KUNYWA SODA BABA, ONGEZA SIFA WAONE WIVU, KABILA LAKO SIO SHIDA KWANGU - HELLO MR. RIGHT

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 дек 2023
  • ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 594

  • @EudoziaKichomi
    @EudoziaKichomi 2 месяца назад +2

    Jamaan Dr. Alya unavaa vidhuurii unapendezaa Sanaa nakupendaa buree🥰🥰🥰

  • @lastkinglastking3326
    @lastkinglastking3326 6 месяцев назад +7

    Johari sio mke wakuowa
    Anakibuli anadhalau huyo nimoto wakuotea mbari
    Mungu amempenda huyo kijana

  • @FaithSamuel-yc7dw
    @FaithSamuel-yc7dw Месяц назад +2

    IlaMc gara b nakupenda bure, hata me mmewangu ni muhaya of course ❤❤❤❤

  • @VivianKimath
    @VivianKimath 2 месяца назад +2

    Huyu mdada mshamba alaf mbaya knma johari aisee asingeropoka tu😂😂😂

  • @elvisbabu1324
    @elvisbabu1324 7 месяцев назад +61

    I like the way Tanzanians do there Mr right, hii yetu ya kenya waa..very short episodes in RUclips as if they don't want us to see what happened. Anyway congrats guys

    • @Ann-Strong
      @Ann-Strong 7 месяцев назад +2

      I stopped watching kenyan show, nilihamia huku au Nigeria

    • @DaughterofUbuntu1988
      @DaughterofUbuntu1988 7 месяцев назад +1

      Zalast year ndio ziko full, though inachangamsha na ofweneke 😂😂😂😂😂😂😂😂 titavumilia tuu

    • @shakilamasoud2983
      @shakilamasoud2983 7 месяцев назад

      Karibu sana Tanzania hatuna mbamba wa choyo❤

    • @jeremymakis1715
      @jeremymakis1715 7 месяцев назад

      Hata Mimi nilihama.... Kenya Mr right ni za tene😅

    • @stephenngala1048
      @stephenngala1048 6 месяцев назад

      and kelele mingi sanaaa

  • @ronateaguko9718
    @ronateaguko9718 7 месяцев назад +17

    Hae garab, lulu diva and alia, watching from neighbourhood, love the show, l'm from kenya 🇰🇪

  • @user-dm6xg1ue8i
    @user-dm6xg1ue8i 7 месяцев назад +18

    Chukua maua yako mhaya mwenzangu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @giddie_barnabas
    @giddie_barnabas 7 месяцев назад +16

    Uyo anaetaka makabila amchonge wa kwake ampe na kabila la kwake mshamba huyo dem😂

  • @Zariaty-wy1dy
    @Zariaty-wy1dy 2 месяца назад +2

    😂😂😂❤❤ mahariii muwe mnanitumia mm ndo mkwee

  • @diva_20162
    @diva_20162 3 месяца назад +3

    Mimi mwenyew nimezaliwa na kukulia kanda ya ziwa ila johari kazingua sana unaleta ushamba sana wewe mambo ya kabila ya nn tena😊😊😊

  • @nuruurio8319
    @nuruurio8319 5 месяцев назад +6

    Mr. Right bila mwijaku ni nzur sanaa

  • @musicheals1545
    @musicheals1545 7 месяцев назад +49

    Muwe mnatupatia update baada ya hapo mambo zinaendaga vipi huko njeeee😂😂😂

    • @user-jz7td8kb6n
      @user-jz7td8kb6n 7 месяцев назад +2

      Yaan mwenyewe nataman kujua.. ikiwezekana wawe wanatupa na kad za harusi

    • @mathewbundu235
      @mathewbundu235 7 месяцев назад +2

      😂😂😂😂

    • @foumshaaban5949
      @foumshaaban5949 7 месяцев назад +2

      😄🤣😂

    • @PatsonSimpito
      @PatsonSimpito 7 месяцев назад +1

      Kabisa ani

    • @nahimanamayassa8305
      @nahimanamayassa8305 6 месяцев назад +1

      Hahaha,apo Niku date tu one-way namwishoni wanamwagana😅

  • @Maryam-vj1rb
    @Maryam-vj1rb 7 месяцев назад +1

    Alya ni me ku miss AlhamdulliAh umerudi tre jolie fille

  • @richardmaxwell3991
    @richardmaxwell3991 7 месяцев назад +6

    mbona kama wadada mnawaleta ambao madish yao yameyumba🤣🤣🤣🤣🤣

  • @faithfaith-zr6gz
    @faithfaith-zr6gz 7 месяцев назад +165

    Johari we ni mpumbavu, kama umtaki siusepe!! Na wewe mbona umeenda kujitangaza kutafuta bwana hadharani!!! Kama we mzuri cungekuwa ushaolewa...Na utakuja kupata koromaaa ulie, Na ulivyo na sura ngumu kama sinki la choo.

    • @RachelRachel-zx6dx
      @RachelRachel-zx6dx 7 месяцев назад +2

      Haaaa

    • @user-is3og1hc8r
      @user-is3og1hc8r 7 месяцев назад +2

      Apo sasa😂😂😂😂

    • @zuenakhassim
      @zuenakhassim 7 месяцев назад +4

      Anajikuta haendi choon😅😅😅

    • @metrineomega1635
      @metrineomega1635 7 месяцев назад +10

      😂😂😂😂😂nabaki TU hapo pa sura ngumu kama sink ya chooo, walai uyo apigie hii coment,

    • @subrynerysegerow1323
      @subrynerysegerow1323 7 месяцев назад +1

      Sema wewe tena kwa sauti😂😂😂😂😂

  • @Rena57478
    @Rena57478 7 месяцев назад +24

    Finally Sharon 👏
    Congratulations
    Hope all goes well🙏

  • @user-qh2ij3kj8s
    @user-qh2ij3kj8s 7 месяцев назад +5

    Hbu n mm nipate mr right wakihaya ❤

  • @MwanaidiSalehe
    @MwanaidiSalehe 7 месяцев назад +12

    😢jmn ponguzeni hivo nyimbo jmni mnaboa

  • @gracelazaro
    @gracelazaro 7 месяцев назад +17

    Yarabi naomba uniambie huo wimbo Kanumba nan na upenda sana❤❤❤❤❤❤❤

    • @josephinemhina1246
      @josephinemhina1246 7 месяцев назад

      Kaimba Barnabas

    • @Heartbrown1
      @Heartbrown1 7 месяцев назад

      Kaimba barnaba ila auwez kuupata ni special kwa hiyo show

    • @masudiamani4501
      @masudiamani4501 7 месяцев назад

      mbna mie ninao

    • @LeonardGeorge-jj4bu
      @LeonardGeorge-jj4bu 7 месяцев назад +2

      Upo bana acha uongo .... Nenda google andika Mr Right by barnaba utaupata....

    • @user-fe9op5yn3t
      @user-fe9op5yn3t 7 месяцев назад

      Kaimba barnaba kipenz

  • @ddsmchau1712
    @ddsmchau1712 7 месяцев назад +14

    Huyu JOHARI sio mzima, hii ni shida nyingine na atasubiri sana!

  • @user-ne8zu9vs8y
    @user-ne8zu9vs8y 7 месяцев назад +11

    Johari simpendi makabila yanahusiana nn na mapenz ovyooo sula yenyewe mbaya😏😏

  • @halimahassan1930
    @halimahassan1930 7 месяцев назад +4

    Mim simpendi uyu joari atabaki uyu atopata bwana ndio mana alishindikana akakosa bwana😂😂😂😂😂😢chefu

  • @JudyLee-hf9cy
    @JudyLee-hf9cy 7 месяцев назад +5

    Huyo johari ni msenge mbwa

  • @adamomondi6359
    @adamomondi6359 7 месяцев назад +5

    Hongera sharon ❤Mapenzi matamu

  • @DaughterofUbuntu1988
    @DaughterofUbuntu1988 7 месяцев назад +9

    I will love if yhy can mix this three countries Kenya Uganda and Tanzania maze 😂😂😂😂😂😂😂

  • @sophiekivuyo6028
    @sophiekivuyo6028 7 месяцев назад +9

    cheki mtt huyoooo tena kazuriiiii joharii kabakiaa kutoaa macho kama fundi saaa 😊😮 😂

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 6 месяцев назад +6

    Mpende akupendaeeeee

  • @danstanamwtata1866
    @danstanamwtata1866 Месяц назад +1

    Jennifer iwapo utasoma hii comment, nimevutiwa na urembo wako na upole wako🌹🌹🌹

  • @Mariah28.pretty
    @Mariah28.pretty 7 месяцев назад +6

    Punguzeni sauti ya mziki unaocheza huko nyuma kiasi tafadhali yafanya tusisikie vizuri

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 7 месяцев назад +2

    😂😂 Mmenichekesha lulu diva na wenzakp😂😂😂❤

  • @NuruNgole
    @NuruNgole 7 месяцев назад +10

    NIKWELI WAHAYA NOMA KWELI

  • @elnecemily1306
    @elnecemily1306 7 месяцев назад +9

    kumbe muhaya mwenzangu wao

  • @alexndihokubwayo8010
    @alexndihokubwayo8010 7 месяцев назад +5

    Johari ajiowe mwenyewe

  • @user-cw1jh2yd9g
    @user-cw1jh2yd9g 2 месяца назад +1

    Jamani hico kipindi nakipenda sana tatizo nipo mbali natamani mimi pia ninge ingia apo.😢😢

  • @daineszephrinedaineszephrine
    @daineszephrinedaineszephrine 7 месяцев назад +7

    Wahaya oyeee

  • @stellahwilfred5762
    @stellahwilfred5762 7 месяцев назад +11

    Congratulations 🎊

  • @Jay41996
    @Jay41996 3 месяца назад +1

    Naombeni mawasiliano ya huyo jenipher mke mzuri sana, nimemuelewa

  • @ziporaa8570
    @ziporaa8570 7 месяцев назад +5

    Mwijaku alienda wapi

  • @abdibilali4186
    @abdibilali4186 7 месяцев назад +12

    Kiukweli mm ni mtu wa Tanga ila wahaya wapo smart sana na wanajitamvus sijui kwa nn watu wanawachukulia negative ,oky Johari endelea na jazba zako

  • @ReganMaliyatabu
    @ReganMaliyatabu 7 месяцев назад +5

    namchukia johari sanaaaaaa

  • @anajoycejoseph3313
    @anajoycejoseph3313 6 месяцев назад +4

    Kwanza uzungumzaji wa Johari ni dhairi kuwa sio wife material ni mbabe sana hongera kijana kutuletea wifi mpende usimletee makasiriko ya mke wa kwanza kuwa naye karibu maana mke anachepuka kufuata na umbali wa mapenzi kwake

  • @ElishaJoakim-ir2qf
    @ElishaJoakim-ir2qf 7 месяцев назад +2

    ❤❤❤❤hayo ndo mapenzi

  • @FraviusEmilian
    @FraviusEmilian 23 дня назад

    Safiii broh wahaya hatuna baya

  • @MusaPaul-te6kp
    @MusaPaul-te6kp 7 месяцев назад +10

    Johar punguza jaziba dada bado hujasema na utasema yaan mpaka useme😂😂😂😂😂

  • @babychiishinaa8473
    @babychiishinaa8473 7 месяцев назад +3

    😂johari kampenda ila anawazingua😂😂

  • @user-fs2lb3cs7z
    @user-fs2lb3cs7z 5 месяцев назад

    Akhiii shaban umejua kunifurahishaaa...hongeraa

  • @user-di8hg8ri4h
    @user-di8hg8ri4h 7 месяцев назад +3

    Johari ni bongolala😂😂

  • @suleOficialtz8451
    @suleOficialtz8451 7 месяцев назад +8

    Huyu dada hana hakili yeye anadili na makabila au anatafuta wa kuendana nae mbona mambo ya makabila yalisha pitwaga na wakati

  • @happynazalenonazalenomndew5990
    @happynazalenonazalenomndew5990 5 месяцев назад

    Huo niukwl kbsaaa nakusuport my dear johari

  • @Jackmushil
    @Jackmushil 7 месяцев назад +26

    Huyo Johari mtaani hawajaweza kumchagua mpaka akaamua kuja kujinadi alivyo na sura nzito haswa anapoongea kwa jaziba lisura sijui linakuwaje. Tupo hapa huyo Johari ni ngumu sana kumpata mwanaume asubiri akifika 30 aanze kuzunguka kwa makanisa kuombewa apate mume. Libaya huku anaponda hajui hata kujibu kwa nidhamu unampondaje binadamu mwenzio hivyo bila kujali hisia zake, eti wapare sijui wahaya, akija mchaga si ndo atatuponda mpaka basi. Kwani huko mtaani kwake hamna wa kabila lake mpaka aje humu?

    • @user-li1fl4jp3r
      @user-li1fl4jp3r 7 месяцев назад

      😂😂😂 Naomba nitabasam tu umeongea kwer best Johar atachina hapo

    • @makrinaibinga-on2qx
      @makrinaibinga-on2qx 7 месяцев назад

      Yaan huyu johari ni km Maggie kenya hawawez pata wenza😅

    • @emmanuelmayunga1518
      @emmanuelmayunga1518 7 месяцев назад

      😂😂

    • @danielmichael2755
      @danielmichael2755 6 месяцев назад

      Kahaba hao wengi wao wanajiuza nshawaona

    • @hadijahashim809
      @hadijahashim809 6 месяцев назад

      Ha ha ha Wee mushi wewe😂😂😂😂

  • @faizaahamd2052
    @faizaahamd2052 7 месяцев назад +6

    Johari anazingua sana

  • @user-qg7el6gc5j
    @user-qg7el6gc5j Месяц назад +1

    Nyieee.... hii ni kweli au wanatuigiziaga... Embu walopitia hapo wanipe ushuhuda

  • @magreciousthomas3527
    @magreciousthomas3527 7 месяцев назад +6

    Uyo johari ni box yan ataganda apo mpk 2030😂

  • @Joyrah
    @Joyrah 7 месяцев назад +3

    Johari kila kabila halitaki🤣🤣🤣🤣

  • @SashaOscar
    @SashaOscar 7 месяцев назад +9

    😂😂😂😂😂😂😂 kwa wahaya ni kwl wana sifa ila xx utafanyaje inabd uangalie ww unatak wa kabil gn ikiw ni kabila ambalo hulitak unakaa kimya tu unaendelea kusubr

  • @user-jr3mo3je3k
    @user-jr3mo3je3k 7 месяцев назад +6

    Johari wamtoe aiseeeee anaropokaaaaa tu sura lenyewe la hovyo

  • @SalvinJastin
    @SalvinJastin 7 месяцев назад +8

    Background inazingua

  • @user-iv4eg1cv2f
    @user-iv4eg1cv2f 7 месяцев назад +3

    Johari acha kelel bhana sura yenyewe mbaya😋😛

  • @Huncho_taitan_breezy
    @Huncho_taitan_breezy 7 месяцев назад +6

    Huyo johari mshamba sana

    • @daviccharles
      @daviccharles 3 месяца назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @VivianKimath
      @VivianKimath 2 месяца назад

      🤣🤣😅😅😅

  • @floraflora5964
    @floraflora5964 7 месяцев назад +9

    Hongera sana muhaya mwenzangu wifi tunae❤❤

  • @mziwandamziwanda
    @mziwandamziwanda 7 месяцев назад +1

    mtoen johari jmani 🙌🙌

  • @khalsaalrawahy391
    @khalsaalrawahy391 7 месяцев назад +6

    Punguzeni mziki hatusikii kitu

  • @user-xu5rh6ub5j
    @user-xu5rh6ub5j 7 месяцев назад

    Congratulations

  • @angelaschwarz-f1r
    @angelaschwarz-f1r 29 дней назад +1

    za kenya ndizo zinabamba jameni

  • @MagrethMallya-we8ui
    @MagrethMallya-we8ui 7 месяцев назад +4

    Punguzeni sauti ya kawimbo tafadhal, ni kaziri lakini ni kakubwa mnoo.

  • @user-sj7wt8mn1j
    @user-sj7wt8mn1j 7 месяцев назад

    No comment nainjoy tu

  • @RayyanRayyan-rt9cg
    @RayyanRayyan-rt9cg 7 месяцев назад +3

    Yani kati ya madem 12 mie nilimuona jack ni bonge la dem yan mke kabsa yule dada

  • @user-sq4mo3mg2q
    @user-sq4mo3mg2q 5 месяцев назад

    Mungu atusamehe wanawake wote

  • @jayommy3632
    @jayommy3632 6 месяцев назад +1

    nice

  • @bhokesaid3264
    @bhokesaid3264 7 месяцев назад +3

    Johari anadanganywa na tako lake yani anaamini tako ndio kila kitu basi wait tuko hapa atasugua gaga had ajute

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy 6 месяцев назад +1

    Huyo kaka 😊

  • @shedrackjoshua834
    @shedrackjoshua834 7 месяцев назад +10

    Kuna vitu kwenye maisha vinatisha sana yaani huyu johari ukija kuangalia maisha yake halisi unaweza kumuonea huruma..na hivi alivyo zinazoumia ni sehemu za siri.

    • @janetnyanchera1252
      @janetnyanchera1252 6 месяцев назад

      🤣🤣🤣me laughing in a manner that pleases My God 😅

  • @santinosabugo2114
    @santinosabugo2114 7 месяцев назад +3

    huyo dada siyo muolewaji muhaya mbona hana shida

  • @charles23436
    @charles23436 7 месяцев назад +7

    Hapo kwenye kulea ujauzito sio wako had siku ya mwisho ya kujifungua ntaungana na wew maana yamenikuta piaa ivo ivo

    • @RoseKesi-zj4yy
      @RoseKesi-zj4yy 7 месяцев назад +1

      😂😂😂😂😂😂😂 nikikumbuka ex wangu alininyang'anya mwanangu kwamba atamlea mwenyewe na akati sio wake 😂😂😂😂😂 Yuko anakazana kulea

    • @Preciousamaya
      @Preciousamaya 7 месяцев назад +1

      Rose wewe chizi kweli nimecheka km fala😂😂😂😂😂

    • @GraceLeonard-ip5fk
      @GraceLeonard-ip5fk 7 месяцев назад

      ​@@RoseKesi-zj4yyNawe ukampatia😂😂😂

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 6 месяцев назад

    Ndio Hivyo Mungu Awasamehe Tuu Wanawake Ndio Wakaabiwa Wengi Wanaenda Motoni Kwa Mambo Kama Hayo...

  • @user-ev9sv3ik8e
    @user-ev9sv3ik8e 5 месяцев назад +1

    😮😂😂 amsubili babu yake.

  • @delvinmoraa4883
    @delvinmoraa4883 7 месяцев назад +2

    Nimependa tz sijui mbona❤

  • @Monaish___mooon
    @Monaish___mooon 7 месяцев назад +3

    Baba yangu rafiki yake muhaya yani yule baba anamauwa yake kweli yani msikalili kbs

  • @user-lw4iw2vq5m
    @user-lw4iw2vq5m 7 месяцев назад

    Ahhh www umpumbav sanaaaa johar um

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 7 месяцев назад

    Wahaya mpo 🙌 but ni watu wazuri

  • @faridalihondo3322
    @faridalihondo3322 7 месяцев назад +6

    Uyu johari jaman simpendi mim Yan halinaga hata point za maana endelea kudoda apo kwenye podium mwaya na ukiendelea ivo utapata koroma

    • @metrineomega1635
      @metrineomega1635 7 месяцев назад +1

      Johari ana nini ukimuona hafai uyo,anasahau anakunia kama watu wengine, yake mwanzo yanuka kama sewage ya nchi

    • @mziwandamziwanda
      @mziwandamziwanda 7 месяцев назад +1

      upo km mimi namchukia ana mdomo sanaa😢😢😢😢

    • @faridalihondo3322
      @faridalihondo3322 7 месяцев назад

      @@mziwandamziwanda Yan uyu dada sjui vp asee

    • @faridalihondo3322
      @faridalihondo3322 7 месяцев назад

      @@metrineomega1635 sjui angekua mzur ingekuaje asee mtu kakazania kabila kabila heee

    • @mziwandamziwanda
      @mziwandamziwanda 7 месяцев назад +2

      @@faridalihondo3322 ana nyali sana pia yaan ananiumiza kwakweli 😢😢

  • @shangwefisima3993
    @shangwefisima3993 6 месяцев назад

    Nampenda sana Lulu

  • @marthashenenga9076
    @marthashenenga9076 7 месяцев назад +1

    Mchawi uyo Johari msimuoji tena. Yani anawasha anamchagua kila mwanaume alafu anamchafua kwa Waschana

  • @charlesopudo7192
    @charlesopudo7192 7 месяцев назад +7

    Follow up required before and after the show please.

  • @JulithaOliva
    @JulithaOliva 6 дней назад

    Johari anamtafuta nani kwani hapo😊 wa benk kuu ya dunia😅

  • @user-fh3ev5ly8n
    @user-fh3ev5ly8n 7 месяцев назад +1

    Wewe johari utasubiri Sana na kupata kwako mtu ni shida,mtaani umeshidwa na huko utashidwa mpumbavu mmoja

    • @rosemahenge9071
      @rosemahenge9071 7 месяцев назад

      Halafu ukimwangalia ni kijeba kabisa yani ni age go angalia kono lake linavyo ning'inia😂😂

  • @user-eg6ml8wn7i
    @user-eg6ml8wn7i 7 месяцев назад +7

    Huyo dada boya sana tuachie kabila letu

    • @boashamah3642
      @boashamah3642 7 месяцев назад

      Bro mwambie kabisa aache shobo na kabila yetu
      Watching from Australia 🇦🇺

    • @EstherElisaThomas
      @EstherElisaThomas 4 месяца назад

      Tena akae Kwa kutulia😂😂😂😂🤣

    • @hildephonceerasmus8178
      @hildephonceerasmus8178 3 месяца назад

      Tautumanya ogu😅😅

  • @user-wm6vc2hp5b
    @user-wm6vc2hp5b 7 месяцев назад

    Nawapenda sanna

  • @uwimanacitegetse9926
    @uwimanacitegetse9926 7 месяцев назад +6

    Natamani nimwone kijana atakaye mpenda Johali 🥹nawumiyasana anavyowadisi vijana wawatu 🤔

  • @mfungonishauri4234
    @mfungonishauri4234 2 месяца назад

    Huyo alosema kuhusu dini... A akaa very mature

  • @sophiekivuyo6028
    @sophiekivuyo6028 7 месяцев назад +3

    kadada kenyewe kabayaa alafuu kinajishauwaaa kuchambuaaa vijanaa 😂😂😂😂😂 jioeee sasa mbwaaaa ww. Umekomaaa sana ungetulizaa komweee..

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 6 месяцев назад +1

    Kwa soksi hizi asivae tena😂😂😂

  • @shakiralasway8821
    @shakiralasway8821 2 месяца назад

    Huyu demu johari sijui kabila gani anaroho chungu unamsemea mtu usiyemjua,piga deki mdomo wako utoke hapo kizimbani😮

  • @godlovemanase3423
    @godlovemanase3423 6 месяцев назад +1

    Kwani uyu johari ni kabila gan 😂

  • @Geshilali
    @Geshilali 3 месяца назад

    Siku moja napenda kuja kuona live mr right

  • @BahatiBeatrice-cu7ok
    @BahatiBeatrice-cu7ok 7 месяцев назад

    Mm uyo johari simpendi

  • @janetakinyi2968
    @janetakinyi2968 7 месяцев назад +2

    Watching live from kenya❤❤ l think Johari should be cancelled she doesn't know what she want...kama angekua mzuri sanaaa asingekua hapo angekua kwenye ndoa sasa hivi...nkt!!!!!

  • @aishaabrahaman9957
    @aishaabrahaman9957 7 месяцев назад

    Huyoo Johari ata kifua hama 😂😂😂😂havutii kifua kimekauka

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 7 месяцев назад +4

    Huyu johari anajiona chipis kuku kweli mtu lisura kama ukwaju kama mtu humtaki unatuliza makaliyoo wacha shopoooo

  • @EveliusEdwin
    @EveliusEdwin 7 месяцев назад +1

    Johari muone komwe lake hlo na bado anabagua wahaya nshomile eti wana sifa utabaki hvyohvyo