KUNYWA SODA BABA, ONGEZA SIFA WAONE WIVU, KABILA LAKO SIO SHIDA KWANGU - HELLO MR. RIGHT
HTML-код
- Опубликовано: 11 дек 2023
- ►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder Развлечения
Jamaan Dr. Alya unavaa vidhuurii unapendezaa Sanaa nakupendaa buree🥰🥰🥰
Johari sio mke wakuowa
Anakibuli anadhalau huyo nimoto wakuotea mbari
Mungu amempenda huyo kijana
IlaMc gara b nakupenda bure, hata me mmewangu ni muhaya of course ❤❤❤❤
Huyu mdada mshamba alaf mbaya knma johari aisee asingeropoka tu😂😂😂
I like the way Tanzanians do there Mr right, hii yetu ya kenya waa..very short episodes in RUclips as if they don't want us to see what happened. Anyway congrats guys
I stopped watching kenyan show, nilihamia huku au Nigeria
Zalast year ndio ziko full, though inachangamsha na ofweneke 😂😂😂😂😂😂😂😂 titavumilia tuu
Karibu sana Tanzania hatuna mbamba wa choyo❤
Hata Mimi nilihama.... Kenya Mr right ni za tene😅
and kelele mingi sanaaa
Hae garab, lulu diva and alia, watching from neighbourhood, love the show, l'm from kenya 🇰🇪
Chukua maua yako mhaya mwenzangu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Uyo anaetaka makabila amchonge wa kwake ampe na kabila la kwake mshamba huyo dem😂
Uyu dada msenge kwer wakutia bazi
😂😂😂❤❤ mahariii muwe mnanitumia mm ndo mkwee
Mimi mwenyew nimezaliwa na kukulia kanda ya ziwa ila johari kazingua sana unaleta ushamba sana wewe mambo ya kabila ya nn tena😊😊😊
Mr. Right bila mwijaku ni nzur sanaa
Muwe mnatupatia update baada ya hapo mambo zinaendaga vipi huko njeeee😂😂😂
Yaan mwenyewe nataman kujua.. ikiwezekana wawe wanatupa na kad za harusi
😂😂😂😂
😄🤣😂
Kabisa ani
Hahaha,apo Niku date tu one-way namwishoni wanamwagana😅
Alya ni me ku miss AlhamdulliAh umerudi tre jolie fille
mbona kama wadada mnawaleta ambao madish yao yameyumba🤣🤣🤣🤣🤣
Johari we ni mpumbavu, kama umtaki siusepe!! Na wewe mbona umeenda kujitangaza kutafuta bwana hadharani!!! Kama we mzuri cungekuwa ushaolewa...Na utakuja kupata koromaaa ulie, Na ulivyo na sura ngumu kama sinki la choo.
Haaaa
Apo sasa😂😂😂😂
Anajikuta haendi choon😅😅😅
😂😂😂😂😂nabaki TU hapo pa sura ngumu kama sink ya chooo, walai uyo apigie hii coment,
Sema wewe tena kwa sauti😂😂😂😂😂
Finally Sharon 👏
Congratulations
Hope all goes well🙏
Hbu n mm nipate mr right wakihaya ❤
😢jmn ponguzeni hivo nyimbo jmni mnaboa
Yarabi naomba uniambie huo wimbo Kanumba nan na upenda sana❤❤❤❤❤❤❤
Kaimba Barnabas
Kaimba barnaba ila auwez kuupata ni special kwa hiyo show
mbna mie ninao
Upo bana acha uongo .... Nenda google andika Mr Right by barnaba utaupata....
Kaimba barnaba kipenz
Huyu JOHARI sio mzima, hii ni shida nyingine na atasubiri sana!
Johari simpendi makabila yanahusiana nn na mapenz ovyooo sula yenyewe mbaya😏😏
Hahaha
mpuuzi huyo
Mim simpendi uyu joari atabaki uyu atopata bwana ndio mana alishindikana akakosa bwana😂😂😂😂😂😢chefu
Huyo johari ni msenge mbwa
Hongera sharon ❤Mapenzi matamu
I will love if yhy can mix this three countries Kenya Uganda and Tanzania maze 😂😂😂😂😂😂😂
cheki mtt huyoooo tena kazuriiiii joharii kabakiaa kutoaa macho kama fundi saaa 😊😮 😂
😂😂😂😂😂😂😂
Mpende akupendaeeeee
Jennifer iwapo utasoma hii comment, nimevutiwa na urembo wako na upole wako🌹🌹🌹
Punguzeni sauti ya mziki unaocheza huko nyuma kiasi tafadhali yafanya tusisikie vizuri
😂😂 Mmenichekesha lulu diva na wenzakp😂😂😂❤
NIKWELI WAHAYA NOMA KWELI
kumbe muhaya mwenzangu wao
Bita
Johari ajiowe mwenyewe
Jamani hico kipindi nakipenda sana tatizo nipo mbali natamani mimi pia ninge ingia apo.😢😢
Wahaya oyeee
Congratulations 🎊
Naombeni mawasiliano ya huyo jenipher mke mzuri sana, nimemuelewa
Mwijaku alienda wapi
Kiukweli mm ni mtu wa Tanga ila wahaya wapo smart sana na wanajitamvus sijui kwa nn watu wanawachukulia negative ,oky Johari endelea na jazba zako
Ana stress huyo kama sio kisiran
namchukia johari sanaaaaaa
Kwanza uzungumzaji wa Johari ni dhairi kuwa sio wife material ni mbabe sana hongera kijana kutuletea wifi mpende usimletee makasiriko ya mke wa kwanza kuwa naye karibu maana mke anachepuka kufuata na umbali wa mapenzi kwake
❤❤❤❤hayo ndo mapenzi
Safiii broh wahaya hatuna baya
Johar punguza jaziba dada bado hujasema na utasema yaan mpaka useme😂😂😂😂😂
🤣
😂johari kampenda ila anawazingua😂😂
Akhiii shaban umejua kunifurahishaaa...hongeraa
Johari ni bongolala😂😂
Huyu dada hana hakili yeye anadili na makabila au anatafuta wa kuendana nae mbona mambo ya makabila yalisha pitwaga na wakati
Atapitwa na wote
Huo niukwl kbsaaa nakusuport my dear johari
Huyo Johari mtaani hawajaweza kumchagua mpaka akaamua kuja kujinadi alivyo na sura nzito haswa anapoongea kwa jaziba lisura sijui linakuwaje. Tupo hapa huyo Johari ni ngumu sana kumpata mwanaume asubiri akifika 30 aanze kuzunguka kwa makanisa kuombewa apate mume. Libaya huku anaponda hajui hata kujibu kwa nidhamu unampondaje binadamu mwenzio hivyo bila kujali hisia zake, eti wapare sijui wahaya, akija mchaga si ndo atatuponda mpaka basi. Kwani huko mtaani kwake hamna wa kabila lake mpaka aje humu?
😂😂😂 Naomba nitabasam tu umeongea kwer best Johar atachina hapo
Yaan huyu johari ni km Maggie kenya hawawez pata wenza😅
😂😂
Kahaba hao wengi wao wanajiuza nshawaona
Ha ha ha Wee mushi wewe😂😂😂😂
Johari anazingua sana
Nyieee.... hii ni kweli au wanatuigiziaga... Embu walopitia hapo wanipe ushuhuda
Uyo johari ni box yan ataganda apo mpk 2030😂
Johari kila kabila halitaki🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂 kwa wahaya ni kwl wana sifa ila xx utafanyaje inabd uangalie ww unatak wa kabil gn ikiw ni kabila ambalo hulitak unakaa kimya tu unaendelea kusubr
Johari wamtoe aiseeeee anaropokaaaaa tu sura lenyewe la hovyo
Ahaha jaman 😂
Background inazingua
Johari acha kelel bhana sura yenyewe mbaya😋😛
Huyo johari mshamba sana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣😅😅😅
Hongera sana muhaya mwenzangu wifi tunae❤❤
mtoen johari jmani 🙌🙌
Punguzeni mziki hatusikii kitu
Congratulations
za kenya ndizo zinabamba jameni
Punguzeni sauti ya kawimbo tafadhal, ni kaziri lakini ni kakubwa mnoo.
No comment nainjoy tu
Yani kati ya madem 12 mie nilimuona jack ni bonge la dem yan mke kabsa yule dada
Mungu atusamehe wanawake wote
nice
Johari anadanganywa na tako lake yani anaamini tako ndio kila kitu basi wait tuko hapa atasugua gaga had ajute
Huyo kaka 😊
Kuna vitu kwenye maisha vinatisha sana yaani huyu johari ukija kuangalia maisha yake halisi unaweza kumuonea huruma..na hivi alivyo zinazoumia ni sehemu za siri.
🤣🤣🤣me laughing in a manner that pleases My God 😅
huyo dada siyo muolewaji muhaya mbona hana shida
Hapo kwenye kulea ujauzito sio wako had siku ya mwisho ya kujifungua ntaungana na wew maana yamenikuta piaa ivo ivo
😂😂😂😂😂😂😂 nikikumbuka ex wangu alininyang'anya mwanangu kwamba atamlea mwenyewe na akati sio wake 😂😂😂😂😂 Yuko anakazana kulea
Rose wewe chizi kweli nimecheka km fala😂😂😂😂😂
@@RoseKesi-zj4yyNawe ukampatia😂😂😂
Ndio Hivyo Mungu Awasamehe Tuu Wanawake Ndio Wakaabiwa Wengi Wanaenda Motoni Kwa Mambo Kama Hayo...
😮😂😂 amsubili babu yake.
Nimependa tz sijui mbona❤
Wewe
Baba yangu rafiki yake muhaya yani yule baba anamauwa yake kweli yani msikalili kbs
Ahhh www umpumbav sanaaaa johar um
Wahaya mpo 🙌 but ni watu wazuri
Uyu johari jaman simpendi mim Yan halinaga hata point za maana endelea kudoda apo kwenye podium mwaya na ukiendelea ivo utapata koroma
Johari ana nini ukimuona hafai uyo,anasahau anakunia kama watu wengine, yake mwanzo yanuka kama sewage ya nchi
upo km mimi namchukia ana mdomo sanaa😢😢😢😢
@@mziwandamziwanda Yan uyu dada sjui vp asee
@@metrineomega1635 sjui angekua mzur ingekuaje asee mtu kakazania kabila kabila heee
@@faridalihondo3322 ana nyali sana pia yaan ananiumiza kwakweli 😢😢
Nampenda sana Lulu
Mchawi uyo Johari msimuoji tena. Yani anawasha anamchagua kila mwanaume alafu anamchafua kwa Waschana
Follow up required before and after the show please.
Johari anamtafuta nani kwani hapo😊 wa benk kuu ya dunia😅
Wewe johari utasubiri Sana na kupata kwako mtu ni shida,mtaani umeshidwa na huko utashidwa mpumbavu mmoja
Halafu ukimwangalia ni kijeba kabisa yani ni age go angalia kono lake linavyo ning'inia😂😂
Huyo dada boya sana tuachie kabila letu
Bro mwambie kabisa aache shobo na kabila yetu
Watching from Australia 🇦🇺
Tena akae Kwa kutulia😂😂😂😂🤣
Tautumanya ogu😅😅
Nawapenda sanna
Natamani nimwone kijana atakaye mpenda Johali 🥹nawumiyasana anavyowadisi vijana wawatu 🤔
Huyo alosema kuhusu dini... A akaa very mature
kadada kenyewe kabayaa alafuu kinajishauwaaa kuchambuaaa vijanaa 😂😂😂😂😂 jioeee sasa mbwaaaa ww. Umekomaaa sana ungetulizaa komweee..
Kwa soksi hizi asivae tena😂😂😂
Huyu demu johari sijui kabila gani anaroho chungu unamsemea mtu usiyemjua,piga deki mdomo wako utoke hapo kizimbani😮
Kwani uyu johari ni kabila gan 😂
Siku moja napenda kuja kuona live mr right
Mm uyo johari simpendi
Watching live from kenya❤❤ l think Johari should be cancelled she doesn't know what she want...kama angekua mzuri sanaaa asingekua hapo angekua kwenye ndoa sasa hivi...nkt!!!!!
Huyoo Johari ata kifua hama 😂😂😂😂havutii kifua kimekauka
Huyu johari anajiona chipis kuku kweli mtu lisura kama ukwaju kama mtu humtaki unatuliza makaliyoo wacha shopoooo
Mbona ukwajuu
Johari muone komwe lake hlo na bado anabagua wahaya nshomile eti wana sifa utabaki hvyohvyo