Yani mapenzi ya sikuizi ukipata mtu anae kupenda na ni muaminifu mshikilie sana na kama sio ivyo ukipata nafasi ya kuwa single usiichezee wallah khaaaa 😂😂😂😂🙌🏻
Tatizo Wanawake Wengine Inje Kwa Watu Upendo Lakini Chumbani Sasa Tendo Unapewa Kwa Bajeti Mpaka Atake Yeye Unalala Msumali Juu Sasa Utaacha Kuchepuka Apo
Sikuwahi kuona prank kali kama hii bongo mzee umeuwa sana ipo na true story kaka hii hata view milion itafika kazi nzuri na bora nilizowah kiziona achia part two mtaalamu kiredio
Ayo Mambo Ya Kenya Mnaleta Bongo Mtakuja Kuumia Nyinyi Akuna Mtu Mwenye Uwezo Wa Kutimiza Vitu Vyote Kwa Binadamu Mwenzie Kamwe Akiwa Na Pesa Nguvu Za Kiume Zilo Ukiwa Na Nguvu Za Kiume Matumizi Zilo
we jamaa ni msenge sana, unaachanisha mahusiano ya watu Alafu unaruka na hao madem za watu kazi kuwagonga madem za watu siku yako ni moja tu inakuja mamaee, tunakuandalia kamati kwa ajili ako msenge wewe unakula madem zetu sana kmk
Bwana eee weka part 2 msela wangu maana mi nacheka heka heka za chaka tu chaka mwamba alifuata nini usiku huo kama sio kichupa kujaaa mchuzi wa pweza 😂😂😂😂😂 nataka niangalie mateke ma magumi puuuuu😅😅😅😅😅
Kitu ambacho mmekosea nakuonekana ni uwongo mnaigiza ni kuvua vitu mrangoni nkama nikwel amuigizi uyo jamaa fara Kwel ameshindwa kuona viatu ni ving mrangoni
Yani mapenzi ya sikuizi ukipata mtu anae kupenda na ni muaminifu mshikilie sana na kama sio ivyo ukipata nafasi ya kuwa single usiichezee wallah khaaaa 😂😂😂😂🙌🏻
😂😂😂😂😂😂😂
Ukimpata tu anarogwa na yeye.
😂😂
Wambea wenzangu kutoka tiktok hallooooo😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂
Halooi😂😂
😅😅😅
Napenda unavyoumbua mapenz fake big up sana mwanangu kiredio/ kaseti😅
Sanaa kiredio ndo dawa ya waongo wa mapenzi ila nayeye asimzungue yule mpz wake tu ajitahidi kuwa good role model wa uaminifu
Et kikaset 😂😂😂😂
Vile nmerudsha nyuma mara 3 tatu kumuangalia huyo mume nmelia😅😅
Nishamaliza kuangalia part 1 dondosha part 2
Mwanaume mwenyw ndo huyo 😂😂yani ata kiredio handsome afu demu mkali
Yaan nimemuona huyo mwanaume nimecheka balaa khaa😂😂
Huyo mwanamme mwenywe km kibaka . Na anaonekNa hana mbele wala nyuma mdada mzuri mwanamme sio material
Tatizo Wanawake Wengine Inje Kwa Watu Upendo Lakini Chumbani Sasa Tendo Unapewa Kwa Bajeti Mpaka Atake Yeye Unalala Msumali Juu Sasa Utaacha Kuchepuka Apo
Kiredio 🙌 daaah ila sisi wanaume aa noma sana uyo dada anaumia sana nivile anajikaza tu pole yake
Mngetafuta gari yenu ata kwa ajili ya kazi zenu
Kwan wanalipwa au umbea tu unaqasumbua😂😂😂
Comment zenu ndo zinawalipa
Itisha arembee tuchange
😂😂😂😂😂
Sikuwahi kuona prank kali kama hii bongo mzee umeuwa sana ipo na true story kaka hii hata view milion itafika kazi nzuri na bora nilizowah kiziona achia part two mtaalamu kiredio
Mwanaume mwenyew ndo uyo au kuna mwingine 😂😂😂
Ayo Mambo Ya Kenya Mnaleta Bongo Mtakuja Kuumia Nyinyi Akuna Mtu Mwenye Uwezo Wa Kutimiza Vitu Vyote Kwa Binadamu Mwenzie Kamwe Akiwa Na Pesa Nguvu Za Kiume Zilo Ukiwa Na Nguvu Za Kiume Matumizi Zilo
Asee kiredio kwann hujajiita kiredio mbao kwa umbea🤣🤣🤣🤣🤣
Ila wanaume mbwa sana jmn kidada cha waty kirembo kweli
Mm nmecheka ety mashabik wa makolo n wavumilivu wabish mpaka hapa!
Kiredio Mimi nataka hiyo challenge nifanyie boy Wangu
Me.nmependa huyo dada chumba chake kisafy muda wote na anajiamin
Manaume mwenyewe ndio huyoo balobalo
Utegemee kickucht😂😂😂
Hamna mtu anaeza tengeneza content kama hii Tz nzima kiredio hongera sana tulikua tunatizama movie za action asaivi ni live bila chenga
Huyo mdada mwembamb mrembo sanah°°
Si ndo hapo mwanangu, manzi mkali
Nikwel ila. Wnaume nishida
Mwembamba yupi sasa mana wote wembamba 😮
mwembambaa ni yupi sas😂😂😂 na mnene ni yupi
WALA bonge cjamuona apo wote wembamba
mungu mwanaume mwenyw ndo huyo
acheni ujinga mbona mademu wenu hamfanyii challenge
Wamba niwambeaa
😂😂😂😂😂kwanza nimecheka mpenzi ndo huyo barobaro wadada tuna huruma nyieeee😅
mi mwenyewe nimeshangaa asee
Kumbe uyo ndo kaka mwenyewe 😂😂😂...bora tu kamfumania😂😂😂
Kwaushaur hapo mna mualibia mwana ume mwenzenu kama vp mnge tongozana nyietu na si kwanjia mnayo tumia hatamimi shemej aki kaa vibaya nampa.
Dah yan kiredio na Mr UK Mungu anawaona na mm bas mnifanyie challenge
we jamaa ni msenge sana, unaachanisha mahusiano ya watu Alafu unaruka na hao madem za watu kazi kuwagonga madem za watu siku yako ni moja tu inakuja mamaee, tunakuandalia kamati kwa ajili ako msenge wewe unakula madem zetu sana kmk
We nawe mmmh demu wako yupi
Dah ila kiredio hadii mtoto wa watu amelia😂😂💯🙌
Jamani huyo dada ni mzuri sana,,hawaendani na huyo mwanaume
Yan na nimesomq nae n mzir sanaa cjh kimempqta nn ila ciunajua sisi wanawake tukipenda tumependa
@@AisaaMurro kweli dia hako.ka mwanauje kanaonekana ktoto hakamfai,,,atulie tu apate mtu anayejielewa
Mwana kazingua ana mwanamke mzuri hvyo daaah. Sema jau
KAZI NGUA KWELI MWANANGU ALAFU DEMU WAKE TOKA SAFARI INA ANZA ALIKUWA ANA UMIA SEMA ALIKUWA ANAJIKAZA JAMAA KAZI NGUA SANA
Dem mkali sana mrefu kama Twiger
Kazi za umbea na kugombanisha watu
Nimeshabonyeza bhana toka hapo tuendepee plsee
Jamn movie nzuri kweli leteni part2
😂😂😂😂
❤❤❤ Napenda sana
Mmemtia katika kishawishi
Sio vizuri mnaharibu mapenzi ya watu wanaume wachache wenye msimamo msifanye ivo
Sana yaan sio vzr
Mwanaume mwaminifu ni mimi pekee💪
Da dada mwenye mume ameboeka kweli yani
Njooen Zanzibar
Jamani wana ume mungu ana waona 😢😢😢😢😢
Nazikubali kazi zenu mnafanya poa sana
Tuma part2 Pole sana bint
Umbeya mnauwe daaa mmmmhh
Basi mimi nataka mke wake mzuri kweli😊
Assee kiredio unzingua malizia si umbea utatuuua jmni tumejipanga tukawek bando tumalizie af hamn aaaaah brooo maliziaaaaaa
Huu niujinga ase afu mnaharibu mahusiono ya watu
Jufunzeni acheni uzinifu madada zetu na kaka zetu akuna mahusiano ya kimapenzi bila ndoa dini zote zinazuia uzinifu
Nimempenda uyo alie singo nimuoe kabisa
Mwanaume kumjaribu ivo 😂😂hawakatai hao
Halipangalo @kirendio hakiwez kushindikana dah kama move vile
Nyienae mmefika kwenye nyumba ya mtu mnaanza kuchunguza😂😂😂😂😂
Aiseee dada badilisha mwanaume huyo ndio mwanaume uliekua unamsema au kuna mwingine😮😮
Kiredio baba part 2 jaman uwiiiiii uyo dada kwanz namjua nmesoma nae anaitw khadija shambe (xoxo)
Yes ni yeye
Kiredio mjinga sana..et anamcheka huyu dada mwenye bwana
Mwe niwaconganishi
hiyo my man sasa 🤣🤣🤣
kiukweli mimi ally ally hamnipati
Awo wanakutanaga mara nyingi siyo kwaajili ya chalenji
Mi napenda haya mambo😄😄😄
Hahaaa
Mr uky nakupenda jaman 😊😊
Ila kiredio mungu anakuona
Deuxième partie 2🙏🙏🙏
😂😂😂 naogopa mm utafikiri mm ndo mwenye bwana
Ila anaharibu mahusiano ya watu sio.vzr walla siku utaumia
Mashabiki wa simba ni wavumilivu kila sehemu kwa kweli😅😆
😆😆😆
Hahah kula chumaa ichooo
Jamanii kiredioo kunasiku utaaua mtuu mapenzi yanaumaaa mhh sikia tuu kwa mtuu
Huyo mwanaume mhuuu
Oyaaaaaa noma
Mbn yup vzr hat mm naweza kumula😂😂😂😂😂
Huuo ni uwongooo wotee mmeachaa viatuuuu njee je hakujuàa ndan kuna watuuu
Ayseee mahusiano yasiku hizi hapana kwakweli 😢
Ukipata nafasi yakuwa single usiicezee🥹💔
Nmekuelewa sana 🙏
Umeona eeee😅😅😅
😳
Daaaaaahhhh Yan
Et mpenz wenu😂
Wewe kaka mungu anakuona
Vito to vidogo babazao wanauza maduka ya wa Hindi wasome wao Malaya
Kidada kipole sana ila kinaumia..hii challenge siyo nzuri mtakuja kuachanisha watu bana 😢
Yani nyinyi... 😂😂😂😂 Ipo siku yenu
Uyo jamaa anapajua maan amepajua vip Kwa huyo bi dada😢
KATUMIWA LOCATION ALAFU AMEFATWA NJE
Wao wanaongopeana kuwa wataoana
IME Andaliwa vizuri
Jaman mpenzi wake mzuli sana
Bwana eee weka part 2 msela wangu maana mi nacheka heka heka za chaka tu chaka mwamba alifuata nini usiku huo kama sio kichupa kujaaa mchuzi wa pweza 😂😂😂😂😂 nataka niangalie mateke ma magumi puuuuu😅😅😅😅😅
Kiredio mungu akuweke kwajili yetu kaka
Nimpigie shem lake aje tuangalie prison break 😂😂
Mwendelezo
Nakupenda kiredio
Part 2 please
Namm nataka challenge na nyie kiredio
Wanaume 😂😂😂 sawa bn
Aamko serious kuweni serious kama vile uwa afanya uyu mwenye uwaita pamoja
Jamni yajayo yafurahisha muendelezo jamni
yah my man yupo loyal😀 kubababakeee kizazi hiki cha nyoka wachache sanaaaaaaa
Mmmh mwanaume mwenyewe sasa
Mie mapenz staki tenaaa
Jamni party 2 iko wap....vty on 🔥🔥 fire
Mashabiki wa cmba bana...wavumiliivuuu 🤣🤣🤣🤣
Mimi hapa lazima nikamatwe aiseeee😂😂😂
Kaka kiredio please part 2 jamaniii
Nyie kupigwa kote uko siku mtauliwa km hamjaacha hii kazi
Kitu ambacho mmekosea nakuonekana ni uwongo mnaigiza ni kuvua vitu mrangoni nkama nikwel amuigizi uyo jamaa fara Kwel ameshindwa kuona viatu ni ving mrangoni