Jamani tuwe tunaagalia na watu wa kuwa nao kwenye mahusiano kwa mfano huyo kaka aliemtumbukiza mpenzi wake kwenye maji, huyo ni tahira Kabisa tena chizi
Duuh hiv wanawake we zangu mnapataga wapi nguvu za kuninulia hawa wanaume vp jaman khaaa ebu tubadilike nazani kama iyo pessa angemtumia mama yake angeshukuru sana aisee kama hakuwa na mama basi amsaidie mtu wakumsaidie duuuh aisee inasikitisha sana wadada wenzetu hawa wanaume sio wenzetu badilikeni bhna wadada
Mungu naomba na mm unijalie huo moyo wakumnunulia huyo mtto wa mama mkwe Iphone 15 au nitoe2 pesa yangu n mpe yan kwa matumizi ya nyumbn Amen 😂😂😂😂 Maana kila nikijaribu natetema mikono yangu
@@user-sy6fo8cb5v yaani huyu kaka mwenye marasta angegoma kutoa simu kwa mr uky, huyu dada badala anunue mafuta apake usoni mashavu yasiungue na jua yeye anamnunulia mhuni simu
Pole sana jamnii lakin usikate tamaa
Mungu akulinde Sana ❤❤ nakufatiliya toka Congo ninzuri❤❤
Wewe imezidi Sana mana unawafanya wenzio kama wajinga wakati wabongo wengi sio waaminifu iyo ndo shida
Jamani tuwe tunaagalia na watu wa kuwa nao kwenye mahusiano kwa mfano huyo kaka aliemtumbukiza mpenzi wake kwenye maji, huyo ni tahira Kabisa tena chizi
pole sana Mr Uky
Endelen nakaz nzur kunalakujifunza apo ila tafuten bod gad
Kuna siku utakula chuma cha kichwa wew kua makin na hiz inteviw zitakuja kukuumiza
I appreciate bro
Make sure kuwepo na trust🎉🎉🎉🎉🎉
Pole sana
Hakuna kazi isiyo nachangamoto
Aise mmeleta hii video tena😂😂😂😂😂ntapasuka mbavu jamani mimi hahahaaaa 😅😅😅😅
Pole jmn Mr Uky ila usiache kazi bhn
Duuh hiv wanawake we zangu mnapataga wapi nguvu za kuninulia hawa wanaume vp jaman khaaa ebu tubadilike nazani kama iyo pessa angemtumia mama yake angeshukuru sana aisee kama hakuwa na mama basi amsaidie mtu wakumsaidie duuuh aisee inasikitisha sana wadada wenzetu hawa wanaume sio wenzetu badilikeni bhna wadada
Jaman ivi hiyo nguvu ya kumnunulia cm mwanaume mnaipatwa wapi jaman hamuogopi wewe??😂😂😂😂 🙌🙌🙌
Kweli mwamba yupo makini nakubali
Tatizo magonjwa mjombaa
Iyo zawadi jmn daaaaaaah ad uruma jmn
Mbn cpati part 2 jmn za hiz video
Mungu naomba na mm unijalie huo moyo wakumnunulia huyo mtto wa mama mkwe Iphone 15 au nitoe2 pesa yangu n mpe yan kwa matumizi ya nyumbn Amen 😂😂😂😂 Maana kila nikijaribu natetema mikono yangu
😂😂😂😂😂
😅😅😅😅😅😅
Hahahahaha kiukweli huwezi
@@FrancisKashe-tt7db Nimejaribu nashindwa cjui kwanini
@@rosemery3017 We huogopi😂😂😂
😂😂😂 unaifata simu ulipoitupa
endelea na kazi ,wanaume wamezidi kudanganya .Kwani si alijua kuwa ana mwanamke mwingine? angekataa kutoa simu
haha hzo nguvu za ku mnunulia mwanaume simu inatoka wap
@@user-sy6fo8cb5v yaani huyu kaka mwenye marasta angegoma kutoa simu kwa mr uky, huyu dada badala anunue mafuta apake usoni mashavu yasiungue na jua yeye anamnunulia mhuni simu
@@user-sy6fo8cb5vyaan mi hiyo leso ya buku tu siezi
Umezgua ww acha kjielza sana
❤❤❤
Mbona uongo sasa baharini au sweeming pool
I mhhh 😂pole
Umzgua sana ndgu iv ugekua ww ugfanya nin. Au ndio kusema ww ndio smart boy. Tena ningkua mm ata vtsa ugechezea tu
Wewe una akili mbovu
Duh hatari 😢
Et baharin hp nibaharin
❤❤
Usiesuka ukamnunulie mwanaume sim😏
Nashangaaaa yani Mungu aniepushe na hilo janga la kumlea mwanaumr kwa pesa zangu
Yani nitamlea kwa pesa zake
@@user-lh2ul3nb6h😂😂😂umeona ee
Kweli ww mtoto wakiume ila co mwanaume ndio mahna unafanya ayo mambo co