WAMEPENDEZA | NAAHIDI KUKUOA | HUTOTESEKA | NAKAA MASAKI | SARITO APATA MWENZA WA KUDUMU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder

Комментарии • 643

  • @user-em8qt5kq8j
    @user-em8qt5kq8j 6 месяцев назад +324

    Wanaochukizwa na uwepo wa eliza tujuane

    • @Fashionanddesign894
      @Fashionanddesign894 6 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂 anaudhi atolewe hiyo soko Mimi niingie pembeni❤

    • @mwanamisi285
      @mwanamisi285 6 месяцев назад

      Akera sana alafu maswali mengi ciku akipata anae mpenda nae ampendi ndio alia sasa

    • @tryphonemzee14
      @tryphonemzee14 6 месяцев назад

      Ata mim eliza ananikwaza kwa sasa

    • @jackrinedugange2888
      @jackrinedugange2888 6 месяцев назад

      Sjui kwannn hawamtoi

    • @levygasper7438
      @levygasper7438 6 месяцев назад

      Eliza nimemchukia vibaya mno

  • @celestinemakolo3954
    @celestinemakolo3954 6 месяцев назад +42

    Ila Aaliyah una akil sana we dada nataman ungekuwa dadag am proud of you .sijawah kuwa na objection kwa unachoongea Mungu akutunze sana

  • @rehemaomary1739
    @rehemaomary1739 6 месяцев назад +28

    Huyo salito Ana moyo sana ningekuwa mm ningekataa maana mwanzo haku taka, ingekuwa kwake😅😅😅

  • @saraissa9327
    @saraissa9327 6 месяцев назад +16

    Hyo Eliza msenge sana

  • @benhanclove5997
    @benhanclove5997 6 месяцев назад +26

    Yote 9. Sarito ni mrembo bhana🥰❤️

  • @emmyjuma5771
    @emmyjuma5771 6 месяцев назад +52

    Eliza ana mdomo htr

    • @najmasalim-rg6ow
      @najmasalim-rg6ow 6 месяцев назад +1

      Ndo maana amezeeka bila ndoa khaa! Shida yakuto olewa ujanani wallahi

    • @user-zs4qz4wm2n
      @user-zs4qz4wm2n 6 месяцев назад +1

      Kazee alafu kashamba

    • @BennyMkongwi
      @BennyMkongwi 6 месяцев назад +1

      hatoolew atazeekea hapo

    • @user-ui6ut2qg4n
      @user-ui6ut2qg4n 6 месяцев назад

      Sidhan kam ataenda huyo😅😅

  • @isackmbade3181
    @isackmbade3181 6 месяцев назад +43

    Hawez kupata mme huyo Eliza

    • @kitemerosanga109
      @kitemerosanga109 6 месяцев назад

      Umeona mwenyewe mi natamani asiwe anakuja

    • @isackmbade3181
      @isackmbade3181 6 месяцев назад

      Anazngua inabidi Gara b waliangalie namna ya kuwadhibiti hao wanaozngua

    • @user-ui6ut2qg4n
      @user-ui6ut2qg4n 6 месяцев назад +1

      😂😂😂eliza jmn kiherehere 😅😅

    • @SalvinJastin
      @SalvinJastin 6 месяцев назад

      Nani amchukue sasaa😢😢

    • @ancyjoakim8308
      @ancyjoakim8308 5 месяцев назад

      😂

  • @ElifAthanas-or1dt
    @ElifAthanas-or1dt 6 месяцев назад +47

    Eliza ana kiherehere

  • @veronicaagonga7415
    @veronicaagonga7415 6 месяцев назад +13

    We mzuri unajua kuvaa mbona umekaa hapo sana wanakuja warembo wanakuacha hapo hapo hata Mimi nikija Leo nitakupita

  • @tawhidaabbasi8584
    @tawhidaabbasi8584 6 месяцев назад +16

    uyo eliza mnamchekelea hem mtòweni hayup seriosely kabisa adi anakera kwa kwely

  • @ellennkota6599
    @ellennkota6599 6 месяцев назад +5

    Galab anasimamia nafasi yake kama mwanaume ku make sure wasio na nizamu wanatulia safi sana

  • @Ndiyooo
    @Ndiyooo 6 месяцев назад +5

    Sarito mzuri kuliko uyongooden girl ❤❤❤❤ Eliza ana wivu saaana

  • @AbdurazakiKisoma
    @AbdurazakiKisoma 6 месяцев назад +22

    Ila Huyu Isarito Ni Mzuri Sana❤

  • @Emanuel-hl2jh
    @Emanuel-hl2jh 6 месяцев назад +5

    Hongera salito

  • @unicemwenda3664
    @unicemwenda3664 6 месяцев назад +47

    Eliza unajikuta nani aseeeee

  • @monicapeter9065
    @monicapeter9065 6 месяцев назад +2

    Jaman leo diva kapendeza sana
    Ukiona hii mesej fanyia kaz, nataman kila sku uwe unavaa design hyo ya nguo inaleta muonekano mzur wa heshima
    Hongera kwa leo dada yang
    Mavaz ya heshima yanapendeza

  • @user-ik9wl7he4v
    @user-ik9wl7he4v 6 месяцев назад +12

    Hv huyu elza anasoma sms kweli

  • @solomondanny-1507
    @solomondanny-1507 2 месяца назад

    Sarito yupo cool. I love her.

  • @sophiankwera9020
    @sophiankwera9020 6 месяцев назад +15

    Eliza ana kiherehere unatafuta mume na bado unaonesha Tabia zaajabu je huko ndani huyo atakaye kuoa ajipange

  • @Tyughcdrbdt
    @Tyughcdrbdt 6 месяцев назад +14

    Elizaaa aendeee kitimtim tuu

    • @gifthlinus6017
      @gifthlinus6017 6 месяцев назад +1

      😂😂😂dada anakichaa Cha mapenzi huyu😂

    • @upendoshoo2635
      @upendoshoo2635 6 месяцев назад

      Nililiona kitimutimu linatafuta Kiki tu kila mtu kwake ni mbaya akamtengeneze wake

    • @habi78121
      @habi78121 6 месяцев назад

      anamatatz

  • @neemaneychricious6493
    @neemaneychricious6493 6 месяцев назад +4

    Ahahahahahah jamn ivi kuna kaka ashapanda stej eliza asimtolee kasoro jamn haki apimwe akili hayupo sawa

  • @solomondanny-1507
    @solomondanny-1507 4 месяца назад

    God bless Sarito and her Mr. Right.

  • @KelvinSilas-fv3ek
    @KelvinSilas-fv3ek 5 месяцев назад +1

    Yah sarito nimependa ❤️

  • @Ndiyooo
    @Ndiyooo 6 месяцев назад +4

    Bravooooo Aliya hodari saaana mashaallah kamuweza Eliza 😅😅😅

  • @Caleb-hv6ep
    @Caleb-hv6ep 6 месяцев назад +1

    Nice one

  • @user-qv4wh2pb1d
    @user-qv4wh2pb1d 6 месяцев назад +16

    Huyo eliza fukuza kwanza mzee

  • @ZaifathMustafa
    @ZaifathMustafa 5 месяцев назад +1

    Ila salito ni mzuri ana rangi nzuri

  • @ibrahimsimba7602
    @ibrahimsimba7602 6 месяцев назад +18

    Eliza malaya tu

  • @andreatutu6179
    @andreatutu6179 6 месяцев назад +2

    Daaah mshkaji awe mwaminifu sana kwa sarito daaah sarito❤❤❤

  • @user-yh2wq4lr3d
    @user-yh2wq4lr3d 19 дней назад

    Huyo eliza jamn mwambien mudomo auache choon

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 6 месяцев назад +5

    Sijui kama watadumu😂😂😂

    • @saraissa9327
      @saraissa9327 6 месяцев назад

      Hli penzi la mashaka mashaka 😂😂😂

  • @danielndei5420
    @danielndei5420 5 месяцев назад

    SABITINA, THE MOST BEAUTIFUL LADY AV EVER SEEN IN UR SHOW HUYU ELIZA BURE KABISA ANAKAA MWANAMKE MWENYE HASIRA SANA SIEZI TAKA MDADA SAMPULI HII

  • @ElizabethMgimba-lq9iw
    @ElizabethMgimba-lq9iw 5 месяцев назад

    Heeee uyo dada anamdomo

  • @kudoson_tz
    @kudoson_tz 4 месяца назад +1

    Eliz anasubir wazir 😮😢😊

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 6 месяцев назад +3

    Sema mr right ana usela wa Form 2😅

  • @judithmwambe4767
    @judithmwambe4767 5 месяцев назад +1

    Kwa Mr Right sijapenda the way bdy language ulivyoitumia, umeweka mikono mfukoni mwanzo mwisho, kwa upande mwingine hiyo ni moja ya dharau au majivuno.

  • @JosephJoseph-w6u
    @JosephJoseph-w6u 2 дня назад

    Ila elisa

  • @IddaJovent
    @IddaJovent 22 дня назад

    Salito saaaaafiiiii umemuwez huyo boya .elizaaaaa

  • @user-tb3zn8lg1p
    @user-tb3zn8lg1p 5 месяцев назад +1

    Hata Mimi simupende Eliza hanamudono sana

  • @ConfusedMicrophone-rp5ku
    @ConfusedMicrophone-rp5ku 5 месяцев назад

    Huyo dada kenge sana

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 6 месяцев назад +3

    Wanawake wengine wemekuja kuonesha sula kwenye TV sio kuja katika program 😂

  • @Geofreymartinpeace
    @Geofreymartinpeace Месяц назад

    Sitakuja oa mke mwenyejina la Eliza maishani mwangu

  • @lucysylveste
    @lucysylveste 6 месяцев назад +4

    Yani Eliza kwa huo mdomo na izo tabia unazoleta utakaa sana kwenye podiam my dear na bado

  • @user-vt8do3sm8i
    @user-vt8do3sm8i 5 месяцев назад +1

    Huyooo elizaa cjw kachanganyikiwa na nin😂😂😂

  • @ameenaoman
    @ameenaoman 6 месяцев назад +6

    Mtoeni huy elz jama

  • @meckydimpoz
    @meckydimpoz 5 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤ from Mecky Dimpoz 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 always Maharaj Da King 👑👑 Hivi Eliza yuko hapo kwa Nia Gani kwa kweli??

  • @EdnahMutindi
    @EdnahMutindi 5 месяцев назад +1

    Uyu Eliza anaaribu hii show

  • @jacklinechuga2569
    @jacklinechuga2569 6 месяцев назад +3

    Mwacheni Eliza bhn anafurahisha jukwaa anakuwa kama Maggie wa kenya😅😅

  • @RayyanRayyan-rt9cg
    @RayyanRayyan-rt9cg 6 месяцев назад +15

    Wawe wanavaa ata Braaa basi😂😂😂

    • @abubakariibrahim5375
      @abubakariibrahim5375 6 месяцев назад

      😂😂kwamba kitu Ndala au???

    • @user-yv4wd5ii8k
      @user-yv4wd5ii8k 6 месяцев назад

      Kabisa maan ziwa kilo na nusu yanapishana haipendz kabisa

    • @sarazacharia
      @sarazacharia 5 месяцев назад

      😂😂😂 nimetafuta sana hii comment 😂😂😂😂💔

    • @EstherMathew-gg2eh
      @EstherMathew-gg2eh 4 месяца назад

      @@sarazacharia nami nilikuwa naitafuta🤣🤣🤣🤣

    • @user-mv1qs6vj1z
      @user-mv1qs6vj1z 3 месяца назад

      Jamani nimecheka nifeeee

  • @diva_20162
    @diva_20162 5 месяцев назад +1

    Huyo Eliza anawaza soda tu 😂😂😂

  • @lilianeerica3318
    @lilianeerica3318 6 месяцев назад +2

    Huyu eliza labda kuna matangazo anafanya maana sikwakukosa adabu uku😂😂😂😂😂😂😂

    • @joyce55727
      @joyce55727 6 месяцев назад

      Mm nazan analipa hela hao wasimamiz maana anaujinga na hawamtoi

  • @user-mv1oi3xq8x
    @user-mv1oi3xq8x 3 месяца назад

    Mm simpendi anajiona sana

  • @Dianyusph
    @Dianyusph 23 дня назад

    Uyo bibi eliza vp jaman iv mnaweza mkanisaidia

  • @MusondoliRobert-ve4wz
    @MusondoliRobert-ve4wz 4 месяца назад

    Kweli sarito ana upendo

  • @Reemysidimaojo
    @Reemysidimaojo Месяц назад

    Eliz jmn hana eshima

  • @happymrema7487
    @happymrema7487 6 месяцев назад +3

    Weww Eliza unashida gan Eliza weww ni mtu mzim jitambue

  • @user-sq2vn9mu1x
    @user-sq2vn9mu1x 6 месяцев назад +4

    Uyo Eliza anataka mwanaume wa aina gani atoke apo

  • @ireneenossy
    @ireneenossy 5 месяцев назад +1

    eliza mjinga kwelii

  • @rashiikaje3465
    @rashiikaje3465 2 месяца назад

    Uyo Eliza simpendi kweli

  • @demetriamulenge1786
    @demetriamulenge1786 3 дня назад

    Airforce is typing

  • @user-wj4yy1us3c
    @user-wj4yy1us3c 5 месяцев назад

    Mimi niliolewa na mume wangu japo Ni askali polisi lakini kwa wakati ule alikuwa Hana kitu.kwa sababu mshahala wake kidogo alikuwa akisomesha wadogo zake niliamini nanikamuomba mungu ipo siku tutapata.tulianza na godolo chini tukiishi kambini lakin hii leo tumejenga tuna viwanja tunamashamba watoto wako shule za Hera .tunamshukulu mungu kwa hilo.kwa hiyo asikae anazalau watu kiasi hicho mungu anaweza kukunyanganya ulichonacho na akampa asiyekuwa nacho.

    • @NaahZephania
      @NaahZephania 5 месяцев назад

      Kwer jmn Maan had Anaboa khaa

  • @DorisDidas
    @DorisDidas Месяц назад

    Eliza nataman Sana nione mwanaume atakaekuwa naeee muone Kwanzaa mwenyew mbayaaaaaaa

  • @irenemacha5661
    @irenemacha5661 6 месяцев назад +3

    Kwann wasimtoe eliza

  • @HenryMkalawaya-mk1pc
    @HenryMkalawaya-mk1pc 6 месяцев назад

    Eliza anajuaga san kuleta challenge hahahaha😅😅

  • @CHAUSIKUMABULA-pg5tw
    @CHAUSIKUMABULA-pg5tw 6 месяцев назад +4

    Jamani muwe mna vaa sidiria👌

    • @salmakivo4073
      @salmakivo4073 6 месяцев назад

      😂😂😂 kumbe umeona nilichoona mm

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 6 месяцев назад

      😂😂😂 wanajikuta bado mabinti wakati wazee wenzangu

  • @najmarajab9315
    @najmarajab9315 6 месяцев назад +1

    Halafu wameendana tu wenyewe🥰. Huyo Eliza hatopata hata huyo wa viatu vichafu😏ye nyota yake ni kupendwa na vibabu tu shenz zake

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 6 месяцев назад

    Kwanini Hamufukuzi Huyu Msichana Nimtovu Wa Nidhamu Mukiharibi Kipidi Chenu Nakama Atatokea Mwanaume Kumchukuwa Huyu Mwanamke Allah Amnusuru Huyo Mwanume

  • @vicentpeter9907
    @vicentpeter9907 6 месяцев назад

    Eliza kwa kiburi chake na kujiona cake atazeekea on stage, labda abadilike

  • @user-ld6nn7py5f
    @user-ld6nn7py5f 4 месяца назад

    Miminamupenda eriza

  • @hamisaabdulhamid529
    @hamisaabdulhamid529 4 месяца назад

    Eliza ni mswahili Sana atae m hukua anakibarua

  • @amanimlengwa9202
    @amanimlengwa9202 Месяц назад

    Sarito ni mrembo jamani, ila huyo Eliza hatokuja apate mpenzi

  • @user-qv7qv5rt7k
    @user-qv7qv5rt7k 6 месяцев назад

    Mmeendana❤

  • @user-ty9nf9dq1i
    @user-ty9nf9dq1i 6 месяцев назад +1

    Kuna mtu atazeeka hapo hata pata Mume 😂😂😂😂 namuonaa mm😂😂😂😂

  • @DorikaKipala-ds5vl
    @DorikaKipala-ds5vl 6 месяцев назад +1

    Eliza umechokwa mama😢,mr yoyot akija Toka nae mkifika nje abwage kulee ,uwende peke ako

  • @elizabethmukeba2528
    @elizabethmukeba2528 2 месяца назад

    Ongera dada mpende mweshimu mumeo

  • @user-it6to6ws5r
    @user-it6to6ws5r 6 месяцев назад

    Eliza anaaibikaaaa 😅😅😅 satito mzuri kuliko uyo uliyo mchaguwaa❤❤❤

  • @user-fb1tz6gq8y
    @user-fb1tz6gq8y 24 дня назад

    Uyo dada Ana mdomo ataolewa

  • @user-ns3so9wv1f
    @user-ns3so9wv1f 6 месяцев назад

    jamanii sii bado Yuko singe huyo Kaka kipata MTU waku msafishia atajua smart❤ 3:19

  • @oppachoga2603
    @oppachoga2603 6 месяцев назад

    Sema doctor love hapo umenafkiaa utamuuu 🤓🤓🤓

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 6 месяцев назад

    Kaka gala B and wadada mnaosimamia hii event ,TOENI HIYO KISIKI ELIZA HUMU MNATUHAIBISHAA HANA ADABU NA ANAHARIBU SIFA YA KAZI YENU

  • @user-ou1bw2zv9u
    @user-ou1bw2zv9u 6 месяцев назад +1

    mmmmh 😂😂😂❤

  • @zungukessy7127
    @zungukessy7127 6 месяцев назад

    Uyooo mzee eliza hana jipya apunguzee kiherehere

  • @Ndiyooo
    @Ndiyooo 6 месяцев назад

    Aliya ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @SleepyBoat-jk6gi
    @SleepyBoat-jk6gi 6 месяцев назад

    Gara B kicheko jamani alllaaaaa

  • @user-qr4wl5ey4d
    @user-qr4wl5ey4d 5 месяцев назад

    Eliza anamashauzi sana

  • @happyyonahoutlook3081
    @happyyonahoutlook3081 6 месяцев назад

    Ila gara b😅😅😅unashushia mwamba wao😊😊😊😅😅😅😅

  • @user-eq9ji8il6z
    @user-eq9ji8il6z 6 месяцев назад +1

    Jaman sindiria azipo. A kina dada uwiiiiiiiiiiiiiii😅😅😅😅😅😅😅😅 heeeee

    • @NaomieMasoka-xp4ob
      @NaomieMasoka-xp4ob 6 месяцев назад

      Huuum ulikuwa unatupia jicho tu hapo wee😂😂😂😂😢😢

  • @CathyPhillip-jg4zt
    @CathyPhillip-jg4zt 6 месяцев назад

    Couple nzur jmn❤

  • @lambertchami4311
    @lambertchami4311 6 месяцев назад

    Nahc Eliza hayupo Kwenye Mr right Kwa ajili ya kumtafuta mchumba,,anafurahisha shooo mtimueni tu

  • @user-ze5os2mb2m
    @user-ze5os2mb2m 6 месяцев назад

    uyo eliza akipata mchumba hapoo bs mm muniite dog 😂😂😂

  • @salmahamisi1717
    @salmahamisi1717 3 месяца назад

    Huyo Eliza mtoen anaboa sana😊

  • @likombishitv3788
    @likombishitv3788 6 месяцев назад +1

    Huyo eliza na mdomo wake kila ck anaachwa wenzak wanaondk ye anabak anazeeka na mdomo wake kam ananusa mavi

  • @Tumaini-qp3db
    @Tumaini-qp3db Месяц назад

    Huyo eliza ni mtu mzima ila kama hajielewi vile😂😂ana utoto cjui ujinga

  • @user-pr8vr9sf1l
    @user-pr8vr9sf1l 6 месяцев назад

    Eliza anamdomo Sana sijampenda Hana adabu

  • @athumanii
    @athumanii 6 месяцев назад +3

    Eliza ni villan wa series, ni TBag au Arturo

  • @NellyMkongo-vi8of
    @NellyMkongo-vi8of 6 месяцев назад +1

    Eliza hata pata mume hadi apunguze mdomo ndio maana atalia mpaka yesu arudi

  • @ZillahLeo
    @ZillahLeo 5 месяцев назад

    Dah huyo mdada apewa upendo na raba

  • @user-sk7un6ls2t
    @user-sk7un6ls2t 6 месяцев назад +1

    Nataman nimpige huyo eliza kudadek zake 😂😂😂😂😂

    • @subiramarko1789
      @subiramarko1789 6 месяцев назад

      Jamani nauliza hivi huh mchezo ni maigizo au nikweli wanaoana??

  • @IddaJovent
    @IddaJovent 22 дня назад

    Hv Eliza ana ugonjw wa akil au??? Naomb akapime ugonjw wa akil kwanz af naon Kam vle anawivu, ikimuuma achomoe bhas.duh ana kera tumechok uzee wak

  • @deborahmollel3170
    @deborahmollel3170 3 месяца назад

    Ila hawa sidhaniI kama watapendana sana