Content nzuri sana, kiredio unafanya kazi nzuri sana, but kuna shida hutupei conclusion, embu jaribu kutuunganisha matukio since unaongea na jamaa hadi una kutana na binti and conclusion ilikuwaje
Yaani hii kila muda naangalia na nacheka sanaa ndugu zangu uaminifu ni muhimu sana Mumewangu popote ulipo Nakupenda sana na kamwe sito kucheat nimelidhia na wewe❤❤❤
Hii inaonyesha wazi 80% ya wanawake wa chuo sio waaminifu cha msingi vijana wanatakiwa kua makini mpende demu kwa maslai tu ya kung'ata na kupotea hata ukisikia rafiki yako amekula demu wako usigombane nae hii generation marafiki muhimu sana kuliko mademu wa chuo ni kausha damu
Khaaaaaaaaaaa hii ni hatar jmn wanawake tumezidi jmn duuuuuu sijawah kukoment chochot lkn Leo imebid niongee neno duuuuuuu kama wap wadada wa hivi siku yatakuja kuwakuta mamb haiwezekani mtu ana kuhudumia au anakufanyia Surprise Kam hiy ww unaleta mambo ya ajabu na ya haibu pia khaaaaaaaaaaa 🙆🏽
Ndiyo maana mimi huwa nasema hawa wanachuo wanaungana chuoni kwamba wote wametoka makwao wapo single,,,,kwahiyo ni mushikeri tu kwa kwenda mbele -------
Mbona rfk yngu @kiredio amepoa hivyo jmniiii hiyo iPhone naona turudinayo dar kijana akamnunulie mam shamba😅😅maana kuna mabinti wanacheza na akili za watoto wa wanawake wengne 😊
Content nzuri sana, kiredio unafanya kazi nzuri sana, but kuna shida hutupei conclusion, embu jaribu kutuunganisha matukio since unaongea na jamaa hadi una kutana na binti and conclusion ilikuwaje
Yes
Yah that's true afanye follow up😊 kuunganisha couples
😂itakuwa movie sasa
Hapo tutakuwa tunapigwa mkisema iwe hvyo
No hii nimegundua ni njia ya kweli hata we unaweza mtumia mpenzi wako zawadi ili kuprove atapokeq mtu sahihi?
Kiredio et "mnakunywa soda au?" 😂😂😂😂
Hao ndo wanawke wa tanzania sasa❤
Yaani hii kila muda naangalia na nacheka sanaa ndugu zangu uaminifu ni muhimu sana Mumewangu popote ulipo Nakupenda sana na kamwe sito kucheat nimelidhia na wewe❤❤❤
Vip kuhusu yeye hakucheat pia😁😁😁
😅
Watu wanapewa had iphone mm hata w kunihonga kiswaswadu hakunaa 😢cjui nafel wap
Hio lazima
Kiredio leo umepigwa na kitu kizito siyo kwa kukujia na shemeji yenu😂😂
Hii inaonyesha wazi 80% ya wanawake wa chuo sio waaminifu cha msingi vijana wanatakiwa kua makini mpende demu kwa maslai tu ya kung'ata na kupotea hata ukisikia rafiki yako amekula demu wako usigombane nae hii generation marafiki muhimu sana kuliko mademu wa chuo ni kausha damu
sasa ndo useme kiredio ameishiwa nguvu oviasiii😂😂
Long distance relationships huwa hazifanyi kazi, great content.
Kiredio wew mungu atakupa kiti chako
🤣🤣🤣🤣🤣bongo hii, tutafika tumechoka sana
jaman kiredio na mr uk 😅😅😅 haraf mr uk nilikuona kwenye mr right
Dah!! Kadadaa kamechanganyikiwa!! Baada ya kujua kayakanyaga hataki kuharibu pande zote! Ni nouma wadada wa chuo
Inachekeshaaa😂😂😂😂😂😂 Hali ya bwan mahusiano ni teteeee
Mungu wangu weee demu kashamjua mshikaji wake ooh my GOD
Mmmh inatisha sana. Focus on yourselves gentlemen it's a really cold life in this eraa
Safiiiiiiiii,safi sanaaaaaa, Good job kiredio
Wanawake haki kuna tuvitu tumemzidi adi shetani 😂😂😂🙌🏻 et msimpigie
Kiredio nampendeaga Woga 😅
Zanzibar tokae mzee
Sema kiredio we mnafiki sana maswali gani hayooo😅😅😅😅😅
Sasa kiredio ikawaje 😅😅mbona mtu aliinuka tuu then fyuu au alivunja camera😂😂😂😂
Khaaaaaaaaaaa hii ni hatar jmn wanawake tumezidi jmn duuuuuu sijawah kukoment chochot lkn Leo imebid niongee neno duuuuuuu kama wap wadada wa hivi siku yatakuja kuwakuta mamb haiwezekani mtu ana kuhudumia au anakufanyia Surprise Kam hiy ww unaleta mambo ya ajabu na ya haibu pia khaaaaaaaaaaa 🙆🏽
Na pia pongezi ziende kwakwako kiredio watu watajifunza na kujirekebisha kupitia ww
Ila kiredio jamn😂😂 muone namaliza bando lang kila siku mpaka nakopa 😅😅😅😅 kisa hiz mamb zako I love you
😂😂😂😂😂 oya mlipona maana at atujaelewa kilicho endelea😅😅😅😅
Mr UK simu ulikuwa unaficha wapi😂😂
Aasa wamejikuta wametambulishwa 😅😅 kwa shemeji yao
kiredio unafanya kazi nzur Sana lakini tafuta bodigadi mwili wako hauna mazowezi watakuuwa
hiii ndo ile mpenzi wako naye ana mpenzi wake
..... 🤣Aaaah Kmmke Pissi yenyewe Mbovu kis*ng afu ina cheat maaamae....
Waoga san haw wakin kiredio
Ulikua unaulazima wa kuuliza kama anaweza kupigana, picha linaanza jamaa kavuta kamera sijui nyie mpo kwenye hali gani 😂😂😂😂😂
@Kiredio Kiukweli nimechelewa kuiona hii ila huyo dada hapana aisee.... Kanikumbusha nilikutana nae Ze Bistro😅😅
Ndiyo maana mimi huwa nasema hawa wanachuo wanaungana chuoni kwamba wote wametoka makwao wapo single,,,,kwahiyo ni mushikeri tu kwa kwenda mbele -------
Eti unaweza kupigana😂😂😂😂😂😂😂
Ila nimefurahi SANA man,pale alipo mtambulisha BF wake kabla.
Kiredio muoga hana Nguvu ya Kupigana😂😂😂😂
Dada kama kweli una mashaka gani kiredio usipige cm hahahahhaha jmn
Ile kauli ya wanawake kuwa wanaume ni mbwa,,, sasa wao ndo wamegeuka mbwa sasa
Kiredio huo ugomvi tunaomba uutume bhnaa😂
Jamani mbona mmeikata hatujaona mwisho 😂😂😂umbea kazi nyie
Mpenzi wangu ajiandae namletea zawadi ila mshenga ni kiredio 😂😂😂😂
😢 kwann kila sku ni wadada tu
Ila mnasaidia mna hueenda watabadirika
Tunaomba part 2 jaman uwiiii
ndo nn sasa hata aieleweki imeishaje
😅😅😅😅😅yaaani utasikia m.mke mweny sura mbovu hawachit....hiv km kila mtu anataka pisi mbovu ila awe peke yke unadhn mtakua wangap 😅😅😅😅😅
Muendelezo tujue imeishiaje jmn ilikuaje mwisho wake
😂😂😂😂😂daaah...wazee wa kuachanisha mahusiano yaliyofika hatua ya mwisho😅
😆😆😆 sijapentaaa
Na mimi nataka univunjie mahusiano huku😢😂😂
Kumbe kiredio kupigana huwez,yn mm ningekudunda🤣🤣🤣
Kijana upo Dom 😹😹
Part 2 please
Hii kukosa mwanq na maji ya moto
this was btn chelsea vs brentford mkeka ukachanika mchana kweupeeee😁😁 maaapeeenjiii yatakuuuaaaa
😂😂😂😂Sema we kiredio ipo sku wataku ua😅😅😅
Mbona rfk yngu @kiredio amepoa hivyo jmniiii hiyo iPhone naona turudinayo dar kijana akamnunulie mam shamba😅😅maana kuna mabinti wanacheza na akili za watoto wa wanawake wengne 😊
Mwaka ujao nitawachek mmkabidhi mtu funguo ya nyumba ,akose sasa
😂😂😂 jaman mbona mmekatisha aah 😢
Sasa kiredio mpo wawili unawaza kupigwa😂😂😂
kiredio pole kwa kweli Du
Kipindi kizuri sana japo mnavunja ndoa za watu"lakini mbona hamfiki mwisho?
Alaa part two iko wapi kiredio
Alafu ni wajina eeh Yesu😢
Tunataka part 2😂😂😂😂
Somo la kuondoka nalo hapo jifunzeni kuweka mbali camera
Hawa nyie wambeyq😂😂
Sema Sasa,umefeli jambo moja mbona haijaisha.
Hahahaha kasimu kamera kakashikwa jamaa kaona mdada kashamuaibishaaa ...
Inabidi nikutume na mimi maana😅😅
Ety hii ni kali bora ya gari😂😂😂😂, hapa ni wapiiiii
Daaah jamani inauma sana
Kwakweri mm nawaogopa sn
kivumbi leo kula chuma hichoo
Dem mbaya
karibu singida mzee mwenyewe uje ukiwashe kwa wanyaturu😂😂😂
😂z😂😂😂😂😂huko hatar
Daaaah ninomaaaaaa
Kwan imeisha j
Wew kiredio unaharibu mahusiano ya watu wew
Ds dodoma ❤❤
Mwendelezo
Kiredio ban😂😂😂 eti kila mtu ajue
Mwendelezo jamani😂😂😂😂 tuone iliishaje
Hii nimecheka sana
Saaa Huuuu siuchonganishiii wakati wadada wa BONGO mnawajua
Jmniii part two 😂😂😂
Mbona bahati hiizi sipati mm mungu wangu jamani
Njoo nikupe bahati😂
Weee kiredio wewe Mungu anakuona 😂😂😂😂 nakukubali kinoumaa
Mnakunywa soda au?😅ila wanawake tuache tamaa.
😂😂😂Ety unaweza kupigana??kiredio unaomba ulindwe😂😂
Hii mbaya kiredio
Kiredio part2 plz
apa si shopers mbez beach😢
Jamani wadada tunafer wapi
Tuko confussion😂😂😂😂😂
😂😂😂eti unaweza kupigana
Jamani mapenzi haya 😢
Yan me kaela kangu nikula au nimpe Mzee wangu awavimbie wazee wenzie kuliko unapigia mtu hesabu alfu Kuna mwamba mwingine
Hii kalii kmk 😂yan nimejifunzaa kbsa n vyemaq kuishi single tuu huu ujingaaa
Oya niaje kiredio namba usogee pande za zanzibar
Hii nmeikubali kuliko zote😅😅😅
Mbona haijaisha😢😢