FUMANIZI KIMARA | Shemeji Anasa Kwenye Mtego PART 1

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 641

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 16 дней назад +17

    Yani mapenzi ya sikuizi ukipata mtu anae kupenda na ni muaminifu mshikilie sana na kama sio ivyo ukipata nafasi ya kuwa single usiichezee wallah khaaaa 😂😂😂😂🙌🏻

  • @user-dh1ki7fg6x
    @user-dh1ki7fg6x 17 дней назад +39

    Wambea wenzangu kutoka tiktok hallooooo😂😂😂

  • @emmanuelluela9632
    @emmanuelluela9632 18 дней назад +68

    Napenda unavyoumbua mapenz fake big up sana mwanangu kiredio/ kaseti😅

    • @victoriarichard8761
      @victoriarichard8761 18 дней назад +5

      Sanaa kiredio ndo dawa ya waongo wa mapenzi ila nayeye asimzungue yule mpz wake tu ajitahidi kuwa good role model wa uaminifu

    • @user-ho8lh9ke2d
      @user-ho8lh9ke2d 18 дней назад +3

      Et kikaset 😂😂😂😂

  • @MariaThomas-wm9iq
    @MariaThomas-wm9iq 16 дней назад +4

    Vile nmerudsha nyuma mara 3 tatu kumuangalia huyo mume nmelia😅😅

  • @sakuusaku6809
    @sakuusaku6809 18 дней назад +42

    Nishamaliza kuangalia part 1 dondosha part 2

  • @RutyNatalia-uu5uj
    @RutyNatalia-uu5uj 18 дней назад +16

    Mwanaume mwenyw ndo huyo 😂😂yani ata kiredio handsome afu demu mkali

    • @briannahseda8707
      @briannahseda8707 18 дней назад +2

      Yaan nimemuona huyo mwanaume nimecheka balaa khaa😂😂

  • @mkundemosha1046
    @mkundemosha1046 15 дней назад +6

    Huyo mwanamme mwenywe km kibaka . Na anaonekNa hana mbele wala nyuma mdada mzuri mwanamme sio material

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab 13 дней назад +2

    Tatizo Wanawake Wengine Inje Kwa Watu Upendo Lakini Chumbani Sasa Tendo Unapewa Kwa Bajeti Mpaka Atake Yeye Unalala Msumali Juu Sasa Utaacha Kuchepuka Apo

  • @mahahamisi711
    @mahahamisi711 18 дней назад +30

    Kiredio 🙌 daaah ila sisi wanaume aa noma sana uyo dada anaumia sana nivile anajikaza tu pole yake

  • @IssaIddi-vb9yi
    @IssaIddi-vb9yi 18 дней назад +36

    Mngetafuta gari yenu ata kwa ajili ya kazi zenu

  • @rajabumshote805
    @rajabumshote805 17 дней назад +7

    Sikuwahi kuona prank kali kama hii bongo mzee umeuwa sana ipo na true story kaka hii hata view milion itafika kazi nzuri na bora nilizowah kiziona achia part two mtaalamu kiredio

  • @racheljob6601
    @racheljob6601 9 дней назад +1

    Mwanaume mwenyew ndo uyo au kuna mwingine 😂😂😂

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab 13 дней назад +1

    Ayo Mambo Ya Kenya Mnaleta Bongo Mtakuja Kuumia Nyinyi Akuna Mtu Mwenye Uwezo Wa Kutimiza Vitu Vyote Kwa Binadamu Mwenzie Kamwe Akiwa Na Pesa Nguvu Za Kiume Zilo Ukiwa Na Nguvu Za Kiume Matumizi Zilo

  • @user-ck7fi3bh3i
    @user-ck7fi3bh3i 17 дней назад +3

    Asee kiredio kwann hujajiita kiredio mbao kwa umbea🤣🤣🤣🤣🤣

  • @reshaJackline
    @reshaJackline 18 дней назад +4

    Ila wanaume mbwa sana jmn kidada cha waty kirembo kweli

  • @abedysteven4930
    @abedysteven4930 18 дней назад +11

    Mm nmecheka ety mashabik wa makolo n wavumilivu wabish mpaka hapa!

    • @m30ssamsung25
      @m30ssamsung25 14 дней назад

      Kiredio Mimi nataka hiyo challenge nifanyie boy Wangu

  • @godfreysway1732
    @godfreysway1732 2 дня назад

    Me.nmependa huyo dada chumba chake kisafy muda wote na anajiamin

  • @ZuhuraMoshi-co2wc
    @ZuhuraMoshi-co2wc 18 дней назад +9

    Manaume mwenyewe ndio huyoo balobalo
    Utegemee kickucht😂😂😂

  • @SaidKideghesho
    @SaidKideghesho 11 дней назад +1

    Hamna mtu anaeza tengeneza content kama hii Tz nzima kiredio hongera sana tulikua tunatizama movie za action asaivi ni live bila chenga

  • @felicianboss6953
    @felicianboss6953 18 дней назад +22

    Huyo mdada mwembamb mrembo sanah°°

  • @hasanimohamedi279
    @hasanimohamedi279 18 дней назад +3

    mungu mwanaume mwenyw ndo huyo

  • @KiriaKipara
    @KiriaKipara 13 дней назад +1

    acheni ujinga mbona mademu wenu hamfanyii challenge

  • @maarufumustwapha3055
    @maarufumustwapha3055 2 дня назад

    Wamba niwambeaa

  • @jacklinejackson9600
    @jacklinejackson9600 18 дней назад +6

    😂😂😂😂😂kwanza nimecheka mpenzi ndo huyo barobaro wadada tuna huruma nyieeee😅

  • @IamDr.AliceAnthony.
    @IamDr.AliceAnthony. 18 дней назад +8

    Kumbe uyo ndo kaka mwenyewe 😂😂😂...bora tu kamfumania😂😂😂

  • @YohanaMwakaje
    @YohanaMwakaje 8 дней назад

    Kwaushaur hapo mna mualibia mwana ume mwenzenu kama vp mnge tongozana nyietu na si kwanjia mnayo tumia hatamimi shemej aki kaa vibaya nampa.

  • @DeogratiasJaji
    @DeogratiasJaji 18 дней назад +10

    Dah yan kiredio na Mr UK Mungu anawaona na mm bas mnifanyie challenge

  • @official-kanawa22
    @official-kanawa22 17 дней назад +2

    we jamaa ni msenge sana, unaachanisha mahusiano ya watu Alafu unaruka na hao madem za watu kazi kuwagonga madem za watu siku yako ni moja tu inakuja mamaee, tunakuandalia kamati kwa ajili ako msenge wewe unakula madem zetu sana kmk

    • @saumbliz8983
      @saumbliz8983 16 дней назад

      We nawe mmmh demu wako yupi

  • @alphoncelaurent9454
    @alphoncelaurent9454 18 дней назад +3

    Dah ila kiredio hadii mtoto wa watu amelia😂😂💯🙌

  • @lovenessmagige6517
    @lovenessmagige6517 18 дней назад +1

    Jamani huyo dada ni mzuri sana,,hawaendani na huyo mwanaume

    • @AisaaMurro
      @AisaaMurro 18 дней назад +1

      Yan na nimesomq nae n mzir sanaa cjh kimempqta nn ila ciunajua sisi wanawake tukipenda tumependa

    • @lovenessmagige6517
      @lovenessmagige6517 18 дней назад

      @@AisaaMurro kweli dia hako.ka mwanauje kanaonekana ktoto hakamfai,,,atulie tu apate mtu anayejielewa

  • @user-el5lx5ot4m
    @user-el5lx5ot4m 18 дней назад +8

    Mwana kazingua ana mwanamke mzuri hvyo daaah. Sema jau

    • @simonlukiko2850
      @simonlukiko2850 18 дней назад +2

      KAZI NGUA KWELI MWANANGU ALAFU DEMU WAKE TOKA SAFARI INA ANZA ALIKUWA ANA UMIA SEMA ALIKUWA ANAJIKAZA JAMAA KAZI NGUA SANA

  • @yunusabeid74
    @yunusabeid74 6 дней назад

    Dem mkali sana mrefu kama Twiger

  • @mohamedrajabu9055
    @mohamedrajabu9055 5 дней назад

    Kazi za umbea na kugombanisha watu

  • @user-sm1mv1bt3o
    @user-sm1mv1bt3o 16 дней назад +1

    Nimeshabonyeza bhana toka hapo tuendepee plsee

  • @JulianaNicholasi
    @JulianaNicholasi 18 дней назад +11

    Jamn movie nzuri kweli leteni part2

    • @JohnsJoel
      @JohnsJoel 14 дней назад +1

      😂😂😂😂

  • @EsthersDalvest
    @EsthersDalvest 6 дней назад

    ❤❤❤ Napenda sana

  • @kazikazini1042
    @kazikazini1042 7 дней назад

    Mmemtia katika kishawishi

  • @AishamejaAisha
    @AishamejaAisha 12 дней назад +1

    Sio vizuri mnaharibu mapenzi ya watu wanaume wachache wenye msimamo msifanye ivo

  • @hamzaamry6251
    @hamzaamry6251 16 дней назад +1

    Mwanaume mwaminifu ni mimi pekee💪

  • @AthumaniAbdillah-jz1pb
    @AthumaniAbdillah-jz1pb 10 дней назад

    Da dada mwenye mume ameboeka kweli yani

  • @EsthersDalvest
    @EsthersDalvest 6 дней назад

    Njooen Zanzibar

  • @shakiramohamed8824
    @shakiramohamed8824 16 дней назад +1

    Jamani wana ume mungu ana waona 😢😢😢😢😢

  • @ZawadianaMwangosi-is2jm
    @ZawadianaMwangosi-is2jm 12 дней назад

    Nazikubali kazi zenu mnafanya poa sana

  • @sitiabdul-pf1pd
    @sitiabdul-pf1pd 16 дней назад +2

    Tuma part2 Pole sana bint

  • @RahemaRH
    @RahemaRH 13 дней назад

    Umbeya mnauwe daaa mmmmhh

  • @jeremiahmwaura9804
    @jeremiahmwaura9804 10 дней назад

    Basi mimi nataka mke wake mzuri kweli😊

  • @user-jr7jd6ye4x
    @user-jr7jd6ye4x 17 дней назад

    Assee kiredio unzingua malizia si umbea utatuuua jmni tumejipanga tukawek bando tumalizie af hamn aaaaah brooo maliziaaaaaa

  • @LacashAbduly
    @LacashAbduly 18 дней назад +1

    Huu niujinga ase afu mnaharibu mahusiono ya watu

  • @user-tk8pd3cz3l
    @user-tk8pd3cz3l 10 дней назад

    Jufunzeni acheni uzinifu madada zetu na kaka zetu akuna mahusiano ya kimapenzi bila ndoa dini zote zinazuia uzinifu

  • @user-vy9pz7sk4z
    @user-vy9pz7sk4z 17 дней назад +1

    Nimempenda uyo alie singo nimuoe kabisa

  • @jescachandarua5898
    @jescachandarua5898 8 дней назад

    Mwanaume kumjaribu ivo 😂😂hawakatai hao

  • @HawaMsafiri-wr8yo
    @HawaMsafiri-wr8yo 18 дней назад +1

    Halipangalo @kirendio hakiwez kushindikana dah kama move vile

  • @elinapetro7136
    @elinapetro7136 18 дней назад +2

    Nyienae mmefika kwenye nyumba ya mtu mnaanza kuchunguza😂😂😂😂😂

  • @user-ul9kp8zq1k
    @user-ul9kp8zq1k 14 дней назад +2

    Aiseee dada badilisha mwanaume huyo ndio mwanaume uliekua unamsema au kuna mwingine😮😮

  • @GloryKishay
    @GloryKishay 17 дней назад +4

    Kiredio baba part 2 jaman uwiiiiii uyo dada kwanz namjua nmesoma nae anaitw khadija shambe (xoxo)

  • @user-jf7vx9nb9m
    @user-jf7vx9nb9m 18 дней назад +2

    Kiredio mjinga sana..et anamcheka huyu dada mwenye bwana

  • @Zenygoldsuperwoman
    @Zenygoldsuperwoman 15 дней назад

    Mwe niwaconganishi

  • @ismahafidhi1756
    @ismahafidhi1756 3 дня назад

    hiyo my man sasa 🤣🤣🤣

  • @AllyMwinyi-rx8gr
    @AllyMwinyi-rx8gr 2 дня назад

    kiukweli mimi ally ally hamnipati

  • @user-np2tk1jy1t
    @user-np2tk1jy1t 18 дней назад

    Awo wanakutanaga mara nyingi siyo kwaajili ya chalenji

  • @officialbntrasool5223
    @officialbntrasool5223 18 дней назад +5

    Mi napenda haya mambo😄😄😄

  • @SalmaMarselino
    @SalmaMarselino 11 дней назад

    Mr uky nakupenda jaman 😊😊

  • @emanuelamos4689
    @emanuelamos4689 13 дней назад

    Ila kiredio mungu anakuona

  • @CadeauZihindula-mh1ro
    @CadeauZihindula-mh1ro 18 дней назад +2

    Deuxième partie 2🙏🙏🙏

  • @zuenakhassim
    @zuenakhassim 18 дней назад +2

    😂😂😂 naogopa mm utafikiri mm ndo mwenye bwana

  • @user-pw2sw1sk1b
    @user-pw2sw1sk1b 12 дней назад

    Ila anaharibu mahusiano ya watu sio.vzr walla siku utaumia

  • @Gods_favourite7
    @Gods_favourite7 17 дней назад +4

    Mashabiki wa simba ni wavumilivu kila sehemu kwa kweli😅😆

  • @esterkiyongo2316
    @esterkiyongo2316 18 дней назад

    Jamanii kiredioo kunasiku utaaua mtuu mapenzi yanaumaaa mhh sikia tuu kwa mtuu

  • @user-db1uy6hv9q
    @user-db1uy6hv9q 18 дней назад +1

    Huyo mwanaume mhuuu

  • @miriamsimon2339
    @miriamsimon2339 18 дней назад +1

    Oyaaaaaa noma

  • @idybwoytz8485
    @idybwoytz8485 18 дней назад +1

    Mbn yup vzr hat mm naweza kumula😂😂😂😂😂

  • @user-op5gz7vj6w
    @user-op5gz7vj6w 8 дней назад

    Huuo ni uwongooo wotee mmeachaa viatuuuu njee je hakujuàa ndan kuna watuuu

  • @Joharibashir.193
    @Joharibashir.193 18 дней назад +11

    Ayseee mahusiano yasiku hizi hapana kwakweli 😢
    Ukipata nafasi yakuwa single usiicezee🥹💔

  • @VeroShirima-lc4uf
    @VeroShirima-lc4uf 15 дней назад

    Wewe kaka mungu anakuona

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 14 дней назад

    Vito to vidogo babazao wanauza maduka ya wa Hindi wasome wao Malaya

  • @nkoydavid9658
    @nkoydavid9658 16 дней назад +1

    Kidada kipole sana ila kinaumia..hii challenge siyo nzuri mtakuja kuachanisha watu bana 😢

  • @MagrethyMrosso
    @MagrethyMrosso 18 дней назад +2

    Yani nyinyi... 😂😂😂😂 Ipo siku yenu

  • @user-lw7qs4mh9z
    @user-lw7qs4mh9z 18 дней назад +3

    Uyo jamaa anapajua maan amepajua vip Kwa huyo bi dada😢

    • @mwinyiali
      @mwinyiali 17 дней назад

      KATUMIWA LOCATION ALAFU AMEFATWA NJE

  • @user-eg1ts2fu9z
    @user-eg1ts2fu9z 16 дней назад

    Wao wanaongopeana kuwa wataoana

  • @BABUNASHIMBI
    @BABUNASHIMBI 17 дней назад +1

    IME Andaliwa vizuri

  • @Elizakilisipinilikolika1996
    @Elizakilisipinilikolika1996 10 дней назад

    Jaman mpenzi wake mzuli sana

  • @jeraldmzuri9856
    @jeraldmzuri9856 18 дней назад +1

    Bwana eee weka part 2 msela wangu maana mi nacheka heka heka za chaka tu chaka mwamba alifuata nini usiku huo kama sio kichupa kujaaa mchuzi wa pweza 😂😂😂😂😂 nataka niangalie mateke ma magumi puuuuu😅😅😅😅😅

  • @DeusMagere
    @DeusMagere 15 дней назад

    Kiredio mungu akuweke kwajili yetu kaka

  • @loycejerome9051
    @loycejerome9051 11 дней назад

    Nimpigie shem lake aje tuangalie prison break 😂😂

  • @SamyahAhmed
    @SamyahAhmed 17 дней назад +1

    Mwendelezo

  • @VeroShirima-lc4uf
    @VeroShirima-lc4uf 15 дней назад

    Nakupenda kiredio

  • @MaganizoPhiri-oq5xh
    @MaganizoPhiri-oq5xh 18 дней назад +14

    Part 2 please

  • @jenipherishengoma1239
    @jenipherishengoma1239 14 дней назад

    Namm nataka challenge na nyie kiredio

  • @diva_20162
    @diva_20162 16 дней назад +1

    Wanaume 😂😂😂 sawa bn

  • @chunaabdullah1333
    @chunaabdullah1333 18 дней назад

    Aamko serious kuweni serious kama vile uwa afanya uyu mwenye uwaita pamoja

  • @masharama1485
    @masharama1485 18 дней назад +2

    Jamni yajayo yafurahisha muendelezo jamni

  • @theophilwhiteheart1997
    @theophilwhiteheart1997 13 дней назад

    yah my man yupo loyal😀 kubababakeee kizazi hiki cha nyoka wachache sanaaaaaaa

  • @saumurashid972
    @saumurashid972 15 дней назад

    Mmmh mwanaume mwenyewe sasa

  • @swabrahmaga4246
    @swabrahmaga4246 18 дней назад +2

    Mie mapenz staki tenaaa

  • @OnesphoryAgnes
    @OnesphoryAgnes 18 дней назад +2

    Jamni party 2 iko wap....vty on 🔥🔥 fire

  • @PaulinaMlanga-tr9nt
    @PaulinaMlanga-tr9nt 4 дня назад

    Mashabiki wa cmba bana...wavumiliivuuu 🤣🤣🤣🤣

  • @isayakatuwa9482
    @isayakatuwa9482 15 дней назад

    Mimi hapa lazima nikamatwe aiseeee😂😂😂

  • @user-hm8be5mb5w
    @user-hm8be5mb5w 18 дней назад +2

    Kaka kiredio please part 2 jamaniii

  • @user-jf7vx9nb9m
    @user-jf7vx9nb9m 18 дней назад

    Nyie kupigwa kote uko siku mtauliwa km hamjaacha hii kazi

  • @45cuteMahmudy-zu5iy
    @45cuteMahmudy-zu5iy 13 дней назад

    Kitu ambacho mmekosea nakuonekana ni uwongo mnaigiza ni kuvua vitu mrangoni nkama nikwel amuigizi uyo jamaa fara Kwel ameshindwa kuona viatu ni ving mrangoni