  • @beatricepallangyo2821
    @beatricepallangyo2821 5 месяцев назад +2

    Asante Malik.., Rose deserves to be a wife!!!!

  • @Ukhtyzahra-gi8vx
    @Ukhtyzahra-gi8vx 5 месяцев назад +1

    The meaningful of beauty and brain ❤

  • @husnaupete942
    @husnaupete942 5 месяцев назад +1

    Yn katika challenge nimeipenda ni hiii rose nakupenda nakupenda Tena djamani

  • @rahmajohn7284
    @rahmajohn7284 5 месяцев назад +1

    Rose hogera sana, nimejifunza kitu kwako🎉❤❤❤❤❤

  • @hanifahkhamiss8485
    @hanifahkhamiss8485 5 месяцев назад +8

    P kwaio ndo mwizi wa mume wa rose half yey mwizi ndo kenda kushataki kaibiwa😂😂😂

  • @AlphanSamwi
    @AlphanSamwi 2 месяца назад +1

    Inaonyesha huyu p aliingia kwa huyo jamaa bila hata kuvua viatu yani mzima mzm, nakushari bro mpende sana mkeo rose pls,

  • @michomichael4111
    @michomichael4111 5 месяцев назад +14

    Kwa mjibu wa maelezo ya hao akina dada Rose ni mke sahihi wa maliki

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 Месяц назад

    Wanawake wapuuzi ni wengi sana. Huyu P ni mdada wa aje eti. Wanawake tuwe na akili tunagombana sababu ya mwanaume na mlikua hamjuani. Mxiiuuuu

  • @salmamlokela1987
    @salmamlokela1987 5 месяцев назад +1

    Mwanamke mwenye ela na akili haachwi😅 pole p

  • @AbdillahiMohammedi
    @AbdillahiMohammedi 5 месяцев назад +2

    yani rose🎉namp maua yake ni mtu anaejielew sana❤😊

  • @dainessmwakaje4272
    @dainessmwakaje4272 2 месяца назад

    Uyo p nae kujizalilisha tu😂 na huyo Rose awe makini na uyo buana asijione kapata bwana hawez acha umalaya

  • @BMMOVIES-d2u
    @BMMOVIES-d2u 5 месяцев назад +1

    nimpe mpa respect zangu sana rose.......

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 Месяц назад

    Rose I love you. Wewe ni mwanamke shujaa sana. I like the way you handle situation . Wewe ni mke mwema na jasiri sana

  • @marojumamugha3062
    @marojumamugha3062 5 месяцев назад

    Huyu P alimpwnda MALKI kisa pesa na hakuwa na lolote fala huyu Big up Rose Jimbo ni lako in full

  • @nzegeatv6355
    @nzegeatv6355 5 месяцев назад +12

    P sukali imepanda😂

  • @AliceSidi-gk7fy
    @AliceSidi-gk7fy 5 месяцев назад +1

    Yani rose nimeku salute dada mm nko Kenya lkni p hyo awe pole ❤❤

  • @EstherEsamaMagero
    @EstherEsamaMagero 16 дней назад

    Rose❤ i love the way you react

  • @OmanOman-y7z
    @OmanOman-y7z 2 месяца назад

    Aibu naona Mimi ukuu Oman Roz hongera sanaa pokea mauwa yako 🎉🎉🎉❤❤❤😂😂😂😂