Rafiki wa Kiredio (MR UK) atoswa baharini kisa kuvunja mahusiano.

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 50

  • @RoseSam-zy4yc
    @RoseSam-zy4yc 4 дня назад +1

    Pole sana jamnii lakin usikate tamaa

  • @EstherMulindwa-fp3ml
    @EstherMulindwa-fp3ml 7 дней назад

    Mungu akulinde Sana ❤❤ nakufatiliya toka Congo ninzuri❤❤

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 4 дня назад

    Wewe imezidi Sana mana unawafanya wenzio kama wajinga wakati wabongo wengi sio waaminifu iyo ndo shida

  • @user-fi1bq3ju4x
    @user-fi1bq3ju4x Месяц назад +2

    Jamani tuwe tunaagalia na watu wa kuwa nao kwenye mahusiano kwa mfano huyo kaka aliemtumbukiza mpenzi wake kwenye maji, huyo ni tahira Kabisa tena chizi

  • @magrethjacob1191
    @magrethjacob1191 2 месяца назад +1

    pole sana Mr Uky

  • @user-vy9pz7sk4z
    @user-vy9pz7sk4z 10 дней назад +1

    Endelen nakaz nzur kunalakujifunza apo ila tafuten bod gad

  • @jesckamolel5693
    @jesckamolel5693 Месяц назад +1

    Kuna siku utakula chuma cha kichwa wew kua makin na hiz inteviw zitakuja kukuumiza

  • @user-mo3wn6cc7h
    @user-mo3wn6cc7h Месяц назад

    I appreciate bro
    Make sure kuwepo na trust🎉🎉🎉🎉🎉

  • @AgnesMakono-yg3lv
    @AgnesMakono-yg3lv 25 дней назад

    Pole sana

  • @aziza9093
    @aziza9093 Месяц назад

    Hakuna kazi isiyo nachangamoto

  • @user-pg2bz3et1o
    @user-pg2bz3et1o 12 дней назад

    Aise mmeleta hii video tena😂😂😂😂😂ntapasuka mbavu jamani mimi hahahaaaa 😅😅😅😅

  • @user-xl4cj5zk4e
    @user-xl4cj5zk4e 2 месяца назад

    Pole jmn Mr Uky ila usiache kazi bhn

  • @angelinagabriel1944
    @angelinagabriel1944 Месяц назад +1

    Duuh hiv wanawake we zangu mnapataga wapi nguvu za kuninulia hawa wanaume vp jaman khaaa ebu tubadilike nazani kama iyo pessa angemtumia mama yake angeshukuru sana aisee kama hakuwa na mama basi amsaidie mtu wakumsaidie duuuh aisee inasikitisha sana wadada wenzetu hawa wanaume sio wenzetu badilikeni bhna wadada

  • @glorytarimo8321
    @glorytarimo8321 14 дней назад

    Jaman ivi hiyo nguvu ya kumnunulia cm mwanaume mnaipatwa wapi jaman hamuogopi wewe??😂😂😂😂 🙌🙌🙌

  • @godfreyhaule8331
    @godfreyhaule8331 Месяц назад

    Kweli mwamba yupo makini nakubali

  • @JosephineJacob-zo8sq
    @JosephineJacob-zo8sq 16 дней назад +1

    Tatizo magonjwa mjombaa

  • @user-cm6om2iv1w
    @user-cm6om2iv1w 11 дней назад

    Iyo zawadi jmn daaaaaaah ad uruma jmn

  • @jasminsadick5557
    @jasminsadick5557 18 дней назад

    Mbn cpati part 2 jmn za hiz video

  • @Daniella249
    @Daniella249 2 месяца назад +8

    Mungu naomba na mm unijalie huo moyo wakumnunulia huyo mtto wa mama mkwe Iphone 15 au nitoe2 pesa yangu n mpe yan kwa matumizi ya nyumbn Amen 😂😂😂😂 Maana kila nikijaribu natetema mikono yangu

    • @nyundotv
      @nyundotv  2 месяца назад

      😂😂😂😂😂

    • @rosemery3017
      @rosemery3017 Месяц назад

      😅😅😅😅😅😅

    • @FrancisKashe-tt7db
      @FrancisKashe-tt7db Месяц назад

      Hahahahaha kiukweli huwezi

    • @Daniella249
      @Daniella249 Месяц назад

      @@FrancisKashe-tt7db Nimejaribu nashindwa cjui kwanini

    • @Daniella249
      @Daniella249 Месяц назад

      @@rosemery3017 We huogopi😂😂😂

  • @Humanity21216
    @Humanity21216 2 месяца назад +1

    😂😂😂 unaifata simu ulipoitupa

  • @julianapeason6254
    @julianapeason6254 2 месяца назад +4

    endelea na kazi ,wanaume wamezidi kudanganya .Kwani si alijua kuwa ana mwanamke mwingine? angekataa kutoa simu

    • @user-sy6fo8cb5v
      @user-sy6fo8cb5v 2 месяца назад +1

      haha hzo nguvu za ku mnunulia mwanaume simu inatoka wap

    • @julianapeason6254
      @julianapeason6254 2 месяца назад

      @@user-sy6fo8cb5v yaani huyu kaka mwenye marasta angegoma kutoa simu kwa mr uky, huyu dada badala anunue mafuta apake usoni mashavu yasiungue na jua yeye anamnunulia mhuni simu

    • @najmasalim-rg6ow
      @najmasalim-rg6ow 2 месяца назад

      ​@@user-sy6fo8cb5vyaan mi hiyo leso ya buku tu siezi

  • @henrickiula5286
    @henrickiula5286 2 месяца назад

    Umezgua ww acha kjielza sana

  • @AyishaOman-cw4xs
    @AyishaOman-cw4xs 3 дня назад

    ❤❤❤

  • @EligiaMligo
    @EligiaMligo 15 дней назад

    Mbona uongo sasa baharini au sweeming pool

  • @MonicaCyprian
    @MonicaCyprian 2 месяца назад

    I mhhh 😂pole

  • @henrickiula5286
    @henrickiula5286 2 месяца назад +1

    Umzgua sana ndgu iv ugekua ww ugfanya nin. Au ndio kusema ww ndio smart boy. Tena ningkua mm ata vtsa ugechezea tu

  • @user-ix2jt3kf6x
    @user-ix2jt3kf6x 2 месяца назад

    Duh hatari 😢

  • @batistkatumbi782
    @batistkatumbi782 2 месяца назад

    Et baharin hp nibaharin

  • @Floracharles-kh3cg
    @Floracharles-kh3cg 2 месяца назад

    ❤❤

  • @najmasalim-rg6ow
    @najmasalim-rg6ow 2 месяца назад

    Usiesuka ukamnunulie mwanaume sim😏

    • @user-lh2ul3nb6h
      @user-lh2ul3nb6h 2 месяца назад +1

      Nashangaaaa yani Mungu aniepushe na hilo janga la kumlea mwanaumr kwa pesa zangu

    • @user-lh2ul3nb6h
      @user-lh2ul3nb6h 2 месяца назад +1

      Yani nitamlea kwa pesa zake

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 2 месяца назад

      ​@@user-lh2ul3nb6h😂😂😂umeona ee

  • @henrickiula5286
    @henrickiula5286 2 месяца назад

    Kweli ww mtoto wakiume ila co mwanaume ndio mahna unafanya ayo mambo co