Nimeipenda Sana kazi yako mdogo'angu Kiredio na Mr. UK...Nilifikiri mnachekesha tu, kumbe mnaisaidia jamii pakubwa kiasi hiki...!! Be blessed, please keep it up..!
Kiredio upo sawa sana watu wengi watajifunza kuptia hivi vitu mana mapenz yanauma sana..😢😢...kuna ishu umesema kua unaweza kumchek mtu kidizain kua kuna mchongo km iyo ishu ya gari kua afanikiwe mm nakushaur ucmpe mtu ukwel iyo ni kaz yko.
Kwendra zenu ningesema sina xx ht kidogo nipo single, bdae ukijanicheki. Ntajitetea mahusiano yangu sio maonyesho bora nikose zawad kuliko nitaje ma x xx xxx
Kuna ishu nashindwa Elewa,maelezo unasema ungemsanua ungejua kakosea,Sasa alipotaja Beni,s alikosea ungefany namn ya kumsaidia😂😂 maana yaonesha jina la mwamba ulikuwa walifaham ndo mana ukampigia na kusema" we jina lingne ni Beni" Anyway sio kwamb natetea sema ulivoeleza.... Japo Kiukwel keep it up bro unaokoa weng Amini Zen watu mdogomdgo watabadirik na kuwa waaminifu tuombe ziende Viral hizi video
Duh sisi wanawake ni wajanja wa Mbinu imekueje wewe kulikosa Gari? Duh umeniangusha sana ila najua utalipata tu kwa huyu alieleta Zawadi😂 mbona wanaume kwetu Maboya tu😁
Nimeipenda Sana kazi yako mdogo'angu Kiredio na Mr. UK...Nilifikiri mnachekesha tu, kumbe mnaisaidia jamii pakubwa kiasi hiki...!! Be blessed, please keep it up..!
Jamaa inaonekena ilikua yuko kama hana hela na mwanamke alimchukulia poa,dharau sio nzur
Uyo Ben pia hamtaki tena uyo mwanamke 😮😮😮kishamjua wakuruka ruka
Wadada wa chuo tunawajua, wanapenda magari
Rekebishen sauti wakuu ipo chini sanaa
Kuna huyu mshika kifeni ameniua anavyokifanyia kaz
Hawa mabinti wa University wachana nao kabisaa yani hadi ana graduate anakuwaga na mahusiano lukuki 😂😅😅
Sema mie naungana na kiredio ✊✊✊✊ bora hujamsanua maana mademu wa jini wanaringa sana asee
Kama unakubali huu uokovu wa huyu jamaa gonga like apo
Wanawake awajatulia nishida
sio mbaya alipata ata maua na cake😂😂😂
Kiredio upo sawa sana watu wengi watajifunza kuptia hivi vitu mana mapenz yanauma sana..😢😢...kuna ishu umesema kua unaweza kumchek mtu kidizain kua kuna mchongo km iyo ishu ya gari kua afanikiwe mm nakushaur ucmpe mtu ukwel iyo ni kaz yko.
Ukitaka presha ikumaluze..hawa wa 2000s na wanafunzi watafika Wamechoka Sana.
Duh wanawake sis jamani😢tutuliage na mmoja sasa
Dada si umpe nafasi ajielezee unamkatisha maneno
Duh ila uyo kaka anampenda sana mpaka kamnunulia gari.
Hiyo Gali ilikuwa imefungwa kwenye mkia wa chui😅😅😅😅
Mi napenda unachofanya
Mmekomesha kabisa sema Mr UK anacheko ya kinafiki Sana 😂😂😂
Demu mashauzi kibao kumbe analist ya mabwana
Dem mwenyewe badala ya kusema mwanaume anasema mwanyaume😅😅😅
Dah nimeumia pole yake
We the daughters of eve😂😂😂😂😂😂😂😂weeeeeh
Sasa uyo mikelele ya nn
Aiseeeee so painfull wadada wa chuo siyo waaaminifuuu kabisa😂😂😂😂😂😂😂😂 Hata ukiwa na mke wako anasoma chuo tambua umempotezaaaaaaa😂😂😂
Bro notification hizo zinakeraaa
Huyu dada mbona anamtumia kwenye video nyingi tu? Hayo ni maigizo tu
Mmh Ila vyama vingi nooumaaaaa
Kakuma tu ako kwanza kanaitwa et mekap yangu itaalibika wanawake bhana
Alf kanajitetea ety Ben baba akee nyoooo 😂😂😂 .. wanawake tuache kucheat 😅
Mimi nacheka sana wakija kwa sisi madereva wa morori duh ndoa zitakufa
Sjawahi kuona mtu mbea Kama Mr UK😂😂😂😂
😄😄😄😄
Wanawake mashauzi
Hadi nimelia
Huyoooo jamaa lakin n mwamba duuuuuu
Duuu uyoo jamaa tunaomba uwojiane nae alie nunua ilo gar 😂😂😂😂 akil mingi sana ilo bepari
Hakataki kutoka nje eti kuna jua kali
Ndio shida ya kutokua na mwanaume mmoja
Alf mwamba ndio alikuwa analipa ghalama😂😂😂
Hiv karibu nakupa kazi 😂😂😂😂😂
If u don fear women bado hujajua dunia 😂
Ivi ndojisi munavyo tuma video kwenye mtandao mbona bovu ivi
Eti mim ninaitwa Beni kweli?????
Dha!
Ahsante kiredio, ulifanya kazi nzuri kaka! Ben endelea na mke wako bhana! Kiredio shukrani gari liko yard right now!
Ila sisi wanawake dahhh
Anasema ben jina la baba ake . Au sio
Jina la baba ake wapi tumepigwa hapa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@Sabrinamkandawile6017 kuna time mnazingua sana😂
@@user-vz4xv7lg3x kweli kabsa
Kwendra zenu ningesema sina xx ht kidogo nipo single, bdae ukijanicheki. Ntajitetea mahusiano yangu sio maonyesho bora nikose zawad kuliko nitaje ma x xx xxx
Kwel cathy
❤❤
💞💞💞💞
Yaani ulimwambia kabisa mwenye hera lkn hajastuka
🤣🤣🤣huwenda jamaa alikuwa hajionyesh km anapesa😂😂
Aaah wap baba unamtajaje kifupi buyo mcgeluko ni ben
Eti babake! Kwa hiyo babake ni boyfriend wake. Makubwa haya
Huyo ben mwenyewe huenda hata ni mume wa mtu ni danga lake na ameshangaa kuskia katajwa😂😂😂
Kuna ishu nashindwa Elewa,maelezo unasema ungemsanua ungejua kakosea,Sasa alipotaja Beni,s alikosea ungefany namn ya kumsaidia😂😂 maana yaonesha jina la mwamba ulikuwa walifaham ndo mana ukampigia na kusema" we jina lingne ni Beni"
Anyway sio kwamb natetea sema ulivoeleza....
Japo Kiukwel keep it up bro unaokoa weng Amini Zen watu mdogomdgo watabadirik na kuwa waaminifu tuombe ziende Viral hizi video
Kunsaidia ninkuendeleza ujinga. Tujifunze kutulia
Ivi una akili wewe huyu kapewa kazi unazani huyo boss awezi kumuambia jina sababu anajua angemwambia ili demu asikose gari
Jamaa umekuja kutuokoa
😅😅😅😅😅😅😅
It's sad
Kachengana na gar la mshahar
😂😂🤣😂😂🤣😂🤣
Natamani kumuona huyo mwana (the car buyer) kwasabu Yule binti mdogo sana jamaa amewezaje kuinvest kwa mtoto Yule.
Kabisa umeongea kwel kbs
Umewaza km mimi
Duh sisi wanawake ni wajanja wa Mbinu imekueje wewe kulikosa Gari? Duh umeniangusha sana ila najua utalipata tu kwa huyu alieleta Zawadi😂 mbona wanaume kwetu Maboya tu😁
Ataenda kulichukua tu gari lake..mtu mpaka katoa gari..hachomoi hapo..wadada wajanja..atamwambia hakutaka kumuweka hadharani..hahaha..jamaa atatoa tu gari
Labda ukutane na boya
Eti atapewa tu gari unazani matako yako hayo..kashasema Beni akapewe na Beni wake sasa.
@@SelemanModestmmass-vk2xd hahahahahahahahahahahahahaha
@@SelemanModestmmass-vk2xd😂😂😂😂
😂😂