HELLO MR RIGHT FULL SHOW ; AKUTANA NA X WAKE | RUDISHA KILA KITU CHANGU | SITAKI MTU MWINGINE
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- ►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
Nampenda uyo kaka anavyotangaza ❤❤❤ nampenda sana
anaitwa nani?
Boss wa christine ashaona show na hivyo kibarua cha Christina kiko matatani...naonelea Christina aondoke na Chris wake😊😊
Aibuu na hyo big nyashh😂😂😂
That dude was in his simpism of a special level..
Hivi hapo Hamna comedy jamaaa kakazaaa kazaaa mwanaume
Pole blo
Huyu jamaaa Ana utoto😂😂😂aaaaah sio kwa Hali iyo.....sasa akrgsha ndo itasaidia nini😅
Ka Lastborn😂
khaaaa jaman huyu kaka n last born
Kajamaa kanaonekana kagoroko bado akajapitia mapito yakumchangamsha kangepata kontawa mmoja akatowe huo wazimu waakili😮
Vimbaombao tunasoko sema tu nkukavu😅😅😅😅😅
HV Wanaume wa hovyo bado wapo
Jamani nimecheka sana humu ni uhuni tu
Dunia Kuna mambo
Sheria ipo ivo
The girl she knows how to talk she's so beautiful or so
Bora angeachana na Ako kabinti
😂😂😂daaah ila uyu mwamba yupo serious
christina is dating her boss reason she can’t date chris and fact that chris and her boss are buddies
Mimi napenda kuangalia Mr right ila Kuna zingine zinakua nusu mtu unaipenda unanitafuta huioni hii inaboa
USingetaja jina la boss wako.Mwanaume unaombaje kurudishiwa mali zako tena vitu vidogo vidogo acha hzo unatuaibisha wanaume
Hao waloimbian nimewapenda🤣🤣🤣
I need a tanzanian boy,,,
Huyu mwanamke tunamuitaji kwetu Burundi iko na pisi kali tena ni mzuli
Lisa akon bado au la..
huyu kaka angekuwa mtumishi
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Lisa shepu rangi Ila jamaa kapenda
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wap mwalabu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Who this guy 😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
huyu mrembo anayetangaza sambamba na GaraB anakitu ndani yake labda hajijui/ ana uwezo mkubwa sana wa kusoma mazingira kwa haraka na kuyapatia majibu..anafit sana kama akiwa Investigator/ forensic auditor au kazi zinazoendana na hizo/ by the way Kipindi ni kizuri kinafurahisha na kutuondolea stress za maisha.
😂😂😂
🤣🤣🤣
Jamani anirudishie vitu vyangu vyote😂😂😂 mimi nimezimia kidogo 🤦
Kwani criss ni lastborn 😂😂😂😂😂
inaonekana kabsaa Chris ni last born haipingiki, mpaka anataka arejeshewe vitu vyake
Kumbe single mothers twaeza kuja pia 😂😂nlkua nadhani n wenye hawajazaa pekeake ndio wako huku
Hii nchi ukifa kwa stress umejitakia mwenyewe😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂😂😂
Yaan noma
wallah tena 😂😂😂😂😂😂😂ukifa umejitakia😂😂😂
😅😅😅😅😅😅
@@zeynabuhussen8740kwel kabs
😀😀😀😀
Mr Right tz nawapenda kuliko wetu wa kenya..Tanzania watulivu wenye upoole...sio wa kenya wetu hawa wana tabia mbaya sana..hawana utulivu kabisaa
Hapo kuna ukweli mwingi sana 😂😂😂 madem wetu wenyewe wanakua kama malaya flani hivi🤣🤣🤣
Mm pia nmkenya na nawapenda tz kuliko Kenya yetu wetu hawana adabu
Mamae 😂😂
Sauti ya kumtoa ngurue pangoni 😂
Kipind hiki ni lin na lin na mda gan
Anirudishie vitu vyangu vyoooooooote tena kwa urefu 😂😂😂😂😂
😂😂😂😂Wala sikutegemea Kama angezungumza ivi ila namimi yashanikuta
This guy, why is he explaining the content?
We all can understand what they are saying.
The advice, eti: "na wewe umu rudishiye wakati yake", they all spent their time together.
Your right
Hahaaaa huyu kaka jmn ametiaa aibu taifaa. 😂😂😂😂
😅😅😅😅
Huyo jamaa ni last born
hata kama mnatupanga basi jipangeni kwanza nyie script zikae sawa na vitu viende taratibu
Waaah hku kumewaka mwanaume anataka vtu vyake kwli 😂😂😂😂😂
Jamni napenda sana kufatilia hii je kuna kiingilio hapo jamni nilitaka kuja🥰🥰✍🏻✍🏻
Kama tako ndo kupendwa ungekuwa ushaolewa
This lady she knows what she love
Mwanaume unaomba urudishiwe vitu 😂😂😂😂😂😂 bro you're so stupid
Hamna nafikili lengo lake hukumuelewa lengo lake alotak aondoke na mtu wake basi sasa mbinu nayo aliyo tumia imefail and that is broo
Kwani kuna pahara imeandikwa mwanaume hatakiwimbi kuomba vitu vyake?
Mda anapoteza, pesa anapoteza, stress apewe alafu mnachukuliaga kirahisi kana kwamba tunaokota pesa sio?
Hongera saaaana mkaka nawewe mdada ukimacha huy mkaka ipo sk utajuta
Neema paul nmekuelewa sana kuna vitu atari ogopaaa
Uyo mr ✅yenwenyewekwanza
Mshamba anatuzalilisha wanaume wenziwe
Nilichokigundua hapa hiki kipindi ni comedy
Uhakika
boss kaona nipo nae hapa sasa jiandae
😂😂😂😂😂nimechek kwa saut
Hakuna kucheka na kima rudisha vitu vyake 😂😂
😂😂
Beautiful couple
Kwani hawa wasichana huwa wanawazazi?
Lisa is very wise and beautiful, mwanaume mwenye malengo ni rahisi kumuelewa.
Chris ni lastborn,alfu mramba lips,yaan taabu tupu....alafu Hawa wadada mbona kama ni wale waloshindikana jmn...na wakaka pia yaan ni kopo na mfuniko
Lisa usifikiri kila mtu anataka matako makubwa😂😂😂pumzika dada
😂😂😂😂😂😂
Kaongea point
Mume nijenga kueli
Ukimacha Hy mkaka ipo siku utajuta kupotenza maana anamapenzi ya kweli nawewe maana Hy mdada alienitokenza ni mrembo kukunzidi ila kamkataaa
Hamakweri tz yetu hakuna wanaume waowaji wadda wazuri Kam hawa wanajitangaza kwenye TV lkn wap nchi ni ngumu sana hii wadda ndio wanatafuta waume na sio wanaume kutafuta wanawake
Mhhhhhh jaaaamn yalishanikutaga hayo mwenzio
Huyu jamaa vp huyuu... 😅😅
Life without God is meaningless..it might seem smart and beautiful but full of emptyness ....
Huu ukumbi unapatikana wap, mim natak kuja nipeni na maelekezo ya kuingia hap.???
Jamani huyu Cris mshamba asa wakati anatoa hivo vitu alilazimishwa😃😃😃😃😃
Arudishe kila kitu na wewe rudisha wakati wote alikupa ulipokua naye
Hivi hizi mambo za kuondoka na mtoto huwa ni kweli au ni zuga tu
Binafs niko sambambaa na uyo Chris 😂😂😂😂😂😂❤❤
Uyu Jama amekemesha sana kuombeana vitu ametuangusha sana Sisi wanaume
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nmejikuta nacheka dakika za jioni Sanaa😁 dada wa nyimbo tunashukuru
Hah yaaan Lisa asilimia kubwa ya miaka 35 to up wameoaa yaaan inshort sahv kijana anaejitambua kwel miaka 28 anakua kashaoa ambao bado sasa
Kuna vidada vingine vimekuja kudanga 😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣😂😂😂😂😂🤣🤣wallah huyu kaka kanichekesha mie atii anirudishie vitu vyangu vyooote😂
Huyo dada na yy ni maraya
Kujitongozesha kisa tako
Gara kicheko chako tu😅😅
Kula uliwe hhh lipa chochote ulikula😢😢
Mbona Kama hii story imepangwa 😂
Uhakikaaa tena huyo Lisa nimemuona hadi kwa akina kiredio anafanya show
Huyo nimimi kabsaaa arudishe kla mmoja afate upepo😅😅😅😅
Nimecheka mpaka nimeumwa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Lisa gud girl ila mwaume hajitambui you are beuty and u c can change njoo kwang
Sema Nini tutafute San Ela asa cye wanaume ukiwa napesa mwanamke yeyote utaish nae mkuu
😂😂😂😂
Yaaan kaimba yy aibu naona mm
Bro ushawahi kumuona Cristina ndio 😂😂 Cristina njoo hapa aisee nimecheka 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Ahaaa hua mnadhani wote wanapenda hayo makalio😂😂😂😂
Kipo kicheko hapo nakipenda sana😂 hiyo bass kama kuchochea😂😂
Kudet na last born kazi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Dada tapel huyu si anaitwa fey kule kwa mr uky😅😅😅😅aliachwa na zompa kisa kuchat na x wake😅😅😅😅
😂😂😂😂
wewe ni FBI nin umejuaje yote hayo
Huyo kijana nae anavoramba hio midomo hapana kwakwel
Hicho Kicheko cha GarraB. 😂😂😂😂😂
Jamani nimecheka sana humu ni uhuni tu