HELLO MR RIGHT FULL SHOW ; AKUTANA NA X WAKE | RUDISHA KILA KITU CHANGU | SITAKI MTU MWINGINE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder

Комментарии • 206

  • @LazandaSweety
    @LazandaSweety 5 месяцев назад +9

    Nampenda uyo kaka anavyotangaza ❤❤❤ nampenda sana

  • @Dorothyakemwa
    @Dorothyakemwa 5 месяцев назад +19

    Boss wa christine ashaona show na hivyo kibarua cha Christina kiko matatani...naonelea Christina aondoke na Chris wake😊😊

  • @EMMYSIMON-hg5cf
    @EMMYSIMON-hg5cf 5 месяцев назад +4

    Aibuu na hyo big nyashh😂😂😂

  • @N254NK
    @N254NK 4 месяца назад +2

    That dude was in his simpism of a special level..

  • @beniardajuna2580
    @beniardajuna2580 5 месяцев назад +3

    Hivi hapo Hamna comedy jamaaa kakazaaa kazaaa mwanaume

  • @RenzoJofre-my9lz
    @RenzoJofre-my9lz 4 месяца назад +1

    Pole blo

  • @TsarinaKonki
    @TsarinaKonki 5 месяцев назад +2

    Huyu jamaaa Ana utoto😂😂😂aaaaah sio kwa Hali iyo.....sasa akrgsha ndo itasaidia nini😅

  • @NafsahRajah
    @NafsahRajah 4 месяца назад +3

    khaaaa jaman huyu kaka n last born

  • @shakiralasway8821
    @shakiralasway8821 4 месяца назад +1

    Kajamaa kanaonekana kagoroko bado akajapitia mapito yakumchangamsha kangepata kontawa mmoja akatowe huo wazimu waakili😮

  • @SerenakaremboDzombo
    @SerenakaremboDzombo 5 месяцев назад +3

    Vimbaombao tunasoko sema tu nkukavu😅😅😅😅😅

  • @NuruMzonge
    @NuruMzonge 4 месяца назад +1

    HV Wanaume wa hovyo bado wapo

  • @SelemaniHassan-g5q
    @SelemaniHassan-g5q 3 месяца назад

    Jamani nimecheka sana humu ni uhuni tu

  • @kidmozjkm7965
    @kidmozjkm7965 5 месяцев назад +2

    Dunia Kuna mambo

  • @MussaCharles-d8v
    @MussaCharles-d8v Месяц назад

    Sheria ipo ivo

  • @fistonnibigira167
    @fistonnibigira167 5 месяцев назад

    The girl she knows how to talk she's so beautiful or so

  • @odiloboniphace
    @odiloboniphace 5 месяцев назад +1

    Bora angeachana na Ako kabinti

  • @clementinamasakia2622
    @clementinamasakia2622 5 месяцев назад +2

    😂😂😂daaah ila uyu mwamba yupo serious

  • @intelligencechris
    @intelligencechris 4 месяца назад +1

    christina is dating her boss reason she can’t date chris and fact that chris and her boss are buddies

  • @salmaabdallah9598
    @salmaabdallah9598 3 месяца назад

    Mimi napenda kuangalia Mr right ila Kuna zingine zinakua nusu mtu unaipenda unanitafuta huioni hii inaboa

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 3 месяца назад

    USingetaja jina la boss wako.Mwanaume unaombaje kurudishiwa mali zako tena vitu vidogo vidogo acha hzo unatuaibisha wanaume

  • @magreciousthomas3527
    @magreciousthomas3527 5 месяцев назад

    Hao waloimbian nimewapenda🤣🤣🤣

  • @faithochieng-qc6ub
    @faithochieng-qc6ub 4 месяца назад

    I need a tanzanian boy,,,

  • @bigirimanaseth311
    @bigirimanaseth311 4 месяца назад

    Huyu mwanamke tunamuitaji kwetu Burundi iko na pisi kali tena ni mzuli

  • @nasasirapaddy7521
    @nasasirapaddy7521 3 месяца назад

    Lisa akon bado au la..

  • @PendoMatemba-ql1ng
    @PendoMatemba-ql1ng 5 месяцев назад

    huyu kaka angekuwa mtumishi

  • @SalhaKhalidi
    @SalhaKhalidi 2 месяца назад

    😂😂😂😂

  • @GivnessAlbert
    @GivnessAlbert 2 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @ClaraDeogratius
    @ClaraDeogratius 5 месяцев назад

    Lisa shepu rangi Ila jamaa kapenda

  • @godlovemanase3423
    @godlovemanase3423 2 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @salummakenzi4846
    @salummakenzi4846 4 месяца назад

    Wap mwalabu

  • @hadijasalim7769
    @hadijasalim7769 4 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mecksonmbwilo
    @mecksonmbwilo 5 месяцев назад

    Who this guy 😂😂😂😂😂😂😂

  • @khadejarajab8007
    @khadejarajab8007 5 месяцев назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @picdotstudio4785
    @picdotstudio4785 4 месяца назад +4

    huyu mrembo anayetangaza sambamba na GaraB anakitu ndani yake labda hajijui/ ana uwezo mkubwa sana wa kusoma mazingira kwa haraka na kuyapatia majibu..anafit sana kama akiwa Investigator/ forensic auditor au kazi zinazoendana na hizo/ by the way Kipindi ni kizuri kinafurahisha na kutuondolea stress za maisha.

  • @NaimahKhalifasalim
    @NaimahKhalifasalim 3 месяца назад

    😂😂😂

  • @EmmyMbore-yv8cb
    @EmmyMbore-yv8cb 4 месяца назад

    🤣🤣🤣

  • @JannetEdward
    @JannetEdward 11 часов назад +1

    Jamani anirudishie vitu vyangu vyote😂😂😂 mimi nimezimia kidogo 🤦

  • @BreaRoden
    @BreaRoden 4 месяца назад +19

    Kwani criss ni lastborn 😂😂😂😂😂

    • @godfreypatrick1043
      @godfreypatrick1043 3 месяца назад

      inaonekana kabsaa Chris ni last born haipingiki, mpaka anataka arejeshewe vitu vyake

  • @luckybahati1944
    @luckybahati1944 4 месяца назад +2

    Kumbe single mothers twaeza kuja pia 😂😂nlkua nadhani n wenye hawajazaa pekeake ndio wako huku

  • @rosemery3017
    @rosemery3017 5 месяцев назад +45

    Hii nchi ukifa kwa stress umejitakia mwenyewe😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @EmJesho
      @EmJesho 5 месяцев назад +1

      Yaan noma

    • @zeynabuhussen8740
      @zeynabuhussen8740 5 месяцев назад +1

      wallah tena 😂😂😂😂😂😂😂ukifa umejitakia😂😂😂

    • @Edna-w3z
      @Edna-w3z 5 месяцев назад

      😅😅😅😅😅😅

    • @Edna-w3z
      @Edna-w3z 5 месяцев назад

      ​@@zeynabuhussen8740kwel kabs

    • @davidpeter2398
      @davidpeter2398 5 месяцев назад

      😀😀😀😀

  • @samwelzali1050
    @samwelzali1050 4 месяца назад +10

    Mr Right tz nawapenda kuliko wetu wa kenya..Tanzania watulivu wenye upoole...sio wa kenya wetu hawa wana tabia mbaya sana..hawana utulivu kabisaa

    • @HamisiMwakuyu
      @HamisiMwakuyu 4 месяца назад

      Hapo kuna ukweli mwingi sana 😂😂😂 madem wetu wenyewe wanakua kama malaya flani hivi🤣🤣🤣

    • @safiunamugen7476
      @safiunamugen7476 2 месяца назад

      Mm pia nmkenya na nawapenda tz kuliko Kenya yetu wetu hawana adabu

    • @tradamus4158
      @tradamus4158 2 месяца назад

      Mamae 😂😂

    • @tradamus4158
      @tradamus4158 2 месяца назад

      Sauti ya kumtoa ngurue pangoni 😂

  • @temuclassic706
    @temuclassic706 23 дня назад +1

    Kipind hiki ni lin na lin na mda gan

  • @salhaayub1338
    @salhaayub1338 4 месяца назад +7

    Anirudishie vitu vyangu vyoooooooote tena kwa urefu 😂😂😂😂😂

  • @BrapMussa
    @BrapMussa 5 месяцев назад +10

    😂😂😂😂Wala sikutegemea Kama angezungumza ivi ila namimi yashanikuta

  • @GendusaBrain
    @GendusaBrain 5 месяцев назад +5

    This guy, why is he explaining the content?
    We all can understand what they are saying.
    The advice, eti: "na wewe umu rudishiye wakati yake", they all spent their time together.

  • @HerikaMbuya
    @HerikaMbuya 4 месяца назад +8

    Hahaaaa huyu kaka jmn ametiaa aibu taifaa. 😂😂😂😂

  • @crownisackmussa3581
    @crownisackmussa3581 5 месяцев назад +12

    Huyo jamaa ni last born

  • @SamsonJulius-ku6iv
    @SamsonJulius-ku6iv 11 дней назад

    hata kama mnatupanga basi jipangeni kwanza nyie script zikae sawa na vitu viende taratibu

  • @Karyma-g3n
    @Karyma-g3n 5 месяцев назад +11

    Waaah hku kumewaka mwanaume anataka vtu vyake kwli 😂😂😂😂😂

  • @stellatwaah3242
    @stellatwaah3242 4 месяца назад +17

    Jamni napenda sana kufatilia hii je kuna kiingilio hapo jamni nilitaka kuja🥰🥰✍🏻✍🏻

  • @tatuaamuuinyi9633
    @tatuaamuuinyi9633 5 месяцев назад +6

    Kama tako ndo kupendwa ungekuwa ushaolewa

  • @MohamedHuseein-s5i
    @MohamedHuseein-s5i 5 месяцев назад +8

    This lady she knows what she love

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 5 месяцев назад +4

    Mwanaume unaomba urudishiwe vitu 😂😂😂😂😂😂 bro you're so stupid

    • @Officialrockzompa
      @Officialrockzompa 5 месяцев назад

      Hamna nafikili lengo lake hukumuelewa lengo lake alotak aondoke na mtu wake basi sasa mbinu nayo aliyo tumia imefail and that is broo

    • @Graceyust
      @Graceyust 5 месяцев назад

      Kwani kuna pahara imeandikwa mwanaume hatakiwimbi kuomba vitu vyake?
      Mda anapoteza, pesa anapoteza, stress apewe alafu mnachukuliaga kirahisi kana kwamba tunaokota pesa sio?

  • @neemapaul9073
    @neemapaul9073 5 месяцев назад +8

    Hongera saaaana mkaka nawewe mdada ukimacha huy mkaka ipo sk utajuta

    • @JosephKaka-s4k
      @JosephKaka-s4k 5 месяцев назад

      Neema paul nmekuelewa sana kuna vitu atari ogopaaa

  • @fredrickkaweu
    @fredrickkaweu 4 месяца назад +2

    Uyo mr ✅yenwenyewekwanza
    Mshamba anatuzalilisha wanaume wenziwe

  • @KareemAbdallah-w2v
    @KareemAbdallah-w2v 5 месяцев назад +3

    Nilichokigundua hapa hiki kipindi ni comedy

  • @MathewGabriel-k6d
    @MathewGabriel-k6d 20 дней назад

    boss kaona nipo nae hapa sasa jiandae

  • @AshuraKigoma-vf7wb
    @AshuraKigoma-vf7wb 5 месяцев назад +7

    😂😂😂😂😂nimechek kwa saut

  • @nehemiahkasiano3740
    @nehemiahkasiano3740 5 месяцев назад +4

    Hakuna kucheka na kima rudisha vitu vyake 😂😂

  • @Felister330
    @Felister330 5 месяцев назад +9

    Beautiful couple

  • @noelasamugabo5135
    @noelasamugabo5135 Месяц назад

    Kwani hawa wasichana huwa wanawazazi?

  • @StanfordMkude
    @StanfordMkude 5 месяцев назад +2

    Lisa is very wise and beautiful, mwanaume mwenye malengo ni rahisi kumuelewa.

  • @nervashonza587
    @nervashonza587 3 месяца назад

    Chris ni lastborn,alfu mramba lips,yaan taabu tupu....alafu Hawa wadada mbona kama ni wale waloshindikana jmn...na wakaka pia yaan ni kopo na mfuniko

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 5 месяцев назад +8

    Lisa usifikiri kila mtu anataka matako makubwa😂😂😂pumzika dada

  • @Jud289
    @Jud289 5 месяцев назад +5

    Kaongea point

  • @KisetiClément-e8h
    @KisetiClément-e8h 2 месяца назад

    Mume nijenga kueli

  • @neemapaul9073
    @neemapaul9073 4 месяца назад

    Ukimacha Hy mkaka ipo siku utajuta kupotenza maana anamapenzi ya kweli nawewe maana Hy mdada alienitokenza ni mrembo kukunzidi ila kamkataaa

  • @MsNajma-e6e
    @MsNajma-e6e 4 месяца назад

    Hamakweri tz yetu hakuna wanaume waowaji wadda wazuri Kam hawa wanajitangaza kwenye TV lkn wap nchi ni ngumu sana hii wadda ndio wanatafuta waume na sio wanaume kutafuta wanawake

  • @BabyRose-ym7nn
    @BabyRose-ym7nn 3 месяца назад +1

    Mhhhhhh jaaaamn yalishanikutaga hayo mwenzio

  • @ramonlinechannel1282
    @ramonlinechannel1282 2 месяца назад +1

    Huyu jamaa vp huyuu... 😅😅

  • @elishashori666
    @elishashori666 Месяц назад

    Life without God is meaningless..it might seem smart and beautiful but full of emptyness ....

  • @csmahonatv6594
    @csmahonatv6594 4 месяца назад

    Huu ukumbi unapatikana wap, mim natak kuja nipeni na maelekezo ya kuingia hap.???

  • @ClaraZacharia-qu7ym
    @ClaraZacharia-qu7ym 3 месяца назад

    Jamani huyu Cris mshamba asa wakati anatoa hivo vitu alilazimishwa😃😃😃😃😃

  • @elizabethmukeba2528
    @elizabethmukeba2528 3 месяца назад

    Arudishe kila kitu na wewe rudisha wakati wote alikupa ulipokua naye

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 3 месяца назад

    Hivi hizi mambo za kuondoka na mtoto huwa ni kweli au ni zuga tu

  • @lovesamson2939
    @lovesamson2939 4 месяца назад +1

    Binafs niko sambambaa na uyo Chris 😂😂😂😂😂😂❤❤

  • @baenimuhimafabrice
    @baenimuhimafabrice 5 месяцев назад +2

    Uyu Jama amekemesha sana kuombeana vitu ametuangusha sana Sisi wanaume

  • @MiriamNjau-y6o
    @MiriamNjau-y6o 4 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nmejikuta nacheka dakika za jioni Sanaa😁 dada wa nyimbo tunashukuru

  • @corinajoshua949
    @corinajoshua949 5 месяцев назад

    Hah yaaan Lisa asilimia kubwa ya miaka 35 to up wameoaa yaaan inshort sahv kijana anaejitambua kwel miaka 28 anakua kashaoa ambao bado sasa

  • @zainabusabas7421
    @zainabusabas7421 4 месяца назад +1

    Kuna vidada vingine vimekuja kudanga 😂😂😂😂😂

  • @mariamkimati5857
    @mariamkimati5857 4 месяца назад

    🤣🤣🤣😂😂😂😂😂🤣🤣wallah huyu kaka kanichekesha mie atii anirudishie vitu vyangu vyooote😂

  • @malimisprian6757
    @malimisprian6757 8 дней назад

    Huyo dada na yy ni maraya

  • @VianaKokutensa
    @VianaKokutensa 4 месяца назад +1

    Gara kicheko chako tu😅😅

  • @Kingsimbatc
    @Kingsimbatc 4 месяца назад +1

    Kula uliwe hhh lipa chochote ulikula😢😢

  • @davidkasala5727
    @davidkasala5727 4 месяца назад +1

    Mbona Kama hii story imepangwa 😂

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 4 месяца назад

      Uhakikaaa tena huyo Lisa nimemuona hadi kwa akina kiredio anafanya show

  • @lukasmaro4280
    @lukasmaro4280 3 месяца назад

    Huyo nimimi kabsaaa arudishe kla mmoja afate upepo😅😅😅😅

  • @CandyVois
    @CandyVois 4 месяца назад +1

    Nimecheka mpaka nimeumwa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @abbasisudi6899
    @abbasisudi6899 5 месяцев назад

    Lisa gud girl ila mwaume hajitambui you are beuty and u c can change njoo kwang

  • @yassingawaza5097
    @yassingawaza5097 5 месяцев назад

    Sema Nini tutafute San Ela asa cye wanaume ukiwa napesa mwanamke yeyote utaish nae mkuu

  • @Elizabethakimu
    @Elizabethakimu 2 месяца назад

    😂😂😂😂

  • @rebeccakaran1977
    @rebeccakaran1977 4 месяца назад +1

    Yaaan kaimba yy aibu naona mm

  • @GfgGgh-v5z
    @GfgGgh-v5z 4 месяца назад

    Bro ushawahi kumuona Cristina ndio 😂😂 Cristina njoo hapa aisee nimecheka 😂😂😂😂

  • @ShamiAl-ww6gp
    @ShamiAl-ww6gp 3 месяца назад

    😂😂😂😂😂

  • @HappinessSawe
    @HappinessSawe 4 месяца назад

    Ahaaa hua mnadhani wote wanapenda hayo makalio😂😂😂😂

  • @danstanamwtata1866
    @danstanamwtata1866 4 месяца назад

    Kipo kicheko hapo nakipenda sana😂 hiyo bass kama kuchochea😂😂

  • @esterbaraka1164
    @esterbaraka1164 4 месяца назад +1

    Kudet na last born kazi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @peresiphilemon366
    @peresiphilemon366 3 месяца назад

    Dada tapel huyu si anaitwa fey kule kwa mr uky😅😅😅😅aliachwa na zompa kisa kuchat na x wake😅😅😅😅

    • @NetNuggets60
      @NetNuggets60 3 месяца назад

      😂😂😂😂

    • @NetNuggets60
      @NetNuggets60 3 месяца назад

      wewe ni FBI nin umejuaje yote hayo

  • @Naju645
    @Naju645 4 месяца назад

    Huyo kijana nae anavoramba hio midomo hapana kwakwel

  • @deboramuhoja1777
    @deboramuhoja1777 5 месяцев назад +1

    Hicho Kicheko cha GarraB. 😂😂😂😂😂

  • @SelemaniHassan-g5q
    @SelemaniHassan-g5q 3 месяца назад

    Jamani nimecheka sana humu ni uhuni tu