SIJAKUPENDA KWANZA UNATIA HURUMA, JIREKEBISHE | MWAMBA HANA BAHATI KABISA - HELLO MR. RIGHT

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 дек 2023
  • ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 964

  • @bettiejoy-mtotowamama
    @bettiejoy-mtotowamama 7 месяцев назад +47

    Huyo kijana ningekuwa hapo namchagua anaonekana mtu simple sana , all the best Kaka❤

  • @mathiwabusia1836
    @mathiwabusia1836 6 месяцев назад +27

    ❤❤❤huyu kaka ni mpole saana na anaheshima zake. Am a Kenyan and i want him ,am ready to have hime , yaani namtakaaa❤❤❤❤

    • @choroboy1367
      @choroboy1367 6 месяцев назад +2

      Njoo tupo sisi😄😀

    • @SerenakaremboDzombo
      @SerenakaremboDzombo 5 месяцев назад

      Si pia napenda sana mwanaume anakuwanga simple alafu Tz men are gud if u get matured man sijui niishie huko😂😂😂😂

  • @Grace_Ministry_International
    @Grace_Ministry_International 7 месяцев назад +77

    Let me advice women one thing a man is not about school its about how he makes decisions and he stands on his responsibility

    • @elizabethkalinga0822
      @elizabethkalinga0822 7 месяцев назад +1

      You are very Right

    • @janetnyanchera1252
      @janetnyanchera1252 6 месяцев назад

      Shout it again dogo 😢

    • @manish-fp1fb
      @manish-fp1fb 6 месяцев назад +1

      Bro, mwanamke akikuzidi elimu pana changamoto kina namna fulani labda huyo mwanamke awe na misingi fulani, wengi watazingua.

    • @arolamuganyizi5972
      @arolamuganyizi5972 5 месяцев назад

      That's all wamesoma hawajui wamesoma nini Kuko na tofauti kati ya elimu na shule mmoja anadai anataka elimu kubwa elimu kubwa Iko Kwa mwenye mafanikio makubwa shule kubwa labda ndo wanataka kina Glad asome university waje kuuza mchicha sokoni we no job

    • @JMMM7788
      @JMMM7788 5 месяцев назад

      He is not a man who can stay with one woman for long ..

  • @zenababdalla5380
    @zenababdalla5380 7 месяцев назад +23

    Mungu wangu madem jmn munapoteza bahati hivi for real munaboa kwa kwel

  • @hodgebukaya5112
    @hodgebukaya5112 5 месяцев назад +6

    Kila mwanada Amepewa zawadi ya mafanikio hapa duniani, (is Up t you) kugundua kile mwenyezimungu alichokubariki nacho. Waswahili wanasema kufeli shule sio kufeli kimaisha, najitolea mafano Mimi, sijapata leli ya juu lakini mungu amenijalia naishi US na namiliki magari 3 yakubeba mizigo ( Semi-Track 53ft) maiya yanaenda na riski inapatikan, Tumuweke mungu mbele na jiamini katika kutafuta.

    • @user-ti3ui6ql9i
      @user-ti3ui6ql9i 4 месяца назад

      Acha uongo ww siunaka bonyokwa Kwa mama Amina bonge mchoma vitumbua

  • @aud548
    @aud548 7 месяцев назад +31

    "Degreeee in loooouw" 😂😂😂😂😂😂😂😂 LMAO

    • @user-mb6zr7gg9u
      @user-mb6zr7gg9u 6 месяцев назад

      Nimecheka

    • @EvaGwasma
      @EvaGwasma 5 месяцев назад

      😂😂😂😂 ata kama angeishia darasa la piliii

    • @bhokejaqulineelias4197
      @bhokejaqulineelias4197 3 месяца назад

      😂😂😂😂😂huyu Dem vipi😂😂😂😂

  • @marthalohay4354
    @marthalohay4354 7 месяцев назад +19

    Diva , allya na Gara B nimewapenda bure endeleeni kuwapa shule hao wadada bado wanaakili za kitoto sana

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 7 месяцев назад +26

    Mashaallaah kijana mdogo amejitahidi kimaisha pongez broo❤❤

  • @bhokesamo6369
    @bhokesamo6369 7 месяцев назад +39

    Kipindi kizuri ila wadada kauli zao sio Nzuri hata kama kaka ujampenda tafuta lugha Nzuri ya kumwambia, wenyewe mmeenda kutafuta wachumba imagine mwanaume anapata picha gani mnakosa wachumba kwa kauli zenu mbaya.

    • @JosephKingwere
      @JosephKingwere 3 месяца назад +2

      Wewe johari utaishia pabaya kila mtu kwako mubaya

    • @hurumamlawa5253
      @hurumamlawa5253 2 месяца назад

      Halafu kipind chote yupo chuo hajakutana na wasomi wenzieee. Pyeeee

  • @hellendaniel3809
    @hellendaniel3809 7 месяцев назад +36

    Degree in law😂😂😂. Angesema Bachelor of Law. Akili hana hata moja

    • @mosesmligo9614
      @mosesmligo9614 7 месяцев назад

      Me mwenyewe nimemchora hatar😂

    • @GraceKanu-lr6yv
      @GraceKanu-lr6yv 7 месяцев назад

      Namshangaa pia 😂😂😂

    • @naturelle1097
      @naturelle1097 7 месяцев назад

      Bachelor's Degree in Law

    • @alfredrweyemamu7807
      @alfredrweyemamu7807 7 месяцев назад +1

      Hmn elimu ni peace of ppr tu bt maisha anayo so ww ishi nae tu kikubwa anajishughulisha

    • @razoindeed8228
      @razoindeed8228 6 месяцев назад

      hamna kitu mle kipa katoka😅

  • @user-zb2mj5nd5g
    @user-zb2mj5nd5g 7 месяцев назад +9

    Jitihada huzidi elimu, wow what a point👍👍👍👍

  • @leilasarai
    @leilasarai 7 месяцев назад +23

    All the presenters speak fluent English wow...Kiingereza chao kinakaa tofauti sana na watanzania wengine and I love it..Keep it up guys show yenu n moto kuliko ya apa kwetu Kenya😂

    • @ameenaameena4907
      @ameenaameena4907 7 месяцев назад +1

      We ni mkwel love

    • @CharlesLeoMgaya
      @CharlesLeoMgaya 6 месяцев назад +3

      Watanzania gani hao unaokutananao ambao hawaongei vizuri, tatizo mmeclem. English is our second language and used for instruction in many areas. So sio kila mtu anakitumia na sio kipaumbele cha kila mtu kulingana na mazingira au au aina ya kazi yake

    • @jofreykabobe
      @jofreykabobe 6 месяцев назад +1

      We jinga kweli kwan hao wanaoongea hicho kiingereza kizuri siniwa Tanzania au unahisi ni wakenya? Tatizo makenya huwa mnamadharau sana nioko nyie 🚮

    • @leilasarai
      @leilasarai 6 месяцев назад

      @@jofreykabobe Pressure will kill you bure bro..elewa comment plz and stop barking like a pregnant dog😁😁😁😁

    • @leilasarai
      @leilasarai 6 месяцев назад +2

      @@CharlesLeoMgaya I'm not here to answer silly questions..my mind is busy

  • @user-fb2dh2vx5h
    @user-fb2dh2vx5h 6 месяцев назад +3

    Mnakuwa na vigezo visivyonamaana mtakaa sana apo adii mchunde sasa uyoo glad si ungepata uyoo msomi mwenzio uko chuo lohhh

  • @FaithSamuel-yc7dw
    @FaithSamuel-yc7dw Месяц назад +1

    Shout-out to all chuga girl's, Aliyah your the best ever lovely 🌹🌹🌹

  • @emilianalupenza3977
    @emilianalupenza3977 7 месяцев назад +9

    Watu wanaangalia hard working person kumbe wengne wanaangalia education level okeeeeeeee

  • @pendogodson9880
    @pendogodson9880 6 месяцев назад +4

    Nimempenda uyo kaka yuko very cool🥰

  • @motivationalit
    @motivationalit Месяц назад +3

    They don't know what they want. Nkt!
    Hiki kipindi tu, hamna msisimko wa kimapenzi haswa kutoka kwa wanadada. 🇰🇪 Kama wapenda Kiswahili changu gonga like 😛

  • @DismasRomani
    @DismasRomani 2 месяца назад +2

    Kikubwa ni kufanya maisha yaende poa sio level ya elimu ingekuw hivo hata wazaz wet wadingekuwa na familia.......🎉

  • @faidhacute
    @faidhacute 7 месяцев назад +5

    Huyo glad ana kingereza kigumu na kizito et advocate to be ovyooo😂

  • @liliankay5424
    @liliankay5424 7 месяцев назад +7

    Kizungu anaongea ya class one apa Kenya alafu anaringa 😂

  • @Joyrah
    @Joyrah 6 месяцев назад +6

    Hawa wadada ndo mana hawana wachumba wanajaji sanaaa

  • @shangweyussuf640
    @shangweyussuf640 7 месяцев назад +15

    Huyu ni mwanaume wa nguvu!!! Pole kwao. Kwani hayo.makabila mengine hayana wachoyo? Waongo? Wahuni? Wenye gubu? Mahusiano ni risks. Wachagueee

    • @joycehaule9717
      @joycehaule9717 6 месяцев назад

      Wapare hawafai hatatone

    • @alisonikihedu9614
      @alisonikihedu9614 5 месяцев назад +2

      Ninajivunia kua mpare nahata kama mnatuhukumu Hainan shida ndio maana Yesu alikufa kwa ajili yetu

    • @user-qx6th5xq3p
      @user-qx6th5xq3p 3 месяца назад

      Japo me mbulu lakn so wapare wabahil na wachoyo wapo kila kabila

  • @user-wm1yg7xt3j
    @user-wm1yg7xt3j 7 месяцев назад +5

    Umechemka sana best,Pole sana tena hao wasomi ndio mapuuzi balaa japo siyo wote ila wengi ni matatizo matupu

  • @faridalihondo3322
    @faridalihondo3322 7 месяцев назад +34

    Aseee uyu dada mbona hajielewi hivi yan anajiona mzur sana😂😂😂 wallah atasugua sana gaga apo na hata akipata mtu hawezi dumu nae kama mambo yenyew ndo hayo

    • @user-ep7pd4rv8f
      @user-ep7pd4rv8f 4 месяца назад +1

      Ak sjui anajionaj uy Johar 😂😂😂😂 anajiona mzur ht haoni km sura n ya kizee mungu nisamehee

  • @olympiamtenga8761
    @olympiamtenga8761 7 месяцев назад +34

    There is a big difference between going to school and being Educated. Dear ladies.. Marriages has nothing to do with education rather than skills,and capacity to work and make the life together. And if you don't like someone don't crush anyone based on kabila... Tanzania ni moja na hata kabila lako sio kamilifu vinginevyo ungeshapata mwanaume wa kabila lako Ukaolewa usije kwenye podium. Period

  • @lucasmalale
    @lucasmalale 7 месяцев назад +19

    Hakika hakuna mwanamke mjinga kama mwenye elimu sababu hawez ishi na mtu ambaye hana elimu ila nwanaume anaweza kuishi na mwanamke ambaye hanaelimu na maisha yakaenda vizur tu

    • @maimunaussi-lr3ze
      @maimunaussi-lr3ze 6 месяцев назад +1

      sio wote rafiki

    • @manish-fp1fb
      @manish-fp1fb 6 месяцев назад +2

      Ukiandika hana akili... unakosea. Akili sio ya darasani, ni kile linachobaki ukiondoa ulivyojifunza. Kuna watu wana akili lakini hawajapata nafasi ya kujifunza yaan kwenda shule.

    • @NeemaShirima-ws8nf
      @NeemaShirima-ws8nf 6 месяцев назад

      I presume that men & women ni tofauti sana, a man anaeza oa mwanamke ambae hajasoma kabisa coz maybe labda huyu mwanaume anafeel great coz mkewe yupo chini yake in education n stuff but for the case of respects and blabla it's better tu mwanamke aliesoma aolewe na mwanaume aliesoma kama yeye au awe amemzidi........sometimes wanawake waliosoma wanakataa wanaume ambao hawajasoma coz maybe ya inferiority complex I don't know 😔

  • @carolbenny3302
    @carolbenny3302 6 месяцев назад +2

    Nyie subirini mda wa "age go" ufike sio kwakumnyambua hivyo😂😂 😂

  • @honorykwahhay4364
    @honorykwahhay4364 7 месяцев назад +4

    Sio vizuri kumjudge mtu kwa kabila analotoka, sio sawa, @Johari huyu dada hapo anapoteza muda tu, hakuna mwanaume atapenda attitude yake.

  • @lilianeerica3318
    @lilianeerica3318 7 месяцев назад +7

    Huyu mwana shelia hana akili😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 akili original mtu anazaliwa nayo haipati dalasani😮😮😮

    • @elizabethkalinga0822
      @elizabethkalinga0822 7 месяцев назад +1

      Mimi ninamashaka na Taaluma yake, Anadhani Mume ni Vyeti, lahasha

  • @adelamartin1320
    @adelamartin1320 7 месяцев назад +6

    Thank you alliya 💜💜💜💜💜💜

  • @abigaelmosi452
    @abigaelmosi452 5 месяцев назад +2

    Aki huyu jamaa ako Sawa l am from Kenya... Nimemlike

  • @linatasks4837
    @linatasks4837 4 месяца назад +2

    Big up sana dada dressed in red (Aelia)....una uelewa saana wa maisha-.....nimependa comments zako sana especially on level of education

  • @GiftAbduly
    @GiftAbduly 7 месяцев назад +7

    Vidadz vya humu mnavitoa wapi mbona havijielewi kabisa

  • @Joharibashir.193
    @Joharibashir.193 7 месяцев назад +18

    johar jiangalie sana mwaya .....inshot jirekebishe 😐sijapenda🙂

    • @MwaijaSeiph
      @MwaijaSeiph 2 месяца назад

      Yahn Anaboa anajifanya mzuri mjuaji huyo ataangukia jumba bovu

    • @EllyMuro26
      @EllyMuro26 8 дней назад

      Wanawake hawajui wanachotaka

  • @rebecca-op7mx
    @rebecca-op7mx 6 месяцев назад +3

    Gladys Glady Glady nimekuita mara tatu dada litakukuta jambo walah omba Mungu akusaidie hao wasomi unaowasema wanaakili tuko nao hapa wanakusubir wakupe unachostahili mwehu wewe na raha ya elimu ikukomboe wewe umegraduate dada hatukatai ila huna akili elimu haijakukomboa

  • @dimbwidimbwi
    @dimbwidimbwi 4 месяца назад +2

    Hao wasichana ni wapuzi atangoja sana kaka al the best from kenya.😢

  • @ellymwampashe8927
    @ellymwampashe8927 7 месяцев назад +27

    Kwa kauli hizi na dharau hizi ni halali waje hapo, huku mtaani hawatoboi😢

  • @hellendaniel3809
    @hellendaniel3809 7 месяцев назад +25

    Heeee huyu Glad kiazi kweli.
    Johari ndio tahira kabisa

  • @UpendoWill
    @UpendoWill 22 дня назад +1

    Aaliya you're right my sister I like your point I perfect 🎉❤#aliya

  • @samsonzablon
    @samsonzablon 7 месяцев назад +15

    Huyo dada anayejiita mwanasheria to be hana elimu yoyote, na ndiyo maana hajui aseme nini na asiseme nini. Kuelimika ni zaidi ya makaratasi

    • @christineneema3008
      @christineneema3008 7 месяцев назад +2

      Alivyo vaa ubuzi tayari

    • @razoindeed8228
      @razoindeed8228 6 месяцев назад +1

      hao ndo wale wanodanganywa wakachezewa😅😅

    • @David-if6nk
      @David-if6nk 3 месяца назад

      ​@@razoindeed8228ndo alishachezwa

  • @user-dl2pn8lf4i
    @user-dl2pn8lf4i 7 месяцев назад +22

    😂😂😂😂eti mwanasheria sa mbna ukupata mchumba uko Kwa wenye elim wezako ukaja kujionyesha uku

  • @Realme-xm3sh
    @Realme-xm3sh 7 месяцев назад +5

    Zariiii😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂anataka wenye kifuw alafu mwembamba😂😂😂😂😂😂

    • @lareineminah1353
      @lareineminah1353 6 месяцев назад

      😂😂😂😂 ye mwenyew hajuw anataka nini😂😂😂😂😂

  • @FaithSamuel-yc7dw
    @FaithSamuel-yc7dw Месяц назад +1

    Mc garab una uelewa mkubwa sana shout-out kwako❤❤❤

  • @NdekejaKamuli-sh5pe
    @NdekejaKamuli-sh5pe 7 месяцев назад +14

    Huyo Glad sheria yake haina akili ndani hvo hana namna yeyote ya kuongelea elimu na mahusiano.
    Kama alitaka mwenye elimu aende chuo akadate na lecture

  • @user-sn6dc9gh8k
    @user-sn6dc9gh8k 7 месяцев назад +12

    Huyu mkaka nipe no.yake mi kwanza nimempenda hyo elimu peleka kule😊

  • @Grace_Ministry_International
    @Grace_Ministry_International 7 месяцев назад +9

    Huyu dada anataka wa diploma hata kiingereza hajui bure kabisaaa

  • @ezekiamwasanyila7279
    @ezekiamwasanyila7279 5 месяцев назад +3

    Hapo hakuna mwamamke wa kujenga familia pamoja na kutafut maisha wote hao ni wanawake wa starehe

  • @GiftAbduly
    @GiftAbduly 7 месяцев назад +5

    Uyo grad n fala hujui ambao hawajasoma ndio wako na Hela na ndio wanawaajiri khee uyo n tahira nakaadhirisha kabisa 😂😂

  • @user-sn6dc9gh8k
    @user-sn6dc9gh8k 7 месяцев назад +6

    Mnene juu chin mwembamba lkn ktembea hujui shenz😂😂😂

    • @rosemahenge9071
      @rosemahenge9071 7 месяцев назад +1

      Na tumbo kama kameza chura😅😅

    • @user-sn6dc9gh8k
      @user-sn6dc9gh8k 7 месяцев назад

      @@rosemahenge9071 apo sasa🤣🤣

  • @giddie_barnabas
    @giddie_barnabas 7 месяцев назад +17

    Saiv namuelewa mzee wangu aliniambia nioe mwanamke mwenye akili na c mwenye elim

    • @enockabumba7513
      @enockabumba7513 6 месяцев назад

      Ubarikiwe mtumishi kwa elimu ako nimejifunza mengi kwako kweriiiiiii

  • @UpendoWill
    @UpendoWill 22 дня назад +1

    ❤ Jmn ngeondoka nae jaman daah ao wadada wengine bhana washenz daah😂😂😊

  • @janethmbaga3515
    @janethmbaga3515 6 месяцев назад +3

    Waaaaaoooooh mpare wetu ... Achana nahilo linalo sema limwanasheria kichwani hamna kitu

    • @beathaambrose1190
      @beathaambrose1190 5 месяцев назад

      Tehena Mche ahoo vamshigheki Mwana wetu😢😢

    • @clevermngao7565
      @clevermngao7565 4 месяца назад

      Tehena kabisa! Vose aho ni varundu!!

  • @user-mr7gl5ox6u
    @user-mr7gl5ox6u 7 месяцев назад +9

    Na hiko kicroptop cha glady 😂😂😂😂 na anavyojishajishaua sasa

    • @kalundehassan9121
      @kalundehassan9121 6 месяцев назад

      😂😂😂😂advocate na uvaaji huo hata elimu haijamkomboa😅

    • @Officialmonah4475
      @Officialmonah4475 2 месяца назад

      Ila jmn uyo glad ndio kasabish wenzie wazime taa ila kiukweli uyo mkk ni mzr mpole mstarabu mpk raha mrefu afu mfanya biashara mm nampnda kbs🥰🥰💋💋kaka krb kwangu

  • @user-od9jk1yq1e
    @user-od9jk1yq1e 7 месяцев назад +12

    Huyu mdada hana akiri atasubili sana kumpata anaye mtaka kwanza sura yake mbaya kwakwel vibaya vinalinga daaah

  • @fayzahra8327
    @fayzahra8327 7 месяцев назад +8

    Muhimu nikuwa na mtu anae jua kutafuta coz ukimpata anajua kutafuta hauwezi lala njaa na kufa maskini bt unaweza fuata alie soma lkn awe fool, lazzy na hajui kutafuta pia. Elimu humpa mtu ufahamu lkn jitihada humfanya mtu atimize ndoto zake.

    • @faridalihondo3322
      @faridalihondo3322 7 месяцев назад +1

      True kabsa wadada wa saiv wanapenda sana pesa na kuslay hawana jipya

    • @David-if6nk
      @David-if6nk 3 месяца назад

      Yeye anataka elimu hajasema anataka hela

  • @user-ly2mj6od3v
    @user-ly2mj6od3v 7 месяцев назад +4

    Wadada ebu tujiheshimu jamani,tue na kiasi,nakuwaje mnongea sanaa kwenye macho ya watu ivoo,,mmh

  • @user-gf3vp1pz9c
    @user-gf3vp1pz9c 7 месяцев назад +4

    Yan kama huyo anaesema nahitaj educated huko chuon hakuona wanaume 😂😂

  • @adelamartin1320
    @adelamartin1320 7 месяцев назад +18

    Thank you 🙏 alliya na diva ❤❤❤

    • @emarsonjuma9045
      @emarsonjuma9045 7 месяцев назад +2

      Hivi huyu dada anaitwa Johari mbona ako na maringo ivi😏

    • @HappyJohn-rj8co
      @HappyJohn-rj8co 7 месяцев назад

      Aliya kweli Leo mmeona kitu kaka ht mm niliona Hana njaa

  • @london1586
    @london1586 5 месяцев назад +2

    Huyu johari jmn akiolewa ni bahati aiseeeeh😂😂😂

  • @AngelinaGabriel-ie5yq
    @AngelinaGabriel-ie5yq 6 месяцев назад +1

    Me nimempenda Sana

  • @user-jd8lu1bk8k
    @user-jd8lu1bk8k 7 месяцев назад +8

    Ila wapare kweli ni bahili sana wala siwashau.jaman wanaume wa kipare punguzeni ubahili

    • @danielljohn
      @danielljohn 6 месяцев назад

      Hahahahaaaa sio kwelii😅😅

  • @Ostadhatnasma
    @Ostadhatnasma 7 месяцев назад +3

    Kusema kwel bhana Mrs Right wabongo wanalinga sana yaan sababu zao hazina maana kwakwel hawa wanashida kweli ya mume? Yaan wa kenya wapopoa sana

  • @user-ss5xl9ll5l
    @user-ss5xl9ll5l 7 месяцев назад

    ❤❤ mwa naume wa kwenda😊

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 7 месяцев назад +5

    Yn videmu vyenyewe vibaya

  • @agnesgeorge6818
    @agnesgeorge6818 7 месяцев назад +9

    hyo sound inatakiwa ipungue kdgo wakat wa mazungumzo ili iclete kero kwa wackilizaji na watazamaji❤❤

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 7 месяцев назад +7

    Mc hakikisha Johari asipatwe mpk nifike Mimi hapo....keep her for me ,keep her on the shelf per me brethren .❤❤❤❤❤

  • @SashaOscar
    @SashaOscar 7 месяцев назад +3

    Kwanza Saiz kinachoangaliw ni maokoto tu, kina baba levo wameishia la saba B lkn kimaisha wanaendelea pw, ila hako nahisi kwanz hakajaanz ata kujitegemea bd kanaish kwao na maisha hakajayajua bd

  • @fidesbernard4835
    @fidesbernard4835 5 месяцев назад

    Dah pole kijana Mungu atakupa aliekua wako.

  • @hanifa9153
    @hanifa9153 7 месяцев назад +5

    Aki hio kizungu imeongewa na anae jiita mwana sheria inatia huzuni nikama form 1 kwanza kama mwanangu wa class 5 ndo anaongea ivo🤣🤣🤣🤣🤣

  • @UpeenduIvantibu-dd6nh
    @UpeenduIvantibu-dd6nh 7 месяцев назад +4

    🤣 🤣 Kwani hapa wanaona kweli jamani? Niulize ndo nifate maelekezo😂😂

    • @marthageorge5043
      @marthageorge5043 7 месяцев назад

      Ndio wanaowana, ila sio wote ni bahati sana

  • @Huncho_taitan_breezy
    @Huncho_taitan_breezy 7 месяцев назад +2

    This lady's luck knowledge

  • @shabanizubery3412
    @shabanizubery3412 7 месяцев назад +4

    Glad na johar ni micharakaa mwanasheria hawez kuwa na akili fupi hivyoo

  • @fayzahra8327
    @fayzahra8327 7 месяцев назад +7

    Mr right ya Kenya ndo kumejaa vituko. Mr right unachanwa na kuchanika😂😂😂😂😂😂😂

  • @Rogathe-Rogathe
    @Rogathe-Rogathe 7 месяцев назад +6

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂hizi morning speech za form 1🙌🙌🙌🙌 ....poor English ma gal

  • @jescahawino4601
    @jescahawino4601 6 месяцев назад +2

    Jamani huyo jamaa Ako sawa na mm ubaya Niko kenya😢😢

  • @ollenshamba
    @ollenshamba 4 месяца назад +1

    Huyu johari hajielewi yeye kila kabila baya, basi akazae kabila lake limuowe😅😅

  • @aud548
    @aud548 7 месяцев назад +4

    Wakuu nyie mnaenda huku kudhalilishwa kwenye National Tv ...aseee 😂😂😂😂

  • @salamarashid3687
    @salamarashid3687 7 месяцев назад +3

    Johar unamkataa mwanaume mzuri. Hya subiria kituko

  • @merryaugustin8814
    @merryaugustin8814 7 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂kingereza cha kudekia choo
    Pumbavu kbsa na sura yake mbaya❤ka chuchunde

  • @Bigger.99
    @Bigger.99 7 месяцев назад +2

    Jaman mwakahuu tofaut sana mamisi right wengi pisi mbovu😂😂 na Wana dharau sanA😮😢😮😢

    • @user-is3og1hc8r
      @user-is3og1hc8r 7 месяцев назад

      🤣🤣🤣🤣yan dada johar Mmmh mtihani nilimuona toka kwa yule jamaa wa salon na bajaji lol.

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 7 месяцев назад +7

    Mbona Yesu alisahau kututonya kama degree tutaendanazo ktk uzima wa milele .....!!!😮😮

  • @fayverenah
    @fayverenah 7 месяцев назад +5

    Mbona mr.Right wanakataliwa jamani😢

  • @aminamwivita7690
    @aminamwivita7690 7 месяцев назад

    Mashaallah ❤❤❤❤❤❤

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 7 месяцев назад +5

    Yn wnajishauwa alafubsura chafu ss si ungeebda uko chuoni ukatafute msomiwenzako kwnn unakuja hp kuvhagulwa km mandazi kenge ww ungemzur au iyo elim yk ndo kuoendwa ungefika hp

    • @faridalihondo3322
      @faridalihondo3322 7 месяцев назад +2

      Hawa yan kupata wanaume wa maana hawatapata wataishia kuchezewa tu

    • @user-mr7gl5ox6u
      @user-mr7gl5ox6u 7 месяцев назад +1

      Kabisa

  • @agnesgeorge6818
    @agnesgeorge6818 7 месяцев назад +4

    Wapare wabahili ndio😂😂😂😂uchune tuu bila mpangilio iyo kwioo,,utuache wapare tuliza komwe lako apo

  • @user-yj2rp5gm7p
    @user-yj2rp5gm7p 7 месяцев назад +1

    Huyo mwanasheria Ana kingereza kibaaauaaa😂

  • @BalakaYohana-cw3di
    @BalakaYohana-cw3di 7 месяцев назад +2

    Sura bati kwamba elimu elimu inkundo😂😂😂

  • @bmtv7790
    @bmtv7790 7 месяцев назад +8

    Mwanasheria kingeleza kibovu, mentality na reasons za wanawake mbovu, wanawake wenyewe wabovu si wakaumbe wanaume wao😂

  • @GiftAbduly
    @GiftAbduly 7 месяцев назад +6

    Johar nae ni tahira aisee maisha rafik zako ukalinganishe nayo hovyo😏

  • @witnessmallya5114
    @witnessmallya5114 5 месяцев назад +2

    Alliya una akili sana! Elimu sio akili, kila mqanadamu ana utashi wake. Matajiri wengi na wafanyabiashara wakubwa elimu zao ni ndogo lakn kwa vile wana vision maisha yanaendalelea💪

  • @neemaberny3598
    @neemaberny3598 7 месяцев назад +5

    Advocate tu bi 😂 huyu mbona kama yupo debate ya primary ..English gani sasa 😂huyu akiwa mwanasheria wako waandae ndugu zako wachange mzigo wa dhamana😂😂

    • @philemonmagesa5548
      @philemonmagesa5548 7 месяцев назад +1

      Tena debate za darasa la nne nazikumbuka tulikuwa tunaongea english kama yake mada za water is better than fire

    • @neemaberny3598
      @neemaberny3598 7 месяцев назад

      @@philemonmagesa5548 mule mule🤣 Yani hata nguvu ya kumhoji huyo kaka kwa hiyo English katoa wapi..

  • @cobrachristian3685
    @cobrachristian3685 7 месяцев назад +4

    Kwani diamond au Alikiba au harmonize wana elimu gani hawa madada hawajielewi kbsa

  • @alfredrweyemamu7807
    @alfredrweyemamu7807 7 месяцев назад

    Unaweza ukawa umesoma lkn huna mafanikio so wanawake acheni kukariri siku hz elimu sio ishu tena ishu ni mafanikio success so Mr. right no 3 asee upo vzr elimu yako sio mbaya hayo mengine mshkuru Mungu

  • @aika3024
    @aika3024 5 месяцев назад +4

    Nipeni namba ya uyu Kaka ananifaa sana😍 Mtani wangu jamani❤️

  • @empressdamahshow
    @empressdamahshow 5 месяцев назад +2

    Nipeni number YA huyo kijana mtanashati Ramson😂❤

  • @makrinaibinga-on2qx
    @makrinaibinga-on2qx 7 месяцев назад +4

    Mr.right ya kenya ipo hot sana kuliko hii

  • @brazilsanga7978
    @brazilsanga7978 7 месяцев назад +2

    Mwembamba chini😂😂😂😂😂🎉🎉

  • @eliamtinda7222
    @eliamtinda7222 4 месяца назад

    Huyo mnene juu,mrefu,mweupe,chini awe mwembamba,labda amuumbe mwenyewe🤣🤣🤣

  • @plaizoo5448
    @plaizoo5448 7 месяцев назад +4

    Mwanachelia gani akili ana uyo

  • @user-xg2ld2qr7y
    @user-xg2ld2qr7y 7 месяцев назад +2

    All the way from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪